BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea shule ya msingi Mwisenge mjini Musoma aliyosoma Baba wa Taifa , Mwl Julius Nyerere.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzread.info FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
www.kzread.info1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari INSTAGRAM: globalpubli...
Пікірлер: 175
love heart,is the key to leadership.congratulation Dr J.P.M (our presedent of tz)
HONGERA RAIS wetu MAGUFULI kwa kazi nzuri
Mungu akubariki rais wetu akionekana kila siku unabadirisha dila ya maendeleo Tanzania
Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais na umrinde Mungu wabariki na watu wake
Miaka 10 haimtoshi kwa nzuri anayoifanya! Inabidi aongezewe miaka 5 zaidi! Be blessing mh Rais
@ChoroTesla
2 жыл бұрын
Na utabiri wako wakipumbavu haukutimia
Utawaleeeee daimaaaa baba. Nakukubali snaaaa
Big up diwan Ila sitaki kujua chama chako
@rezegerezege691
3 жыл бұрын
CCM😆😆😆😆😆
the best presendet in africa for now
MaashaAllah
Wanafunzi hao ni Malaika, nao pia Wamefurahi mno kukuona Laivu Rais Magufuli, Na sadaka Hiyo uliyoitoa Hapo ni DUA tosha, Mungu akubariki.
Apoo safi sanaa yanii nakupendaa kufaa
Huyu Rais ataacha alama kubwa sana baada yakipindi chake kuisha maana anayoyafanya niyaleee ya Baba wa Taifa hili Mwl. J.K. Nyerere. Hongera sana mkuu wetu wa nchi hii mungu akulinde zaidi.
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
na ameshaenda baba huyu dah jmni
This one was exceptional... Human touch per excellence!
Najivunia kuwa mTanzania hongera baba magu
@mosesmajige913
5 жыл бұрын
Hi
Mungu akibariki Sana mhe. Rais
hongera sana rais kuwajal hao watoto walemavu
Big up Rais wetu kwa kukumbuka wakombozi wetu, I actually appreciate you so much!
Hakika Mungu akubariki Sana Mheshimiwa Raisi wetu tunakuombea
Kazakh allah kher allah ukaipate akhera yako
safi sana mh Rais
Safi sana
Mungu akubariki mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Wa Tanzania Dr John. P.Joseph Magufuli
@rezegerezege691
3 жыл бұрын
Mwanangu naona Rais na Diwani Manyama Mungu Awalinde . AMINA.
Safi sana mheshimiwa Rais Mungu akubarikiwe
Safi sana j.p.m
safi sanA WEWE TU NDO UNANIISPIRE KUJA KUA HEAD LEADER WA NCHI.GOOD BETTER BEST,WATOTO LEO NI SIKUKUU YAO JAMENI.👏👏👏👏
@fredkyara.babamunguwambing482
5 жыл бұрын
Hongera Rais wangu
@yuzotv458
5 жыл бұрын
good
Huyu rais ni wa mfano kabisa tumempata kutoka kwa mungu nakuombea rais wangu uwe na afya njema na moyo huo huo
@hajiubwa5659
5 жыл бұрын
Y
@sakinayusuf5072
5 жыл бұрын
Aamin
Asante san baba yetu asante sana viongozi wetu asante sana raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
Hongera jpm rais wetu
Bravo Rais Dr JP MAGUFULI
Aamen Aamen Mr president. Mungu akupe uhai mreefu kama ule mount meru
Rais wetu Magufuli, Ni mfano wa kuigwa, Yaani hapo Mzimu wa Nyerere unakuona, Kila anaekuona Hapo Ana furaha isiyo kifani, Nakuombea DUA, Mungu akulinde.
jamani hadi machozi ya furaha yamenitoka
@habilicharles4410
5 жыл бұрын
Kwel kabisa huyu niwapekee
@enriquebalome8460
5 жыл бұрын
amini hata mm moyo unatamani aendelee kuwa rais ili Tanzania tuifaidi
@lukasochola576
4 жыл бұрын
kiaje na wee ni mkenya tu
Good President..
hongera mheshimiwa namimi nmesoma hapo tangu dalasa la kwanza mpaka 7 naipenda sana
Hakika Watanzania tuendelee kumuombea huyu Rais, hakika Mungu ametupatia mtu sahihi kwa wakati sahihi
Mungu hakupe maisha marefu JPM
Mh:umekua mfano wa kuigwa ndani ya nchi, ndani ya Bara la África na kimataifa kiujumla, GOD bless you
Big up our president
nakukubali sana Mh Rais wangu
Mm mwenyewe zaid machozi yananitoka kweli hakuna km Magufuli
Mimi naona magufulia tumpe ufalme aongoze mpka mwsho wake atatuo kwenye huu umaskini
Nimefurahi sana raisi kama wewe Africa hakuna mungu akusamehe pale unapo kosea kwani wewe ni binadam ila mimi nakupenda sana nashindwa kujizuia hisia zangu
Wale ambao hawajashuhudia utawala wa Nyerere,Sasa wanaishuhudia kupitia rais magufuli
Nampenda Sana Rais magufuli anaroho inayoongozwa na mungu lkn namshauri pia awe mvumilivu akubali maoni yawengine na aruhusu uhuru wa kujieleza, na kukosolewa anapo teleza.
@raymondkaswaga8334
5 жыл бұрын
Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??
@raymondkaswaga8334
5 жыл бұрын
Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??
Dhamira yako na maono yako juu ya nchi inatia moyo sana
Sasa nahisi Nina Raisi....
Jamani ukiwa na rais ambae anaijua Tanzania vizuri raha sana
Baba rais wangu nakupenda mpaka nasisimka, hongera baba kwa kazi nzuri
Tunakubariki Mh. RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI . TUSAIDIE SANA MKOA WA MARA .
I la we we unatakiwa kuwa Rais wa Africa nzima
Mzalendo wa kweli ulielipenda Taifa lako Kwa dhati endelea kupumzika 😭😭😭
Rais wa wanyonge,wakenya wenzangu mupo,wakenya tutapata rais Kama jpm lini.
Yani ndio nikisikia wajinga wengine wakimpinga huyu Raisi ninasikia uchungu sana, hao ndio watu hawaitakii hii nchi mema wanakula na mafisadi, Mungu akulinde Raisi wetu
Mungu akubariki Sana mueshimiwa
Hongera kwa kumhenzi Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere
mashaallah
naona my colleague angu unahojiwa ahahahhha, hataree brooooo
Yaan hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru MUNGU WETU
Bonge la raisi ajawahi kuepo apa tanzania eeeh YESU kumbuka taifa la watu wako utuletee mwingine kama uyuu tunaomba katika haki yako eeeh BWANA tusiaibike
Jembe letu hilo jaman mungu atume nn
Tanzania mnarais wa kujivunia, ningependa kuwa mtanzania kwa utawala bora
Magu hoyeeeee
Mungu akuweke pahala Pema peponi
😭😭😭🙏🙏
Pumzika kwa amani jembe daima utakumbukwa 😭😭
Good and important history
Kwa hiyo hili dawati alikuwa anakaa peke yake Haya bhana penda Sana kiongozi wangu
Mwenyezi Mungu humjalie na woote waliefanya makubwa na kuacha alama kubwa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu
Mashaalah
Watanzania wenzangu nazidi kuwaomba tuzidi kumuombea raisi wetu kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
Asantee
Penda sana wewe JPM. Rais wa mfano wa kuigwa Dunian
@AliBaba-zb3tg
5 жыл бұрын
Ushauri tu nakupa huu upendo ukimpa mama yako utafanikiwa sana kama huyu unae mpenda alipata baraka kwa mama yake akaja kukuongoza wew sasa nawe jaribu aya mapenzi utafika huku
Utakumbukwa milele
Mungu amuweke mahala pema ,amin
Huwa nikimwona magufuli inaniuma sana kwann tumempoteza
Sijui ndiyo ulikuwa unaianga tz 😢😢
jamani tatua matatizo wanaogopawanatetemeka
Ulela kwa Amani Tutakukumbuka Milele
Imenigusa sana
@mcmackone1958
5 жыл бұрын
Nashangaa hiyo rangi ya jiwe la kumbu kumbu mbona Ccm?
Rest In Peace My lovely President J.P.M❤️❤️❤️
Chema hakidumu magu ugekuwwpo saizi tungekuwambari
Asate raising
Nashindwa niseme nini
Asante JPM
@jamesangole6330
5 жыл бұрын
Love to u Mr President good leadership style
JPM♥♥
Tunaotumia Airtel Kwakweli Kazi Tunayo Hata Raisi Wetu Atumuoni Vizuri Mtandao Unazunguuka Tu Nilimuomba Wa Halotel Imefunguka Araka Tatizo MB Zimekwisha Nimerudi Kwenye Airtel Malazi Tupu Hata Raisi Wetu Kipenzi Video Zake Za Ziara Atuzioni Kwa Wakati Mpaka Utumie Halotel
Huyu ndio alikua raisi wa Africa Hawa wengine mmmmmmmmm
THANKS MR PRESIDENT
hahaha mwl. mkuu nayeee katumwaaaa
Eh mungu
Muheshimiwa Mungu anakuona hiyo inatosha kabisa kusema
Hapa ndipo unapogundua mtu mwenye kipawa .toka moyon
huyu mzee, basi tu,sina la kunena juu yake, mungu ampe maisha maleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Baba pumzka hatuna namna Mzee wetu tumeondoka wakati tunakuhitaji sana
vizur
inapendeza sanaa
@saimonedward8770
5 жыл бұрын
bonge rais mungu akupe maisha maref una moyo ubinadam
@williampilly4832
5 жыл бұрын
Ubarikiwe rais wetu
jpm Mungu akutunze baba duh
napenda nisikie neno kuhusu yale maeneo.jeshi lililochukua kule nyamihongo tujue hatma yake
...😮😮
Kunamambo mengi hamjayaona nendeni mkaone makumbusho ya baba wa Taifa alipokuwa anaishi!!!