BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere

BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea shule ya msingi Mwisenge mjini Musoma aliyosoma Baba wa Taifa , Mwl Julius Nyerere.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzread.info FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
www.kzread.info1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari INSTAGRAM: globalpubli...

Пікірлер: 175

  • @yuzotv458
    @yuzotv4585 жыл бұрын

    love heart,is the key to leadership.congratulation Dr J.P.M (our presedent of tz)

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa43715 жыл бұрын

    HONGERA RAIS wetu MAGUFULI kwa kazi nzuri

  • @jolitejolite1497
    @jolitejolite14975 жыл бұрын

    Mungu akubariki rais wetu akionekana kila siku unabadirisha dila ya maendeleo Tanzania

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma75815 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais na umrinde Mungu wabariki na watu wake

  • @ayubunjiwa2818
    @ayubunjiwa28185 жыл бұрын

    Miaka 10 haimtoshi kwa nzuri anayoifanya! Inabidi aongezewe miaka 5 zaidi! Be blessing mh Rais

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    2 жыл бұрын

    Na utabiri wako wakipumbavu haukutimia

  • @alexjosephat9030
    @alexjosephat90305 жыл бұрын

    Utawaleeeee daimaaaa baba. Nakukubali snaaaa

  • @jonasamos555
    @jonasamos5555 жыл бұрын

    Big up diwan Ila sitaki kujua chama chako

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    3 жыл бұрын

    CCM😆😆😆😆😆

  • @geofreymgeni2668
    @geofreymgeni26685 жыл бұрын

    the best presendet in africa for now

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb5 жыл бұрын

    MaashaAllah

  • @binurarassi8156
    @binurarassi81565 жыл бұрын

    Wanafunzi hao ni Malaika, nao pia Wamefurahi mno kukuona Laivu Rais Magufuli, Na sadaka Hiyo uliyoitoa Hapo ni DUA tosha, Mungu akubariki.

  • @pilibarakaiteba8750
    @pilibarakaiteba87505 жыл бұрын

    Apoo safi sanaa yanii nakupendaa kufaa

  • @habilicharles4410
    @habilicharles44105 жыл бұрын

    Huyu Rais ataacha alama kubwa sana baada yakipindi chake kuisha maana anayoyafanya niyaleee ya Baba wa Taifa hili Mwl. J.K. Nyerere. Hongera sana mkuu wetu wa nchi hii mungu akulinde zaidi.

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    Ай бұрын

    na ameshaenda baba huyu dah jmni

  • @user-wk7hz2ct1m
    @user-wk7hz2ct1mКүн бұрын

    This one was exceptional... Human touch per excellence!

  • @maryammaram2612
    @maryammaram26125 жыл бұрын

    Najivunia kuwa mTanzania hongera baba magu

  • @mosesmajige913

    @mosesmajige913

    5 жыл бұрын

    Hi

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya5 жыл бұрын

    Mungu akibariki Sana mhe. Rais

  • @deustutu1162
    @deustutu11625 жыл бұрын

    hongera sana rais kuwajal hao watoto walemavu

  • @paschaljeremiah4903
    @paschaljeremiah49035 жыл бұрын

    Big up Rais wetu kwa kukumbuka wakombozi wetu, I actually appreciate you so much!

  • @maigabarikiwasanamtuwamung5712
    @maigabarikiwasanamtuwamung57125 жыл бұрын

    Hakika Mungu akubariki Sana Mheshimiwa Raisi wetu tunakuombea

  • @firdausabdullah6315
    @firdausabdullah63155 жыл бұрын

    Kazakh allah kher allah ukaipate akhera yako

  • @pigapesa1013
    @pigapesa10135 жыл бұрын

    safi sana mh Rais

  • @zakiamaungazakia720
    @zakiamaungazakia7205 жыл бұрын

    Safi sana

  • @charleskaflela5747
    @charleskaflela57475 жыл бұрын

    Mungu akubariki mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Wa Tanzania Dr John. P.Joseph Magufuli

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    3 жыл бұрын

    Mwanangu naona Rais na Diwani Manyama Mungu Awalinde . AMINA.

  • @agneomasonda2462
    @agneomasonda24625 жыл бұрын

    Safi sana mheshimiwa Rais Mungu akubarikiwe

  • @frankakuno.9511
    @frankakuno.95115 жыл бұрын

    Safi sana j.p.m

  • @yuzotv458
    @yuzotv4585 жыл бұрын

    safi sanA WEWE TU NDO UNANIISPIRE KUJA KUA HEAD LEADER WA NCHI.GOOD BETTER BEST,WATOTO LEO NI SIKUKUU YAO JAMENI.👏👏👏👏

  • @fredkyara.babamunguwambing482

    @fredkyara.babamunguwambing482

    5 жыл бұрын

    Hongera Rais wangu

  • @yuzotv458

    @yuzotv458

    5 жыл бұрын

    good

  • @godlovemrosso8715
    @godlovemrosso87155 жыл бұрын

    Huyu rais ni wa mfano kabisa tumempata kutoka kwa mungu nakuombea rais wangu uwe na afya njema na moyo huo huo

  • @hajiubwa5659

    @hajiubwa5659

    5 жыл бұрын

    Y

  • @sakinayusuf5072

    @sakinayusuf5072

    5 жыл бұрын

    Aamin

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Asante san baba yetu asante sana viongozi wetu asante sana raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @robertpeter4283
    @robertpeter42835 жыл бұрын

    Hongera jpm rais wetu

  • @sadikingstudio8166
    @sadikingstudio81665 жыл бұрын

    Bravo Rais Dr JP MAGUFULI

  • @petermahimbo9450
    @petermahimbo94505 жыл бұрын

    Aamen Aamen Mr president. Mungu akupe uhai mreefu kama ule mount meru

  • @binurarassi8156
    @binurarassi81565 жыл бұрын

    Rais wetu Magufuli, Ni mfano wa kuigwa, Yaani hapo Mzimu wa Nyerere unakuona, Kila anaekuona Hapo Ana furaha isiyo kifani, Nakuombea DUA, Mungu akulinde.

  • @ceciliaonyango301
    @ceciliaonyango3015 жыл бұрын

    jamani hadi machozi ya furaha yamenitoka

  • @habilicharles4410

    @habilicharles4410

    5 жыл бұрын

    Kwel kabisa huyu niwapekee

  • @enriquebalome8460

    @enriquebalome8460

    5 жыл бұрын

    amini hata mm moyo unatamani aendelee kuwa rais ili Tanzania tuifaidi

  • @lukasochola576

    @lukasochola576

    4 жыл бұрын

    kiaje na wee ni mkenya tu

  • @kartelgizemc1590
    @kartelgizemc15905 жыл бұрын

    Good President..

  • @paiwanjara3502
    @paiwanjara35025 жыл бұрын

    hongera mheshimiwa namimi nmesoma hapo tangu dalasa la kwanza mpaka 7 naipenda sana

  • @atleyutonga6131
    @atleyutonga61315 жыл бұрын

    Hakika Watanzania tuendelee kumuombea huyu Rais, hakika Mungu ametupatia mtu sahihi kwa wakati sahihi

  • @magibomwita8134
    @magibomwita81345 жыл бұрын

    Mungu hakupe maisha marefu JPM

  • @nelsonmumghamba3767
    @nelsonmumghamba37675 жыл бұрын

    Mh:umekua mfano wa kuigwa ndani ya nchi, ndani ya Bara la África na kimataifa kiujumla, GOD bless you

  • @abdallakassim9954
    @abdallakassim99545 жыл бұрын

    Big up our president

  • @jamesjamesalpha8361
    @jamesjamesalpha83615 жыл бұрын

    nakukubali sana Mh Rais wangu

  • @mfubwakilua5380
    @mfubwakilua53805 жыл бұрын

    Mm mwenyewe zaid machozi yananitoka kweli hakuna km Magufuli

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo5 жыл бұрын

    Mimi naona magufulia tumpe ufalme aongoze mpka mwsho wake atatuo kwenye huu umaskini

  • @allykivike7228
    @allykivike72285 жыл бұрын

    Nimefurahi sana raisi kama wewe Africa hakuna mungu akusamehe pale unapo kosea kwani wewe ni binadam ila mimi nakupenda sana nashindwa kujizuia hisia zangu

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90965 жыл бұрын

    Wale ambao hawajashuhudia utawala wa Nyerere,Sasa wanaishuhudia kupitia rais magufuli

  • @abdallahomari8680
    @abdallahomari86805 жыл бұрын

    Nampenda Sana Rais magufuli anaroho inayoongozwa na mungu lkn namshauri pia awe mvumilivu akubali maoni yawengine na aruhusu uhuru wa kujieleza, na kukosolewa anapo teleza.

  • @raymondkaswaga8334

    @raymondkaswaga8334

    5 жыл бұрын

    Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??

  • @raymondkaswaga8334

    @raymondkaswaga8334

    5 жыл бұрын

    Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??

  • @saulikinahi6703
    @saulikinahi67035 жыл бұрын

    Dhamira yako na maono yako juu ya nchi inatia moyo sana

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza53394 жыл бұрын

    Sasa nahisi Nina Raisi....

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda71825 жыл бұрын

    Jamani ukiwa na rais ambae anaijua Tanzania vizuri raha sana

  • @felistermatindi119
    @felistermatindi1194 жыл бұрын

    Baba rais wangu nakupenda mpaka nasisimka, hongera baba kwa kazi nzuri

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege6913 жыл бұрын

    Tunakubariki Mh. RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI . TUSAIDIE SANA MKOA WA MARA .

  • @nzengamwamulima7724
    @nzengamwamulima77245 жыл бұрын

    I la we we unatakiwa kuwa Rais wa Africa nzima

  • @user-kt1ev1ph1p
    @user-kt1ev1ph1p3 ай бұрын

    Mzalendo wa kweli ulielipenda Taifa lako Kwa dhati endelea kupumzika 😭😭😭

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90965 жыл бұрын

    Rais wa wanyonge,wakenya wenzangu mupo,wakenya tutapata rais Kama jpm lini.

  • @mako331
    @mako3315 жыл бұрын

    Yani ndio nikisikia wajinga wengine wakimpinga huyu Raisi ninasikia uchungu sana, hao ndio watu hawaitakii hii nchi mema wanakula na mafisadi, Mungu akulinde Raisi wetu

  • @lisanzai8246
    @lisanzai82465 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana mueshimiwa

  • @NicodemusMwakifwange
    @NicodemusMwakifwange2 ай бұрын

    Hongera kwa kumhenzi Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere

  • @mwasitihatibu9691
    @mwasitihatibu96915 жыл бұрын

    mashaallah

  • @shukurudavid4369
    @shukurudavid43695 жыл бұрын

    naona my colleague angu unahojiwa ahahahhha, hataree brooooo

  • @angelinaelishachisongela7859
    @angelinaelishachisongela78595 жыл бұрын

    Yaan hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru MUNGU WETU

  • @GodfreyMushi-kn3nb
    @GodfreyMushi-kn3nb3 ай бұрын

    Bonge la raisi ajawahi kuepo apa tanzania eeeh YESU kumbuka taifa la watu wako utuletee mwingine kama uyuu tunaomba katika haki yako eeeh BWANA tusiaibike

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza87555 жыл бұрын

    Jembe letu hilo jaman mungu atume nn

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90965 жыл бұрын

    Tanzania mnarais wa kujivunia, ningependa kuwa mtanzania kwa utawala bora

  • @bikosi9537
    @bikosi95375 жыл бұрын

    Magu hoyeeeee

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu40253 ай бұрын

    Mungu akuweke pahala Pema peponi

  • @veronicatweve8908
    @veronicatweve89082 жыл бұрын

    😭😭😭🙏🙏

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez7862 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani jembe daima utakumbukwa 😭😭

  • @JustusMwania
    @JustusMwania3 ай бұрын

    Good and important history

  • @suleimanramadhan6
    @suleimanramadhan65 жыл бұрын

    Kwa hiyo hili dawati alikuwa anakaa peke yake Haya bhana penda Sana kiongozi wangu

  • @muddyso1953
    @muddyso1953 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu humjalie na woote waliefanya makubwa na kuacha alama kubwa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 ай бұрын

    Mashaalah

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Watanzania wenzangu nazidi kuwaomba tuzidi kumuombea raisi wetu kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu

  • @gipsonice7gipsonice791
    @gipsonice7gipsonice7915 жыл бұрын

    Asantee

  • @fredkyara.babamunguwambing482
    @fredkyara.babamunguwambing4825 жыл бұрын

    Penda sana wewe JPM. Rais wa mfano wa kuigwa Dunian

  • @AliBaba-zb3tg

    @AliBaba-zb3tg

    5 жыл бұрын

    Ushauri tu nakupa huu upendo ukimpa mama yako utafanikiwa sana kama huyu unae mpenda alipata baraka kwa mama yake akaja kukuongoza wew sasa nawe jaribu aya mapenzi utafika huku

  • @neemaadamu3698
    @neemaadamu36982 ай бұрын

    Utakumbukwa milele

  • @user-yg5xv5gq9i
    @user-yg5xv5gq9i3 ай бұрын

    Mungu amuweke mahala pema ,amin

  • @JamalDaudlulyeho
    @JamalDaudlulyehoАй бұрын

    Huwa nikimwona magufuli inaniuma sana kwann tumempoteza

  • @SophiaMagoti-li8bc
    @SophiaMagoti-li8bc26 күн бұрын

    Sijui ndiyo ulikuwa unaianga tz 😢😢

  • @charznyamaresa5571
    @charznyamaresa55715 жыл бұрын

    jamani tatua matatizo wanaogopawanatetemeka

  • @user-ec1pe9yy2h
    @user-ec1pe9yy2h2 ай бұрын

    Ulela kwa Amani Tutakukumbuka Milele

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone80145 жыл бұрын

    Imenigusa sana

  • @mcmackone1958

    @mcmackone1958

    5 жыл бұрын

    Nashangaa hiyo rangi ya jiwe la kumbu kumbu mbona Ccm?

  • @Mwasungastanley
    @Mwasungastanley2 ай бұрын

    Rest In Peace My lovely President J.P.M❤️❤️❤️

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845Ай бұрын

    Chema hakidumu magu ugekuwwpo saizi tungekuwambari

  • @raurau1015
    @raurau10155 жыл бұрын

    Asate raising

  • @hassankimweri3646
    @hassankimweri36465 жыл бұрын

    Nashindwa niseme nini

  • @trickytriggtz9440
    @trickytriggtz94405 жыл бұрын

    Asante JPM

  • @jamesangole6330

    @jamesangole6330

    5 жыл бұрын

    Love to u Mr President good leadership style

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486Ай бұрын

    JPM♥♥

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77545 жыл бұрын

    Tunaotumia Airtel Kwakweli Kazi Tunayo Hata Raisi Wetu Atumuoni Vizuri Mtandao Unazunguuka Tu Nilimuomba Wa Halotel Imefunguka Araka Tatizo MB Zimekwisha Nimerudi Kwenye Airtel Malazi Tupu Hata Raisi Wetu Kipenzi Video Zake Za Ziara Atuzioni Kwa Wakati Mpaka Utumie Halotel

  • @onyangodominick3789
    @onyangodominick37892 ай бұрын

    Huyu ndio alikua raisi wa Africa Hawa wengine mmmmmmmmm

  • @mrhusseinmtitu4008
    @mrhusseinmtitu40085 жыл бұрын

    THANKS MR PRESIDENT

  • @suzanpatrick8381
    @suzanpatrick83815 жыл бұрын

    hahaha mwl. mkuu nayeee katumwaaaa

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 ай бұрын

    Eh mungu

  • @abdallahmdanga1140
    @abdallahmdanga11404 жыл бұрын

    Muheshimiwa Mungu anakuona hiyo inatosha kabisa kusema

  • @saidpara7494
    @saidpara74945 жыл бұрын

    Hapa ndipo unapogundua mtu mwenye kipawa .toka moyon

  • @tatusaid1223
    @tatusaid12234 жыл бұрын

    huyu mzee, basi tu,sina la kunena juu yake, mungu ampe maisha maleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @AllyLufunga-bh4zs
    @AllyLufunga-bh4zs3 ай бұрын

    Baba pumzka hatuna namna Mzee wetu tumeondoka wakati tunakuhitaji sana

  • @ipandeipande538
    @ipandeipande5385 жыл бұрын

    vizur

  • @angelmmbaga6043
    @angelmmbaga60435 жыл бұрын

    inapendeza sanaa

  • @saimonedward8770

    @saimonedward8770

    5 жыл бұрын

    bonge rais mungu akupe maisha maref una moyo ubinadam

  • @williampilly4832

    @williampilly4832

    5 жыл бұрын

    Ubarikiwe rais wetu

  • @piushappyness226
    @piushappyness2265 жыл бұрын

    jpm Mungu akutunze baba duh

  • @shufaafarihya8674
    @shufaafarihya86745 жыл бұрын

    napenda nisikie neno kuhusu yale maeneo.jeshi lililochukua kule nyamihongo tujue hatma yake

  • @Tollykiyangakiyanga
    @TollykiyangakiyangaАй бұрын

    ...😮😮

  • @azizmunawar2026
    @azizmunawar20265 жыл бұрын

    Kunamambo mengi hamjayaona nendeni mkaone makumbusho ya baba wa Taifa alipokuwa anaishi!!!

Келесі