MAGUFULI AWAKA, AMSHUSHA BODYGUARD KWENYE GARI, AMNYANG'ANYA MKURUGENZI GARI

Пікірлер: 585

  • @halimamangala6731
    @halimamangala67313 жыл бұрын

    Kama wewe unapitia video zote za baba tangu atutoke gonga like😭😭

  • @rozaliewalumona8604

    @rozaliewalumona8604

    3 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahali pema mbinguni

  • @rozaliewalumona8604

    @rozaliewalumona8604

    3 жыл бұрын

    Ninaamini kazi umefanya si. Kwa wa Tanzania tuu ni kwa Afrika nzima na raisi wote Afrika wangefuata mwenendo wako hatungehitaji . misaada toka inje

  • @AlAl-sd9pl

    @AlAl-sd9pl

    3 жыл бұрын

    Mungu tunaomba utupatie tena Rais kama huyu jpm dah

  • @mangomkusaga5468

    @mangomkusaga5468

    3 жыл бұрын

    Halima vp

  • @aliandrew3537

    @aliandrew3537

    2 жыл бұрын

    My dear it's so painful to believe that doctor John pombe magufuli the bulldozer, jembe keshatutoka it's so painful for real From Kenya mpare originally

  • @janethmwanri1658
    @janethmwanri16583 жыл бұрын

    who is watching this now when he's no more... he says and does what he says... Like if you are watching this as we mourn for him

  • @ForeveryoungNana2019
    @ForeveryoungNana20193 жыл бұрын

    I can't stop watching your videos Magu, continue dancing with the angels🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿

  • @aliandrew3537

    @aliandrew3537

    2 жыл бұрын

    My dear we need leaders kama jembe the bulldozer magufuli Yani mpaka Leo kifo CHAKE chanitia huzuni hadi leo

  • @fredasanga5394
    @fredasanga53944 жыл бұрын

    kama unampenda magu weka lake hapo

  • @magdalenekessy9651

    @magdalenekessy9651

    4 жыл бұрын

    Safi sana rais wetu

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    4 жыл бұрын

    Nampenda kwa roho yake nzuri

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    3 жыл бұрын

    👍

  • @itsyourboy1407
    @itsyourboy14073 жыл бұрын

    Utaishi mioyoni mwetu 😭😭NENDA SHUJAAA WETUU UPUMZISHWE KWA AMANI

  • @graceniyonzima3130
    @graceniyonzima31304 жыл бұрын

    I am Burundian but kila nikimuona mheshimiwa Rais John Pombe Magufuri aki naisi furaha kubwa sanaaa Mwenyezi Mungu akuwezeshe ubaki na Moyo wa upendo

  • @kelvinbalama7521

    @kelvinbalama7521

    3 жыл бұрын

    Umeonaa eeee but today we haven't our president it's xo sad hakika chema dada neema hakidum!!!!

  • @sammygichuki5664
    @sammygichuki56643 жыл бұрын

    Mimi ni mkenya lakini twajivunia uongozi wa raisi wa Tx is a genius makufuli

  • @alexmuya8541
    @alexmuya85414 жыл бұрын

    Am a kenyàn when I see thz best president in Africa I feel to cry out of happiness a president who listen to the prights of common mwananchi of Tanzania may God bless him I wish he could be be a Kenyan president

  • @johnmhina8122

    @johnmhina8122

    4 жыл бұрын

    Exactly Alex Muya

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    4 жыл бұрын

    Thank you Muya. We pray that our EAC gets good leaders so that our economy and social life can fly. We are one people. Mkenya akipata ni mtanzania kapata, Muuganda akipata ni Mrwanda kapata na mranda akipata ni Mburundi kapata. Tuendelee kuombea Umoja wetu wa East Africa na Afrika kwa ujumla. Big up Muya.

  • @justinemachuma6954

    @justinemachuma6954

    4 жыл бұрын

    Exactly, Am a kenyan too, I salute Magufuli too

  • @safinamalero3971

    @safinamalero3971

    4 жыл бұрын

    Rais wangu asalamaleku.....😴

  • @mahmoudaziz4717

    @mahmoudaziz4717

    4 жыл бұрын

    Karibu tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @lucykiruki4439
    @lucykiruki44394 жыл бұрын

    Great and true son of Africa! Caring and sorting out wananchi’s issues. Tanzanians are truly blessed

  • @kelvinbalama7521

    @kelvinbalama7521

    3 жыл бұрын

    Umeonaa eeee!!! But today we haven't

  • @damariam7497
    @damariam74974 жыл бұрын

    Mungu akuweke Magu, ww ni jembe Tanzania mjivunie mumshike kabisa💛💛💚💚 Kenya tunampenda sanaaaaa!!!

  • @givenlaudenmwamasage5057

    @givenlaudenmwamasage5057

    4 жыл бұрын

    Asante dada hili jembe kwelikweli halipingiki rais miaka mia

  • @starlonejadamskp8224

    @starlonejadamskp8224

    4 жыл бұрын

    👏🏻👏🏻👏🏻

  • @ruthnjau

    @ruthnjau

    3 жыл бұрын

    🥺

  • @damariam7497

    @damariam7497

    3 жыл бұрын

    @@ruthnjau Ndo ivyo hatuna budi Mola kampenda zaidi...Mola awape nguvu wa Tanzania..😢😢😢

  • @kelvinbalama7521

    @kelvinbalama7521

    3 жыл бұрын

    Yani watu Leo ndo wanakumbuka daa we are so sad Tanzanian

  • @faridadudu3178
    @faridadudu31783 жыл бұрын

    napita kwa majonzi 😭😭 baba umetuacha bado tunakuhitaj ,mbele yako nyuma yetu😭😭😭

  • @fababindawood8363
    @fababindawood83634 жыл бұрын

    Yaani me nataman angekuwa Rais mpk Zanzibar 🙏🙏🙏💪💪💪💪

  • @mahmoudaziz4717

    @mahmoudaziz4717

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa.

  • @kelvinbalama7521

    @kelvinbalama7521

    3 жыл бұрын

    Is your present too

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336

    @abdullaabdullahmpakanjia2336

    3 жыл бұрын

    Mijichoyo

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga12474 жыл бұрын

    Yani wapendwa kwa wananchi mh rais Wetu tulitakiwa tumpe miaka 20 huyu ndie tunayeona anaweza kuisukuma tz kwenye maendeleo ya kasi tuliokuwa tunahitaji jpm safiiiii Mungu akupe maisha marefuuuu jpm wetu

  • @jumajuma7658

    @jumajuma7658

    4 жыл бұрын

    JPM OYEEEEE

  • @rukiaaisu2309

    @rukiaaisu2309

    4 жыл бұрын

    Yani unawazo kama langu huwa naongea kila siku wallah tungefika mbali sana

  • @nsarilema9580

    @nsarilema9580

    3 жыл бұрын

    haya muongezeeni miaka 100 kabisa

  • @ashuraissa7044

    @ashuraissa7044

    3 жыл бұрын

    Tulikupenda Sana baba yetu ulitupenda Sana haukubagua baba lala salama mungu akuangazie mwanga wamilele 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej94 жыл бұрын

    Anaemuona mkurugenzi anatamani ardhi ipasuke alike hapa

  • @husnasalim5739
    @husnasalim57394 жыл бұрын

    YANI MM UWA NALIAA KWA FURAHA NIKIMUONAGA UYU RAIS

  • @anahna6788

    @anahna6788

    4 жыл бұрын

    UNA PENDA NA UNA MAPENZI YA DHATI KWAKE

  • @neck0410

    @neck0410

    4 жыл бұрын

    Safi

  • @mjerumaninyandu7655

    @mjerumaninyandu7655

    4 жыл бұрын

    Aloho kweli namkubali sana

  • @arkadimakona2113

    @arkadimakona2113

    4 жыл бұрын

    @@anahna6788 the

  • @josephatwilson9845

    @josephatwilson9845

    3 жыл бұрын

    Pumzika kwa Aman baba ,tutakukumbuka sana kwa uchapaji wako wa kazi na kumjali myonge

  • @remenmunis7729
    @remenmunis77294 жыл бұрын

    Huyo jamaa anajua kujieleza sana Excellent

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85544 жыл бұрын

    Km umesikia asalamu allekum like hapa

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47414 жыл бұрын

    Asante Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏🙏🙏

  • @deserttv_tz2655
    @deserttv_tz26554 жыл бұрын

    👏👏 huyu ndo rais tunayemtaka, mwenye vitendo vingi kuliko maneno, naamini mungu alimuandaa kwa ajiri ya taifa hilii🙏🙏 watanzania tunapaswa kujivunia sana❤️❤️❤️

  • @ashamapembe6273

    @ashamapembe6273

    4 жыл бұрын

    Mno!

  • @jeradiakiyoo4677

    @jeradiakiyoo4677

    3 жыл бұрын

    hahaha

  • @damariam7497

    @damariam7497

    3 жыл бұрын

    Wallahy nimeamini chema hakidumu...😭😭😭 Mola awafariji ndugu zangu

  • @florakiondo8557
    @florakiondo85574 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtu wa Mungu

  • @masengosamuel3817
    @masengosamuel38174 жыл бұрын

    Pande za burundi tunawafuatilia na poleni sana kwa msiba uliwo wakuta.millard

  • @gabinnshimirimana683
    @gabinnshimirimana6834 жыл бұрын

    🇧🇮Can we make Mr John Pombe Magufuri the African President? He just does things different from other leaders. Tanzanians should be proud of him! 🇧🇮

  • @nice4really503

    @nice4really503

    4 жыл бұрын

    Mtamuua ubongo jaman🙄

  • @erickossen6378

    @erickossen6378

    4 жыл бұрын

    we are proud indeed

  • @josephatwilson9845

    @josephatwilson9845

    3 жыл бұрын

    And now he is not live😭😭😭😭 great loss to our country

  • @aliandrew3537

    @aliandrew3537

    2 жыл бұрын

    Wanafki wameungana Na mabwenyenye wajamfikia kum'maliza

  • @billyisadia5651
    @billyisadia56513 жыл бұрын

    The late just went back to where he belongs, really. Where truth & justice prevails, in heaven

  • @nassirabdi6360
    @nassirabdi63603 жыл бұрын

    A true pan africanist jpm was an example for us all......Africa loves and misses you......rest in peace.

  • @MaaneML
    @MaaneML4 жыл бұрын

    Yaani mimi nikimuona huyu Rais naona tu maisha ya watanzania yakibadilika tu. Nilikata tamaa na nchi hii kipindi cha mafisadi nikawa naongea hivyo mpaka nikadhaniwa pengine Mimi ni mpinzani. Kumbe tu ni maumivu ya wizi na ufisadi uliokuwa unafanyika. Yaani ninatamani utuongoze term hata 4 mpaka uzeeke kabisa.

  • @tumainimbati9789

    @tumainimbati9789

    4 жыл бұрын

    Mimi kama mm huwa namuomba Mungu amsimamie Rais wetu mpendwa kwa kila akifanyacho kiwe chema kama vile anavyoendelea kutenda wema na hata kama atakataa kuongeza mda wakuongoza maombi yangu yaende kwa Kasimu majaliwa majaliwa awe Rais wa nchi maana mengi anayajua sana nchi hii tukiwapa wajinga wajinga wasiyojielewa kama wakina lissu wanaosifia ya nje kuliko yakwako ni utoporo

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    4 жыл бұрын

    Ni kweli Anna Lyimo. Inabidi tulinde na kumwombea

  • @neck0410

    @neck0410

    4 жыл бұрын

    Sawa

  • @mamavero4004

    @mamavero4004

    4 жыл бұрын

    Mm sijawahi piga kura ila mwaka huu nitaamka saa kumi ya usiku niko kituo cha kupugia kura

  • @kelvinbalama7521

    @kelvinbalama7521

    3 жыл бұрын

    Ni real but u see today

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91564 жыл бұрын

    Halafu munataka kutuletea sijui tundu lissu sijui membe sijui zitto kabwe sjiui upuuzi gani hawataweza kufanya haya ya magufuli

  • @ummymohd7570

    @ummymohd7570

    4 жыл бұрын

    Kwa kweli

  • @lujanimboje3935

    @lujanimboje3935

    4 жыл бұрын

    Hahahahaa

  • @tiktoktdmdynamo3100

    @tiktoktdmdynamo3100

    4 жыл бұрын

    Kimsingi hauwezi kusema ivo kwa sababu toka nchi umepata uhuru ni chama kimoja tu ndo kimetawala

  • @depaolo3461

    @depaolo3461

    4 жыл бұрын

    @@tiktoktdmdynamo3100 chama sio tatizo ila tatizo ni kiongozi

  • @husnasalim5739

    @husnasalim5739

    4 жыл бұрын

    Akuna anaweza mambo kama anayofanya MH JONNY POMBE MAGUFUL vyama sio sababu kikubwa uchapaji wa kazi uyu ni mfano kwaafrica mzima

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti2494 жыл бұрын

    Kuna watu wanaroho mbaya sana...utasikia Magu anatumia pesa za wanachi vibaya....Ahsanteee Uncle JPM. Mungu akubariki akupe afya njema.

  • @sylvestersimweka6643

    @sylvestersimweka6643

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @melissateddybearcossan9506

    @melissateddybearcossan9506

    4 жыл бұрын

    Watajiju wananchi ndio wanazitaka siyo yeye atajirike peke yake kama waliopita

  • @joackimmapunda4697
    @joackimmapunda46974 жыл бұрын

    Et " alo masela " ila magufuli more love kwako

  • @deodatusmdaku2226
    @deodatusmdaku22264 жыл бұрын

    Gari ya mkurugenzi iwe ambulence 🙌🙌🙌

  • @godrivermussa6797

    @godrivermussa6797

    4 жыл бұрын

    😀😀😀😀yan nimecheka kwa sauti aisee

  • @barakaben7902

    @barakaben7902

    4 жыл бұрын

    Yaani mimi sina mbavu maana zinauma kwakucheka na mshituko

  • @eliazephania7633
    @eliazephania76334 жыл бұрын

    Acha na watambe na watu wasio wapiga Kura sisi raisi wetu ndo huyu

  • @oscarkasalile8370
    @oscarkasalile83704 жыл бұрын

    Mzee wewe huna mpinzani Tanzania hata Duniani, mungu akulinde

  • @sophiasophia6945

    @sophiasophia6945

    4 жыл бұрын

    Apate wapi mpinzani

  • @roselugendo6943
    @roselugendo69434 жыл бұрын

    Asante Rais. Pole na safari yakwenda kumuhifadhi ndugu yetu, baba yetu mzee mkapa .

  • @missmoona4497
    @missmoona44974 жыл бұрын

    Hahahaaa bb huyu ni mjanja hatar hiyo nimewaelewa maana yake kuna watu wajipange kutumbuliwa wallah

  • @justinwambua5180
    @justinwambua51804 жыл бұрын

    Tuleteeni huyu kiongozi hapa Kenya, hata sisi tunakupenda hapa kenya

  • @justinwambua5180

    @justinwambua5180

    4 жыл бұрын

    @Zawadi Issa anakunywa sana huyo pombe wenu

  • @kezahabiba5554

    @kezahabiba5554

    3 жыл бұрын

    Wamlete kwanza Uganda duh

  • @justinwambua5180

    @justinwambua5180

    3 жыл бұрын

    @@kezahabiba5554 Uganda mko sawa nyie. Lifetime president

  • @agnesgervas8070

    @agnesgervas8070

    3 жыл бұрын

    Kila nikiona comment zenu nalia tu naona jinc gani mlivyokuwana upend nchi jirani natamn ingekuwa ndoto tu hii kwtu

  • @justinwambua5180

    @justinwambua5180

    3 жыл бұрын

    @@agnesgervas8070 You should have given us Magufuli on loan for one term. This is the only president every person in Africa was following closely, the rest are useless. May he rest in peace, we loved him.

  • @youngpesa3744
    @youngpesa37444 жыл бұрын

    asante mung kwa kutupatia uyu rais asante baba magu kura yang iyooooooooh!

  • @marchymaziku6234
    @marchymaziku62344 жыл бұрын

    Magu nenda kaamulize kagame anatumia katiba gani inayo mfanya atawale rwanda mda mrefu hivi Harafu njoo itumie huku😁😁😁

  • @fatmayussuf4760
    @fatmayussuf47604 жыл бұрын

    Na sisi tunakupenda sana raisi wetu

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel66794 жыл бұрын

    Mungu azidi kukulinda Baba yangu, na Rais wangu

  • @ntamukunzimodeste4876

    @ntamukunzimodeste4876

    3 жыл бұрын

    Mungu azidi kukulinda baba yangu

  • @presseg.6362
    @presseg.63624 жыл бұрын

    Bwana akubariki Sana

  • @doramkolo1745
    @doramkolo17454 жыл бұрын

    Am proud of my president kwakweliii💃💃💃💃💃💃💃

  • @teresaonduko4443
    @teresaonduko44434 жыл бұрын

    Natamani kuhamia Tanzania 💕

  • @pascoalphonce2911

    @pascoalphonce2911

    4 жыл бұрын

    Karibu sana Tz, hata ukija kuolewa tu huku Tz tayar umekuwa Mtanzania....Karibu sana

  • @barneymunuo5659

    @barneymunuo5659

    4 жыл бұрын

    Karibu mama Mimi mwenyewe sijaoa nikikuoa utakua mtanzania kabisa hatunaga tatizo na wageni sisi karibu sana

  • @kelvinbalama7521

    @kelvinbalama7521

    3 жыл бұрын

    Jaman pole Sana but today we haven't our president it's soooo sad

  • @reubenismail3672
    @reubenismail36724 жыл бұрын

    Daaa!kweli huyu hakika ni baba aisee anaongea kwa uchungu pia hapendi kabisa vurungu!amani ndo kila kitu

  • @nakalikyumile4370
    @nakalikyumile43704 жыл бұрын

    Nchi hii magufuli atachoka!yaani yeye pekee ndo anahangaika na kero za wenye nchi!wasaidizi wake wote ni wazembe

  • @barakaben7902

    @barakaben7902

    4 жыл бұрын

    98% ni majipu sana

  • @amonsanga1866
    @amonsanga18664 жыл бұрын

    Mh wangu nakuelewa sana haijawahi kutokea na haitatokea kupata Rais kama huyu Mungu akulinde utimize ndoto zako mh

  • @christinakomba4826

    @christinakomba4826

    4 жыл бұрын

    Amwekee wigo wa moto wala adui hasimkaribie siku zote za maisha yake !! Amina

  • @mustafagaula3166
    @mustafagaula31664 жыл бұрын

    Msimfananishe huyu MWAMBA na vitu vyenu vya kipumbavu! Heti sijui Tundu, sijui Tobo....! Tumuache huyu king atufanyie kazi.....!

  • @victorjidinga9743

    @victorjidinga9743

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @hadijamatola5230

    @hadijamatola5230

    4 жыл бұрын

    Eti tundu jamani nimejuwa kucheka 🤣🤣🤣😂😂

  • @dayana5513story

    @dayana5513story

    4 жыл бұрын

    😀😀

  • @amouramour9712

    @amouramour9712

    4 жыл бұрын

    h

  • @nice4really503

    @nice4really503

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣tobo 🤣🤣🤣🤣

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10304 жыл бұрын

    Hata sisi tunakupenda sana sana Rais wetu. Watanzania wote wazalendo tunakupenda sana.

  • @haroungallus4480

    @haroungallus4480

    4 жыл бұрын

    Thou inpm

  • @haroungallus4480

    @haroungallus4480

    4 жыл бұрын

    L

  • @rehemajoseph33
    @rehemajoseph334 жыл бұрын

    mkuu mungu akulinde awe nawe kila hatua unayo piga akuongoze

  • @muhubirirwesapaul3150
    @muhubirirwesapaul31504 жыл бұрын

    Nakuombea amani na maisha meme kwawa Tanzania wote. Mungu akujalie Mh Rais Magufuri

  • @maxgwaho2268
    @maxgwaho22684 жыл бұрын

    Kwel kuwa Rais sio mchezo mpka unaweza kulia

  • @rosemasunga5209
    @rosemasunga52094 жыл бұрын

    Magufuli baba Wa wanyonge tunakuelewa baba God bless you baba!!!

  • @paulina.baynit7970
    @paulina.baynit79704 жыл бұрын

    Naomba muheshiwa Rais upitie kwenye wilaya nyingi za nchi hii kunauozo wa hali ya juu. Kuna halmashauri za wilaya nyingine utafikiri siyo Tz.ufisadi usiseme unavyo shamiri. Mungu akubariki sana Rais wetu. Magufuli hoyeee!

  • @edwinsima260
    @edwinsima2604 жыл бұрын

    Daaaa!!!! my present uko vizuri sana baba

  • @mariamkheri8138
    @mariamkheri81384 жыл бұрын

    Nampenda sana jamaniii huyu baba mmmh we acha tu

  • @emanuelseka7581
    @emanuelseka75814 жыл бұрын

    You're the best

  • @juniorlaban2078
    @juniorlaban20783 жыл бұрын

    Rip president magu u are a hero Kenya I wish we could see this happening n our country u were blessed Tz

  • @enezachauka7620
    @enezachauka76204 жыл бұрын

    Safi Mr Miayo, Magu co p kaka, RAIC NO1 TZ MWENYE MCMAMO

  • @sylvestermhojaaron9659
    @sylvestermhojaaron96594 жыл бұрын

    Mkurugezi atembee kwa miguu, wagonjwa wapande gari, hadi raha

  • @barakaben7902

    @barakaben7902

    4 жыл бұрын

    Yaani inashangaza na kusisimua

  • @goodluckkigwenenge8953

    @goodluckkigwenenge8953

    3 жыл бұрын

    @@barakaben7902 amina

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj19 күн бұрын

    Kama na wewe unapitia video zote za Jpm chuma tangu atutoke gonga like

  • @samiahkhalfan9091
    @samiahkhalfan90913 жыл бұрын

    Ahsante Baba, Mungu azidi kukuongoza na kukusimamia katika kuliongoza Taifa letu. Ahsante Mungu kwa kutuletea mtetezi wetu

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96324 жыл бұрын

    Theirs is no any president in all Africa’s continents like MAGUFULI 👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽who work hard and caring his peoples🪐🌎🙏🏽👏🏽☝🏽👌🏽👋🏽

  • @joshuasila9548

    @joshuasila9548

    4 жыл бұрын

    Huyu diye president namtambua injini

  • @jacobmwaluanda6960

    @jacobmwaluanda6960

    4 жыл бұрын

    Yes yes

  • @hassanparamana2215

    @hassanparamana2215

    4 жыл бұрын

    we are like so much our president 💚🇹🇿

  • @dismasstanslaus5985
    @dismasstanslaus59852 жыл бұрын

    Wangapi wanaamini hapo watu hawamuombi Mungu ,ndomaana shetani kawaziba watu wote hadi viongozi ,kama menielewa nipe like

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62534 жыл бұрын

    Hahahaha dah Magu nooma,Mungu akutunze baba

  • @CyimSky

    @CyimSky

    4 жыл бұрын

    Wasukuma ndio kabila linaloongoza kwa upole/iko hivi kabila hili ni kubwa ...... kzread.info/dash/bejne/ZJeer8htopvHXZM.html

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    4 жыл бұрын

    @@CyimSky ACHA UKABIRA ww

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    @@CyimSky acha UNGESE uo

  • @yohanaanthony3422
    @yohanaanthony34224 жыл бұрын

    Hata Kama Rais ataagiza uachwe upite uende kwake lazima walinzi wakukague kague

  • @junioryasin5306

    @junioryasin5306

    3 жыл бұрын

    Lazma maana watu wamevaa ngoz ya kondoo kumbe ni chui

  • @ivonafrance8805
    @ivonafrance88054 жыл бұрын

    Sina cha kuongeza zaidi ya kuzidisha maombi ya uzima wenye afya na baraka tele kwako rais wa wanyonge mungu azidi kukuweka

  • @officialnaa8470
    @officialnaa84704 жыл бұрын

    Yani Rais oyee ccm oyeee ubarikiwe baba

  • @ibrahimmungure4749
    @ibrahimmungure47494 жыл бұрын

    Hapa kazi tu.

  • @irenenyambeki3094
    @irenenyambeki30944 жыл бұрын

    Nakupenda sana raisi

  • @lamynlogan9599
    @lamynlogan95993 жыл бұрын

    Matatizo makubwa. Kumpata tena kiongozi kama huyu ni ndoto za mchana. Amesawazisha mambo mingi. Lala salama baba tutakukmbuka daima. Umetuliza sana baba.

  • @ramadyzo5587
    @ramadyzo55873 жыл бұрын

    Twaku kukumbuka kwamazuri mungu akupe maisha yalio mazuri uko uliko

  • @ruthnjau
    @ruthnjau3 жыл бұрын

    Safiri salama JPM🥺

  • @hassanbashir7104
    @hassanbashir71043 жыл бұрын

    Tume mpoteza kiongozi tumempoteza simba wa African emwenyezi mungu utusaidie

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96324 жыл бұрын

    Raisi Wa mapezi n’a upending kwa ichii Yake n’a population yake

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein43114 жыл бұрын

    Chuma makufuli auna haja ya kupiga kampeni pesa ya kampeni peleka ktk miradi ya maendeleo kura tumeisha kupa siku nyingiiii

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo78804 жыл бұрын

    Asante Mungu kutupatia Raising huyu mwenye kumtanguliza Mungu

  • @sisdell1779
    @sisdell17793 жыл бұрын

    Mungu haachi kizuri chake kiharibike,pumzika babaa... One love🇰🇪

  • @albeleenalberto158
    @albeleenalberto1584 жыл бұрын

    Bora huyo alievaa miwani maana akipepesa macho haonekani

  • @felistermbua4703

    @felistermbua4703

    4 жыл бұрын

    Hahahahahahahahaha mamamaaaaaa mbavu zang

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp82244 жыл бұрын

    Hapa Kazi2 🔥 🔥👏🏻🇹🇿

  • @ndiiyolazaro769
    @ndiiyolazaro7693 жыл бұрын

    Hatukonae tena JPM😭😭😭😭😭😭😭

  • @hddhhddhdhhd7466
    @hddhhddhdhhd74664 жыл бұрын

    asante magufuli Mungu ngu akutunze

  • @jokeableking7039
    @jokeableking70394 жыл бұрын

    Ni Rais gani mwingine anayetoka kuzika na kuanza kuchapa kazi kama kawaida Africa nzima??????

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    Mwingine angelala mwezi kuomboleza😁😁😁😁

  • @jokeableking7039

    @jokeableking7039

    4 жыл бұрын

    @@ilovejesus9303 ukiona hvo ujue thawabu haitokei Mara mbili

  • @magdalenekessy9651

    @magdalenekessy9651

    4 жыл бұрын

    Ni mzee wa hapa kazi. Tu

  • @leoncenondo

    @leoncenondo

    4 жыл бұрын

    Huyo ni msaada toka Mungu, kwa wa TZ . Na nina amini kwa Africa mzima.

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    4 жыл бұрын

    Utasikia siku saba za maombolezo hahahah...ahsante uncle Jpm.

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff4 жыл бұрын

    Tunakupenda BABAETU na tunajua sisi Tz sio maskili ila tulikua tunakandamizwa lkn BABA wewe MUNGU akulinde sana

  • @robertsabuni7752

    @robertsabuni7752

    4 жыл бұрын

    Safi sana

  • @mimitijara4806
    @mimitijara48063 жыл бұрын

    Haki watanzania uta kosa lulu yenu imerudi kwa mwenyewe mungu m7mba will mss u alot

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309Ай бұрын

    Hongera sana bro mwenye umevaa kofia 🎉😂 walahi

  • @kimanijohn9529
    @kimanijohn95294 жыл бұрын

    Magufuli hoiyee

  • @levinareuben
    @levinareubenАй бұрын

    Pumzika kwa amani Baba yetu mpendwa JOHN MAGUFULI.

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay59743 жыл бұрын

    Makufuli baba ulale salama na mungu akumpunguzie adhabu yakaburi😭😭😭😭😭

  • @raidondecko5059
    @raidondecko50593 жыл бұрын

    siasa za enzi za nyerere kipind cha giza watanzania niwaelewa wana tumia jicho la tatu kukuelewa

  • @dansafari6434
    @dansafari64343 жыл бұрын

    my all time prezo, nahamia TZ

  • @ArafaManda
    @ArafaManda14 күн бұрын

    Aliemsikia mzee magu akisema "Hawa Pumbavu sana" agonge like jamani huyu baba alikuwa anaongea kwa hisia

  • @rechrontv2453
    @rechrontv24534 жыл бұрын

    BIASHARA 8 ZA KUFANYA CHUONI (gusa link 👇👇👇 kutazama) kzread.info/dash/bejne/lJmet6aDe7XHYJM.html

  • @ashamtambo8854

    @ashamtambo8854

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭dah baba umetuacha

  • @mohamudismail9177
    @mohamudismail91773 жыл бұрын

    Kwani mafuriko ya maji yanatoboa mabomba ya chini? mbona hata mimi sielewi.Asante baba..sote hatuelewi,,mungu Akuweke pema.AMIN

  • @elizambilinyi2880
    @elizambilinyi28804 жыл бұрын

    Mungu akulinde Rais wangu

  • @alexlyamsema2725
    @alexlyamsema2725Ай бұрын

    2024 RIP our Icon of a leader 😢😢

  • @richardbosire510
    @richardbosire5103 жыл бұрын

    Everyday I like watching Rais Pombe

  • @nassirmasoud6097
    @nassirmasoud60974 жыл бұрын

    Tunampa kura 5 tena Magu

  • @jastenzabron5979
    @jastenzabron59794 жыл бұрын

    Mugufuli wengi tunamatatizo katika kiwanda chadangote tunamatatizo mengi njoo utusaidie

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi14184 жыл бұрын

    Mimi nitaolewa wakati magu akistaafu maana sasa hivi najiona nipo na baba home kwa jinsi alivyotuchemsha ubongo asante sana mjomba jj

  • @akiikilongo5691

    @akiikilongo5691

    4 жыл бұрын

    Njoo mimi takuoa ila tuanze uhusiano xxhv😂😂😂

  • @salummigezo3729

    @salummigezo3729

    4 жыл бұрын

    Njoo nkuoe

  • @livingeb5052

    @livingeb5052

    3 жыл бұрын

    Aaaya ameshaondoka ssa inakuaje??? Pole ndgu angu

  • @goddaudi1023
    @goddaudi10234 жыл бұрын

    👍👍👍

  • @leahlutonja400
    @leahlutonja4004 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukulinda daima

  • @christophermasese4179
    @christophermasese41794 жыл бұрын

    Kwa mtanzania mpenda amani anakuelewa mh lakin wapenda vurugu hawatokuelewa piga kazi baba mungu azidi kukuongezea cku tunakuombea

Келесі