KIMEUMANA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA - "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
Ойын-сауық
KIMEUMANA KIGOMA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
Waziri Mkuu amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
Пікірлер: 319
Waziri mkuu nakupa ongera kwa kazi nzuri pia enderea kutetea wanyoge pia nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu pia akujalie nguvu na afy
Yaani hao watu hawana upendo kutoka moyoni wala hofu ya Allah hiyo ndio shida kubwa inayotokea.
Baba, Majaliwa Mungu akulinde,unanifanya nimkumbuke MAGUFULI it ko vizuri, wewe, makonda mko vzr
bravo mh Waziri mkuu your the best hongera kwa Mh dr mama Samia your the best lakini ni heri kusiwe na wateule bali nafasi za wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa ziwe nafas zinazotangazwa na watu wa apply kama kaz zingine kisha tunaomba wafanyiwe vetting wapimwe na akili vizur pamoja na shule zao na uraia wao kisha wajadiliwe bungeni then waapishwe naona ikiwa hv ndo wataheshim mali na heshima ya serikali
Uwe raisi nakuchaguwa km magu daah!unatukumbusha mtu wetu,mungu alaze mahalo pema peponi Amin.
@blandinamwarabu5025
9 ай бұрын
Yes yes
Mkuu wangu waziri mkuu Mungu akubarii sana,siamni masikio yangu ninayoyaona na kuyasikia Mungu ameanza kujibu usiogope Mungu anakulinda
Tunakuamini sana waziri mkuu wetu hakika wewe ni jembe letu ahsante Mungu akujaze daima AMEN
Mhs,waziri mkuu,pole na majukumu,pia hongera kwa kazi unazo zifanya tunazojua,njoo tarime nikero tanesco hasa pale hitirafu zaumeme zinapotea jitokeza,mfano mita kutoka peleka umeme kwenye nyumba ya mtena,unaomba msaada kulekebishiwa,inakuchukua ha wiki hata mbili mteja ukiwa ngiza,sasa wateja ndio wapande kwenye nguzo kulekebisha tatazo tusaidie tarime kweli nishida
Wamejazana tu maofisini kaxi haxiendi hivi kweli wilaya moja wafanyakazi tele wanacho kifanya hakionekani ukweli hii ni shida kubwa mno.
Hongera sanaa waziri mkuu kwa kutetea kodi za wananchi
Mh ,hata bukoba mjini Sehemu ya kyabitembe block A majambazi yamezidi watu wanavamiwa nakubakwa,na hawaogopilolote maana hakuna msaada wowote kuwasaidia wa wananchi
Huyu ndiye MAJALIWA niliyemfahamu kipindi cha Mzee MAGU ameanza kurejea tena
@shinipapaya846
10 ай бұрын
Siku hizi nimeishiwa na uwaminifu wake RIP mzee baba Magufuli hii awamu ni pacha na ile ya awamu ya 4 yaani fuulu MAJANGA lakini kwa mbali naona kama wanajilipa kiana kutokana na machungu ya msiba wa mzee baba MAGUFULI usiokuwa na maelezo ya kutosha kwa watanzania #etianaupigamwingi 🤣🤣
My hero Allah hakupe maisha marefu Ameen
Magufuli wangu ,Majaliwa wangu raisi wangu, ❤❤❤
Hawa watu wanapokutwa na makosa wawe wanawekwe ndani kwanza, kisha wafilisiwe,shida ya nchi yetu imekuwa ikiwahamisha na kuwapangia maeneo mengine ya kazi utafikili uko waendako hawata iba tena,suluhisho la kukomesha wizi ni kuwafilisi na kuwafunga ili wenye tabia izo wajifunze kuwa waadilifu
This is too hot,, Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi wetu waaminifu, mna kazi ngumu sana
@nehemia397
4 ай бұрын
kazi ngumu si wamejipa wenyewe. mfumo wa CCM ni mbovu .
WAZIR MAJALIWA NAWEW NIMSANII MTU UNAONA KOSA ALAFU UNASEMA ACHUGUZWE NAWEWE JITASIMINI
Mungu atusaidie jaman
Hawa wote ni chukota na Kusukuma Ndani. 😢😢😢 Sauti ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry
Kelele zote hizo tunataka utekelezaji wa atua wanao chelewesha acheni siasa kuwapanga watu
Hafai hasimamii na Wala hafuatilii huo ni uzembe
Ipo haja ya kuongeza uwezo wa kiutendaji katika Tasisi ya TAKUKURU ili kurahisisha kasi ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma zinazokasimiwa kwa ajili ya miradi mbalimbali nchini.
Baba unastairy mh waziri mkuu na mungu akusaidie
Hongera waziri mkuu hao ndio wanaotugombanisha na wananchi na kuwapanguvu wapizani
Ndo mfumo wa ccm mliojijengea wa kuacha fedha za serikali maofisn Ili mgawane IPO ck Mungu aliyehai atawalipa tu rushwa tu
Hamnaaa kitu hapo mkuu viongozi hawa naona waka risti
Hawa munawalea sana pesa wanajikopesha wanafanyia biashara kama ukisinzia kama alivo sinzia mama wanazila
Walishaambiwa na mamaenu samiah kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake lakini asivimbiwe
@awadhally1052
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@shinipapaya846
10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
Asanti sana waziri kwa kazi mzuri ni wachache wanaofanya hivo
Tumbua hao sasa hivi.washenzi sana hao. Mh. Majaliwa tunakuamini.
Tatizo ni mfumo wa uteuzi.kujuana,acha waibe tuu .mama anawachekea,
Pesa ya Miradi inaliwa na Watendaji waliochaguliwa na Serikali yake pia Fedha ya kutoka kwa Wafadhili zinawekwa Mifukoni mwao sababu ya ukosefu wa uaminifu wa Watendaji wafanya kazi pole sana Serikali iliyoko Madarakani
Asante baba
Serikali yetu Tukufu ya Chama chetu cha Mapinduzi,inatekeleza ilani ya Chama sawa sawa.Na inalekeza fedha kwenye miradi mbali mbali Nchini,yenye dira ya kuleta mabadiliko ya Nchi yetu.shida ni kama hao watendaji wasio waadilifu kwenye hizo Halmashauri.Mheshiwa Waziri Mkuu wabane hao.Na Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuwafuatilia.
Tatizo hakuna hatua inayochukuliwa,fanyeni Kama China,kipindi cha Magu wanatumbuliwa hadharani haki za binadamu walikuja juu,lakini hela zinavyoibiwa wako kimya Kama vile hawapo
@mimiraia2531
10 ай бұрын
Haki za BINADAMU ni Magenge yenye ufadhili wa wazungu kutuvuruga tu
Maelezo waliotoa ni ushahidi tosha hela zimeshatafunwa jaman hivi nchi hii tutafika kweli watu hawaogopi pesa ya umma wanazitafuna Kama zao yaani ningekuwa mm waziri mkuu nikukamata tu na kuwaweka ndani Kwanza alafu maelezo badae hapo hela zimetafunwa
Wamejichanganya sana wangekuwa uniform wangetoboa hapo
Mtupe sisi huku tunataka kazi tutalitumikia Taifa ipasavyo!!
Wizi wowote unaofanyika kwenye harlimashauri zetu ni zao la wizi unaoyokana na serikali kuu.Kama mawaziri wanaiba mabilioni na hakuna aliyesjtakiwa na kirudisha hizo pesa unadhani huku chini hawapendi hizo pesa?
@blandinamwarabu5025
9 ай бұрын
SERIKALI KUU MJICHUNGUZE HELA INAPIGWA JUU KWA JUU
@leokamil6284
4 ай бұрын
Exactly migao haianzii chini
Yani viongozi kama waziri mkuu mi nawapenda sana tena sana
Ccm mmeshindwa kuendesha nchi u must go.
KWA KAZI NZURI YA WAZIRI MKUU KAMA HII UOVU KAMA KAMA HUU UNAWEZA KUKOMA KABISA. HONGERA WAZIRI MKUU KWA KAZI NZIRI SANA!!!
Ongeren sana kiongoz tfikie na kwetu Bukoba Vijjn muone
MUHESHIMIWA WAZIRI MKUU MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI WA KILA JAMBO LAKO LIWE JEMA AMINA FANYA KAZI NA UJE VIKAWE WILAYA KIBAHA MKOA WA PWANI KARIBU SANA KUNA MAUJENZI UYAANGALIE HUKU NAKUOMBA
Katika uongozi wa sasa kuna madudu San watu hawatumbuliwi kabisa watu hawana hata hofu
Sio ukweli ni kneels tu
Hongera wew ndio raisi wa ichi hii
@robertphilip385
10 ай бұрын
Hamna kitu ccm wameshafeli
@awadhally1052
10 ай бұрын
Kwel
Baba hongera kwa kufichua kuna uozo mwingi upo umejificha
Wetu wanailaumu serikali kumbe kuna watendaji wazembe wanaiba vibaya mno miradi haikamiliki aisee 😢hii ni hatari 😮
Shida ni nyinyi viongozi wa juu hizi pesa mukitowa munatosa kisiri bila cc kujua
Mlisema jpm alikuwa dikteta. Mtaendeleaje na wakurugenzi wa namna hiyo. Watu wanastahiki kufungwa maisha. Bila udikteta nchi haiendi. Angalia China hata kainchi kama Rwanda. Mambo ya haki za binaadamu na ushoga ni ugoro mtupu. Wanatunza fedha wakingoja mianya ya kuzipiga. Ongeza ukali Majaliwa tuko nyuma yako.
Hivi angela kairuki alikuwa anafanya nini hapo Tamisemi haya mama kampeleka utalii kwaniblazima awe waziri? Ndo mana wanaboronga wanahamishwa
@leokamil6284
4 ай бұрын
Shida hiyo ndio inayofanya nchi hii haiwezekani kupiga hatua kuna Mawaziri mizigo ila wanabebana sijui kunasiri gani humo?.Watanzania wengi wamehitimu hawana kazi ila hichi chama kina Recycling hao hao mtu hafanyi kazi haoneshi maendeleo mazuri lakini atatolewa pale aletwe hapo sijui maana yake ni nini.Ndio maana hali ya nchi mbaya mbaya mno
Mungu azidi kukulinda baba... Mhshmw Majaliwa na Makonda majembe ya mama yetu Samia
Mlikua wp wote kumbe n wazur ivo ❤❤❤❤ majaliwa
Sheria ya kunyonga wanaochezea pesa za uma itungwe na isimamiwe ipasavyo nchi hii itaendelea haraka tofauti na hapo maendele tutayaona kwenye tv.
@khadijayusuph2634
6 ай бұрын
Mh kwa Hali hii"😮mkaguzi wa hesabu jiandae na upotevu wa matilioni! Kila siku upotevu😮hivi Kuna siku zitarudi!!?
Mzee wanawaona wananchi ni manyani mkuu pesa za walipakodi zanaliwa tu
Kukamilika ujenzi hapo hakuna.Mhe.
Tutamkumbuka sn Magu watu wanajilia tu vya wananchi huku mishahara wanapata kubembelezana kwingi sn hamna kitu hapo Waziri mkuu komaa nao mbele hao niwapigaji
Hao ni wezi hata maelezo hayatoshelezi kamata hao hela wameshakula hapo hakuna hela hela za umma zinaliwa tu
Tatizo wanaogopa kupitisha madokezo kwa sababu hawaaminiani kila mtu anahisi anapigwa😢😢😂
Natamani mama Samia 2025 angeacha huyu mwamba agombee, sio Sheria lakini huu ni mtazamo wangu tuu.
Nataman mwaka mmoja uwe Rais wa nchi hii
Majariwa makonda mmepikwa mmeiva.. vizuri. Bado kwenye maamuzi toa uyo weka mwingine
Wazuri mkuu na matehemu magufuli ww jembe kama Mzee maguu bc unastahilu kuwa kiongozi Bora ndani ya nchi yetuu
Walitoa hela ya Halmashauri kwenda Shuleni alifuatilia lakini kuna shida
Shida vikao vya ndani,hebu fanyeni kama makonda,malizana nao hapohapo waludishe hera sio mahakaman hela mliikabidhi mahakama,basi hata hela muwemnawakabidhia mahakaman.acheni kutuinyoyi.
Mhe waziri mkuu futa kazi hao hata Mungu alimfukuza adamu baada ya kushindwa kutii maagizo ya Mungu wafuteni kazi hawajui wajibu wao
Kupitisha Dokezo ni kikwazo yaan halmashauri wanasumbua hatari ndo maana mtu hadi unachoka ase
Muheshimiwa waziri Mkuu piga kazi kusaidia Raia wako .Hawa watumishi ndio unao wafanya wananchi kulalamikia serikali .muheshimiwa waziri Mkuu awo usiwaonee huruma ,W aziri wapo Watanzania ni wengi sana ambao.wangeiweka serikali Katika maendeleo.Waziri Mkuu naomba wasikuzingue Watanzania ninawafahamu sana tu wanalamba tu fedha .Je muheshimiwa sentiment ziko ngapi .wangine fedha zipo wengine hazipo.Waziri nakuomba usipoteza na sauti yako muheshimiwa .piga kazi muheshimiwa nimekupongeza sana juhudi zako.ujumbe utoka nje ya Tz
Kuna nafasi zingine hata akipewa mtu mwenye elimu ya darasa la saba,atafanya kazi kwa viwango vya juu kuliko hao wenye Degrees zao lakini kwa kuwa wanataka CV za viwango, ngoja nikae kimyaaaaa
Waziri mkuu Majaliwa Kasi Majaliwa hizo nafasi wakati mwingine muwe mnatukabidhi watu binafisi za usimamizi wa miradi ya serikali hao watumishi wenu watawasumbuweni sana na hata miradi haitakamilika kwa wakati mwafaka.
Unajua tatizo linakuwa hawachukuliwi sheria ndiyo sababu wanafanya wanavyotaka😮
Wallah wanatia hasira
Wapigaji wengi Tzd kwakweli na Serekali mnawaachia tu hamuwachukulii hatua mnawalea saana tu
@leokamil6284
4 ай бұрын
Sasa kama Panya road wavaa suti ni karibu darasa lote nani atamtoa mwenzie nje ya darasa ?😅
Majariwa oyoooooooooooooooo lete chomboooo ayo ndo maamuzi ya kiume hapa kwa hapa
Hvii huyo nikiongozi kweliii mbona mwamchosha waziri wetuuuu
Katiba mpya ni sasa
Baba Mheshimiwa kazi unaifanya kweli
Mnaongea nao wa nini fukuzaaaaa hao leteni Viijana wafanye kazi jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nyie wachambuzi si kweli ule mpira haujaguswa na mchezaji wa singida saido alipiga ukatoka na hata mwenyekiti wa kamati ya waamuzi amekubali ilikuwa goli kiki ila Bado anamulinda refali aliyeongeza dakika 2 wakati dakika za nyongeza zilikuwa 6 na ndani ya dakika za nyongeza hakukuwa na tukio lililopoteza dakika Tena kama Kuna tukio likitokea ndani ya dk 6 za nyongeza la kuchukua dk 2 nilipo litajeni.
Kuhusu Fedha za Miradi ya kujenga Shule Miradi nyingi sana Fedha hazitumiki inavyotakiwa
Waziri mkuu njoo na huku nkasi ututembelee baba
Hií si aina bora ya uongozi. Si uongozi bora. Huu ni unanyasaji Magufuli style. Mbaya!!!!!!!!!!!
Tunao viongozi wenye uchumgu na hii nchi.. .kiongozi anaongea kwa uchungu ...Hawa ndiyo wazalendo wa kweli
Mhe.hawa watu wezi na wazembe sana jaman duh.
@leokamil6284
4 ай бұрын
Tatizo wengi mpaka baadhi ya Mawaziri ni mizigo wanabebana na kulindana
Daaah jamani jamani hawa washenzi watoe hao wanarudisha nyuma maendeleo ya Taifa letu wananchi wataseka kupata huduma za zahanati pamoja na shule maji ndo usisime umeme ndo mamaaaa yangu hata wananchi wamechoka sasa mkowapo viongozi
Fukuza wote hao unasubili nini pm
Pelekeni uko vichwa ngumu kama sisi tupo tukawanyooshe shida uteuzi wa vimemo ndio vinairibu hii nchi matokeo yake wanapatikana wasimamizi wa miradi vilaza wekeni pembeni mavyeti vyeti teueni vijana Wazalendo tupo
Mheshima tunakuomba uchukue formu 2024 tunakuomba wewe ni Raisi wa wanyonge
Hii ni mifumo ambayo tumeilea ss toka ngaz zote. Upgaji ni dili
Waziri Mkuu anafanya kazi za wakurugenzi na wakuu wa mikoa wakati wao wako tu kwenye ma landcruiser yao wakijimwambafai na kula pesa za walipa kodi tu wala hawana uchungu nazo. Watu wanapata shida lakini bado ni bure tu.
Akiwa Rais huyu mwamba, wezi wote watahama nchi
Usimamizi huu ndioulitakiwa uwendelezwe tokakipindi chamagufuli watuwalishazoeakuchapakazi ila milijisahau watumishi wakarudia haliyazamani ubadhilifu.kuwarudishatena wazoekuchapakazi inaitajijuuditena komaa baba kama upivyokaza kipindi kilichopita watu wafanyekazi pongezi kwako waziri.
Kasimu anafanya kazi sana tatizo wakurugenz njaa nyingi
Inchi imeliwa Sana watupishe tuu
@mariamkiharo6345
4 ай бұрын
😅
Mnaongelea izo pesa uku ata kula kwawananchi tabu nibora waweke kwawana nchi wapunguziwe bei
Tumengoja mvua inyeshe ili tuone panapo vuja. Sasa tumepaona. Uteuzi pia uhdaifu ulikuwapo
Hii nchi tunaumizana wenyewee mama tunamuonea tuu wasimamizi ovyooo kabisaa
@jeffkonki8279
10 ай бұрын
Hatumounei huyo mama yako kilaza anachagua watu kwa kujuana hachagui wenye sifa stahiki harafu akioewa riport kuwa wameiba hakuna hatua anayochukua Sasa hata ungekuwa wewe ungeshindwa kuiba?
@anifasekumbo9273
6 ай бұрын
kilaza na mama yako kwanza aliyekuzaa mbuzi wee mpeleke mama ako ikulu basi akaongoze kama samia kilaza pambavu zako @@jeffkonki8279
Hao sio kufukuza kazi tu napesa walizoiba wazirudishe na wakamatwe wawekwe ndani
Kweri mzee ukamilishaji