KIMEUMANA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA - "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"

Ойын-сауық

KIMEUMANA KIGOMA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
Waziri Mkuu amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.

Пікірлер: 319

  • @EmanuelFesto-nm8fu
    @EmanuelFesto-nm8fu3 ай бұрын

    Waziri mkuu nakupa ongera kwa kazi nzuri pia enderea kutetea wanyoge pia nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu pia akujalie nguvu na afy

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira1265 ай бұрын

    Yaani hao watu hawana upendo kutoka moyoni wala hofu ya Allah hiyo ndio shida kubwa inayotokea.

  • @user-hs3er9ed6l
    @user-hs3er9ed6l3 ай бұрын

    Baba, Majaliwa Mungu akulinde,unanifanya nimkumbuke MAGUFULI it ko vizuri, wewe, makonda mko vzr

  • @godsson5954
    @godsson595410 ай бұрын

    bravo mh Waziri mkuu your the best hongera kwa Mh dr mama Samia your the best lakini ni heri kusiwe na wateule bali nafasi za wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa ziwe nafas zinazotangazwa na watu wa apply kama kaz zingine kisha tunaomba wafanyiwe vetting wapimwe na akili vizur pamoja na shule zao na uraia wao kisha wajadiliwe bungeni then waapishwe naona ikiwa hv ndo wataheshim mali na heshima ya serikali

  • @raulnassor5761
    @raulnassor576110 ай бұрын

    Uwe raisi nakuchaguwa km magu daah!unatukumbusha mtu wetu,mungu alaze mahalo pema peponi Amin.

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    9 ай бұрын

    Yes yes

  • @SimonKitaly
    @SimonKitaly9 ай бұрын

    Mkuu wangu waziri mkuu Mungu akubarii sana,siamni masikio yangu ninayoyaona na kuyasikia Mungu ameanza kujibu usiogope Mungu anakulinda

  • @SensaManzagata-tv7ds
    @SensaManzagata-tv7ds6 ай бұрын

    Tunakuamini sana waziri mkuu wetu hakika wewe ni jembe letu ahsante Mungu akujaze daima AMEN

  • @user-tv8ym6ec6m
    @user-tv8ym6ec6m9 ай бұрын

    Mhs,waziri mkuu,pole na majukumu,pia hongera kwa kazi unazo zifanya tunazojua,njoo tarime nikero tanesco hasa pale hitirafu zaumeme zinapotea jitokeza,mfano mita kutoka peleka umeme kwenye nyumba ya mtena,unaomba msaada kulekebishiwa,inakuchukua ha wiki hata mbili mteja ukiwa ngiza,sasa wateja ndio wapande kwenye nguzo kulekebisha tatazo tusaidie tarime kweli nishida

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira1265 ай бұрын

    Wamejazana tu maofisini kaxi haxiendi hivi kweli wilaya moja wafanyakazi tele wanacho kifanya hakionekani ukweli hii ni shida kubwa mno.

  • @user-sl3ww1vg4w
    @user-sl3ww1vg4w10 ай бұрын

    Hongera sanaa waziri mkuu kwa kutetea kodi za wananchi

  • @mwanumwanu1513
    @mwanumwanu151310 ай бұрын

    Mh ,hata bukoba mjini Sehemu ya kyabitembe block A majambazi yamezidi watu wanavamiwa nakubakwa,na hawaogopilolote maana hakuna msaada wowote kuwasaidia wa wananchi

  • @emanuelkatambi6902
    @emanuelkatambi690210 ай бұрын

    Huyu ndiye MAJALIWA niliyemfahamu kipindi cha Mzee MAGU ameanza kurejea tena

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    10 ай бұрын

    Siku hizi nimeishiwa na uwaminifu wake RIP mzee baba Magufuli hii awamu ni pacha na ile ya awamu ya 4 yaani fuulu MAJANGA lakini kwa mbali naona kama wanajilipa kiana kutokana na machungu ya msiba wa mzee baba MAGUFULI usiokuwa na maelezo ya kutosha kwa watanzania #etianaupigamwingi 🤣🤣

  • @EricEricsaid
    @EricEricsaidАй бұрын

    My hero Allah hakupe maisha marefu Ameen

  • @jamesyegera5918
    @jamesyegera59187 ай бұрын

    Magufuli wangu ,Majaliwa wangu raisi wangu, ❤❤❤

  • @user-dp1ch6vv6z
    @user-dp1ch6vv6z5 ай бұрын

    Hawa watu wanapokutwa na makosa wawe wanawekwe ndani kwanza, kisha wafilisiwe,shida ya nchi yetu imekuwa ikiwahamisha na kuwapangia maeneo mengine ya kazi utafikili uko waendako hawata iba tena,suluhisho la kukomesha wizi ni kuwafilisi na kuwafunga ili wenye tabia izo wajifunze kuwa waadilifu

  • @LeahAlbinus-og9by
    @LeahAlbinus-og9by7 ай бұрын

    This is too hot,, Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi wetu waaminifu, mna kazi ngumu sana

  • @nehemia397

    @nehemia397

    4 ай бұрын

    kazi ngumu si wamejipa wenyewe. mfumo wa CCM ni mbovu .

  • @MrsmadoshiSalum-go9pe
    @MrsmadoshiSalum-go9pe9 ай бұрын

    WAZIR MAJALIWA NAWEW NIMSANII MTU UNAONA KOSA ALAFU UNASEMA ACHUGUZWE NAWEWE JITASIMINI

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg10 ай бұрын

    Mungu atusaidie jaman

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.699910 ай бұрын

    Hawa wote ni chukota na Kusukuma Ndani. 😢😢😢 Sauti ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry

  • @user-lj6nv8dq6m
    @user-lj6nv8dq6m6 ай бұрын

    Kelele zote hizo tunataka utekelezaji wa atua wanao chelewesha acheni siasa kuwapanga watu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb9 ай бұрын

    Hafai hasimamii na Wala hafuatilii huo ni uzembe

  • @Piscesblair
    @Piscesblair14 күн бұрын

    Ipo haja ya kuongeza uwezo wa kiutendaji katika Tasisi ya TAKUKURU ili kurahisisha kasi ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma zinazokasimiwa kwa ajili ya miradi mbalimbali nchini.

  • @jameskaizilege1692
    @jameskaizilege169210 ай бұрын

    Baba unastairy mh waziri mkuu na mungu akusaidie

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele77964 ай бұрын

    Hongera waziri mkuu hao ndio wanaotugombanisha na wananchi na kuwapanguvu wapizani

  • @johnmahu5060
    @johnmahu50609 ай бұрын

    Ndo mfumo wa ccm mliojijengea wa kuacha fedha za serikali maofisn Ili mgawane IPO ck Mungu aliyehai atawalipa tu rushwa tu

  • @user-ys5zh8nt2e
    @user-ys5zh8nt2e6 ай бұрын

    Hamnaaa kitu hapo mkuu viongozi hawa naona waka risti

  • @abdillahhassan6271
    @abdillahhassan627110 ай бұрын

    Hawa munawalea sana pesa wanajikopesha wanafanyia biashara kama ukisinzia kama alivo sinzia mama wanazila

  • @Ambwene
    @Ambwene10 ай бұрын

    Walishaambiwa na mamaenu samiah kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake lakini asivimbiwe

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    10 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @hajinjuku-be7iq
    @hajinjuku-be7iq9 ай бұрын

    Asanti sana waziri kwa kazi mzuri ni wachache wanaofanya hivo

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma514310 ай бұрын

    Tumbua hao sasa hivi.washenzi sana hao. Mh. Majaliwa tunakuamini.

  • @robertedward1992
    @robertedward19924 ай бұрын

    Tatizo ni mfumo wa uteuzi.kujuana,acha waibe tuu .mama anawachekea,

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65264 ай бұрын

    Pesa ya Miradi inaliwa na Watendaji waliochaguliwa na Serikali yake pia Fedha ya kutoka kwa Wafadhili zinawekwa Mifukoni mwao sababu ya ukosefu wa uaminifu wa Watendaji wafanya kazi pole sana Serikali iliyoko Madarakani

  • @user-el3hf1jl8g
    @user-el3hf1jl8g7 ай бұрын

    Asante baba

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda35025 ай бұрын

    Serikali yetu Tukufu ya Chama chetu cha Mapinduzi,inatekeleza ilani ya Chama sawa sawa.Na inalekeza fedha kwenye miradi mbali mbali Nchini,yenye dira ya kuleta mabadiliko ya Nchi yetu.shida ni kama hao watendaji wasio waadilifu kwenye hizo Halmashauri.Mheshiwa Waziri Mkuu wabane hao.Na Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuwafuatilia.

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka258910 ай бұрын

    Tatizo hakuna hatua inayochukuliwa,fanyeni Kama China,kipindi cha Magu wanatumbuliwa hadharani haki za binadamu walikuja juu,lakini hela zinavyoibiwa wako kimya Kama vile hawapo

  • @mimiraia2531

    @mimiraia2531

    10 ай бұрын

    Haki za BINADAMU ni Magenge yenye ufadhili wa wazungu kutuvuruga tu

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama4 ай бұрын

    Maelezo waliotoa ni ushahidi tosha hela zimeshatafunwa jaman hivi nchi hii tutafika kweli watu hawaogopi pesa ya umma wanazitafuna Kama zao yaani ningekuwa mm waziri mkuu nikukamata tu na kuwaweka ndani Kwanza alafu maelezo badae hapo hela zimetafunwa

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga393910 ай бұрын

    Wamejichanganya sana wangekuwa uniform wangetoboa hapo

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph26346 ай бұрын

    Mtupe sisi huku tunataka kazi tutalitumikia Taifa ipasavyo!!

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle10 ай бұрын

    Wizi wowote unaofanyika kwenye harlimashauri zetu ni zao la wizi unaoyokana na serikali kuu.Kama mawaziri wanaiba mabilioni na hakuna aliyesjtakiwa na kirudisha hizo pesa unadhani huku chini hawapendi hizo pesa?

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    9 ай бұрын

    SERIKALI KUU MJICHUNGUZE HELA INAPIGWA JUU KWA JUU

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    4 ай бұрын

    Exactly migao haianzii chini

  • @KishokaMrumakishoka
    @KishokaMrumakishoka3 ай бұрын

    Yani viongozi kama waziri mkuu mi nawapenda sana tena sana

  • @dicksonexavery726
    @dicksonexavery72610 ай бұрын

    Ccm mmeshindwa kuendesha nchi u must go.

  • @FrankAngolwisye-mr1nc
    @FrankAngolwisye-mr1nc6 ай бұрын

    KWA KAZI NZURI YA WAZIRI MKUU KAMA HII UOVU KAMA KAMA HUU UNAWEZA KUKOMA KABISA. HONGERA WAZIRI MKUU KWA KAZI NZIRI SANA!!!

  • @jonesbrighton2874
    @jonesbrighton28743 ай бұрын

    Ongeren sana kiongoz tfikie na kwetu Bukoba Vijjn muone

  • @tabiaramadhani2348
    @tabiaramadhani23487 ай бұрын

    MUHESHIMIWA WAZIRI MKUU MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI WA KILA JAMBO LAKO LIWE JEMA AMINA FANYA KAZI NA UJE VIKAWE WILAYA KIBAHA MKOA WA PWANI KARIBU SANA KUNA MAUJENZI UYAANGALIE HUKU NAKUOMBA

  • @uwesusaid5334
    @uwesusaid533410 ай бұрын

    Katika uongozi wa sasa kuna madudu San watu hawatumbuliwi kabisa watu hawana hata hofu

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe4866 ай бұрын

    Sio ukweli ni kneels tu

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga741210 ай бұрын

    Hongera wew ndio raisi wa ichi hii

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    10 ай бұрын

    Hamna kitu ccm wameshafeli

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    10 ай бұрын

    Kwel

  • @roseshirima3168
    @roseshirima31687 ай бұрын

    Baba hongera kwa kufichua kuna uozo mwingi upo umejificha

  • @user-ly3ob4vp3c
    @user-ly3ob4vp3c4 ай бұрын

    Wetu wanailaumu serikali kumbe kuna watendaji wazembe wanaiba vibaya mno miradi haikamiliki aisee 😢hii ni hatari 😮

  • @alisaidi2620
    @alisaidi26202 ай бұрын

    Shida ni nyinyi viongozi wa juu hizi pesa mukitowa munatosa kisiri bila cc kujua

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo12014 ай бұрын

    Mlisema jpm alikuwa dikteta. Mtaendeleaje na wakurugenzi wa namna hiyo. Watu wanastahiki kufungwa maisha. Bila udikteta nchi haiendi. Angalia China hata kainchi kama Rwanda. Mambo ya haki za binaadamu na ushoga ni ugoro mtupu. Wanatunza fedha wakingoja mianya ya kuzipiga. Ongeza ukali Majaliwa tuko nyuma yako.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia632810 ай бұрын

    Hivi angela kairuki alikuwa anafanya nini hapo Tamisemi haya mama kampeleka utalii kwaniblazima awe waziri? Ndo mana wanaboronga wanahamishwa

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    4 ай бұрын

    Shida hiyo ndio inayofanya nchi hii haiwezekani kupiga hatua kuna Mawaziri mizigo ila wanabebana sijui kunasiri gani humo?.Watanzania wengi wamehitimu hawana kazi ila hichi chama kina Recycling hao hao mtu hafanyi kazi haoneshi maendeleo mazuri lakini atatolewa pale aletwe hapo sijui maana yake ni nini.Ndio maana hali ya nchi mbaya mbaya mno

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts5 ай бұрын

    Mungu azidi kukulinda baba... Mhshmw Majaliwa na Makonda majembe ya mama yetu Samia

  • @user-wu7vt4wm2h
    @user-wu7vt4wm2h10 ай бұрын

    Mlikua wp wote kumbe n wazur ivo ❤❤❤❤ majaliwa

  • @kelvinnaftali4331
    @kelvinnaftali433110 ай бұрын

    Sheria ya kunyonga wanaochezea pesa za uma itungwe na isimamiwe ipasavyo nchi hii itaendelea haraka tofauti na hapo maendele tutayaona kwenye tv.

  • @khadijayusuph2634

    @khadijayusuph2634

    6 ай бұрын

    Mh kwa Hali hii"😮mkaguzi wa hesabu jiandae na upotevu wa matilioni! Kila siku upotevu😮hivi Kuna siku zitarudi!!?

  • @sawackoswald9322
    @sawackoswald932210 ай бұрын

    Mzee wanawaona wananchi ni manyani mkuu pesa za walipakodi zanaliwa tu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556710 ай бұрын

    Kukamilika ujenzi hapo hakuna.Mhe.

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota2646 ай бұрын

    Tutamkumbuka sn Magu watu wanajilia tu vya wananchi huku mishahara wanapata kubembelezana kwingi sn hamna kitu hapo Waziri mkuu komaa nao mbele hao niwapigaji

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama4 ай бұрын

    Hao ni wezi hata maelezo hayatoshelezi kamata hao hela wameshakula hapo hakuna hela hela za umma zinaliwa tu

  • @mchomvutv2426
    @mchomvutv24264 ай бұрын

    Tatizo wanaogopa kupitisha madokezo kwa sababu hawaaminiani kila mtu anahisi anapigwa😢😢😂

  • @rashidyardo7929
    @rashidyardo792910 ай бұрын

    Natamani mama Samia 2025 angeacha huyu mwamba agombee, sio Sheria lakini huu ni mtazamo wangu tuu.

  • @user-hx3mq5fg7v
    @user-hx3mq5fg7v4 ай бұрын

    Nataman mwaka mmoja uwe Rais wa nchi hii

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena2 ай бұрын

    Majariwa makonda mmepikwa mmeiva.. vizuri. Bado kwenye maamuzi toa uyo weka mwingine

  • @Samweli-vw8ji
    @Samweli-vw8ji9 ай бұрын

    Wazuri mkuu na matehemu magufuli ww jembe kama Mzee maguu bc unastahilu kuwa kiongozi Bora ndani ya nchi yetuu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50259 ай бұрын

    Walitoa hela ya Halmashauri kwenda Shuleni alifuatilia lakini kuna shida

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile4 ай бұрын

    Shida vikao vya ndani,hebu fanyeni kama makonda,malizana nao hapohapo waludishe hera sio mahakaman hela mliikabidhi mahakama,basi hata hela muwemnawakabidhia mahakaman.acheni kutuinyoyi.

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila19289 ай бұрын

    Mhe waziri mkuu futa kazi hao hata Mungu alimfukuza adamu baada ya kushindwa kutii maagizo ya Mungu wafuteni kazi hawajui wajibu wao

  • @nicksonpontion7105
    @nicksonpontion71054 ай бұрын

    Kupitisha Dokezo ni kikwazo yaan halmashauri wanasumbua hatari ndo maana mtu hadi unachoka ase

  • @user-vt9dm3zk6g
    @user-vt9dm3zk6g9 ай бұрын

    Muheshimiwa waziri Mkuu piga kazi kusaidia Raia wako .Hawa watumishi ndio unao wafanya wananchi kulalamikia serikali .muheshimiwa waziri Mkuu awo usiwaonee huruma ,W aziri wapo Watanzania ni wengi sana ambao.wangeiweka serikali Katika maendeleo.Waziri Mkuu naomba wasikuzingue Watanzania ninawafahamu sana tu wanalamba tu fedha .Je muheshimiwa sentiment ziko ngapi .wangine fedha zipo wengine hazipo.Waziri nakuomba usipoteza na sauti yako muheshimiwa .piga kazi muheshimiwa nimekupongeza sana juhudi zako.ujumbe utoka nje ya Tz

  • @eliashibundabalinze2754
    @eliashibundabalinze27544 ай бұрын

    Kuna nafasi zingine hata akipewa mtu mwenye elimu ya darasa la saba,atafanya kazi kwa viwango vya juu kuliko hao wenye Degrees zao lakini kwa kuwa wanataka CV za viwango, ngoja nikae kimyaaaaa

  • @AmosLudei
    @AmosLudei2 ай бұрын

    Waziri mkuu Majaliwa Kasi Majaliwa hizo nafasi wakati mwingine muwe mnatukabidhi watu binafisi za usimamizi wa miradi ya serikali hao watumishi wenu watawasumbuweni sana na hata miradi haitakamilika kwa wakati mwafaka.

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11864 ай бұрын

    Unajua tatizo linakuwa hawachukuliwi sheria ndiyo sababu wanafanya wanavyotaka😮

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11864 ай бұрын

    Wallah wanatia hasira

  • @joojombi2341
    @joojombi23414 ай бұрын

    Wapigaji wengi Tzd kwakweli na Serekali mnawaachia tu hamuwachukulii hatua mnawalea saana tu

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    4 ай бұрын

    Sasa kama Panya road wavaa suti ni karibu darasa lote nani atamtoa mwenzie nje ya darasa ?😅

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena2 ай бұрын

    Majariwa oyoooooooooooooooo lete chomboooo ayo ndo maamuzi ya kiume hapa kwa hapa

  • @user-ys5zh8nt2e
    @user-ys5zh8nt2e6 ай бұрын

    Hvii huyo nikiongozi kweliii mbona mwamchosha waziri wetuuuu

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro960010 ай бұрын

    Katiba mpya ni sasa

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira1265 ай бұрын

    Baba Mheshimiwa kazi unaifanya kweli

  • @ommy4k
    @ommy4k10 ай бұрын

    Mnaongea nao wa nini fukuzaaaaa hao leteni Viijana wafanye kazi jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @user-zz8qr9gn1f
    @user-zz8qr9gn1f6 ай бұрын

    Nyie wachambuzi si kweli ule mpira haujaguswa na mchezaji wa singida saido alipiga ukatoka na hata mwenyekiti wa kamati ya waamuzi amekubali ilikuwa goli kiki ila Bado anamulinda refali aliyeongeza dakika 2 wakati dakika za nyongeza zilikuwa 6 na ndani ya dakika za nyongeza hakukuwa na tukio lililopoteza dakika Tena kama Kuna tukio likitokea ndani ya dk 6 za nyongeza la kuchukua dk 2 nilipo litajeni.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65265 ай бұрын

    Kuhusu Fedha za Miradi ya kujenga Shule Miradi nyingi sana Fedha hazitumiki inavyotakiwa

  • @user-on6lf6kq4h
    @user-on6lf6kq4h4 ай бұрын

    Waziri mkuu njoo na huku nkasi ututembelee baba

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru135610 ай бұрын

    Hií si aina bora ya uongozi. Si uongozi bora. Huu ni unanyasaji Magufuli style. Mbaya!!!!!!!!!!!

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts5 ай бұрын

    Tunao viongozi wenye uchumgu na hii nchi.. .kiongozi anaongea kwa uchungu ...Hawa ndiyo wazalendo wa kweli

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556710 ай бұрын

    Mhe.hawa watu wezi na wazembe sana jaman duh.

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    4 ай бұрын

    Tatizo wengi mpaka baadhi ya Mawaziri ni mizigo wanabebana na kulindana

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim197510 ай бұрын

    Daaah jamani jamani hawa washenzi watoe hao wanarudisha nyuma maendeleo ya Taifa letu wananchi wataseka kupata huduma za zahanati pamoja na shule maji ndo usisime umeme ndo mamaaaa yangu hata wananchi wamechoka sasa mkowapo viongozi

  • @saidsalum423
    @saidsalum42310 ай бұрын

    Fukuza wote hao unasubili nini pm

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 ай бұрын

    Pelekeni uko vichwa ngumu kama sisi tupo tukawanyooshe shida uteuzi wa vimemo ndio vinairibu hii nchi matokeo yake wanapatikana wasimamizi wa miradi vilaza wekeni pembeni mavyeti vyeti teueni vijana Wazalendo tupo

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb9 ай бұрын

    Mheshima tunakuomba uchukue formu 2024 tunakuomba wewe ni Raisi wa wanyonge

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e14 күн бұрын

    Hii ni mifumo ambayo tumeilea ss toka ngaz zote. Upgaji ni dili

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020249 ай бұрын

    Waziri Mkuu anafanya kazi za wakurugenzi na wakuu wa mikoa wakati wao wako tu kwenye ma landcruiser yao wakijimwambafai na kula pesa za walipa kodi tu wala hawana uchungu nazo. Watu wanapata shida lakini bado ni bure tu.

  • @jacksonmakasi
    @jacksonmakasi10 ай бұрын

    Akiwa Rais huyu mwamba, wezi wote watahama nchi

  • @user-vc2hk9kr1c
    @user-vc2hk9kr1c10 ай бұрын

    Usimamizi huu ndioulitakiwa uwendelezwe tokakipindi chamagufuli watuwalishazoeakuchapakazi ila milijisahau watumishi wakarudia haliyazamani ubadhilifu.kuwarudishatena wazoekuchapakazi inaitajijuuditena komaa baba kama upivyokaza kipindi kilichopita watu wafanyekazi pongezi kwako waziri.

  • @robertabel6984
    @robertabel69849 ай бұрын

    Kasimu anafanya kazi sana tatizo wakurugenz njaa nyingi

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m10 ай бұрын

    Inchi imeliwa Sana watupishe tuu

  • @mariamkiharo6345

    @mariamkiharo6345

    4 ай бұрын

    😅

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah10 ай бұрын

    Mnaongelea izo pesa uku ata kula kwawananchi tabu nibora waweke kwawana nchi wapunguziwe bei

  • @carolihando6271
    @carolihando62714 ай бұрын

    Tumengoja mvua inyeshe ili tuone panapo vuja. Sasa tumepaona. Uteuzi pia uhdaifu ulikuwapo

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela198710 ай бұрын

    Hii nchi tunaumizana wenyewee mama tunamuonea tuu wasimamizi ovyooo kabisaa

  • @jeffkonki8279

    @jeffkonki8279

    10 ай бұрын

    Hatumounei huyo mama yako kilaza anachagua watu kwa kujuana hachagui wenye sifa stahiki harafu akioewa riport kuwa wameiba hakuna hatua anayochukua Sasa hata ungekuwa wewe ungeshindwa kuiba?

  • @anifasekumbo9273

    @anifasekumbo9273

    6 ай бұрын

    kilaza na mama yako kwanza aliyekuzaa mbuzi wee mpeleke mama ako ikulu basi akaongoze kama samia kilaza pambavu zako @@jeffkonki8279

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama4 ай бұрын

    Hao sio kufukuza kazi tu napesa walizoiba wazirudishe na wakamatwe wawekwe ndani

  • @shamimageta6651
    @shamimageta665110 ай бұрын

    Kweri mzee ukamilishaji

Келесі