Waziri Mkuu: Kamanda ondoka naye huyu | Wanachoma moto ofisi za serikali | mtulie tunyooshane vizuri

Ойын-сауық

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 225

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga382 Жыл бұрын

    Nakuhurumia sana PM. Hawa watu sijui utawatokomezaje maana wametapakaa nchi nzima. Nchi ilivyokua kubwa hivi. Nakuombea Mungu akupe wepesi katika hili.

  • @herizotemunguwamajeshi8826

    @herizotemunguwamajeshi8826

    Жыл бұрын

    Kweli PM Mungu akulinde hayo unayoyaona ni machache sana

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Жыл бұрын

    Mama Samia Rais wetu, jembe unalo. Kazi iendelee mheshimiwa Waziri Mkuu, Mungu akupe maisha marefu tunakutegemea boss wetu

  • @shafiiomarali6984
    @shafiiomarali6984 Жыл бұрын

    Asante sana Waziri mkuu kassimu majaliwa MWENYENZI MUNGU akupe afya NJEMA. ✍🇹🇿

  • @stevembaigwa7078
    @stevembaigwa7078 Жыл бұрын

    Mungu akubariki kwa kazi njema nakuombea kwa Mungu uwe rais wetu

  • @saadyahaya5896
    @saadyahaya5896 Жыл бұрын

    Safi sana mheshimiwa wazir mkuu kwa kazi kubwa unayofanya kwenye taifa hili,mungu akusimamie popote unapopita inshaallah

  • @fedrickkeneth5383

    @fedrickkeneth5383

    Жыл бұрын

    N mpambanaji saana huyu kiongozi

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 Жыл бұрын

    Uyu mwamba namkubali sana mungu akupe maisha marefu waziri

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Majaaliwa Baba etu Waziri wetu mungu akulinde, ukiwa Rais ao mafisadi watanyooka

  • @user-hp8oi2or8e
    @user-hp8oi2or8e8 ай бұрын

    Unyamaa mwingi waziri

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 Жыл бұрын

    Waziri mkuu wewe ndio kiongozi. Mungu akubariki ufike mbali

  • @hasani565
    @hasani565 Жыл бұрын

    Da haki ya mungu kunawatu sijui vipi hao takukuru ..mapolisi wote wamekula hela...da mungu akuongoze mkuu ..miss pombe magufuli

  • @ejidemaswalikinoja5643
    @ejidemaswalikinoja5643 Жыл бұрын

    Asante sana Mungu kwa kutupa huyu mtu, hakika hii ndiyo maana ya Waziri Mkuu naamini Kuna baraka zote Toka kwa Mungu na kwa Rais

  • @zakiabdi4793

    @zakiabdi4793

    Жыл бұрын

    thanks for dat

  • @nyarikibweko

    @nyarikibweko

    Жыл бұрын

    Kama mzee magu kabisa mungu angurinde unachapakazi.

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w4 ай бұрын

    Mhe waziri mkuu akika ni mchapa kzi sana mungu akurinde mhe waziri mkuu wtuu akika tunaona kzi zako na matunda yako na ni mfano tosha wa kuigwa na viongizi wengine lakin mmebaki wachache sana wazarondo, wtu awna uhruma,

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Жыл бұрын

    Hongera kwa utendaji Mhe. Waziri Mkuu.

  • @alfredlucas972
    @alfredlucas972 Жыл бұрын

    Waziri mkuu Mungu yupo pamoja na wewe fanya kazi kwaajili ya watanzania Mungu atakusimamia hongera kwa kusimalia lasilimali na pesa za nchi

  • @ramadhanallysaidmkweleyi

    @ramadhanallysaidmkweleyi

    Жыл бұрын

    Hivyo ndivyo tunavyotaka

  • @ramadhanallysaidmkweleyi

    @ramadhanallysaidmkweleyi

    Жыл бұрын

    Mu

  • @kulengwamabula9508
    @kulengwamabula9508 Жыл бұрын

    majaliwa ndo magufuli watakiona moto

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Жыл бұрын

    Ee Mungu cjui niseme nini kuhusu huyu PM Mungu ambariki

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 Жыл бұрын

    Mungu ameingiza roho ya Dr. Magufuli kwake

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Жыл бұрын

    Nchi imeoza hii.... Karibu kila halmashauri imeoza kwa ufisadi

  • @robertgallus85gallus52

    @robertgallus85gallus52

    Жыл бұрын

    Hao takukuru ni hovyo kabisa

  • @adamufundikira7878

    @adamufundikira7878

    Жыл бұрын

    @@robertgallus85gallus52 takukulu nao wapigaji tuu

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 Жыл бұрын

    Ww ni msaidizi sahihi wa raisi nakupenda sana mkuu wangu

  • @Solace577
    @Solace5778 ай бұрын

    Yaan wazir mkuu nakuonea huruma sana pole sana ndgu, hawa watu ni hovyo sana, yaan wakikuta barabarani na migari yao mikubwa wewe na ki passo chako weweee utapigiwa hon 😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Жыл бұрын

    Sikuizi wana zarau wanajuwa makufuli hayopo allah amrehm president wetu kazi kaz I love u Kasim 💖😢😢👏👏👏👏👏

  • @kabwikaibrahim-up3vg
    @kabwikaibrahim-up3vg Жыл бұрын

    You are doing very well Hon. Prime Minister. God bless you!!

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 Жыл бұрын

    Fanya kazi mh waziri mkuu, tupo nyuma yake

  • @adirhoregilitu6507
    @adirhoregilitu6507 Жыл бұрын

    Hongera waziri mkuu

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 Жыл бұрын

    Mungu akulinde sana mh waziri mkuu

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Mr Kassim Mungu akuzidishie utendaji kazi huo

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp Жыл бұрын

    Vizuri sana mh waziri mkuu.

  • @abelshaursshauris9810
    @abelshaursshauris9810 Жыл бұрын

    Mungu akulinde mzee wangu

  • @WinifledyMbugi-ur1hq
    @WinifledyMbugi-ur1hq9 ай бұрын

    Unaeleweka waziri mkuu

  • @othumantabai
    @othumantabai Жыл бұрын

    Weka ndani wote mkuu

  • @yustahyera4288
    @yustahyera4288 Жыл бұрын

    Duuuuh we baba nakuombea maisha mengi mbali ufike pia uje uwe rais wa nchi yetyu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын

    Uyo kamanda Sura nzuri sana

  • @Lizzleboy
    @Lizzleboy Жыл бұрын

    Asante Mkuuuuuu

  • @lawrencechacha7863
    @lawrencechacha7863 Жыл бұрын

    Mh.waziri mkuu wewe ni wapekee.hata mungu anavutiwa na utumishi wako.futa wapuuzi hao.

  • @rizionesegeza9742
    @rizionesegeza9742 Жыл бұрын

    Asntee wazirii mkuu bt naona kama unawachelewesha hao duuh sisi tnasumbuka na kodi jaman kwa jpm hao walikuwa na kipengele jamaaaaa jpm 🙏🙏🙏👈

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Жыл бұрын

    Majaliwa my lovely PM nakupenda mnooooo

  • @Petro.John.
    @Petro.John.2 ай бұрын

    Ase nchi hii ngumu sana,usikute huyu jamaa hawamtaki halafu wakamazunguka.

  • @rafaelpaschal2245
    @rafaelpaschal2245 Жыл бұрын

    Mhw.waziri mkuu saluuti kwako

  • @jofreymsigwa85
    @jofreymsigwa85 Жыл бұрын

    Safi mkuu wetu

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa56079 ай бұрын

    Sawa big kazi iendeleeeee

  • @ramambaga5561
    @ramambaga5561 Жыл бұрын

    Hapa tunarudi nyuma tena kaulimbiu yetu hapa kazi tu😋🙏

  • @djmeza411a58

    @djmeza411a58

    Жыл бұрын

    ✊️🖐👏👏👊

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын

    Bravo muheshiwa majaliwa🙏🙏🙏

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Жыл бұрын

    Nchi haiongozwi na mwanamke ikawa salama

  • @hubimogela9167

    @hubimogela9167

    Жыл бұрын

    Anaongoza sahivi ni nani ,na umeskia wapi kumevamiwa,acha ushamba

  • @uwembatvonline

    @uwembatvonline

    Жыл бұрын

    @@hubimogela9167 Sasa hivi anaongoza baba ako au

  • @aminimushi6945

    @aminimushi6945

    Жыл бұрын

    Dini zote zinajua hilo,lakini mapadre na masheikh kwa ajili ya njaa zao,wanafumbia macho vitabu vya Mungu,kwa mwenendo huu,nchi haitakuwa salama.

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    Жыл бұрын

    @@aminimushi6945 ww mwnyw haupo salama 😆😆😆😆

  • @priscabonifas7037
    @priscabonifas7037 Жыл бұрын

    Tunashukuru mheshimiwa Ila Mimi Kama mzalendo napendekeza pia huyo mkuu wa chuo Kama mwenyekiti wa kamati za ujenzi awajibishwe vikali maana anajua Kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika chuo chake

  • @ayoublamesi6347
    @ayoublamesi63479 ай бұрын

    Wazili mungu akulinde kwa kazi unazofanya

  • @eliashibundabalinze2217
    @eliashibundabalinze2217 Жыл бұрын

    Jamaa ameingia kwenye mkutano akiwa mheshimiwa...ndani ya dakika chache anarudi akiwa mtuhumiwa,duuuh maisha haya jamani hayana formula

  • @fredyphilimon38

    @fredyphilimon38

    Жыл бұрын

    Waziri wa Mkuu katika ubora wake. Ufatiliaji ndio utendaji kazi

  • @novestjanuary8001

    @novestjanuary8001

    Жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Жыл бұрын

    Mh Majariwa Hongera sana kwa kazi kubwa tunaombwa mchi nzima. Wafutwe kazi na kurudisha pesa. Mkuu wa Mkoa na Mkurungeze wote walipe

  • @saimabulasai9514

    @saimabulasai9514

    Жыл бұрын

    Asa baba unajua kazi mungu akurinde

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Жыл бұрын

    Bilioni 7? Kweli nchi ina mambo mengi kwakweli! Ila PM MAJALIWA ulitakiwa wewe ndio uwe rais wa nchi hii, lkn chakushangaza 2025 hutokua Waziri mkuu tena,

  • @kyambarungwe6960
    @kyambarungwe6960 Жыл бұрын

    Nakupnd Sana kipenzi Cha roho yangu majaliwa ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 Жыл бұрын

    Safi sana mkuu tunakipenda mnooo

  • @joycekalago532

    @joycekalago532

    Жыл бұрын

    Mamdogo😂

  • @MmadiJuma-is2kz
    @MmadiJuma-is2kz Жыл бұрын

    Honngela munguakubaliki akupeuwepesi afya njema amin

  • @wiltonexon6003
    @wiltonexon6003 Жыл бұрын

    Nakubali muheshimiwa 👏🏽

  • @fredmashauri210
    @fredmashauri210 Жыл бұрын

    Rais wetu ndio huyuu

  • @yassinshamte4172

    @yassinshamte4172

    Жыл бұрын

    We unadhani anafanya kwa maelekezo ya nani....

  • @jessegodson8575

    @jessegodson8575

    Жыл бұрын

    @@yassinshamte4172 wewe pimbi unadhani huyo Samia kazi hio anaweza yaani ni mtu wa kukaa ofisi na kusubiria mshahara mwisho wa mwezi na ndizo Kodi zetu😂😂 ila mwaka 2025 wajipigie wenyewe kura ila wananchi wa Tz hawatopiga kura labda akigombea majaliwa hapo sawa

  • @nsanyarasheeed8693

    @nsanyarasheeed8693

    Жыл бұрын

    Inamaana hujui kuwa huyu ni Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .

  • @fredmashauri210

    @fredmashauri210

    Жыл бұрын

    Wampe kijiti 20225 anatufaa kabisaa

  • @MajaliwaAssenga-ev9jg
    @MajaliwaAssenga-ev9jg Жыл бұрын

    Magufuli si huyu hapa

  • @manning979
    @manning979 Жыл бұрын

    Tumechelewa sana kuendelea kwasababu kama hizi nchi ni maskini kila siku kumbe watu wanapiga tu

  • @yunislemnhe9560
    @yunislemnhe9560 Жыл бұрын

    Waziri mkuu wetu namkumbuka baba jamani enzi zake

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 Жыл бұрын

    Tia ndanii,,,, soma iyooo... tutajuwa mbelee

  • @yekoniakusiluka469
    @yekoniakusiluka469 Жыл бұрын

    Raisi Hana pesa waziri mkuu pesa niza wanachii walipa Kodi zimeibwa pesa za wananchi zinaibwa Kodi zetu

  • @Christopher-ns6cq
    @Christopher-ns6cq Жыл бұрын

    Ee mungu mlinde huyu baba ndiye aliebaki tumaini la watanzania

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    ILA hii nchi ukiwa mkweli unakuwa mbaya. Majaliwa mungu akupe nguvu usimame kwenye haki tu na mungu karim atakunyanyua inshallah utashika uraia nambari moja utetee nchi yako.

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Жыл бұрын

    Ukiwa kiongozi Tanzania ni pasua kichwa ofisi imeungua nyaraka tu hii ndiyo bongo

  • @ndayishimiyeelias9692

    @ndayishimiyeelias9692

    Жыл бұрын

    Amini usiamini akiwa kiongozi atakua busy na yangine, hata Suluh alkua hivo

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Жыл бұрын

    Waziri Mkuu✅

  • @rahabuahimas7410
    @rahabuahimas7410 Жыл бұрын

    Baba Asante kwakututia moyo

  • @swalehembich2247
    @swalehembich2247 Жыл бұрын

    Mheshimiwa waziri mkuu wote hao ni wahusika hata hao takukuru kwa nini hawaku chukua hatua na wao ndio chombo cha sheria

  • @hassann4209
    @hassann4209 Жыл бұрын

    Wanyoshe sana. Namukumbuka JPM🇧🇮

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Жыл бұрын

    Hii nchi watu wajipigia pesa za walipa kodi wa nchi hii kama za familia zao tu. Tatizo mfumo mbovu wa uongozi kuanzia ngazi za juu vigogo wanachota pesa bila hata soni tuoneeni huruma jamani ss walipa kodi wenu tumechoka ipo siku tutakinukisha bora mtuue tu wote mbaki na nchi yenu mtumbue vizuri

  • @user-tt8bz5zs6b
    @user-tt8bz5zs6b9 ай бұрын

    MH. WAZIRI MKUU WW. ALIE KUA WAZIRI MKUU. AMBA SASA NI MREHEMU NI BABA MMOJA KATIKA. KUCHAPA. KAZI

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Жыл бұрын

    Kosa lipo lakini ni kinyume na utaratibu kiongozi yoyote kuipa amri Polisi kumkamata mhalifu,

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Жыл бұрын

    Wew nijembe safi sana.

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Жыл бұрын

    Piga chini Rc Rs Dc na vikolombeezo vyote hawafai wote

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 Жыл бұрын

    Hawezi kuwamaliza kwani wanawekwa na watu ambao hana mamlaka ya kuwafukuza. Njia pekee ya kutokomeza hao ni kufukuza viongozi wao. Kwa kifupi kuwajibisha kuanzia na mawaziri, wakuu wa mikoa nk. Kuwafukuza hawa ni sawa . MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MH. MAJALIWA

  • @benjaminemiku8200
    @benjaminemiku8200 Жыл бұрын

    inawezekana nao ni washiriki wa hilo kosa ndio maana hawajaona kosa

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 Жыл бұрын

    Ndio👏

  • @gabumremi4876
    @gabumremi4876 Жыл бұрын

    sweka ndani

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Жыл бұрын

    Kwani Waziri Mkuu Haluhusiwi Kugombea Uraisi? Maana........

  • @huseinikhamiskibwa2545
    @huseinikhamiskibwa2545 Жыл бұрын

    Powa

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Жыл бұрын

    Inatia uchungu watu wanavyopiga hela,wako kitu kimoja hao mkuuu

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Жыл бұрын

    Tatizo kubwa tena liko Kwa hao takukuru

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Waliohusika wote MUNGU AWANYOSHEE HUKU URAIANI KUGIMU SANA WENYEWE HUKO MWALA HELA NA KUFICHA HELA AAAA MUNGU. AWAFICHUE WOTE

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n5 ай бұрын

    Hawa n wahuni wamechoma makusudi ili kuzipoteza nyaraka ili serikali ikidai hakuna kitu hii nchi bila ujanja kwan haiwezekani tukijenga nchi zetu kama wachina tukiwa wazalendo tuifikishe nchi sehemu ya uchumi wa juu mbona inawezekana tu kuliko ujanjaujanja mwingi embu tubadilike

  • @yasinomary2147
    @yasinomary2147 Жыл бұрын

    Majaliwa Qassim majaliwa mwenyez MUNGU akujaalie Baba uje kuwa mkuu wa nchi yetu ifikapo 2030

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Жыл бұрын

    JPM part 2 kazi nzuri

  • @frankchengula

    @frankchengula

    Жыл бұрын

    Nakuombea sana waziri

  • @edosichilengwe3150
    @edosichilengwe3150 Жыл бұрын

    Eeeeeeh, hapo sawa chuma

  • @beatriceisack5317
    @beatriceisack5317 Жыл бұрын

    Ameni ameni

  • @allynditi3492
    @allynditi3492 Жыл бұрын

    Tengeneza Hiyooo!!!!!!

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 Жыл бұрын

    Piga kazi comrade

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Жыл бұрын

    Ashkuru Sana maana ingekuwa ni raisi mwenyewe basi angemfukuza kazi hapo hapo na pesa angezitoa

  • @user-in6ml5zg6b
    @user-in6ml5zg6b9 ай бұрын

    Waziri mkuu mafia 0:59

  • @huseinikhamiskibwa2545
    @huseinikhamiskibwa2545 Жыл бұрын

    Wakalimejeera mpaka magodaun watujazie wananchi

  • @user-cy6me3vo3g
    @user-cy6me3vo3g4 ай бұрын

    Ingekuwa amri yangu majiliwa apewe urais

  • @chemstry409
    @chemstry409 Жыл бұрын

    Tatizo kizuri hakidumu....😢😢😢

  • @mwimbeatilio707
    @mwimbeatilio707 Жыл бұрын

    Majaliwa wew ni mfano jaman ifike hatua tumuogope Mungu tukienda tukimuona tutamjibu majibu gani?Ikiwa shetani anamuogooa Mungu sisi ni akina nani wizi umejaa watu hawana huruma Mungu anawaona

  • @amehassanrehanirehani7906
    @amehassanrehanirehani7906 Жыл бұрын

    Safi san mkuu madudu yote na majipu usaha mafisadi waso uchungu na uzalendo na wenye tamaa wanaorudusha nyuma maendeleo yetu na kuwakosesha haki wengn wote wapasue mh. Majaliwa bila hurum maan wao wenyew hawana imani

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Жыл бұрын

    Hivi hamuwaonei huruma wananchi wanyonge kweli roho inaniuma sana

  • @mawazomolani2677
    @mawazomolani2677 Жыл бұрын

    Uzembe mwingi kwa watumishi wa uma

  • @alexsambia3046
    @alexsambia3046 Жыл бұрын

    Wwe ndo tegemez la wa Tanzania tunakuombea Mkuu

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 Жыл бұрын

    Imefika wakati Takukuru nayo ichunguzwe na ifumuliwe upya na kuangalia mwenendo mzima wa utendaji wake na uwezo au uweledi wa watendaji wake!Cheo ni dhamana na inaonesha elimu zao hazitusaidii tena,tunahitaji"people of integrated,Responsible,seriously and willingness to do the job"I started to doubt even their religion faith isn't an issue anymore....we should think differently now

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Жыл бұрын

    Si peke take na hao wasimamizi wa taasisi zinazohusika kuchunguza hawafsi au wameshirikiana nae

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 Жыл бұрын

    Uyu ndiye mridhi wa jpm anaitwa Kasim majariwa magofuli

  • @amoscharz5606
    @amoscharz5606 Жыл бұрын

    Majaliwa for president 2025

Келесі