Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Жүктеу.....
Пікірлер: 225
@hidayausanga382 Жыл бұрын
Nakuhurumia sana PM. Hawa watu sijui utawatokomezaje maana wametapakaa nchi nzima. Nchi ilivyokua kubwa hivi. Nakuombea Mungu akupe wepesi katika hili.
@herizotemunguwamajeshi8826
Жыл бұрын
Kweli PM Mungu akulinde hayo unayoyaona ni machache sana
@lucasmlowezi9214 Жыл бұрын
Mama Samia Rais wetu, jembe unalo. Kazi iendelee mheshimiwa Waziri Mkuu, Mungu akupe maisha marefu tunakutegemea boss wetu
@shafiiomarali6984 Жыл бұрын
Asante sana Waziri mkuu kassimu majaliwa MWENYENZI MUNGU akupe afya NJEMA. ✍🇹🇿
@stevembaigwa7078 Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kazi njema nakuombea kwa Mungu uwe rais wetu
@saadyahaya5896 Жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa wazir mkuu kwa kazi kubwa unayofanya kwenye taifa hili,mungu akusimamie popote unapopita inshaallah
@fedrickkeneth5383
Жыл бұрын
N mpambanaji saana huyu kiongozi
@Frolianagabito3000 Жыл бұрын
Uyu mwamba namkubali sana mungu akupe maisha marefu waziri
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
Majaaliwa Baba etu Waziri wetu mungu akulinde, ukiwa Rais ao mafisadi watanyooka
@user-hp8oi2or8e8 ай бұрын
Unyamaa mwingi waziri
@jonathanmwakabuku4714 Жыл бұрын
Waziri mkuu wewe ndio kiongozi. Mungu akubariki ufike mbali
@hasani565 Жыл бұрын
Da haki ya mungu kunawatu sijui vipi hao takukuru ..mapolisi wote wamekula hela...da mungu akuongoze mkuu ..miss pombe magufuli
@ejidemaswalikinoja5643 Жыл бұрын
Asante sana Mungu kwa kutupa huyu mtu, hakika hii ndiyo maana ya Waziri Mkuu naamini Kuna baraka zote Toka kwa Mungu na kwa Rais
@zakiabdi4793
Жыл бұрын
thanks for dat
@nyarikibweko
Жыл бұрын
Kama mzee magu kabisa mungu angurinde unachapakazi.
@user-ju5ee1gx2w4 ай бұрын
Mhe waziri mkuu akika ni mchapa kzi sana mungu akurinde mhe waziri mkuu wtuu akika tunaona kzi zako na matunda yako na ni mfano tosha wa kuigwa na viongizi wengine lakin mmebaki wachache sana wazarondo, wtu awna uhruma,
@preciouspeter6126 Жыл бұрын
Hongera kwa utendaji Mhe. Waziri Mkuu.
@alfredlucas972 Жыл бұрын
Waziri mkuu Mungu yupo pamoja na wewe fanya kazi kwaajili ya watanzania Mungu atakusimamia hongera kwa kusimalia lasilimali na pesa za nchi
@ramadhanallysaidmkweleyi
Жыл бұрын
Hivyo ndivyo tunavyotaka
@ramadhanallysaidmkweleyi
Жыл бұрын
Mu
@kulengwamabula9508 Жыл бұрын
majaliwa ndo magufuli watakiona moto
@esterdoriye8377 Жыл бұрын
Ee Mungu cjui niseme nini kuhusu huyu PM Mungu ambariki
@williamjamanda8892 Жыл бұрын
Mungu ameingiza roho ya Dr. Magufuli kwake
@karloladislaus45 Жыл бұрын
Nchi imeoza hii.... Karibu kila halmashauri imeoza kwa ufisadi
Ww ni msaidizi sahihi wa raisi nakupenda sana mkuu wangu
@Solace5778 ай бұрын
Yaan wazir mkuu nakuonea huruma sana pole sana ndgu, hawa watu ni hovyo sana, yaan wakikuta barabarani na migari yao mikubwa wewe na ki passo chako weweee utapigiwa hon 😂
@surusuru1994 Жыл бұрын
Sikuizi wana zarau wanajuwa makufuli hayopo allah amrehm president wetu kazi kaz I love u Kasim 💖😢😢👏👏👏👏👏
@kabwikaibrahim-up3vg Жыл бұрын
You are doing very well Hon. Prime Minister. God bless you!!
@majaliwaharuna4064 Жыл бұрын
Fanya kazi mh waziri mkuu, tupo nyuma yake
@adirhoregilitu6507 Жыл бұрын
Hongera waziri mkuu
@mrsferuzi7443 Жыл бұрын
Mungu akulinde sana mh waziri mkuu
@williamjamanda8892 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana Mr Kassim Mungu akuzidishie utendaji kazi huo
@JAIROSMLIMILA-cl1wp Жыл бұрын
Vizuri sana mh waziri mkuu.
@abelshaursshauris9810 Жыл бұрын
Mungu akulinde mzee wangu
@WinifledyMbugi-ur1hq9 ай бұрын
Unaeleweka waziri mkuu
@othumantabai Жыл бұрын
Weka ndani wote mkuu
@yustahyera4288 Жыл бұрын
Duuuuh we baba nakuombea maisha mengi mbali ufike pia uje uwe rais wa nchi yetyu
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Uyo kamanda Sura nzuri sana
@Lizzleboy Жыл бұрын
Asante Mkuuuuuu
@lawrencechacha7863 Жыл бұрын
Mh.waziri mkuu wewe ni wapekee.hata mungu anavutiwa na utumishi wako.futa wapuuzi hao.
@rizionesegeza9742 Жыл бұрын
Asntee wazirii mkuu bt naona kama unawachelewesha hao duuh sisi tnasumbuka na kodi jaman kwa jpm hao walikuwa na kipengele jamaaaaa jpm 🙏🙏🙏👈
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Majaliwa my lovely PM nakupenda mnooooo
@Petro.John.2 ай бұрын
Ase nchi hii ngumu sana,usikute huyu jamaa hawamtaki halafu wakamazunguka.
@rafaelpaschal2245 Жыл бұрын
Mhw.waziri mkuu saluuti kwako
@jofreymsigwa85 Жыл бұрын
Safi mkuu wetu
@idrissaissa56079 ай бұрын
Sawa big kazi iendeleeeee
@ramambaga5561 Жыл бұрын
Hapa tunarudi nyuma tena kaulimbiu yetu hapa kazi tu😋🙏
@djmeza411a58
Жыл бұрын
✊️🖐👏👏👊
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Bravo muheshiwa majaliwa🙏🙏🙏
@ahmedhamad2410 Жыл бұрын
Nchi haiongozwi na mwanamke ikawa salama
@hubimogela9167
Жыл бұрын
Anaongoza sahivi ni nani ,na umeskia wapi kumevamiwa,acha ushamba
@uwembatvonline
Жыл бұрын
@@hubimogela9167 Sasa hivi anaongoza baba ako au
@aminimushi6945
Жыл бұрын
Dini zote zinajua hilo,lakini mapadre na masheikh kwa ajili ya njaa zao,wanafumbia macho vitabu vya Mungu,kwa mwenendo huu,nchi haitakuwa salama.
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
@@aminimushi6945 ww mwnyw haupo salama 😆😆😆😆
@priscabonifas7037 Жыл бұрын
Tunashukuru mheshimiwa Ila Mimi Kama mzalendo napendekeza pia huyo mkuu wa chuo Kama mwenyekiti wa kamati za ujenzi awajibishwe vikali maana anajua Kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika chuo chake
@ayoublamesi63479 ай бұрын
Wazili mungu akulinde kwa kazi unazofanya
@eliashibundabalinze2217 Жыл бұрын
Jamaa ameingia kwenye mkutano akiwa mheshimiwa...ndani ya dakika chache anarudi akiwa mtuhumiwa,duuuh maisha haya jamani hayana formula
@fredyphilimon38
Жыл бұрын
Waziri wa Mkuu katika ubora wake. Ufatiliaji ndio utendaji kazi
@novestjanuary8001
Жыл бұрын
Hahahahahaha
@edgarcruzee5223 Жыл бұрын
Mh Majariwa Hongera sana kwa kazi kubwa tunaombwa mchi nzima. Wafutwe kazi na kurudisha pesa. Mkuu wa Mkoa na Mkurungeze wote walipe
@saimabulasai9514
Жыл бұрын
Asa baba unajua kazi mungu akurinde
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Bilioni 7? Kweli nchi ina mambo mengi kwakweli! Ila PM MAJALIWA ulitakiwa wewe ndio uwe rais wa nchi hii, lkn chakushangaza 2025 hutokua Waziri mkuu tena,
@kyambarungwe6960 Жыл бұрын
Nakupnd Sana kipenzi Cha roho yangu majaliwa ♥️♥️♥️♥️♥️
@@yassinshamte4172 wewe pimbi unadhani huyo Samia kazi hio anaweza yaani ni mtu wa kukaa ofisi na kusubiria mshahara mwisho wa mwezi na ndizo Kodi zetu😂😂 ila mwaka 2025 wajipigie wenyewe kura ila wananchi wa Tz hawatopiga kura labda akigombea majaliwa hapo sawa
@nsanyarasheeed8693
Жыл бұрын
Inamaana hujui kuwa huyu ni Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .
@fredmashauri210
Жыл бұрын
Wampe kijiti 20225 anatufaa kabisaa
@MajaliwaAssenga-ev9jg Жыл бұрын
Magufuli si huyu hapa
@manning979 Жыл бұрын
Tumechelewa sana kuendelea kwasababu kama hizi nchi ni maskini kila siku kumbe watu wanapiga tu
@yunislemnhe9560 Жыл бұрын
Waziri mkuu wetu namkumbuka baba jamani enzi zake
@abdallahamad4682 Жыл бұрын
Tia ndanii,,,, soma iyooo... tutajuwa mbelee
@yekoniakusiluka469 Жыл бұрын
Raisi Hana pesa waziri mkuu pesa niza wanachii walipa Kodi zimeibwa pesa za wananchi zinaibwa Kodi zetu
@Christopher-ns6cq Жыл бұрын
Ee mungu mlinde huyu baba ndiye aliebaki tumaini la watanzania
@loner_wolf Жыл бұрын
ILA hii nchi ukiwa mkweli unakuwa mbaya. Majaliwa mungu akupe nguvu usimame kwenye haki tu na mungu karim atakunyanyua inshallah utashika uraia nambari moja utetee nchi yako.
@bajagihaji8923 Жыл бұрын
Ukiwa kiongozi Tanzania ni pasua kichwa ofisi imeungua nyaraka tu hii ndiyo bongo
@ndayishimiyeelias9692
Жыл бұрын
Amini usiamini akiwa kiongozi atakua busy na yangine, hata Suluh alkua hivo
@radhiambwana3353 Жыл бұрын
Waziri Mkuu✅
@rahabuahimas7410 Жыл бұрын
Baba Asante kwakututia moyo
@swalehembich2247 Жыл бұрын
Mheshimiwa waziri mkuu wote hao ni wahusika hata hao takukuru kwa nini hawaku chukua hatua na wao ndio chombo cha sheria
@hassann4209 Жыл бұрын
Wanyoshe sana. Namukumbuka JPM🇧🇮
@shinemakenzi8101 Жыл бұрын
Hii nchi watu wajipigia pesa za walipa kodi wa nchi hii kama za familia zao tu. Tatizo mfumo mbovu wa uongozi kuanzia ngazi za juu vigogo wanachota pesa bila hata soni tuoneeni huruma jamani ss walipa kodi wenu tumechoka ipo siku tutakinukisha bora mtuue tu wote mbaki na nchi yenu mtumbue vizuri
@user-tt8bz5zs6b9 ай бұрын
MH. WAZIRI MKUU WW. ALIE KUA WAZIRI MKUU. AMBA SASA NI MREHEMU NI BABA MMOJA KATIKA. KUCHAPA. KAZI
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Kosa lipo lakini ni kinyume na utaratibu kiongozi yoyote kuipa amri Polisi kumkamata mhalifu,
@jumamasoud1188 Жыл бұрын
Wew nijembe safi sana.
@zegelibilishanga6047 Жыл бұрын
Piga chini Rc Rs Dc na vikolombeezo vyote hawafai wote
@kilalaurio9922 Жыл бұрын
Hawezi kuwamaliza kwani wanawekwa na watu ambao hana mamlaka ya kuwafukuza. Njia pekee ya kutokomeza hao ni kufukuza viongozi wao. Kwa kifupi kuwajibisha kuanzia na mawaziri, wakuu wa mikoa nk. Kuwafukuza hawa ni sawa . MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MH. MAJALIWA
@benjaminemiku8200 Жыл бұрын
inawezekana nao ni washiriki wa hilo kosa ndio maana hawajaona kosa
@saidimgawe6548 Жыл бұрын
Ndio👏
@gabumremi4876 Жыл бұрын
sweka ndani
@pascalgasper403 Жыл бұрын
Kwani Waziri Mkuu Haluhusiwi Kugombea Uraisi? Maana........
@huseinikhamiskibwa2545 Жыл бұрын
Powa
@frankngoloka2589 Жыл бұрын
Inatia uchungu watu wanavyopiga hela,wako kitu kimoja hao mkuuu
@bahatisaimon6019 Жыл бұрын
Tatizo kubwa tena liko Kwa hao takukuru
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Waliohusika wote MUNGU AWANYOSHEE HUKU URAIANI KUGIMU SANA WENYEWE HUKO MWALA HELA NA KUFICHA HELA AAAA MUNGU. AWAFICHUE WOTE
@user-ut3gf1tg2n5 ай бұрын
Hawa n wahuni wamechoma makusudi ili kuzipoteza nyaraka ili serikali ikidai hakuna kitu hii nchi bila ujanja kwan haiwezekani tukijenga nchi zetu kama wachina tukiwa wazalendo tuifikishe nchi sehemu ya uchumi wa juu mbona inawezekana tu kuliko ujanjaujanja mwingi embu tubadilike
@yasinomary2147 Жыл бұрын
Majaliwa Qassim majaliwa mwenyez MUNGU akujaalie Baba uje kuwa mkuu wa nchi yetu ifikapo 2030
@renatusblandes1131 Жыл бұрын
JPM part 2 kazi nzuri
@frankchengula
Жыл бұрын
Nakuombea sana waziri
@edosichilengwe3150 Жыл бұрын
Eeeeeeh, hapo sawa chuma
@beatriceisack5317 Жыл бұрын
Ameni ameni
@allynditi3492 Жыл бұрын
Tengeneza Hiyooo!!!!!!
@emmanuelqaday6949 Жыл бұрын
Piga kazi comrade
@hajiharoub8125 Жыл бұрын
Ashkuru Sana maana ingekuwa ni raisi mwenyewe basi angemfukuza kazi hapo hapo na pesa angezitoa
@user-in6ml5zg6b9 ай бұрын
Waziri mkuu mafia 0:59
@huseinikhamiskibwa2545 Жыл бұрын
Wakalimejeera mpaka magodaun watujazie wananchi
@user-cy6me3vo3g4 ай бұрын
Ingekuwa amri yangu majiliwa apewe urais
@chemstry409 Жыл бұрын
Tatizo kizuri hakidumu....😢😢😢
@mwimbeatilio707 Жыл бұрын
Majaliwa wew ni mfano jaman ifike hatua tumuogope Mungu tukienda tukimuona tutamjibu majibu gani?Ikiwa shetani anamuogooa Mungu sisi ni akina nani wizi umejaa watu hawana huruma Mungu anawaona
@amehassanrehanirehani7906 Жыл бұрын
Safi san mkuu madudu yote na majipu usaha mafisadi waso uchungu na uzalendo na wenye tamaa wanaorudusha nyuma maendeleo yetu na kuwakosesha haki wengn wote wapasue mh. Majaliwa bila hurum maan wao wenyew hawana imani
@pacomezouzoua9175 Жыл бұрын
Hivi hamuwaonei huruma wananchi wanyonge kweli roho inaniuma sana
@mawazomolani2677 Жыл бұрын
Uzembe mwingi kwa watumishi wa uma
@alexsambia3046 Жыл бұрын
Wwe ndo tegemez la wa Tanzania tunakuombea Mkuu
@abhambomihambo6754 Жыл бұрын
Imefika wakati Takukuru nayo ichunguzwe na ifumuliwe upya na kuangalia mwenendo mzima wa utendaji wake na uwezo au uweledi wa watendaji wake!Cheo ni dhamana na inaonesha elimu zao hazitusaidii tena,tunahitaji"people of integrated,Responsible,seriously and willingness to do the job"I started to doubt even their religion faith isn't an issue anymore....we should think differently now
@AliSalim-yu4mo Жыл бұрын
Si peke take na hao wasimamizi wa taasisi zinazohusika kuchunguza hawafsi au wameshirikiana nae
@djmeza411a58 Жыл бұрын
Uyu ndiye mridhi wa jpm anaitwa Kasim majariwa magofuli
Пікірлер: 225
Nakuhurumia sana PM. Hawa watu sijui utawatokomezaje maana wametapakaa nchi nzima. Nchi ilivyokua kubwa hivi. Nakuombea Mungu akupe wepesi katika hili.
@herizotemunguwamajeshi8826
Жыл бұрын
Kweli PM Mungu akulinde hayo unayoyaona ni machache sana
Mama Samia Rais wetu, jembe unalo. Kazi iendelee mheshimiwa Waziri Mkuu, Mungu akupe maisha marefu tunakutegemea boss wetu
Asante sana Waziri mkuu kassimu majaliwa MWENYENZI MUNGU akupe afya NJEMA. ✍🇹🇿
Mungu akubariki kwa kazi njema nakuombea kwa Mungu uwe rais wetu
Safi sana mheshimiwa wazir mkuu kwa kazi kubwa unayofanya kwenye taifa hili,mungu akusimamie popote unapopita inshaallah
@fedrickkeneth5383
Жыл бұрын
N mpambanaji saana huyu kiongozi
Uyu mwamba namkubali sana mungu akupe maisha marefu waziri
Majaaliwa Baba etu Waziri wetu mungu akulinde, ukiwa Rais ao mafisadi watanyooka
Unyamaa mwingi waziri
Waziri mkuu wewe ndio kiongozi. Mungu akubariki ufike mbali
Da haki ya mungu kunawatu sijui vipi hao takukuru ..mapolisi wote wamekula hela...da mungu akuongoze mkuu ..miss pombe magufuli
Asante sana Mungu kwa kutupa huyu mtu, hakika hii ndiyo maana ya Waziri Mkuu naamini Kuna baraka zote Toka kwa Mungu na kwa Rais
@zakiabdi4793
Жыл бұрын
thanks for dat
@nyarikibweko
Жыл бұрын
Kama mzee magu kabisa mungu angurinde unachapakazi.
Mhe waziri mkuu akika ni mchapa kzi sana mungu akurinde mhe waziri mkuu wtuu akika tunaona kzi zako na matunda yako na ni mfano tosha wa kuigwa na viongizi wengine lakin mmebaki wachache sana wazarondo, wtu awna uhruma,
Hongera kwa utendaji Mhe. Waziri Mkuu.
Waziri mkuu Mungu yupo pamoja na wewe fanya kazi kwaajili ya watanzania Mungu atakusimamia hongera kwa kusimalia lasilimali na pesa za nchi
@ramadhanallysaidmkweleyi
Жыл бұрын
Hivyo ndivyo tunavyotaka
@ramadhanallysaidmkweleyi
Жыл бұрын
Mu
majaliwa ndo magufuli watakiona moto
Ee Mungu cjui niseme nini kuhusu huyu PM Mungu ambariki
Mungu ameingiza roho ya Dr. Magufuli kwake
Nchi imeoza hii.... Karibu kila halmashauri imeoza kwa ufisadi
@robertgallus85gallus52
Жыл бұрын
Hao takukuru ni hovyo kabisa
@adamufundikira7878
Жыл бұрын
@@robertgallus85gallus52 takukulu nao wapigaji tuu
Ww ni msaidizi sahihi wa raisi nakupenda sana mkuu wangu
Yaan wazir mkuu nakuonea huruma sana pole sana ndgu, hawa watu ni hovyo sana, yaan wakikuta barabarani na migari yao mikubwa wewe na ki passo chako weweee utapigiwa hon 😂
Sikuizi wana zarau wanajuwa makufuli hayopo allah amrehm president wetu kazi kaz I love u Kasim 💖😢😢👏👏👏👏👏
You are doing very well Hon. Prime Minister. God bless you!!
Fanya kazi mh waziri mkuu, tupo nyuma yake
Hongera waziri mkuu
Mungu akulinde sana mh waziri mkuu
Kazi nzuri sana Mr Kassim Mungu akuzidishie utendaji kazi huo
Vizuri sana mh waziri mkuu.
Mungu akulinde mzee wangu
Unaeleweka waziri mkuu
Weka ndani wote mkuu
Duuuuh we baba nakuombea maisha mengi mbali ufike pia uje uwe rais wa nchi yetyu
Uyo kamanda Sura nzuri sana
Asante Mkuuuuuu
Mh.waziri mkuu wewe ni wapekee.hata mungu anavutiwa na utumishi wako.futa wapuuzi hao.
Asntee wazirii mkuu bt naona kama unawachelewesha hao duuh sisi tnasumbuka na kodi jaman kwa jpm hao walikuwa na kipengele jamaaaaa jpm 🙏🙏🙏👈
Majaliwa my lovely PM nakupenda mnooooo
Ase nchi hii ngumu sana,usikute huyu jamaa hawamtaki halafu wakamazunguka.
Mhw.waziri mkuu saluuti kwako
Safi mkuu wetu
Sawa big kazi iendeleeeee
Hapa tunarudi nyuma tena kaulimbiu yetu hapa kazi tu😋🙏
@djmeza411a58
Жыл бұрын
✊️🖐👏👏👊
Bravo muheshiwa majaliwa🙏🙏🙏
Nchi haiongozwi na mwanamke ikawa salama
@hubimogela9167
Жыл бұрын
Anaongoza sahivi ni nani ,na umeskia wapi kumevamiwa,acha ushamba
@uwembatvonline
Жыл бұрын
@@hubimogela9167 Sasa hivi anaongoza baba ako au
@aminimushi6945
Жыл бұрын
Dini zote zinajua hilo,lakini mapadre na masheikh kwa ajili ya njaa zao,wanafumbia macho vitabu vya Mungu,kwa mwenendo huu,nchi haitakuwa salama.
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
@@aminimushi6945 ww mwnyw haupo salama 😆😆😆😆
Tunashukuru mheshimiwa Ila Mimi Kama mzalendo napendekeza pia huyo mkuu wa chuo Kama mwenyekiti wa kamati za ujenzi awajibishwe vikali maana anajua Kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika chuo chake
Wazili mungu akulinde kwa kazi unazofanya
Jamaa ameingia kwenye mkutano akiwa mheshimiwa...ndani ya dakika chache anarudi akiwa mtuhumiwa,duuuh maisha haya jamani hayana formula
@fredyphilimon38
Жыл бұрын
Waziri wa Mkuu katika ubora wake. Ufatiliaji ndio utendaji kazi
@novestjanuary8001
Жыл бұрын
Hahahahahaha
Mh Majariwa Hongera sana kwa kazi kubwa tunaombwa mchi nzima. Wafutwe kazi na kurudisha pesa. Mkuu wa Mkoa na Mkurungeze wote walipe
@saimabulasai9514
Жыл бұрын
Asa baba unajua kazi mungu akurinde
Bilioni 7? Kweli nchi ina mambo mengi kwakweli! Ila PM MAJALIWA ulitakiwa wewe ndio uwe rais wa nchi hii, lkn chakushangaza 2025 hutokua Waziri mkuu tena,
Nakupnd Sana kipenzi Cha roho yangu majaliwa ♥️♥️♥️♥️♥️
Safi sana mkuu tunakipenda mnooo
@joycekalago532
Жыл бұрын
Mamdogo😂
Honngela munguakubaliki akupeuwepesi afya njema amin
Nakubali muheshimiwa 👏🏽
Rais wetu ndio huyuu
@yassinshamte4172
Жыл бұрын
We unadhani anafanya kwa maelekezo ya nani....
@jessegodson8575
Жыл бұрын
@@yassinshamte4172 wewe pimbi unadhani huyo Samia kazi hio anaweza yaani ni mtu wa kukaa ofisi na kusubiria mshahara mwisho wa mwezi na ndizo Kodi zetu😂😂 ila mwaka 2025 wajipigie wenyewe kura ila wananchi wa Tz hawatopiga kura labda akigombea majaliwa hapo sawa
@nsanyarasheeed8693
Жыл бұрын
Inamaana hujui kuwa huyu ni Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .
@fredmashauri210
Жыл бұрын
Wampe kijiti 20225 anatufaa kabisaa
Magufuli si huyu hapa
Tumechelewa sana kuendelea kwasababu kama hizi nchi ni maskini kila siku kumbe watu wanapiga tu
Waziri mkuu wetu namkumbuka baba jamani enzi zake
Tia ndanii,,,, soma iyooo... tutajuwa mbelee
Raisi Hana pesa waziri mkuu pesa niza wanachii walipa Kodi zimeibwa pesa za wananchi zinaibwa Kodi zetu
Ee mungu mlinde huyu baba ndiye aliebaki tumaini la watanzania
ILA hii nchi ukiwa mkweli unakuwa mbaya. Majaliwa mungu akupe nguvu usimame kwenye haki tu na mungu karim atakunyanyua inshallah utashika uraia nambari moja utetee nchi yako.
Ukiwa kiongozi Tanzania ni pasua kichwa ofisi imeungua nyaraka tu hii ndiyo bongo
@ndayishimiyeelias9692
Жыл бұрын
Amini usiamini akiwa kiongozi atakua busy na yangine, hata Suluh alkua hivo
Waziri Mkuu✅
Baba Asante kwakututia moyo
Mheshimiwa waziri mkuu wote hao ni wahusika hata hao takukuru kwa nini hawaku chukua hatua na wao ndio chombo cha sheria
Wanyoshe sana. Namukumbuka JPM🇧🇮
Hii nchi watu wajipigia pesa za walipa kodi wa nchi hii kama za familia zao tu. Tatizo mfumo mbovu wa uongozi kuanzia ngazi za juu vigogo wanachota pesa bila hata soni tuoneeni huruma jamani ss walipa kodi wenu tumechoka ipo siku tutakinukisha bora mtuue tu wote mbaki na nchi yenu mtumbue vizuri
MH. WAZIRI MKUU WW. ALIE KUA WAZIRI MKUU. AMBA SASA NI MREHEMU NI BABA MMOJA KATIKA. KUCHAPA. KAZI
Kosa lipo lakini ni kinyume na utaratibu kiongozi yoyote kuipa amri Polisi kumkamata mhalifu,
Wew nijembe safi sana.
Piga chini Rc Rs Dc na vikolombeezo vyote hawafai wote
Hawezi kuwamaliza kwani wanawekwa na watu ambao hana mamlaka ya kuwafukuza. Njia pekee ya kutokomeza hao ni kufukuza viongozi wao. Kwa kifupi kuwajibisha kuanzia na mawaziri, wakuu wa mikoa nk. Kuwafukuza hawa ni sawa . MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MH. MAJALIWA
inawezekana nao ni washiriki wa hilo kosa ndio maana hawajaona kosa
Ndio👏
sweka ndani
Kwani Waziri Mkuu Haluhusiwi Kugombea Uraisi? Maana........
Powa
Inatia uchungu watu wanavyopiga hela,wako kitu kimoja hao mkuuu
Tatizo kubwa tena liko Kwa hao takukuru
Waliohusika wote MUNGU AWANYOSHEE HUKU URAIANI KUGIMU SANA WENYEWE HUKO MWALA HELA NA KUFICHA HELA AAAA MUNGU. AWAFICHUE WOTE
Hawa n wahuni wamechoma makusudi ili kuzipoteza nyaraka ili serikali ikidai hakuna kitu hii nchi bila ujanja kwan haiwezekani tukijenga nchi zetu kama wachina tukiwa wazalendo tuifikishe nchi sehemu ya uchumi wa juu mbona inawezekana tu kuliko ujanjaujanja mwingi embu tubadilike
Majaliwa Qassim majaliwa mwenyez MUNGU akujaalie Baba uje kuwa mkuu wa nchi yetu ifikapo 2030
JPM part 2 kazi nzuri
@frankchengula
Жыл бұрын
Nakuombea sana waziri
Eeeeeeh, hapo sawa chuma
Ameni ameni
Tengeneza Hiyooo!!!!!!
Piga kazi comrade
Ashkuru Sana maana ingekuwa ni raisi mwenyewe basi angemfukuza kazi hapo hapo na pesa angezitoa
Waziri mkuu mafia 0:59
Wakalimejeera mpaka magodaun watujazie wananchi
Ingekuwa amri yangu majiliwa apewe urais
Tatizo kizuri hakidumu....😢😢😢
Majaliwa wew ni mfano jaman ifike hatua tumuogope Mungu tukienda tukimuona tutamjibu majibu gani?Ikiwa shetani anamuogooa Mungu sisi ni akina nani wizi umejaa watu hawana huruma Mungu anawaona
Safi san mkuu madudu yote na majipu usaha mafisadi waso uchungu na uzalendo na wenye tamaa wanaorudusha nyuma maendeleo yetu na kuwakosesha haki wengn wote wapasue mh. Majaliwa bila hurum maan wao wenyew hawana imani
Hivi hamuwaonei huruma wananchi wanyonge kweli roho inaniuma sana
Uzembe mwingi kwa watumishi wa uma
Wwe ndo tegemez la wa Tanzania tunakuombea Mkuu
Imefika wakati Takukuru nayo ichunguzwe na ifumuliwe upya na kuangalia mwenendo mzima wa utendaji wake na uwezo au uweledi wa watendaji wake!Cheo ni dhamana na inaonesha elimu zao hazitusaidii tena,tunahitaji"people of integrated,Responsible,seriously and willingness to do the job"I started to doubt even their religion faith isn't an issue anymore....we should think differently now
Si peke take na hao wasimamizi wa taasisi zinazohusika kuchunguza hawafsi au wameshirikiana nae
Uyu ndiye mridhi wa jpm anaitwa Kasim majariwa magofuli
Majaliwa for president 2025