KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI"
KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 274
Pole Sana Mh waziri mkuu, watumishi Kama hao wako wengiii. God bless you
Mh.Waziri mkuu, kwa kweli unachapa kazi iliyotukuka, wanamchi wako tunakushukuru sana na tunakuamini Sana na tunakuombea sana Mungu akubariki
Hii ndiyo Serikali ya Samia Suluhu. Angekuwa Marehemu Magufuli, hapa vichwa vingeanguka leo leo. RIP Magufuli
@omaryramdhani9823
3 ай бұрын
Hana lolote lilikua na roho mbaya hilo dude lako uliko litaja
Washitakiwe. Naomba kuwekwe Sheria ya utumishi wa umma. Atakaeenda kinyume na taratibu za kazi,kula rushwa,kufanya dhuluma na kutofuata Sheria za kazi washitakiwe. Tunawalipa Kodi zetu na watanzania wengi waadilifu hawana ajira.
@ahz6907
9 ай бұрын
Wanyongwe😅
Majaliwa you deserve to be a presdent,
@jumakondo5688
5 ай бұрын
My next President
Daah baadhi ya watendaji ni wabaya sana na wana roho mbaya sana! Asanteh Waziri Mkuu! Wazawa wanawekeza wazawa hao hao wanakwamisha! 🙏
@knight6757
9 ай бұрын
👀
Watanzania huyu jamaa Mungu katupa 1) Awe raisi 2) CCM wakikataa awe raisi basi tumchangie hata 💯 kila mwananchi
Baba jiuzuru uwaachie nchi yao, kipindi kikifika tutakuchagua 😢 Wasikudharau Bure Baba
@hadijamandanje6189
9 ай бұрын
Mhh mhh siku ya hukumu imekuwa tumevurgwa na yetu Ila tungekuwa na wasaa wa kuangaliana tungebaku midomo wazi,kutokuamini ukweli wa mambo
@johnmworia1062
9 ай бұрын
Sukuma ndani alafu wachunguzwe inaonekana ni wapigaji hawa.
@richardjoseph2921
9 ай бұрын
Kweli kaka huyu mzee wetu wanam~buruza tu. Usikute hata kustaafu wanamgomea hili kuficha......
@hadijamandanje6189
9 ай бұрын
@@richardjoseph2921 usilolijua sawa na usiku wa giza
@wamoyothenumberone4356
8 ай бұрын
Yeye sindo wazili mkuu sianamaamuzi na Utawara Akonaoo
Hapa Kuna mambo mengi yalienda mrama .. kuhusu utaratibu. Pm amelazimika Hadi kutumia vetto.
PM ni mmoja TU TZ
Aisee wanyonge wanapata tabu sana!😭
You are among few remaining TRUE SONS OF AFRICA.
@user-uj9zn6mj5b
4 ай бұрын
Ndicho tunakipata WAKULIMA WA VANILLA MKOANI KAGERA TUNAIDAI KAMPUNI YA SOSAKA
Mwanza kuna syndicate mbaya sana inayohujumu kila kitu cha maendeleo na wanajifanya wao ni untouchable. Hongera waziri Mkuu kwa kuwakabili hawa.
Mzee wewe ni mtu sahihi peke ako ambae umebaki kwenye uongozi huu hao wengne wanafata upepo tu mungu akuweke sana mzee unapiga kaz nzuri sana🙏🙏🙏
@fidemgonja1966
9 ай бұрын
Nchi hii ukisimsma kwenye haki utapgwa vita kama sana pm kazia apoapo
Waziri Mkuu wewe ni damu ya JPM kabisa tunakupenda Watanzania wote. Hao mashetani ni majipu tumbua.
Uyoo ni kibuli SANA. Anaweza kushindana na Mkuu wake WA KAZIIII DUUUUU GONJWAAA SANA LA UBONGOOO
@godlovemasamakibatandu2092
9 ай бұрын
Kwani hujui teuzi za mama? Ni kujuana ndio maana kamweka wazuri mkuu naibu
Watendaji Ardhi Halmasahauri manispaa ya kinondoni wanatapeli mnoooo
Mali iliyopatikana kutoka kwa wananchi kwa njia ya compasation kwa manufaa ya Umma haiwezekani tena wananchi wengine wauziwe. Kuna shida hapa.
Majaliwa kama majaliwa waukweli ndoo huyu mwamba wa serikali tatu.
Vzr sana waziri mkuu binafsi nakuamini sana,
Naona PM akapewa kinoti..aloo...hii nchi aliiweza MAGU tuu
Na huyo àliye toa kauli ya kumdharau WM pamoja na Mkuu wa Mkoa wanachukuliwa hatua zipi.Ikumbukwe kuwa huyo Kamishna wa ardhi aliyetoa hiyo kauli ya dharau na DED wàlitumbuliwa na Magu, lkn wakarejeshwa na Mamlaka iliyopo, hapo picha ni kubwa zaidi. WM ana kazi...
Mh.Waziri mkuu kama wanakuzingua jiuzulu 2025 tukupe nchi....
Tunashkuru sana wazirimkuu Kwa maamuzi sahihi mungu akubariki sana ,naona wakuu hapo vipara ving'aa kwelkwel
@wamoyothenumberone4356
8 ай бұрын
😂😂😂
Hivi huu utamaduni wa watu kuwa incapable ya kufanya jukumu lao alafu wanahamishwa badala ya kufukuzwa na kutaifishwa mali zao kulipia hasara waliyosababisha haya mambo ndio maana hayakomi. Hapo ndipo walipomchukia JPM,yaani haiwezekani watu kuwa that stupid. Alafu bado ana kazi,WaTZ over 65mil tuna recycle same idiots? Aisee kiendelea hiyo nchi ni ngumu sana,biashara ya kuoneana aibu hii inatutia umaskini. Wafukuzwe na wafilisiwe,inaonekana sababu ni pesa ya serikali hakuna mwenye uchungu nayo. Ni JPM(RIP) tuu ndio aliyekuwa anamaanisha alichokuwa anakiongea,love or hate him.
@sanaanimaisha4072
9 ай бұрын
Umesema kweli ndugu. Recycling the same idiots, incapable fools
@janethpallangyo3855
9 ай бұрын
Kabisa
@shubebunyesi542
9 ай бұрын
Jpm mengine mnamsingizia angekuwa hai angekataa ayo maneno mnayo mlisha Magu alikuwa anawatumbua tu lkn wako huru na sanasana ni wale viongozi walioteuliwa tu mfanyakazi aliyeajiriwa kuna hatua za kufuata tofauti na apo ata atakushitaki na utalipa fidia na kazi anaendelea sio rahisi Mana wengi wangekuwa walishafukuzwa, lkn pia matumaini yamekuwa makubwa kuliko uhalisia yule alikuwa mkali lkn watu walikuwa wanapiga kama Kawa
@onekisstv8412
9 ай бұрын
Tafuta pesa Broo 😂😂😂 tuachane nao hao sio tz ndo inawatu wa hovyo nnchi nyingi duniani zipo hivyo
@prospervedasto4366
9 ай бұрын
Sidhani kama PM walopita wangaliweza kuendesha kikao na kulalamika hivyo, Mh. PM ajitafakari analiwa kisogo heri awaachie kiti hicho abaki na heshima yake
Huyu ndiye kiongozi mwenye hofu ya Mungu
Inafurahisha sana level ya ufuatiliaji But the irrelevance of the issue is even next level. i wish vipewe kipaumbele vitu vyenye msingi kwa Wote in such a public level of detail.
Waziri mkuu Majaliwa wewe ndiyo ulistahili kuwa Rais mama hawezi wewe ni kama hayati magufuli unachapa kazi vizuri sanaaaa
@ZanzibarOrchestra
4 ай бұрын
kumbuka uweko wake hapo ni kwa sababu ya mama asingetaka awepo ungekuwa ushamsahau. mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
The only Leader at the Moment
Hongere Mhe Wazir Mkuu kazi inaendelea..........
Shughulika nao mheshimiwa waziri mkuu kwani viongozi mmekuwa mnapoteza imani kwa wananchi kwaajili ya watu wachache wenye mambo ya hovyo kabisa kama hao wanao nyima haki za watu kwa maslahi binafsi
Mkuu mpo vizuri sana ww na mama yet rais Wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia sulluhu hassan
Tanzania Kila mtumishi ni mwizi.Nchi ina loopholes nyingi sana hii na haitatoboa
Tanzania bhana hatari Sana mkuu wa mkoa anajimwambafy kwa waziri mkuu hii ni hatari Sana
@TM.Sullusi
9 ай бұрын
Sio hata mkuu wa mkoa ni Mkurugenzi wa halmashauri 😂😂😂
Tuwe wangalifu na maneno kwani yanaumba. Tuseme unachopenda na wewe usikie. Mungu Baba Mwenyezi tusameje kwa udhaifu wetu. Amina
Unahitaji katika wakati huu mkuu kumsaidia mama.
Yaaaan, hao jamaaa waliuza hadi eneo la kujenga kanisa
I hope your Excelence One day to BE the Next President of Tanzânia. Naipenda bure kazi yako safi sana Mze
Safi saana Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa maamuzi magumu.Hongera Sana!!
Mkuu hao sio wakuongea nao kama wanakuzarau wachukuliwe atua haraka sana
Magufuli alikataa makala wengine wanasema makala.mzuri
Hii nchi imekwisha kufa unachofanya ni sawaswa na kutaka kufunika mwili kwa leso.
Aliesikia jambo dakika ya tisa sekunde ya 14 mpka 19 agonge like hapa😂😂😂😂😂
Hongera Mh. Waziri Mkuu, huko ardhi yapo mengi tuu, ya aina hiyo. Wengi wana viliyo kama hivyo.
hayo yaendelee katika uchunguzi mbalimbali nchi nzima inchi itakuwa inaviongozi wachapa kazi na waaminifu na wenye hofu ya mungu na kazi iendelee. ubarikiwe sana kiongozi.
Mweshimiwa waziri mkuu gombea uraisi unapita mia ya mia mungu akulinde
Siku zote nakuamini PM✍️ keep going...naomba mh chukua maamuzi magumu juu ya maadui hawa😢😢😢..inauma sana👽 nimeumia sana kudharauliwa mh waziri mkuu wetu🤨💯
Mhe Waziri mkuu binafsini nimeumizwa sanaaaa na hata kwenyemjadala wetu hapa wanainchi wameumizwa sanaaaa na kauli ya ,Mkurugenzi ya zarau kwako wewe waziri mkuu ,hapawi kuachwa madarakani nahuyo kamishna hapaswi kuhamishwa wanapaswa kufukuzwa kazi ,tunashangaa kuona Serikali mnazidi kuwabembeleza ,wakati wzsomi wengi wapi wanaotii mamlaka hawa watu wafukuzwe iwe mfano kwa watumishi wenye zarau kama hao
Waziri Mkuu Mungu awe nawe,Hawa viongozi wengine ni takataka ni na mzigo kwa Taifa Letu.
😁😁😁😁 majamaa wanajifanya kuandika notes kama wako serious vile ha ha ha ha
Uyu Mzee anafaa kuwa Rais kabisa
Waziri mungu akubaliki akulinde kwakutendaaki atasisi uku avc wanatutesa sana juu yamambo kamaayo
Muwekeni ndani uyo mkurugenzi
Mkuu wa Mkoa anasinzia mbele ya Boss wake
Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake. (LUKA 10:2)
katiba mpy ndo kilakitu
Naomba number zenu Nna habari moto sana Arusha kuna wakubwa wana tafuna ela za shule
Tuna macho hatuoni tunamasikio hatusikii mama akimaliza muda wake tunakuomba baba gombea urais mungu akuweke insha Allah.Au ikiwezekana jiuzuku igombee Kwa chama chochote tutakuja kura
Kuna watuhumiwa wawili hapo mzee wetu magu aliwatumbua mama akasema sikubali wakarudishwa mlimfanya magu chizi nyinyi ndo wajuaji wameboronga tena bado huyo mmoja makalla mnahangaika naye kumuhamisha mikoa mpaka analeta dharau bado waziri mkuu unamtetea eti wamemmislead haya hangaikeni naye tu sijui mtamrudisha Dar bado tu zunguukeni naye ila iposiku mtajua magufuli hakukosea kumtumbua Amos Makalla sema mama kama alikuaga na nongwa na magu
@Zainab-sq1tc
9 ай бұрын
Kumbe alitumbuliwagw
@abdullahchabukila6686
9 ай бұрын
Kabsa wanajifanya wajuaji ona sasa madudu Baba magu alitoa takataka zote bikidude kaludisha ni upuuzi tu 😢
@annamwakibinga527
9 ай бұрын
Wale watu wa Magufuli wote aliowatumbua wamerudi basi acha wale nchi
@ahz6907
9 ай бұрын
@@abdullahchabukila6686bi kidude...
@Abdulhamid-pw3qy
3 ай бұрын
Nyie wote ni pumba tu. Mna ndoto na mwenda zake dikteta jiwe Magu muuwaji asie na huruma ktk utawala wake wa mkono wa chuma. Yule alikuwa na roho mbaya na chuki na ndio maana M/Mungu alimuondoa mapema ili kuwapa amani viumbe wake. Moto wa milele umuunguzie dikteta mtoa roho magufuli.
Safiii baba waziri mungu akulende na zidi yaa mafisadi baba
Huyo makala ni Basua kichwa Sana hata Dar es salaam ametusumbua Sana maamuzi yake ni maumivu Sana kwa WANANCHI , mkurupukaji awezi kuita pende mbili ili kupata suluhu, Mungu atamlipa tu hapa Dunia, Uongozi ni Busara,hekima na Utu
Waziri Ongera sana kwa Kazi
Tunasimama na wewe Waziri Mkuu wetu, kauli ya Mkurugenzi imetuumiza hata sisi wananchi .....Our future President
Xafi xana wazir mkuu tumia fyekeo lilelile tumechoka ❤
Huyo aliepinga maagizoo ya wazili mkuu maamuzi aliyatoa waapi
Dhamiri hai kwa binadamu zimekufa . Dhamiri hai njema zipo chache hatutaweza kuishi kwenye aridhi hii milele alie iumba anatuangalia sana tu Mungu atusaidie sana wenye haki aisee
WAZIRI MKUU WE KATA FUNUA HAO 😏😏
Jamani leo tupo tunaishi hivi kesho yetu ipi kwa Mungu haki ikwapi viongozi mliopata wadhifa wa kuwasadia wananchi mpaka waziri mkuu aumize kichwa ili kuweka usawa . Pongezi waziri mkuu
Mama tumbua ayo majipu😢😢
@davidmisiwa4622
9 ай бұрын
Anaanzaje
Waziri mkuu anaongea kwa kuumia,anatetea ofisi ya PM, sio yeye kama Majaliwa. Kama huyu mwenye dharau kwa maagizo ya PM ndo wale 'chawa wa mama',bado tuna safari ndefu
Mm sijui niseme nn yan watanzania washamilza ❤❤ PM kasim
Tatizo kupeana. Kazi makada wa ccm tunasumbuliwa Sana kwenye ardhi ndio sehemu yao Kuu wanaojifanya wakonayo bize kuleta migogoro
Ila hii nchi tuachieni wasukuma muone naona Moto wetu mnaujua vzr
Good job mhe PM MAJALIWA MAJALIWA HAKUNA ASIEKUELEWA TANZANIA HONGERA SANA KWA KUMSAIDIA KAZI MAMA SAMIA LAKINI HONGERA SANA KWA KUSOLVE MATATIZO YA WANANCHI
Mungu akulinde baba.
CONGATURATION OUR MP I WANNA YOU BE OUR FORE PRESIDENT 2025 and not samiah suluhu hassan I BELIEVE 2025 THERE WILL BE HIGH POLITICAL SITUATION RATHER THAN EXPECTED
Kwel kukosa kujitambua no hatari sn.et kiongozi anasema hatambùi maagizo ya Waziri mkuu?
Waziri mkuu kazi unayo maana huna support kutoka kwa Rais😢😢😢😢
Tumebaki na majaliwa mungu onyesha nguvu zako huyu kiume awekiongoz wajuu katika taifa la TZ
Kuna jamaa nimemuona alifukuzwa namakonda Arusha aliyenyoa kipara mweusi sijajua kwann bado yupo kazn mpaka Sasa alikua mkurugenz wa arusha
Tunakuomba mpwapwa mh. Waziri mkuu
Kuna nafasi Fulani natamani nikuone huyu mwamba ,naomba nisiitaje Hadi mwanasheria wangu aniruhusu😊
Makala lazima afukuzwe hafai kuwa kiongozi alituumiza sana huku Daresalam
Mh.inabidi uwe mkali sana hao wanakuzoea wakikuzalau wewe soon watamzalau Rais
Wazurumaji hao wapiga diri hao kuoneya wanyongee wasio kuwa na pesa😢😢😢
Hii nchi rais akiwa Mh Majaliwa na waziri mkuu akawa Jerry Slaa hakika watu tutaheshimiana hawapendi ujinga.
Hyu makala anatakiwa achunguzwe ana kanamna sio bure
Huyu makalla hamna kitu kabisa Mzee,,, ata uku dar alishanza kuvurunda
Hii imeenda Al ahali imekuja dar es salaam wakagungana Simba imeenda misri Moja Moja afu Simba katolewa vipi hawa
inshallah one you must lead this country
Tatizo munalindana sana mngekuwa mnawafunga kifungo cha maisha na kutaifishwa mali zao wasingekuwepo .mtu akiua anafungwa maisha na aliyeiba mali za umma mnamuacha . Watanzania wangapi watakufa kwa kukosa huduma?
The fittest one will survive.....!
Mama sasa sasa hapo alitakiwa kumuunga mkono wazili wake kwa nguvu zote sisi mama akinyamaza inaoneswa kuwa ni nguvu ya waziri tu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ZanzibarOrchestra
4 ай бұрын
kwani kila mmoja ana serikali yake?
Mh. Yaani hadi nukta unasoma,Magu alikuwa anasoma 30% the rest yapo kichwani.
UnApata wapi ujasiri wa Kumzungusha Hon; PM majaliwa
Hawa waheshimiwa wamenona Sana sisi wananchi tunahalimbaya,,,kwanini msilizike na mishahala yenu
Huu wakati taabu tupu mwisho wetu haueleweki
Kwa kauli aliyoitoa mkurugenzi kuhusu kutotambua maagizo yako anatakiwa kutenguliwa uteuzi wake,hastahili kuwa kwenye nafasi hiyo ya utendaji,tutaendelea kusikitika kama mteuaji ataendelea kumkumbatia.
Hata hiyo fidia ya milioni 107 ni udhurumaji mkubwa sana
Dah kweli hii nchi imeyumba.