WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI
amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 106
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Mungu azidi kukutetea mh. PM. Watanzania tunataka utendaji wa namna hii.
Wewe waziri mkuu acha kutumbua wadogo tumbua na vigogo sio wadogo tumbuwa wote wanaiba mali ya umma..kama vile ,mkamba,mchemba,na wengineo tumbua
@samsonkihwele6544
9 ай бұрын
Kazi ya raisi sio waziri mkuu kutumbua
@thomastemu3332
9 ай бұрын
Makamba ndo Papa kabisa hafai
Tume miss hii kitu yaani waziri mkuu nakupenda saaaana 2025 ndo Rais wetu
@geraldmakalala6091
9 ай бұрын
Hapa na mkumbuka Hayati Magufuli
@laurentraphael5470
9 ай бұрын
Sidhani
@magrethmbangama1199
9 ай бұрын
Hawawezi kump nchi mafisadi wale,wanajua wakimpa huyu ni zaidi ya magufuli
@florencemeza6540
9 ай бұрын
@@magrethmbangama1199 eti ehe tuingie kwenhe maombi
Kama Kuna mtu ninayempenda ni mwl majaliwa nakupenda bure
Mungu akubaliki waziri mkuuu mm ni chadema lakin unanivutia utendaji wako mkuu
Pole waziri mkuu tunakukubali,sana
Mbona wezi CAG hawakufukuzwa makosa ni yenu huko juu mnawaonea tu hawa wa chini hamna lolote mtoke kwenye ofisi za umma wote hamfai MACCM
@Muganyizi
9 ай бұрын
Mbwa wew
@kiazikitamu3985
9 ай бұрын
@@Muganyizi bora niwe mbwa kwa kusema ukweli kuliko kuwa binadamu asiejali utu na Watanzania na tabia ya mbwa kama ukivyoniita ni kulinda sasa wacha nilinde na ni kulinde hata wewe watanzania mnadanganyika haraka mno ujinga wetu ndio mtaji wao, mbwa nawapenda na rafiki kwa binadamu kwangu sio tusi ni cheo umenipa
Jamani viongoz ifike sasa mahali muwe mnafukuza aina ya wezi na wazembe , hawa, tumechoka. Fukuzeni , ajirini wengine
Mama amekataa mabango,yalikua yanafichua Siri hizi,sasa waziri wetu mkuu anapata shida Bure,pole waziri wetu mkuu.
Good 👍👍👍👍
Good
Jionee mwenyewe mkuu
@user-ii6gs2jg4g
4 ай бұрын
Yaaani😭😭😭😭😭
DUHHHHHHHHHH, MBONA KIZUNGUMKUTI??????,
Mtu anazembea hapa, na kuiba hapa mnamuhamisha idara, tutafika kweli, ??? Watu wanapewa mihela hawajui hata matumiz,
@PLAYPROGAMING568K
9 ай бұрын
Ni kweli ukihamisha hamisha ugonjwa uko palepale ni kuondoa ondoa haswa wa chini ondoa mpaka messenger anajifanya ndiyo anaulizwa ati hii inafanyanini ?na au huyo hapa panahudumiwa na nani ?au mgambo ni anampa maelezo yule aliyeletwa yaani kutoka chini mpaka juu ni muozo tafuta waliyosoma wako wengi University of Dar es salaam wanatafuta kazi ,hawa imelemaa hawafuatili na wala hawasomi karasi yoyote wanayoletewa
Haya mambo tumeyamiss sana...
Tumbua pia mawaziri wako mpka sasa watanzania awapati umeme na maji
Hapa kazi tu fanya kazi baba
Timua viongozi wote wanaohusika na umeme
Hayo matatizo ya halimashauli hata Namtumbo yanasumbua sana kiongozi
Kassim Majaaliwa, Rais Mzalendo ajae wa Tanzania
@abuumuhammad7133
9 ай бұрын
Lakini tambueni hiyo ndio kazi ya Waziri Mkuu Mtendaji Mkuu wa Serekali hivyo yeye ndio anatakiwa mara kwa mara afwatilie hayo sio kazi ya Rais
@mohammedalghannami3150
9 ай бұрын
@@abuumuhammad7133 kweli kwahakika wote wanamuakilisha Rais ila Majaliwa anaonekana ni mtii mzuri zaidi Kwa Mama, na ana uchungu na nchi yetu
@user-od9cf7lp9v
9 ай бұрын
Waziri mkuu hawezi kuibua changamot za Kila wizara na mambo yake lazim wasaidiz walioaminiw wawe watendandaji,,, Kam msingi ukiharibika mweny haki atafanya nn
Duuu na leo kimeumana tena😂😂
Upo kwenye hako
Subiri. Subiri. Ngoooja. Taraatibu😂😂😂😂
Namkubali sana kassim majaliwa😂😂
Hao wanafundishwa na akina makamba ndio walimu wa kula rushwa..
@thomastemu3332
9 ай бұрын
Ndiyoooo 😢 kabisa
Njoo na ilemela mwishimiwwa waziri mkuu huyu mkurigenzi kalia pesa ya maji😊
Wezi ao wamekula Ela zetu za walipa Kodi na tozo zetu ss Kodi nyngi walaji wachache
Kazi zao hao ni kutengeneza migogoro tu kwenye halimashauri zetu
Tatizo ni huyo bibi hapo juu ndo anaturudisha nyuma mambo hayaendi ,na bi mkuubwq yupi tu kupaka hina
Kwanin wakipewa hela wanakaa nazo kwa muda wote huo, wanatakiwa wakipewa hela wapangiwe mda wakuitumia na pia kila kitu kiende kwa hesabu
Magu alieanyoosha Hawa,Sasa wamerudi kwa Kasi kwaajili ya kulindana,kilamoja anakula urefu WA kambayake .....
Daaaaah inasikitisha sana
Naomba namba yako muheshimiwa.this is voice of Gog.
Mkurugenzi wa hovyooo saana ni kilaza kabisaa
Watu wazima hawa kweli???? Yatumbulie mbali!!! Kisha wanunuliwe ma probox na sio V8. Hata kujieleza hawezi itabidi utembeze bakora this is too much!!
HUYU NDIO TUNAE MUHITAJI SAASA
MPK WAFUATWETUATWE HAWAJITUMI-WATUMBULIWE WAPO WASOMI WENGI HAWANA KAZI.HAWAONI AIBU MPK WAZIRI MKUU AFUATILIE
Mhuuuuuuuu pole ded
Wanamuhuju Our President Her Excellency SAMIA SULUHU HASSAN.Accountability
Mzee wangu nakuelewa but kwa xx huna nguvu ya kuongea km ulivyo kua nyuma 3yrs
Watumishi huwa wanahamishwa saaana huenda wote hapo wameyakuta hayo mauza uza
Naukiwakuta bar hao hatukai nao maboss wakula pesa zetu
Hayo mabilioni tajwa mpk kichwa chaniuma
Kupeana vyeo kwa misingi ya udini italiangamiza taifa. Mkurugenzi anaonekana kilaza.
@abi-onlinetv4181
9 ай бұрын
We ndo kilaza tena Sana. Hapo kuna dalili gani ya udini au umeropoka tu. Makalio yako.
@thomaskwibonelwa9240
9 ай бұрын
@@abi-onlinetv4181 vaa miwani uone kilaza alie teuliwa.
@Hussein-qq2uy
9 ай бұрын
Wewe Thomas ndio mdini tena hufai kabisa Acha chuki zako za kijinga na za ajabu ajabu,,,,kwa taarifa yako huo ushungi aliovaa mkurugenzi ndio ustaarabu na ndio heshima ya mwanamke ,,,,,,,,mdini mkubwa weee
Waziri Mkuu maeneo yote yanengwe
Mhuuuuuuuu nanyi mnabeba hata ambao hawayajui mambo ya halmashauri hayo sasa
Mweshimiwa ungekuja hata mbarali tunateseka umeme unakatwa mpka jumapili
Cheki lile jizi lililo Vaa shati la kijani
Mwananchi anawaangalia tu mnavobwabwaja hapo ipo siku yenu
Kwambali namuhona JPM.NGOMBEYA URAHISI BABA CASSIM MAJALIWA.
manawaonwa bwana nyinyi mbona mnakwiba alafu manonea hao CCM HAITUFAI BWANA HATUATAKI TENA
Hivi huyo mzee alikuwa amezuiliwa au
Wezi hao peleka jela tumechoka
MKURUGENZI Mpumbavu saana huyu. Tumbua Wote
Tatizo wizi mtupu hakuna mawazo ya kujenga watu wanataka kuuza
Majizi wanazozana mtu ukisha kuwa ccm ni mwizi
Wasimamizi ngazi ya wilaya na mkoa mbona hawaajibishwi
Nchi hii inapigwa kila kona, sababu ya viongozi wazembe na dhaifu. Mjiuzulu tu wote, wachumia matumbo tupu
PM
Wakurugenzi hao vibaka kiongozi
Raisi ajae hataari Sana mama anamajembe
Ingekuwa enzk za JPM WOTE MNGEFUKUZWA wananchi wanacheka wanajua kinachoendelea
naombeni basi na mimi nafasi nijaribu ,mbona naweza simamia vizuri sana ..
@thomastemu3332
9 ай бұрын
Hahaaa hela tamu.unaweza kujisahau
Fukuza mkuu wa mkoa Kigoma na mkuu wa wilaya kwasababu ni aibu kubwa kwa waziri mkuu kuibia uozo
LABDA NDIO MSIMAMO WA SERIKALI KWA NINI WASITUMBULIWE WANASIMAMISHWA TU
Sasa hii itasaidia nini wakati nchi haina raisi ni kelele tu za bure
Waziri hawa watu hawana uwezo wa kusimamia hawajitambui tandika vimbo hera kama zimeperekwa mama huyo anatesa watanzania
Hawafai watumbuliwe hao
Viongozi acheni kulalamika ,chukueni hatua acheni bwebwe.
Kimenuka
Wezi Wezi Wezi Wezi mjomba kassimu watakuloga hao
@naturelle1097
9 ай бұрын
Washindwe kwa Jina La Yesu!!!
@princeofhulabula
9 ай бұрын
mMWERA HUYO huko lindi ndiko uchawi ulikozaliwa.
Mhulumie inatosha hiyo ngonjera Atakufiako bure mama ashaumia
HIYO HAIKIBALIKI, RAIS WETU ANATAFUTA PESA SOTE NI MASHAHIDI, ALAFU WATU WACHACHE WALIOPEWA DHAMANA WANASHINDWA KUTEKELEZA MIRADI NA WANANCHI WANAENDELEA KUPATA SHIDA, TUNAOMBA HATA KAMA PESA HAWAJAILA, KWA KOSA TU LA KUCHELEWWSHA MIRADI, WAWAJIBISHWE!?
CCM naifananisha na nyumba yenye panya waswahili alisema paka akitoka panya hutawala paka wa ccm alikuwa Magufuli kwa hiyo mapanya wanachezea mishahara yao na pesa za miradi ya maendeleo. Pia sio kila anae lia eti ana majonzi Wala sio kila anaepiga kelele amekasirika wengine ni furaha na mzaha . sijawahi kuona sabuni na uchafu vikakaa pamoja . Kapigiwa pasi fupi fupi kashindwa kukaba muweka hazina kasema pesa hakuna uchunguzi wa nini paka akitoka panya hutawala.
Mpk apite wazir mkuu ndipo aone ayo duh
Makosa ni rais mwenywe namna anawapata wateule wake, vijana wa CCM si wawajibikaji wakutupwa. Aache kuchagua kwa vigezo vya uchama
Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.
Wazir unamuuliza lin Kate mbelelea je wewe wazir lin ulienda kufatilia
@shadrackmohamedi8765
9 ай бұрын
Sasa Wazir atatembelea sehemu zote kweli?
Wilaya ya wajinga hii mzee kila mtu ni mungu mtu kz tunayo bila maombi na dua hatuponi
MH WILAYA YETU YA UVINZA HATUNA VIONGOZI MZEE VIONGOZI HOTE NI WEZI MZEE WANAKUCHOSHA TU HAO SWENKA HOTE NDANI
Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.