WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI
amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 106

  • @globaltv_online
    @globaltv_online9 ай бұрын

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @franknjau5578
    @franknjau55789 ай бұрын

    Mungu azidi kukutetea mh. PM. Watanzania tunataka utendaji wa namna hii.

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura61599 ай бұрын

    Wewe waziri mkuu acha kutumbua wadogo tumbua na vigogo sio wadogo tumbuwa wote wanaiba mali ya umma..kama vile ,mkamba,mchemba,na wengineo tumbua

  • @samsonkihwele6544

    @samsonkihwele6544

    9 ай бұрын

    Kazi ya raisi sio waziri mkuu kutumbua

  • @thomastemu3332

    @thomastemu3332

    9 ай бұрын

    Makamba ndo Papa kabisa hafai

  • @florencemeza6540
    @florencemeza65409 ай бұрын

    Tume miss hii kitu yaani waziri mkuu nakupenda saaaana 2025 ndo Rais wetu

  • @geraldmakalala6091

    @geraldmakalala6091

    9 ай бұрын

    Hapa na mkumbuka Hayati Magufuli

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    9 ай бұрын

    Sidhani

  • @magrethmbangama1199

    @magrethmbangama1199

    9 ай бұрын

    Hawawezi kump nchi mafisadi wale,wanajua wakimpa huyu ni zaidi ya magufuli

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    9 ай бұрын

    @@magrethmbangama1199 eti ehe tuingie kwenhe maombi

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3139 ай бұрын

    Kama Kuna mtu ninayempenda ni mwl majaliwa nakupenda bure

  • @yonaalmasy8158
    @yonaalmasy81589 ай бұрын

    Mungu akubaliki waziri mkuuu mm ni chadema lakin unanivutia utendaji wako mkuu

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri10749 ай бұрын

    Pole waziri mkuu tunakukubali,sana

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu39859 ай бұрын

    Mbona wezi CAG hawakufukuzwa makosa ni yenu huko juu mnawaonea tu hawa wa chini hamna lolote mtoke kwenye ofisi za umma wote hamfai MACCM

  • @Muganyizi

    @Muganyizi

    9 ай бұрын

    Mbwa wew

  • @kiazikitamu3985

    @kiazikitamu3985

    9 ай бұрын

    @@Muganyizi bora niwe mbwa kwa kusema ukweli kuliko kuwa binadamu asiejali utu na Watanzania na tabia ya mbwa kama ukivyoniita ni kulinda sasa wacha nilinde na ni kulinde hata wewe watanzania mnadanganyika haraka mno ujinga wetu ndio mtaji wao, mbwa nawapenda na rafiki kwa binadamu kwangu sio tusi ni cheo umenipa

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47599 ай бұрын

    Jamani viongoz ifike sasa mahali muwe mnafukuza aina ya wezi na wazembe , hawa, tumechoka. Fukuzeni , ajirini wengine

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri10749 ай бұрын

    Mama amekataa mabango,yalikua yanafichua Siri hizi,sasa waziri wetu mkuu anapata shida Bure,pole waziri wetu mkuu.

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo9 ай бұрын

    Good 👍👍👍👍

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo9 ай бұрын

    Good

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it9 ай бұрын

    Jionee mwenyewe mkuu

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    4 ай бұрын

    Yaaani😭😭😭😭😭

  • @mustaphersamson6174
    @mustaphersamson61749 ай бұрын

    DUHHHHHHHHHH, MBONA KIZUNGUMKUTI??????,

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47599 ай бұрын

    Mtu anazembea hapa, na kuiba hapa mnamuhamisha idara, tutafika kweli, ??? Watu wanapewa mihela hawajui hata matumiz,

  • @PLAYPROGAMING568K

    @PLAYPROGAMING568K

    9 ай бұрын

    Ni kweli ukihamisha hamisha ugonjwa uko palepale ni kuondoa ondoa haswa wa chini ondoa mpaka messenger anajifanya ndiyo anaulizwa ati hii inafanyanini ?na au huyo hapa panahudumiwa na nani ?au mgambo ni anampa maelezo yule aliyeletwa yaani kutoka chini mpaka juu ni muozo tafuta waliyosoma wako wengi University of Dar es salaam wanatafuta kazi ,hawa imelemaa hawafuatili na wala hawasomi karasi yoyote wanayoletewa

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima52819 ай бұрын

    Haya mambo tumeyamiss sana...

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura61599 ай бұрын

    Tumbua pia mawaziri wako mpka sasa watanzania awapati umeme na maji

  • @user-ii4zj1jm6v
    @user-ii4zj1jm6v8 ай бұрын

    Hapa kazi tu fanya kazi baba

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard40319 ай бұрын

    Timua viongozi wote wanaohusika na umeme

  • @zuberigangisa2075
    @zuberigangisa20759 ай бұрын

    Hayo matatizo ya halimashauli hata Namtumbo yanasumbua sana kiongozi

  • @mohammedalghannami3150
    @mohammedalghannami31509 ай бұрын

    Kassim Majaaliwa, Rais Mzalendo ajae wa Tanzania

  • @abuumuhammad7133

    @abuumuhammad7133

    9 ай бұрын

    Lakini tambueni hiyo ndio kazi ya Waziri Mkuu Mtendaji Mkuu wa Serekali hivyo yeye ndio anatakiwa mara kwa mara afwatilie hayo sio kazi ya Rais

  • @mohammedalghannami3150

    @mohammedalghannami3150

    9 ай бұрын

    @@abuumuhammad7133 kweli kwahakika wote wanamuakilisha Rais ila Majaliwa anaonekana ni mtii mzuri zaidi Kwa Mama, na ana uchungu na nchi yetu

  • @user-od9cf7lp9v

    @user-od9cf7lp9v

    9 ай бұрын

    Waziri mkuu hawezi kuibua changamot za Kila wizara na mambo yake lazim wasaidiz walioaminiw wawe watendandaji,,, Kam msingi ukiharibika mweny haki atafanya nn

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g4 ай бұрын

    Duuu na leo kimeumana tena😂😂

  • @directorabiero340
    @directorabiero34031 минут бұрын

    Upo kwenye hako

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g4 ай бұрын

    Subiri. Subiri. Ngoooja. Taraatibu😂😂😂😂

  • @martinbarua9962
    @martinbarua99628 ай бұрын

    Namkubali sana kassim majaliwa😂😂

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura61599 ай бұрын

    Hao wanafundishwa na akina makamba ndio walimu wa kula rushwa..

  • @thomastemu3332

    @thomastemu3332

    9 ай бұрын

    Ndiyoooo 😢 kabisa

  • @jasiriasili3694
    @jasiriasili36949 ай бұрын

    Njoo na ilemela mwishimiwwa waziri mkuu huyu mkurigenzi kalia pesa ya maji😊

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne97969 ай бұрын

    Wezi ao wamekula Ela zetu za walipa Kodi na tozo zetu ss Kodi nyngi walaji wachache

  • @zuberigangisa2075
    @zuberigangisa20759 ай бұрын

    Kazi zao hao ni kutengeneza migogoro tu kwenye halimashauri zetu

  • @karimmunis8302
    @karimmunis83029 ай бұрын

    Tatizo ni huyo bibi hapo juu ndo anaturudisha nyuma mambo hayaendi ,na bi mkuubwq yupi tu kupaka hina

  • @user-xx8jx6tb7d
    @user-xx8jx6tb7d9 ай бұрын

    Kwanin wakipewa hela wanakaa nazo kwa muda wote huo, wanatakiwa wakipewa hela wapangiwe mda wakuitumia na pia kila kitu kiende kwa hesabu

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri10749 ай бұрын

    Magu alieanyoosha Hawa,Sasa wamerudi kwa Kasi kwaajili ya kulindana,kilamoja anakula urefu WA kambayake .....

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni9 ай бұрын

    Daaaaah inasikitisha sana

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z9 ай бұрын

    Naomba namba yako muheshimiwa.this is voice of Gog.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza65409 ай бұрын

    Mkurugenzi wa hovyooo saana ni kilaza kabisaa

  • @naturelle1097
    @naturelle10979 ай бұрын

    Watu wazima hawa kweli???? Yatumbulie mbali!!! Kisha wanunuliwe ma probox na sio V8. Hata kujieleza hawezi itabidi utembeze bakora this is too much!!

  • @hamadmakame6040
    @hamadmakame60409 ай бұрын

    HUYU NDIO TUNAE MUHITAJI SAASA

  • @leylasaid9641
    @leylasaid96419 ай бұрын

    MPK WAFUATWETUATWE HAWAJITUMI-WATUMBULIWE WAPO WASOMI WENGI HAWANA KAZI.HAWAONI AIBU MPK WAZIRI MKUU AFUATILIE

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79359 ай бұрын

    Mhuuuuuuuu pole ded

  • @zainul-hassanhussein
    @zainul-hassanhussein9 ай бұрын

    Wanamuhuju Our President Her Excellency SAMIA SULUHU HASSAN.Accountability

  • @mweyaiddy
    @mweyaiddy4 ай бұрын

    Mzee wangu nakuelewa but kwa xx huna nguvu ya kuongea km ulivyo kua nyuma 3yrs

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_9 ай бұрын

    Watumishi huwa wanahamishwa saaana huenda wote hapo wameyakuta hayo mauza uza

  • @barikimohammed
    @barikimohammed9 ай бұрын

    Naukiwakuta bar hao hatukai nao maboss wakula pesa zetu

  • @deoprosper556
    @deoprosper5569 ай бұрын

    Hayo mabilioni tajwa mpk kichwa chaniuma

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa92409 ай бұрын

    Kupeana vyeo kwa misingi ya udini italiangamiza taifa. Mkurugenzi anaonekana kilaza.

  • @abi-onlinetv4181

    @abi-onlinetv4181

    9 ай бұрын

    We ndo kilaza tena Sana. Hapo kuna dalili gani ya udini au umeropoka tu. Makalio yako.

  • @thomaskwibonelwa9240

    @thomaskwibonelwa9240

    9 ай бұрын

    @@abi-onlinetv4181 vaa miwani uone kilaza alie teuliwa.

  • @Hussein-qq2uy

    @Hussein-qq2uy

    9 ай бұрын

    Wewe Thomas ndio mdini tena hufai kabisa Acha chuki zako za kijinga na za ajabu ajabu,,,,kwa taarifa yako huo ushungi aliovaa mkurugenzi ndio ustaarabu na ndio heshima ya mwanamke ,,,,,,,,mdini mkubwa weee

  • @user-wc8qm1lk7n
    @user-wc8qm1lk7nАй бұрын

    Waziri Mkuu maeneo yote yanengwe

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79359 ай бұрын

    Mhuuuuuuuu nanyi mnabeba hata ambao hawayajui mambo ya halmashauri hayo sasa

  • @NsobiLema-wq9vh
    @NsobiLema-wq9vh9 ай бұрын

    Mweshimiwa ungekuja hata mbarali tunateseka umeme unakatwa mpka jumapili

  • @eliannko
    @eliannko9 ай бұрын

    Cheki lile jizi lililo Vaa shati la kijani

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba94893 күн бұрын

    Mwananchi anawaangalia tu mnavobwabwaja hapo ipo siku yenu

  • @BIGSTONE-lb9po
    @BIGSTONE-lb9po9 ай бұрын

    Kwambali namuhona JPM.NGOMBEYA URAHISI BABA CASSIM MAJALIWA.

  • @ramadhanisalum7476
    @ramadhanisalum74769 ай бұрын

    manawaonwa bwana nyinyi mbona mnakwiba alafu manonea hao CCM HAITUFAI BWANA HATUATAKI TENA

  • @zachariathomas9980
    @zachariathomas99809 ай бұрын

    Hivi huyo mzee alikuwa amezuiliwa au

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal90619 ай бұрын

    Wezi hao peleka jela tumechoka

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u9 ай бұрын

    MKURUGENZI Mpumbavu saana huyu. Tumbua Wote

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed33909 ай бұрын

    Tatizo wizi mtupu hakuna mawazo ya kujenga watu wanataka kuuza

  • @eliannko
    @eliannko9 ай бұрын

    Majizi wanazozana mtu ukisha kuwa ccm ni mwizi

  • @WilbertDede-qp6gs
    @WilbertDede-qp6gs9 ай бұрын

    Wasimamizi ngazi ya wilaya na mkoa mbona hawaajibishwi

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael54709 ай бұрын

    Nchi hii inapigwa kila kona, sababu ya viongozi wazembe na dhaifu. Mjiuzulu tu wote, wachumia matumbo tupu

  • @mbmbwana
    @mbmbwana9 ай бұрын

    PM

  • @zuberigangisa2075
    @zuberigangisa20759 ай бұрын

    Wakurugenzi hao vibaka kiongozi

  • @RehaniKharidi-st4oe
    @RehaniKharidi-st4oe9 ай бұрын

    Raisi ajae hataari Sana mama anamajembe

  • @florencemeza6540
    @florencemeza65409 ай бұрын

    Ingekuwa enzk za JPM WOTE MNGEFUKUZWA wananchi wanacheka wanajua kinachoendelea

  • @denisyohana8104
    @denisyohana81049 ай бұрын

    naombeni basi na mimi nafasi nijaribu ,mbona naweza simamia vizuri sana ..

  • @thomastemu3332

    @thomastemu3332

    9 ай бұрын

    Hahaaa hela tamu.unaweza kujisahau

  • @elihurumanada4874
    @elihurumanada48749 ай бұрын

    Fukuza mkuu wa mkoa Kigoma na mkuu wa wilaya kwasababu ni aibu kubwa kwa waziri mkuu kuibia uozo

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika63219 ай бұрын

    LABDA NDIO MSIMAMO WA SERIKALI KWA NINI WASITUMBULIWE WANASIMAMISHWA TU

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya10339 ай бұрын

    Sasa hii itasaidia nini wakati nchi haina raisi ni kelele tu za bure

  • @Fundi12345
    @Fundi123459 ай бұрын

    Waziri hawa watu hawana uwezo wa kusimamia hawajitambui tandika vimbo hera kama zimeperekwa mama huyo anatesa watanzania

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33329 ай бұрын

    Hawafai watumbuliwe hao

  • @eleutermhumba347
    @eleutermhumba3479 ай бұрын

    Viongozi acheni kulalamika ,chukueni hatua acheni bwebwe.

  • @sembuakimbosho3319
    @sembuakimbosho33199 ай бұрын

    Kimenuka

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo85469 ай бұрын

    Wezi Wezi Wezi Wezi mjomba kassimu watakuloga hao

  • @naturelle1097

    @naturelle1097

    9 ай бұрын

    Washindwe kwa Jina La Yesu!!!

  • @princeofhulabula

    @princeofhulabula

    9 ай бұрын

    mMWERA HUYO huko lindi ndiko uchawi ulikozaliwa.

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga60479 ай бұрын

    Mhulumie inatosha hiyo ngonjera Atakufiako bure mama ashaumia

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician67399 ай бұрын

    HIYO HAIKIBALIKI, RAIS WETU ANATAFUTA PESA SOTE NI MASHAHIDI, ALAFU WATU WACHACHE WALIOPEWA DHAMANA WANASHINDWA KUTEKELEZA MIRADI NA WANANCHI WANAENDELEA KUPATA SHIDA, TUNAOMBA HATA KAMA PESA HAWAJAILA, KWA KOSA TU LA KUCHELEWWSHA MIRADI, WAWAJIBISHWE!?

  • @Jandugu
    @Jandugu9 ай бұрын

    CCM naifananisha na nyumba yenye panya waswahili alisema paka akitoka panya hutawala paka wa ccm alikuwa Magufuli kwa hiyo mapanya wanachezea mishahara yao na pesa za miradi ya maendeleo. Pia sio kila anae lia eti ana majonzi Wala sio kila anaepiga kelele amekasirika wengine ni furaha na mzaha . sijawahi kuona sabuni na uchafu vikakaa pamoja . Kapigiwa pasi fupi fupi kashindwa kukaba muweka hazina kasema pesa hakuna uchunguzi wa nini paka akitoka panya hutawala.

  • @zainabwage4658
    @zainabwage46589 ай бұрын

    Mpk apite wazir mkuu ndipo aone ayo duh

  • @victorsanga2229
    @victorsanga22299 ай бұрын

    Makosa ni rais mwenywe namna anawapata wateule wake, vijana wa CCM si wawajibikaji wakutupwa. Aache kuchagua kwa vigezo vya uchama

  • @fredyfile623
    @fredyfile6239 ай бұрын

    Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed62639 ай бұрын

    Wazir unamuuliza lin Kate mbelelea je wewe wazir lin ulienda kufatilia

  • @shadrackmohamedi8765

    @shadrackmohamedi8765

    9 ай бұрын

    Sasa Wazir atatembelea sehemu zote kweli?

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu37839 ай бұрын

    Wilaya ya wajinga hii mzee kila mtu ni mungu mtu kz tunayo bila maombi na dua hatuponi

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu37839 ай бұрын

    MH WILAYA YETU YA UVINZA HATUNA VIONGOZI MZEE VIONGOZI HOTE NI WEZI MZEE WANAKUCHOSHA TU HAO SWENKA HOTE NDANI

  • @fredyfile623
    @fredyfile6239 ай бұрын

    Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.

Келесі