MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!
MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!
Watoto watatu wa marehemu bilionea, Erasto Msuya, aliyeuawa kwa kupigwa risasi, mwaka 2013, wamemuomba Rais John Magufuli, kuwasaidia kuokoa mali za mabilioni za baba yao, ambazo wanahofu ya kunyang’anywa na ndugu wa baba yao na sasa wamekosa mahala pa kuishi licha ya baba yao kuacha mali za mabilioni.
Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto mkubwa wa Erasto, Kelvin Msuya alisema tangu baba yao kuuawa mwaka 2013 na baadaye Mama yao mzazi, Miriam Steven Mrita, kukamatwa kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha shangazi yao, Anethe Msuya, maisha yao yamekuwa ya taabu.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:kzread.info?li
Пікірлер: 1 000
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825, +255 676 229628 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
@pharesisteven755
4 жыл бұрын
Global TV Online
@agnesstungombe4265
4 жыл бұрын
Tbc live
@veronicashija150
4 жыл бұрын
We mama unaroho ya kutu
@veronicashija150
4 жыл бұрын
Hizo pesa mlizo chukua rudisheni la sivyo mkono wa Mungu u juu yenu
@glorymushi7397
4 жыл бұрын
Global TV Online wewe mama mungu anakuona acheni angalia haya maisha yanapitaa acha kujimwambifai
Anayeamini huyu shangazi ni muongo na ana roho mbaya naombeni like zenu
@margarethsaramaki1100
4 жыл бұрын
Huyu shangazi hapana.mali ni za wtt na mke wa marehemu
@benadethakiula4853
4 жыл бұрын
Macho peruperuu mixuuuuuuuu
@peterdiana5894
4 жыл бұрын
Huyu ni kijana anayeweza kusimamia mali za Baba yake. Wanaofungua kesi kwa ajili ya kuwanyanganya mali za hawa watoto wafungwe. Huyu ni mtoto mkubwa kabisa sana.
@peterdiana5894
4 жыл бұрын
Hawa wote wanyanganywe mali za Marehemu wanagawana kama kina nani?. Hawa wote viherehere tu. Wabagawana mali za marehemu wakati watoto wapo inakuwaje. Kamata kuanzia Mama, Baba na mashangazi wote piga ndani.
@jafaripilly3594
4 жыл бұрын
Anaonekana kama mchawi,,!
Ukiwa tajiri mtihani ukiwa masikini mtihani Dah!
@leonardpaul3546
4 жыл бұрын
Hekaheka!
@henrickovicent2933
4 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha!!!!
@hamisphillip8127
4 жыл бұрын
Ni ujinga sana ndugu kung'ang'ania mali za marehemu wakati kuna mke na watoto
@thobiaskayange9302
4 жыл бұрын
Nmewaza sanaaa mambo ya ndugu mm nkuwa kauzuuu ukiwa masikini hawakujui ukiwa nacho kila mtu ndugu
@hajihassan5433
4 жыл бұрын
Samahani nisieleweke naingilia imani za wengine naziheshimu sana na natambua uwepo wao nauliza tu kwenye dini ya Kikristo utaratibu wa urithi uko je? Kwetu sisi Waislam kila kitu kipo wazi, hakuna ndugu ataridhi mali za ndugu yake kama ana mtoto wa kiume japo mmoja hiyo mali ni ya watoto. Waridhi kwetu sisi Waislam ni kama marehemu ana mke au wake, mzazi au wazazi, Watoto wa kiume japo mmoja, mtoto au watoto wa kike. Ni kwamba Mtoto au watoto wa kiume wanachukuwa nusu ya Mali, mke au wake wanapata 1 kwenye 8 ya mali, Wazazi 1 kwenye 6 na mtoto au watoto wa kike wanapata robo ya Mali. Kama watu hao wote hawapo ndio anaanza kutafutwa ndugu. Uislam umempendelea sana mwanamke kwa sababu anapata robo ya mali lakini mali hiyo ni yake wala halazimiki kumsaidia kaka yake/ zake afanye ihsani lakini ni tofauti kwa mwanamme anapata nusu lakini ana wajibu wa kutumia mali hiyo kwa kuwaangalia ndugu zake wa kike ni wajibu sio ihisani.
Huyo sio mtoto anafaa kuwa hata mumewako. Achana na mali za watoto hazikuhusu😂
WEEE SHANGAZI MSHEZI. ACHIE WATOTO MALI YA BABA YAO. TAFUTA BWANAKO AKUACHIE MALI YAKO. HUNA AIBU KUTESA MAYATIMA. GONGWA NA GARI UKUFE LEO.
@madlinemkanyika5608
4 жыл бұрын
Kabsa agogwe
Hata kama wata zimaliza so zao, shangazi zina muuma nini? Dah!!!! Dunia hadaa ulimwengu shujaa.
Kwa nn mfunge nyumba na watoto wapo acheni izo zuluma na muache maneno mengi rudishen mali kabla hamjakaa pabaya
@jacklineerasto6920
4 жыл бұрын
Unajua hapo mm nimeshindwa kuelewa nyumba inafungwaje half funguo zikae hoteli ammbayo wanayo hao watoto na mlinzi alipwe na hoteli usafi ufanywe kila siku na hela yakuwalipa wafanya usafi itoke kwenye hoteli ambayo wanaiendesha hao watoto... Kama funguo wanazo kimewashinda nn kuchukua..na kuishi katika nyumba yao au mm sijaelewa
@noeldifson9713
4 жыл бұрын
wanataka kujua mbaya wao huyo mdogo wa huyo dada apo aliuliwa kwa kuchinjwa lazima wawe na hasira na hizo mali ndio maana hawataki kuziachia kirahisi hadi wajue mwisho wao na ndio maana mama wa hao watoto yupo gerezan kwa ajili ya hiyo kesi ya kumuua wifi yake
@zainabubakari1394
2 жыл бұрын
Mungu pigania hii familia shetani yupo katika jaman Mali zisifanye mkagombani kaeni vizuri mtumie vizuri kwa amani na upendo mungu naomba utete nao
Hakuna janja hapa tunajua yakuwa mnawanyang'anya malizao na tunajua mnawadhulum Hawa watoto wa marehemu majua shida alizo pitia mgodini Alisha wahi kukoswa risasi tukiwa chini ndani ya shimo
Hili limama linaonekana linaroho mbaya sana..
Wewe mama Mali ni za watoto katafute zako na mumeo.
@massoudsalum2038
4 жыл бұрын
Kuna taratibu za kurithi mali baada ya msiba tatizo
@sultanmganzira4388
4 жыл бұрын
Fatuma hamim nyie mkae kimya mamayao alimuuwa babayao pia akamuuwa wifiyake
@fatumahamim4959
4 жыл бұрын
@@sultanmganzira4388 kama mama yako aliua watoto wanahusika na nini hukumu si itolewe kwa muuaji. Kosa LA mama chuki ziende kwa watoto???
@massoudsalum2038
4 жыл бұрын
Hawa watoto nahisi hawana adabu tu
@sultanmganzira4388
4 жыл бұрын
Fatuma hamim ndio maana huyo mwanamke kasema serikali ichunguze km wamefunga nyumba hao watt wamepandikizwa chuki kwa nfugu babayao coz mamayao yuko ndani kwakuuwa kasema Kukaa hoteli wanapenda wenyewe nyumba zipo
Raisi awasaidie hawa watoto jamani.
Mmh hao ndio wachaga bana kwa pesa na mali hawana utu wala udugu 😅 aunt sikuamini hata kidogo your after all this drama mashangazi ndio zenu
@aminamassawe1768
4 жыл бұрын
Ni wapare ata c wachaga mpendwa
@hoyceringo5278
4 жыл бұрын
Msuya ni wapare acha kukurupuka
@nsiamassawe3075
4 жыл бұрын
Neema Kilomoni Nani kakwambia hao ni wachaga?
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
Ukabila umekujaaa ndo mana umechemka ...Ata majina huyajui unacoment koment tu!
@husnajohn7466
4 жыл бұрын
Hata sisi ndio ilitukuta hivyo hivyo ila leo mungu kawanyoosha wengine wamepata strock hata kuongea vizuri hawawezi
Wewe mama hawa watoto ni wakubwa achana na mali za watoto.
@tumainimango8140
4 жыл бұрын
Kweli
@vince_vinson.2083
4 жыл бұрын
@ Rahima Aaaa. Shangazi na ndugu wanataka hiyo mali kwa nguvu zote. Mambo ya msekeleko hayo.....
ASEEEE,,,Serikali iingilie kati,Inasikitisha sana
@gredsontangare2401
4 жыл бұрын
Hapo nilichokiona ni kwamba kuna ugomvi kati ya upande wa baba yao na mama yao,huyo mama awachie hizo mali ni za watoto si za kwako watafute za kwao,huyo mama anaeongea kwa ukali kwanza yeye nadhani lazima hatakuwa na mme wake na maisha yake,kwa maana hiyio hizo mali hazimuhusu kabisa hulisi siku zote ni kwa watoto si shangazi waka mjomba au baba mkubwa hata siku moja
@aminahussein7492
4 жыл бұрын
Ndio zenu mashangazi
@aminahussein7492
4 жыл бұрын
Mungu wasimamie hao watoto eeee mwenyezi mungu
@said306nyatu9
4 жыл бұрын
Baba magufuli. Fanya. Kazi. Yako
@said306nyatu9
4 жыл бұрын
Mwafunga nyumba ni yenu mbwa nyie wapeni watoto haki zao
Yesu ni Mambo Yote ndani ya Yote ukimpata Yesu Umepata Vyote. Dunia ni kigeugeu Babu bibi mashangazi wanakugeukia. Njooni Kwa Yesu
Mh! Huyo mama anavyoongea ht mm nimemwogopa kabisaaa anaonekana ni katili ht kuua ni jambo jepesi kwake. Hebu waachien mali zao watoto hao jamani. Au hizo nyumba weken wapangaji maana mkiishi wenyewe dah! Binadam c wema.
@susanraphael5894
4 жыл бұрын
nikatili sana mmh
@cmnenuka272
4 жыл бұрын
Shangazi acha ukatili kumbuka hao ni wanao😃😃😃
@gililwise
4 жыл бұрын
Mungu atawatetea na hao mashangazi watanyamaza kimya asema Mungu wa majeshi asiyeshindwa amina
@mwakam4911
4 жыл бұрын
Pumbuvu we umenenepa kwaajiri ya dhuruma shenzi kabisa we
@mariamkiharo6345
4 жыл бұрын
Yani wanasubiri ndg afe wafaidike washenzi Kweli
Wallah nataman hili jambo huu uhusika niuvae mie niwe mtoto wa msuya yaan mashangazi ,mjomba,bibi, baba, wallah wangeisoma namba maji wangieta mma yaan hil zari tulishawahi kutokewa na sisi kweny familia yetu baada yababa yetu kufariki pamoja na mama daaah ndugu washenzi sana wakajiadai kuingia kati wakitaka kutuzurum nali zetu daaah mali zetu lakin zilitutesa kesi hadi mahakamn wee kwet tumezaliwa wanne yaan upande wa baba ndio kina bamdogo shangaz wanatak mali zetu ooooh jesus sema walikuta tu sisi watoti wenyew wote akili zetu kama tumevuta cha bob marey wallah tuliwabuluza kesi mahakaman tukawafungulia ni wezi na rokapu walikaa bamdogo akaenda segerea miak 2 akili ziliwakaa sawa mbona na mali zetu walianza kuziogopa kama kituo cha police yaan huyu mdada natama hata nimnase makofi wallah hawa watoto sad kabis mungu awasaidie 😷😷😷😭😭😭😭🙇
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
Shikamoo 😂😂😂😂
Yani huyo shangazi yao anaonyesha wazi ni bonge la tapeli na magilasi yake , hawa watoto serikali ya mh: JPM isipoingilia kati watakuwa kwenye wakati mgumu sana
@francisemmanuel1551
4 жыл бұрын
Mbona ndugu wa mwanamke wanaingilia mambo ya familia ya msuya kuna mashaka hapo
@jamalabdallah2558
4 жыл бұрын
Mungu atawasaidia
@teddyhenry2579
4 жыл бұрын
Mungu nifundhishe kunyamaza wewe shangazi unataka urisi mali ya kaka ako sijawahi kuona mke ndio anarisi mali za marehemu pamoja na watoto 🙆♂️🙈
@teddyhenry2579
4 жыл бұрын
Mjomba pambania wajomba zako mjomba ni mama mungu akusimamie penye ukweli uongo hujificha mwisho wa ubaya ni aibu
@mwanahamisiabdi3320
4 жыл бұрын
Mm kama mm nmewaelewa upande wa mashangaz kutokana na kfo cha mdgo wao daa ila yule dada walimuonea kuuliwa kama kuku sameen tu maana mnatesa watoto ambao hawana hatia
WE SHANGAZI NI HATARI MNANJAMA KWAHIYO KK YENU MLIMPANGIA NJAMA AUWAWE ILI MDHULUMU HAKI YA WATT WA KK YENU NYIE HATARI ACHENI DHAMBI
POLE SANA BWANA MDOGO ILA KWANINI USIANZIE KWA MKUU WA MKOA ?
Hawa watu ni wauaji, Shangazi muogope mungu.
mungu yupo pamoja na watoto hao.wachie Mali zao serikali naomba wasaidie hao watoto
@lucytitus9245
4 жыл бұрын
We we shangazi ni taperi .unakorogakoroga maneno.katafute zako. Acha Mali za watoto we we. Kwa serikari hii. Imekula kwa shangazi
@veronicamgeni9414
4 ай бұрын
Mama yao.katoka leo 2024 Mungu mwema
Zakwao wapen tu ata wakiziharibu una uchungu nizako au. Ngoja Rais aingilie kati mdomo uta isha
Hyo mama inaonyesha ana roho mbaya sana jinsi anavyoongea tu inaonyesha chuki
@lucymajukano9261
4 жыл бұрын
We mama acha hizo,wapeni watoto haki yao,hao watoto sio wehu,halafu we mama una roho mbaya km hujazaa?
@denymkumbala4550
4 жыл бұрын
Kwer ana roho mbaya san anaonekana anashupaa kwamali za kakae wakat kaacha watoto daa wazulumat tu
@shadiamom6084
4 жыл бұрын
emungu jaman inauma mungu wasaidie watoto hawa wapate haki zaoo
@rehemamohammed401
4 жыл бұрын
Mijitu haina hata aibu utafikili wao wataishi milele waachieni mali zao hao wa toto
Unaongea na hasira macho yako wewe mama yanasema wazi unania mbaya
Huyu kijana namuonea hurumasana story yake ndio kama yangu
@georgechalondunda6599
4 жыл бұрын
Pole sana jipe nguvu
@lutfyamlenge4220
4 жыл бұрын
Jehan salim pole ndio maisha
@fizybahaj9529
4 жыл бұрын
Na,wewe ilikuwaje?Ebu nidodose
@bijo916
4 жыл бұрын
Mimi nayo ndio hivyo story ina fanana na Huyu kijana. Babu yangu aliacha mali nyingi mashamba, mapetrol station, majumba, kabla hakufa aliwacha last will and testament Ile wasia. Wasia huu ulimteua watu 3 bibi,marehem mamangu na marehem mjomba wangu kuwa wasmamizi wa mirathi yote endapo babu atafariki. Mwaka 1992 mjomba aliugua akafa,1995 mama alipata ajali ya gari akafa. Baada ya wasimamizi hawa kufariki wale ndugu walobakia wakaanza kujigawiya mirathi huku wakituambia sisi wazazi wetu hawausiki tena kwavile washakufa wakasema wanatupa kama kutusaidia viwanja tena viwanja vyenyewe thamani yake ni ndogo sana. Sisi tukapewa kiwanja mlandizi ambacho thamani yake ni mil 40, watoto wa marehem mjomba wakapewa kiwanja mile moja kibaha. Mjomba wangu alie hai kauza nyumba mbili tayari, kauza mashamba yote ya babu eka 36, kauza petrol station kongoe kapata 700,000 tsh kapewa pamojana apartment richmond tower ambayo yuko kwenye mkakati kuipiga bei, nyumba kubwa ya familia iko shamba anataka kumuandikia mkewe sasa. Huyo ndio njomba wangu kala vitu vyote hivyo na wale mama wadogo wako 4 mmoja kamtilisha masaini bibi kuonesha kuwa bibi eti kampa 25% ya nyumba ya upanga mtaa wa mindu nayeye hadi hati kashatolesha kwa jina lake anaonekana kama ndio mmiliki halali kumbe tapeli mmoja!. Mama wadogo 3 walobakia washam tilishasaini bibi iliobakia 75% ya jumba zima la upanga nyumba ina thamani ya bilion 4 wanataka kujitajirisha wao. Na sisi hatutambulikina wakati warithi halali pia. Watudhulumu sana wazee wetu walivyo fariki tulikua wadogo ndio wakaamua kutimba wao mali yote sasa tushakua na nimeamua nataka kuwashtaki nimuandikie barua mheshimiwa raisi dk John pombe magufuli na waziri wa ardhi mheshimiwa William lukuvi na pia niwa contact vyombo vya habari ili wai air story hii na wapate kuwa aibisha matapeli. Nilimuandikia mheshimiwa paul makonda nikaona kimya, nilimuandikia raisi, tweeter nikaona kimya lakini sasa naona bora niandika formal letter I hope itawafikia na watalichukulia hatua in sha Allah
@marystelaswai5174
3 жыл бұрын
@@bijo916 pambania haki yenu ,isipotee bure
Eee Mungu naomba uingilie kati umaskini mateso utajiri shida
Mungu ndo kila kitu, naiman kilio chenu kimesikika........ Pesa sikitu jaman ila uhai ndo kila kitu, wasaidien jaman had machoz yanamitoka..... Pole sana k
Mtoto mdogo kwani anamiaka 12 acheni mambo ya kizamani Mali ni za watoto nyinyi ni watazamaji tu labda huruma ipite
@noeldifson9713
4 жыл бұрын
wanataka kujua mbaya wao huyo mdogo wa huyo dada apo aliuliwa kwa kuchinjwa lazima wawe na hasira na hizo mali ndio maana hawataki kuziachia kirahisi hadi wajue mwisho wao alafu hizo mali msuya mwenyewe alikuwa anashirikiana na ndugu zake haswa mdogo wake hiyo alieuliwa na yeye na ndio maana mama wa hao watoto yupo gerezan kwa ajili ya hiyo kesi ya kumuua wifi yake
@nataliajamesjames1596
4 жыл бұрын
Noel Difson lkn hapa kinachoongelewa ni watoto kupata haki yao maana unavyosikia hapo wanandugu wameshapata chao...kwa hiyo c vyema watoto kuendelea kupata tabu..
Hii dunia ni shida, wenye mali hawana amani sisi walala hoi ni shida pia. Mungu walinde watoto hawa.
Wewe Dada uyo mtoto ni mkubwa mwache asimamie Mali zake
Serikali chunguzeni pande zote mbili kwa ukali kwa huyo shangazi msikuamini.
😭😭🙆Unatafta mali unapata unauliwa watoto wako wanapata tabu ndugu wanagombania mali 😩
@mwampasheisack1339
4 жыл бұрын
Watu kamahawa paswi kuishi duniani kunyanyasa wajane serikali chukuwa hatua tamaa hio
@oresterhaule2645
4 жыл бұрын
yaan, inasikitisha kwakweli
@oresterhaule2645
4 жыл бұрын
huyu mama sio mtu poa
Bora ufe masikini kuliko kufa tajili ukaacha kelele huku
"Achen roho mbaya nyny waachen watoto wa Msuya wale bata huu n muda wao Mwenyez Mungu ndio kawateua wao wawe na hz mal"
nakuona xhangazi umeshaonga gawio lako lote zaid ya milioni 70 na xaxaivi unanyapia mali zlzobakia kwa kgezo ati mtt mkbwa ni mdg wakat cc tunamuona ni mkbaaaaa.......! ngoja jpm akuone, hakianan utosombwa na upepo wa kisulsul
Mali ni zao Wacheni WA Toto na Mali zao Huyu dada ni mzuluma
@benadethakiula4853
4 жыл бұрын
Macho ya shangazi jujuuuu
@noeldifson9713
4 жыл бұрын
wanataka kujua mbaya wao huyo mdogo wa huyo dada apo aliuliwa kwa kuchinjwa lazima wawe na hasira na hizo mali ndio maana hawataki kuziachia kirahisi hadi wajue mwisho wao na ndio maana mama wa hao watoto yupo gerezan kwa ajili ya hiyo kesi ya kumuua wifi yake
@noeldifson9713
4 жыл бұрын
Shida ni kwamba huyo bilionea alikuwa anashirikiana na ndugu zake kutafuta hizo pesa baada ya ndugu yao kuuliwa mdogo mtuvndio alikuwa ameshika pakubwa nae akauliwa sasa nduguvwameamua kusimamia kidete kwa sababu ndugu zao wamepotea kwa mazingira yakutatanisha na ndio maana huyo wifi yao amekamatwa nae pia..
Ndugu so watu wazur... Bora kuish pekeako kuliko ndugu
@paschalmichaeli9776
4 жыл бұрын
Irene Ernest bibi ana rohoby
Katika hii Dunia Amna watu mshetani Kama mashangazi,Wana roho mbaya sana
Waachieni watoto mali zao wezi wakubwa nyie
@selinaalex4704
4 жыл бұрын
Acheni uzulumati mbwa nyie mnafunga nyumba hana watoto?
Uyo Dada Muongo.... Mbona amepanic
@josephinemacha7112
4 жыл бұрын
Yani huyo Shangazi ni chenga tupu
cha ajabu eti madada na makaka nao wamepata mgao(fedha), warithi ni watoto,mke,mme na wazazi wao. labda km aliacha ujumbe kuwa ndugu nao wapate na iwe imewekwa kisheria jumbe hiyo
@richardkaijage798
4 жыл бұрын
Hyu dada wa msuya mpumbavu sana hata km angekuwa purchasing officer wa vitu vya sokoni ww haikuusu, huyu mtoto mkubwa unaeita mdogo, Mgao ulishapata kingine mnataka nn jmn ndo nyinyi mnazidi kulipaka tope kabila la wachaga
Kelvin msuyaaa pambana Kaka nenda katika uongozi wa wilaya na mkoa watanyooka tu hao aise
@sultanmganzira4388
4 жыл бұрын
Lamecksm Ernest laana ya kuuwa itawasumbua sana damu ya babayao na shangazi yao itawasumbua sana msiwe mnaangalia upande mmoja
@leinaamos9559
4 жыл бұрын
jamani Mali za kaka na mke wako na watoto WiFi kibendera cha nn waachieni kama wanauza zakwao watajua wao
Kelvin my friend in Australia lm praying for you,he that ia in you is greater..God is able,hope you comming back soon
mshenzi mkubwa jini mkatakamba pumbavu ! wezi wakubwa nyie! mnataka kuwazulum hao watoto hamna lolote! mnafunga nyumba ni yenu? eti nyokonyoko nyingi nawaambia hizo mali hamtapata na kibao kitawageukia soon!
Mbona Shangazi anaongea kwa Jaziba, kama si defence mechanism
Achana na mali za watoto mwizi wewe mama mbwa mkubwa wewe katafute zako na mme wako kenge 😞😞😞😞 kwanza unabahati uyo dogo sio mtukutu angekua mimi saa izi kichwa chako ningekua nacho mimi mwili ungekua kaburini.
Akili zao ndogo vipi wewe ety mtoto ni mdogo kwahyo ndo maana mnawanyanyasa watoto wa watu waachieni mali zao tafteni zenu😓
@gracemairusya2950
4 жыл бұрын
Wapa;e ni wajinga Sana wanang'ania Mali za marehem hasa Kaka,nyinyi watoto mnataka Nini,wanongea Sana wapre,Tena watamua huyo mtoto
@gracemairusya2950
4 жыл бұрын
Wapale wanauchu sana,wapale sip watu,ndo walisabisha mwanamke akaua wabaya Sana wote mifano hipo
Ushauri hizo mali uzeni zote mgawane pesa kila mtu akanunue nyumba yake tofauti na hzo.mtauliwaa
@alexchungu9505
4 жыл бұрын
saitoti saitoti , hii naona kama nzuri
@user-nw8lm1qb8u
4 жыл бұрын
True
@nahime9907
4 жыл бұрын
Hapo umesema kweli...maana hawataishi kwa raha kabisa...
UYO RASTA HAPO NI MAFIA KABISA.... Wakatafute mali zao waache watoto Umbwa hao.
@fredyusuph4544
4 жыл бұрын
WEWE SHANGAZI MUOGOPE MUNGU .
We shangazi unajiingiza vipi kwenye mali za kaka yako kama naniiii?
@dunstangeorge3263
4 жыл бұрын
Duuuu mashangazi hamfai hata kidogooo laaana iyooo
Rais wetu baba wawangonye wasaidie hawa watoto
Hawa wanaonyesha wana uchungu wa ndugu zao waliouliwa, kwa mana hiyo bibi na babu na wote upande wa baba yao hawawezi wakawapenda wajukuu zao, hapo wako na kitu rohoni mama yao kaua, ila watoto hawana hatia wao hawahusiki mali ni zao wawaachie wasiwanyanyase.
@casttraining1575
4 жыл бұрын
Na kama kweli mama yao alimuua baba yao basi wanaungana na mama yao hawana uchungu na baba ndio maana hawana time na kifo cha baba yao. .
Tatizo lipo hapo huyo mke wa marehemu kachangia fujo km kweli kamuua wifi yake maisha yake na wanawe hayatakua tena na amani hata kidogo maana upande wa mume wamepoteza wapendwa wao na ukiangali tatizo mali, hapo pa gumu , watt mama yenu kafanya mistake kubwa.mno amuwezi kuishi kwa amani miele mambo yaliyotokea yanasikitisha
@leonardpaul3546
4 жыл бұрын
Nimedhani hivohivo huyo shangazi ana vengeance na wifi yake kutokana na kuuawa dada yake nadhani watoto wanaingia kama collateral!
What a shame!! mali atafute mwingine mje kugombania wengine .Shangaz cjui wajomba pambaneni na hali zenu acheni watoto wa marehemu waishi salama. KUIFIKIRIA MALI YA KAKA AU DADA NI UGONJWA WA AKILI, WEWE SHANGAZI NTUJA NA WENZAKO BY NOW MNGETAKIWA MUWE MILEMBE HOSPITAL.
Hii family inasafari ndefu sana kama ujui Erato msuya alifariki vip, je Dada wa msuya alifariki vip baada ya kaka yake kufariki je mke wa marehemu kwanini yupo magereza mpaka saivi basi ukijua hayo ndio ujue hii family inamambo mengi ndani bora upite mbali nayo tu...
@dionestermwinuka7520
4 жыл бұрын
Ben Horta @ni kweli ni safar ndefu
Wachie Mali zao watoto ata kama ni wadogo za kwao ko weeee
Huyu shangazi Amenipa hasira,,,huyu Shangazi Ni pepo pepo,jini,Achunguzwe ndio anayewatesa hao Watoto was Marehemu...Natamani kumzibua kibao like hapa Kama umepandwa na hasira
pole sana kaka simama imara Mungu atakusimamia.
Ongea tu yahuo mama anaonekana nijizi serikal ianze nahuyo mama akapewe Lile godoro la babu sea
@lipymuscat4779
4 жыл бұрын
huyo ana hasira ajil kaka yake ameuwawa..pia mdogo wao annet ameuwawa na wanamshuku huyo mke wa msuya
@kakajosee395
3 жыл бұрын
😁😁😁
Pole sana
Baba yetu Rais wetu mtetezi wetu tunaamini utayaona haya baba ingilia kati baba ndugu wengi wamekuwa wakiwanyanyasa wafiwa sana
Dahh poleni sana.
Huyu Mama ni Muongo Kabisa tena Mnafiki sana.
Mungu hamtupi mja wake Poleni sana, wanaadamu tuna nini dhuluma siyo njema
Mbona mama mkali sana kama unaona ajui si afundishwaa asimamie mali za babake watu mnakuwa wakali kwa mali za mtu mwingine acheni roho mbayaaaaa
MashaAllaah rais magufuli wenuu Apendavyo haki na kuteteya madhaifuu. Atayafuatiyaaa na kuchunguwaaa haki zenuu.musisahau swadaka kwa wingi mujuwee ni kinga za wanaAdamuh.
Mungu awasaidie najua Mungu katuletea kiongozi makini mungu wasaidie wewe ndo kimbilio lao
Wanawake ht km kaka zenu wana mali ametafuta na mkewe, oleweni nanyinyi mjue ilivyokazi kutafuta utajiri.We mama umesharithi tayari waache hawa watoto.
@lizzynkifu4179
4 жыл бұрын
Tedy wengine hawaelww hilo
Kama umemuona bibi wa watoto Hao anaongea mpaka mishipa ya shingo I ataka kupasuka weka like hapo.
Sisi wachagaa mashangaz zetu wanashidah sana yaani mimi mwenyewe nafikiria siku wakibumburuka maana naona manyunyu yashaanza bado mvua tu🤔🤔 ,.
Wewe mama acha mali ya watoto ni mali yao....
Awasaidie kabisa watu
Hatariiiiii..Mali ni za watoto..hakuna cha Dada wala shangazi wala mjomba...subilini nanyi Bb zenu wafe mgawane..😂😂😂😂😂
@nelsonmakoye291
4 жыл бұрын
Raisi awasaidie hawa watoto,hao ndgu sio watu wazuri ,na nina imani msaada wa haki hutotolewa raisi akipata hii habar
Pole sana wadogo zangu mungu yupo atawatetea
Jamani ndugu acheni tamaa wapeni watoto haki zao muwe na hofu ya mungu hamna hata huruma selikari yetu iko makini mtapata tu haki yenu
Feel to cry oh God wew ndio kila kitu Mungu akasimame nao
@veronicamgeni9414
4 ай бұрын
Mama yao hao.watoto ametoka leo jela Mungu mwema
Mbunge Lema Yuko wapi maana ni Jimbo lake hilo viongozi tusaidie wananchi maana ndio kura zao hizo sio kukimbilia mitandaoni kusema uwongo tu wakati watu wanateseka hivyo mpaka MTU anaomba msaada kwa Rais maana yake mbunge hupo wala hujui kinachoendelea kwenye Jimbo lako badilikeni jaman sisi tunapowaamini msitudharau
Uncle Magu sukuma hao majambazi ndani mzee.. hawana tofauti na wahujumu uchumi na magaidi. watoto ndio warithi halali .. wapewe mali zao! wakiishi humo au kufugia kuku hiyo ni juu yao! Jimama limnenepeanaaaa kwa kula vya marehemu na kugoma kunywa nyoo!
Ninachojua mungu halali usingizi na anaishi! Majibu yapo
Atuja nakufahamu mwiz mkubwa ww,hata km kasomea kuuza nyanya ww mali za baba yao zinakuhusu nn
Huyu Dada anaongea pumba huyu kijana si mtoto tena alisha kuwa MTU mzima anahaki ya kumiliki Mali za baba yake maana huyu dada anavyoongea tu anaoneka yeye na ndugu zake wanataka dhuruma.
ACHENI ROHO MBAYA WATT WAMEKUWA WANAWEZA KUENDESHA MALI ZA BB YAO
Kaskzini oyeeee, gonga like Kam umeoa kaskzini 🤒🤒
we shangaz acha wenge hiyo mali haikuhusu acha watumie watakavyo
@leonardpaul3546
4 жыл бұрын
Anatakiwa abaki kama mshauri wa nje ambaye hana maamuzi juu ya chochote!
@oscartatrino1714
4 жыл бұрын
Daaaa kwa hili nawakumbuka sana, marehemu Ngurumo na marehemu Tx Wiliam kwa ile tungo yao ndg wanagombea mali za marehemu, ushauri wangu JPM hana hiana tena anawasaka sana kwa udi na uvumba wanaokula pesa ambazo hawakuzitolea jasho,hao watoto wafunge safari waje wamuone rais Magufuli siku moja tu na ulinzi juu watapewa chini ya RPC
@mbonijabut1405
4 жыл бұрын
Amedeus Kimario shangazi shangazi uoni aibu uyo kijana awez kushiriki kuhusu mama yake chuki tu
Mimi naamini mashngazi, babu na bibi was hao watoto hawana lengo LA kuwadhulumu Mali. Ila wameona hao watoto watatumia hizo Mali kumtoa Mama yao kifungoni... Maana wameona watoto wako upande was mama,ili hali inasemekana ana hatia. Bado sana uchungu na kifo cha wapendwa wao ,Aneth na Erasto kwa kweli. In vigumu sana mpaka babu na bibi wakubali watoto wadhulumiwe... Mimi siamini ktk dhuluma.
iyo mzee Mtendaji atawashikisha adabu iyo famiri
Wemama una roho mbaya sasa unapaniki nini!?
Hata kama wakiuza simali yao
@allypol7757
4 жыл бұрын
hyu mama nimwizi akatafte zakwake nammewake
Duh! Aisee 😢😢
Mmmh pole sana
Aaah,jamaaa acha uzembe ningekuo Mimi ningewanyongea mbali so.
@alanusallos2671
4 жыл бұрын
umeilewa vzr hii habari we ndg
Iyo ndo chagga disease sasa kwa Tz.....too sad
@mshangapeter6566
4 жыл бұрын
Acha umbumbumbu, msuya sio wachagga,.. Chuki zitawauaaa...
@martinrobertmartin1352
4 жыл бұрын
Msuya ni wapare acha uzembe
Wewe mwanamke acha roho mbaya. Utakufa siku wanao wahangaike. Malipo ni hapa hapa duniani. Mungu atawahukumu ninyi ndugu.
mungu yu nanyi
Tuliopita sg resort na wafanya Kaz gonga like apa
Ukioa mchaga au mpare, ujipange vizuri..
Dah poleni sana ila mungu yupo na maombi yenu mtasaidiwa rais wetu ni mtetezi wa haki za wanyonge mtafungaje nyumba watoto wapo acheni zenu
Watu wengi wanachangi kishabiki tu hawa watoto wamejazwa maneno na wameweka chuki kwa familia ya baba yao ni ni mpango wao ili mama yao haachiliwe gerezani ni uovu juu ya uovu wala hawaishi kwa tabu huyu dada anasema ukweli hawa upande wa mama yao wana agenda yao ya siri
Hata huku wap watu kama haw watafut mali zao anachoongea hakituingii akilin angekuw kwet huk tungetup ndan wapumbav kam hao