Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo
@bbclondonulimwenguwasoka61264 ай бұрын
Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo
@prophetjamesmzigaba44474 ай бұрын
Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu
@husseinkonz51924 ай бұрын
Dah kama naww imekugusa hii tujuane
@MsAggie54 ай бұрын
😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.
@jaykule81974 ай бұрын
CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake
@christianmwabukusi8132
4 ай бұрын
Ndio swali! Usiri kwa mtu ambaye ni wa watu wengi...
@user-yi8pe8zz1t4 ай бұрын
mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢
@user-ml5tq8hj2x4 ай бұрын
Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima
@kambamazig020244 ай бұрын
Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.
@christianmwabukusi8132
4 ай бұрын
Usiri unasababisha maneno
@ivangasper17094 ай бұрын
Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏
@crispinakimaro38214 ай бұрын
Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭
@amosmichael89864 ай бұрын
Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Ndo najiuliza apa sipati majibu
@emanuelshine
2 ай бұрын
Ni katika jitihada za kuokoa uhai wake.
@charlesyapuka49924 ай бұрын
Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?
@yomamausafi11374 ай бұрын
ipo sku mtasem ukweli
@geofreymlingwa29144 ай бұрын
Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM
@AleiHadji-js3ed4 ай бұрын
Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@JaphethKauno2 ай бұрын
Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.
@joharimillanga15873 ай бұрын
Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia
@GeorgeBenard-ue2gh4 ай бұрын
Nyinyi nyinyi semeni vizuri, yaan mhmhmh
@JackM.-mh5csАй бұрын
Aliua watumie wengine sanaa hatuna mazombi yatamsaidia hukohuko kuzimu
@chuisayi7544 ай бұрын
Ulikuwa wap zaman kuweka waz hayo maneno
@user-tl4cy7br6v
4 ай бұрын
Wew hy mambo si ya kukurupuka kutangaza hivhiviiiii
@aishakhamis2996
4 ай бұрын
Nakwambia wanafik tuu hawa...!!
@mrmiamiaclassic64924 ай бұрын
Duhuu kwa hayo maelezo CDF kuna kitu kipo nyuma ya paziaa
@vitalgiddy044 ай бұрын
Wengi wanaamini Magu alifia Kenya hospitali kuu la Agakhan jijini Nairobi
@VeronicaVitus-rk5mf4 ай бұрын
😢
@user-yi8pe8zz1t4 ай бұрын
hacheki huyu mzee ni askari jeshi sura yake haisomeki,unapo dhani anacheka ooh,mambo yanawezabadilika mara moja,askari huyo ohooo!
@joshuambilinyi66553 ай бұрын
Daah
@joselinemwaki96654 ай бұрын
Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni, #ripmagufuli
@simasima8084
4 ай бұрын
Asante kwa kugundua hilo😢😢
@user-mortone4 ай бұрын
Kwa nini anapata kigugumizi sana katika kuongea
@justinjasson70704 ай бұрын
Mzera kulikuwa na vifaa?
@user-ve1xm7gn9y4 ай бұрын
Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House ilikua maagizo ya Wachawi wa Harmonize.... Popo kazini 🦇🦇🦇 🦇🦇🦇🦇🦇🦇😭🇹🇿
@jullia639
4 ай бұрын
Dah
@RichardNyalucy4 ай бұрын
Ccm wamemlambisha kisu chenye asali
@ezekielmbazi.86873 ай бұрын
Inswezekana angeenda Nyumbani angepona labda kuna kitu alishakigundua....... Mhhhh moyo unaniuma zaid
@tegemeantenga1024 ай бұрын
Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?
@user-nh7ie5kz7l4 ай бұрын
ni vigumu kumsahau mwamba, kipenzi cha watanzaia apumzike kwa amani baba.yetu.
@user-zc1xq8xk1i4 ай бұрын
Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu
@anithawidambe75434 ай бұрын
Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.
@GeorgeBenard-ue2gh4 ай бұрын
Sjakuelewa kabisa
@MagingaJoseph-iw9nk4 ай бұрын
😢rip
@deuslucas22564 ай бұрын
Inauma sana
@user-wl8ok7zz5d4 ай бұрын
rip
@JulianaMakunja-vr4jl4 ай бұрын
Yaan Magu uliniumiza sana 😭 nakumbuka wakat mzee wng naye anakaribia kufarik nilimuota Magu yupo maeneo ya home Baba anamwangalia now wote hawapo😭😭😭
@SmilingCityMap-xb9md4 ай бұрын
Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Ndo najiuliza inakuaje kapinga kauli ya rais waongo walimua Yule mzee
@shabanipanya10334 ай бұрын
Umebadilisha aliomba madactari waondolewe kabla ya kutaka kurudishwa nyumbani
@user-tl4cy7br6v
4 ай бұрын
Ulikuwepo syoooo????
@fortunendyamukama3906
4 ай бұрын
Mind your language inaweza kuku cost🙌🙌🙌🙌😷😷
@shabanipanya1033
4 ай бұрын
@@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)
@msafirimfilinge82224 ай бұрын
Daaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢R I P JPM
@mwambaimara19504 ай бұрын
Hivi kwa nini cdf anacheka, na kutikisa miguu? yumkini naye anahusika.
@doiabel3793
4 ай бұрын
Cdf alimpenda sana magufuli hapo anamachungu mengi sana kisimlia hii story anaweza kuangua machozi gafra ndo maana anatikisa tu mguu
Пікірлер: 61
Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo
Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo
Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu
Dah kama naww imekugusa hii tujuane
😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.
CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake
@christianmwabukusi8132
4 ай бұрын
Ndio swali! Usiri kwa mtu ambaye ni wa watu wengi...
mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢
Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima
Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.
@christianmwabukusi8132
4 ай бұрын
Usiri unasababisha maneno
Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏
Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭
Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Ndo najiuliza apa sipati majibu
@emanuelshine
2 ай бұрын
Ni katika jitihada za kuokoa uhai wake.
Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?
ipo sku mtasem ukweli
Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM
Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.
Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia
Nyinyi nyinyi semeni vizuri, yaan mhmhmh
Aliua watumie wengine sanaa hatuna mazombi yatamsaidia hukohuko kuzimu
Ulikuwa wap zaman kuweka waz hayo maneno
@user-tl4cy7br6v
4 ай бұрын
Wew hy mambo si ya kukurupuka kutangaza hivhiviiiii
@aishakhamis2996
4 ай бұрын
Nakwambia wanafik tuu hawa...!!
Duhuu kwa hayo maelezo CDF kuna kitu kipo nyuma ya paziaa
Wengi wanaamini Magu alifia Kenya hospitali kuu la Agakhan jijini Nairobi
😢
hacheki huyu mzee ni askari jeshi sura yake haisomeki,unapo dhani anacheka ooh,mambo yanawezabadilika mara moja,askari huyo ohooo!
Daah
Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni, #ripmagufuli
@simasima8084
4 ай бұрын
Asante kwa kugundua hilo😢😢
Kwa nini anapata kigugumizi sana katika kuongea
Mzera kulikuwa na vifaa?
Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House ilikua maagizo ya Wachawi wa Harmonize.... Popo kazini 🦇🦇🦇 🦇🦇🦇🦇🦇🦇😭🇹🇿
@jullia639
4 ай бұрын
Dah
Ccm wamemlambisha kisu chenye asali
Inswezekana angeenda Nyumbani angepona labda kuna kitu alishakigundua....... Mhhhh moyo unaniuma zaid
Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?
ni vigumu kumsahau mwamba, kipenzi cha watanzaia apumzike kwa amani baba.yetu.
Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu
Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.
Sjakuelewa kabisa
😢rip
Inauma sana
rip
Yaan Magu uliniumiza sana 😭 nakumbuka wakat mzee wng naye anakaribia kufarik nilimuota Magu yupo maeneo ya home Baba anamwangalia now wote hawapo😭😭😭
Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?
@abdullynasry2205
3 ай бұрын
Ndo najiuliza inakuaje kapinga kauli ya rais waongo walimua Yule mzee
Umebadilisha aliomba madactari waondolewe kabla ya kutaka kurudishwa nyumbani
@user-tl4cy7br6v
4 ай бұрын
Ulikuwepo syoooo????
@fortunendyamukama3906
4 ай бұрын
Mind your language inaweza kuku cost🙌🙌🙌🙌😷😷
@shabanipanya1033
4 ай бұрын
@@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)
Daaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢R I P JPM
Hivi kwa nini cdf anacheka, na kutikisa miguu? yumkini naye anahusika.
@doiabel3793
4 ай бұрын
Cdf alimpenda sana magufuli hapo anamachungu mengi sana kisimlia hii story anaweza kuangua machozi gafra ndo maana anatikisa tu mguu
😭😭