MUSIBA AFUNGUKA MAOVU YA MAKAMBA,KINANA NA NAPE/WANATAKA KUNIUA/KUNA GARI INANIFUATA

Ойын-сауық

Пікірлер: 606

  • @georgeerick3140
    @georgeerick31405 жыл бұрын

    ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.

  • @titorazalo2546

    @titorazalo2546

    2 жыл бұрын

    Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.

  • @czmediaconsultant5640

    @czmediaconsultant5640

    Жыл бұрын

    @@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha

  • @aliceannasepan9644
    @aliceannasepan9644 Жыл бұрын

    Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu34675 жыл бұрын

    Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik

  • @princepiusmutaihwa9606
    @princepiusmutaihwa96065 жыл бұрын

    Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM

  • @mo-linehabari9569

    @mo-linehabari9569

    5 жыл бұрын

    Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa

  • @latlailat274

    @latlailat274

    5 жыл бұрын

    yap

  • @davidraulence305

    @davidraulence305

    5 жыл бұрын

    Mmh haya bhana

  • @mosaymophosa9567

    @mosaymophosa9567

    5 жыл бұрын

    my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD

  • @teddykanondo5753

    @teddykanondo5753

    4 жыл бұрын

    Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.

  • @albertnshunju4172
    @albertnshunju41725 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana kaka.

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw10 ай бұрын

    Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika

  • @luttumohamedfafara9630
    @luttumohamedfafara96305 жыл бұрын

    Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.

  • @sanyengekiyumbageita9107
    @sanyengekiyumbageita91075 жыл бұрын

    Upo sawa bro

  • @saidmalata5154
    @saidmalata51542 жыл бұрын

    Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana

  • @jumamavind7713
    @jumamavind77133 жыл бұрын

    Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe

  • @getrudangoto6742
    @getrudangoto67422 жыл бұрын

    Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli

  • @tembeletadei7136
    @tembeletadei71365 жыл бұрын

    uko vizuri,tupe ukwel

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier13775 жыл бұрын

    Mm nakuelewa sana kaka musiba ......timua vumbi timuaa

  • @kuryangamakesenimakeseni2611
    @kuryangamakesenimakeseni26115 жыл бұрын

    Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!

  • @chrisantgeorge3677
    @chrisantgeorge36775 жыл бұрын

    Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA

  • @abubakarihamissi4178

    @abubakarihamissi4178

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo

  • @sadickmkanda4531
    @sadickmkanda45315 жыл бұрын

    Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.

  • @georgefaustini8890

    @georgefaustini8890

    5 жыл бұрын

    Yaan kuna majitu mengi hayaelew

  • @anuaryally7149

    @anuaryally7149

    5 жыл бұрын

    Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa

  • @yasinshaban4933
    @yasinshaban49335 жыл бұрын

    Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂 Hapo veeepeee

  • @sosasoda567
    @sosasoda5675 жыл бұрын

    Hongera bwana Musiba. Keep it up

  • @papafikiri
    @papafikiri5 жыл бұрын

    Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????

  • @modrikedward1779
    @modrikedward17792 жыл бұрын

    Alie Kuja tena Hapa Daada ya Magufuli kufa na Msiba Kuhukumiwa Kulipa Billion 6 Kwa tuhuma za Kumkashifu Membe Tujuane.😋😋. Note..✍️✍️ Usimtegemee Binaadam Mwenzako Daima na Kukashifu watu Hadharani Hata kama Amekosea, Maana Umtegemeae Anaweza kufa.

  • @masanyiwamullagwanyawawa6244

    @masanyiwamullagwanyawawa6244

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo ulitaka anyamaze ili iweje! Huyu musiba Ni mzalendo acha wamuonee. Ila ukweli tunauona live

  • @sambiaj
    @sambiaj5 жыл бұрын

    Jamaa ana hoja nzuri sana

  • @mo-linehabari9569
    @mo-linehabari95695 жыл бұрын

    Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.

  • @ipyanamwakabana858

    @ipyanamwakabana858

    5 жыл бұрын

    Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?

  • @stuartrwebangira2061

    @stuartrwebangira2061

    5 жыл бұрын

    Keep it up Musiba

  • @husseinthabit5416

    @husseinthabit5416

    5 жыл бұрын

    @@ipyanamwakabana858 pp

  • @robinchristian3125
    @robinchristian31255 жыл бұрын

    Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.

  • @rashidmchopa6164

    @rashidmchopa6164

    2 жыл бұрын

    hihuqq

  • @nestor384
    @nestor3845 жыл бұрын

    Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM

  • @ramadhanaldawiyya8659

    @ramadhanaldawiyya8659

    5 жыл бұрын

    Sir:Musiba nakuomba umuambie Mheshimiwa MKINGA nae afuate nyayo zako na UJASIRI.

  • @ramadhanaldawiyya8659

    @ramadhanaldawiyya8659

    5 жыл бұрын

    "Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR

  • @edithazmwasanga7091

    @edithazmwasanga7091

    5 жыл бұрын

    Nestroy Buyungu Ndugu tureze

  • @listerelieza56
    @listerelieza563 жыл бұрын

    Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte

  • @jacksonedward201
    @jacksonedward2015 жыл бұрын

    Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee

  • @mbarakafitina8255
    @mbarakafitina82555 жыл бұрын

    No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.

  • @MedisoniJoseph
    @MedisoniJoseph19 сағат бұрын

    Jamaa upo vizur saana

  • @augustinonestorysasi3683
    @augustinonestorysasi368310 ай бұрын

    Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!

  • @kadilamore802
    @kadilamore8025 жыл бұрын

    😂😂😂lakini cheo kikija ntashukuru mungu...

  • @tafaqurtvtz7669
    @tafaqurtvtz76693 жыл бұрын

    Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera

  • @rehemamlowe1464
    @rehemamlowe14642 жыл бұрын

    Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,

  • @kenanmakere5325
    @kenanmakere53252 жыл бұрын

    Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀

  • @anethlukuna1474
    @anethlukuna14743 жыл бұрын

    Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa

  • @zenj1986
    @zenj19865 жыл бұрын

    Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.

  • @sosasoda567
    @sosasoda5675 жыл бұрын

    Wape wape Baba Musiba...

  • @massawejose3594
    @massawejose35945 жыл бұрын

    Sema kak

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri40892 жыл бұрын

    Asant kwakutetea taifa mungu akulinde

  • @gwaujuma2531
    @gwaujuma25315 жыл бұрын

    Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu

  • @florianbeatus5682

    @florianbeatus5682

    4 жыл бұрын

    Unajiskiaj na hali

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji18325 жыл бұрын

    Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    2 жыл бұрын

    Yuko wapi sasa

  • @stellakaluwa3647

    @stellakaluwa3647

    Жыл бұрын

    Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili

  • @chidybwax8080
    @chidybwax80805 жыл бұрын

    mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa

  • @salmawage7259
    @salmawage72592 жыл бұрын

    Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani

  • @sara3stephy195
    @sara3stephy1953 жыл бұрын

    Uko sahihi kabsa .mungu atakusimamia

  • @abdallabashili2295
    @abdallabashili22952 жыл бұрын

    Mungu akusaidie

  • @salmawage7259
    @salmawage72592 жыл бұрын

    Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma

  • @carolihando6271
    @carolihando62714 ай бұрын

    Sawia kabisa

  • @user-xn5yv6yg8g
    @user-xn5yv6yg8g Жыл бұрын

    Kweli bwana

  • @peninamafuru9638
    @peninamafuru96382 жыл бұрын

    Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv5215 жыл бұрын

    bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari

  • @meddyyassin4741
    @meddyyassin47412 жыл бұрын

    Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.

  • @khalefkhamis9735
    @khalefkhamis97355 жыл бұрын

    Vip Uamsho mbona hawajapata zamana mpaka leo ?

  • @kallahassan4896
    @kallahassan48965 жыл бұрын

    Sema musiba usiogope wanaichi tunakuelewa

  • @cheupemwanga3326
    @cheupemwanga33265 жыл бұрын

    Unasema ya maana lakini unatumwa .....Hili LA kusema hutumwi na MTU ni uongo

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo82935 жыл бұрын

    😂😂😂😂atashukuru mungu cheo kikimkuta

  • @kidodosimichael349
    @kidodosimichael3495 жыл бұрын

    Microphone 1 mpaka 20😄😄😄😄😄😄😄 Kazi kweli kweli!!!

  • @angelinaally8138
    @angelinaally81384 жыл бұрын

    Musiba Bwana Asifiwe Damu yaYEsu ikufunike . Kazamwendo Tunakuombea Mungu Akulinde Tunajua Nchihii mtuakisemakwema wanamuua wakimuua Amina chifupa Alipokuwa akisema kuhusu madawa yakulvia Tuko nyumayako Tanzania yetu Mungufuli wangu namkubali Musiba Niheri Tufekwakutetea nchiyetu

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier13775 жыл бұрын

    Ubatizo wa moto.... hehehehehe

  • @saddykayage1441
    @saddykayage14415 жыл бұрын

    Musiba unanifurahisha fumua makaburi yote halafu kuna zawadi yako nione ukimaliza mwana harakati

  • @sululungasa3849
    @sululungasa38492 жыл бұрын

    upo sahihisana kiongozii 👍

  • @makariosnkya
    @makariosnkya2 ай бұрын

    Jamaa Fala sana.

  • @frankmsasa948
    @frankmsasa9483 жыл бұрын

    Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli

  • @upgo6112
    @upgo61125 жыл бұрын

    Hahaha fumua bro..Tunakuombea kwa Mungu

  • @emilianimalala9306

    @emilianimalala9306

    5 жыл бұрын

    Unajua watu was ccm siwaerewi na raising wao wajipime

  • @mashakaemmanuel7147

    @mashakaemmanuel7147

    3 жыл бұрын

    Kuna kenge anasema msiba ni mchonganishi au wewe nae nifisadi Nini au makamba no mme wake?

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize97752 жыл бұрын

    Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life

  • @selemanshechonge5456
    @selemanshechonge54565 жыл бұрын

    Muda wote ccm walikuwa hawalioni hilo

  • @michaelmakenzi908
    @michaelmakenzi9085 жыл бұрын

    Safi sana musiba

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga81505 жыл бұрын

    Hatimae mic zimeongezeka tulizoea mic 1 Mungu ni mwema

  • @upendorobert7298

    @upendorobert7298

    5 жыл бұрын

    Selemani Mkonga haaaaaaaaaa, umeniacha hoi, kwa kweli, ila umaarufu ni shughuli, jamaa katoili haswaaa

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    2 жыл бұрын

    Kama mobutu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Msaidie sana sana mama nae musiba kuna walaji wengi humo ndani

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw15 сағат бұрын

    Huyu mchonganishi,hela za marehemu Membe ameishalipa?

  • @johnphatmgaza3816
    @johnphatmgaza38163 жыл бұрын

    Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri

  • @thomasselemani2331
    @thomasselemani23314 жыл бұрын

    Sawa mwanaharakati ngoja tusikilize matokeo

  • @hajisaid9364
    @hajisaid93645 жыл бұрын

    Sasa hivi tukiamka korosho, tukiamka watu wasiojulikana na utekaji nyara, tukiamka watu wasio na uraia, tukiamka double standards, tukiamka uhuru wa habari kuminywa, tukiamka shenanigans za wakuu wa mikoa... Get outta here!

  • @sponsor7882
    @sponsor78825 жыл бұрын

    JAMAA KAFUNGWA MWILI NA MASAI

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Sema usiogopi sema baba nchi yetu Tanzania ilikuwa inakwenda mrama

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Mwanangu Tanzania hii watu hawataki ukweli mungu amlaze pema peponi Rais magufuli amina

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27735 жыл бұрын

    Msiba kama unayozungumza ni ya kweli tutaona serikali ikidhibitisha na kuwachukulia hatua ili kutofautisha na maneno ya Mange.Waliotoa mikopo wengine ni mabalozi nje tutaona akitolewa.Na kinana tutaona akirudishwa Canada yasipotokea hayo kutakuwa na ukakasi.Hakuna serikali duniani inayoweza kuacha hivihivi unayoyazungumza ni mazito mno kaka yangu Msiba.Unatufanya watanzania tusiwe na imani na viongozi wote.

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma75425 жыл бұрын

    Mara unamtambua mzee mmoja mara unawataja wengi

  • @raji3432
    @raji34325 жыл бұрын

    Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇

  • @gracemima5234

    @gracemima5234

    4 жыл бұрын

    Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu

  • @kabongebugwigwi300

    @kabongebugwigwi300

    4 жыл бұрын

    Nate Hugo ameanza zake

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas98855 жыл бұрын

    Kweli wanararuana wenyewe

  • @frolianmtega1639
    @frolianmtega16394 жыл бұрын

    Sawa kaka msimba tusiombe sabuni ichafuke

  • @bulunjumjuli9572
    @bulunjumjuli95722 жыл бұрын

    Angalia

  • @irenevedastombamanyile7615
    @irenevedastombamanyile76155 жыл бұрын

    safi sana Msiba we we sema sisi tunakuombea

  • @bmctz1729

    @bmctz1729

    3 жыл бұрын

    Umejipendekeza mwenzio kakuacha, tusimtegemee mwanadamu tukawatukana watu.

  • @francohaule8057

    @francohaule8057

    2 жыл бұрын

    Mbona Sasa umenyamaza Kama hukutumwa

  • @francohaule8057

    @francohaule8057

    2 жыл бұрын

    Wewe ulikuwa na masalia na kulipwa hakuna demokrasia ya uteuzi wa chama kimoja ni udikiteta huo

  • @francohaule8057

    @francohaule8057

    2 жыл бұрын

    Kati ya watu wajinga na wewe msiba upo

  • @LameckOSadiq
    @LameckOSadiq2 жыл бұрын

    Mungu ni mkuu

  • @wamburachacha1248
    @wamburachacha12485 жыл бұрын

    Noted

  • @stephanitadei1981
    @stephanitadei19813 жыл бұрын

    Kiukweli unasitaili kua Kiongozi

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman45643 жыл бұрын

    Hahaha Musiba anachekesha sana.. Safi sana

  • @saidymtenda9777
    @saidymtenda97775 жыл бұрын

    Duh mungu wangu!!

  • @adrianokubila8374

    @adrianokubila8374

    5 жыл бұрын

    Nani aliuza nyumba za msaki

  • @konyakirs5289
    @konyakirs52895 жыл бұрын

    TANZANIA TUNA WANAHARAKATI WAWIRI MUSIBA NA MANGE KIMAMBI KWAHIYO TUCHAGUE SISI WENYEWE T UNAMSAPOTI MWANAHARAKATI YUPI

  • @keiledstephen9710

    @keiledstephen9710

    4 жыл бұрын

    msiba

  • @msangy4230
    @msangy42305 жыл бұрын

    Musiba ni janga la taifa. Kama ilivyo ukimwi.

  • @chrisantgeorge3677

    @chrisantgeorge3677

    5 жыл бұрын

    Hujielewi maana umelelewa na mafisad

  • @rashidyusuphwewenimtotowam1761

    @rashidyusuphwewenimtotowam1761

    2 жыл бұрын

    Wew ni mtoto wa makamba kwa mama wa kambo

  • @mohamedhella7899
    @mohamedhella78995 жыл бұрын

    The beautiful one are not yet born @MUSIBA

  • @marysadiki1887
    @marysadiki18872 жыл бұрын

    Dah tanzania tumepitia mengi sana

  • @labanbishirabandi3740
    @labanbishirabandi37402 жыл бұрын

    Due! Nimejifunza kuwa na akiba ya maneno

  • @ancomagu9893
    @ancomagu98935 жыл бұрын

    Ivi unamfwatiliaje mtu anae juwa unavyo panga mipango ya kumzuru anajua nikuachana nae tu maana daaah

  • @shabanabdala4265
    @shabanabdala42652 жыл бұрын

    Ila kama nikwel haya jamani yasemwayo wenzangu wahali yachini tumuombeni mungu baada ya kifo chetu tupunguziwe kama sio kuondelewa adhabu mana tunateswa na mengi hapa duniani mungu tusaidie waja wko masikini

  • @babrashabanu7073
    @babrashabanu70732 жыл бұрын

    Mwenzangu sura yako Leo iko wap Mana membe yuko hot .January ni wa moto nape wa moto

  • @barakanestory3521
    @barakanestory35212 жыл бұрын

    Shida viongozi wa ki Africa ni wanafiki sana,wakishiba ugali wanajisahau,halafu wanapeana ugali waokwao,mungu atusaidie,mama anawaapaje uongozi watu kama hao,au hajui

  • @elishajohn8554
    @elishajohn85544 жыл бұрын

    ongea baba. umetuamsha sana

  • @mudyshalo3780
    @mudyshalo37803 жыл бұрын

    Ukweli

  • @philemonjonikenyato2919
    @philemonjonikenyato29195 жыл бұрын

    Sometimes jamaa anaongea facts sana! Nape Nnauye alikuwa jeuri sana mwaka 2015, acha anyooshwe

  • @yahayaolomi1057

    @yahayaolomi1057

    2 жыл бұрын

    Sasa kanyooshwa yeye badala ya kuwanyoosha yeye hatmae Yuko kijijini analima na uvuvi

  • @peterjohn1969
    @peterjohn19695 жыл бұрын

    Muacheni musiba aongee musiba ni mwalim anatupa elim tujue ili tuache kusemasema vitu tusivyo vijua ikiwa ana seema uongo basi mzee mmoja ajitokeze tujue mambo aya ni yakweli

Келесі