ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
@titorazalo2546
2 жыл бұрын
Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.
@czmediaconsultant5640
Жыл бұрын
@@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha
@aliceannasepan9644 Жыл бұрын
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
@duniamapitosotewamungu34675 жыл бұрын
Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik
@princepiusmutaihwa96065 жыл бұрын
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
@mo-linehabari9569
5 жыл бұрын
Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa
@latlailat274
5 жыл бұрын
yap
@davidraulence305
5 жыл бұрын
Mmh haya bhana
@mosaymophosa9567
5 жыл бұрын
my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD
@teddykanondo5753
4 жыл бұрын
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
@albertnshunju41725 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka.
@BernadethaSimba-qi4dw10 ай бұрын
Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika
@luttumohamedfafara96305 жыл бұрын
Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.
@sanyengekiyumbageita91075 жыл бұрын
Upo sawa bro
@saidmalata51542 жыл бұрын
Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
@jumamavind77133 жыл бұрын
Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe
@getrudangoto67422 жыл бұрын
Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli
@tembeletadei71365 жыл бұрын
uko vizuri,tupe ukwel
@lemonadesoldier13775 жыл бұрын
Mm nakuelewa sana kaka musiba ......timua vumbi timuaa
@kuryangamakesenimakeseni26115 жыл бұрын
Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!
@chrisantgeorge36775 жыл бұрын
Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA
@abubakarihamissi4178
Жыл бұрын
😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo
@sadickmkanda45315 жыл бұрын
Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.
@georgefaustini8890
5 жыл бұрын
Yaan kuna majitu mengi hayaelew
@anuaryally7149
5 жыл бұрын
Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa
@yasinshaban49335 жыл бұрын
Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂 Hapo veeepeee
@sosasoda5675 жыл бұрын
Hongera bwana Musiba. Keep it up
@papafikiri5 жыл бұрын
Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????
@modrikedward17792 жыл бұрын
Alie Kuja tena Hapa Daada ya Magufuli kufa na Msiba Kuhukumiwa Kulipa Billion 6 Kwa tuhuma za Kumkashifu Membe Tujuane.😋😋. Note..✍️✍️ Usimtegemee Binaadam Mwenzako Daima na Kukashifu watu Hadharani Hata kama Amekosea, Maana Umtegemeae Anaweza kufa.
@masanyiwamullagwanyawawa6244
2 жыл бұрын
Kwa hiyo ulitaka anyamaze ili iweje! Huyu musiba Ni mzalendo acha wamuonee. Ila ukweli tunauona live
@sambiaj5 жыл бұрын
Jamaa ana hoja nzuri sana
@mo-linehabari95695 жыл бұрын
Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.
@ipyanamwakabana858
5 жыл бұрын
Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?
@stuartrwebangira2061
5 жыл бұрын
Keep it up Musiba
@husseinthabit5416
5 жыл бұрын
@@ipyanamwakabana858 pp
@robinchristian31255 жыл бұрын
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
@rashidmchopa6164
2 жыл бұрын
hihuqq
@nestor3845 жыл бұрын
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
"Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR
@edithazmwasanga7091
5 жыл бұрын
Nestroy Buyungu Ndugu tureze
@listerelieza563 жыл бұрын
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
@jacksonedward2015 жыл бұрын
Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee
@mbarakafitina82555 жыл бұрын
No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.
@MedisoniJoseph19 сағат бұрын
Jamaa upo vizur saana
@augustinonestorysasi368310 ай бұрын
Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!
@kadilamore8025 жыл бұрын
😂😂😂lakini cheo kikija ntashukuru mungu...
@tafaqurtvtz76693 жыл бұрын
Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera
@rehemamlowe14642 жыл бұрын
Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,
@kenanmakere53252 жыл бұрын
Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀
@anethlukuna14743 жыл бұрын
Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa
@zenj19865 жыл бұрын
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
@sosasoda5675 жыл бұрын
Wape wape Baba Musiba...
@massawejose35945 жыл бұрын
Sema kak
@akimuwaziri40892 жыл бұрын
Asant kwakutetea taifa mungu akulinde
@gwaujuma25315 жыл бұрын
Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu
@florianbeatus5682
4 жыл бұрын
Unajiskiaj na hali
@othmanhaji18325 жыл бұрын
Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa
@kisangageorgethomasi2830
2 жыл бұрын
Yuko wapi sasa
@stellakaluwa3647
Жыл бұрын
Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili
@chidybwax80805 жыл бұрын
mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa
@salmawage72592 жыл бұрын
Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani
@sara3stephy1953 жыл бұрын
Uko sahihi kabsa .mungu atakusimamia
@abdallabashili22952 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@salmawage72592 жыл бұрын
Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma
@carolihando62714 ай бұрын
Sawia kabisa
@user-xn5yv6yg8g Жыл бұрын
Kweli bwana
@peninamafuru96382 жыл бұрын
Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema
@ndagiletv5215 жыл бұрын
bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari
@meddyyassin47412 жыл бұрын
Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.
@khalefkhamis97355 жыл бұрын
Vip Uamsho mbona hawajapata zamana mpaka leo ?
@kallahassan48965 жыл бұрын
Sema musiba usiogope wanaichi tunakuelewa
@cheupemwanga33265 жыл бұрын
Unasema ya maana lakini unatumwa .....Hili LA kusema hutumwi na MTU ni uongo
@mzeewajambo82935 жыл бұрын
😂😂😂😂atashukuru mungu cheo kikimkuta
@kidodosimichael3495 жыл бұрын
Microphone 1 mpaka 20😄😄😄😄😄😄😄 Kazi kweli kweli!!!
@angelinaally81384 жыл бұрын
Musiba Bwana Asifiwe Damu yaYEsu ikufunike . Kazamwendo Tunakuombea Mungu Akulinde Tunajua Nchihii mtuakisemakwema wanamuua wakimuua Amina chifupa Alipokuwa akisema kuhusu madawa yakulvia Tuko nyumayako Tanzania yetu Mungufuli wangu namkubali Musiba Niheri Tufekwakutetea nchiyetu
@lemonadesoldier13775 жыл бұрын
Ubatizo wa moto.... hehehehehe
@saddykayage14415 жыл бұрын
Musiba unanifurahisha fumua makaburi yote halafu kuna zawadi yako nione ukimaliza mwana harakati
@sululungasa38492 жыл бұрын
upo sahihisana kiongozii 👍
@makariosnkya2 ай бұрын
Jamaa Fala sana.
@frankmsasa9483 жыл бұрын
Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli
@upgo61125 жыл бұрын
Hahaha fumua bro..Tunakuombea kwa Mungu
@emilianimalala9306
5 жыл бұрын
Unajua watu was ccm siwaerewi na raising wao wajipime
@mashakaemmanuel7147
3 жыл бұрын
Kuna kenge anasema msiba ni mchonganishi au wewe nae nifisadi Nini au makamba no mme wake?
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life
@selemanshechonge54565 жыл бұрын
Muda wote ccm walikuwa hawalioni hilo
@michaelmakenzi9085 жыл бұрын
Safi sana musiba
@selemanimkonga81505 жыл бұрын
Hatimae mic zimeongezeka tulizoea mic 1 Mungu ni mwema
@upendorobert7298
5 жыл бұрын
Selemani Mkonga haaaaaaaaaa, umeniacha hoi, kwa kweli, ila umaarufu ni shughuli, jamaa katoili haswaaa
@azizawadh5973
2 жыл бұрын
Kama mobutu
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Msaidie sana sana mama nae musiba kuna walaji wengi humo ndani
@cyprianboniphace-oz5lw15 сағат бұрын
Huyu mchonganishi,hela za marehemu Membe ameishalipa?
@johnphatmgaza38163 жыл бұрын
Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri
@thomasselemani23314 жыл бұрын
Sawa mwanaharakati ngoja tusikilize matokeo
@hajisaid93645 жыл бұрын
Sasa hivi tukiamka korosho, tukiamka watu wasiojulikana na utekaji nyara, tukiamka watu wasio na uraia, tukiamka double standards, tukiamka uhuru wa habari kuminywa, tukiamka shenanigans za wakuu wa mikoa... Get outta here!
@sponsor78825 жыл бұрын
JAMAA KAFUNGWA MWILI NA MASAI
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Sema usiogopi sema baba nchi yetu Tanzania ilikuwa inakwenda mrama
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Mwanangu Tanzania hii watu hawataki ukweli mungu amlaze pema peponi Rais magufuli amina
@happinessmwenda27735 жыл бұрын
Msiba kama unayozungumza ni ya kweli tutaona serikali ikidhibitisha na kuwachukulia hatua ili kutofautisha na maneno ya Mange.Waliotoa mikopo wengine ni mabalozi nje tutaona akitolewa.Na kinana tutaona akirudishwa Canada yasipotokea hayo kutakuwa na ukakasi.Hakuna serikali duniani inayoweza kuacha hivihivi unayoyazungumza ni mazito mno kaka yangu Msiba.Unatufanya watanzania tusiwe na imani na viongozi wote.
@sazafsuma75425 жыл бұрын
Mara unamtambua mzee mmoja mara unawataja wengi
@raji34325 жыл бұрын
Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇
@gracemima5234
4 жыл бұрын
Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu
Wewe ulikuwa na masalia na kulipwa hakuna demokrasia ya uteuzi wa chama kimoja ni udikiteta huo
@francohaule8057
2 жыл бұрын
Kati ya watu wajinga na wewe msiba upo
@LameckOSadiq2 жыл бұрын
Mungu ni mkuu
@wamburachacha12485 жыл бұрын
Noted
@stephanitadei19813 жыл бұрын
Kiukweli unasitaili kua Kiongozi
@derrikdesertman45643 жыл бұрын
Hahaha Musiba anachekesha sana.. Safi sana
@saidymtenda97775 жыл бұрын
Duh mungu wangu!!
@adrianokubila8374
5 жыл бұрын
Nani aliuza nyumba za msaki
@konyakirs52895 жыл бұрын
TANZANIA TUNA WANAHARAKATI WAWIRI MUSIBA NA MANGE KIMAMBI KWAHIYO TUCHAGUE SISI WENYEWE T UNAMSAPOTI MWANAHARAKATI YUPI
@keiledstephen9710
4 жыл бұрын
msiba
@msangy42305 жыл бұрын
Musiba ni janga la taifa. Kama ilivyo ukimwi.
@chrisantgeorge3677
5 жыл бұрын
Hujielewi maana umelelewa na mafisad
@rashidyusuphwewenimtotowam1761
2 жыл бұрын
Wew ni mtoto wa makamba kwa mama wa kambo
@mohamedhella78995 жыл бұрын
The beautiful one are not yet born @MUSIBA
@marysadiki18872 жыл бұрын
Dah tanzania tumepitia mengi sana
@labanbishirabandi37402 жыл бұрын
Due! Nimejifunza kuwa na akiba ya maneno
@ancomagu98935 жыл бұрын
Ivi unamfwatiliaje mtu anae juwa unavyo panga mipango ya kumzuru anajua nikuachana nae tu maana daaah
@shabanabdala42652 жыл бұрын
Ila kama nikwel haya jamani yasemwayo wenzangu wahali yachini tumuombeni mungu baada ya kifo chetu tupunguziwe kama sio kuondelewa adhabu mana tunateswa na mengi hapa duniani mungu tusaidie waja wko masikini
@babrashabanu70732 жыл бұрын
Mwenzangu sura yako Leo iko wap Mana membe yuko hot .January ni wa moto nape wa moto
@barakanestory35212 жыл бұрын
Shida viongozi wa ki Africa ni wanafiki sana,wakishiba ugali wanajisahau,halafu wanapeana ugali waokwao,mungu atusaidie,mama anawaapaje uongozi watu kama hao,au hajui
@elishajohn85544 жыл бұрын
ongea baba. umetuamsha sana
@mudyshalo37803 жыл бұрын
Ukweli
@philemonjonikenyato29195 жыл бұрын
Sometimes jamaa anaongea facts sana! Nape Nnauye alikuwa jeuri sana mwaka 2015, acha anyooshwe
@yahayaolomi1057
2 жыл бұрын
Sasa kanyooshwa yeye badala ya kuwanyoosha yeye hatmae Yuko kijijini analima na uvuvi
@peterjohn19695 жыл бұрын
Muacheni musiba aongee musiba ni mwalim anatupa elim tujue ili tuache kusemasema vitu tusivyo vijua ikiwa ana seema uongo basi mzee mmoja ajitokeze tujue mambo aya ni yakweli
Пікірлер: 606
ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
@titorazalo2546
2 жыл бұрын
Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.
@czmediaconsultant5640
Жыл бұрын
@@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
@mo-linehabari9569
5 жыл бұрын
Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa
@latlailat274
5 жыл бұрын
yap
@davidraulence305
5 жыл бұрын
Mmh haya bhana
@mosaymophosa9567
5 жыл бұрын
my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD
@teddykanondo5753
4 жыл бұрын
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
Ubarikiwe sana kaka.
Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika
Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.
Upo sawa bro
Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii
Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe
Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli
uko vizuri,tupe ukwel
Mm nakuelewa sana kaka musiba ......timua vumbi timuaa
Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!
Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA
@abubakarihamissi4178
Жыл бұрын
😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo
Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.
@georgefaustini8890
5 жыл бұрын
Yaan kuna majitu mengi hayaelew
@anuaryally7149
5 жыл бұрын
Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa
Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂 Hapo veeepeee
Hongera bwana Musiba. Keep it up
Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????
Alie Kuja tena Hapa Daada ya Magufuli kufa na Msiba Kuhukumiwa Kulipa Billion 6 Kwa tuhuma za Kumkashifu Membe Tujuane.😋😋. Note..✍️✍️ Usimtegemee Binaadam Mwenzako Daima na Kukashifu watu Hadharani Hata kama Amekosea, Maana Umtegemeae Anaweza kufa.
@masanyiwamullagwanyawawa6244
2 жыл бұрын
Kwa hiyo ulitaka anyamaze ili iweje! Huyu musiba Ni mzalendo acha wamuonee. Ila ukweli tunauona live
Jamaa ana hoja nzuri sana
Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.
@ipyanamwakabana858
5 жыл бұрын
Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?
@stuartrwebangira2061
5 жыл бұрын
Keep it up Musiba
@husseinthabit5416
5 жыл бұрын
@@ipyanamwakabana858 pp
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
@rashidmchopa6164
2 жыл бұрын
hihuqq
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
@ramadhanaldawiyya8659
5 жыл бұрын
Sir:Musiba nakuomba umuambie Mheshimiwa MKINGA nae afuate nyayo zako na UJASIRI.
@ramadhanaldawiyya8659
5 жыл бұрын
"Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR
@edithazmwasanga7091
5 жыл бұрын
Nestroy Buyungu Ndugu tureze
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee
No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.
Jamaa upo vizur saana
Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!
😂😂😂lakini cheo kikija ntashukuru mungu...
Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera
Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,
Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀
Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
Wape wape Baba Musiba...
Sema kak
Asant kwakutetea taifa mungu akulinde
Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu
@florianbeatus5682
4 жыл бұрын
Unajiskiaj na hali
Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa
@kisangageorgethomasi2830
2 жыл бұрын
Yuko wapi sasa
@stellakaluwa3647
Жыл бұрын
Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili
mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa
Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani
Uko sahihi kabsa .mungu atakusimamia
Mungu akusaidie
Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma
Sawia kabisa
Kweli bwana
Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema
bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari
Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.
Vip Uamsho mbona hawajapata zamana mpaka leo ?
Sema musiba usiogope wanaichi tunakuelewa
Unasema ya maana lakini unatumwa .....Hili LA kusema hutumwi na MTU ni uongo
😂😂😂😂atashukuru mungu cheo kikimkuta
Microphone 1 mpaka 20😄😄😄😄😄😄😄 Kazi kweli kweli!!!
Musiba Bwana Asifiwe Damu yaYEsu ikufunike . Kazamwendo Tunakuombea Mungu Akulinde Tunajua Nchihii mtuakisemakwema wanamuua wakimuua Amina chifupa Alipokuwa akisema kuhusu madawa yakulvia Tuko nyumayako Tanzania yetu Mungufuli wangu namkubali Musiba Niheri Tufekwakutetea nchiyetu
Ubatizo wa moto.... hehehehehe
Musiba unanifurahisha fumua makaburi yote halafu kuna zawadi yako nione ukimaliza mwana harakati
upo sahihisana kiongozii 👍
Jamaa Fala sana.
Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli
Hahaha fumua bro..Tunakuombea kwa Mungu
@emilianimalala9306
5 жыл бұрын
Unajua watu was ccm siwaerewi na raising wao wajipime
@mashakaemmanuel7147
3 жыл бұрын
Kuna kenge anasema msiba ni mchonganishi au wewe nae nifisadi Nini au makamba no mme wake?
Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life
Muda wote ccm walikuwa hawalioni hilo
Safi sana musiba
Hatimae mic zimeongezeka tulizoea mic 1 Mungu ni mwema
@upendorobert7298
5 жыл бұрын
Selemani Mkonga haaaaaaaaaa, umeniacha hoi, kwa kweli, ila umaarufu ni shughuli, jamaa katoili haswaaa
@azizawadh5973
2 жыл бұрын
Kama mobutu
Msaidie sana sana mama nae musiba kuna walaji wengi humo ndani
Huyu mchonganishi,hela za marehemu Membe ameishalipa?
Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri
Sawa mwanaharakati ngoja tusikilize matokeo
Sasa hivi tukiamka korosho, tukiamka watu wasiojulikana na utekaji nyara, tukiamka watu wasio na uraia, tukiamka double standards, tukiamka uhuru wa habari kuminywa, tukiamka shenanigans za wakuu wa mikoa... Get outta here!
JAMAA KAFUNGWA MWILI NA MASAI
Sema usiogopi sema baba nchi yetu Tanzania ilikuwa inakwenda mrama
Mwanangu Tanzania hii watu hawataki ukweli mungu amlaze pema peponi Rais magufuli amina
Msiba kama unayozungumza ni ya kweli tutaona serikali ikidhibitisha na kuwachukulia hatua ili kutofautisha na maneno ya Mange.Waliotoa mikopo wengine ni mabalozi nje tutaona akitolewa.Na kinana tutaona akirudishwa Canada yasipotokea hayo kutakuwa na ukakasi.Hakuna serikali duniani inayoweza kuacha hivihivi unayoyazungumza ni mazito mno kaka yangu Msiba.Unatufanya watanzania tusiwe na imani na viongozi wote.
Mara unamtambua mzee mmoja mara unawataja wengi
Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇
@gracemima5234
4 жыл бұрын
Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu
@kabongebugwigwi300
4 жыл бұрын
Nate Hugo ameanza zake
Kweli wanararuana wenyewe
Sawa kaka msimba tusiombe sabuni ichafuke
Angalia
safi sana Msiba we we sema sisi tunakuombea
@bmctz1729
3 жыл бұрын
Umejipendekeza mwenzio kakuacha, tusimtegemee mwanadamu tukawatukana watu.
@francohaule8057
2 жыл бұрын
Mbona Sasa umenyamaza Kama hukutumwa
@francohaule8057
2 жыл бұрын
Wewe ulikuwa na masalia na kulipwa hakuna demokrasia ya uteuzi wa chama kimoja ni udikiteta huo
@francohaule8057
2 жыл бұрын
Kati ya watu wajinga na wewe msiba upo
Mungu ni mkuu
Noted
Kiukweli unasitaili kua Kiongozi
Hahaha Musiba anachekesha sana.. Safi sana
Duh mungu wangu!!
@adrianokubila8374
5 жыл бұрын
Nani aliuza nyumba za msaki
TANZANIA TUNA WANAHARAKATI WAWIRI MUSIBA NA MANGE KIMAMBI KWAHIYO TUCHAGUE SISI WENYEWE T UNAMSAPOTI MWANAHARAKATI YUPI
@keiledstephen9710
4 жыл бұрын
msiba
Musiba ni janga la taifa. Kama ilivyo ukimwi.
@chrisantgeorge3677
5 жыл бұрын
Hujielewi maana umelelewa na mafisad
@rashidyusuphwewenimtotowam1761
2 жыл бұрын
Wew ni mtoto wa makamba kwa mama wa kambo
The beautiful one are not yet born @MUSIBA
Dah tanzania tumepitia mengi sana
Due! Nimejifunza kuwa na akiba ya maneno
Ivi unamfwatiliaje mtu anae juwa unavyo panga mipango ya kumzuru anajua nikuachana nae tu maana daaah
Ila kama nikwel haya jamani yasemwayo wenzangu wahali yachini tumuombeni mungu baada ya kifo chetu tupunguziwe kama sio kuondelewa adhabu mana tunateswa na mengi hapa duniani mungu tusaidie waja wko masikini
Mwenzangu sura yako Leo iko wap Mana membe yuko hot .January ni wa moto nape wa moto
Shida viongozi wa ki Africa ni wanafiki sana,wakishiba ugali wanajisahau,halafu wanapeana ugali waokwao,mungu atusaidie,mama anawaapaje uongozi watu kama hao,au hajui
ongea baba. umetuamsha sana
Ukweli
Sometimes jamaa anaongea facts sana! Nape Nnauye alikuwa jeuri sana mwaka 2015, acha anyooshwe
@yahayaolomi1057
2 жыл бұрын
Sasa kanyooshwa yeye badala ya kuwanyoosha yeye hatmae Yuko kijijini analima na uvuvi
Muacheni musiba aongee musiba ni mwalim anatupa elim tujue ili tuache kusemasema vitu tusivyo vijua ikiwa ana seema uongo basi mzee mmoja ajitokeze tujue mambo aya ni yakweli