POLEPOLE: MIMI KIROBOTO/NIKIFUKUZWA CCM/NAPE BASTOLA/BEN SANANE&AZORY/NILIOMBA HELA WAGOMBEA/BULEMBO

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Polepole #Samiasuluhu

Пікірлер: 761

  • @nelsonpeter2112
    @nelsonpeter21122 жыл бұрын

    🤣🤣😂😂 Huyu jamaa is very intelligent

  • @stevenkagoyi5049
    @stevenkagoyi50492 жыл бұрын

    Nafarijika sana kumsikiliza Polepole

  • @SlsProductionTz

    @SlsProductionTz

    2 жыл бұрын

    🔥🔥🔥kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html

  • @erickngatunga2359
    @erickngatunga23592 жыл бұрын

    i dont get enough to listern to this man polepole,very smart,ni mtu mwerevu sana.

  • @keffajacob8952
    @keffajacob89522 жыл бұрын

    kataaa wahuni kataa kataaa!....hodari sana wakujieleza💪💪💪🤜🤛👋👍

  • @martinmnzava9053
    @martinmnzava90532 жыл бұрын

    Polepole, upo sawa, umeiva kimaadili, gombea uraisi msimu ujao.

  • @rajeep-ni7lh

    @rajeep-ni7lh

    2 жыл бұрын

    I wish be next president of the Tanzania❤❤❤

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Polepole nampenda, namkubali, namwamini, namheshimu, nampenda, namuona km mkomboz sawasawa na Nyerere, ni mzalendo KILA ANACHOKIONGEA NAKUBALI ni kweli

  • @rehematogwa200
    @rehematogwa2002 жыл бұрын

    Nakuombea maisha marefu polepole na wote wenyenia njema na nchi yetu .. I stand with my country . ..

  • @alimussa2655

    @alimussa2655

    2 жыл бұрын

    Unamuombea heri gani muhuni tu uyo mpuuzi kweli wewe

  • @sponsor7882

    @sponsor7882

    2 жыл бұрын

    Atoboi huyu

  • @DeficitNuts

    @DeficitNuts

    2 ай бұрын

    Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮

  • @DeficitNuts

    @DeficitNuts

    2 ай бұрын

    @@alimussa2655 Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮

  • @DeficitNuts

    @DeficitNuts

    2 ай бұрын

    @@sponsor7882 Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮

  • @williammlama297
    @williammlama2972 жыл бұрын

    Mtangazaji katumwa na wahuni

  • @mtokaboys2175
    @mtokaboys21752 жыл бұрын

    SALUTE Humfrey Pole Pole

  • @mariayegela4224
    @mariayegela42242 жыл бұрын

    Mtangazaji ni mmojawapo wa wahuni.ila amekutana na nyagumi kakwama😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😁

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko16602 жыл бұрын

    Duuh! Hongera Mh. Polepole kwa kujibu maswali yotevkwa ufasaha. Una kipaji ambacho Mungu alikupatia na unakitendea haki.

  • @kiizamrashani7223
    @kiizamrashani72232 жыл бұрын

    Wahuni Kwa Kweli ni hatariiii! 🆗

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa2372 жыл бұрын

    Polepole una akili nidhamu na busara sana. Kataaaaaa wahuniiiiiii

  • @allyhusseni8149

    @allyhusseni8149

    2 жыл бұрын

    Uyo mwenye ndyo kubwa la wahuni

  • @happyglorynnko602

    @happyglorynnko602

    2 жыл бұрын

    @@allyhusseni8149 sasa mbona hayupo kweny lile genge lao🤣🤣🤣

  • @farajamg
    @farajamg2 жыл бұрын

    Mh. Polepole, hongera kwa kujibu maswali vizuri sana. You are very smart . Yani ni hatari. Nakuheshimu sana. Asante kwa kutuelimisha.

  • @benswai8099

    @benswai8099

    2 жыл бұрын

    Hahahaaaaa. Virobo mu wengi

  • @sarafinafranci8481

    @sarafinafranci8481

    2 жыл бұрын

    @@benswai8099 wewe ndo kiroboto.

  • @SlsProductionTz

    @SlsProductionTz

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html

  • @sebastianmsilikale4683

    @sebastianmsilikale4683

    7 ай бұрын

    Nakupenda mh polepole. Mungu akulinde. Mwandishi motive yake inaelweka yeye hakuwa ana penda Magu hata wewe hakupendi!

  • @sebastianmsilikale4683

    @sebastianmsilikale4683

    7 ай бұрын

    Lambart, polepole ni noma ubongo wako ukilinganishwa na wako, wako ni robo ya wakwako!! Mwancheni mtumishi huyowa watanzani.

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha20342 жыл бұрын

    Hamphrey, big brain👌

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha15032 жыл бұрын

    Mungu akulinde ndugu yetu msema kweli ndy mjinga mwongo mnyanyasaji mjanja komaa kaka una mungu mbele yako 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @davimlyuka1046
    @davimlyuka10462 жыл бұрын

    Pole pole yupo vizuri Sana ukitaka kumhoji jipange

  • @ayoubmogassa8754
    @ayoubmogassa87542 жыл бұрын

    very smart boy,R.I.P JPM umetuachia watu

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay89462 жыл бұрын

    Vizuri sana Polepole Mungu akulinde..

  • @DeficitNuts

    @DeficitNuts

    2 ай бұрын

    Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54332 жыл бұрын

    Hongera Mhe. Polepole Mimi nimependa hapo hata Ibilisi hawezi kukuroga.

  • @giftmlaki2887

    @giftmlaki2887

    2 жыл бұрын

    Polepole ni muhuni sana

  • @giftmlaki2887

    @giftmlaki2887

    2 жыл бұрын

    Na Tanzania hakuna Muhuni Kama pole pole

  • @giftmlaki2887

    @giftmlaki2887

    2 жыл бұрын

    Mzembe tu

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el2 жыл бұрын

    Pole pole popote ulipo kunywa pepsi baridi mi nitalipia 😂 unatoa ladha kama messi

  • @saidirashidi6522
    @saidirashidi65222 жыл бұрын

    Polepole upo vzr mwenyezimungu akupe afya njema

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga84022 жыл бұрын

    Polepole umemaintain calmness hata wakati huyu mwandishi alipo kuwa anakuuliza maswali very personal and unprofessional. Umeweza kujicontrol vizuri. Hongera sana polepole, mwandishi hafai he need more trainingof treating people with respect.

  • @SlsProductionTz

    @SlsProductionTz

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html

  • @fiselisgambishi6025

    @fiselisgambishi6025

    Жыл бұрын

    Sasa kasema yupo vzr why asiulizwe maswali hayo af professionalism ya habari haiakisi mazingira yetu so mwandishi kajitahidi kutupa tunachopaswa kupata

  • @africano98.
    @africano98.2 жыл бұрын

    Polepole kichwaa sana he's intelligent

  • @jamesmarumbo6820

    @jamesmarumbo6820

    2 жыл бұрын

    Kichwa gani acha unafiki! Pole pole ni mjinga

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77692 жыл бұрын

    Ndg Polepole umebarikiwe sana

  • @dedankapongo7490
    @dedankapongo74902 жыл бұрын

    HII NDIO INTERVIEW BORA ILIYO FUNGA MWAKA NA KUTUFUNGULIA MWAKA... VERY CONSTRUCTIVE AND DETAILED... SAFI SANA

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61732 жыл бұрын

    Leo mwandishi amekutana na wakati mgumu haijawah kutokea....BIG UP JPM junior.... n suala la Muda tu

  • @NaomiKauzeni-zq9rs

    @NaomiKauzeni-zq9rs

    Жыл бұрын

    Yani kiukweli polepole wewe nikiongoz mwenye ekima nakwelewa

  • @mathewseverine9962
    @mathewseverine99622 жыл бұрын

    Mkubar mkatae polepole kabarikiwa kama mnabisha vaa viatu vyake utageuka chiz

  • @arunajuma497

    @arunajuma497

    2 жыл бұрын

    Ongera.pole.pole

  • @fadhilimboyi8408

    @fadhilimboyi8408

    2 жыл бұрын

    Umeongea ukweli mtupu

  • @YohanaPetro-xv9tp

    @YohanaPetro-xv9tp

    7 ай бұрын

    Chizimbona Umekuwa Wewe Sasa Make Anajibu Tofati Naalivo ulizwa

  • @zabongchannelemmanuel2615
    @zabongchannelemmanuel26152 жыл бұрын

    Lambat nimependa utulivu wako, hongera kwa focus, na consistency ya topic, mlikutana wote bigmind,# salute.

  • @SlsProductionTz

    @SlsProductionTz

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html

  • @emilykassiano6173
    @emilykassiano61732 жыл бұрын

    Polepole oyeeeeeee

  • @salimamri9488
    @salimamri94882 жыл бұрын

    Pole pole your very smart. Huyu mwandishi ni zuzu katumwa na team Soga, kakutana na mtu mwenye hakili zaidi yake na akina nape. Hawa kuwezi kwahoja pole pole labda kwa mtutu only

  • @abdichangalima3773

    @abdichangalima3773

    2 жыл бұрын

    Kweli Salim.

  • @malugukushaha6764

    @malugukushaha6764

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa, huyo mwandishi ni team mzoga na kakutana smart boy.

  • @thomasmuyya7221
    @thomasmuyya72212 жыл бұрын

    Polepole wewe ni Mzalendo Shujaa, umejaa hekima. Simamia maadili uliokuzwa nayo. Mahojiano haya yalikusudia kukutia doa, lakini tunaona uwezo ulionao. I support you. Thanks Godda

  • @user-ul9vs9kg8t
    @user-ul9vs9kg8t6 ай бұрын

    Polepole hongera kwa akili mingi upo vzri unajua na unajua tena.watanzania tuwe wakwwli polepole anajua na anajua tena.smart boy kama mimi.

  • @thomasero6800
    @thomasero6800 Жыл бұрын

    Polepole umemjibu vizuri huyu muhuni aliyetumwana wahuni wenzake, mpe kavu zaidi

  • @petermachondo8285
    @petermachondo82852 жыл бұрын

    Safi sana pole pole

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha67642 жыл бұрын

    Nakukubari sana mh. Hamphrey polepole umejibu vizuri sana, wahuni bado wapo ila ipo siku moja watajutia matendo yao.

  • @johnsonbagambi1908

    @johnsonbagambi1908

    2 жыл бұрын

    Polepole mwenyewe muhuni tu njia zake zimezibwa hatulie tulii shindano imuingie vizuriiiii

  • @adrianmallyakibona.352

    @adrianmallyakibona.352

    2 жыл бұрын

    Pole pole ni hazina ya hii nchi. Kama kuna mtu CCM wanamuhitaji Leo na kesho ni pole pole...

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    2 жыл бұрын

    @@adrianmallyakibona.352 Wewe mfuatilie vizuri huyu jamaa utamjua vizuri tu ,hana ukweli kiasi hicho kama unavyo fikiri wewe .

  • @user-ul9vs9kg8t

    @user-ul9vs9kg8t

    6 ай бұрын

    ​@@jumamohamed3168ww juma Mohamed mbna umejaa husda??? Muacheni polepole bhana kwasababu anajua

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Polepole mwenyezimungu akuhifadhi. AMIIIN stay in humble brother. AMIIIN

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda41702 жыл бұрын

    Polepole ni mtu mmoja adimu sana katika E. Africa ... aheshimiwe, atunzwe, awekwe kwenye historia ya nchi hii. Kizazi kipya kijacho kitakuja kumuishi nyendo zake, wanaompuuza kwa sasa wataonekana kituko kilichochelewesha mabadiliko waliyoyahitaji kizazi kijacho. Kina Polelpole wanazaliwa wachache sana kila karne lakini wanaompinga wanazaliwa wengi kama kumbikumbi wa msimu wa mvua ! Join Him , He is a Special One !

  • @lucky9285

    @lucky9285

    2 жыл бұрын

    😂😂😋

  • @yahyamkone5601

    @yahyamkone5601

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi

  • @ellyrenalda5883

    @ellyrenalda5883

    2 жыл бұрын

    Sijaona uadimu wake wowote, akiulizwa maswali magumu anakwepa. Ni muhuni kama wahuni wengine tu.

  • @badilikakijana4032

    @badilikakijana4032

    2 жыл бұрын

    Facts

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    2 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @kijaziwakijayo6833
    @kijaziwakijayo68332 жыл бұрын

    Pole pole! ....mtu makini na mjanja sanaa anajua anachofanya.

  • @user-ug1ro7jf4b
    @user-ug1ro7jf4b5 ай бұрын

    Wahuni hawafai katika Taifa letu Mungu ibarik Tanzania Mungu bariki viongoz wawe wazalendo asante

  • @pauloqaymo8925
    @pauloqaymo89252 жыл бұрын

    Polepole uko vizuri sana

  • @nyashatono5153
    @nyashatono515310 ай бұрын

    The wise leader

  • @tozzowilliams308
    @tozzowilliams3082 жыл бұрын

    Waandishi wetu mnafeli yaani unauliza maswali yako na yanaonyesha uko upande gani na unataka majibu Gani ,,,,,huwezi kupata majibu mazuri ya maswali yako Kwa uulizaji huo wa maswali

  • @fahamnitwahir9249

    @fahamnitwahir9249

    2 жыл бұрын

    Jamani ulitaka aulize vipi, hebu nitolee mfano

  • @hamzanangameta6243

    @hamzanangameta6243

    2 жыл бұрын

    @@fahamnitwahir9249 huwezi kuuliza swali lenye majibu ya maelezo ukiwa swali umelifunga, unasema kuvamia shamba huu sio uhuni? Uliza mtu akueleza uvamizi ulifanywa kwa malengo gani, kosa lilikuwa ni nini, na lilikosa ufumbuzi hadi likavamiwa shamba?

  • @liseprimaryschool2596

    @liseprimaryschool2596

    2 жыл бұрын

    Ukija kwa maswali ya style ya huyu mwandishi ,humpati huyu mtu ..Yuko mbali sana kiakili.

  • @rojajongo997
    @rojajongo9972 жыл бұрын

    # kataa wahuni....daima

  • @bictonykeraryo3900
    @bictonykeraryo39002 жыл бұрын

    Hongera polepole, achana na wahuni na bado wapo!!.

  • @lutenganomwannyalu3366
    @lutenganomwannyalu33662 жыл бұрын

    Pole pole uko Sawa Sawa mkuu ila wahuni kweli wapo na Mungu atakulinda

  • @nipautago8574
    @nipautago85742 жыл бұрын

    Polepole mtu makini sana! Halafu ww mtangazaji kama umetumwa

  • @mwirexchacha3813

    @mwirexchacha3813

    2 жыл бұрын

    Infact hakuna mtu muhuni kama polepole, this guy is loosing it sasa anaishia kuropoka tu.

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab49852 жыл бұрын

    Muacheniiiiiii #hPolepole

  • @alexanderdustan8872
    @alexanderdustan88722 жыл бұрын

    Kataaaaa wahuni

  • @ezramaganda842
    @ezramaganda8422 жыл бұрын

    Kataa wahuni kataa kataaa

  • @mussaisaac
    @mussaisaac2 жыл бұрын

    Pole Pole ni mtu makini sana,nakupenda umebaki peke yako kwa watu makini

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci51132 жыл бұрын

    Ukimsikiliza Polepole kwa umakini utagundua ana akili saana na yupo smart saana...!! He is the kind of leader we should have...!!! Tukuacha siasa za mchumia tumbo tuna watu wazuri saana Tanzania

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya8462 жыл бұрын

    Huyu mwandishi wa habari nahisi ndio wale vibaraka vya mashetani ya kizungu

  • @meshackthomas2950
    @meshackthomas29502 жыл бұрын

    Heko pole Pole unajibu vizuri heko

  • @hogn4816
    @hogn48162 жыл бұрын

    Pole pole you are smart man. I salute you. Keep it up

  • @ramsonmugisha961
    @ramsonmugisha9612 жыл бұрын

    Maswali ya muandishi wa habari ni ya kinafki , yeye anaonekana ni mpinga uongozi wa awamu ya 5. Pole pole upo sawa Sana hii nchi imejaa wwtu wa hovyo hovyo tu.

  • @zumbeshauri8114

    @zumbeshauri8114

    Жыл бұрын

    Kabisa kabisa ndugu yangu huyu yupo upande fulani

  • @atupelejohnmwakangale3226
    @atupelejohnmwakangale32262 жыл бұрын

    Wahuni ni pamoja na wewe mwandishi mhojaji

  • @annapeter4994
    @annapeter49947 ай бұрын

    Hayo maswali ni ya msingi sana mwandishi wa habari Asante sana

  • @florameza1028
    @florameza10282 жыл бұрын

    Polepole tuko pamoja kataa wahuni mbona kigogo mlimwacha kapata alichokitaka mmeanza kumsonga polepole kwendaaà kataaa wahuni na genge lake

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe20562 жыл бұрын

    Mwandishi umuwezi polepole ukitaka kumuuliza polepole Mwandishi ujipange na inatakiwa umeenda shule kajipange

  • @DeficitNuts

    @DeficitNuts

    2 ай бұрын

    Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮

  • @josephgama7810
    @josephgama78102 жыл бұрын

    PolePole ni mtu muhimu sana ktk hii nchi ingawa baadhi wanampinga ila itafika wakati ataeleweka kwa uzuri.

  • @aminafesaliaminafesali8105

    @aminafesaliaminafesali8105

    2 жыл бұрын

    Kweli kabsa

  • @elianoel8398

    @elianoel8398

    2 жыл бұрын

    hakika

  • @sponsor7882

    @sponsor7882

    2 жыл бұрын

    Nonsense

  • @saimonsemwenda1349
    @saimonsemwenda13492 жыл бұрын

    Nakubari sana Mh .polepole

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa96572 жыл бұрын

    Mwandishi wa habari upo vizuri.

  • @nelsonpeter2112
    @nelsonpeter21122 жыл бұрын

    #kataawahuni 😂😂😂wahuni wamekasirishwa na hili neno

  • @richardmanyilizu8400
    @richardmanyilizu84002 жыл бұрын

    Ndugu yangu Polepole ninakuelewa sana Mungu akutie nguvu

  • @rajeep-ni7lh
    @rajeep-ni7lh2 жыл бұрын

    Why ask him silly question every time

  • @mariamabdullah489
    @mariamabdullah4892 жыл бұрын

    Polepole mpwa wangu hongera, wahuni hatuwataki

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri67472 жыл бұрын

    Mungu akulinde kaka Polepole kwa kila Baya,wachache hawataki kukuelewa lakini ipo siku watakuelewa tu

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61242 жыл бұрын

    huyu kijana ni kichwa sana penda sana Mr PP #tuewakataewahunikwanguvuzote

  • @lilianjosephat9151

    @lilianjosephat9151

    2 жыл бұрын

    Makini sana

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya51482 жыл бұрын

    BIG UP, MH. POLEPOLE!

  • @ephrahimukangalawe441
    @ephrahimukangalawe4412 жыл бұрын

    Hongera sana Mh Polepole Mungu akujalie maisha marefu ndani ya urokole, ulokole ni moto zaidi ya moto

  • @bakariamour1024

    @bakariamour1024

    2 жыл бұрын

    Hivi mtu kama huyu unamwambiaje Mungu ampe maisha marefu ?

  • @stephenrutayuga288
    @stephenrutayuga2882 жыл бұрын

    Ni kweli tutaishinda micron kkwa kufunga na kumuonba Mungu wetu wa mbinguni, we have tu be real repellent to our Almighty God Mungu alienda kumleta Magufuli Kama zawadi kwetu na Sasa amepanda mbengu mpya kea vizazi vya Sasa, raiis samia anajfanya vizuri isipokuwa anezungukwa na fence kubwa la walagai na ndo maana anaonekana kutofanya vizuri Aid ya mtanguliz wake hatar dr john pombe magufuli

  • @aminafesaliaminafesali8105

    @aminafesaliaminafesali8105

    2 жыл бұрын

    🙏🙏

  • @jamesshao538
    @jamesshao5382 жыл бұрын

    Hongera sanaa mbwana mwandishi upo vizuri Sana kwenye maswali , hongera sana

  • @wozanawewoz979
    @wozanawewoz9792 жыл бұрын

    Niliomba au nilipewa 😁😁

  • @francisrobert9652
    @francisrobert96522 жыл бұрын

    mwandishi nimependa sana mahojiano yako upo vizuri pia nampongeza mh Polepole kwa majibu yake yupo vizuri akurupuki thanks

  • @florameza1028
    @florameza10282 жыл бұрын

    Wahuni kazini siwapendi ulizeni vitu vimepanda muliko maelezo kigogo na wahuni wako kimya

  • @aminafesaliaminafesali8105

    @aminafesaliaminafesali8105

    2 жыл бұрын

    Kabsa yaani

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Bila Polepole barakoa adi saiv tungekua tunalazimishwa wakati ni hiari hasa mabasi ya mwendokasi yalikua km biashara Et bila barakoa hupandi basi ni ujambazi kabsa, ASANTE POLEPOLE bora ulizaliwa katika kizazi hiki, POLEPOLE wewe ni mkomboz kweli kweli

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    2 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @makamoarea5270
    @makamoarea52702 жыл бұрын

    Humphrey polepole ni HAZINA YA TAIFA !! Mungu mjalie Nape aje kuwa WAZIRI MKUU

  • @livingstoneberege3348
    @livingstoneberege33482 жыл бұрын

    NAMUUNGA MKONO MH/POLEPOLE //KWANI CHADEMA NA LISSU WAO WALISEMA WATAIFANYIA NINI TANZANIA? SANA SANA SERA YAO NI KUMTUKANA HAYATI MH/MAGUFULI SISI HATUWEZI KUMCHAGUA MTU ANAYETUKANA WATU HATUMTAKI HUYO TUNDU LISSU WENU MZEE WA KUROPOKA NA KUTUKANA TUKANA

  • @giftmlaki2887

    @giftmlaki2887

    2 жыл бұрын

    Unamtaka Nani?

  • @livingstoneberege3348

    @livingstoneberege3348

    2 жыл бұрын

    @@giftmlaki2887 YEYOTE KUTOKA CHAMA KINGINE CHOCHOTE ILA ASITOKEE CHADEMA

  • @juliusmakoye2863
    @juliusmakoye28632 жыл бұрын

    Mh Polepole we ni mtu Makin Sana.Mungu akubarik na akutunze

  • @mothernatureanditsbeauty5603
    @mothernatureanditsbeauty56032 жыл бұрын

    Your a Clever man. really I do envy you. your words are so wise.

  • @khatibjuma1313

    @khatibjuma1313

    2 жыл бұрын

    Nakukubali bro

  • @InfinixTechnology

    @InfinixTechnology

    2 жыл бұрын

    Jamani.kuuliza.ski.ujinga.sipiriiani.musiba.yuko.wapii.

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla53552 жыл бұрын

    Waandishi hopeless badala ya kuuliza facts unauliza matukio ya watu wasiohusika

  • @kakayekangonyani6811
    @kakayekangonyani68112 жыл бұрын

    Nimependa sana

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili74962 жыл бұрын

    Hata Mimi nakuunga mkono brother,nakataa wahuni Yani Ile kinyama ,Yani nawachukia Sana wahuni,kataa wahuni oyeee!

  • @kpetres2872
    @kpetres28722 жыл бұрын

    Polepole Ni balaa nyie

  • @KingHenry88
    @KingHenry882 жыл бұрын

    Why is he deflecting ?, kudos to the host he's very straight forward.

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie992 жыл бұрын

    Pole pole kama pole pole big up sana bro

  • @ramadhanzengwe3876
    @ramadhanzengwe38762 жыл бұрын

    Wewe mtangazaji umetumwa si bule

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe73212 жыл бұрын

    Haha ha ha ha kipindi cha magu pole pole aliwashughulikiaga sana wahuni

  • @peterjovit7342
    @peterjovit73422 жыл бұрын

    Mwandishi katuharibia kipindi. Hajui maswali ya kumuuliza. Pole Pole sio wa kumuuliza maswali specific yaani una uliza swali upewe jibu unalotaka wewe

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    2 жыл бұрын

    Utamuuliza swali gani atashindwa kujibu?,wakati mtu mwenyewe ni very smart

  • @peterjovit7342

    @peterjovit7342

    2 жыл бұрын

    @@saimonmanyerezi7169 Nadhani hujanielewa nilichotaka kumaanisha sio kwamba aulize maswali ambayo hayana majibu No. Namaanisha alimuuliza maswali ambayo tayari pole pole alishajua mwandishi anataka majibu gani, hivyo huwezi kupata majibu sahihi zaidi utapewa porojo. Hapo mwandishi alitakiwa aulize maswali ambayo yapo jumla yaani not specific. Mfano. Unazungumziaje suala la bandali ya bagamoyo, SGR , Katiba mpya , Unazungumziaje kitendo cha baadhi ya viongozi kuchukia kauli yako ya wahuni nk. Hapo unampa nafasi kubwa ya yeye kuzungumza hasa kwa mtu ambaye yuko bright

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv93302 жыл бұрын

    Very bright Man.

  • @nestorysanga1110
    @nestorysanga11102 жыл бұрын

    Nimekuelewa pole pole

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya67212 жыл бұрын

    I wish I can meet this good men ni kichwa sana

  • @evahalphonce5183
    @evahalphonce51832 жыл бұрын

    Huwa nakuelewa sana Pole pole mungu akulinde

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa38422 жыл бұрын

    Mwandishi wa habari upo moto sana hoji kwa kutumia maadili

  • @blessbaysa5561
    @blessbaysa55612 жыл бұрын

    Mungu anawaona wahuni tuko pamoja na ww polepole

  • @kakayekangonyani6811
    @kakayekangonyani68112 жыл бұрын

    Unapotumwa uambiwe na sababu,usivamie vamie tu watu na maneno ya kutungwa na Propaganda...Viva Pole pole,Viva CCM.

  • @stephenrutayuga288

    @stephenrutayuga288

    2 жыл бұрын

    Hawa ni hazina zetu . Tujivunie kulwa tunao vijana wa Akili bado wanaweza iongoza hii nchi Tanzania nakupenda nitailunda Kama mbinu yangu us jicho kwabi sina mbadala wa nhi yangu

  • @mosesmjahas7778

    @mosesmjahas7778

    2 жыл бұрын

    Humphrey polepole ni kiongozi mwenye vision kubwa sanaa ni hazina kwakweli Big up Polepole

  • @jesaminzo
    @jesaminzo2 жыл бұрын

    Hongera mwandishi u makini sana!

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind16092 жыл бұрын

    Du! Mwandishi sijakusoma kabisa Halafu mbona huyu mtu yupo general sana, anakemea uovu kwa watu wote hajamtaja mtu, sasa mtu anayepata shida huku hajatajwa anatupa maswali. Mimi nadhani, viongozi wote waadilifu hawakubaliani na uhuni.

  • @aminafesaliaminafesali8105

    @aminafesaliaminafesali8105

    2 жыл бұрын

    Kweli kabsa

  • @amriseleman9395
    @amriseleman93952 жыл бұрын

    KATAA WAHUNI TANZANIA...100%

Келесі