POLEPOLE: MIMI KIROBOTO/NIKIFUKUZWA CCM/NAPE BASTOLA/BEN SANANE&AZORY/NILIOMBA HELA WAGOMBEA/BULEMBO
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Polepole #Samiasuluhu
Пікірлер: 761
🤣🤣😂😂 Huyu jamaa is very intelligent
Nafarijika sana kumsikiliza Polepole
@SlsProductionTz
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html
i dont get enough to listern to this man polepole,very smart,ni mtu mwerevu sana.
kataaa wahuni kataa kataaa!....hodari sana wakujieleza💪💪💪🤜🤛👋👍
Polepole, upo sawa, umeiva kimaadili, gombea uraisi msimu ujao.
@rajeep-ni7lh
2 жыл бұрын
I wish be next president of the Tanzania❤❤❤
Polepole nampenda, namkubali, namwamini, namheshimu, nampenda, namuona km mkomboz sawasawa na Nyerere, ni mzalendo KILA ANACHOKIONGEA NAKUBALI ni kweli
Nakuombea maisha marefu polepole na wote wenyenia njema na nchi yetu .. I stand with my country . ..
@alimussa2655
2 жыл бұрын
Unamuombea heri gani muhuni tu uyo mpuuzi kweli wewe
@sponsor7882
2 жыл бұрын
Atoboi huyu
@DeficitNuts
2 ай бұрын
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
@DeficitNuts
2 ай бұрын
@@alimussa2655 Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
@DeficitNuts
2 ай бұрын
@@sponsor7882 Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
Mtangazaji katumwa na wahuni
SALUTE Humfrey Pole Pole
Mtangazaji ni mmojawapo wa wahuni.ila amekutana na nyagumi kakwama😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😁
Duuh! Hongera Mh. Polepole kwa kujibu maswali yotevkwa ufasaha. Una kipaji ambacho Mungu alikupatia na unakitendea haki.
Wahuni Kwa Kweli ni hatariiii! 🆗
Polepole una akili nidhamu na busara sana. Kataaaaaa wahuniiiiiii
@allyhusseni8149
2 жыл бұрын
Uyo mwenye ndyo kubwa la wahuni
@happyglorynnko602
2 жыл бұрын
@@allyhusseni8149 sasa mbona hayupo kweny lile genge lao🤣🤣🤣
Mh. Polepole, hongera kwa kujibu maswali vizuri sana. You are very smart . Yani ni hatari. Nakuheshimu sana. Asante kwa kutuelimisha.
@benswai8099
2 жыл бұрын
Hahahaaaaa. Virobo mu wengi
@sarafinafranci8481
2 жыл бұрын
@@benswai8099 wewe ndo kiroboto.
@SlsProductionTz
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html
@sebastianmsilikale4683
7 ай бұрын
Nakupenda mh polepole. Mungu akulinde. Mwandishi motive yake inaelweka yeye hakuwa ana penda Magu hata wewe hakupendi!
@sebastianmsilikale4683
7 ай бұрын
Lambart, polepole ni noma ubongo wako ukilinganishwa na wako, wako ni robo ya wakwako!! Mwancheni mtumishi huyowa watanzani.
Hamphrey, big brain👌
Mungu akulinde ndugu yetu msema kweli ndy mjinga mwongo mnyanyasaji mjanja komaa kaka una mungu mbele yako 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Pole pole yupo vizuri Sana ukitaka kumhoji jipange
very smart boy,R.I.P JPM umetuachia watu
Vizuri sana Polepole Mungu akulinde..
@DeficitNuts
2 ай бұрын
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
Hongera Mhe. Polepole Mimi nimependa hapo hata Ibilisi hawezi kukuroga.
@giftmlaki2887
2 жыл бұрын
Polepole ni muhuni sana
@giftmlaki2887
2 жыл бұрын
Na Tanzania hakuna Muhuni Kama pole pole
@giftmlaki2887
2 жыл бұрын
Mzembe tu
Pole pole popote ulipo kunywa pepsi baridi mi nitalipia 😂 unatoa ladha kama messi
Polepole upo vzr mwenyezimungu akupe afya njema
Polepole umemaintain calmness hata wakati huyu mwandishi alipo kuwa anakuuliza maswali very personal and unprofessional. Umeweza kujicontrol vizuri. Hongera sana polepole, mwandishi hafai he need more trainingof treating people with respect.
@SlsProductionTz
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html
@fiselisgambishi6025
Жыл бұрын
Sasa kasema yupo vzr why asiulizwe maswali hayo af professionalism ya habari haiakisi mazingira yetu so mwandishi kajitahidi kutupa tunachopaswa kupata
Polepole kichwaa sana he's intelligent
@jamesmarumbo6820
2 жыл бұрын
Kichwa gani acha unafiki! Pole pole ni mjinga
Ndg Polepole umebarikiwe sana
HII NDIO INTERVIEW BORA ILIYO FUNGA MWAKA NA KUTUFUNGULIA MWAKA... VERY CONSTRUCTIVE AND DETAILED... SAFI SANA
Leo mwandishi amekutana na wakati mgumu haijawah kutokea....BIG UP JPM junior.... n suala la Muda tu
@NaomiKauzeni-zq9rs
Жыл бұрын
Yani kiukweli polepole wewe nikiongoz mwenye ekima nakwelewa
Mkubar mkatae polepole kabarikiwa kama mnabisha vaa viatu vyake utageuka chiz
@arunajuma497
2 жыл бұрын
Ongera.pole.pole
@fadhilimboyi8408
2 жыл бұрын
Umeongea ukweli mtupu
@YohanaPetro-xv9tp
7 ай бұрын
Chizimbona Umekuwa Wewe Sasa Make Anajibu Tofati Naalivo ulizwa
Lambat nimependa utulivu wako, hongera kwa focus, na consistency ya topic, mlikutana wote bigmind,# salute.
@SlsProductionTz
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kzread.info/dash/bejne/fqaur7yciceppso.html
Polepole oyeeeeeee
Pole pole your very smart. Huyu mwandishi ni zuzu katumwa na team Soga, kakutana na mtu mwenye hakili zaidi yake na akina nape. Hawa kuwezi kwahoja pole pole labda kwa mtutu only
@abdichangalima3773
2 жыл бұрын
Kweli Salim.
@malugukushaha6764
2 жыл бұрын
Kweli kabisa, huyo mwandishi ni team mzoga na kakutana smart boy.
Polepole wewe ni Mzalendo Shujaa, umejaa hekima. Simamia maadili uliokuzwa nayo. Mahojiano haya yalikusudia kukutia doa, lakini tunaona uwezo ulionao. I support you. Thanks Godda
Polepole hongera kwa akili mingi upo vzri unajua na unajua tena.watanzania tuwe wakwwli polepole anajua na anajua tena.smart boy kama mimi.
Polepole umemjibu vizuri huyu muhuni aliyetumwana wahuni wenzake, mpe kavu zaidi
Safi sana pole pole
Nakukubari sana mh. Hamphrey polepole umejibu vizuri sana, wahuni bado wapo ila ipo siku moja watajutia matendo yao.
@johnsonbagambi1908
2 жыл бұрын
Polepole mwenyewe muhuni tu njia zake zimezibwa hatulie tulii shindano imuingie vizuriiiii
@adrianmallyakibona.352
2 жыл бұрын
Pole pole ni hazina ya hii nchi. Kama kuna mtu CCM wanamuhitaji Leo na kesho ni pole pole...
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
@@adrianmallyakibona.352 Wewe mfuatilie vizuri huyu jamaa utamjua vizuri tu ,hana ukweli kiasi hicho kama unavyo fikiri wewe .
@user-ul9vs9kg8t
6 ай бұрын
@@jumamohamed3168ww juma Mohamed mbna umejaa husda??? Muacheni polepole bhana kwasababu anajua
Polepole mwenyezimungu akuhifadhi. AMIIIN stay in humble brother. AMIIIN
Polepole ni mtu mmoja adimu sana katika E. Africa ... aheshimiwe, atunzwe, awekwe kwenye historia ya nchi hii. Kizazi kipya kijacho kitakuja kumuishi nyendo zake, wanaompuuza kwa sasa wataonekana kituko kilichochelewesha mabadiliko waliyoyahitaji kizazi kijacho. Kina Polelpole wanazaliwa wachache sana kila karne lakini wanaompinga wanazaliwa wengi kama kumbikumbi wa msimu wa mvua ! Join Him , He is a Special One !
@lucky9285
2 жыл бұрын
😂😂😋
@yahyamkone5601
2 жыл бұрын
Upo sahihi
@ellyrenalda5883
2 жыл бұрын
Sijaona uadimu wake wowote, akiulizwa maswali magumu anakwepa. Ni muhuni kama wahuni wengine tu.
@badilikakijana4032
2 жыл бұрын
Facts
@hajjiomary2383
2 жыл бұрын
Sio kweli
Pole pole! ....mtu makini na mjanja sanaa anajua anachofanya.
Wahuni hawafai katika Taifa letu Mungu ibarik Tanzania Mungu bariki viongoz wawe wazalendo asante
Polepole uko vizuri sana
The wise leader
Waandishi wetu mnafeli yaani unauliza maswali yako na yanaonyesha uko upande gani na unataka majibu Gani ,,,,,huwezi kupata majibu mazuri ya maswali yako Kwa uulizaji huo wa maswali
@fahamnitwahir9249
2 жыл бұрын
Jamani ulitaka aulize vipi, hebu nitolee mfano
@hamzanangameta6243
2 жыл бұрын
@@fahamnitwahir9249 huwezi kuuliza swali lenye majibu ya maelezo ukiwa swali umelifunga, unasema kuvamia shamba huu sio uhuni? Uliza mtu akueleza uvamizi ulifanywa kwa malengo gani, kosa lilikuwa ni nini, na lilikosa ufumbuzi hadi likavamiwa shamba?
@liseprimaryschool2596
2 жыл бұрын
Ukija kwa maswali ya style ya huyu mwandishi ,humpati huyu mtu ..Yuko mbali sana kiakili.
# kataa wahuni....daima
Hongera polepole, achana na wahuni na bado wapo!!.
Pole pole uko Sawa Sawa mkuu ila wahuni kweli wapo na Mungu atakulinda
Polepole mtu makini sana! Halafu ww mtangazaji kama umetumwa
@mwirexchacha3813
2 жыл бұрын
Infact hakuna mtu muhuni kama polepole, this guy is loosing it sasa anaishia kuropoka tu.
Muacheniiiiiii #hPolepole
Kataaaaa wahuni
Kataa wahuni kataa kataaa
Pole Pole ni mtu makini sana,nakupenda umebaki peke yako kwa watu makini
Ukimsikiliza Polepole kwa umakini utagundua ana akili saana na yupo smart saana...!! He is the kind of leader we should have...!!! Tukuacha siasa za mchumia tumbo tuna watu wazuri saana Tanzania
Huyu mwandishi wa habari nahisi ndio wale vibaraka vya mashetani ya kizungu
Heko pole Pole unajibu vizuri heko
Pole pole you are smart man. I salute you. Keep it up
Maswali ya muandishi wa habari ni ya kinafki , yeye anaonekana ni mpinga uongozi wa awamu ya 5. Pole pole upo sawa Sana hii nchi imejaa wwtu wa hovyo hovyo tu.
@zumbeshauri8114
Жыл бұрын
Kabisa kabisa ndugu yangu huyu yupo upande fulani
Wahuni ni pamoja na wewe mwandishi mhojaji
Hayo maswali ni ya msingi sana mwandishi wa habari Asante sana
Polepole tuko pamoja kataa wahuni mbona kigogo mlimwacha kapata alichokitaka mmeanza kumsonga polepole kwendaaà kataaa wahuni na genge lake
Mwandishi umuwezi polepole ukitaka kumuuliza polepole Mwandishi ujipange na inatakiwa umeenda shule kajipange
@DeficitNuts
2 ай бұрын
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
PolePole ni mtu muhimu sana ktk hii nchi ingawa baadhi wanampinga ila itafika wakati ataeleweka kwa uzuri.
@aminafesaliaminafesali8105
2 жыл бұрын
Kweli kabsa
@elianoel8398
2 жыл бұрын
hakika
@sponsor7882
2 жыл бұрын
Nonsense
Nakubari sana Mh .polepole
Mwandishi wa habari upo vizuri.
#kataawahuni 😂😂😂wahuni wamekasirishwa na hili neno
Ndugu yangu Polepole ninakuelewa sana Mungu akutie nguvu
Why ask him silly question every time
Polepole mpwa wangu hongera, wahuni hatuwataki
Mungu akulinde kaka Polepole kwa kila Baya,wachache hawataki kukuelewa lakini ipo siku watakuelewa tu
huyu kijana ni kichwa sana penda sana Mr PP #tuewakataewahunikwanguvuzote
@lilianjosephat9151
2 жыл бұрын
Makini sana
BIG UP, MH. POLEPOLE!
Hongera sana Mh Polepole Mungu akujalie maisha marefu ndani ya urokole, ulokole ni moto zaidi ya moto
@bakariamour1024
2 жыл бұрын
Hivi mtu kama huyu unamwambiaje Mungu ampe maisha marefu ?
Ni kweli tutaishinda micron kkwa kufunga na kumuonba Mungu wetu wa mbinguni, we have tu be real repellent to our Almighty God Mungu alienda kumleta Magufuli Kama zawadi kwetu na Sasa amepanda mbengu mpya kea vizazi vya Sasa, raiis samia anajfanya vizuri isipokuwa anezungukwa na fence kubwa la walagai na ndo maana anaonekana kutofanya vizuri Aid ya mtanguliz wake hatar dr john pombe magufuli
@aminafesaliaminafesali8105
2 жыл бұрын
🙏🙏
Hongera sanaa mbwana mwandishi upo vizuri Sana kwenye maswali , hongera sana
Niliomba au nilipewa 😁😁
mwandishi nimependa sana mahojiano yako upo vizuri pia nampongeza mh Polepole kwa majibu yake yupo vizuri akurupuki thanks
Wahuni kazini siwapendi ulizeni vitu vimepanda muliko maelezo kigogo na wahuni wako kimya
@aminafesaliaminafesali8105
2 жыл бұрын
Kabsa yaani
Bila Polepole barakoa adi saiv tungekua tunalazimishwa wakati ni hiari hasa mabasi ya mwendokasi yalikua km biashara Et bila barakoa hupandi basi ni ujambazi kabsa, ASANTE POLEPOLE bora ulizaliwa katika kizazi hiki, POLEPOLE wewe ni mkomboz kweli kweli
@hajjiomary2383
2 жыл бұрын
Sio kweli
Humphrey polepole ni HAZINA YA TAIFA !! Mungu mjalie Nape aje kuwa WAZIRI MKUU
NAMUUNGA MKONO MH/POLEPOLE //KWANI CHADEMA NA LISSU WAO WALISEMA WATAIFANYIA NINI TANZANIA? SANA SANA SERA YAO NI KUMTUKANA HAYATI MH/MAGUFULI SISI HATUWEZI KUMCHAGUA MTU ANAYETUKANA WATU HATUMTAKI HUYO TUNDU LISSU WENU MZEE WA KUROPOKA NA KUTUKANA TUKANA
@giftmlaki2887
2 жыл бұрын
Unamtaka Nani?
@livingstoneberege3348
2 жыл бұрын
@@giftmlaki2887 YEYOTE KUTOKA CHAMA KINGINE CHOCHOTE ILA ASITOKEE CHADEMA
Mh Polepole we ni mtu Makin Sana.Mungu akubarik na akutunze
Your a Clever man. really I do envy you. your words are so wise.
@khatibjuma1313
2 жыл бұрын
Nakukubali bro
@InfinixTechnology
2 жыл бұрын
Jamani.kuuliza.ski.ujinga.sipiriiani.musiba.yuko.wapii.
Waandishi hopeless badala ya kuuliza facts unauliza matukio ya watu wasiohusika
Nimependa sana
Hata Mimi nakuunga mkono brother,nakataa wahuni Yani Ile kinyama ,Yani nawachukia Sana wahuni,kataa wahuni oyeee!
Polepole Ni balaa nyie
Why is he deflecting ?, kudos to the host he's very straight forward.
Pole pole kama pole pole big up sana bro
Wewe mtangazaji umetumwa si bule
Haha ha ha ha kipindi cha magu pole pole aliwashughulikiaga sana wahuni
Mwandishi katuharibia kipindi. Hajui maswali ya kumuuliza. Pole Pole sio wa kumuuliza maswali specific yaani una uliza swali upewe jibu unalotaka wewe
@saimonmanyerezi7169
2 жыл бұрын
Utamuuliza swali gani atashindwa kujibu?,wakati mtu mwenyewe ni very smart
@peterjovit7342
2 жыл бұрын
@@saimonmanyerezi7169 Nadhani hujanielewa nilichotaka kumaanisha sio kwamba aulize maswali ambayo hayana majibu No. Namaanisha alimuuliza maswali ambayo tayari pole pole alishajua mwandishi anataka majibu gani, hivyo huwezi kupata majibu sahihi zaidi utapewa porojo. Hapo mwandishi alitakiwa aulize maswali ambayo yapo jumla yaani not specific. Mfano. Unazungumziaje suala la bandali ya bagamoyo, SGR , Katiba mpya , Unazungumziaje kitendo cha baadhi ya viongozi kuchukia kauli yako ya wahuni nk. Hapo unampa nafasi kubwa ya yeye kuzungumza hasa kwa mtu ambaye yuko bright
Very bright Man.
Nimekuelewa pole pole
I wish I can meet this good men ni kichwa sana
Huwa nakuelewa sana Pole pole mungu akulinde
Mwandishi wa habari upo moto sana hoji kwa kutumia maadili
Mungu anawaona wahuni tuko pamoja na ww polepole
Unapotumwa uambiwe na sababu,usivamie vamie tu watu na maneno ya kutungwa na Propaganda...Viva Pole pole,Viva CCM.
@stephenrutayuga288
2 жыл бұрын
Hawa ni hazina zetu . Tujivunie kulwa tunao vijana wa Akili bado wanaweza iongoza hii nchi Tanzania nakupenda nitailunda Kama mbinu yangu us jicho kwabi sina mbadala wa nhi yangu
@mosesmjahas7778
2 жыл бұрын
Humphrey polepole ni kiongozi mwenye vision kubwa sanaa ni hazina kwakweli Big up Polepole
Hongera mwandishi u makini sana!
Du! Mwandishi sijakusoma kabisa Halafu mbona huyu mtu yupo general sana, anakemea uovu kwa watu wote hajamtaja mtu, sasa mtu anayepata shida huku hajatajwa anatupa maswali. Mimi nadhani, viongozi wote waadilifu hawakubaliani na uhuni.
@aminafesaliaminafesali8105
2 жыл бұрын
Kweli kabsa
KATAA WAHUNI TANZANIA...100%