Alichosema Polepole katika Mdahalo wa Katiba Mlimani-City

Пікірлер: 100

  • @leonardoddiaga4399
    @leonardoddiaga43992 жыл бұрын

    Mr.PolePole is the late Mwalimu Nyerere reincarnation. Mwalimu's spirit still living.

  • @yonaibrahim5112
    @yonaibrahim51122 жыл бұрын

    Kiongozi upo sawa mungu akulinde hoja zako ni zaidi yauwazi kimawazo ili nchi iwe na amani

  • @clevermngao7565
    @clevermngao75653 жыл бұрын

    Jaman PolePole! Hivi ni wewe kweli! So fantastic

  • @saulindama3697
    @saulindama36974 жыл бұрын

    Huyu alikuwa anaitwa Polepole yule wa kijani anaitwa Chakubanga.

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi90002 жыл бұрын

    NJAA MBAYA SANA LEO KAVALISHWA UNIFORM YA CCM ANASEMA ETI NI KATIBA NZURI HIVI HUYU JAMAA AMELOGWA KABISA PIA ANASEMA ETI TUNAJENGA UCHUMI WAKATI TUNAANZISHA RASMU YA KATIBA UCHUMI ULIKUWAJE.NDIYO MAANA NASEMA NJAA MBAYA SANA

  • @osianajonas2104
    @osianajonas21045 жыл бұрын

    To be honestly your the role model Mr Pole Pole many time I heard you u had fact in your speaking.Keep it up brother

  • @KumbushoMbanga-hf3wx
    @KumbushoMbanga-hf3wx5 ай бұрын

    Polepole nikichwa sana

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48003 жыл бұрын

    ukiwa na njaa unakuwa mnafiki sana, yani hiki ki pole pole kinafkri watanzania tumesahau kauli zake

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Benni mochiwa hana unafiki wowote na wala njaa kwani yeye ndiyo mwenye maamuzi peke yake hii nchi ya watanzania ukitaka kufuatilia mambo ya katiba soma na wewe unataka afanye nini mjinga wee

  • @abdallahhassani7811
    @abdallahhassani78112 жыл бұрын

    Pole pole wewe ndie kiongozi wa kweli, lakini kwa sababu tumesha fanwa misukule. Viongozi waliopo madarakani watakupiga vita

  • @clevalupakisyo7460
    @clevalupakisyo7460 Жыл бұрын

    Hon Hamphrey Dah, Be Blessed aiseh

  • @user-yw2fb7nm2t
    @user-yw2fb7nm2t7 сағат бұрын

    Huyu pole pole ni tu ni ya taifa

  • @richardmakyao302
    @richardmakyao3022 жыл бұрын

    Unganeni na gwajima

  • @solomonkahuta5154
    @solomonkahuta51542 жыл бұрын

    Wewe Ni hazina ya nchi

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy56526 жыл бұрын

    Yaani wewe ulikuwa mkweli weeeeeeewe, lakini baada ya kuvaa rangi ya kijani, mambo yamebadilika nani kakuroga Polepole mwanangu!!! Jamaniii maneno uliyoongea ukiwa na suti nyeusi ni Excellent!!! Hebu jaribu kuriwaindi kanda ya 2014, 2015 hukuwa hivi nawaza sana mwanangu nnnnannni kakuroga.

  • @wiza2309

    @wiza2309

    6 жыл бұрын

    Tatizo ulishaingia upande wa pili, wanajitoa fahamu. Hazina kubwa inapotea kama kufungulia bomba la maji. Inaumiza sana vichwa kama hivi vinageuka ghafla!!! Mungu atusaidie

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    2 жыл бұрын

    Njaa

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga2 жыл бұрын

    Huyu kijana yuko vizuri sana. Naomba Mungu asibadilike

  • @oswaldpancras8353

    @oswaldpancras8353

    2 жыл бұрын

    Umeangalia hii ni ya lini na Leo yupoje huyu jamaa?:ndumilakuwili haingii mbinguni, asilan. .

  • @ochienglazzarrus8648
    @ochienglazzarrus86489 жыл бұрын

    Kali hii jamm

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Kazi kwako polepole

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33035 жыл бұрын

    Jembeee!!

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed40725 жыл бұрын

    Kama munapiga Tundu lussi vijembe. ili asigombaniye urais..hayo maradhi. Nilimpa nyiyi. Kwa kama watanzaniya munaakili yachambuweni. Anayayasema. Polepole Hadi muwe Malini anayoyasema muyatafakari si maneno mazuri. Siyo mkaye na kuse ndiyo na kupiga makofu mutafakari kwa.kina. kiirefu mutajuwa nini anachoongeya

  • @anthonychengula5046
    @anthonychengula50462 жыл бұрын

    Ameongea vizuri sana tatizo hitimisho lake bado

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando23152 жыл бұрын

    Polepole amenena sana, ni mbobezi wa siasa

  • @bitwayikimasumbuko3128
    @bitwayikimasumbuko31282 жыл бұрын

    Huyu ndiye PolePole tunaemjua Ila huyu wa sasa ni #Chakubanga a.k.a Mr. VX

  • @gideontebuye5329
    @gideontebuye53292 жыл бұрын

    Tunakuhitaji 2025

  • @majosamalundi3687
    @majosamalundi36873 жыл бұрын

    Kipindi kile polepole Yuko sawa

  • @yusuphdomi6430
    @yusuphdomi64302 жыл бұрын

    Polepole ameogopa Mwenyezi na Rais wetu aangarie mbele siku ya kiama mizani hakh

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga2 жыл бұрын

    Mbona hii kitu ni nzito sana

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz64472 жыл бұрын

    Njaa sio toka Mwaka 2016 yote haya Pole pole aliweka pembeni majumuisho USIMWAMINI MWANASIASA MDA WAKO WOTE WA UHAI WAKO

  • @geofreynoah9458
    @geofreynoah94582 жыл бұрын

    Huu ni mgodi unaotembea. MUNGU AKULINDE,AKUTUNZE NA KUKUBARIKI.#HAPA KAZI TU.... KAZI IENDELEE

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga2 жыл бұрын

    TBC rusheni hii

  • @hemedysuleiman78
    @hemedysuleiman782 жыл бұрын

    sisi atumtaki samia mzanzibar ajui kuongoza nchi msenge uyo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @mandaluukali9629
    @mandaluukali96292 жыл бұрын

    Polepole nimekukubali endelea kusema ukweli utabalikiwa

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano70672 жыл бұрын

    Kwanini tz kunawatu wanamaneno yamdomoni lakini badaye anayasaliti wenyewe!!! Au niubinafsi tu auninjaa zinawasumbuwatu,lazima tujilekebishe!!!!

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Mla jana mkaribishe mla leo

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Kumbe mnajua wazi katiba halali ni ipi mbona hadi leo haipatikani? Hapo kuna uongozi bora?

  • @deokimena5168
    @deokimena51682 жыл бұрын

    SELIKALI TATU, DUH SIX YEARS AGO, MUNGU TUHURUMIE

  • @saidimohamedimgotomgoto979
    @saidimohamedimgotomgoto9793 жыл бұрын

    Mnafiki Ni mnafiki tu

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa55662 жыл бұрын

    Njaa ni mbaya,njaa huleta usaliti jmn,njaa ikizidi waweza kufanya maajabu hadi watu washangae huku wewe mwenyewe ukiamini upo sawa sawa

  • @mboneamweta3936
    @mboneamweta39362 жыл бұрын

    Huyu ndie pole pole aliyekuwa mkwelii sio wa leo aliyeko ccm jamnii

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo99452 жыл бұрын

    Duuh, kweli pesa ilimuua yuda,wamekununua wewe na akili zako mr.polepole akili ulizokua nazo enzi hizi wamezichukua baada ya kukubali kupokea vipande30 vya fedha.

  • @eliamhando3161
    @eliamhando31612 жыл бұрын

    Polepole rudi kwenye ulingo

  • @libertymacha9134
    @libertymacha91342 жыл бұрын

    Huyu Hamphrey wa leo ndiye yule wa tume au???????. Watu wa aina hii ni hatari sana. Cheo kinakuondoa kwenye ulichokitetea kwa hoja???

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz64472 жыл бұрын

    POLE POLE WAJANA SIO POLE POLE WA LEO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣PESA TAMU SANA

  • @nelsonmgaya8391
    @nelsonmgaya83912 жыл бұрын

    Huyu ndugu sijawahi kuchoka kumsikliza!

  • @williamkirway4620
    @williamkirway46202 жыл бұрын

    Baada ya hapa kazi tu,naona utarudi kwenye hali yako ya asili.maana awamu ya sita umejitambua kazana

  • @osgentertainmentdancers8924
    @osgentertainmentdancers89242 жыл бұрын

    Good speech

  • @joelchunga8290

    @joelchunga8290

    2 жыл бұрын

    But

  • @amirimsuya9531
    @amirimsuya95312 жыл бұрын

    Vikishaenda ccm vinakuwa kama vimelogwa

  • @venancikamonyore4924
    @venancikamonyore49242 жыл бұрын

    Polepole ulikuwa mtu wa kuikomboa tz yetu kupitia mchango wako ktk katiba mpya, mtu yeyote ambae ameisikiliza hotuba yako hii leo anakushangaa kama mimi ninavyokushangaa, hivi nikuulize umerogwa na nani mpaka ukakengeuka? Nakushauri geuka utazame nyuma uone ni wapi ulijikwaa ukaanguka urudi upya tudai katiba yetu mpya tuikoe Tanzania. Mkumbuke mtumishi wa Mungu Yona,japo alimezwa lakini ninawi iliokolewa. Mungu akujaze nguvu na hofu yake ili uyaseme tena maneno haya kwa Watanzania.

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    2 жыл бұрын

    Hakurogwa na mtu,.ila aliridhishwa na utumishi wa Mh Magufuli. Akaona Mambo yataendelea kunyooshwa lkn puu! Paa, Baba Magufuli alitwaliwa juu mbinguni.

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed40725 жыл бұрын

    Polepole ccm tumeshaichoka inatosha basi

  • @mathewmeela2591
    @mathewmeela25913 жыл бұрын

    Ngachokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ni huyu tulie nae au mwingine! Itunzwe katika maktaba za Taifa.

  • @anyelwisyestephen4690
    @anyelwisyestephen46902 жыл бұрын

    Hakika utandawazi unatushitaki, Yu wapi Polepole huyo?, maana siyo huyu tuliyenaye kwa sasa.

  • @godwinnkya7128
    @godwinnkya71282 жыл бұрын

    Upo CCM pigania hiyo katiba

  • @celinamutta5058
    @celinamutta50582 жыл бұрын

    Siasa! Siasa! Siasa! Kweli si hasa😳😳😳

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga2 жыл бұрын

    Bado ana msimamo hou?

  • @user-kl8xf1yk2b
    @user-kl8xf1yk2b4 ай бұрын

    Ukweli nkwamba ccm wanaogipa kuruhusu katiba kwasababu mbili 1 hiii nchi hii ikiwa na katiba huru watang'oka kwasababu wao wenyewe wamegawanyika ndani na kura nisiri koo wakiwa hawaja ridhiana ndani kama kipindi chalowasa alipat kura nyingi sana zingine waliuza wenyewe koo ukichanganya na kura zawapinzani ccm hawatoboi nasiyo kwamba hatujuwi tunajuwa kuwa uraisi nitaasisi inayo chaguliwa na mfumo sisi niwawakilishi hata kwenye maamuzi hatumo nasaizi ndombaya wabunge wanaheshimu chama kuliko wananchi chama kikimtangaza ndokiongoz tunaletewa kiongozi nchi hii inamambo ya hovyo sana nchi yakifalume hii

  • @selemwakajange1419
    @selemwakajange14192 жыл бұрын

    Anaongea kama mwal Nyerere

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13392 жыл бұрын

    inafaa umeongea yanayoingia akilini kabisa

  • @stevensteve7519
    @stevensteve75192 жыл бұрын

    Polepole je unapitia pitia hizi?? Ulikuaga mzuri lkn wakakupa cheo ukajisahaulisha yote

  • @godblesskessy5516
    @godblesskessy55163 жыл бұрын

    huyu ni mtumwa was fikra na hajitambui Tena,alishajiunga na genge la wanyanganyi,amechafuka Hadi kwenye kope

  • @meddymushmaz551
    @meddymushmaz551 Жыл бұрын

    Mbona mambo muhimuyote waliyafuta? Kwani hiyo ilikuwa katiba amanini

  • @azizawadh5973
    @azizawadh59732 жыл бұрын

    WEPWA

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda30996 жыл бұрын

    Polepole umekula tunda la katikati ambalo linaitwa uongo,na mti wake ni wa kijani jamani wewe,na hapa dhambini utarudi na uongo utakualia matuna,na kwa hila,chuki,ubinafsi na tamaa,,machozi yetu watanzania yatakumwagikia na ndio yatakua maji yako ya kunywa.

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Isaack polepole unamhukumu nini yeye ndiyo mwananchi peke yake hayo ni maamuzi ya wananchi walioko kwenye majadiliano ya katiba sasa yeye hawezi kushindana na serikali unataka wamuue muache mtoto

  • @fundifundi8328

    @fundifundi8328

    2 жыл бұрын

    Wewe usimhukumu polepole wewe sio mungu mungu ndio anaejua kuhukumu sio wewe

  • @mwidzuhuluhapalataii6945
    @mwidzuhuluhapalataii69455 жыл бұрын

    MMMMMMMMH

  • @dostovan5142
    @dostovan51422 жыл бұрын

    The video is real the speaker is fake

  • @mahengebatweli9969
    @mahengebatweli99692 жыл бұрын

    Naomba niulize huyu ni pole pole kweli wa ccm

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    2 жыл бұрын

    Ndio yeye kipindi kile alikua na njaa

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu43513 жыл бұрын

    Zawadi akiwa Polepole kweli

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    2 жыл бұрын

    Zamani

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai57442 жыл бұрын

    Watanzania buana!!!! Ukivaa tu nguo za kijani , Unabadirika mpaka akili.

  • @johnkink2096
    @johnkink20966 жыл бұрын

    I really do like politics. I wish..... I could be one of "those" politician.

  • @yusuphdomi6430

    @yusuphdomi6430

    2 жыл бұрын

    Hawa Ccm wakubari tu Katina mpya wajipime Kama kweri wanapendwa

  • @omarmukhtar8663
    @omarmukhtar86636 жыл бұрын

    Chezea tumbo wewe mama hio

  • @msanangomwarabu301

    @msanangomwarabu301

    6 жыл бұрын

    Jamani siamini Kama Polepole huyu ndio tulienae sasa.sijui Kala nini sasa

  • @mwidzuhuluhapalataii6945
    @mwidzuhuluhapalataii69455 жыл бұрын

    Before an angel becomes a recent satan

  • @jumanesaidi7635

    @jumanesaidi7635

    2 жыл бұрын

    Satan to be.

  • @peternestory7263

    @peternestory7263

    2 жыл бұрын

    Haya,kaka,

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61775 жыл бұрын

    Lissu atupishe kabisaaa inatosha sababu ni mgonjwa wa kutupwa mda mrefu aangarie afya yake kwanza atuwezi kuongozwa na mgonjwa kwa kipindi kilefu akishapona anaweza kugombea tena kama anaitaji ubunge wake

  • @kalufyahamis6659

    @kalufyahamis6659

    5 жыл бұрын

    Up ukweli

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23612 жыл бұрын

    Ukipigiwa makofi ukumbuke kuyalinda ukipata nafasi. Je ulilinda makofi yako pindi ulipopata nafasi?

  • @alfredcharlie2308
    @alfredcharlie23082 жыл бұрын

    You was good here 😊

  • @sarahkarobo4459

    @sarahkarobo4459

    2 жыл бұрын

    Vijana kama

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo99452 жыл бұрын

    Hivi huyu ndio polepole tulie nae sasa ama ??? Mbona sielewi

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    2 жыл бұрын

    Shetani kampitia

  • @godblesskessy5516
    @godblesskessy55163 жыл бұрын

    hapo kabla hajanunuliwa na ccm

  • @godblesskessy5516

    @godblesskessy5516

    3 жыл бұрын

    hakika wewe unastahili kufungwa jiwe na utoswe kwenye bahari

  • @godblesskessy5516

    @godblesskessy5516

    3 жыл бұрын

    uishi katika maneno yako humphrey

  • @nardhismhagama6266

    @nardhismhagama6266

    2 жыл бұрын

    Shetani bwana !

  • @yonamwambipile4387
    @yonamwambipile43872 жыл бұрын

    Ughahidi wambowe uko wapi watanzania

  • @jamessiame4174

    @jamessiame4174

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa mbowe siyo gaidi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Cesilia hajarogwa na mtu yeyote kwani kuvaa nguo ya kijani ni hoja wewe huvai nguo kama ni chadema na wewe vaa nguo yako mambo ya serikali siyo ya kushindana nayo

  • @isaacsengunda3099

    @isaacsengunda3099

    3 жыл бұрын

    Mtu kuitwa shujaa,au kuandikwa kwenye historia hua ni shughuli pevu,inatakiwa ukubali kupoteza maslahi yako,heshima yako,thamani yako na kila kilichobora kwako,kwa ajili ya wengine,hapo ndipo ukisalimika na kuishi,utaweza kuona matunda yake hapo baadae,, Lakini ukiogopa kufa na kutengwa,utakua bendera,, Na ndio hawa akina Polepole,Kabudi nk,,