Yani hapa tumeadhibiwa sisi wananchi kwa kosa la mbunge wetu, inauma sana,
@LidiaMsigwa6 күн бұрын
Tusamehewe wana mbeya kumweka huyu mtu
@KigilaZengo6 күн бұрын
Mpina activist of Tanzania
@KaburuKimath-eu5nf
2 күн бұрын
La saba
@machujamathias71656 күн бұрын
Congratulations my role modal, nikikuaa Nitakuwa Kama ww, kwa Sasa nikiongeaa Nitakuwa SITIVA mdogo
@TIMOTHEOALFREDI-zf2te6 күн бұрын
Njoo Chadema kaka hao walaji wameona unatoa ukweli kwa wananchi wewe ni mzalendo kaka
@hanujoseph88096 күн бұрын
Mpina nakukubari sana kuliko wabunge wote
@alexanderkapinga7006 күн бұрын
Mpina pamoja na yote wewe ni Hero!!!
@frankmwashovya5532
5 күн бұрын
😂😢😅🎉😢x😢,❤C😊😮😢😮X❤😂V
@Mima-cl2im6 күн бұрын
Mpina baba don’t give up. Hawa watu tunawajuwa. Ni ka group dogo wanataka ku control mali zawo, na kuifanya Tanzania ni mali yawo. Watu wasema kweli wananyamazishwa , ama wana tupwa CUBA kusikokuwa na mawasiliano ili watanzania wabaki gizani. Wanayo yafanya yatawadhuru mpaka vizazi vyawo. Tanzania ni ya watanzania wote na sio ya watu wachache. Wakitaka Tanzania iendelee kuwa nchi ya amani, lazima haki itendeke kwa wote. Selective justice inaweza kuleta madhara makubwa nchini.
@marianamontoedi13186 күн бұрын
This is sad Mpina chapa kazi ❤
@piusmaduka6 күн бұрын
ka msukuma shida ni elimu halafu kanajifanya kuonekana kama kanajua for nothing
@user-px7qw3hs2h
5 күн бұрын
Elimu sio shida ila shida ni kukosa uzalendo Msukuma siku hizi Nina mashaka nae
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
5 күн бұрын
Hata mimi uwa simwelewi msukuma,yaani alivyomsinichi msukuma mwenzie,sikutarajia.alitakiwa awe upande wa msukuma mwenzie au anyamaze kimya , wasukuma wa Geita mwangalieni sana huyu msukuma,ovyo sana hafai.Mpina safi
@publicityzone95836 күн бұрын
Mpina ikiwezekana anzisha chama chako tutaishi tu.
@mayrfrimi47596 күн бұрын
Ukweli uonevu uliofanyika kwa mpina ni namna ya kutuonyesha sisi wananchi kuwa, kumbe wabunge wote nchini wapo kwaajili ya maslahi yao wenyewe, na sio wananchi. Alafu pia japo sio wote ila unafki umekidhir sana hapo bungeni. Ndio maana mmemtoa mtetezi wa wanyobge.
@MashakaMagesa
4 күн бұрын
Bugeni ukiwa mpiga meza tu ndiyo unapongezwa
@sasha-ri7tf6 күн бұрын
Huu mfumo dume sijuwi utaisha lini Tz?. Akina Lazaro Nyalandu wapo wengi ktk nchi hi huku wale wanadiplomasia wakipiga chapuo kana kwamba hawajuwi kilichopo chini ya bahari, ccm bana hatari sana. Kumbatia bomm likubutukiyee 😢😅😢👆.
@user-kf6tz1px6f5 күн бұрын
Spika wa hovyo wala Rushwa wakubwa, mapambano ndo yataanza sio chadema si ndo hao hao waluouza bandari
@DanielMakoye-w3fКүн бұрын
Kunawabunge wengine niwalaji umo broo wewe uko vizuli broo usikubaliane nao hawo wanaotaka kutukandamiza wanyonge kilajambo litakalotolewa bungeni lisiokua sahiiii likatae broo mpinna wewe fanya kazi wao wanaona kama vile unavujisha sili lakn sisi wanyonge tunaona unafanya kazi nzuli sana natunamuomba mwenyezi mungu akupe maisha malefu wewe nmtetezi wawanyonge
@marandoruzali19466 күн бұрын
Waliosema kukushitaki hawa akili sawa sawa
@allykassim11205 күн бұрын
msukuma kumbe ni Wa hovyo anatetea mafisadi siamini macho yangu walahi mpina big up
@user-jj7qv7kh2s
5 күн бұрын
Yeye mwenyewe fisadi ataachaje kuwatetea.
@simonchristian6319
4 күн бұрын
Sasa msukuma mbunge yule nae😅
@Mima-cl2im6 күн бұрын
Musukuma ni mjinga. Anajipendekeza kuficha ukosefu wake wa elimu. Sidhani hata anaelewa sheria. Huyu alimushutumu hata Magufuli. Musukuma anamusifu speaker eti kwa kuwa amepigiwa kura na mataifa makubwa. Kwa nini hatujiamini, tunaamini wagęni na wazungu wakihusika na kitu ndiyo tunaamini. Kuna wengi walipigiwa kura na kupewa nafasi kubwa, kwenye umoja wa mataifa, lakini hawakusaidia chochote. Wakati Rwanda wanauwana, UN tulikuwa na kiongozi mwafirika aliyechaguliwa na mataifa yote, na ha kufanya chochote na kuacha wanyarwanda kuuwana..
@margarethpolepole74385 күн бұрын
Msukuma na Lusinde hawana kitu hao no shule kwenye uuzaji wa Bandari dpworld walihuaika sanaaaa uchawa wake hamna kitu hao mabomu
@zuberisalum20043 күн бұрын
Unawatetea waovu pole sana mungu yupo ujue
@ReginaJoseph-cm3cx5 күн бұрын
Msukuma tatizo lake ni kukosa shule,, yeye anaoperate kwa emotional akili hana
@SanziNzige5 күн бұрын
Uko SAWA mpina acha wakufanyie ujinga wamezoea hao mafisadi kuficha wizi wao.tunawaambia watakujaga kumfukuza na ujumbe au maksudi ya MUNGU kwa ujinga wao.wanadhani lisisiem la majizi halitakuwa na mwisho litakuwepo TU milele wasahau mwisho wao huooo? tunauona wanautaka wenyewe wanaupata.
@marianamontoedi13186 күн бұрын
Tusikubali tena Mpina hana kosa
@RashidMohamed-rv2hm6 күн бұрын
Mpina karibu chadema ccm wamekuchoka
@user-kx5dt5ih2i6 күн бұрын
Mpina tupo pamoja nawe,ulipo tupo
@JoelisonMakambi6 күн бұрын
Pole kaka
@MtaniRobert2 күн бұрын
Kila kitu kina mwisho wake, wao wanasahau kuwa nao ni binadam kama sisi, Lakini MUNGU ni wetu site tuombe uzima.
@user-rf3un7zq1p2 күн бұрын
Kweli mpina ni muhimu kwa bunge na kwa serikali, tusimvunje moyo Bali tumpe sapoti.
@gililwise6 күн бұрын
Mpina ana akili kubwa Sana kuliko wote waliokuwa mjengoni.
@shd12m556 күн бұрын
Tuko pamoja ila usihamie chadema 😊
@elispiuselias1339Күн бұрын
Nilijua tu lazima watakubana baadaye ccm.
@donaldbenedict57612 күн бұрын
Ukweli uliousema pale bungeni ndio unakuhukumu mpina ccm baadhi yao hawajitambui kabisa ila wananchi tunayaona na tunayasikia ngoja tusubiri sanduku la kura
@bonifacedanielmwakisunga96385 күн бұрын
Na shida ya msukuma anajifanya kanajua sana kuongea bila point elimu elimu shida yeye na hao la saba ndio wanaharibu bunge kisa ujue kusoma na kuandika basi msukuma ni shida ule ni ujanja ujanja wao Ili waonekane wanatetea chama
@piusrweyemamu39003 күн бұрын
Mimi namwelewa sana Mpina. Mungu akusimamiwe.
@godblessmbowe3175 күн бұрын
Kweli yajayo yanafuraisha tumuombe mungu atupe maisha marefu tena mchana kweupee
@OmarMohamed-bs2hf5 күн бұрын
Sawasawa chama kisilinde muhalifi kwakuwa ni mwana chama takukuru ime wekwa kwa kila ambae muhalifu
@zuberisalum20043 күн бұрын
Usukumani kunawatu bhanah duuuu
@zuberisalum20043 күн бұрын
Duuu hatar. Jembe liko kazinn
@JohnMashamba4 күн бұрын
Mhes Mpina Mungu Yuko pamoja nawe,maana Mwenyezi Mungu amesema Mteteaji wangu Yu hai.
@user-ug2vm3uf1l3 күн бұрын
Uyu ndo wakumpa nchi maana hayuko kimasilai yuko kwaajili ya wananchi tu acha wengine ni wapigaji tu
@user-xu3dx7vv8w4 күн бұрын
Huyu bwege kanuni hizo kandamizi anazitambua ila alidhani hazitamhusu
@user-kf6tz1px6f5 күн бұрын
Spika wa hovyo
@mungatandassa54534 күн бұрын
Chukua form mkuu ya ukuu wa nchi tuko pamoja na ww...yaani huku wananchi tunakuelewa sana unapigania haki....nanimsema ukwel
@christianmwashala97603 күн бұрын
Piga kaz ila uxihame ccm pambana apo spo mpak mwisho
@GidionBukwimba6 күн бұрын
Mpina kalishitaki Hilo li mwanamke
@MartineShija3 күн бұрын
Huyo mbunge kumbewahovyo2 nayeye ndiyo maana ukitoa heruf 3 2unalipata jina lake halisi wengi wanajipendekeza2
@user-bi7gk7im4f3 күн бұрын
Mpina endelea kupambania kikokotoo irudi kama mwanzo
@MtaniRobert2 күн бұрын
Taifa haliwezi kufanikiwa ikiwa viongozi wake wakikosolewa wanatuadhibu.
@ChristerKoku4 күн бұрын
Mbona hiyo ya makofi ndo kawaida yenu yulioko pembeni uwa tunashangaa makofi yanayopigwa kama uwa mnaelewa mnachopigia makofi.pia wabunge guess awasomi.
@marcoboniphace9733Күн бұрын
Sawa
@kaponasalum36483 күн бұрын
ILI NIKUAMINI NIPE JIBU SAHIHI KWA NINI ULIFUKUZWA UWAZIRI WA MALIASILI?
@ChristerKoku4 күн бұрын
Wasikutishe hao walia machozi bungeni.
@user-cp6vt6nd9o5 күн бұрын
Wewe luhaga no mnyama sana huna tofauti nandugai
@SawakaMasasila-p2d2 күн бұрын
Mpina ukiludi nyumba Nike nikusalimie tuonane anakwa ana
@mayrfrimi47596 күн бұрын
Mpina usijali, wewe ni dhahabu yetu. Waache wakupitishe kwenye tanuru ya moto ukitoka unaghaa.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg3 күн бұрын
Mbona ulipokuwa waziri hukuwahi kukosoa chochote?
@kulwamathias76803 күн бұрын
Kaka tupo pamoja
@kostajoseph58114 күн бұрын
ULIMI ULIKIPONZA KICHWA KIZIMA , MPINA UMEKOSEA SANA UTARATIBU UNAUJUA UONGOZI SIO KUROPOKA ROPOKA BALI NI BUSARA NA HEKIMA, ULITAKIWA KWENDA KWA KIONGOZI WAKO KABLA YA KUROPOKA
@stevenkajubili5 күн бұрын
Upo vizuri
@NilaMdongo4 сағат бұрын
Pina fanya kanzi uko sawa na hitaji mbunge ka wewe unauchungu na wanaichi wa Tanzania
@bahatjuma74585 күн бұрын
Sasa wale Kagera sugar hawana kiwanda? Vibari vimetolewa kwenye makampuni yanayozaliza sukari
@RBMBAKARI-bv6wn5 күн бұрын
Inaelekea huyu yupo na chama bado ila amekosea timing hiki kipindi SI kupingana na serikari . Halafu anasahau uwajibikaji wa pamoja .lakini anaendekea kufanya makosa kuendelea kuongea na vyombo vya habari pasipo kuwasilisha hoja zake katika chama .labda kama amejipanga kuondoka
@AdamSaffi2114 күн бұрын
Musukuma analimwa na DP world, he should shut up! DP World oyeee na Musukuma mavi oyeee, ana akili ya mbu!
@allymusira21536 күн бұрын
Sasa wenye viwanda si walipewa vibali na hawakuleta acha chuki mpina, kwani waziri kufanya maamuzi ya kuleta sukari ni kosa?
@SaidiMkome-qq7hy
6 күн бұрын
Msikilize vizuri sio unapayuka tyuu
@abdullaabdulla7039
6 күн бұрын
Wee kuma la mama yako
@RamadhanKitama
6 күн бұрын
Unaushahidi walipewa vibali na hawakuagiza sukari??? Au unaropoka tu?
@AzizMangara5 күн бұрын
🤲🤲🤲
@mayrfrimi47596 күн бұрын
Samia wetu ebu tafakar hili, ni haki mbunge apewe adhabu inayopelekea wananchi wake kutelekeza, au ni nani amewekwa kwenye nafas yake ya kutusemea hapo bungeni pindi atakaporudi??
@donaldshadrack31866 күн бұрын
Mpina anasali wapi?
@user-ne5cg4vv1h5 күн бұрын
Tatizo ndio mnyololo wawalaji pesa za wajinga za wanyonge kwanza Mimi hatasioni hata kinacho endelea zaidi ya madeni kuwa makubwa kuongezeka wamekuto ili usipinge ulaji wao uludi bajet tayali msukuma ndio kinara anajiona yeye msafi Sana MUNGU anawaona
@DottoMussa-ro6rw5 күн бұрын
unajua hawa wabunge la Saba ni shida sana,,huyu nusukuma ukimsikiliza mara nyingi ni u sure boy tu ma mission town tu ujanja ujanja wa mitaani elimu ziro,,tangu issue ya bandari msukuma ni fata upepo tu,, nyie wanasiasa ,,mnachosha sana,,me nadhani tunaihitaji kubadisha namna ya utawala,,sikubaliani na mifumo ya demokrasia ni umalaya wa kiutawala
@user-kf6tz1px6f5 күн бұрын
HIVI LAZIMA CCM IONGOZEE HII NCHI MBONA KAMA WALARUSHWA WAMEJAA CCM?
@OmarMohamed-bs2hf5 күн бұрын
Kama sukari nikweli sukari hakina na kama ipo kwanini sukari imefikia kilo 5000 way
@robertgodfrey98695 күн бұрын
One army
@barakakevela2454 күн бұрын
MPINA WEWE NI MWAMBA ACHANA NA HUYO MSUKUMA ZERO BRAIN HUYO KICHWANI NDIO MAANA NI LI CHAWA
@seifkulwa33466 күн бұрын
Mpina uko serious kabisa, umenifanya nijue upoyoyo wa baadhi ya wabunge!
@user-bi7gk7im4f
3 күн бұрын
Wanajali matumbo Yao,aisee
@ChristerKoku4 күн бұрын
Alilopoka?
@user-kf6tz1px6f5 күн бұрын
Ccm sio chama cha siasa hili haitaki PhD kujua kuw ccm ni chama chama pinduzi kitapindua hataa meza
@MohamedJonston6 күн бұрын
Shida mpinga anakwenda Les sana
@HenryLugenzi-dw9jm6 күн бұрын
Usijibizane na bwege msukuma .Kwanza hatuna msukuma tahira kama huyo.
@solotap
6 күн бұрын
Henry msenge Mkubwa Wewe luganyoko wewe
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Unataka sukari iuzwe 20000
@awadhkannah65876 күн бұрын
Ulitaka sukari iuzwe bei ya 10,000 kwa kilo, ndio uone sahihi. Waziri Bashe amejitahidi bei ya sukari kushuka, ameingiza sukari kwa kiasi kikubwa. Waziri Bashi amewatenga hao unawatetea / wafanyabiashara ambao walificha sukari na kuchelewa kuagiza sukari ili bei ipande, kuna ubaya gani kuwapa watu\wafanyabiashara ambao hawamiliki viwanda ili waagize?. Kuna ubaya gani Waziri Bashi kutoa vibali vya kuagiza kiwango kikubwa cha sukari ili watanzania wanunue sukari bei chini Hongera, Waziri watu kama wakina Mpina wanatumika asikukatishe tamaa, piga kazi
@marandoruzali1946
6 күн бұрын
Wewe ujui ametumia fedha nje ya bajeti huyo Bashe na kusababisha upigaji kupitia hiyo sugar gep
@abdullaabdulla7039
6 күн бұрын
Mpumbavu mkubwa wewe nenda ukafirew na Huyo msomali wako. Kuma kibuyu. Tena wewe sio mtanzania.
@RamadhanKitama
6 күн бұрын
Anajulia wapi @@marandoruzali1946? Angalia swalia alilo uliza et "kunaubaya gani, kuwapa vibali wasio na viwanda kuagiza sukari?" Yaan hata maelezo ya Mpina hayaelewi, hajui kama ni kosa kisheria kufanya hivo!! Unaona kunaakili hapo, huyu anafuata ushabiki na sio hoja.
@ABBASIKANDULU-kl8zc
5 күн бұрын
Bwege wewe 😏😏😏
@ernestkhalifa1414
3 күн бұрын
Sheria boss ifuatwe
@GidionBukwimba6 күн бұрын
Mami nalizunya ulingosha
@user-dq1ss2uq6u6 күн бұрын
Huyo mbunge anaesema atakushtaki ccm usihofu tunamjua ni mtaalamu wa kuyumba , ni mzee wa ndio akiona hela..na tena kapoteza sifa...
@monicamwita7865
6 күн бұрын
Fungal mdomo
@solotap
6 күн бұрын
Funga domo ilo
@hashimmawazo55033 күн бұрын
Subili uone mbona unapapalika mpina,
@user-bi7gk7im4f
3 күн бұрын
Hapapaliki ni kweli japo mchungu
@sadiqadam79716 күн бұрын
Komaa nao mkubwa
@MasterG-dc1tx4 күн бұрын
Kumamaye hiii Tz Bado ngumu sana,poleni wtz wenzangu
@LeonardMalter6 күн бұрын
Nakupa pole sana mpina unanikumbusha magu 11:49
@kilimanjarostarlounge6 күн бұрын
kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY
@user-cw2nj4io3v
6 күн бұрын
Ni Mpina na Mwambukuzi, huyo mwingine hapana!
@user-bi7gk7im4f
3 күн бұрын
Kungenogaje
@KigilaZengo6 күн бұрын
Gen z in Tanzania
@INNOCENTGWIVAHA-pp7vt6 күн бұрын
Mpina oyeee
@bahatjuma74585 күн бұрын
Ungemwambia pale bungeni, unalia kwa kukosa posho wewe, ungekataa kutoka bungeni Sasa
Пікірлер: 115
Yani hapa tumeadhibiwa sisi wananchi kwa kosa la mbunge wetu, inauma sana,
Tusamehewe wana mbeya kumweka huyu mtu
Mpina activist of Tanzania
@KaburuKimath-eu5nf
2 күн бұрын
La saba
Congratulations my role modal, nikikuaa Nitakuwa Kama ww, kwa Sasa nikiongeaa Nitakuwa SITIVA mdogo
Njoo Chadema kaka hao walaji wameona unatoa ukweli kwa wananchi wewe ni mzalendo kaka
Mpina nakukubari sana kuliko wabunge wote
Mpina pamoja na yote wewe ni Hero!!!
@frankmwashovya5532
5 күн бұрын
😂😢😅🎉😢x😢,❤C😊😮😢😮X❤😂V
Mpina baba don’t give up. Hawa watu tunawajuwa. Ni ka group dogo wanataka ku control mali zawo, na kuifanya Tanzania ni mali yawo. Watu wasema kweli wananyamazishwa , ama wana tupwa CUBA kusikokuwa na mawasiliano ili watanzania wabaki gizani. Wanayo yafanya yatawadhuru mpaka vizazi vyawo. Tanzania ni ya watanzania wote na sio ya watu wachache. Wakitaka Tanzania iendelee kuwa nchi ya amani, lazima haki itendeke kwa wote. Selective justice inaweza kuleta madhara makubwa nchini.
This is sad Mpina chapa kazi ❤
ka msukuma shida ni elimu halafu kanajifanya kuonekana kama kanajua for nothing
@user-px7qw3hs2h
5 күн бұрын
Elimu sio shida ila shida ni kukosa uzalendo Msukuma siku hizi Nina mashaka nae
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
5 күн бұрын
Hata mimi uwa simwelewi msukuma,yaani alivyomsinichi msukuma mwenzie,sikutarajia.alitakiwa awe upande wa msukuma mwenzie au anyamaze kimya , wasukuma wa Geita mwangalieni sana huyu msukuma,ovyo sana hafai.Mpina safi
Mpina ikiwezekana anzisha chama chako tutaishi tu.
Ukweli uonevu uliofanyika kwa mpina ni namna ya kutuonyesha sisi wananchi kuwa, kumbe wabunge wote nchini wapo kwaajili ya maslahi yao wenyewe, na sio wananchi. Alafu pia japo sio wote ila unafki umekidhir sana hapo bungeni. Ndio maana mmemtoa mtetezi wa wanyobge.
@MashakaMagesa
4 күн бұрын
Bugeni ukiwa mpiga meza tu ndiyo unapongezwa
Huu mfumo dume sijuwi utaisha lini Tz?. Akina Lazaro Nyalandu wapo wengi ktk nchi hi huku wale wanadiplomasia wakipiga chapuo kana kwamba hawajuwi kilichopo chini ya bahari, ccm bana hatari sana. Kumbatia bomm likubutukiyee 😢😅😢👆.
Spika wa hovyo wala Rushwa wakubwa, mapambano ndo yataanza sio chadema si ndo hao hao waluouza bandari
Kunawabunge wengine niwalaji umo broo wewe uko vizuli broo usikubaliane nao hawo wanaotaka kutukandamiza wanyonge kilajambo litakalotolewa bungeni lisiokua sahiiii likatae broo mpinna wewe fanya kazi wao wanaona kama vile unavujisha sili lakn sisi wanyonge tunaona unafanya kazi nzuli sana natunamuomba mwenyezi mungu akupe maisha malefu wewe nmtetezi wawanyonge
Waliosema kukushitaki hawa akili sawa sawa
msukuma kumbe ni Wa hovyo anatetea mafisadi siamini macho yangu walahi mpina big up
@user-jj7qv7kh2s
5 күн бұрын
Yeye mwenyewe fisadi ataachaje kuwatetea.
@simonchristian6319
4 күн бұрын
Sasa msukuma mbunge yule nae😅
Musukuma ni mjinga. Anajipendekeza kuficha ukosefu wake wa elimu. Sidhani hata anaelewa sheria. Huyu alimushutumu hata Magufuli. Musukuma anamusifu speaker eti kwa kuwa amepigiwa kura na mataifa makubwa. Kwa nini hatujiamini, tunaamini wagęni na wazungu wakihusika na kitu ndiyo tunaamini. Kuna wengi walipigiwa kura na kupewa nafasi kubwa, kwenye umoja wa mataifa, lakini hawakusaidia chochote. Wakati Rwanda wanauwana, UN tulikuwa na kiongozi mwafirika aliyechaguliwa na mataifa yote, na ha kufanya chochote na kuacha wanyarwanda kuuwana..
Msukuma na Lusinde hawana kitu hao no shule kwenye uuzaji wa Bandari dpworld walihuaika sanaaaa uchawa wake hamna kitu hao mabomu
Unawatetea waovu pole sana mungu yupo ujue
Msukuma tatizo lake ni kukosa shule,, yeye anaoperate kwa emotional akili hana
Uko SAWA mpina acha wakufanyie ujinga wamezoea hao mafisadi kuficha wizi wao.tunawaambia watakujaga kumfukuza na ujumbe au maksudi ya MUNGU kwa ujinga wao.wanadhani lisisiem la majizi halitakuwa na mwisho litakuwepo TU milele wasahau mwisho wao huooo? tunauona wanautaka wenyewe wanaupata.
Tusikubali tena Mpina hana kosa
Mpina karibu chadema ccm wamekuchoka
Mpina tupo pamoja nawe,ulipo tupo
Pole kaka
Kila kitu kina mwisho wake, wao wanasahau kuwa nao ni binadam kama sisi, Lakini MUNGU ni wetu site tuombe uzima.
Kweli mpina ni muhimu kwa bunge na kwa serikali, tusimvunje moyo Bali tumpe sapoti.
Mpina ana akili kubwa Sana kuliko wote waliokuwa mjengoni.
Tuko pamoja ila usihamie chadema 😊
Nilijua tu lazima watakubana baadaye ccm.
Ukweli uliousema pale bungeni ndio unakuhukumu mpina ccm baadhi yao hawajitambui kabisa ila wananchi tunayaona na tunayasikia ngoja tusubiri sanduku la kura
Na shida ya msukuma anajifanya kanajua sana kuongea bila point elimu elimu shida yeye na hao la saba ndio wanaharibu bunge kisa ujue kusoma na kuandika basi msukuma ni shida ule ni ujanja ujanja wao Ili waonekane wanatetea chama
Mimi namwelewa sana Mpina. Mungu akusimamiwe.
Kweli yajayo yanafuraisha tumuombe mungu atupe maisha marefu tena mchana kweupee
Sawasawa chama kisilinde muhalifi kwakuwa ni mwana chama takukuru ime wekwa kwa kila ambae muhalifu
Usukumani kunawatu bhanah duuuu
Duuu hatar. Jembe liko kazinn
Mhes Mpina Mungu Yuko pamoja nawe,maana Mwenyezi Mungu amesema Mteteaji wangu Yu hai.
Uyu ndo wakumpa nchi maana hayuko kimasilai yuko kwaajili ya wananchi tu acha wengine ni wapigaji tu
Huyu bwege kanuni hizo kandamizi anazitambua ila alidhani hazitamhusu
Spika wa hovyo
Chukua form mkuu ya ukuu wa nchi tuko pamoja na ww...yaani huku wananchi tunakuelewa sana unapigania haki....nanimsema ukwel
Piga kaz ila uxihame ccm pambana apo spo mpak mwisho
Mpina kalishitaki Hilo li mwanamke
Huyo mbunge kumbewahovyo2 nayeye ndiyo maana ukitoa heruf 3 2unalipata jina lake halisi wengi wanajipendekeza2
Mpina endelea kupambania kikokotoo irudi kama mwanzo
Taifa haliwezi kufanikiwa ikiwa viongozi wake wakikosolewa wanatuadhibu.
Mbona hiyo ya makofi ndo kawaida yenu yulioko pembeni uwa tunashangaa makofi yanayopigwa kama uwa mnaelewa mnachopigia makofi.pia wabunge guess awasomi.
Sawa
ILI NIKUAMINI NIPE JIBU SAHIHI KWA NINI ULIFUKUZWA UWAZIRI WA MALIASILI?
Wasikutishe hao walia machozi bungeni.
Wewe luhaga no mnyama sana huna tofauti nandugai
Mpina ukiludi nyumba Nike nikusalimie tuonane anakwa ana
Mpina usijali, wewe ni dhahabu yetu. Waache wakupitishe kwenye tanuru ya moto ukitoka unaghaa.
Mbona ulipokuwa waziri hukuwahi kukosoa chochote?
Kaka tupo pamoja
ULIMI ULIKIPONZA KICHWA KIZIMA , MPINA UMEKOSEA SANA UTARATIBU UNAUJUA UONGOZI SIO KUROPOKA ROPOKA BALI NI BUSARA NA HEKIMA, ULITAKIWA KWENDA KWA KIONGOZI WAKO KABLA YA KUROPOKA
Upo vizuri
Pina fanya kanzi uko sawa na hitaji mbunge ka wewe unauchungu na wanaichi wa Tanzania
Sasa wale Kagera sugar hawana kiwanda? Vibari vimetolewa kwenye makampuni yanayozaliza sukari
Inaelekea huyu yupo na chama bado ila amekosea timing hiki kipindi SI kupingana na serikari . Halafu anasahau uwajibikaji wa pamoja .lakini anaendekea kufanya makosa kuendelea kuongea na vyombo vya habari pasipo kuwasilisha hoja zake katika chama .labda kama amejipanga kuondoka
Musukuma analimwa na DP world, he should shut up! DP World oyeee na Musukuma mavi oyeee, ana akili ya mbu!
Sasa wenye viwanda si walipewa vibali na hawakuleta acha chuki mpina, kwani waziri kufanya maamuzi ya kuleta sukari ni kosa?
@SaidiMkome-qq7hy
6 күн бұрын
Msikilize vizuri sio unapayuka tyuu
@abdullaabdulla7039
6 күн бұрын
Wee kuma la mama yako
@RamadhanKitama
6 күн бұрын
Unaushahidi walipewa vibali na hawakuagiza sukari??? Au unaropoka tu?
🤲🤲🤲
Samia wetu ebu tafakar hili, ni haki mbunge apewe adhabu inayopelekea wananchi wake kutelekeza, au ni nani amewekwa kwenye nafas yake ya kutusemea hapo bungeni pindi atakaporudi??
Mpina anasali wapi?
Tatizo ndio mnyololo wawalaji pesa za wajinga za wanyonge kwanza Mimi hatasioni hata kinacho endelea zaidi ya madeni kuwa makubwa kuongezeka wamekuto ili usipinge ulaji wao uludi bajet tayali msukuma ndio kinara anajiona yeye msafi Sana MUNGU anawaona
unajua hawa wabunge la Saba ni shida sana,,huyu nusukuma ukimsikiliza mara nyingi ni u sure boy tu ma mission town tu ujanja ujanja wa mitaani elimu ziro,,tangu issue ya bandari msukuma ni fata upepo tu,, nyie wanasiasa ,,mnachosha sana,,me nadhani tunaihitaji kubadisha namna ya utawala,,sikubaliani na mifumo ya demokrasia ni umalaya wa kiutawala
HIVI LAZIMA CCM IONGOZEE HII NCHI MBONA KAMA WALARUSHWA WAMEJAA CCM?
Kama sukari nikweli sukari hakina na kama ipo kwanini sukari imefikia kilo 5000 way
One army
MPINA WEWE NI MWAMBA ACHANA NA HUYO MSUKUMA ZERO BRAIN HUYO KICHWANI NDIO MAANA NI LI CHAWA
Mpina uko serious kabisa, umenifanya nijue upoyoyo wa baadhi ya wabunge!
@user-bi7gk7im4f
3 күн бұрын
Wanajali matumbo Yao,aisee
Alilopoka?
Ccm sio chama cha siasa hili haitaki PhD kujua kuw ccm ni chama chama pinduzi kitapindua hataa meza
Shida mpinga anakwenda Les sana
Usijibizane na bwege msukuma .Kwanza hatuna msukuma tahira kama huyo.
@solotap
6 күн бұрын
Henry msenge Mkubwa Wewe luganyoko wewe
Unataka sukari iuzwe 20000
Ulitaka sukari iuzwe bei ya 10,000 kwa kilo, ndio uone sahihi. Waziri Bashe amejitahidi bei ya sukari kushuka, ameingiza sukari kwa kiasi kikubwa. Waziri Bashi amewatenga hao unawatetea / wafanyabiashara ambao walificha sukari na kuchelewa kuagiza sukari ili bei ipande, kuna ubaya gani kuwapa watu\wafanyabiashara ambao hawamiliki viwanda ili waagize?. Kuna ubaya gani Waziri Bashi kutoa vibali vya kuagiza kiwango kikubwa cha sukari ili watanzania wanunue sukari bei chini Hongera, Waziri watu kama wakina Mpina wanatumika asikukatishe tamaa, piga kazi
@marandoruzali1946
6 күн бұрын
Wewe ujui ametumia fedha nje ya bajeti huyo Bashe na kusababisha upigaji kupitia hiyo sugar gep
@abdullaabdulla7039
6 күн бұрын
Mpumbavu mkubwa wewe nenda ukafirew na Huyo msomali wako. Kuma kibuyu. Tena wewe sio mtanzania.
@RamadhanKitama
6 күн бұрын
Anajulia wapi @@marandoruzali1946? Angalia swalia alilo uliza et "kunaubaya gani, kuwapa vibali wasio na viwanda kuagiza sukari?" Yaan hata maelezo ya Mpina hayaelewi, hajui kama ni kosa kisheria kufanya hivo!! Unaona kunaakili hapo, huyu anafuata ushabiki na sio hoja.
@ABBASIKANDULU-kl8zc
5 күн бұрын
Bwege wewe 😏😏😏
@ernestkhalifa1414
3 күн бұрын
Sheria boss ifuatwe
Mami nalizunya ulingosha
Huyo mbunge anaesema atakushtaki ccm usihofu tunamjua ni mtaalamu wa kuyumba , ni mzee wa ndio akiona hela..na tena kapoteza sifa...
@monicamwita7865
6 күн бұрын
Fungal mdomo
@solotap
6 күн бұрын
Funga domo ilo
Subili uone mbona unapapalika mpina,
@user-bi7gk7im4f
3 күн бұрын
Hapapaliki ni kweli japo mchungu
Komaa nao mkubwa
Kumamaye hiii Tz Bado ngumu sana,poleni wtz wenzangu
Nakupa pole sana mpina unanikumbusha magu 11:49
kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY
@user-cw2nj4io3v
6 күн бұрын
Ni Mpina na Mwambukuzi, huyo mwingine hapana!
@user-bi7gk7im4f
3 күн бұрын
Kungenogaje
Gen z in Tanzania
Mpina oyeee
Ungemwambia pale bungeni, unalia kwa kukosa posho wewe, ungekataa kutoka bungeni Sasa
@theodorythobius3965
4 күн бұрын
Acha kuingia mzaha kwenye vitu muhimu vya nchi
@user-bi7gk7im4f
3 күн бұрын
Asante 😊