MPINA amjibu MUSUKUMA kuhusu kumchongea CCM, asema watakuwa na kibalua kizito

Ойын-сауық

Пікірлер: 115

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47596 күн бұрын

    Yani hapa tumeadhibiwa sisi wananchi kwa kosa la mbunge wetu, inauma sana,

  • @LidiaMsigwa
    @LidiaMsigwa6 күн бұрын

    Tusamehewe wana mbeya kumweka huyu mtu

  • @KigilaZengo
    @KigilaZengo6 күн бұрын

    Mpina activist of Tanzania

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    2 күн бұрын

    La saba

  • @machujamathias7165
    @machujamathias71656 күн бұрын

    Congratulations my role modal, nikikuaa Nitakuwa Kama ww, kwa Sasa nikiongeaa Nitakuwa SITIVA mdogo

  • @TIMOTHEOALFREDI-zf2te
    @TIMOTHEOALFREDI-zf2te6 күн бұрын

    Njoo Chadema kaka hao walaji wameona unatoa ukweli kwa wananchi wewe ni mzalendo kaka

  • @hanujoseph8809
    @hanujoseph88096 күн бұрын

    Mpina nakukubari sana kuliko wabunge wote

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga7006 күн бұрын

    Mpina pamoja na yote wewe ni Hero!!!

  • @frankmwashovya5532

    @frankmwashovya5532

    5 күн бұрын

    😂😢😅🎉😢x😢,❤C😊😮😢😮X❤😂V

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im6 күн бұрын

    Mpina baba don’t give up. Hawa watu tunawajuwa. Ni ka group dogo wanataka ku control mali zawo, na kuifanya Tanzania ni mali yawo. Watu wasema kweli wananyamazishwa , ama wana tupwa CUBA kusikokuwa na mawasiliano ili watanzania wabaki gizani. Wanayo yafanya yatawadhuru mpaka vizazi vyawo. Tanzania ni ya watanzania wote na sio ya watu wachache. Wakitaka Tanzania iendelee kuwa nchi ya amani, lazima haki itendeke kwa wote. Selective justice inaweza kuleta madhara makubwa nchini.

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi13186 күн бұрын

    This is sad Mpina chapa kazi ❤

  • @piusmaduka
    @piusmaduka6 күн бұрын

    ka msukuma shida ni elimu halafu kanajifanya kuonekana kama kanajua for nothing

  • @user-px7qw3hs2h

    @user-px7qw3hs2h

    5 күн бұрын

    Elimu sio shida ila shida ni kukosa uzalendo Msukuma siku hizi Nina mashaka nae

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    5 күн бұрын

    Hata mimi uwa simwelewi msukuma,yaani alivyomsinichi msukuma mwenzie,sikutarajia.alitakiwa awe upande wa msukuma mwenzie au anyamaze kimya , wasukuma wa Geita mwangalieni sana huyu msukuma,ovyo sana hafai.Mpina safi

  • @publicityzone9583
    @publicityzone95836 күн бұрын

    Mpina ikiwezekana anzisha chama chako tutaishi tu.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47596 күн бұрын

    Ukweli uonevu uliofanyika kwa mpina ni namna ya kutuonyesha sisi wananchi kuwa, kumbe wabunge wote nchini wapo kwaajili ya maslahi yao wenyewe, na sio wananchi. Alafu pia japo sio wote ila unafki umekidhir sana hapo bungeni. Ndio maana mmemtoa mtetezi wa wanyobge.

  • @MashakaMagesa

    @MashakaMagesa

    4 күн бұрын

    Bugeni ukiwa mpiga meza tu ndiyo unapongezwa

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf6 күн бұрын

    Huu mfumo dume sijuwi utaisha lini Tz?. Akina Lazaro Nyalandu wapo wengi ktk nchi hi huku wale wanadiplomasia wakipiga chapuo kana kwamba hawajuwi kilichopo chini ya bahari, ccm bana hatari sana. Kumbatia bomm likubutukiyee 😢😅😢👆.

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f5 күн бұрын

    Spika wa hovyo wala Rushwa wakubwa, mapambano ndo yataanza sio chadema si ndo hao hao waluouza bandari

  • @DanielMakoye-w3f
    @DanielMakoye-w3fКүн бұрын

    Kunawabunge wengine niwalaji umo broo wewe uko vizuli broo usikubaliane nao hawo wanaotaka kutukandamiza wanyonge kilajambo litakalotolewa bungeni lisiokua sahiiii likatae broo mpinna wewe fanya kazi wao wanaona kama vile unavujisha sili lakn sisi wanyonge tunaona unafanya kazi nzuli sana natunamuomba mwenyezi mungu akupe maisha malefu wewe nmtetezi wawanyonge

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali19466 күн бұрын

    Waliosema kukushitaki hawa akili sawa sawa

  • @allykassim1120
    @allykassim11205 күн бұрын

    msukuma kumbe ni Wa hovyo anatetea mafisadi siamini macho yangu walahi mpina big up

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    5 күн бұрын

    Yeye mwenyewe fisadi ataachaje kuwatetea.

  • @simonchristian6319

    @simonchristian6319

    4 күн бұрын

    Sasa msukuma mbunge yule nae😅

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im6 күн бұрын

    Musukuma ni mjinga. Anajipendekeza kuficha ukosefu wake wa elimu. Sidhani hata anaelewa sheria. Huyu alimushutumu hata Magufuli. Musukuma anamusifu speaker eti kwa kuwa amepigiwa kura na mataifa makubwa. Kwa nini hatujiamini, tunaamini wagęni na wazungu wakihusika na kitu ndiyo tunaamini. Kuna wengi walipigiwa kura na kupewa nafasi kubwa, kwenye umoja wa mataifa, lakini hawakusaidia chochote. Wakati Rwanda wanauwana, UN tulikuwa na kiongozi mwafirika aliyechaguliwa na mataifa yote, na ha kufanya chochote na kuacha wanyarwanda kuuwana..

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74385 күн бұрын

    Msukuma na Lusinde hawana kitu hao no shule kwenye uuzaji wa Bandari dpworld walihuaika sanaaaa uchawa wake hamna kitu hao mabomu

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum20043 күн бұрын

    Unawatetea waovu pole sana mungu yupo ujue

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx5 күн бұрын

    Msukuma tatizo lake ni kukosa shule,, yeye anaoperate kwa emotional akili hana

  • @SanziNzige
    @SanziNzige5 күн бұрын

    Uko SAWA mpina acha wakufanyie ujinga wamezoea hao mafisadi kuficha wizi wao.tunawaambia watakujaga kumfukuza na ujumbe au maksudi ya MUNGU kwa ujinga wao.wanadhani lisisiem la majizi halitakuwa na mwisho litakuwepo TU milele wasahau mwisho wao huooo? tunauona wanautaka wenyewe wanaupata.

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi13186 күн бұрын

    Tusikubali tena Mpina hana kosa

  • @RashidMohamed-rv2hm
    @RashidMohamed-rv2hm6 күн бұрын

    Mpina karibu chadema ccm wamekuchoka

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i6 күн бұрын

    Mpina tupo pamoja nawe,ulipo tupo

  • @JoelisonMakambi
    @JoelisonMakambi6 күн бұрын

    Pole kaka

  • @MtaniRobert
    @MtaniRobert2 күн бұрын

    Kila kitu kina mwisho wake, wao wanasahau kuwa nao ni binadam kama sisi, Lakini MUNGU ni wetu site tuombe uzima.

  • @user-rf3un7zq1p
    @user-rf3un7zq1p2 күн бұрын

    Kweli mpina ni muhimu kwa bunge na kwa serikali, tusimvunje moyo Bali tumpe sapoti.

  • @gililwise
    @gililwise6 күн бұрын

    Mpina ana akili kubwa Sana kuliko wote waliokuwa mjengoni.

  • @shd12m55
    @shd12m556 күн бұрын

    Tuko pamoja ila usihamie chadema 😊

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339Күн бұрын

    Nilijua tu lazima watakubana baadaye ccm.

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict57612 күн бұрын

    Ukweli uliousema pale bungeni ndio unakuhukumu mpina ccm baadhi yao hawajitambui kabisa ila wananchi tunayaona na tunayasikia ngoja tusubiri sanduku la kura

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga96385 күн бұрын

    Na shida ya msukuma anajifanya kanajua sana kuongea bila point elimu elimu shida yeye na hao la saba ndio wanaharibu bunge kisa ujue kusoma na kuandika basi msukuma ni shida ule ni ujanja ujanja wao Ili waonekane wanatetea chama

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu39003 күн бұрын

    Mimi namwelewa sana Mpina. Mungu akusimamiwe.

  • @godblessmbowe317
    @godblessmbowe3175 күн бұрын

    Kweli yajayo yanafuraisha tumuombe mungu atupe maisha marefu tena mchana kweupee

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf5 күн бұрын

    Sawasawa chama kisilinde muhalifi kwakuwa ni mwana chama takukuru ime wekwa kwa kila ambae muhalifu

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum20043 күн бұрын

    Usukumani kunawatu bhanah duuuu

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum20043 күн бұрын

    Duuu hatar. Jembe liko kazinn

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba4 күн бұрын

    Mhes Mpina Mungu Yuko pamoja nawe,maana Mwenyezi Mungu amesema Mteteaji wangu Yu hai.

  • @user-ug2vm3uf1l
    @user-ug2vm3uf1l3 күн бұрын

    Uyu ndo wakumpa nchi maana hayuko kimasilai yuko kwaajili ya wananchi tu acha wengine ni wapigaji tu

  • @user-xu3dx7vv8w
    @user-xu3dx7vv8w4 күн бұрын

    Huyu bwege kanuni hizo kandamizi anazitambua ila alidhani hazitamhusu

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f5 күн бұрын

    Spika wa hovyo

  • @mungatandassa5453
    @mungatandassa54534 күн бұрын

    Chukua form mkuu ya ukuu wa nchi tuko pamoja na ww...yaani huku wananchi tunakuelewa sana unapigania haki....nanimsema ukwel

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala97603 күн бұрын

    Piga kaz ila uxihame ccm pambana apo spo mpak mwisho

  • @GidionBukwimba
    @GidionBukwimba6 күн бұрын

    Mpina kalishitaki Hilo li mwanamke

  • @MartineShija
    @MartineShija3 күн бұрын

    Huyo mbunge kumbewahovyo2 nayeye ndiyo maana ukitoa heruf 3 2unalipata jina lake halisi wengi wanajipendekeza2

  • @user-bi7gk7im4f
    @user-bi7gk7im4f3 күн бұрын

    Mpina endelea kupambania kikokotoo irudi kama mwanzo

  • @MtaniRobert
    @MtaniRobert2 күн бұрын

    Taifa haliwezi kufanikiwa ikiwa viongozi wake wakikosolewa wanatuadhibu.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku4 күн бұрын

    Mbona hiyo ya makofi ndo kawaida yenu yulioko pembeni uwa tunashangaa makofi yanayopigwa kama uwa mnaelewa mnachopigia makofi.pia wabunge guess awasomi.

  • @marcoboniphace9733
    @marcoboniphace9733Күн бұрын

    Sawa

  • @kaponasalum3648
    @kaponasalum36483 күн бұрын

    ILI NIKUAMINI NIPE JIBU SAHIHI KWA NINI ULIFUKUZWA UWAZIRI WA MALIASILI?

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku4 күн бұрын

    Wasikutishe hao walia machozi bungeni.

  • @user-cp6vt6nd9o
    @user-cp6vt6nd9o5 күн бұрын

    Wewe luhaga no mnyama sana huna tofauti nandugai

  • @SawakaMasasila-p2d
    @SawakaMasasila-p2d2 күн бұрын

    Mpina ukiludi nyumba Nike nikusalimie tuonane anakwa ana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47596 күн бұрын

    Mpina usijali, wewe ni dhahabu yetu. Waache wakupitishe kwenye tanuru ya moto ukitoka unaghaa.

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg3 күн бұрын

    Mbona ulipokuwa waziri hukuwahi kukosoa chochote?

  • @kulwamathias7680
    @kulwamathias76803 күн бұрын

    Kaka tupo pamoja

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph58114 күн бұрын

    ULIMI ULIKIPONZA KICHWA KIZIMA , MPINA UMEKOSEA SANA UTARATIBU UNAUJUA UONGOZI SIO KUROPOKA ROPOKA BALI NI BUSARA NA HEKIMA, ULITAKIWA KWENDA KWA KIONGOZI WAKO KABLA YA KUROPOKA

  • @stevenkajubili
    @stevenkajubili5 күн бұрын

    Upo vizuri

  • @NilaMdongo
    @NilaMdongo4 сағат бұрын

    Pina fanya kanzi uko sawa na hitaji mbunge ka wewe unauchungu na wanaichi wa Tanzania

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma74585 күн бұрын

    Sasa wale Kagera sugar hawana kiwanda? Vibari vimetolewa kwenye makampuni yanayozaliza sukari

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn5 күн бұрын

    Inaelekea huyu yupo na chama bado ila amekosea timing hiki kipindi SI kupingana na serikari . Halafu anasahau uwajibikaji wa pamoja .lakini anaendekea kufanya makosa kuendelea kuongea na vyombo vya habari pasipo kuwasilisha hoja zake katika chama .labda kama amejipanga kuondoka

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi2114 күн бұрын

    Musukuma analimwa na DP world, he should shut up! DP World oyeee na Musukuma mavi oyeee, ana akili ya mbu!

  • @allymusira2153
    @allymusira21536 күн бұрын

    Sasa wenye viwanda si walipewa vibali na hawakuleta acha chuki mpina, kwani waziri kufanya maamuzi ya kuleta sukari ni kosa?

  • @SaidiMkome-qq7hy

    @SaidiMkome-qq7hy

    6 күн бұрын

    Msikilize vizuri sio unapayuka tyuu

  • @abdullaabdulla7039

    @abdullaabdulla7039

    6 күн бұрын

    Wee kuma la mama yako

  • @RamadhanKitama

    @RamadhanKitama

    6 күн бұрын

    Unaushahidi walipewa vibali na hawakuagiza sukari??? Au unaropoka tu?

  • @AzizMangara
    @AzizMangara5 күн бұрын

    🤲🤲🤲

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47596 күн бұрын

    Samia wetu ebu tafakar hili, ni haki mbunge apewe adhabu inayopelekea wananchi wake kutelekeza, au ni nani amewekwa kwenye nafas yake ya kutusemea hapo bungeni pindi atakaporudi??

  • @donaldshadrack3186
    @donaldshadrack31866 күн бұрын

    Mpina anasali wapi?

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h5 күн бұрын

    Tatizo ndio mnyololo wawalaji pesa za wajinga za wanyonge kwanza Mimi hatasioni hata kinacho endelea zaidi ya madeni kuwa makubwa kuongezeka wamekuto ili usipinge ulaji wao uludi bajet tayali msukuma ndio kinara anajiona yeye msafi Sana MUNGU anawaona

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw5 күн бұрын

    unajua hawa wabunge la Saba ni shida sana,,huyu nusukuma ukimsikiliza mara nyingi ni u sure boy tu ma mission town tu ujanja ujanja wa mitaani elimu ziro,,tangu issue ya bandari msukuma ni fata upepo tu,, nyie wanasiasa ,,mnachosha sana,,me nadhani tunaihitaji kubadisha namna ya utawala,,sikubaliani na mifumo ya demokrasia ni umalaya wa kiutawala

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f5 күн бұрын

    HIVI LAZIMA CCM IONGOZEE HII NCHI MBONA KAMA WALARUSHWA WAMEJAA CCM?

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf5 күн бұрын

    Kama sukari nikweli sukari hakina na kama ipo kwanini sukari imefikia kilo 5000 way

  • @robertgodfrey9869
    @robertgodfrey98695 күн бұрын

    One army

  • @barakakevela245
    @barakakevela2454 күн бұрын

    MPINA WEWE NI MWAMBA ACHANA NA HUYO MSUKUMA ZERO BRAIN HUYO KICHWANI NDIO MAANA NI LI CHAWA

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa33466 күн бұрын

    Mpina uko serious kabisa, umenifanya nijue upoyoyo wa baadhi ya wabunge!

  • @user-bi7gk7im4f

    @user-bi7gk7im4f

    3 күн бұрын

    Wanajali matumbo Yao,aisee

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku4 күн бұрын

    Alilopoka?

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f5 күн бұрын

    Ccm sio chama cha siasa hili haitaki PhD kujua kuw ccm ni chama chama pinduzi kitapindua hataa meza

  • @MohamedJonston
    @MohamedJonston6 күн бұрын

    Shida mpinga anakwenda Les sana

  • @HenryLugenzi-dw9jm
    @HenryLugenzi-dw9jm6 күн бұрын

    Usijibizane na bwege msukuma .Kwanza hatuna msukuma tahira kama huyo.

  • @solotap

    @solotap

    6 күн бұрын

    Henry msenge Mkubwa Wewe luganyoko wewe

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80935 күн бұрын

    Unataka sukari iuzwe 20000

  • @awadhkannah6587
    @awadhkannah65876 күн бұрын

    Ulitaka sukari iuzwe bei ya 10,000 kwa kilo, ndio uone sahihi. Waziri Bashe amejitahidi bei ya sukari kushuka, ameingiza sukari kwa kiasi kikubwa. Waziri Bashi amewatenga hao unawatetea / wafanyabiashara ambao walificha sukari na kuchelewa kuagiza sukari ili bei ipande, kuna ubaya gani kuwapa watu\wafanyabiashara ambao hawamiliki viwanda ili waagize?. Kuna ubaya gani Waziri Bashi kutoa vibali vya kuagiza kiwango kikubwa cha sukari ili watanzania wanunue sukari bei chini Hongera, Waziri watu kama wakina Mpina wanatumika asikukatishe tamaa, piga kazi

  • @marandoruzali1946

    @marandoruzali1946

    6 күн бұрын

    Wewe ujui ametumia fedha nje ya bajeti huyo Bashe na kusababisha upigaji kupitia hiyo sugar gep

  • @abdullaabdulla7039

    @abdullaabdulla7039

    6 күн бұрын

    Mpumbavu mkubwa wewe nenda ukafirew na Huyo msomali wako. Kuma kibuyu. Tena wewe sio mtanzania.

  • @RamadhanKitama

    @RamadhanKitama

    6 күн бұрын

    Anajulia wapi @@marandoruzali1946? Angalia swalia alilo uliza et "kunaubaya gani, kuwapa vibali wasio na viwanda kuagiza sukari?" Yaan hata maelezo ya Mpina hayaelewi, hajui kama ni kosa kisheria kufanya hivo!! Unaona kunaakili hapo, huyu anafuata ushabiki na sio hoja.

  • @ABBASIKANDULU-kl8zc

    @ABBASIKANDULU-kl8zc

    5 күн бұрын

    Bwege wewe 😏😏😏

  • @ernestkhalifa1414

    @ernestkhalifa1414

    3 күн бұрын

    Sheria boss ifuatwe

  • @GidionBukwimba
    @GidionBukwimba6 күн бұрын

    Mami nalizunya ulingosha

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u6 күн бұрын

    Huyo mbunge anaesema atakushtaki ccm usihofu tunamjua ni mtaalamu wa kuyumba , ni mzee wa ndio akiona hela..na tena kapoteza sifa...

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    6 күн бұрын

    Fungal mdomo

  • @solotap

    @solotap

    6 күн бұрын

    Funga domo ilo

  • @hashimmawazo5503
    @hashimmawazo55033 күн бұрын

    Subili uone mbona unapapalika mpina,

  • @user-bi7gk7im4f

    @user-bi7gk7im4f

    3 күн бұрын

    Hapapaliki ni kweli japo mchungu

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam79716 күн бұрын

    Komaa nao mkubwa

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx4 күн бұрын

    Kumamaye hiii Tz Bado ngumu sana,poleni wtz wenzangu

  • @LeonardMalter
    @LeonardMalter6 күн бұрын

    Nakupa pole sana mpina unanikumbusha magu 11:49

  • @kilimanjarostarlounge
    @kilimanjarostarlounge6 күн бұрын

    kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY

  • @user-cw2nj4io3v

    @user-cw2nj4io3v

    6 күн бұрын

    Ni Mpina na Mwambukuzi, huyo mwingine hapana!

  • @user-bi7gk7im4f

    @user-bi7gk7im4f

    3 күн бұрын

    Kungenogaje

  • @KigilaZengo
    @KigilaZengo6 күн бұрын

    Gen z in Tanzania

  • @INNOCENTGWIVAHA-pp7vt
    @INNOCENTGWIVAHA-pp7vt6 күн бұрын

    Mpina oyeee

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma74585 күн бұрын

    Ungemwambia pale bungeni, unalia kwa kukosa posho wewe, ungekataa kutoka bungeni Sasa

  • @theodorythobius3965

    @theodorythobius3965

    4 күн бұрын

    Acha kuingia mzaha kwenye vitu muhimu vya nchi

  • @user-bi7gk7im4f

    @user-bi7gk7im4f

    3 күн бұрын

    Asante 😊

Келесі