MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...
MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...
Mbungu wa chama cha mapinduzi Joseph Musukuma amezungumza na wananchi wa iringa katika ziara ya katibu mkuu wa chama hicho...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 10
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Wezi kazini
Huyu ufahamu wake mdogo sana badala anadi sera za chama chake anamuongelea mpinzani
Mpumbavu ndiye aliwae. Hana lo lote anafanya siasa za kipimbavu tu
Msukuma Hana elimu ya kuelewa mambo. Anajipa udaktari bila elimu. Ni mbwembwe tupu. Hawa ndio wanaoliangusha Taifa. Elimu, elimu, elimu
Mkulima Nani wa nyanya amepelekewa mamilioni ya hela?
Nchi iko kwenye pandemic mbaya sana, kichaa, viongozi wote vichaa, mbwa koko wewe Musukuma. Hela hizo ni za watanzania siyo za mpemba Samia!
Watu wajinga wapo kwenye mfumo, wenye akili wanaogopa kuingia fursa za uongozi
Wewe mbunge msukuma una ongea nini ...? Ety pesa inatoka kwenu una pesa gani ya kutoa kwa CHADEMA wewe , Pesa n za walipa Kodi wa kitanzania na Maliasiri za Tanzania 🇹🇿 , ko usijifanye wewe ndio unajua Sana wadanganye hao hao ..... ! Ambao hata darasa la 7 hawajafika