KAMATI YA MARIDHIANO SIX UDSM PART 1/4 MDAHALO BUNGE LA KATIBA 03 AUG 2014

Пікірлер: 19

  • @jerrymasunzu6158
    @jerrymasunzu61582 жыл бұрын

    Lissu akiongea hua anafundisha hata waliomfundisha 😃😃genius.

  • @saidmabdallah5583
    @saidmabdallah558310 жыл бұрын

    Siku zote nchi za kiafrica haziishi migogoro kwasababu watawala wanaokuwepo madarakani hawataki kuondoka wanahisi nchi ni mali yao na wao tuu ndio wenye haki ya kutawala, hilo ndio tatizo sugu! !!

  • @allyjuma8088
    @allyjuma80882 жыл бұрын

    Naitwa ally Niko moshi tunachotaka nikatiba mpiya

  • @allyjuma8088
    @allyjuma80882 жыл бұрын

    Nimefurahi kumuona mheshimiw lisu

  • @feiz3180
    @feiz318010 жыл бұрын

    Mh. Wassira, unapotosha. Mada ni RASIMU ya WANANCHI. hizi lapu lapu nyingi hazina maana.

  • @goodlucksemba1145
    @goodlucksemba11455 жыл бұрын

    Huyu mzee mpotoshaji! Mzee Mungu anakuona!

  • @ipyanapaul5223

    @ipyanapaul5223

    2 жыл бұрын

    Acha hizo lisu yupo sawa

  • @user-zz3fb8of6i
    @user-zz3fb8of6i6 жыл бұрын

    Nice

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Жыл бұрын

    Hakika Mh. Lissu ni kama ulijitabiria maumivu na mateso uliyoyapata, lkn MUNGU amekuvusha

  • @feiz3180
    @feiz318010 жыл бұрын

    Kurekebisha, sio kubadilisha maana ila kuwezesha kufahamika kwa uwepesi. hii katiba haitapita ikiwa CCM wastakuwa na msimamo wa chama.

  • @lgffumbuka183

    @lgffumbuka183

    5 жыл бұрын

    Feiz Amr kwani CCM ni wengi? Walipataje wingi huo?

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi19082 жыл бұрын

    Jamaa uyu ni shdaaaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @ambakisyemwailongano6078
    @ambakisyemwailongano60783 жыл бұрын

    KWANINI IKWAMISHWE IKUBALIWE KISHA IKIWA NA MAKOSA TUTAIBADILISHA VITABU VUA MUNGU TU HAVIBADILIKI LAKINI KATIBA TUITENDE KAZI TUIONE UPUNGUFU KTK UTENDEAJI TUTAIBADILISHA TENA

  • @edgeredward2497
    @edgeredward24979 жыл бұрын

    ok

  • @peterfumbuka4104

    @peterfumbuka4104

    5 жыл бұрын

    EDGER EDWARD kosa lililofanyika ni ukawa kuondoka wangekuwepo wangepiga kura ya kukataa

  • @allyjuma8088
    @allyjuma80882 жыл бұрын

    Jenga hoja acha utopolo we mzee

  • @ipyanapaul5223

    @ipyanapaul5223

    2 жыл бұрын

    Yupo sawa Sana lisu

  • @ipyanapaul5223
    @ipyanapaul52232 жыл бұрын

    Lisu nimekuelewa sana kiongonzi. Ivi wewe mzee wasila umekula mti gani wewe