KAMATI YA MARIDHIANO SIX UDSM PART 1/4 MDAHALO BUNGE LA KATIBA 03 AUG 2014
Жүктеу.....
Пікірлер: 19
@jerrymasunzu61582 жыл бұрын
Lissu akiongea hua anafundisha hata waliomfundisha 😃😃genius.
@saidmabdallah558310 жыл бұрын
Siku zote nchi za kiafrica haziishi migogoro kwasababu watawala wanaokuwepo madarakani hawataki kuondoka wanahisi nchi ni mali yao na wao tuu ndio wenye haki ya kutawala, hilo ndio tatizo sugu! !!
@allyjuma80882 жыл бұрын
Naitwa ally Niko moshi tunachotaka nikatiba mpiya
@allyjuma80882 жыл бұрын
Nimefurahi kumuona mheshimiw lisu
@feiz318010 жыл бұрын
Mh. Wassira, unapotosha. Mada ni RASIMU ya WANANCHI. hizi lapu lapu nyingi hazina maana.
@goodlucksemba11455 жыл бұрын
Huyu mzee mpotoshaji! Mzee Mungu anakuona!
@ipyanapaul5223
2 жыл бұрын
Acha hizo lisu yupo sawa
@user-zz3fb8of6i6 жыл бұрын
Nice
@plujorilugano9489 Жыл бұрын
Hakika Mh. Lissu ni kama ulijitabiria maumivu na mateso uliyoyapata, lkn MUNGU amekuvusha
@feiz318010 жыл бұрын
Kurekebisha, sio kubadilisha maana ila kuwezesha kufahamika kwa uwepesi. hii katiba haitapita ikiwa CCM wastakuwa na msimamo wa chama.
@lgffumbuka183
5 жыл бұрын
Feiz Amr kwani CCM ni wengi? Walipataje wingi huo?
@johnsonbagambi19082 жыл бұрын
Jamaa uyu ni shdaaaa
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@ambakisyemwailongano60783 жыл бұрын
KWANINI IKWAMISHWE IKUBALIWE KISHA IKIWA NA MAKOSA TUTAIBADILISHA VITABU VUA MUNGU TU HAVIBADILIKI LAKINI KATIBA TUITENDE KAZI TUIONE UPUNGUFU KTK UTENDEAJI TUTAIBADILISHA TENA
@edgeredward24979 жыл бұрын
ok
@peterfumbuka4104
5 жыл бұрын
EDGER EDWARD kosa lililofanyika ni ukawa kuondoka wangekuwepo wangepiga kura ya kukataa
Пікірлер: 19
Lissu akiongea hua anafundisha hata waliomfundisha 😃😃genius.
Siku zote nchi za kiafrica haziishi migogoro kwasababu watawala wanaokuwepo madarakani hawataki kuondoka wanahisi nchi ni mali yao na wao tuu ndio wenye haki ya kutawala, hilo ndio tatizo sugu! !!
Naitwa ally Niko moshi tunachotaka nikatiba mpiya
Nimefurahi kumuona mheshimiw lisu
Mh. Wassira, unapotosha. Mada ni RASIMU ya WANANCHI. hizi lapu lapu nyingi hazina maana.
Huyu mzee mpotoshaji! Mzee Mungu anakuona!
@ipyanapaul5223
2 жыл бұрын
Acha hizo lisu yupo sawa
Nice
Hakika Mh. Lissu ni kama ulijitabiria maumivu na mateso uliyoyapata, lkn MUNGU amekuvusha
Kurekebisha, sio kubadilisha maana ila kuwezesha kufahamika kwa uwepesi. hii katiba haitapita ikiwa CCM wastakuwa na msimamo wa chama.
@lgffumbuka183
5 жыл бұрын
Feiz Amr kwani CCM ni wengi? Walipataje wingi huo?
Jamaa uyu ni shdaaaa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
KWANINI IKWAMISHWE IKUBALIWE KISHA IKIWA NA MAKOSA TUTAIBADILISHA VITABU VUA MUNGU TU HAVIBADILIKI LAKINI KATIBA TUITENDE KAZI TUIONE UPUNGUFU KTK UTENDEAJI TUTAIBADILISHA TENA
ok
@peterfumbuka4104
5 жыл бұрын
EDGER EDWARD kosa lililofanyika ni ukawa kuondoka wangekuwepo wangepiga kura ya kukataa
Jenga hoja acha utopolo we mzee
@ipyanapaul5223
2 жыл бұрын
Yupo sawa Sana lisu
Lisu nimekuelewa sana kiongonzi. Ivi wewe mzee wasila umekula mti gani wewe