Mwanasheria Mkuu Zanzibar aibuka BMK, apiga kura kukataa Ibara muhimu Katiba inayopendekezwa

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman leo ameibuka katika Bunge Maalum la Katiba na kupiga kura ya wazi ambapo alipiga kura ya hapana katika baadhi ya Ibara za rasimu ya Katiba. Hali hiyo iliibua maswali kwa baadhi ya wajumbe waliohoji kuibuka kwake leo wakati hakuwepo muda mwingi Bunge hilo lilipokuwa likiendelea.

Пікірлер: 65

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed18303 жыл бұрын

    ZANZIBAR kwanza mambomengine bada ishllah

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi82093 жыл бұрын

    Wana ccm mtatupeleka pabaya sana maana mawazo chanya hamyakubali hili ni tzz kubwa sana

  • @nurisahim7898
    @nurisahim78983 жыл бұрын

    Mrisi wa hayati maalim seif

  • @annhann569

    @annhann569

    3 жыл бұрын

    Amepita

  • @Yussuphmm
    @Yussuphmm3 жыл бұрын

    Ndio makamo wetu mtiif 2021

  • @eddytech9215
    @eddytech92159 жыл бұрын

    big up attorney general

  • @omarkanout8684
    @omarkanout86845 жыл бұрын

    Ongera othman ww ni shujaaa wa kweli na mzalendo

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43853 жыл бұрын

    SAIVI AMEKUWA MAKAMO WA KWANZA

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go6 ай бұрын

    Nampenda huyu mheshimiwa ❤

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26865 жыл бұрын

    Walitaka alinde maslah ya Ccm zanzibar na sio maslah ya Zanzibar Allah amlipe kwa wema wake Aamiyn

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Bahati mbaya sana,Mungu hapimi wema wa mtu kwa upemba wake, au uunguja wake, au utanganyika wake,,,,,

  • @nohatredbutlove5786

    @nohatredbutlove5786

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 na kwa bahati mbaya hujui unachokiongea. Pole

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@nohatredbutlove5786 majibu utayapata okt

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@nohatredbutlove5786 pole na wewe bahati njema okt iko karibu sana

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@nohatredbutlove5786 nafikiri sasa umeshapata majibu yako!!!!!

  • @adamsactwazalendo6055
    @adamsactwazalendo60553 жыл бұрын

    Wewe ni hifar sana juu ya Zanzibar

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi56384 жыл бұрын

    CCM acheni kuwatishs wabunge

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka39565 жыл бұрын

    Ccm acheni kuwatisha wawakilishi wenu, mnamtisha mtu hadi anaogopa kusema ukweli, misimamo ya chama haitalisaidia taifa.

  • @topaviator
    @topaviator3 жыл бұрын

    Wasenge kweli hao wanaosema hafai Kumamae leo hii wale waliomcheka wanauza maandazi na huyo mlomzomea kesho anakwenda kuapishwa kua Makamu wa kwanza wa rais

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka39565 жыл бұрын

    Othman umejitahidi kuitetea Zanzibar japo utakua muasi kwa ccm. Tumeona lakini nadhani ifike wakati tuchagueni watu wenye elimu, hawa wapigaji zogo hawatatusaidia.

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    2 жыл бұрын

    Uko sahihi .

  • @goodlucksemba1145
    @goodlucksemba11455 жыл бұрын

    Kweli muungano huu ni wa mashaka mashaka !

  • @abdullaali8102
    @abdullaali81026 жыл бұрын

    Pan-Africanism or Pragmatism. Lessons of the Tanganyika-Zanzibar Union

  • @utaani1
    @utaani19 жыл бұрын

    Top man

  • @gangmore9091
    @gangmore90913 жыл бұрын

    Ccm ukiwapinga ukiwahupo pamoja nao wanakutoa wamewatoa waliofanya mapinduzi ya unafikii kuitakia zanzibar mamlaka kamili so mwanasheria kutolewa so ajabu ila kunahukumu badala madaraka anaejielewa hawezi kuwapamoja n ccm

  • @allybakar1488
    @allybakar14886 жыл бұрын

    nyinyi mnatk muendekeze udictetr tu half mnasem hkuchaguliwa mbon rais w znzbr rais alli mohd shein mwak 2015hkuchaguliwa saiv ndie rais wetu hii ni dunia tu

  • @user-tn4tp5pe2i
    @user-tn4tp5pe2i3 ай бұрын

    ccm ni sawa na gari bovu

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Жыл бұрын

    Hii ndo htr yakuchukua watu wa mtaani kwenye mambo yanayohitaji ELIMU.

  • @feiz3180
    @feiz31806 жыл бұрын

    Yahya Kassim Issa. Wewe mzeee umeptelea wapi?//.

  • @allybakar1488
    @allybakar14886 жыл бұрын

    znzbr kwanz tunatk znzbr ytu

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi56384 жыл бұрын

    Zanzibar niwajinga sana

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg2 ай бұрын

    wengi walikuwa wakalia viti

  • @ashuraatanas5967
    @ashuraatanas59677 жыл бұрын

    wa tz hawa wabunge wenu mbona wajinga sasa unamlazimisha mtu apige kura unayotaka wewe huo ni upuuzi

  • @fahdihasnuu9034

    @fahdihasnuu9034

    4 жыл бұрын

    Lazima awe mjinga maana yeye hajasoma

  • @hajimakame9555

    @hajimakame9555

    3 жыл бұрын

    Tumechoka kuburuzwa

  • @fakihdarusi4385

    @fakihdarusi4385

    3 жыл бұрын

    KINA APEDOMIA

  • @godfreyachireka3311
    @godfreyachireka33119 жыл бұрын

    VERRY GOOD

  • @pastoryconrad3075
    @pastoryconrad30759 жыл бұрын

    wasomi hasa wa sheria ni wajanja wajanja sana

  • @salehabri6957
    @salehabri69572 жыл бұрын

    Samuel sitta wa ukweli, Mzee dawa

  • @aliyaliya2040
    @aliyaliya20402 жыл бұрын

    Hamfanyinyi wanafiki

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson1296 жыл бұрын

    We pumbavu wa ccm

  • @mohammedkhalfan2085
    @mohammedkhalfan20855 жыл бұрын

    Kwa kweli CCM zanzibar wanatuuza kwa Watanganyika looo

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    4 жыл бұрын

    Sanaaaaa

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Bado una mawazo ya kisultani!!

  • @alluuutamimi5436
    @alluuutamimi54369 жыл бұрын

    shujaa anabaki kuwa shujaa tu

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    5 жыл бұрын

    alluuu tamimi hahahaaa ,,,mwisho akatumbuliwa!

  • @farhatfatma12

    @farhatfatma12

    4 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 , Kwani hakujua kua atatumbuliwa? Jamaa ni shujaa mpya wa zanzibar. Namfananisha na Maalim seif Sharrif!

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    @@farhatfatma12 maalim seif wala siyo shujaa kama unavyodhani, maalim ni mnafiki anayewachuuza wajinga huku yeye akila kuku kwa mrija,,,,huku nyie wajinga mnabaki kupiga makofi, kiasi ambacho hata huyu mjinga mpya ameingia kingi!!

  • @farhatfatma12

    @farhatfatma12

    4 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 , Ni kweli na ndio sababu CCM mpaka leo wanatumia ma billion ya tax payer kumrudisha nyuma ili achukiwe na siwe na wafuasi . Mtu wa aina hiyo wewe na ccm wenzako munamwita mnafiki. Kuna link ya kura ya maoni sasa inatembea kupendekeza nani agombe uraisi zanzibar. Maalim amewapita wenzake kwa kura nyingi sana mpaka sasa, tena ni vijana. Anaemfwatia ni huyo Othman Masoud unamuona wewe pia kua tatizo kwa kuitetea nchi kule bungeni. Watu kama nyinyi mupo wachache duniani munao shindwa kutafautisha kizuri na kibaya. Maalim ataendelea kua shujaa wa nchi yetu ya zanzibar. Alikubali kupoteza nafasi nyingi za juu serikalini kutetea zanzibar yetu na uhuru wetu. Tunampenda wenyewe na nyinyi muna haki ya kumpenda mumtakae. Maneno yako hayaturudishi nyuma. Ramadhan Mubarak!

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    @@farhatfatma12 ubwege huo,,,,maalimu huyohuyo ndio alimuuza Jumbe kwa Nyerere!!

  • @zachariamjungu6456
    @zachariamjungu64569 жыл бұрын

    Even if is democracy but this is a Hippocratic criticism because he didn't even participated the session to give his views as far as his status is concern.

  • @gangraa

    @gangraa

    9 жыл бұрын

    For the sake of argument, had he voted YES would they've raised the same criticism?

  • @nohatredbutlove5786

    @nohatredbutlove5786

    3 жыл бұрын

    @@gangraa point👌

  • @alfredsima7686
    @alfredsima76866 жыл бұрын

    katiba wap

  • @rajabmsenga7234
    @rajabmsenga72349 жыл бұрын

    Niwakati wa mabadiliko

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Mzembe huyu!!!

  • @rashidalihamad7228

    @rashidalihamad7228

    3 жыл бұрын

    mzembe mama ako alietobwa na baba ako akakuzaaa wewe, zanzibar kwanza

  • @suleimanali9350

    @suleimanali9350

    3 жыл бұрын

    @@rashidalihamad7228 Zanzibar fast 💖💌

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    2 жыл бұрын

    @@rashidalihamad7228 unafirwa na baba yako wewe!!

Келесі