Mwanasheria Mkuu Zanzibar aibuka BMK, apiga kura kukataa Ibara muhimu Katiba inayopendekezwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman leo ameibuka katika Bunge Maalum la Katiba na kupiga kura ya wazi ambapo alipiga kura ya hapana katika baadhi ya Ibara za rasimu ya Katiba. Hali hiyo iliibua maswali kwa baadhi ya wajumbe waliohoji kuibuka kwake leo wakati hakuwepo muda mwingi Bunge hilo lilipokuwa likiendelea.
Пікірлер: 65
ZANZIBAR kwanza mambomengine bada ishllah
Wana ccm mtatupeleka pabaya sana maana mawazo chanya hamyakubali hili ni tzz kubwa sana
Mrisi wa hayati maalim seif
@annhann569
3 жыл бұрын
Amepita
Ndio makamo wetu mtiif 2021
big up attorney general
Ongera othman ww ni shujaaa wa kweli na mzalendo
SAIVI AMEKUWA MAKAMO WA KWANZA
Nampenda huyu mheshimiwa ❤
Walitaka alinde maslah ya Ccm zanzibar na sio maslah ya Zanzibar Allah amlipe kwa wema wake Aamiyn
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Bahati mbaya sana,Mungu hapimi wema wa mtu kwa upemba wake, au uunguja wake, au utanganyika wake,,,,,
@nohatredbutlove5786
3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 na kwa bahati mbaya hujui unachokiongea. Pole
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@nohatredbutlove5786 majibu utayapata okt
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@nohatredbutlove5786 pole na wewe bahati njema okt iko karibu sana
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@nohatredbutlove5786 nafikiri sasa umeshapata majibu yako!!!!!
Wewe ni hifar sana juu ya Zanzibar
CCM acheni kuwatishs wabunge
Ccm acheni kuwatisha wawakilishi wenu, mnamtisha mtu hadi anaogopa kusema ukweli, misimamo ya chama haitalisaidia taifa.
Wasenge kweli hao wanaosema hafai Kumamae leo hii wale waliomcheka wanauza maandazi na huyo mlomzomea kesho anakwenda kuapishwa kua Makamu wa kwanza wa rais
Othman umejitahidi kuitetea Zanzibar japo utakua muasi kwa ccm. Tumeona lakini nadhani ifike wakati tuchagueni watu wenye elimu, hawa wapigaji zogo hawatatusaidia.
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
Uko sahihi .
Kweli muungano huu ni wa mashaka mashaka !
Pan-Africanism or Pragmatism. Lessons of the Tanganyika-Zanzibar Union
Top man
Ccm ukiwapinga ukiwahupo pamoja nao wanakutoa wamewatoa waliofanya mapinduzi ya unafikii kuitakia zanzibar mamlaka kamili so mwanasheria kutolewa so ajabu ila kunahukumu badala madaraka anaejielewa hawezi kuwapamoja n ccm
nyinyi mnatk muendekeze udictetr tu half mnasem hkuchaguliwa mbon rais w znzbr rais alli mohd shein mwak 2015hkuchaguliwa saiv ndie rais wetu hii ni dunia tu
ccm ni sawa na gari bovu
Hii ndo htr yakuchukua watu wa mtaani kwenye mambo yanayohitaji ELIMU.
Yahya Kassim Issa. Wewe mzeee umeptelea wapi?//.
znzbr kwanz tunatk znzbr ytu
Zanzibar niwajinga sana
wengi walikuwa wakalia viti
wa tz hawa wabunge wenu mbona wajinga sasa unamlazimisha mtu apige kura unayotaka wewe huo ni upuuzi
@fahdihasnuu9034
4 жыл бұрын
Lazima awe mjinga maana yeye hajasoma
@hajimakame9555
3 жыл бұрын
Tumechoka kuburuzwa
@fakihdarusi4385
3 жыл бұрын
KINA APEDOMIA
VERRY GOOD
wasomi hasa wa sheria ni wajanja wajanja sana
Samuel sitta wa ukweli, Mzee dawa
Hamfanyinyi wanafiki
We pumbavu wa ccm
Kwa kweli CCM zanzibar wanatuuza kwa Watanganyika looo
@AP-uk3mq
4 жыл бұрын
Sanaaaaa
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Bado una mawazo ya kisultani!!
shujaa anabaki kuwa shujaa tu
@jumakapilima5674
5 жыл бұрын
alluuu tamimi hahahaaa ,,,mwisho akatumbuliwa!
@farhatfatma12
4 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 , Kwani hakujua kua atatumbuliwa? Jamaa ni shujaa mpya wa zanzibar. Namfananisha na Maalim seif Sharrif!
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
@@farhatfatma12 maalim seif wala siyo shujaa kama unavyodhani, maalim ni mnafiki anayewachuuza wajinga huku yeye akila kuku kwa mrija,,,,huku nyie wajinga mnabaki kupiga makofi, kiasi ambacho hata huyu mjinga mpya ameingia kingi!!
@farhatfatma12
4 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 , Ni kweli na ndio sababu CCM mpaka leo wanatumia ma billion ya tax payer kumrudisha nyuma ili achukiwe na siwe na wafuasi . Mtu wa aina hiyo wewe na ccm wenzako munamwita mnafiki. Kuna link ya kura ya maoni sasa inatembea kupendekeza nani agombe uraisi zanzibar. Maalim amewapita wenzake kwa kura nyingi sana mpaka sasa, tena ni vijana. Anaemfwatia ni huyo Othman Masoud unamuona wewe pia kua tatizo kwa kuitetea nchi kule bungeni. Watu kama nyinyi mupo wachache duniani munao shindwa kutafautisha kizuri na kibaya. Maalim ataendelea kua shujaa wa nchi yetu ya zanzibar. Alikubali kupoteza nafasi nyingi za juu serikalini kutetea zanzibar yetu na uhuru wetu. Tunampenda wenyewe na nyinyi muna haki ya kumpenda mumtakae. Maneno yako hayaturudishi nyuma. Ramadhan Mubarak!
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
@@farhatfatma12 ubwege huo,,,,maalimu huyohuyo ndio alimuuza Jumbe kwa Nyerere!!
Even if is democracy but this is a Hippocratic criticism because he didn't even participated the session to give his views as far as his status is concern.
@gangraa
9 жыл бұрын
For the sake of argument, had he voted YES would they've raised the same criticism?
@nohatredbutlove5786
3 жыл бұрын
@@gangraa point👌
katiba wap
Niwakati wa mabadiliko
Mzembe huyu!!!
@rashidalihamad7228
3 жыл бұрын
mzembe mama ako alietobwa na baba ako akakuzaaa wewe, zanzibar kwanza
@suleimanali9350
3 жыл бұрын
@@rashidalihamad7228 Zanzibar fast 💖💌
@jumakapilima5674
2 жыл бұрын
@@rashidalihamad7228 unafirwa na baba yako wewe!!