Kamati ya Maridhiano Six: MJUMBE WA KAMATI YA MARIDHIANO, MANSOOR YUSSUF HIMIDI; 31/08/2013

Пікірлер: 30

  • @omarmhmammed216
    @omarmhmammed2164 жыл бұрын

    Anaeiangalia hii 2020 yupo bado

  • @faruukbinhemed8580
    @faruukbinhemed85804 жыл бұрын

    Hatuna budi kuwakumbuka makomadoo wanao pigania nchi yetu mung wabariki aamin

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Allah ndie hakimu wa haki kwa waloyafanya karume n wezake wataenda kujibu n nyinyi munao halalisha mauwaji y 64

  • @ibrahimrashid951
    @ibrahimrashid951 Жыл бұрын

    huyu kaka yetu akili nyingi mansur anajitambuwa safi sana

  • @feiz3180
    @feiz318010 жыл бұрын

    Muumini wa ,muungano wa heshima, usawa, na haki.

  • @zanzibarwazanzibar8998
    @zanzibarwazanzibar899811 жыл бұрын

    asante sana wewe unaetuwekea video hizi zanzaibar kwanza daima

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    mansour

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын

    Nimejikuta naangali kumbukumbuka hii

  • @ahmadalihaji1901
    @ahmadalihaji19013 жыл бұрын

    Est wazalendo

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki991410 жыл бұрын

    kkkk ccm 2015 mmeyataka wenyewe ati sera ya chama kweli kipofi siye yule asiyeona ni maumbile tu bali yule anayeona halafu akawa haoni ndiyo ccm wa zanzibar

  • @feiz3180
    @feiz318011 жыл бұрын

    Tuwe mfano, Haina haja ya malumbano. Zanzibar kwanza.

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Mapinduzi or mauwaji

  • @mohammedmuhammad7186
    @mohammedmuhammad7186 Жыл бұрын

    Iavalava

  • @fatmajuma4998
    @fatmajuma49984 жыл бұрын

    Huna ubabe wanakuchezea tu wazanzibar fanya ivyo bara

  • @ibrahimmbagira3026
    @ibrahimmbagira30264 жыл бұрын

    du

  • @albusaidkhelef6655
    @albusaidkhelef66556 жыл бұрын

    kapilima BORA MUARABU kuliko utawala huu.

  • @feiz3180
    @feiz318010 жыл бұрын

    Hasama, chuki na ubaguzi tumezichoka na tumechaguwa matumaini.

  • @geraldnyamaiswe570
    @geraldnyamaiswe5703 жыл бұрын

    Muungano wa Sirikali mbili hauwezi kuufanya Muungano huu uendelee; maana ya Muungano ni vitu 2 vinaunganishwa pamoja.Sasa Muungano huu inakuwaje wa Sirikali 2 yaani Sirikali ya Muungano na SMZ sasa huo Muungano ni kati ya SMZ na Sirikali ya Muungano.Serikali ya Tanganyika iliyofanya nchi hii kuitwa Tanzania serikali yake iko wapi!!Au Tanganyika ndiyo imechukuwa nafasi ya Muungano? ?

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka47823 жыл бұрын

    Bora warudi warabu Mana hawa wanawo tuwongoza nakuma tu nivibaraka watanganyika tumewachoka kuzulumiwa

  • @pettermasika9120

    @pettermasika9120

    3 жыл бұрын

    Haki ya Mungu huu Mfumo ulio Changanya udogo wa Tanganyika na zanzibar haungoki hadi Mwisho wa Dunia, Kerere yoyote ni wa kupigwa hadi Afe, Mungu alisha Bariki kuchanganya UDOGO

  • @rastafare878

    @rastafare878

    2 жыл бұрын

    Ni kweli

  • @kapilimajuma6558
    @kapilimajuma65586 жыл бұрын

    ngoja mwarabu arudi ,,,,

  • @nassorsultan8765

    @nassorsultan8765

    2 жыл бұрын

    U is crazy

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo71633 жыл бұрын

    Kusema ukweli siyo zambi jamani huyu ni mwana mapinduzi halisi na anauchungu na taifa lake

  • @ibrahimmbagira3026
    @ibrahimmbagira30264 жыл бұрын

    du

Келесі