LIVE🔴: CUF IMEKUFA? | NIKWELI HAMAD MASOUD KUREJEA ACT
fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #vipindi #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 772 281 879
Zinjibartv Journalists
cc: Nusra khamis
cc: Safia Hussein
cc: Zaituni
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Abdillahi
Ali seif
Editors:
Abdillahi Said
Rukaiya vuai
Dereva
Yussuf Khanmis
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH... Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Пікірлер: 23
Mwamba nakuelewa sana muheshimiwa ahmad masood
Nimependa muandishi ulipomrejesha kwenye reli huyo msanii alipotaka kukimbia suala (unenda kwa babu duni?)
Kwanza tuna kushukuru mwa nn dishi wahabar kimwita ijiniya maana huyo sio mwana siyasa kabisa😂
Huna mpango tena
Huyu Hamad kajivunjia heshima haya hana uhalali tena wakuyasema amekwisha....ETI JELA
Uyo hamuungi babu Dunia ila kamsaliti lakini Mungo hamfichi mnafiki
Huna haiba ya kushawishi watu nenda Act wazalendo mfate omo
Hakijafa Kiko mahutut tu
Siasa Bwana Walio Wengi Wanasaka Tonge tu ! iVi hebu Angalia Mfano wa Kweli , Tangu Nizaliwe Sijawai Kusikia Dunia mzima Professor Kawa Rais ,! isipokuwa Inchi Moja tu Uganda Nae Alikuwa Professor Lule Lakini Alitawala Kidogo Sana hakafa , . Tangu Siku iyo Sijawai Kusikia Tena Professor Kawa Rais Mpaka ivi Leo !!
Cuf imekufa na maalim seif amekufa
Rudi Act upate jimbo
Wacha upumbavu Hamad ..Maalim akimsema Shein na Seid Iddi hadharani ...Na alisema anasikitika kumsema Rais wake hadharani lakini ilimbidi afanye hivyo mana alikuwa hasikilizwi...WACHA KUDANGANYA WACHA KUSEMA UONGO.
Mwambie akae tu huko watu wahapigamii chama wanatakiw waungan kupata maendeleo
Huna lolote mzee, sie ndio wa Pemba cuf haipo tena
😂😂😂😂 Haoni haya huyu Mzee
Acha ujinga fata wengi
Ili nirudi cuf lazima lipumba asiwepo
Uyo ni roho wamadaraka tu Hana lolote
2025 inshaallah tutaona uhai wa CUF
Wewe hujawahi kukaa jela ila ulikuwa kibaraka wa CCM sasa ulikuwa unachukuliwa ukapekeke siri na ndio maana ikawa siku zote tunashinda lakini hatutangazwi danganya wasio juwa wewe HAMAD massoud
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Kuwaiti unataka kusema kwamba na marehemu Maalim Seif hakuwahi kushinda?na me unaweza kutueleza kwamba hakuwa anatumiliwa na CCM?
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Na kwasababu muna chuki binafsi na watu waliojitolea kwa nguvu kubwa na kutokujuwa michango yao ktk kuanzisha harakati hizi ndio maana hamufanikiwi na hamutofanikiwa kwa kudharau wengine kwasababu tu ya misimamo Yao!sasa nyie na CCM muna tofauti gani?