ISMAIL JUSSA AFICHUA SIRI -ACT WAZALENDO: UHUSIANO NA CCM,MUUNGANO NA KUMSOMAMISHA ZITTO KABWE 2025

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 37

  • @lusakaone7782
    @lusakaone778224 күн бұрын

    Hongera Mh. Ismail Makamo Mwenyekiti wa ACT wazalendo

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515719 күн бұрын

    Nakupenda Jussa kwa ajili ya ALLAH buure❤❤❤

  • @salyali7807
    @salyali780724 күн бұрын

    Excellent interview

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim24 күн бұрын

    Jussa sisi wazanzibar tunakua hatuchoki kukuskiliza

  • @salyali7807
    @salyali780724 күн бұрын

    Respect mh Jussa ... you are Zanzibarians hero

  • @jovankishamba9424
    @jovankishamba942423 күн бұрын

    Mzee Jusa umeeleweka vizuri sana.

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf167822 күн бұрын

    Hakika wazanzibari tunachotaka ni mamlaka kamili ya Zanzibar sio kuombewa misaada na Tanganyika ndio Zanzibar ijenge barabara, hospitali na maji tunataka Zanzibar tujitegemee wenyewe sio leo mpaka tuombewe na mkoloni Tanganyika.

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k24 күн бұрын

    Naam kaabbisa kabbisa Hatuhitaji ghorofa tunahitaji zanzibar moja zanzibar mpya mamlaka kamili nasio ajira JKU au Kufagia manispaa hapana tunahitaji kujenga zanzibar bandari kua freeport tunahitaji elimu ya juuu tunahitaji sarafu yetu jeshi letu bendera yetu haaaa Ahaaa kabbissa kabisa tunahitaji uhaniaji sawasawa

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous163625 күн бұрын

    Mtangazaji sauti yako kama Ahmed Ally wa simba 😂

  • @salyali7807
    @salyali780724 күн бұрын

    Please mhe tunataka ugombee jimbo la malindi Please Please please

  • @HajjNgwali
    @HajjNgwali24 күн бұрын

    Kinach nifurahisha nikwmb wana shukran kw mam ni jamb zur San

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki14 күн бұрын

    Hongera kiongoz wetu

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515719 күн бұрын

    Kuna haja ya kubadiishwa huu mfumo wa katiba unaosema Rais ndio muwamuzi wa mwisho hili jambo ndio linaowapa kibur marais wa Zanzibar ingewekwa maamuzi ya Raisi wakubaliane na washauri wake enough

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n23 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k24 күн бұрын

    Jamanii huyu anaezuungumza ndio yule alie pigwaaa akavunjwaa vunjwa mbona inaonekanaa anaipenda nchi yakeee ya zanzibar kwanini alipigwa kwanini alifanyiwa yale mbona haonekani kua anakisasi anaonekana anaukunjufu wa moyo wake mtu huyu anapendeza sana mpeni nguvu na umoja huyu mtu pia inaonekana anatetea watu wakeee eti jamaniii

  • @MrKhatibu

    @MrKhatibu

    24 күн бұрын

    Ni mtu makini sana, anajua zipi siasa za jukwaanina zipi siasa za mahojiano na siasa majadiliano. Yupo smart

  • @user-hj4zt1kw4i

    @user-hj4zt1kw4i

    22 күн бұрын

    Huyo bwana ndie Mh Ismail Jussa Ladu aliefunzwa siasa na Maallim akafunzika.

  • @user-su6vt8ev8d

    @user-su6vt8ev8d

    2 күн бұрын

    Akiwekacho Mungu Binaadamu hukiondowi kaza buti Jussa tupo na wewe

  • @user-ze4fk7vq5w
    @user-ze4fk7vq5w6 күн бұрын

    Tupo pamoja na ACT

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga779424 күн бұрын

    Jussa nakupa heshima kwenye muungano, lakini kuhusu zito anaetaka kazi na bata hachaguliki hata kwa sawa. Labda ubunge wa kigoma. Kipindi kigumu tulikipenda kwa sababu wizi wa fedha za Uma, rushwa, matumizi mabaya ya mali za Uma yalipungua sana. Nakubali JPM hakuwa mtume huenda alikosea kwenye mambo ya demokrasia. Lakini Mali za Uma rushwa matumizi mabaya ya mali za Uma, ulinzi wa lasilimali za nchi na wizi wa Mali za Uma alifanya kazi hiyo kwa hali kubwa na kujitoa. Ndio maana watanzania wa ya chini anaowatetea jussa ndio wapenzi wakubwa wa ile hali iliyokuwa ngumu kwa wanasiasa ilikubalika na watanzania walio wengi. Lakini vile vile ndugu yangu jussa ufisadi wa mwinyi nzanzibar hauna tofauti na ufisadi wa Samia kwenye muungano hebu tuwe wakweli ili ufisadi uishe Bara na Visiwani!

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    24 күн бұрын

    Mawazo yako mazuri tena inafaa wote wawe na fikra zinazotokana na wewe maana zinajenga hazibomoi

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l22 күн бұрын

    Sawa jembe mm nikimuona jussa naona km maalim seif

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    21 күн бұрын

    Kweli kabbissa kkabbisa

  • @user-su6vt8ev8d
    @user-su6vt8ev8d2 күн бұрын

    Sawa Makamo

  • @KhalidAli-nk5qh
    @KhalidAli-nk5qh24 күн бұрын

    Jussa uwemwema kwenye maongezi uwe na hikma busara

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything22 күн бұрын

    ✌️👍👊.

  • @alijuma8009
    @alijuma800924 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @fahadabdalla8194
    @fahadabdalla819416 күн бұрын

    Uraaaaa

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim977323 күн бұрын

    😮 SADAQTA 😢

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli336523 күн бұрын

    Zito haaminiki ndumilakuwili

  • @yayananajota5838
    @yayananajota583824 күн бұрын

    Ufisadi upo ndani ya familia,

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515719 күн бұрын

    MARAISI WA MUUNGANO BAADO WANAFUWATA MILA NA ITIKADI ZILEZILE ZA DR NYERERE

  • @salyali7807

    @salyali7807

    14 күн бұрын

    Umekusudia mchonga meno nyerere sio dr.

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j24 күн бұрын

    Elewa neno mwana-siasa, aongelei uhasilia eti serikali ya ubadhiribu na ufisadi tema mate chini ww, miradi ya viwanja vya ndege na bandari inaendelea bila kusita huo ndio ufisadi, mufilisi wa sera kichwani jussa...

  • @bakarsuleiman3989

    @bakarsuleiman3989

    24 күн бұрын

    Ww una wazimu kijana hujui unacholiongea wizi umekithiri kwa mgongo wa maghorofa wananchi walipa kodi ni maskini pesa zinapigwa

  • @nassorseif7907

    @nassorseif7907

    23 күн бұрын

    Muheshimiwa mutashinda vp 2025 wakati Mwinyi kakataa kubadilisha muundo wa Tume ya uchaguzi na wo wanategemea huko kubadilisha matokeo au kufuta kabisa matokeo mmejipanga vp na hili mkurengezi mpk saiv ni yule yulemuaji Faina kuraya mapema sheria haijabadilishwa baraza la wawakilishi vp unaaminisha watu ushindi wa 2925 muheshimiwa??

  • @cath-ef7wd

    @cath-ef7wd

    20 күн бұрын

    Wewe matako

Келесі