Hotuba ya JUSSA leo Wete kwenye mkutano wa ACT Wazalendo Pemba, Rais Mwinyi apewa makavu
Жүктеу.....
Пікірлер: 57
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
Ameen Ya Rabi Allameen In Shaa Allah ❤❤❤❤❤❤
@omarmohammed5157 Жыл бұрын
Mimi Naendelekea kukupendeni sana wana Act hakika nyinyi ni vipemzi vyetu na tutaendelea kuwapenda lakn nawashaur sana,hio wao kujenga ni jambo la kawaida sana teina sana, na hilo ni jukumu lao sisi tunachotaka ni wazanzibar ni haki ya wazanzibar na zanzibar yeye mamlaka kimil na yenye kujitegemea sio kufanywa mseto kama vile hatuna kwetu
@SuLeimanHusseinShehe11 ай бұрын
Rais Samia anafanya vizuri sana Pongezi ziende kwake.
@ramadhanmussa673 Жыл бұрын
Ccm kishAaaaaa
@MustaphyAbass-mv8hw Жыл бұрын
Sisi wapemba unguja wanajitahidi kujenga ila kimya kimya ila uku pemba wakiondoa jiwe njian bx wataonesh ktk mitandao yote ivi lini tutakuw n cw n wngine
@user-lr6qx9df4z3 ай бұрын
Kwa mtazamo wangu wana siasa hawana tofauti na wasanii ni usanii tu hakuna lolote leo hii huyu anaeongea hivi umpe yy nchi ni yale yale tu hakuna jipya litakalo fanyika ni usanii tu wa kisiasa
@ahmedhamdan8526 Жыл бұрын
Safi bro jussa ❤
@user-tl7vy6rt3g Жыл бұрын
waambie ukweli majambazi wasio kua na haya
@saidnassormohammed9589 Жыл бұрын
Tunalijua hilo km ndio tulionzisha mabadiliko
@HamidaHamad-rj5wq Жыл бұрын
Siasa bwana
@RVSONLINETV Жыл бұрын
Salama alaikum ivi nyinyi mukichukua kazi kwenye acount zetu bila ya kutuambia huwa munasikiaje.
@WeyaniTvonline
Жыл бұрын
Waalyakum Salaam warahmatullah. Hizi tumechukua akaunti ya ACT Wazalendo. So tuna imani ni ya chama hivyo ni mali ya umma inahitaji kuchapishwa na yoyote. Lakini kama Hiyo nembo ya ACT ni ya mtu binafsi, basi tunaomba radhi tulielewa vibaya. Na tutaziacha hatutachapisha tena. Tulidha ni mali ya ACT maana inasema ni Official akaunti ya ACT.
@yussufabdalla-hc4ok
Ай бұрын
@@WeyaniTvonlinei
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Hamna hata watu wengi ni kutaka ruzuku tu
@w4058
9 ай бұрын
Wewe margareth wacha kujicho cha nzi hasidi mmoja kwani ruzuku unatowa wewe peke yako usiwape badi looo roho mbaya tu
@Jal210 Жыл бұрын
Mwinyi kaendeleza Zanzibar acheni majungu
@suleimanbadru819
Жыл бұрын
Upo zbar au uko Ngarenaro hivi una hoja na unacgokiamini
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
@ulimlima5027. Wajarumani na Waingereza wote walileta Maendeleo Tanganyika. Lakini kwa nini walikataliwa na Watanganyika?
@kassim1262
3 ай бұрын
Njoo utuonyeshe ayo maendeleo nacc bc tuyaone
@Jal210
3 ай бұрын
@@kassim1262 vipi mimi nikuoneshe wewe huoni ?
@yyyyyy4144 Жыл бұрын
sema ukweli vijana wa.kuzanzibar washazoea.maisha ya vijiweni maskani kazi hawataki kazi zote huko zanzibar wanafanya.wabara vijana wa.kizanzibar wao ni siasa tu hakuna mwanasiasa atakupa maisha zaidi.kujituma mwenyewe
@AbasMchemba
Жыл бұрын
Nyie wbara ndio cheep laber kazi ya kuchimba mashimo ya choo mitter mbili mnachimba kwa elfu thalathini wakati bei yake ni laki tatu sisi wazanzibar elfu thalasini hatuchimbi ata mkituwekea bunduki ya shingo sisi waarabu bwana
@suleimanbadru819
Жыл бұрын
Wazanzibari hawawezi kazi za kitWana
@kassim1262
Жыл бұрын
Tatizo lenu watanganyika bado hamja shtuka mkitajiwa nano elfu kumi tu bc upo tayari kumuua mwenzako lakin elfu kumi usiikose ss vijana wznzbar htuko ivo ndio maana nyinyi munaletwa znzbr kazi yaelfu 20,munafanyishwa kwaelfu 7 wtu wanachukua pesa kupitia migongo yenu wajinga nyinyi iv kama hatutaki kazi dada zenu wanalishwa nanani huku znzbr nyinyi mushajitolea kua punda acheni ulimbukeni washamba nyinyi
@thanimosi8906 Жыл бұрын
Jussa tatzo lako huna mke ndo mana kla siku unaongea udaku tuambie mwaka wewe ulosema ccm imetoa Rais bora na alofanya mema yakakufuraisha ww na wafuasi wako Dr Hussein Mwinyi amekukamateni ndipo hamna la kuja kusema 2025 ndo mana mmeanza kubeza Miradi ya Serikali
@draaonline7923
Жыл бұрын
Weye mwenye mke tuambie CCM mwaka gani walifanya vizuri
@AbasMchemba
Жыл бұрын
Bi mkubwa wako si Yuko free saiv bass mcomves jamaa nae Yuko free uto!!!
@salahaljahury2907
Жыл бұрын
Nyie ccm tatizo ni mashoga hatutaki muungano mbwa nyie
@kassim1262
Жыл бұрын
Kinachofanyika ktk nchi co pongezi kwachama bali niwajibu wakiongozi kufanya kwasababu wananchi tunalipia kodi hakuna ccm anaetoa pesa zake kujenga miradi tatizo lako hujajitambua ndio maana unahic ccm ndio wanaojenga miradi, ccm wamejenga maduka yadarajani souk mali yao ipongeze ccm lakin sio miradi yakodi zetu hatuwezi kuipongeza ccm pimbi we...
@kassim1262
3 ай бұрын
Kuuwa nakuiba kura kila baada yamiaka mitano ndio ubora 😅😅😅vp ww mwenye mke mkewakoo hajamboo
@Jal210 Жыл бұрын
Acha kutapika upuuzi
@thedon8467
Жыл бұрын
Acha ufala
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Huko ndio kwenu sasa tambeni ila sio Kwa Zanzibar
@saheedali7467
Жыл бұрын
Kwani nini maana ya zanzibar ndugu yangu?
@saheedali7467
Жыл бұрын
Hapo paitwa pemba na huko kwenu kwaitwa unguja babu weye kama hujasoma
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@saheedali7467 Zamani kulikuwa kuna chama kinaitwa ZPPP unajua maana yake hiyo?
@salyali7807
Жыл бұрын
Musipate tabu kumjibu Rajab..sio mzanzibari kwahivyo hajui nini zanzibar kaletwa hapa znz anapewa njugu kwake ni kitu kikubwa
@nailamohd7693
Жыл бұрын
@@salyali7807 😂😂
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Tupo Wapemba twakusikiliza Ammy na mipasho yako ,maana wewe ndio uliochaguliwa maalum kwa kupasha watu,coz hauna cha kuzungumza watu wakakuelewa ,maana kila kitu unapinga
Kwahiyo report ya CAG ni mipasho! Kweli wewe jina lako ni MSINZIA . Endelea kusinzia kifikra .
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@jambo3751Ripoti ya mkaguzi wa serikali kama sio Hussein Mwinyi kuanzisha utaratibu wa kusomwa live angepata wapi hoja?kwanz anatakiwa ampongeze Mr President kwa kuleta utaratibu huu wa utawala bora,maana huko nyuma hata huyo Mkaguzi wa Serikali alikuwa hajulikani..Mtu mzima mwanamme ana mipasho utafikiri mtoto wa kike
@omarmohammed5157
Жыл бұрын
@rajab msinzia ,Leo munaweka wazi kwasabab watu washakuwa macho,na uzur zaid hayo munayizungumza sio yte kama yapo kwenye uhalisia na ubaya zaid hata ukimuona Mtu anaweka uchafu hadhanaran ujuwe hana pakikimbilia ndio maana anaweka wazi hizo report
@jambo3751
Жыл бұрын
@@rajabmsinzia1715 Naona hujanijibu Nimekuuliza report ya CAG ni mipasho? Kwasababu Jusa ndio aliyoinukuu. Halafu unasema ashukuriwe Rais kwa kuweka wazi report ya CAG! Kwanza hizo serikali zote zilizopita ziliongozwa na Chama gani? Pili Wewe fikra zako ni kuwa haki za wananchi katika nchi yao ni ihisani (favor) sio wajibu wa serikali?
Пікірлер: 57
Ameen Ya Rabi Allameen In Shaa Allah ❤❤❤❤❤❤
Mimi Naendelekea kukupendeni sana wana Act hakika nyinyi ni vipemzi vyetu na tutaendelea kuwapenda lakn nawashaur sana,hio wao kujenga ni jambo la kawaida sana teina sana, na hilo ni jukumu lao sisi tunachotaka ni wazanzibar ni haki ya wazanzibar na zanzibar yeye mamlaka kimil na yenye kujitegemea sio kufanywa mseto kama vile hatuna kwetu
Rais Samia anafanya vizuri sana Pongezi ziende kwake.
Ccm kishAaaaaa
Sisi wapemba unguja wanajitahidi kujenga ila kimya kimya ila uku pemba wakiondoa jiwe njian bx wataonesh ktk mitandao yote ivi lini tutakuw n cw n wngine
Kwa mtazamo wangu wana siasa hawana tofauti na wasanii ni usanii tu hakuna lolote leo hii huyu anaeongea hivi umpe yy nchi ni yale yale tu hakuna jipya litakalo fanyika ni usanii tu wa kisiasa
Safi bro jussa ❤
waambie ukweli majambazi wasio kua na haya
Tunalijua hilo km ndio tulionzisha mabadiliko
Siasa bwana
Salama alaikum ivi nyinyi mukichukua kazi kwenye acount zetu bila ya kutuambia huwa munasikiaje.
@WeyaniTvonline
Жыл бұрын
Waalyakum Salaam warahmatullah. Hizi tumechukua akaunti ya ACT Wazalendo. So tuna imani ni ya chama hivyo ni mali ya umma inahitaji kuchapishwa na yoyote. Lakini kama Hiyo nembo ya ACT ni ya mtu binafsi, basi tunaomba radhi tulielewa vibaya. Na tutaziacha hatutachapisha tena. Tulidha ni mali ya ACT maana inasema ni Official akaunti ya ACT.
@yussufabdalla-hc4ok
Ай бұрын
@@WeyaniTvonlinei
Hamna hata watu wengi ni kutaka ruzuku tu
@w4058
9 ай бұрын
Wewe margareth wacha kujicho cha nzi hasidi mmoja kwani ruzuku unatowa wewe peke yako usiwape badi looo roho mbaya tu
Mwinyi kaendeleza Zanzibar acheni majungu
@suleimanbadru819
Жыл бұрын
Upo zbar au uko Ngarenaro hivi una hoja na unacgokiamini
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
@ulimlima5027. Wajarumani na Waingereza wote walileta Maendeleo Tanganyika. Lakini kwa nini walikataliwa na Watanganyika?
@kassim1262
3 ай бұрын
Njoo utuonyeshe ayo maendeleo nacc bc tuyaone
@Jal210
3 ай бұрын
@@kassim1262 vipi mimi nikuoneshe wewe huoni ?
sema ukweli vijana wa.kuzanzibar washazoea.maisha ya vijiweni maskani kazi hawataki kazi zote huko zanzibar wanafanya.wabara vijana wa.kizanzibar wao ni siasa tu hakuna mwanasiasa atakupa maisha zaidi.kujituma mwenyewe
@AbasMchemba
Жыл бұрын
Nyie wbara ndio cheep laber kazi ya kuchimba mashimo ya choo mitter mbili mnachimba kwa elfu thalathini wakati bei yake ni laki tatu sisi wazanzibar elfu thalasini hatuchimbi ata mkituwekea bunduki ya shingo sisi waarabu bwana
@suleimanbadru819
Жыл бұрын
Wazanzibari hawawezi kazi za kitWana
@kassim1262
Жыл бұрын
Tatizo lenu watanganyika bado hamja shtuka mkitajiwa nano elfu kumi tu bc upo tayari kumuua mwenzako lakin elfu kumi usiikose ss vijana wznzbar htuko ivo ndio maana nyinyi munaletwa znzbr kazi yaelfu 20,munafanyishwa kwaelfu 7 wtu wanachukua pesa kupitia migongo yenu wajinga nyinyi iv kama hatutaki kazi dada zenu wanalishwa nanani huku znzbr nyinyi mushajitolea kua punda acheni ulimbukeni washamba nyinyi
Jussa tatzo lako huna mke ndo mana kla siku unaongea udaku tuambie mwaka wewe ulosema ccm imetoa Rais bora na alofanya mema yakakufuraisha ww na wafuasi wako Dr Hussein Mwinyi amekukamateni ndipo hamna la kuja kusema 2025 ndo mana mmeanza kubeza Miradi ya Serikali
@draaonline7923
Жыл бұрын
Weye mwenye mke tuambie CCM mwaka gani walifanya vizuri
@AbasMchemba
Жыл бұрын
Bi mkubwa wako si Yuko free saiv bass mcomves jamaa nae Yuko free uto!!!
@salahaljahury2907
Жыл бұрын
Nyie ccm tatizo ni mashoga hatutaki muungano mbwa nyie
@kassim1262
Жыл бұрын
Kinachofanyika ktk nchi co pongezi kwachama bali niwajibu wakiongozi kufanya kwasababu wananchi tunalipia kodi hakuna ccm anaetoa pesa zake kujenga miradi tatizo lako hujajitambua ndio maana unahic ccm ndio wanaojenga miradi, ccm wamejenga maduka yadarajani souk mali yao ipongeze ccm lakin sio miradi yakodi zetu hatuwezi kuipongeza ccm pimbi we...
@kassim1262
3 ай бұрын
Kuuwa nakuiba kura kila baada yamiaka mitano ndio ubora 😅😅😅vp ww mwenye mke mkewakoo hajamboo
Acha kutapika upuuzi
@thedon8467
Жыл бұрын
Acha ufala
Huko ndio kwenu sasa tambeni ila sio Kwa Zanzibar
@saheedali7467
Жыл бұрын
Kwani nini maana ya zanzibar ndugu yangu?
@saheedali7467
Жыл бұрын
Hapo paitwa pemba na huko kwenu kwaitwa unguja babu weye kama hujasoma
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@saheedali7467 Zamani kulikuwa kuna chama kinaitwa ZPPP unajua maana yake hiyo?
@salyali7807
Жыл бұрын
Musipate tabu kumjibu Rajab..sio mzanzibari kwahivyo hajui nini zanzibar kaletwa hapa znz anapewa njugu kwake ni kitu kikubwa
@nailamohd7693
Жыл бұрын
@@salyali7807 😂😂
Tupo Wapemba twakusikiliza Ammy na mipasho yako ,maana wewe ndio uliochaguliwa maalum kwa kupasha watu,coz hauna cha kuzungumza watu wakakuelewa ,maana kila kitu unapinga
@salmasalim6055
Жыл бұрын
Kakojowe ukalale wewe wacha upuuzi wako nyoooo😏utakufa na chuki zako loool
@jambo3751
Жыл бұрын
Kwahiyo report ya CAG ni mipasho! Kweli wewe jina lako ni MSINZIA . Endelea kusinzia kifikra .
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@jambo3751Ripoti ya mkaguzi wa serikali kama sio Hussein Mwinyi kuanzisha utaratibu wa kusomwa live angepata wapi hoja?kwanz anatakiwa ampongeze Mr President kwa kuleta utaratibu huu wa utawala bora,maana huko nyuma hata huyo Mkaguzi wa Serikali alikuwa hajulikani..Mtu mzima mwanamme ana mipasho utafikiri mtoto wa kike
@omarmohammed5157
Жыл бұрын
@rajab msinzia ,Leo munaweka wazi kwasabab watu washakuwa macho,na uzur zaid hayo munayizungumza sio yte kama yapo kwenye uhalisia na ubaya zaid hata ukimuona Mtu anaweka uchafu hadhanaran ujuwe hana pakikimbilia ndio maana anaweka wazi hizo report
@jambo3751
Жыл бұрын
@@rajabmsinzia1715 Naona hujanijibu Nimekuuliza report ya CAG ni mipasho? Kwasababu Jusa ndio aliyoinukuu. Halafu unasema ashukuriwe Rais kwa kuweka wazi report ya CAG! Kwanza hizo serikali zote zilizopita ziliongozwa na Chama gani? Pili Wewe fikra zako ni kuwa haki za wananchi katika nchi yao ni ihisani (favor) sio wajibu wa serikali?