Hotuba ya JUSSA leo Wete kwenye mkutano wa ACT Wazalendo Pemba, Rais Mwinyi apewa makavu

Пікірлер: 57

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын

    Ameen Ya Rabi Allameen In Shaa Allah ❤❤❤❤❤❤

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Жыл бұрын

    Mimi Naendelekea kukupendeni sana wana Act hakika nyinyi ni vipemzi vyetu na tutaendelea kuwapenda lakn nawashaur sana,hio wao kujenga ni jambo la kawaida sana teina sana, na hilo ni jukumu lao sisi tunachotaka ni wazanzibar ni haki ya wazanzibar na zanzibar yeye mamlaka kimil na yenye kujitegemea sio kufanywa mseto kama vile hatuna kwetu

  • @SuLeimanHusseinShehe
    @SuLeimanHusseinShehe11 ай бұрын

    Rais Samia anafanya vizuri sana Pongezi ziende kwake.

  • @ramadhanmussa673
    @ramadhanmussa673 Жыл бұрын

    Ccm kishAaaaaa

  • @MustaphyAbass-mv8hw
    @MustaphyAbass-mv8hw Жыл бұрын

    Sisi wapemba unguja wanajitahidi kujenga ila kimya kimya ila uku pemba wakiondoa jiwe njian bx wataonesh ktk mitandao yote ivi lini tutakuw n cw n wngine

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z3 ай бұрын

    Kwa mtazamo wangu wana siasa hawana tofauti na wasanii ni usanii tu hakuna lolote leo hii huyu anaeongea hivi umpe yy nchi ni yale yale tu hakuna jipya litakalo fanyika ni usanii tu wa kisiasa

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Жыл бұрын

    Safi bro jussa ❤

  • @user-tl7vy6rt3g
    @user-tl7vy6rt3g Жыл бұрын

    waambie ukweli majambazi wasio kua na haya

  • @saidnassormohammed9589
    @saidnassormohammed9589 Жыл бұрын

    Tunalijua hilo km ndio tulionzisha mabadiliko

  • @HamidaHamad-rj5wq
    @HamidaHamad-rj5wq Жыл бұрын

    Siasa bwana

  • @RVSONLINETV
    @RVSONLINETV Жыл бұрын

    Salama alaikum ivi nyinyi mukichukua kazi kwenye acount zetu bila ya kutuambia huwa munasikiaje.

  • @WeyaniTvonline

    @WeyaniTvonline

    Жыл бұрын

    Waalyakum Salaam warahmatullah. Hizi tumechukua akaunti ya ACT Wazalendo. So tuna imani ni ya chama hivyo ni mali ya umma inahitaji kuchapishwa na yoyote. Lakini kama Hiyo nembo ya ACT ni ya mtu binafsi, basi tunaomba radhi tulielewa vibaya. Na tutaziacha hatutachapisha tena. Tulidha ni mali ya ACT maana inasema ni Official akaunti ya ACT.

  • @yussufabdalla-hc4ok

    @yussufabdalla-hc4ok

    Ай бұрын

    ​@@WeyaniTvonlinei

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Hamna hata watu wengi ni kutaka ruzuku tu

  • @w4058

    @w4058

    9 ай бұрын

    Wewe margareth wacha kujicho cha nzi hasidi mmoja kwani ruzuku unatowa wewe peke yako usiwape badi looo roho mbaya tu

  • @Jal210
    @Jal210 Жыл бұрын

    Mwinyi kaendeleza Zanzibar acheni majungu

  • @suleimanbadru819

    @suleimanbadru819

    Жыл бұрын

    Upo zbar au uko Ngarenaro hivi una hoja na unacgokiamini

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    @ulimlima5027. Wajarumani na Waingereza wote walileta Maendeleo Tanganyika. Lakini kwa nini walikataliwa na Watanganyika?

  • @kassim1262

    @kassim1262

    3 ай бұрын

    Njoo utuonyeshe ayo maendeleo nacc bc tuyaone

  • @Jal210

    @Jal210

    3 ай бұрын

    @@kassim1262 vipi mimi nikuoneshe wewe huoni ?

  • @yyyyyy4144
    @yyyyyy4144 Жыл бұрын

    sema ukweli vijana wa.kuzanzibar washazoea.maisha ya vijiweni maskani kazi hawataki kazi zote huko zanzibar wanafanya.wabara vijana wa.kizanzibar wao ni siasa tu hakuna mwanasiasa atakupa maisha zaidi.kujituma mwenyewe

  • @AbasMchemba

    @AbasMchemba

    Жыл бұрын

    Nyie wbara ndio cheep laber kazi ya kuchimba mashimo ya choo mitter mbili mnachimba kwa elfu thalathini wakati bei yake ni laki tatu sisi wazanzibar elfu thalasini hatuchimbi ata mkituwekea bunduki ya shingo sisi waarabu bwana

  • @suleimanbadru819

    @suleimanbadru819

    Жыл бұрын

    Wazanzibari hawawezi kazi za kitWana

  • @kassim1262

    @kassim1262

    Жыл бұрын

    Tatizo lenu watanganyika bado hamja shtuka mkitajiwa nano elfu kumi tu bc upo tayari kumuua mwenzako lakin elfu kumi usiikose ss vijana wznzbar htuko ivo ndio maana nyinyi munaletwa znzbr kazi yaelfu 20,munafanyishwa kwaelfu 7 wtu wanachukua pesa kupitia migongo yenu wajinga nyinyi iv kama hatutaki kazi dada zenu wanalishwa nanani huku znzbr nyinyi mushajitolea kua punda acheni ulimbukeni washamba nyinyi

  • @thanimosi8906
    @thanimosi8906 Жыл бұрын

    Jussa tatzo lako huna mke ndo mana kla siku unaongea udaku tuambie mwaka wewe ulosema ccm imetoa Rais bora na alofanya mema yakakufuraisha ww na wafuasi wako Dr Hussein Mwinyi amekukamateni ndipo hamna la kuja kusema 2025 ndo mana mmeanza kubeza Miradi ya Serikali

  • @draaonline7923

    @draaonline7923

    Жыл бұрын

    Weye mwenye mke tuambie CCM mwaka gani walifanya vizuri

  • @AbasMchemba

    @AbasMchemba

    Жыл бұрын

    Bi mkubwa wako si Yuko free saiv bass mcomves jamaa nae Yuko free uto!!!

  • @salahaljahury2907

    @salahaljahury2907

    Жыл бұрын

    Nyie ccm tatizo ni mashoga hatutaki muungano mbwa nyie

  • @kassim1262

    @kassim1262

    Жыл бұрын

    Kinachofanyika ktk nchi co pongezi kwachama bali niwajibu wakiongozi kufanya kwasababu wananchi tunalipia kodi hakuna ccm anaetoa pesa zake kujenga miradi tatizo lako hujajitambua ndio maana unahic ccm ndio wanaojenga miradi, ccm wamejenga maduka yadarajani souk mali yao ipongeze ccm lakin sio miradi yakodi zetu hatuwezi kuipongeza ccm pimbi we...

  • @kassim1262

    @kassim1262

    3 ай бұрын

    Kuuwa nakuiba kura kila baada yamiaka mitano ndio ubora 😅😅😅vp ww mwenye mke mkewakoo hajamboo

  • @Jal210
    @Jal210 Жыл бұрын

    Acha kutapika upuuzi

  • @thedon8467

    @thedon8467

    Жыл бұрын

    Acha ufala

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Huko ndio kwenu sasa tambeni ila sio Kwa Zanzibar

  • @saheedali7467

    @saheedali7467

    Жыл бұрын

    Kwani nini maana ya zanzibar ndugu yangu?

  • @saheedali7467

    @saheedali7467

    Жыл бұрын

    Hapo paitwa pemba na huko kwenu kwaitwa unguja babu weye kama hujasoma

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@saheedali7467 Zamani kulikuwa kuna chama kinaitwa ZPPP unajua maana yake hiyo?

  • @salyali7807

    @salyali7807

    Жыл бұрын

    Musipate tabu kumjibu Rajab..sio mzanzibari kwahivyo hajui nini zanzibar kaletwa hapa znz anapewa njugu kwake ni kitu kikubwa

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    Жыл бұрын

    ​@@salyali7807 😂😂

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Tupo Wapemba twakusikiliza Ammy na mipasho yako ,maana wewe ndio uliochaguliwa maalum kwa kupasha watu,coz hauna cha kuzungumza watu wakakuelewa ,maana kila kitu unapinga

  • @salmasalim6055

    @salmasalim6055

    Жыл бұрын

    Kakojowe ukalale wewe wacha upuuzi wako nyoooo😏utakufa na chuki zako loool

  • @jambo3751

    @jambo3751

    Жыл бұрын

    Kwahiyo report ya CAG ni mipasho! Kweli wewe jina lako ni MSINZIA . Endelea kusinzia kifikra .

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@jambo3751Ripoti ya mkaguzi wa serikali kama sio Hussein Mwinyi kuanzisha utaratibu wa kusomwa live angepata wapi hoja?kwanz anatakiwa ampongeze Mr President kwa kuleta utaratibu huu wa utawala bora,maana huko nyuma hata huyo Mkaguzi wa Serikali alikuwa hajulikani..Mtu mzima mwanamme ana mipasho utafikiri mtoto wa kike

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    Жыл бұрын

    ​@rajab msinzia ,Leo munaweka wazi kwasabab watu washakuwa macho,na uzur zaid hayo munayizungumza sio yte kama yapo kwenye uhalisia na ubaya zaid hata ukimuona Mtu anaweka uchafu hadhanaran ujuwe hana pakikimbilia ndio maana anaweka wazi hizo report

  • @jambo3751

    @jambo3751

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 Naona hujanijibu Nimekuuliza report ya CAG ni mipasho? Kwasababu Jusa ndio aliyoinukuu. Halafu unasema ashukuriwe Rais kwa kuweka wazi report ya CAG! Kwanza hizo serikali zote zilizopita ziliongozwa na Chama gani? Pili Wewe fikra zako ni kuwa haki za wananchi katika nchi yao ni ihisani (favor) sio wajibu wa serikali?