Mansoor atowa hotuba ya kihistoria Alabama
Ойын-сауық
Meneja Kampeni wa mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Mansoor Yussuf Himid, ametoa hotuba yenye hisia kali sana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Alabama, Mjini Unguja, siku ya Jumamosi ya tarehe 19 Septemba 2020.
Пікірлер: 291
Tumekuwelewa mh mansour yussuf himidi hakika ww mzalendo wahaki kwa nch yko.kwaaliye kufahamu bc hakika kakufahamu ila kwawale walokuwa wazito kukuelewa bc dar hata ashuke swahaba bc itakuwangumu kukuelewa mungu akupe maisha marefu yenye khery nawe,,
@amneothman3414
3 жыл бұрын
Amiin
@mtufulan9997
3 жыл бұрын
Amiin
@professamuddy5407
3 жыл бұрын
Mwambaaaaaaa mansoooooour. Muda mwingi watu hawajasikia saut yakoo!! Tupe vitu mkuu! Jembe la rezeev hiloo!! Hongera baabaa!!
Haki yako upewe mheshimiwa mansour yussuf himid ww unajuwa kuzungumza na ukaeleweka mm niko pamoja na ww aliyekuwa pamoja na mansour like hapa chini km m👇
Kamanda ukovizuri Allah atunusuri na walewote wasioitakia Uhuru na kheri ya Zanzibar tunakuomba Allah uwaongoze nakama hawataki kuongoka nalengolawa likawa kutugawa tunakuomba ya Rabbi waangamize amina inshallah, tunaumia yarabi wanazuoniwetu wananyanyaswa tunusuru ya rabbi nahao mazalimu amiin ya Allah ( ya Allah all our whope is on you.)
I love you my dear bro carry on Mansour Yussuf Himid nakupenda sana kaka yangu mpenzi nimeweka Imani kwako😀😃😄😁😆🤩😍🤗😂🤣😭🤩😍😏🛀🧘🧖🛌🧘🍁🌱🌿🍃🍐🍇🍅🍅🚲🏍️🚗⚓🚑🎑🎊🎄🎃🎄🎄💿🖥️⌨️💴🇦🇽🇦🇲🇦🇶🇧🇼🇧🇹🇧🇳🇧🇿🇧🇼🇸🇦🇹🇿.
Mansuriiiiii.....Safi Sana Zanzibar ya zambarau inapendeza sana
Mzee tumesha muhifadhi mungu amuweke pema mansoor wewe unatufaa sana
Mansoor hujawahi kuniangusha.. Allah azidi kuwapa afya
Mimi ni mkenya lakini huyu mzee maalim Seif atabadilisha Zanzibar.
Inshaa Allah mungu awaongoze kwa kila jambo wa zanzibar mkibalika nyinyi huko visiwani ili misukule ya bala nayo ifunguke akili maana huku ikipewa elfu5 ya kukusanyika kwenye mikutano inafurah kubebwa kwenye miroli
Mh..mansour ni rais ajae inshaallah
Hongera ACTWAZALENDO.
Baraka in sha Allah ACT ndio ukomboz wet na Allah amfkshe ikulu jemedar wet 🙏🏻 act 🥰🥰kutok moyon
Mmmh! Lipumba anajipimaje na Taasis Maalim Seif, yaani hapa kwa umati huu lzm ajilaumu kwa kuvunja daraja muhimu akifikiri atavuka ng'ambo..Daraja la ccm na cuf limeshindwa kumvusha na kung'aarisha, hakika usaliti ni dhambi kubwa inamtafuna, inampausha 🏃♂️🏃♂️
@asharamadan3254
3 жыл бұрын
Nawaambiya mansoor na amani karume ndio waliodhulumu ardhi watu hapa Zanzibar wezi wakubwa wa ardhi
Good jobs speaking up my.brothe masuri. About freedom people zanzibar 👍
Huyu mansour akiondoka maalim anafaa kugombania yeye Mashallah anauchung na Znz😚😍
Tanganyika Mwachieni Mzanzibar nchi yake musimwamlie aamua yeye Maana anaijua historia yake vzr
Wazanzibari tumechoka ccm hatuitaki kabisa zanzibar na muungano wao na ufe kabisa
@zuzubehanafi4892
3 жыл бұрын
AKina Kadafi Saadati Burgiba Sadam Mubaraka Nyerere Mkapa .... Michombero SaidBari Polport.... ( ).?
@musafaki1253
3 жыл бұрын
kwel kbsa
@teddyoscar6876
3 жыл бұрын
Tatizo nyie mnakosea kwa nini msianzishe chama chenu tu wanzanzibari peke yenu bila kuungana na bara ndio mkadai muungano uvunjike, na mpigane haswa vita hapo ndio itakua sawa nchi hiyo ni ya mapinduzi hivi hivi haiwezekani hampati nchi, jipangeni kihivyo chama cha wanzanzibari wote sema tatizo nyie wenyewe mmegawana kati ya wapemba na waunguja sasa hapo ndio tatizo.
@hajihassan5433
3 жыл бұрын
@@teddyoscar6876 Umesema KWELI. Vyama vya siasa ndio tatizo vyenyewe ni Muungano. Wagombea wote wamechaguliwa Bara. Hivi sasa Tume ya ZEC imekabidhiwa Bara na matokeo wanayo mifukoni hivi sasa. Jana wamekata Wagombea 11 maana yake Majimbo 11.
@asharamadan3254
3 жыл бұрын
Mwamtumu asiwasemee wazanzibar miye piya mzanzibar naipenda ccm tumepinduwa
tumuombeni mungu atulinde na kila aina ya mabaya yatakayo kuja baada ya uchaguzi.Amiiiiin.
@mtufulan9997
3 жыл бұрын
Amiin
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Amiin. Na pia tumuombe wa kheri anayemuona yy amueke mana wote madhalimu. Unaeza kumpenda mtu ukataka akae kumbe akawa afiriti minal jinni na unaeza kumchukia aliyekuepo kumbe akawa na afadhali kuliko atakayekuja. Allah pekee ndie ajualo la mbele muhimu dua. Mana nchi ngapi za kiisilam zinautawala wakiisilam lkn matendo yakifirauni. Viongozi na raia wamemsahau Mungu kwa tamaa na kushughulishwa na dunia.
Ijapokua mikutano yoote ya ACT hamutuekei live lkn huvyo hivyo tunaifatilia na Mara hii ccm tunaiangusha chini chini chin kabisa act oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@hajihassan5433
3 жыл бұрын
Usiseme CUF iliitangazia kifo CCM wamekufa wao!
Huyu ndie mzalendo 💪
Tunakupenda mansuri unajua
Allah ndo mjuzi wa kila kitu na inshallah mungu atalete haki katika uchaguzi huu na atatuondolea madhalim amiiiin
Ndugu yangu mashallah mungu hatakulipa kwa kuwateteya mashekhe
Nikweli unayo zungumza nyumba ya maalim Seif jadida wete twaingiya tukitoka hakuna bulgad
Hongereni weyani tv kwa habari zenu
Kumamae mwaka huu bora tufe sote nasema tena bora tufe lkn kila atakaecheza na hisia zetu tutadili nae
Yaani washatutesa sana hao Miccm na nchi akiipata Maalim seif Ondosha woote hao wanafik
@fatmaramadhan6919
3 жыл бұрын
Mnafik mamaak na baba ako na nd atakao o doshawa
@ishqmeinmarjawan1048
3 жыл бұрын
@@fatmaramadhan6919 ushaolewa wew malaya
Mansuri Kiongozi mrithi ww
Hongera kwa hotuba nzuri
Wananchi hatutakiwi kuiogopa serikali..bali serikali ituogope sisi wananchi!!
Mimi ni mbara lakini seif nampenda sana kwa hekma zake na uvumirivu wake kisiasa namfuatiria sana kisiasa alipo nami nipo
Mansour sababu ya kusema Mapinduzii ni kwamba wazazi wake walipindua, Mapindux daima lakin Chama Chama Mapinduzi kiondoke
H ha ha nimecheeka apo mansour aluposem et maalim.kachokaa imetok saut kachoka Baba akee😂😂😂😂😂😂😂dah maalim mpenz wa watu jmn😘😘😍😋😘😙lup u maalim Seif
Mapinduzi daima Mheshimiwa Mansour usipendelee sana kusema maana yaliofanyika sio mazuri unaweza kuhutubia ufasaha bila kurejea mapinduzi maana walidhulumiwa sana haifai
@saidhamad5294
3 жыл бұрын
Kweli Ukhty
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Ndio ujue km wote madhalim wanazungusha vichwa watu nia zao nikujaza matumbo yao
CCM oyeeeeee; mapinduziiii daimaaaa
@davidmwakipesile4677
3 жыл бұрын
Ccm mwaka huu chali! Yaani kifo cha mende
Kweli mkuu wangu ccm siku moja ya Mungu itaondoka tu madarakani
Masoour.yusff.himidi.ww.ndie.mridhi.wa.malim.selfu.unatufaa.jembe.letu
Pole mansur kwa kuumia
Nyinyi wanzanzibari muko na percentage kubwa sana ya kueza kujitenga kutoka bara kuliko mombasa lakini mpaka muamue na mutoe uoga kwa lolote litajalo tokea.
@jamilambarouk4746
3 жыл бұрын
Tujitenge Kwan tuna shida gani unafkiri
Akiondoka maalim seif kamata kiti mkuu
Mulikua na CUF na mulikua munapata Ruzuku kubwa sana tena sana kama ilikua unauchungu na Nchi yenu mungekua mushafanya hata tukio moja kwenye zanzibar tukajua kweli nyie munataka nchi hata kibanda cha udongo ilikua mjenge kisha mujinasibu ila hamuna hata banda la miti mkaonesha kama kweli muna uchungu na nchi hii
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Unafnya masikhara na pesa ww. Wao wenyewe wanapiga kelele hapo kutafuta kula baada ya kufukuzwa, kustaafu/kumaliza mda wao wa kula CCM halafu ww unawaambia walikua wajenge?
Hongera
Leo naona nitoe mawazo yangu juu ya siasa za zanzibari baada ya maalimu seifu ni sheh faridi huyu ndie mrithi wa seif kwani namjua na ni mzalendo hasa wa wana wa zanzibar. Ishallh ipo siku sheh faridi ayakua rais wa zanzibari na nahisi baada ya miaka 10 ya urais wa seif mrithi wake wenda akawa sheh garidi ishallah mwenyenzi mungu awafanyie wepesi
Jamani nungwi lini tkjlwa tuende
@ameirjuma6708
3 жыл бұрын
Tarehe 18/10/2020 inshaallah Allah akituakifikisha
Kuweni wa kweli ndio njia ya mafanikio na njia ya muongo ni unafiki na ndio ulio wapelekea kuwa madhalili kwanini Zanzibar ilikuwa mbele kiuchumi leo imerudi nyuma sababu ufisadi
Kwenye dakika ya 7:45 kuna Jambo 😅😅
7:56 nani kasikia kama mimi😂
@dr.coolproduction-sinzakum6187
3 жыл бұрын
Mimi pia nimesikia!
Umoja ni nguvu hata gruani enatutuma tusigawanyike tutashindwa uchaguzi lazima iwe asil mia mia zanzibari hata endelea tanganika inakwambia kwamba kwanini tuitengeneze zanzibari wakati siku itakuja wazanzibari wa nataka uhuru wao wlioipata kwa mwengerza nchi nzuri kama zanzibari kwanini hamna maandeleo gesi ipo mazao ipo samaki ipo tahabu ipo kwanini umaskini unazidi ajabu sana
💜💜
@saidhamad5294
3 жыл бұрын
Love za zambarau 😭😁🤣 umezitoa wapi??
Heart touching
Dah jamaa namkubali sana mim
Bob Marley fyah True dat
Kujikusanya ufanye nn uchaguz ukiisha tunawaachia washindi watekeleze Ilan yao siasa n za msmu
Tupo pamoja nanyi
Tunataka wawakilishi wetu wawarejeshe...
ACT kazi imeisha maalmu seif hana mfano balani afrika kwani ni mtu pekee mwenye uvumirivu wa kisiasa na huyu sio mwana siasa tu huyu ni mcha mungu
Maalim seif ni mzalendo wa kweli
Seif ni hazina za harakati tamzania. Na kama tunahitaji ukombozi wa kweri tumuunge mkono seif
Mnasema Mungano uvunjike nami naona poa tu cz hapa Niko boda ya Tz & Ug Wafanyakazi wa Uhamiaji Wazanzibar Askari Zanzibar Usalama wa Taifa Zanzibar
NYIE MBONA MULIBAKUWA
@jumaothman4443
3 жыл бұрын
Utawala wa dk salmin
Kweli wazanzibar tuepamoja
Wanasiasa mnapaswa kuwa makini sana mnapo husisha maudhui
Aisee sijawahi kusikia hotuba kali na inayoleta hisia kama ya huyu bwana Mansoor Yusuf Himid. Jamaa anajua kuongea kweli na kupanga point zake ili kushawishi watu. Mtu mwingine aliyekuwa na kipaji cha namna hii ni Mwalimu Nyerere tu lakini sijaona mwanasiasa mwingine mwenye kipaji cha kuhutubia kama huyu baba. CCM wanakazi mwaka huu. Kamu uchaguzi utakuwa huru na haki lazima CCM watangoka huko Zanzibar.
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Hakuna uchaguzi huru znz sema mara hii watuue2 sote tushawachoka..au nchi haitawaliki
Hujutambi mansour
@husnamohammed8199
3 жыл бұрын
Wala hajielewi yy sia alikiwa ccm huyu ufisadi tu
Tunataka mamlaka kamili zanzibar tunataka Mashekhe wetu
mbona unaunganishaa pcha boss
@FatmaAli-ge9jf
3 жыл бұрын
Haunganishi picha sema inaganda tu nimkutano huohuo
Huyu shoga tuuu nae baada ya Amani kustaaafu kaona atakosa mpeto kama enzi za Amani ndio akaamia CUF Wanasiasa waongo tuu
Tanganyika na magufuli wenu c muungane na burundi tu cc mutuache tuhangaike wenyewe ili mupunguwe majukumu
Hahaha eti ruhusa akachukue kwa babamkwe apo tumekuelewa mzee
Mansoor wafahamishe hao ccm wasojielewa
Wa Zanzibar ni lazima muwe kitu kimoja. Umoja ni ngao ya mafanikio. Msikubali mtu kuwagawa.
Asalama aleykum mm huyu km ananitisha mikutano yake akisema, km alikuwa CCM bado yupo sikilizeni vizuri ki sokolojia. Km mmm. Think before you done
Tumechoka tunataka uhuru uwe wa Zanzibar
Unamrithi Maalim
Usiseme ss wazanzibar useme nyinyi wapemba mtaimba Sana lkn hii nchi mtaiona hivi hivi ccm juu juu zaid
@zuheraaziz9343
3 жыл бұрын
mansour kawa mpemba tena
Mbona huyu kijana hasemi kwamba wazee wao ndio waliowauwa na kuwatesa na kuwadhulumu watu waliokuwa hawana hatia yoyote hawasemi ukweli ni wala hawataki kuwaeleza watu uhakika wa mambo ni kuruka ruka tu na hawasemi ukweli hasa
Una ujinga mbona umeikata sehem nyengine ww vp
Mmwkwishaaaa nyieeeeeeee.
Zanzibar itaendelea saana iwapo wazanzibar watamchagua huyu mzeee
@amenaafrica7046
3 жыл бұрын
hakuna maendeleo Bali kuna ukoloni
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Labda watu wa pemba ndio wataendelea zaidi. Watu wanamjua vzr huyo aliwasomesha jamaa zake tu na kuwajaza makazini. Na ndio mana waunguja wengi hawamuamini bado.
Wapemba nawajua vzr wanajazana maneno apa ila kikinuka cku 3 tu paaaaah maarim seif watamkataa mweupeeee acha tuone mchezo
@imamaliridhwa1884
3 жыл бұрын
Hao sio wapemba kawasome wapembe walivo sio watu wa usaliti
I am so sorry but I'm
Mtihan
Magufuli anataka zanzibar ife kabisa, Storia yake isikuwepo, na usiwe nchi kamili, 2021 zanzibar uwe mkoa.
@ahmedalbalooshi8518
3 жыл бұрын
Msema kweli, huo ni mtazamo wa hayati baba wa taifa,na viongozi walioko watatekeleza hilo agizo
@ukweliunauma4570
3 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 kama angekua yeye shoga, wangetekeleza bay hilo , ni ujinga wa ubaguzi kukandamiza wengine, mwishowe sio habari nzuri
Jecha laanakum
Utam mtupu leo
Alipooooooooooo ..................?
CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeee
Taifa kwanza Leo na kesho
Mbna munakata sauti kwa mapende nyny tv
@rehemaothman1917
3 жыл бұрын
Naenda huko nani ampe urais huyo chefu
Its deep ,very deep
Mansoor unaomba haki na wema katika nchi hii utawaomba radhi uliowadhulumu wewe na sheji yako watu wamekufa kwa dhulma yenu mliyowafanyia Leo unatamani haki na kauli ya nyerere hata angelikuwepo angesema hivyo hivyo wa Pemba hawamtaki Mpemba wanatoa Mpemba wao na ndivyo ilivyo ila awamu hii mtarejesha vyote
Kwani jamani hakuna mahakama ya kuishtaki hii Tanganyika kuhusu huu Muungano na ss Zanzibar tukawa huru tena.
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
3 жыл бұрын
Ipo lkn tunapo kwenda kule wao wanatushinda wananunua mawakala wengi ss hatuna pesa hizo ivi krb hujasikia watu huko wakichangishwa pesa za kesi hizo
@rizikisuleiman7820
3 жыл бұрын
@@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 Basi km ni hivo hata hiyo Mahakama haifanyi haki viongozi wa ACT watafute njia mbadala hata kuomba msaada kwa wazanzibar na wanaoipenda Zanzibar walio nje ya nchi ili watukomboe na haya madhila ya ukoloni tena na wajitahidi kufanya hivo kabla Maalim Seif hajachoka na hizi harakati za siasa, maana yy ndio faraja kwa Wazanzibar wanyonge.
@salhanassor5508
3 жыл бұрын
@@rizikisuleiman7820 namim huwa nawaza kama weye ivi hawa umoja wamataifa hawaoni tunavonyanyasika kwa mfano mwaka2015. Ccm wamefanya dhulma yawazi lkn hamna lolote lilofanyika..
Tunataka Dunia nzima ielewe kuwa CCM haitakiwi Zanzibar wala Bara. CCM wameanza kukata majina ya wagombea wa vyama vya upinzani. Dunia iombeni CCM irudishe majina ya wagombea haraka sana wasituharibie amani ya nchi.
Bado hamjaongelea kero zetu asa
Kosa kisheria kutumia ujumbe ambao sio wako ila sie tuna chukuliana tu jamaa anajinasibu kusema mapinduzi ila hana lake jambo
Wanasiasa kila wakati mnawajibika kukumbuka kwamba ukweli huwaweka watu huru
Huyo damu ya karume
Semeni mpk mtoke mapovu hapa ni ccm tu na mm ni kijanaa mdogo kabisa lkn wapumbavu nyie wala ckushuhulikieni na kura yangu itaenda kwa ccm kwa mbunge, muakilishi diwani pamoja na raisi ccm oyeeeeee mapinduzi daima mbele, tutayalinda, tutayatetea, tutayapigania kwa maslahi ya taifa potelea mbali......
@yohanamgimba102
3 жыл бұрын
Uchizi sio hadi uanze kuokota makopo hata kuropoka ni moja ya dalili
Nyinyi tatizo njaa ndo inayokusumbueni mlisusa uchaguzi ulopita mbona mwaka huu mnashiriki na nchi ndo Ile Ile suseni Tena Kama mtaishi
@zuheraaziz9343
3 жыл бұрын
ule dhamira yke iĺikuwa ñi kuuliwa tu kana huyajui tungeuliwa kama kuku
Maalim seif tarehe 28 October 2020 kura yako mpigie dr Hussein Mwinyi