MKAGUZI WA CHAKULA CHA RAIS MWINYI:TUMBO LILIMSUMBUA/NAONJA MIMI KWANZA/ALIPENDA SANA BIRIANI

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 46

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi69574 ай бұрын

    Mashaallah tabaraqallah Allah amzidishie umri zaidi hyu mzee Abdallah bado yuko fomu

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo17414 ай бұрын

    Mashaallah ALLAH amjaalie Afya njema na umri twawil

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    4 ай бұрын

    Mungu akujaalie maisha marefu

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh7864 ай бұрын

    Kwa nini kila Kaunda akiwepo kunatokea kasoro? Mara moja huyu mzee aliona kijana mbaya akamkamata na ARUSHA akala samaki na Kaunda?

  • @msongamwinyi2877
    @msongamwinyi28774 ай бұрын

    Video ya mzee kwenye meza mbona mmeotoa mngeiacha kupendezesha storia

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84554 ай бұрын

    Big up somo

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma4 ай бұрын

    Mwalimu alikuwa hali Kitimoto?😂😂

  • @AyshaYassin-hm5xo
    @AyshaYassin-hm5xo4 ай бұрын

    Wakwanzaa🎉🎉❤

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69614 ай бұрын

    Huyu jamaa anajua sana kumhoji mtu.hongera sana.

  • @sophiakassim6784

    @sophiakassim6784

    3 ай бұрын

    Ila anazingua sometimes swali moja analirua kuuliza mara mbili mbili wakati kashajibiwa

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim67843 ай бұрын

    Mtangazaji sauti kweli unayo ila kwenye kuhoji jipange unarudia sana maswali hayo kwa hayo

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma4 ай бұрын

    Kumbe Lambart upo huku? Nimekutafuta sana kule😂😂

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62204 ай бұрын

    Mwinyi alikuwa Mzaramo aliyekuwa anaishi Zanzibar kwa hiyo Mwinyi alikuwa Mtanganyika kwa kuzaliwa! Somo zuru tuishi kindugu

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga94654 ай бұрын

    Zamaradi mtunze huyu jamaa Crown Fm wanamjadiri sasa

  • @madenge731
    @madenge7314 ай бұрын

    #USALAMA huyoooo ❤❤❤

  • @lucasdismas4314
    @lucasdismas431410 күн бұрын

    Mzee alikuwa kitengo

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z4 ай бұрын

    USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k4 ай бұрын

    Kwa wale wanaojua protocol atuambie je ni kuonja vya kula ,je hakuna vipimo

  • @iliyasabakari
    @iliyasabakari4 ай бұрын

    Final uzeeni

  • @MrishoHakim
    @MrishoHakim4 ай бұрын

    Mumuhoji muanzilishi WA taasisi ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya, George Timbuka

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45814 ай бұрын

    Ilikua Mozambique hiyo alipomuwahi mdunguaje niliwahi kumsikia ulipomhoji before

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62204 ай бұрын

    Kwa kifupi mzee kasema wasomi ni majizi badala ya kusaidia nchi wanajisaidia wenyewe

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km4 ай бұрын

    Ila uzee hauna adabu

  • @giztony2009
    @giztony20094 ай бұрын

    Kwa levo yko nahisi unafaa hata uwe unatangazia BBC

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland23874 ай бұрын

    Ebwanae kwenye chakula viongozi wetu wajiangalie sana wakija majuu ,kusaini mikataba ya wananchi kuna viongozi wengi ,clip zao zipo kwenye you tube,uzalendo kwanza hata kwenye pombe na uraibu mwengine,kuna dawa unaweza ukawekewa hazikuui leo zitaukuua 1,2,34 kama sindano za sumu wanazopigwa wagonjwa huku ulaya ,wachukue hela za uzeeni......

  • @oswardwenge2351
    @oswardwenge23514 ай бұрын

    Kipindi unatambaa inamaana watu hawakuona na kujiuliza kuna nn ?

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62204 ай бұрын

    Kwa hiyo kikiwa na sumu unaanza kufa wewe hii imekaa vizuri

  • @user-pw8pc3by8p
    @user-pw8pc3by8p4 ай бұрын

    Dr mwinyi amuone huyu mzee

  • @protusmushi7162
    @protusmushi71624 ай бұрын

    Mwinyi alikuwa anakula chapati. Mbona janabi anatukatza tusile chapati?

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51924 ай бұрын

    Hongera bab Kaz umefanya kwa weled

  • @mozasalim7725
    @mozasalim77254 ай бұрын

    Leo wapili kudadeki wanikabizi mimi nionje chakula jamani

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62204 ай бұрын

    Food tester

  • @judithsimon7892
    @judithsimon78923 ай бұрын

    Kwanza vpi kuhusu Historia ya kazaliwa,kakulia wapi elimu,mwenyeji wa mkoa gani eti bado kuna watu wanampongeza mwandishi inaamana hawajaona hayo

  • @sophiakassim6784

    @sophiakassim6784

    3 ай бұрын

    Sauti kweli anayo ila mambo mengi anasanda kwenye kuhoji hajajipanga

  • @FreeGod368
    @FreeGod3684 ай бұрын

    Uyu mwandish anastahili BBC au AZAM au any very big media houses

  • @boscokikoti

    @boscokikoti

    4 ай бұрын

    Wewe jamaa umeona mbali sana.mimi namkubali sana anajua anatamka matamshi ya kiswahili kwa ufasaha sana

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    4 ай бұрын

    @@boscokikoti Kabisa kaka jamaa ana uwezo mkubwa sana na utulivu katika kuhoji

  • @zezeshort
    @zezeshort4 ай бұрын

    Wewe muongo haikuwa hivyo waongo wakibwa nyie mnasifia uongo mbona hamsemi alivyo kiwa anakimbia na mabox ya pesa kwenda oman

  • @abdikadirhassan935

    @abdikadirhassan935

    4 ай бұрын

    Ww mnafki ulimuona akiiba pesa? Hayo mabox umeyaona au unaamini vya kumbiwa

  • @wechemakambo2182
    @wechemakambo21824 ай бұрын

    Mzee kaficha kitu...kujulikana na Mwl haikuwa Kaunda bali akiwa JKT,akatembelea na kwenye gwaride Mwl akasema namhitaji huyu kijana Ikulu na Mwl akampa hilo jukumu ila yy hakujua mpk leo why Mwl alimchagua...ila pale kambini alikuwa na kipaji cha kawaida cha kugundua chakula chenye shida...sababu hapo anachanganya kuwepo kwenye circle ya Mwl ilikuwa lazima mpikwe kweli na yy anasema tukio la Kaunda je alikuwa nani kama hakuwa na kazi hiyo?Alikuwa ni mwonjaji na ni kazi ipo mpk leo...MWONJAJI yuko close na Wapishi,,haiingii Akilini wapishi wasimjue yy bali wamjue km mpenda kula tu?Hawa wenye mafunzo huwa hawafunguki sana wanakuwa limited.

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l4 ай бұрын

    Hiyo ndo tanzania watu muhim kama hawa leo mtu amekua choka mbaya ka choka kama mpira wa makaratasi

  • @khatibabass3106

    @khatibabass3106

    4 ай бұрын

    Kwaio umri wa miaka 96ulitaka afanywe nn? Au arejeshewe ujana? Kama nyumba anayoishi ninzuri ,nguo kavaa nzuri ulitakaje?

  • @ttss7716

    @ttss7716

    4 ай бұрын

    ​@@khatibabass3106Asanti sana pia mimi nilikuwa nataka kumuuliza hilo swali😂😂😂

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    @mohamedhamismagoraonlinetv459

    4 ай бұрын

    ​@@khatibabass3106Umenena kweli. Umri ni mkubwa ni lazima azeeke

  • @winfordmwangonda5375

    @winfordmwangonda5375

    4 ай бұрын

    Asante point maridhawa​@@khatibabass3106

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z4 ай бұрын

    USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.

Келесі