Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Жүктеу.....
Пікірлер: 46
@jaymwinyi69574 ай бұрын
Mashaallah tabaraqallah Allah amzidishie umri zaidi hyu mzee Abdallah bado yuko fomu
@mariamkibindo17414 ай бұрын
Mashaallah ALLAH amjaalie Afya njema na umri twawil
@KaburuKimath-eu5nf
4 ай бұрын
Mungu akujaalie maisha marefu
@josephatmathiasgalagalabuh7864 ай бұрын
Kwa nini kila Kaunda akiwepo kunatokea kasoro? Mara moja huyu mzee aliona kijana mbaya akamkamata na ARUSHA akala samaki na Kaunda?
@msongamwinyi28774 ай бұрын
Video ya mzee kwenye meza mbona mmeotoa mngeiacha kupendezesha storia
@stanslausmteme84554 ай бұрын
Big up somo
@Fred-Ma4 ай бұрын
Mwalimu alikuwa hali Kitimoto?😂😂
@AyshaYassin-hm5xo4 ай бұрын
Wakwanzaa🎉🎉❤
@abuyunusmohamed69614 ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana kumhoji mtu.hongera sana.
@sophiakassim6784
3 ай бұрын
Ila anazingua sometimes swali moja analirua kuuliza mara mbili mbili wakati kashajibiwa
@sophiakassim67843 ай бұрын
Mtangazaji sauti kweli unayo ila kwenye kuhoji jipange unarudia sana maswali hayo kwa hayo
@Fred-Ma4 ай бұрын
Kumbe Lambart upo huku? Nimekutafuta sana kule😂😂
@evaristmbuya62204 ай бұрын
Mwinyi alikuwa Mzaramo aliyekuwa anaishi Zanzibar kwa hiyo Mwinyi alikuwa Mtanganyika kwa kuzaliwa! Somo zuru tuishi kindugu
@jacobnorbertchenga94654 ай бұрын
Zamaradi mtunze huyu jamaa Crown Fm wanamjadiri sasa
@madenge7314 ай бұрын
#USALAMA huyoooo ❤❤❤
@lucasdismas431410 күн бұрын
Mzee alikuwa kitengo
@user-hi8le2vb7z4 ай бұрын
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.
@user-cw3vu8mu3k4 ай бұрын
Kwa wale wanaojua protocol atuambie je ni kuonja vya kula ,je hakuna vipimo
@iliyasabakari4 ай бұрын
Final uzeeni
@MrishoHakim4 ай бұрын
Mumuhoji muanzilishi WA taasisi ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya, George Timbuka
@hajimnubi45814 ай бұрын
Ilikua Mozambique hiyo alipomuwahi mdunguaje niliwahi kumsikia ulipomhoji before
@evaristmbuya62204 ай бұрын
Kwa kifupi mzee kasema wasomi ni majizi badala ya kusaidia nchi wanajisaidia wenyewe
@Chettymlambalipsi-lb9km4 ай бұрын
Ila uzee hauna adabu
@giztony20094 ай бұрын
Kwa levo yko nahisi unafaa hata uwe unatangazia BBC
@ukuvukiland23874 ай бұрын
Ebwanae kwenye chakula viongozi wetu wajiangalie sana wakija majuu ,kusaini mikataba ya wananchi kuna viongozi wengi ,clip zao zipo kwenye you tube,uzalendo kwanza hata kwenye pombe na uraibu mwengine,kuna dawa unaweza ukawekewa hazikuui leo zitaukuua 1,2,34 kama sindano za sumu wanazopigwa wagonjwa huku ulaya ,wachukue hela za uzeeni......
@oswardwenge23514 ай бұрын
Kipindi unatambaa inamaana watu hawakuona na kujiuliza kuna nn ?
@evaristmbuya62204 ай бұрын
Kwa hiyo kikiwa na sumu unaanza kufa wewe hii imekaa vizuri
@user-pw8pc3by8p4 ай бұрын
Dr mwinyi amuone huyu mzee
@protusmushi71624 ай бұрын
Mwinyi alikuwa anakula chapati. Mbona janabi anatukatza tusile chapati?
@husseinkonz51924 ай бұрын
Hongera bab Kaz umefanya kwa weled
@mozasalim77254 ай бұрын
Leo wapili kudadeki wanikabizi mimi nionje chakula jamani
@evaristmbuya62204 ай бұрын
Food tester
@judithsimon78923 ай бұрын
Kwanza vpi kuhusu Historia ya kazaliwa,kakulia wapi elimu,mwenyeji wa mkoa gani eti bado kuna watu wanampongeza mwandishi inaamana hawajaona hayo
@sophiakassim6784
3 ай бұрын
Sauti kweli anayo ila mambo mengi anasanda kwenye kuhoji hajajipanga
@FreeGod3684 ай бұрын
Uyu mwandish anastahili BBC au AZAM au any very big media houses
@boscokikoti
4 ай бұрын
Wewe jamaa umeona mbali sana.mimi namkubali sana anajua anatamka matamshi ya kiswahili kwa ufasaha sana
@FreeGod368
4 ай бұрын
@@boscokikoti Kabisa kaka jamaa ana uwezo mkubwa sana na utulivu katika kuhoji
@zezeshort4 ай бұрын
Wewe muongo haikuwa hivyo waongo wakibwa nyie mnasifia uongo mbona hamsemi alivyo kiwa anakimbia na mabox ya pesa kwenda oman
@abdikadirhassan935
4 ай бұрын
Ww mnafki ulimuona akiiba pesa? Hayo mabox umeyaona au unaamini vya kumbiwa
@wechemakambo21824 ай бұрын
Mzee kaficha kitu...kujulikana na Mwl haikuwa Kaunda bali akiwa JKT,akatembelea na kwenye gwaride Mwl akasema namhitaji huyu kijana Ikulu na Mwl akampa hilo jukumu ila yy hakujua mpk leo why Mwl alimchagua...ila pale kambini alikuwa na kipaji cha kawaida cha kugundua chakula chenye shida...sababu hapo anachanganya kuwepo kwenye circle ya Mwl ilikuwa lazima mpikwe kweli na yy anasema tukio la Kaunda je alikuwa nani kama hakuwa na kazi hiyo?Alikuwa ni mwonjaji na ni kazi ipo mpk leo...MWONJAJI yuko close na Wapishi,,haiingii Akilini wapishi wasimjue yy bali wamjue km mpenda kula tu?Hawa wenye mafunzo huwa hawafunguki sana wanakuwa limited.
@user-iw5hu3mc7l4 ай бұрын
Hiyo ndo tanzania watu muhim kama hawa leo mtu amekua choka mbaya ka choka kama mpira wa makaratasi
@khatibabass3106
4 ай бұрын
Kwaio umri wa miaka 96ulitaka afanywe nn? Au arejeshewe ujana? Kama nyumba anayoishi ninzuri ,nguo kavaa nzuri ulitakaje?
@ttss7716
4 ай бұрын
@@khatibabass3106Asanti sana pia mimi nilikuwa nataka kumuuliza hilo swali😂😂😂
@mohamedhamismagoraonlinetv459
4 ай бұрын
@@khatibabass3106Umenena kweli. Umri ni mkubwa ni lazima azeeke
@winfordmwangonda5375
4 ай бұрын
Asante point maridhawa@@khatibabass3106
@user-hi8le2vb7z4 ай бұрын
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.
Пікірлер: 46
Mashaallah tabaraqallah Allah amzidishie umri zaidi hyu mzee Abdallah bado yuko fomu
Mashaallah ALLAH amjaalie Afya njema na umri twawil
@KaburuKimath-eu5nf
4 ай бұрын
Mungu akujaalie maisha marefu
Kwa nini kila Kaunda akiwepo kunatokea kasoro? Mara moja huyu mzee aliona kijana mbaya akamkamata na ARUSHA akala samaki na Kaunda?
Video ya mzee kwenye meza mbona mmeotoa mngeiacha kupendezesha storia
Big up somo
Mwalimu alikuwa hali Kitimoto?😂😂
Wakwanzaa🎉🎉❤
Huyu jamaa anajua sana kumhoji mtu.hongera sana.
@sophiakassim6784
3 ай бұрын
Ila anazingua sometimes swali moja analirua kuuliza mara mbili mbili wakati kashajibiwa
Mtangazaji sauti kweli unayo ila kwenye kuhoji jipange unarudia sana maswali hayo kwa hayo
Kumbe Lambart upo huku? Nimekutafuta sana kule😂😂
Mwinyi alikuwa Mzaramo aliyekuwa anaishi Zanzibar kwa hiyo Mwinyi alikuwa Mtanganyika kwa kuzaliwa! Somo zuru tuishi kindugu
Zamaradi mtunze huyu jamaa Crown Fm wanamjadiri sasa
#USALAMA huyoooo ❤❤❤
Mzee alikuwa kitengo
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.
Kwa wale wanaojua protocol atuambie je ni kuonja vya kula ,je hakuna vipimo
Final uzeeni
Mumuhoji muanzilishi WA taasisi ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya, George Timbuka
Ilikua Mozambique hiyo alipomuwahi mdunguaje niliwahi kumsikia ulipomhoji before
Kwa kifupi mzee kasema wasomi ni majizi badala ya kusaidia nchi wanajisaidia wenyewe
Ila uzee hauna adabu
Kwa levo yko nahisi unafaa hata uwe unatangazia BBC
Ebwanae kwenye chakula viongozi wetu wajiangalie sana wakija majuu ,kusaini mikataba ya wananchi kuna viongozi wengi ,clip zao zipo kwenye you tube,uzalendo kwanza hata kwenye pombe na uraibu mwengine,kuna dawa unaweza ukawekewa hazikuui leo zitaukuua 1,2,34 kama sindano za sumu wanazopigwa wagonjwa huku ulaya ,wachukue hela za uzeeni......
Kipindi unatambaa inamaana watu hawakuona na kujiuliza kuna nn ?
Kwa hiyo kikiwa na sumu unaanza kufa wewe hii imekaa vizuri
Dr mwinyi amuone huyu mzee
Mwinyi alikuwa anakula chapati. Mbona janabi anatukatza tusile chapati?
Hongera bab Kaz umefanya kwa weled
Leo wapili kudadeki wanikabizi mimi nionje chakula jamani
Food tester
Kwanza vpi kuhusu Historia ya kazaliwa,kakulia wapi elimu,mwenyeji wa mkoa gani eti bado kuna watu wanampongeza mwandishi inaamana hawajaona hayo
@sophiakassim6784
3 ай бұрын
Sauti kweli anayo ila mambo mengi anasanda kwenye kuhoji hajajipanga
Uyu mwandish anastahili BBC au AZAM au any very big media houses
@boscokikoti
4 ай бұрын
Wewe jamaa umeona mbali sana.mimi namkubali sana anajua anatamka matamshi ya kiswahili kwa ufasaha sana
@FreeGod368
4 ай бұрын
@@boscokikoti Kabisa kaka jamaa ana uwezo mkubwa sana na utulivu katika kuhoji
Wewe muongo haikuwa hivyo waongo wakibwa nyie mnasifia uongo mbona hamsemi alivyo kiwa anakimbia na mabox ya pesa kwenda oman
@abdikadirhassan935
4 ай бұрын
Ww mnafki ulimuona akiiba pesa? Hayo mabox umeyaona au unaamini vya kumbiwa
Mzee kaficha kitu...kujulikana na Mwl haikuwa Kaunda bali akiwa JKT,akatembelea na kwenye gwaride Mwl akasema namhitaji huyu kijana Ikulu na Mwl akampa hilo jukumu ila yy hakujua mpk leo why Mwl alimchagua...ila pale kambini alikuwa na kipaji cha kawaida cha kugundua chakula chenye shida...sababu hapo anachanganya kuwepo kwenye circle ya Mwl ilikuwa lazima mpikwe kweli na yy anasema tukio la Kaunda je alikuwa nani kama hakuwa na kazi hiyo?Alikuwa ni mwonjaji na ni kazi ipo mpk leo...MWONJAJI yuko close na Wapishi,,haiingii Akilini wapishi wasimjue yy bali wamjue km mpenda kula tu?Hawa wenye mafunzo huwa hawafunguki sana wanakuwa limited.
Hiyo ndo tanzania watu muhim kama hawa leo mtu amekua choka mbaya ka choka kama mpira wa makaratasi
@khatibabass3106
4 ай бұрын
Kwaio umri wa miaka 96ulitaka afanywe nn? Au arejeshewe ujana? Kama nyumba anayoishi ninzuri ,nguo kavaa nzuri ulitakaje?
@ttss7716
4 ай бұрын
@@khatibabass3106Asanti sana pia mimi nilikuwa nataka kumuuliza hilo swali😂😂😂
@mohamedhamismagoraonlinetv459
4 ай бұрын
@@khatibabass3106Umenena kweli. Umri ni mkubwa ni lazima azeeke
@winfordmwangonda5375
4 ай бұрын
Asante point maridhawa@@khatibabass3106
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.