Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI
@shadrackmnjelu5285
6 жыл бұрын
Benson Frank kweeeliiii kaka uyuuuu mzeeee kiboko
@adrofgwahula7294
6 жыл бұрын
Benson Frank kwer
@kassimdiscover7730
6 жыл бұрын
Dahhh nimemkubali huyu Mzee iinauma sana na itabid aangaliwwe jaman PhD sio mchezo mmchezo
god otaru Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@deusmadel32836 жыл бұрын
Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.
@chobaray6 жыл бұрын
Mzee kasoma Elimu ya Juu Sana,Kuliko Watu wengi sana Tanzania,#Salute OG GOD BLESS YOU
@irenelyimo32156 жыл бұрын
Pole sana mzee wetu nimejifunza kitu kupitia ww kwamba usimzarau mtu kwa muonekano wake
@veronicasarvatory95166 жыл бұрын
Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana
@ilovejesus93036 жыл бұрын
Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu
@gadsonogega37746 жыл бұрын
He is vry educated , clever and hardworking man . Nice inspirational speech to learn what life holds .
@mariamoman75936 жыл бұрын
sbuhanna allh pole babu kwa yaliyo kukuta nmekupenda bure babu ang 😘😘😘😘
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Mariam Oman Assalamualaikum! Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@elastomsigala5153
6 жыл бұрын
Mariam Oman
@mariamoman7593
6 жыл бұрын
+Elasto Msigala hi
@tumsifujoachim58776 жыл бұрын
hujafa hujaumbika, kweli mzee kateseka sana
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@bettyowiti397
3 жыл бұрын
Rip..
@veronicasarvatory95166 жыл бұрын
Pole Sana mungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina
@josephvictor68716 жыл бұрын
Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema
@janethlilja99756 жыл бұрын
Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke! Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.
@foryourglory30416 жыл бұрын
Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.
@comedykitaa6 жыл бұрын
Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
comedy kitaa Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@a.j99646 жыл бұрын
Nimegundua mzee amesoma sana ndo maana anavaa simple sana...daaah pole sana mzee tusamehe watanzania wote
@abdallasabour5034
6 жыл бұрын
athman luanda , you are really true Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino
@basharahamtzhalisi68716 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.
@prettymum7430
6 жыл бұрын
Bashiri Girro hata mim sijuwi kwanini but i trust him
@kipipakipipa5050
6 жыл бұрын
Feeling so sad
@sulleymanjimmy3199
6 жыл бұрын
duh noma aisee nmemuelewa Sana Dr Shika
@doramsuya5135
6 жыл бұрын
Bashiri Girro kweli kabisa....
@namsamson3443
6 жыл бұрын
Alafu mtu muongo hawezi rudia kitu hicho hicho kila enterview angekuwa anasahau maneno mengine
@zainabbakari36036 жыл бұрын
Tusizarau watu tusio wajua kwa muonekano wao tuu sio vzr jaman dah mzee yuko tmamu tuu pole babu wng
@kyaro5945
6 жыл бұрын
Zainab Bakari polis walimdharau
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Assalamualaikum! Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@omarymasoudykisondo3896 жыл бұрын
Usimdhalau mtu kwa kumuona tu ujui yupoje. Big up mzee baba upo vizuli
@mathayomatondo40246 жыл бұрын
Millard MPE hela huyu mzee umetengeneza pesa nyingi sana mungu anakuona ujue
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Mathayo Matondo Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@bakarimakida11456 жыл бұрын
Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Bakari M Akida Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@emanuelmaando4753
4 жыл бұрын
Bakari M Akida nimeelewwa
@cosmaspaul84526 жыл бұрын
Pole mzee wangu kwa yaliyokukuta, na mwenyez Mungu aendelee kukulnda.... I love you.
@samkabaysa64876 жыл бұрын
Dr. Shika yaonyesha ni mtu makini sana, na msomi mzuri. Pongezi kwako mheshimiwa.
@josephatjordan21503 жыл бұрын
R.I.P our Dad !!Nenda salama tuko nyuma yako🙏🙏
@cammyris21686 жыл бұрын
Heshima kwako Baba We do respect you so much na Mungu anakupenda sana Na ndio maana mpaka Leo upo
@paulmshabaha63566 жыл бұрын
He is smart and has a family great thing!!that is real genius🔥🔥
@hafsalucky10883 ай бұрын
Du pole Sana Baba yetu, Mungu Azidi kukupigania na Akubariki zaidi, akupe furaha na Amani kwa Maisha yako
@chichijuma14663 жыл бұрын
Mungu akulaze mahalo pema lnshaallah
@basharahamtzhalisi68716 жыл бұрын
Pole sana Dr Shika nimekuelewa sana mzee. Wewe ni mtu mwenye busara na hekima tofauti na wanavyokuelewa kimtazamo.
@adaash65916 жыл бұрын
Men Of The Year Dr Lewis I salute you
@kato_tz6 жыл бұрын
Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi. Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.
@charlesabednego94246 жыл бұрын
mzee yuko vizuri sana anajua kujieleza tusimdharau tusie mjua
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
charles abednego Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@yaledimlawa91086 жыл бұрын
Sawa mzee mungu akusimamie sana!!!! Daaaaaa!!! aya bana duuuu!!!!!
@immaruzige18456 жыл бұрын
Huyu mzee kiukweli nimetokea kumuelewa sanaaaa
@mansheshe8258
6 жыл бұрын
Wewe Kama Mimi vile
@winniechoyo4072
6 жыл бұрын
IMANI ELIAZARY mi pia
@danielpatrickrobert125
6 жыл бұрын
Huyu mzee inaonekana alikuwa na pes , ila sasa mambo sio baada ya mambo fulani aliyopitia
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@abuuyahya8864
5 жыл бұрын
Imma Ruzige huyu Mzee muongo
@timothwaitara44586 жыл бұрын
mzeee huyo anakili sana hata kujielezea anajua kweli huyu ni doctor of philosophy
@yohanamartin9012
6 жыл бұрын
Timoth Waitara o;in
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@fatmanasornasor9047
4 жыл бұрын
BC akuoe
@bbakzuvciIii
3 жыл бұрын
SEMA KAMA HAJAMCHAGUA BWANA YESU KRISTO IT IS NOTHINGG...😪😫😥
@stellanyaonge285
3 жыл бұрын
@@bbakzuvciIii mjinga tu wew
@gracekihampa33506 жыл бұрын
mbinu za watekaji na namna ya kusepa! asante docta.." shikilia kengele mbwa hatabweta"
@gugutachief29506 жыл бұрын
Pole mzee yote maisha...mungu ndo muweza wa kila jambo
@fababindawood83636 жыл бұрын
nimemuelewa sana Dr Millard Ayo msaidiye huyuu mzee
@karimhemed92616 жыл бұрын
Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah
@balozibalozi52576 жыл бұрын
Pole sana MZEE nimesikitika tujifunze Kitu vijana
@ckukuu84046 жыл бұрын
Woooi jamani duniani kuna watu wabaya mi mpka mwili umekauka...pole sana Mzee Allah atakusimamia kila kitu utokea kwa sababu...+254 Mombasa
@abdallahhemed35276 жыл бұрын
pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua
@yohanamartin9012
6 жыл бұрын
Abdallah Hemed
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Abdallah Hemed Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@omarisaid13156 жыл бұрын
Dr shika kaeleweka sana.... kwel ucmzarau ucye mjua.... katupa elimu (Ukishindika kengele zako mbwa javelin) na (ucmtazame alye lala ataamua) Hatariiii.
@perfecthilarymbewa59686 жыл бұрын
mpen kipindi clauds jamaa ana ongea vitu vya kweli kabisa story yake ina sisimua sana naamini walisikiliza watanzania wata jifunza mengi sana
@issamakoba1608
6 жыл бұрын
hilary mbewa
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@zahabujoseph65846 жыл бұрын
Mzee nimekuelewa vilivyo uko smart sana, hapo ndo tofauti ilipo kati ya kusoma na kuelimika na kusoma kuongeza miaka shuleni.
@lucylavender25846 жыл бұрын
Ooh my God ,mungu akusaidie buda
@josephfather28906 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu katika mambo ako
@khalfansimba96106 жыл бұрын
*Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*
@bbakzuvciIii
3 жыл бұрын
HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS
@mussakipete63716 жыл бұрын
Dua yangu na iwe mbele yako daima mzee wangu
@masharamadhanmashaka65716 жыл бұрын
kweli usimzarau usie najuwa, pole sana babu kwayote yalokukuta Mungu atakulipia yote hayo
@emmanuelkanje75856 жыл бұрын
Naomba kuuliza Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha
@ashuashu38435 жыл бұрын
Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.
@boscomuyinga21646 жыл бұрын
😢 😢 😢 😢 😢 😢 😢 kwenyekipigo pole sana mzee
@blasskameta9443 жыл бұрын
Daaah R.I.P Dr shika pumzika kwa Amani
@khamiskombo11496 жыл бұрын
Tuna shukuru xna mzee wetu ww ni mtanzania mwenzetu tunaomba serikali imsaidie huyu mzee nimtu mzuri mwenye nia yakuleta maendeleo
@hongerakkachawasemewwkzbut49966 жыл бұрын
toa na kitabu mzee iwe historia ya watanzania maana walio wengi hawaelewi kuwa umepitia mitihani mingi sana duu pole sana.
@emanueljuma11396 жыл бұрын
pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!
@faridmobji6 жыл бұрын
Mzee yuko poa sana sana 👏👏👏👏
@hongerakkachawasemewwkzbut49966 жыл бұрын
pole sana baba angu duu umepitia mitihani mingi ila mungu yupo nawe baba imeniuma sana wallah.
@winniechoyo40726 жыл бұрын
Pole kwa matatizo mzee Wang
@mickskillstechnology7511
6 жыл бұрын
Winnie Choyo tumpe pole za kutosha na tumsikilize
@iviejustified81096 жыл бұрын
Degree Nne.... Mzee Daktari haswaa... Si mchezo
@mustafamaulidi8696 жыл бұрын
Kaza mzee wangu usijali tupo pamoja sema nini mzee wangu kiki yako nzuli sana
@kingzed77636 жыл бұрын
naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii
@magenysamike4075
6 жыл бұрын
Pole saaana jamani inatia huruma
@habibumianga6461
6 жыл бұрын
King Zed #pesamadafu AFANDE mwenyewe ni form four failure
@kingzed7763
6 жыл бұрын
msenge kweli
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@salaamclinicoftraditionalm3641
4 жыл бұрын
Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji mifupa 0716651640
@sebamabee52286 жыл бұрын
Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.
@youngmau9236 жыл бұрын
mzee yuko makini kwanza anajua kujieleza pili anajua kunyoosha maelezo so good mzee
@amoseliud65156 жыл бұрын
We mzee noma nimekuelewa sana
@emanuelkvannyii82686 жыл бұрын
Jaman tujifunze kukaa na jambo kabla ya kuropoka bila kufanya uchunguz ona xaxa jaman mzee wa watu, watu wameongea meng mwixho ukwel umeanza kujitenga na uongo!! daaa! pole xana Dr Luis mung yuko pamoja na ww.
@leonardqamunga21416 жыл бұрын
Millard uko vzr na utafika mbali sanaaaaaaaa kwa kazi nzur unayoifanya
@joshuasamson41746 жыл бұрын
lugha yako mzee nimeipenda Sana kama kunauwezekano serekali yetu impe ajira mzee nakupongeza umesoma
@elymollel6 жыл бұрын
This man is smart we shouldn't underate him. Kama mtu nk mwongo maelezo yake huwa hujulikana tu.
@jojigeorige10566 жыл бұрын
Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu) 2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa 3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha
@amimubecha3241
6 жыл бұрын
joji georige pamoja kaka, pamoja sana.
@minharhocuma5264
6 жыл бұрын
na ya nne "kukaa mwenyewe haikubaliki"
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
joji georige Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@mwaijatvonline895
5 жыл бұрын
Nimepata somo pia je kwa wanawake unashikilia Nini? Unapopita kwenye mbwa wakali?
@sabinamagesse2013
3 жыл бұрын
Dah
@jackswat6 жыл бұрын
I think this man is not only wealthier in terms of his money, but even the story he is telling is quite exciting.! True stories kama hizo ni chache sana duniani bwana!. If he manages to put that together in some kind of a book - he will make even more money!. VERY FEW PEOPLE ARE SUCH AS HIM!! - I challenge biographers to take that chance.
@youngdady79016 жыл бұрын
big up sana unahitaji kujiriwa serikalin
@nyachotiokari66264 жыл бұрын
Poleni mzee,mungu anakupenda sana!.Usije ukakoma kumuomba nakusii sana!.Hizi nchi za mbali jameni!.Live marekani,but hiyo story yako imenigusa sana!.
@danielsiasa4596 жыл бұрын
Huyu mzee afuatiliwe vizuri inaonekana kuna mambo mengi ndani yake..ni kama msema kweli hiviii 900 Itapendezaaa 😊😊
@khadijambuta43606 жыл бұрын
warusu kunya ngisi zenu mnatuita ssi nyani mfyuuu pole mzee kesho Allah anawangoja kwa hamu snaa wallah pole snaaa😢😢😢😢
kidole kimeniumaaa mimi hikooo!! hapana jamani.. mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yooote!! Unakwenda kupokea muujiza wako Dr Louis!!
@loveness67326 жыл бұрын
Dah! Nmeshindwa kumaliza hii video.. pole sana Babu. Somo la kujifunza lipo. Kweli mkataa kwao mtumwa!
@cammyris21686 жыл бұрын
Nimekupenda to the extent Na Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa pale nilipolopoka kuhuxu mia TSA inapendeza
@masakakambesha45216 жыл бұрын
So smart kichwani
@samuelmweipongwe1406 жыл бұрын
Nampa pole sana Huyu mzee kwa yote yaliyomkuta lakini pia nampongeza kwa kupambana na hali yake kisawasawa, hakika ni ngumu kuamini lakini ni nyepesi kuitafakari, mladi yupo nyumbani basi mengine tutayaona, ila anikumbuke siku kampuni yake ikitengemaa,
@isackhnano37716 жыл бұрын
Pole Mzee wang "900 itapendeza" mungu yupo Mzee wang
@omarhaji52316 жыл бұрын
sema mzee nipe ajira bn kwny kampuni yako life ngum xn... wa tz achen dharau umezoea xn
@davidklm1236 жыл бұрын
Tunaitwa nyani kilamaala, ata na india wanatuita nao nyani kipindi wao ni nyani weusi mno zaidi yetu... ila chaajabu South Africa wa india wapo Bungeni na hapa kwetu Tanzania wapo Bungeni pia tena uki cheki wapo kwenye u spiker wa Bunge South Africa na Tanzania pia. Yaani hii tabia yetu sisi weusi wakiafrica kuchukiana nakugombezana kati yetu yaani Mungu atuurumiye sana. Cheki unyama wa mzungu sasa hadi walimkata vidole. Nyinyi wakujipendekeza kwa wazungu nawapa pole.
@FLOWERMEDIA3816 жыл бұрын
Mkuu POLE sana, ktk maisha kuna furaha na mateso, inatupasa kuyapitea, mkuu kwa sasa utasaidika na bora umesema na niveema umejitoa mhanga na sasa tumekufahamu veema, napenda Serikali ikusaidie kwani nayo utaisaidia kwa vijana wake kuwapa kazi
@mohamedkitwiko36753 ай бұрын
Umepitia magumu sana mzee mungu akulaze pema
@Kefafundi5
2 ай бұрын
😂😂😂 kafa
@luispeter37363 жыл бұрын
Nimemkumbuka wajinaaaa ,Kama unamkumbuka Dr wa falsafa like twenzetu tukanunue nyumba
@samuelmuhindosivamwanza49885 жыл бұрын
Pole sana baba. Mungu aendelee kukulinda
@emmanuelyandu16086 жыл бұрын
OMG, I'm moved!
@jacksonshillah83026 жыл бұрын
kiukwel nmemuelew bilionea, watz tuache dharau paspo kua na uhakka wa maisha hals ya mtu
@sulejiTv6 жыл бұрын
Pole Sana Mnzee wangu Mungu you po.
@DrNyamwiMSMD6 жыл бұрын
he is very smart and technical.......bt some shit happens..
@RamazaniMulongeca6 жыл бұрын
Wow, what an amazing story...
@upendomunisi94826 жыл бұрын
pole sana Dr Luis. binafsi nimekuelewa.
@fredyjohnwaifakaratanzania25366 жыл бұрын
MZEE YUPO OK
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Fredy John Waifakara Tanzania Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@gezaulole79886 жыл бұрын
Mzee ni msomi kweli co mbabaishaji...shikamoo Dr Shika
Пікірлер: 806
Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI
@shadrackmnjelu5285
6 жыл бұрын
Benson Frank kweeeliiii kaka uyuuuu mzeeee kiboko
@adrofgwahula7294
6 жыл бұрын
Benson Frank kwer
@kassimdiscover7730
6 жыл бұрын
Dahhh nimemkubali huyu Mzee iinauma sana na itabid aangaliwwe jaman PhD sio mchezo mmchezo
@obedisaruni395
6 жыл бұрын
good broo kwakumuelew mzee
@prudencepflanzl576
6 жыл бұрын
Benson Frank Tell Them,,
Asee mzee nakuombea mungu akufanikishe uweze kulipa.iliwatu wanao jua kuhukumu waaibike
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
god otaru Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.
Mzee kasoma Elimu ya Juu Sana,Kuliko Watu wengi sana Tanzania,#Salute OG GOD BLESS YOU
Pole sana mzee wetu nimejifunza kitu kupitia ww kwamba usimzarau mtu kwa muonekano wake
Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana
Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu
He is vry educated , clever and hardworking man . Nice inspirational speech to learn what life holds .
sbuhanna allh pole babu kwa yaliyo kukuta nmekupenda bure babu ang 😘😘😘😘
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Mariam Oman Assalamualaikum! Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@elastomsigala5153
6 жыл бұрын
Mariam Oman
@mariamoman7593
6 жыл бұрын
+Elasto Msigala hi
hujafa hujaumbika, kweli mzee kateseka sana
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@bettyowiti397
3 жыл бұрын
Rip..
Pole Sana mungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina
Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema
Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke! Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.
Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.
Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
comedy kitaa Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Nimegundua mzee amesoma sana ndo maana anavaa simple sana...daaah pole sana mzee tusamehe watanzania wote
@abdallasabour5034
6 жыл бұрын
athman luanda , you are really true Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino
Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.
@prettymum7430
6 жыл бұрын
Bashiri Girro hata mim sijuwi kwanini but i trust him
@kipipakipipa5050
6 жыл бұрын
Feeling so sad
@sulleymanjimmy3199
6 жыл бұрын
duh noma aisee nmemuelewa Sana Dr Shika
@doramsuya5135
6 жыл бұрын
Bashiri Girro kweli kabisa....
@namsamson3443
6 жыл бұрын
Alafu mtu muongo hawezi rudia kitu hicho hicho kila enterview angekuwa anasahau maneno mengine
Tusizarau watu tusio wajua kwa muonekano wao tuu sio vzr jaman dah mzee yuko tmamu tuu pole babu wng
@kyaro5945
6 жыл бұрын
Zainab Bakari polis walimdharau
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Assalamualaikum! Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Usimdhalau mtu kwa kumuona tu ujui yupoje. Big up mzee baba upo vizuli
Millard MPE hela huyu mzee umetengeneza pesa nyingi sana mungu anakuona ujue
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Mathayo Matondo Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Bakari M Akida Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@emanuelmaando4753
4 жыл бұрын
Bakari M Akida nimeelewwa
Pole mzee wangu kwa yaliyokukuta, na mwenyez Mungu aendelee kukulnda.... I love you.
Dr. Shika yaonyesha ni mtu makini sana, na msomi mzuri. Pongezi kwako mheshimiwa.
R.I.P our Dad !!Nenda salama tuko nyuma yako🙏🙏
Heshima kwako Baba We do respect you so much na Mungu anakupenda sana Na ndio maana mpaka Leo upo
He is smart and has a family great thing!!that is real genius🔥🔥
Du pole Sana Baba yetu, Mungu Azidi kukupigania na Akubariki zaidi, akupe furaha na Amani kwa Maisha yako
Mungu akulaze mahalo pema lnshaallah
Pole sana Dr Shika nimekuelewa sana mzee. Wewe ni mtu mwenye busara na hekima tofauti na wanavyokuelewa kimtazamo.
Men Of The Year Dr Lewis I salute you
Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi. Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.
mzee yuko vizuri sana anajua kujieleza tusimdharau tusie mjua
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
charles abednego Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Sawa mzee mungu akusimamie sana!!!! Daaaaaa!!! aya bana duuuu!!!!!
Huyu mzee kiukweli nimetokea kumuelewa sanaaaa
@mansheshe8258
6 жыл бұрын
Wewe Kama Mimi vile
@winniechoyo4072
6 жыл бұрын
IMANI ELIAZARY mi pia
@danielpatrickrobert125
6 жыл бұрын
Huyu mzee inaonekana alikuwa na pes , ila sasa mambo sio baada ya mambo fulani aliyopitia
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@abuuyahya8864
5 жыл бұрын
Imma Ruzige huyu Mzee muongo
mzeee huyo anakili sana hata kujielezea anajua kweli huyu ni doctor of philosophy
@yohanamartin9012
6 жыл бұрын
Timoth Waitara o;in
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@fatmanasornasor9047
4 жыл бұрын
BC akuoe
@bbakzuvciIii
3 жыл бұрын
SEMA KAMA HAJAMCHAGUA BWANA YESU KRISTO IT IS NOTHINGG...😪😫😥
@stellanyaonge285
3 жыл бұрын
@@bbakzuvciIii mjinga tu wew
mbinu za watekaji na namna ya kusepa! asante docta.." shikilia kengele mbwa hatabweta"
Pole mzee yote maisha...mungu ndo muweza wa kila jambo
nimemuelewa sana Dr Millard Ayo msaidiye huyuu mzee
Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah
Pole sana MZEE nimesikitika tujifunze Kitu vijana
Woooi jamani duniani kuna watu wabaya mi mpka mwili umekauka...pole sana Mzee Allah atakusimamia kila kitu utokea kwa sababu...+254 Mombasa
pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua
@yohanamartin9012
6 жыл бұрын
Abdallah Hemed
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Abdallah Hemed Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Dr shika kaeleweka sana.... kwel ucmzarau ucye mjua.... katupa elimu (Ukishindika kengele zako mbwa javelin) na (ucmtazame alye lala ataamua) Hatariiii.
mpen kipindi clauds jamaa ana ongea vitu vya kweli kabisa story yake ina sisimua sana naamini walisikiliza watanzania wata jifunza mengi sana
@issamakoba1608
6 жыл бұрын
hilary mbewa
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Mzee nimekuelewa vilivyo uko smart sana, hapo ndo tofauti ilipo kati ya kusoma na kuelimika na kusoma kuongeza miaka shuleni.
Ooh my God ,mungu akusaidie buda
Mungu akutie nguvu katika mambo ako
*Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*
@bbakzuvciIii
3 жыл бұрын
HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS
Dua yangu na iwe mbele yako daima mzee wangu
kweli usimzarau usie najuwa, pole sana babu kwayote yalokukuta Mungu atakulipia yote hayo
Naomba kuuliza Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha
Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.
😢 😢 😢 😢 😢 😢 😢 kwenyekipigo pole sana mzee
Daaah R.I.P Dr shika pumzika kwa Amani
Tuna shukuru xna mzee wetu ww ni mtanzania mwenzetu tunaomba serikali imsaidie huyu mzee nimtu mzuri mwenye nia yakuleta maendeleo
toa na kitabu mzee iwe historia ya watanzania maana walio wengi hawaelewi kuwa umepitia mitihani mingi sana duu pole sana.
pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!
Mzee yuko poa sana sana 👏👏👏👏
pole sana baba angu duu umepitia mitihani mingi ila mungu yupo nawe baba imeniuma sana wallah.
Pole kwa matatizo mzee Wang
@mickskillstechnology7511
6 жыл бұрын
Winnie Choyo tumpe pole za kutosha na tumsikilize
Degree Nne.... Mzee Daktari haswaa... Si mchezo
Kaza mzee wangu usijali tupo pamoja sema nini mzee wangu kiki yako nzuli sana
naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii
@magenysamike4075
6 жыл бұрын
Pole saaana jamani inatia huruma
@habibumianga6461
6 жыл бұрын
King Zed #pesamadafu AFANDE mwenyewe ni form four failure
@kingzed7763
6 жыл бұрын
msenge kweli
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@salaamclinicoftraditionalm3641
4 жыл бұрын
Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji mifupa 0716651640
Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.
mzee yuko makini kwanza anajua kujieleza pili anajua kunyoosha maelezo so good mzee
We mzee noma nimekuelewa sana
Jaman tujifunze kukaa na jambo kabla ya kuropoka bila kufanya uchunguz ona xaxa jaman mzee wa watu, watu wameongea meng mwixho ukwel umeanza kujitenga na uongo!! daaa! pole xana Dr Luis mung yuko pamoja na ww.
Millard uko vzr na utafika mbali sanaaaaaaaa kwa kazi nzur unayoifanya
lugha yako mzee nimeipenda Sana kama kunauwezekano serekali yetu impe ajira mzee nakupongeza umesoma
This man is smart we shouldn't underate him. Kama mtu nk mwongo maelezo yake huwa hujulikana tu.
Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu) 2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa 3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha
@amimubecha3241
6 жыл бұрын
joji georige pamoja kaka, pamoja sana.
@minharhocuma5264
6 жыл бұрын
na ya nne "kukaa mwenyewe haikubaliki"
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
joji georige Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
@mwaijatvonline895
5 жыл бұрын
Nimepata somo pia je kwa wanawake unashikilia Nini? Unapopita kwenye mbwa wakali?
@sabinamagesse2013
3 жыл бұрын
Dah
I think this man is not only wealthier in terms of his money, but even the story he is telling is quite exciting.! True stories kama hizo ni chache sana duniani bwana!. If he manages to put that together in some kind of a book - he will make even more money!. VERY FEW PEOPLE ARE SUCH AS HIM!! - I challenge biographers to take that chance.
big up sana unahitaji kujiriwa serikalin
Poleni mzee,mungu anakupenda sana!.Usije ukakoma kumuomba nakusii sana!.Hizi nchi za mbali jameni!.Live marekani,but hiyo story yako imenigusa sana!.
Huyu mzee afuatiliwe vizuri inaonekana kuna mambo mengi ndani yake..ni kama msema kweli hiviii 900 Itapendezaaa 😊😊
warusu kunya ngisi zenu mnatuita ssi nyani mfyuuu pole mzee kesho Allah anawangoja kwa hamu snaa wallah pole snaaa😢😢😢😢
nimemuelewa sanaaa..Anahitaji msaada...wap mr presdent
kidole kimeniumaaa mimi hikooo!! hapana jamani.. mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yooote!! Unakwenda kupokea muujiza wako Dr Louis!!
Dah! Nmeshindwa kumaliza hii video.. pole sana Babu. Somo la kujifunza lipo. Kweli mkataa kwao mtumwa!
Nimekupenda to the extent Na Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa pale nilipolopoka kuhuxu mia TSA inapendeza
So smart kichwani
Nampa pole sana Huyu mzee kwa yote yaliyomkuta lakini pia nampongeza kwa kupambana na hali yake kisawasawa, hakika ni ngumu kuamini lakini ni nyepesi kuitafakari, mladi yupo nyumbani basi mengine tutayaona, ila anikumbuke siku kampuni yake ikitengemaa,
Pole Mzee wang "900 itapendeza" mungu yupo Mzee wang
sema mzee nipe ajira bn kwny kampuni yako life ngum xn... wa tz achen dharau umezoea xn
Tunaitwa nyani kilamaala, ata na india wanatuita nao nyani kipindi wao ni nyani weusi mno zaidi yetu... ila chaajabu South Africa wa india wapo Bungeni na hapa kwetu Tanzania wapo Bungeni pia tena uki cheki wapo kwenye u spiker wa Bunge South Africa na Tanzania pia. Yaani hii tabia yetu sisi weusi wakiafrica kuchukiana nakugombezana kati yetu yaani Mungu atuurumiye sana. Cheki unyama wa mzungu sasa hadi walimkata vidole. Nyinyi wakujipendekeza kwa wazungu nawapa pole.
Mkuu POLE sana, ktk maisha kuna furaha na mateso, inatupasa kuyapitea, mkuu kwa sasa utasaidika na bora umesema na niveema umejitoa mhanga na sasa tumekufahamu veema, napenda Serikali ikusaidie kwani nayo utaisaidia kwa vijana wake kuwapa kazi
Umepitia magumu sana mzee mungu akulaze pema
@Kefafundi5
2 ай бұрын
😂😂😂 kafa
Nimemkumbuka wajinaaaa ,Kama unamkumbuka Dr wa falsafa like twenzetu tukanunue nyumba
Pole sana baba. Mungu aendelee kukulinda
OMG, I'm moved!
kiukwel nmemuelew bilionea, watz tuache dharau paspo kua na uhakka wa maisha hals ya mtu
Pole Sana Mnzee wangu Mungu you po.
he is very smart and technical.......bt some shit happens..
Wow, what an amazing story...
pole sana Dr Luis. binafsi nimekuelewa.
MZEE YUPO OK
@sabasandrenethea6472
6 жыл бұрын
Fredy John Waifakara Tanzania Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Mzee ni msomi kweli co mbabaishaji...shikamoo Dr Shika
#makini umetisha Sana mzee baba good for life
mungu anakuongoza
Pole sana, mungu ameshawalipa tuzo yao