SEHEMU YA 1 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds
Пікірлер: 188
Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!
@theonestinamutole8549
2 ай бұрын
❤ kabisaa kapumzika
Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G
Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .
Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.
Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.
Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema
Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...
Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele
@ruqaiamohammed345
2 ай бұрын
Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔
Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G. Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde. Msalimie Ruge. Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu. Jahazi itakumis muda wote
@8pistons194
2 ай бұрын
Huko hakuna kuonana
@beatricembunda6168
2 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina
@stellaukovizurimtanku2744
2 ай бұрын
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki nakukumbuka sana Gadner ulipo sherehesha harusi moja kubwa mnoo pale olasiti arusha
@edmundphilemon3054
2 ай бұрын
Msalimie swaiba wako kibonde
@yasintaamoskatemi2387
2 ай бұрын
Wew @@8pistons194😅😅 umejuaje 😅😅😊
Mungu akupumzishe amen kaka
Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.
Anayehoji yuko vizuri pia
Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi
Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa.. Rest easy 💔 😢 🙏
@hassanmfaume4522
2 ай бұрын
Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!
Ni kweli
daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.
@Fadhilimwamlima
2 ай бұрын
Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana
Pumzika kwa Amani Legend.
R.I.P mwamba aiseee Jahazi litakumis sanaaaasanaa😢
@maryjoseph926
2 ай бұрын
Rest in peace 😢 broo
Mungu ampumzishe pema
Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi
Mungu ampuzishe kwa Aman
Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭
mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu
Rip mlipa Kodi mwenzangu
Daaah Gadnerrrr oooh jamniii
Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭
Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.
Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu
@mwanashehejumaaabdallah6864
2 ай бұрын
mbele yako nyuma yetu kalale salam
@user-jy6pm7px7y
2 ай бұрын
inauma sana ila nenda kaka, mwendo ume umaliza vzr
huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama
Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢
He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏
Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi
Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends May his soul rest peacefully
Really I'm speechless 😢
Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema
Captain G habash 🕊️
Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭
Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.
Innallillah wainna illah rajiun
Pumzika Kwa Amani bro
Apumzike kwa aman
RIP Captain 😢
Pumzika salama kamanda wangu..😭
Rest in peace Gardner Inasikitusha sana hii
@alidamgeni7051
2 ай бұрын
Rest in peace Gardner tutaonana baadae
RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde
Real man
R.i.p captain
Jamaa peace sana. RIP Kamanda
Jahazii
❤❤❤❤❤❤
Poleni sana😢😢😢😢
❤❤❤❤
Aiseeeee😢😢😢
Polen wanahabari
Inna lillah waina Illah rajiun
Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P
Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini
Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu
Apumzike kwa amani
Daaaaaaa
Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.
Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢
Rest in peace LEGEND
Rest in peace gadner g🙏
RIP Legendary
Inalilah wainaillah rajiuun 😢😢
Pumzika kwa amani bro!😭😭
😢😢
Nimekuja baada ya msiba wake😢😢
Rest easy G
Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.
@emmanuelletema8385
2 ай бұрын
Yeah nimerudia kama mara 5 ni sahh
@leedsoldat4189
Ай бұрын
Yah kasema ""Si chin ya 10""
Rup capten
Dunia 😢😢
Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka
Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤
@AdrianoStephen
2 ай бұрын
Lazma Kuna kitu c bule
@sunwizy608
2 ай бұрын
achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢
R•I•P Mwambaaaaa😢😢
Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain
@audaxmlowa9953
2 ай бұрын
Hatuko sawa kabisa wabongo
@nancyg8664
2 ай бұрын
@@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.
@joycekalago532
2 ай бұрын
Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama
@nancyg8664
2 ай бұрын
@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.
R.i.p Brother
Pumzika kwa amani kaka 😢😢😢😢
😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.
@Zainab-qg6xv
2 ай бұрын
Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi
Innalilah wainallh rajiun
Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun 😢
Rest in peace habash
Pumzika kwa aman captain
Pumzika kwaamani Captain
Pumzika kwa amani..captain
You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!
R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭
Dhuuu ulale salama ulikua mtu poa sanaaa
Pumzika Kwa Amani
RIp legend
Innalillahi Wainnailaihi Rajiun
Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi
@Bettingreviewtz
2 ай бұрын
29,000,000
@blessedaggie9159
2 ай бұрын
@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu
@leedsoldat4189
Ай бұрын
Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""
@Bettingreviewtz
Ай бұрын
@@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa
r.i.p captain wanajahazi tutakukumbuka daima
Daah! May his soul rest in peace 💔
R.I.P my brother G...
Lala salama babu G
R. I. P Captain 😭😭😭
MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??
R.i.p mwambaaa