SEHEMU YA 1 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds

Пікірлер: 188

  • @kibito8339
    @kibito83392 ай бұрын

    Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!

  • @theonestinamutole8549

    @theonestinamutole8549

    2 ай бұрын

    ❤ kabisaa kapumzika

  • @user-bt6tl9hn5u
    @user-bt6tl9hn5u2 ай бұрын

    Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G

  • @user-qd9vf6ud3f
    @user-qd9vf6ud3f2 ай бұрын

    Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam35342 ай бұрын

    Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.

  • @rosegideon336
    @rosegideon3362 ай бұрын

    Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.

  • @DivinebabyDee
    @DivinebabyDee2 ай бұрын

    Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema

  • @HassanHassan-pe7kj
    @HassanHassan-pe7kj2 ай бұрын

    Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...

  • @samsonmollel8147
    @samsonmollel81472 ай бұрын

    Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    2 ай бұрын

    Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika48512 ай бұрын

    Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G. Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde. Msalimie Ruge. Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu. Jahazi itakumis muda wote

  • @8pistons194

    @8pistons194

    2 ай бұрын

    Huko hakuna kuonana

  • @beatricembunda6168

    @beatricembunda6168

    2 ай бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina

  • @stellaukovizurimtanku2744

    @stellaukovizurimtanku2744

    2 ай бұрын

    Poleni sana ndugu jamaa namarafiki nakukumbuka sana Gadner ulipo sherehesha harusi moja kubwa mnoo pale olasiti arusha

  • @edmundphilemon3054

    @edmundphilemon3054

    2 ай бұрын

    Msalimie swaiba wako kibonde

  • @yasintaamoskatemi2387

    @yasintaamoskatemi2387

    2 ай бұрын

    Wew ​@@8pistons194😅😅 umejuaje 😅😅😊

  • @halimaallyazizi4443
    @halimaallyazizi44432 ай бұрын

    Mungu akupumzishe amen kaka

  • @salaita2829
    @salaita28292 ай бұрын

    Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy2 ай бұрын

    Anayehoji yuko vizuri pia

  • @salminasalim5630
    @salminasalim56302 ай бұрын

    Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred57622 ай бұрын

    Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa.. Rest easy 💔 😢 🙏

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    2 ай бұрын

    Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!

  • @CharlesLymo
    @CharlesLymo2 ай бұрын

    Ni kweli

  • @oscartalljembemgonya3528
    @oscartalljembemgonya35282 ай бұрын

    daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.

  • @Fadhilimwamlima

    @Fadhilimwamlima

    2 ай бұрын

    Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe99872 ай бұрын

    Pumzika kwa Amani Legend.

  • @elizabethlukoo4662
    @elizabethlukoo46622 ай бұрын

    R.I.P mwamba aiseee Jahazi litakumis sanaaaasanaa😢

  • @maryjoseph926

    @maryjoseph926

    2 ай бұрын

    Rest in peace 😢 broo

  • @beautymushi6164
    @beautymushi61642 ай бұрын

    Mungu ampumzishe pema

  • @enofrank1842
    @enofrank18422 ай бұрын

    Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk2 ай бұрын

    Mungu ampuzishe kwa Aman

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani3572 ай бұрын

    Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭

  • @abdulhassan6482
    @abdulhassan64822 ай бұрын

    mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu

  • @mmangaabas2416
    @mmangaabas24162 ай бұрын

    Rip mlipa Kodi mwenzangu

  • @teddymutani856
    @teddymutani8562 ай бұрын

    Daaah Gadnerrrr oooh jamniii

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m2 ай бұрын

    Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭

  • @erickbarthazar9316
    @erickbarthazar93162 ай бұрын

    Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.

  • @fadhilmnyamwezi5037
    @fadhilmnyamwezi50372 ай бұрын

    Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu

  • @mwanashehejumaaabdallah6864

    @mwanashehejumaaabdallah6864

    2 ай бұрын

    mbele yako nyuma yetu kalale salam

  • @user-jy6pm7px7y

    @user-jy6pm7px7y

    2 ай бұрын

    inauma sana ila nenda kaka, mwendo ume umaliza vzr

  • @johnmuro9915
    @johnmuro99152 ай бұрын

    huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d2 ай бұрын

    Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢

  • @DeTrinahx
    @DeTrinahx2 ай бұрын

    He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏

  • @neemakiula8884
    @neemakiula88842 ай бұрын

    Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg2 ай бұрын

    Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends May his soul rest peacefully

  • @junioremmanuel1695
    @junioremmanuel16952 ай бұрын

    Really I'm speechless 😢

  • @EvodiaMgunda
    @EvodiaMgunda2 ай бұрын

    Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer2 ай бұрын

    Captain G habash 🕊️

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q2 ай бұрын

    Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 ай бұрын

    Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.

  • @alitoufik5477
    @alitoufik54772 ай бұрын

    Innallillah wainna illah rajiun

  • @FaridaNassor-oj7tx
    @FaridaNassor-oj7tx2 ай бұрын

    Pumzika Kwa Amani bro

  • @user-dt9iz2gq3s
    @user-dt9iz2gq3s2 ай бұрын

    Apumzike kwa aman

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar61962 ай бұрын

    RIP Captain 😢

  • @noelbryson7840
    @noelbryson78402 ай бұрын

    Pumzika salama kamanda wangu..😭

  • @Shadadihamis25
    @Shadadihamis252 ай бұрын

    Rest in peace Gardner Inasikitusha sana hii

  • @alidamgeni7051

    @alidamgeni7051

    2 ай бұрын

    Rest in peace Gardner tutaonana baadae

  • @collinsrutenge6449
    @collinsrutenge64492 ай бұрын

    RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde

  • @dulla9195
    @dulla9195Ай бұрын

    Real man

  • @DavidDavidmaleko
    @DavidDavidmaleko2 ай бұрын

    R.i.p captain

  • @josephlorri431
    @josephlorri4312 ай бұрын

    Jamaa peace sana. RIP Kamanda

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je2 ай бұрын

    Jahazii

  • @TVT4888
    @TVT48882 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @kamulisamson896
    @kamulisamson8962 ай бұрын

    Poleni sana😢😢😢😢

  • @TVT4888
    @TVT48882 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @annamakomele339
    @annamakomele3392 ай бұрын

    Aiseeeee😢😢😢

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga2 ай бұрын

    Polen wanahabari

  • @hamisiussiku1151
    @hamisiussiku11512 ай бұрын

    Inna lillah waina Illah rajiun

  • @Wendy-kz6cy
    @Wendy-kz6cy2 ай бұрын

    Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter85692 ай бұрын

    Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini

  • @FurahaNgomango-zr3bz
    @FurahaNgomango-zr3bz2 ай бұрын

    Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu

  • @imanimwakinga4934
    @imanimwakinga49342 ай бұрын

    Apumzike kwa amani

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed35862 ай бұрын

    Daaaaaaa

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja97132 ай бұрын

    Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian6612 ай бұрын

    Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢

  • @YousraNjokiMGHAZA-rq7wz
    @YousraNjokiMGHAZA-rq7wz2 ай бұрын

    Rest in peace LEGEND

  • @mwasitimajid
    @mwasitimajid2 ай бұрын

    Rest in peace gadner g🙏

  • @fortunatafelician5625
    @fortunatafelician56252 ай бұрын

    RIP Legendary

  • @rehemadossa8154
    @rehemadossa81542 ай бұрын

    Inalilah wainaillah rajiuun 😢😢

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin60172 ай бұрын

    Pumzika kwa amani bro!😭😭

  • @mwajumanjama4023
    @mwajumanjama40232 ай бұрын

    😢😢

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj2 ай бұрын

    Nimekuja baada ya msiba wake😢😢

  • @OmaryJuma-lo1kw
    @OmaryJuma-lo1kw2 ай бұрын

    Rest easy G

  • @eliamtani2840
    @eliamtani28402 ай бұрын

    Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.

  • @emmanuelletema8385

    @emmanuelletema8385

    2 ай бұрын

    Yeah nimerudia kama mara 5 ni sahh

  • @leedsoldat4189

    @leedsoldat4189

    Ай бұрын

    Yah kasema ""Si chin ya 10""

  • @levinabyamungu8453
    @levinabyamungu84532 ай бұрын

    Rup capten

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16502 ай бұрын

    Dunia 😢😢

  • @user-gv6ij2zt2h
    @user-gv6ij2zt2h2 ай бұрын

    Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon15622 ай бұрын

    Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤

  • @AdrianoStephen

    @AdrianoStephen

    2 ай бұрын

    Lazma Kuna kitu c bule

  • @sunwizy608

    @sunwizy608

    2 ай бұрын

    achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢

  • @NhungosolloMuya
    @NhungosolloMuya2 ай бұрын

    R•I•P Mwambaaaaa😢😢

  • @nancyg8664
    @nancyg86642 ай бұрын

    Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain

  • @audaxmlowa9953

    @audaxmlowa9953

    2 ай бұрын

    Hatuko sawa kabisa wabongo

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    2 ай бұрын

    @@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.

  • @joycekalago532

    @joycekalago532

    2 ай бұрын

    Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    2 ай бұрын

    ​@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.

  • @anithamuttassa8981
    @anithamuttassa89812 ай бұрын

    R.i.p Brother

  • @PeterSige
    @PeterSige2 ай бұрын

    Pumzika kwa amani kaka 😢😢😢😢

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d2 ай бұрын

    😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.

  • @Zainab-qg6xv

    @Zainab-qg6xv

    2 ай бұрын

    Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin95202 ай бұрын

    Innalilah wainallh rajiun

  • @zulaikasalum3568
    @zulaikasalum35682 ай бұрын

    Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun 😢

  • @EliasElias-ee7wl
    @EliasElias-ee7wl2 ай бұрын

    Rest in peace habash

  • @momylaviel
    @momylaviel2 ай бұрын

    Pumzika kwa aman captain

  • @leaherasto929
    @leaherasto9292 ай бұрын

    Pumzika kwaamani Captain

  • @patrokilgeofrey
    @patrokilgeofrey2 ай бұрын

    Pumzika kwa amani..captain

  • @shillachiumbo4241
    @shillachiumbo42412 ай бұрын

    You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!

  • @teodorypeter6677
    @teodorypeter66772 ай бұрын

    R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe2 ай бұрын

    Dhuuu ulale salama ulikua mtu poa sanaaa

  • @DariaMaurus-mo1ug
    @DariaMaurus-mo1ug2 ай бұрын

    Pumzika Kwa Amani

  • @Timoclement
    @Timoclement2 ай бұрын

    RIp legend

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani92642 ай бұрын

    Innalillahi Wainnailaihi Rajiun

  • @davidnyitambe3399
    @davidnyitambe33992 ай бұрын

    Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi

  • @Bettingreviewtz

    @Bettingreviewtz

    2 ай бұрын

    29,000,000

  • @blessedaggie9159

    @blessedaggie9159

    2 ай бұрын

    ​@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu

  • @leedsoldat4189

    @leedsoldat4189

    Ай бұрын

    Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""

  • @Bettingreviewtz

    @Bettingreviewtz

    Ай бұрын

    @@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa

  • @TizoMgaya-pd9nw
    @TizoMgaya-pd9nw2 ай бұрын

    r.i.p captain wanajahazi tutakukumbuka daima

  • @janecolleter
    @janecolleter2 ай бұрын

    Daah! May his soul rest in peace 💔

  • @RaphaelDaffa
    @RaphaelDaffa2 ай бұрын

    R.I.P my brother G...

  • @DivinebabyDee
    @DivinebabyDee2 ай бұрын

    Lala salama babu G

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w2 ай бұрын

    R. I. P Captain 😭😭😭

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z2 ай бұрын

    MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market2 ай бұрын

    R.i.p mwambaaa

Келесі