SEHEMU YA 2 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds

Пікірлер: 70

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha7557Ай бұрын

    Best interview ever ,.. I didn’t see before 🥲Majority tupo hapa coz G ametutoka

  • @oscarchiwalala1745
    @oscarchiwalala1745Ай бұрын

    Every Strong And Positive Man! Real Open Love It! RIP Brother.

  • @mwasonkambi7207
    @mwasonkambi7207Ай бұрын

    Mungu akupumzishe mahala salama kaka Captain Gardner G Habashi ❤

  • @johnluyego9353
    @johnluyego9353Ай бұрын

    Hongera kwako mtangazani, unauliza maswali ya msingi. Wote ni wa Mungu

  • @erastongussa2334
    @erastongussa2334Ай бұрын

    Booooonge la interview, Mtangazaji katulia, maswali yanaeleweka, yanaulizwa kwa urahisi,na G, ametulia anajibu simple na straight, safi saaana.

  • @elishaobadia8829
    @elishaobadia8829Ай бұрын

    Huyu mtangazaji huwa anaitwa nani..?anajitambua sana ......r.i.p G

  • @Planet_Zong
    @Planet_ZongАй бұрын

    Stanslaus Lambert my favourite media pesonality..... Keep it up

  • @claudiajames2003

    @claudiajames2003

    Ай бұрын

    Yes very good journalist!

  • @ismailwiliam385
    @ismailwiliam385Ай бұрын

    Host ametulia sana na Gadner anajibu vizuri sana hihi ndio maana halisi ya interview and professionalism, media na watangazaji wengine tujifunze kitu hapa smart mind,smart answer, smart move,perfect answer and kubwa zaidi utulivu

  • @FaustinMashaka

    @FaustinMashaka

    Ай бұрын

    Jamaa anajua sana apumzike kwa Amani. Sio utaskia No comment 😏 ulikubali interview ya nini..?😅

  • @AminaMfinanga-nu6jl
    @AminaMfinanga-nu6jlАй бұрын

    Dunian bado kuna watu wazur,Tuzidi kumuomba Mungu atukutanishe nao, Nimependa interview and Rip Gadnar😢

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944Ай бұрын

    Best interview 🎉.R.I.P Captain

  • @jackietogwa7957
    @jackietogwa7957Ай бұрын

    Rest in peace...

  • @lusticendokole9385
    @lusticendokole9385Ай бұрын

    Gardner alikuwa mtu mwema sana.,, pumzika Kwa Amani bro.. Kuna mambo mengi nimejifunza kutoka katika hii interview.

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamangaАй бұрын

    Rip Captain Dunia mapito kabisaa

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    Ай бұрын

    Yaani

  • @Adeen.1
    @Adeen.1Ай бұрын

    Wale celebrities uchwala wa no comments...jioni mjifunze kujibu hata kama swali unataka likwepa kuna the right way ya kukwepa inakuwa haiboi...SIMPLE AND CLEAR.

  • @sekikigosi8265

    @sekikigosi8265

    Ай бұрын

    Kabisa

  • @mosesthuranira6553
    @mosesthuranira6553Ай бұрын

    this interview was amezing

  • @davidnyitambe3399
    @davidnyitambe3399Ай бұрын

    Mtangazaji uko vizuri🎉

  • @hamadyndembo3366
    @hamadyndembo3366Ай бұрын

    Kazi nzuri ksana kwa captain na mtangazaji

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337Ай бұрын

    One of the best interview i watched

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001Ай бұрын

    Nime enjoy sana, bonge la interview

  • @AshaKaijage
    @AshaKaijageАй бұрын

    Mtangazaji uko vizuri

  • @jacksonmwinyi8658
    @jacksonmwinyi8658Ай бұрын

    Hii interview ipelekwee makta R.I.P babu G😢

  • @fredvikotta2095
    @fredvikotta2095Ай бұрын

    Big memory🙏🙏🙏🙏🙏

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983Ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akupumzishe kwa amani

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128Ай бұрын

    Bonge ya interview

  • @erastongussa2334

    @erastongussa2334

    Ай бұрын

    Kweli kabsaaaa

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zyАй бұрын

    Interview Kali kinomaaa

  • @leaherasto929
    @leaherasto929Ай бұрын

    Pole Sana Caren

  • @dork8749
    @dork8749Ай бұрын

    Lov u Champion

  • @piusanold2056
    @piusanold2056Ай бұрын

    Mtu safi

  • @berthachacky6593
    @berthachacky6593Ай бұрын

    Daaaah Pumzika kwa Amani Gadna

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265Ай бұрын

    Pumzika kwa amani bro.

  • @rosinamtauka9933
    @rosinamtauka9933Ай бұрын

    your authoritative voice will be missed ! R.I. P brother

  • @rosegideon336
    @rosegideon336Ай бұрын

    Aisee kweli life is too short.Mungu tupe mwisho mwema.

  • @gharibalhusni2716
    @gharibalhusni2716Ай бұрын

    Stanslaus Lambert & Skywalker S&S - nawafatilia sana ,Emphraem Kibonde video yake ya mwisho msibani kwa Ruge nnayo hadi leo , Ruge nilisililiza sana vipindi vyake ,Gardner interview hii imetoka kama true story, 😢RIP Captain 🧢

  • @user-dy5xb3sd4y
    @user-dy5xb3sd4yАй бұрын

    Smart man rest easy

  • @Rosekiwelu-bt5wq
    @Rosekiwelu-bt5wqАй бұрын

    Duh Inauma sana jamani

  • @godfreychuwa7271
    @godfreychuwa7271Ай бұрын

    Hii interview nimejifunza mengi 💔.R.I.P captain G

  • @MaryCaroly-zl1ei

    @MaryCaroly-zl1ei

    Ай бұрын

    😢😢😢😢

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonlyАй бұрын

    RIP Legend 🕊️

  • @CharlesKavishe-kl5bv
    @CharlesKavishe-kl5bvАй бұрын

    R I P captain G habashi nimejifunza kityu

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685Ай бұрын

    Nani asieee 😅😅 na ajitokezee, RIP Captain Gardner G

  • @aminakassim7486

    @aminakassim7486

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @FaustaSimon
    @FaustaSimonАй бұрын

    R.I.P brother

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542Ай бұрын

    Mbona kwenye risala walisema ameacha mtoto mmoja na mjukuu mmoja. Kumbe ye mwenyewe kasema ana watoto 2?

  • @RamadhaniShaban-xk6yi
    @RamadhaniShaban-xk6yiАй бұрын

    R i p captain ulikuwa mtu poa sana my brother 🎉😢

  • @pendomwandoro8435
    @pendomwandoro8435Ай бұрын

    RIP Gardner

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbeАй бұрын

    Nafurahi sana mtu km wewe ulikua wa pekee sanaaa.

  • @andrewkerenge3816
    @andrewkerenge3816Ай бұрын

    Rip bro

  • @nancyfantasia1945
    @nancyfantasia1945Ай бұрын

    Mtangazaji anajielewa sana aiseee ametulia anauliza maswali kisomi saaan hakurupuki

  • @alimuhamed1830

    @alimuhamed1830

    Ай бұрын

    Jamaa voice yake kama salim k

  • @lukasz8316
    @lukasz8316Ай бұрын

    R.I.P

  • @borahmlamba5030
    @borahmlamba5030Ай бұрын

    Lala salama Gadner 😭😭 pumzika kwa amani

  • @janethgreysonmakengomakeng4145
    @janethgreysonmakengomakeng4145Ай бұрын

    Rest in peace Captain Habash.

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ysАй бұрын

    RIP brother G.

  • @user-eu1wq8bn9y
    @user-eu1wq8bn9yАй бұрын

    😢😢😢😢

  • @matronanjau3484
    @matronanjau3484Ай бұрын

    R.I.P G

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju8402Ай бұрын

    Innalllilah wainnalilah rajirun

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104Ай бұрын

    R.I.P 😢

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043Ай бұрын

    R.I P Gadner😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rerisamba
    @rerisambaАй бұрын

    Hio harusi jamani simungedumu kabisa mpaka mkawa na watoto

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbeАй бұрын

    Gadner nitakukumbuka mnooo

  • @johnluyego9353
    @johnluyego9353Ай бұрын

    Duh we host sio powa

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbeАй бұрын

    Uko km mimi

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6oАй бұрын

    Rest in peace gardner😢

  • @frankpatroba4821
    @frankpatroba4821Ай бұрын

    R.i.p Captaaain 😢😢

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389Ай бұрын

    Rest in peace ✌️ champion

Келесі