SEHEMU YA 2 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds
Пікірлер: 70
Best interview ever ,.. I didn’t see before 🥲Majority tupo hapa coz G ametutoka
Every Strong And Positive Man! Real Open Love It! RIP Brother.
Mungu akupumzishe mahala salama kaka Captain Gardner G Habashi ❤
Hongera kwako mtangazani, unauliza maswali ya msingi. Wote ni wa Mungu
Booooonge la interview, Mtangazaji katulia, maswali yanaeleweka, yanaulizwa kwa urahisi,na G, ametulia anajibu simple na straight, safi saaana.
Huyu mtangazaji huwa anaitwa nani..?anajitambua sana ......r.i.p G
Stanslaus Lambert my favourite media pesonality..... Keep it up
@claudiajames2003
Ай бұрын
Yes very good journalist!
Host ametulia sana na Gadner anajibu vizuri sana hihi ndio maana halisi ya interview and professionalism, media na watangazaji wengine tujifunze kitu hapa smart mind,smart answer, smart move,perfect answer and kubwa zaidi utulivu
@FaustinMashaka
Ай бұрын
Jamaa anajua sana apumzike kwa Amani. Sio utaskia No comment 😏 ulikubali interview ya nini..?😅
Dunian bado kuna watu wazur,Tuzidi kumuomba Mungu atukutanishe nao, Nimependa interview and Rip Gadnar😢
Best interview 🎉.R.I.P Captain
Rest in peace...
Gardner alikuwa mtu mwema sana.,, pumzika Kwa Amani bro.. Kuna mambo mengi nimejifunza kutoka katika hii interview.
Rip Captain Dunia mapito kabisaa
@hyacintagugu7
Ай бұрын
Yaani
Wale celebrities uchwala wa no comments...jioni mjifunze kujibu hata kama swali unataka likwepa kuna the right way ya kukwepa inakuwa haiboi...SIMPLE AND CLEAR.
@sekikigosi8265
Ай бұрын
Kabisa
this interview was amezing
Mtangazaji uko vizuri🎉
Kazi nzuri ksana kwa captain na mtangazaji
One of the best interview i watched
Nime enjoy sana, bonge la interview
Mtangazaji uko vizuri
Hii interview ipelekwee makta R.I.P babu G😢
Big memory🙏🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu akupumzishe kwa amani
Bonge ya interview
@erastongussa2334
Ай бұрын
Kweli kabsaaaa
Interview Kali kinomaaa
Pole Sana Caren
Lov u Champion
Mtu safi
Daaaah Pumzika kwa Amani Gadna
Pumzika kwa amani bro.
your authoritative voice will be missed ! R.I. P brother
Aisee kweli life is too short.Mungu tupe mwisho mwema.
Stanslaus Lambert & Skywalker S&S - nawafatilia sana ,Emphraem Kibonde video yake ya mwisho msibani kwa Ruge nnayo hadi leo , Ruge nilisililiza sana vipindi vyake ,Gardner interview hii imetoka kama true story, 😢RIP Captain 🧢
Smart man rest easy
Duh Inauma sana jamani
Hii interview nimejifunza mengi 💔.R.I.P captain G
@MaryCaroly-zl1ei
Ай бұрын
😢😢😢😢
RIP Legend 🕊️
R I P captain G habashi nimejifunza kityu
Nani asieee 😅😅 na ajitokezee, RIP Captain Gardner G
@aminakassim7486
Ай бұрын
😂😂😂
R.I.P brother
Mbona kwenye risala walisema ameacha mtoto mmoja na mjukuu mmoja. Kumbe ye mwenyewe kasema ana watoto 2?
R i p captain ulikuwa mtu poa sana my brother 🎉😢
RIP Gardner
Nafurahi sana mtu km wewe ulikua wa pekee sanaaa.
Rip bro
Mtangazaji anajielewa sana aiseee ametulia anauliza maswali kisomi saaan hakurupuki
@alimuhamed1830
Ай бұрын
Jamaa voice yake kama salim k
R.I.P
Lala salama Gadner 😭😭 pumzika kwa amani
Rest in peace Captain Habash.
RIP brother G.
😢😢😢😢
R.I.P G
Innalllilah wainnalilah rajirun
R.I.P 😢
R.I P Gadner😭😭😭😭😭😭😭😭
Hio harusi jamani simungedumu kabisa mpaka mkawa na watoto
Gadner nitakukumbuka mnooo
Duh we host sio powa
Uko km mimi
Rest in peace gardner😢
R.i.p Captaaain 😢😢
Rest in peace ✌️ champion