#EXCLUSIVE

#EXCLUSIVE: A to Z HAYATI KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADI KUUAWA, MTOTO WAKE ASIMULIA KILA KITU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 59

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa2305 ай бұрын

    Mungu amtunze Rais Amani, he's so genuine all the time. Huwa sichoki kumsikiliza, ni zawadi kwetu.

  • @mohamedbat-heif3693
    @mohamedbat-heif36932 ай бұрын

    Nimevutiwa sana na mheshimiwa kwa heshma yake,upole wake na fungamano lake na dini yake,mara kwa mara hua anamshukuru Allah na kutowa shukrani zake kwa Allah kwa kutamka alhamdulillah. Namuombea tawfik katika harakati zake za kimaisha na za kuwaunganisha wananchi wenzake. Wabillah tawfiq

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman63403 ай бұрын

    Ahsante Mh umeeleza ukweli usiopingika nimependa sana ,hususan kufilisika kwaviwanda vyetu 🎉🎉🎉

  • @khamismakame5934
    @khamismakame59345 ай бұрын

    muandishi mie napenda kwanza ujue nini tofauti ya hayati na marehemu maiti ya kiislam baada kuzikwa huitwa marehemu maana hua tunamuombea rehma kutoka kwa mwenyezi Mungu na hao wengine hiyana hayati maana yao wao mie siijui

  • @salimukungulilo2928
    @salimukungulilo292811 ай бұрын

    Allahuma umghofirie na UMREHEMU NAUMPE MAKAZI JANNATI FIRDAWSNUZULA Amin

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi33984 ай бұрын

    Sasa hivi Simai amejiuzulu kwasababu anataka kujaza pombe zanzibar na sharia haimruhusu😊

  • @nathanamon6876
    @nathanamon6876 Жыл бұрын

    MUNGU azidi kumpa uhai Mzee wetu hata like basi wakuu nimekua wa kwanza hapa

  • @allyhusseinally2461
    @allyhusseinally2461 Жыл бұрын

    Appreciate history ya mzee wetu🇹🇿🙏🤲♥️

  • @Itarusii
    @Itarusii5 ай бұрын

    Kazi kweli. Tuna la kujifunza hapo. Historia mpaka mtu uje kufahamu ukweli ni changamoto. Yale yale ya Sokoine. Tuendelee kujuzana.

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 Жыл бұрын

    Ukitaka kujua kwanini haswa marehemu alipigwa risasi...andika hapa youtube mahojiano ya amani thani akiwa dubai... Akielezea dhulma kubwa aloifanya marehem na nin kilipelekea auwawe... Nchi hii imemwagwa damu za watu ambao hawana hatia bila ya sababu ya msingi... Historia inafichwa fichwa mno ..ila kiukweli wazee hawa walizingua mno ..

  • @admirabisikiduduye1516

    @admirabisikiduduye1516

    5 ай бұрын

    Nilisoma makala moja , pamoja na simulizi za mitaani, baba yake hamoud na wanaharakati kadhaa wa mapinduzi waliuawa akiwemo Hanga na kuzikwa kaburi moja, kabla ya kumuua karume hamoud alitamba na kusema ipo siku nitamuua karume, vyombo vya dola vilipuuzia kwa kuwa walikuwa marafiki pete na kidole

  • @dalali_professionalwa_dodo8330

    @dalali_professionalwa_dodo8330

    4 ай бұрын

    @@admirabisikiduduye1516 mzee na hamoud walikuwa marafiki?

  • @benjaminmanento4120
    @benjaminmanento41203 ай бұрын

    Asante, nimefaidi sana. Huyu mzee ana HEKIMA NYINGI. Mungu ambariki.

  • @Brandsonce-qs2yt
    @Brandsonce-qs2yt6 ай бұрын

    Safi sana kwa kumusikia

  • @omarmussa5755
    @omarmussa5755 Жыл бұрын

    Muandishi kazi nzr sana brother

  • @wizkidayo390
    @wizkidayo390 Жыл бұрын

    Mh ameanza vizuri anamaliza vibaya mpka anafanya kigugumizi sisi tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili asiseme uwongo c aseme tu 😢😢

  • @leblue4768

    @leblue4768

    Жыл бұрын

    Dhulma zao watazilipa hapahapa

  • @hassannyagawa2308

    @hassannyagawa2308

    Жыл бұрын

    Unalaumu nini. Huyo saa hizi mzee unatakasema alishiriki kumuuwa baba yake au wewe unajuwa vizuri twambie

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    😍😍😍❤️

  • @pandungozi1072
    @pandungozi1072 Жыл бұрын

    Mtoa maada nahisi mmekwenda mchomo na mmepoteza maada ya lengo na madhumuni yote ya topic yenu! maada ilikua kuelezea kifo cha karume mwanzo hadi mwisho sio kuruka kwenye maada za mapindunzi,uchumi na uwongozi na maisha yao,vigugumizi na kupoteza mda wa wasikilizaji. Anyway mmejitahidi but mmepoteza muelekeo wa maada yenu bila kujijua wala kujitambua. Asanteni

  • @fatmaabeid9668

    @fatmaabeid9668

    6 ай бұрын

    Hajajitaarisha wala hakusoma histri ya mzee karume ili ataarishe masuala

  • @bekabeka-ww2mn
    @bekabeka-ww2mn Жыл бұрын

    world on fire

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 Жыл бұрын

    Stories nyingi zinasima Mzee Karume alizaliwa Malawi kijijini na aliletwa Zanzibar na Kambarage apindue hatujui Nani Mkweli

  • @ladislausngoyinde4384

    @ladislausngoyinde4384

    Жыл бұрын

    Tuambie pia hao masultan waliopinduliwa walitoka wapi

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    Жыл бұрын

    Hz stori za masikan

  • @HassanBoy-cp2zr
    @HassanBoy-cp2zr Жыл бұрын

    VIP Levi pesa za wizi zishamaliza

  • @emmanuelsanga3797
    @emmanuelsanga3797 Жыл бұрын

    Nakuona unachekiii cm why

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv3 ай бұрын

    Ukiuwa Kwa upanga utauliwa Kwa upanga hili halina mjadala

  • @mlulamsiliwa7123
    @mlulamsiliwa71234 ай бұрын

    😮😮😮😮😮😮

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97735 ай бұрын

    Wauwaji na uvamizi na wengine wamekosa radhi kuwa wanafiki Mwenyezi Mungu mkubwa ndio anaejuwa na haki ataleta In Shaa Allah ameen

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y3 ай бұрын

    Baba yake huyu Abeid Amani Karume hivi sasa yupo Jahannam.Mapinduzi ya 1964 Zanzibar ni mauwaji na Karume alishiriki.Malipo ni duniani na Karume akauwawa.

  • @moviesgreatdirectors3193
    @moviesgreatdirectors31935 ай бұрын

    Muungano wa leo siyo Muungano maana washirika hawako sawa. Zanzibar ina Serikali yake, Tanganyika haina serikali. Maono ya hayati Karume kuhusu Muungano ulikuwa wa kuwa wa nchi moja yenye serikali moja.

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Жыл бұрын

    Tujiulize wale wengine walioenda nangari walitafutwa vipi? Au ndio hao waliokamatwa katika mawaziri na vipi walifinguliwa kesi za mauaji?

  • @fatmaabeid9668

    @fatmaabeid9668

    6 ай бұрын

    Uyo muandishi hana maswala yake sijui hakusoma histri ya mzee karumee hajahitaarisha hasa na mauala ya mzee karume

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Жыл бұрын

    Hapo kasemq kweli walionda kushambulia, na walioenda kushambulia walikuwa group Lakini mzee aman hujatwambia walioshambia ni gari ya aina gani? Na watu wa aina gani? Mie sisemi. 😂😂😂

  • @godwinmbwambo3316

    @godwinmbwambo3316

    10 ай бұрын

    Acha speculations

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira54116 ай бұрын

    Kwanini mzee Karume aliuwawa?

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Жыл бұрын

    Thabit kombo kafa mwaka gani?

  • @Bam268

    @Bam268

    Жыл бұрын

    Juzi

  • @razackmuba8195
    @razackmuba8195 Жыл бұрын

    Mh,

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын

    Mamlaka kamili hayawezi kupatikana kwa makaratasi

  • @user-bl9zf1zb2t

    @user-bl9zf1zb2t

    Жыл бұрын

    Yanapatikanaje?

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    @@user-bl9zf1zb2t hujaskia walivyo sema nchi hawajaipata kwa makaratasi na haitatoka kwa makaratasi sasa akili kichwani mwako

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d Жыл бұрын

    Si kweli baba ako hakuzaliwa mwera kazaliwa malawi huo ni kweli nyi nyi hamna asili ya uzanzibari

  • @KhalidMohammed-mq3km

    @KhalidMohammed-mq3km

    5 ай бұрын

    Kumamae wallah yaani utazani wewe ndio mzazi wao gastadialo stupid

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Жыл бұрын

    Alishambulia alikuwa na wenzake wanavyosema mashahidi ndani ya afisi kuu. Kilikuwa ni kikundi cha huyo jamaa ambao walitumwa na wanavyosema mashahidi aliyeua kauliwa na watu wake ambao walimpeleka aue. Hadithi hiyo niliipata ndani ya ofisi kuu kwa mzee wa ccm ambaye wakati huo alikuwa kijana wa asp

  • @lastborn7810

    @lastborn7810

    Жыл бұрын

    Nae ni nyerere na wanajua lakini hawasemi 😂

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын

    Viwanda viliendeshwa kwa ujamaa na mazoea rushwa matumizi mabaya ya vyeo na kutoajiri wataalamu wa kitosha.

  • @tatumuhando6107
    @tatumuhando6107 Жыл бұрын

    Aliemuuwa karume ni shemeji yake huyo anaezungumza hapo ni mjomba wake aliezaliwa na mama yake Baba na mama mmoja ninaushahidi na ninayoyazungumza mkitaka kujua zaidi wasafi mnitafute niwapeni story maana nilikuwepo eneo la tukio japo nilikuwa mdogo

  • @jumamachano3442

    @jumamachano3442

    Жыл бұрын

    Acha shoboooo www

  • @SliJuma-un9sl
    @SliJuma-un9sl Жыл бұрын

    Hunaishu wewe ulipokua madarakani alifanya nini mbwa

  • @salimamani6672

    @salimamani6672

    Жыл бұрын

    Mpumbavu sana wewe unajuwa nani aliye leta Zanzibar mariziano mpaka leo ikiwa shwari hakuna Raisi duniani kote au kiongozi asiye kuwa na mapungufu walipita maraisi wangapi Zanzibar kabla yeke je kulikuwa na neno mariziano?

  • @muniraally4091

    @muniraally4091

    7 ай бұрын

    Subhanallah una haja gani kutu k ana

  • @mombasa0076

    @mombasa0076

    5 ай бұрын

    MATUSI SI MTAJI

Келесі