Jussa:Nyie bandari tu mnapiga kelele sisi mmetupora kila kitu na kuwafanya Wazanzibari kuwa ombaomba
Ismail Jussa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo akihutubia mkutano wa hadhara Paje, mkoa wa Kusini Unguja.
Жүктеу.....
Пікірлер: 60
@leahdaniel1117 Жыл бұрын
Naunga mkono Kama Kuna uwezekano kila nchi ijitegemee,wazanzibar wapewe nchi Yao na Tanganyika ibaki Tanganyika
@Mfundo272
Жыл бұрын
Unaijua hatari yake??
@ahmedzahor2975
Жыл бұрын
@@Mfundo272 Muungano haujafika hata miaka 60 madhara yake tutapata maendeleo Makubwa na tutakua na Nchi yetu km mwanzo
@sadih5333 Жыл бұрын
Yes Jussa
@florianrweikiza2852 Жыл бұрын
Upitie mkataba kabla ya kuubeza mh.nini maana ya Tanzania?
@abdulrahmansalim977310 ай бұрын
HAWATOSHEKI WANA NJAA WEZI NDIO UTAMADUNI WAO 😮😮😮😮
@hanifamohammed9941 Жыл бұрын
Absolutely🎉🎉🎉🎉
@khamisbedui33232 ай бұрын
Kazi ni moja tu, imarisheni viongozi wa majimbo wawashawishi vijana wamiliki vitambulisho nanyi ng'ang'anieni tume iwe ya usawa
@MaaoudMasoud-xd3hj10 ай бұрын
Kwn wanangangania huku kwetu tuachen na maisha ye2 si mna kwen watanganyika mmeeka chenu kp semen tuwape mtuache na maisha ye2
@JuwairiyaHassanKhamis Жыл бұрын
Mh.jussa nakupnda bureee mpigakura wako 4:37
@ahmedhamdan8526 Жыл бұрын
Asante bro jussa fact
@eliajimmy95 Жыл бұрын
Hakuna upinzani Zanzibari tena.
@salimabdallah5304 Жыл бұрын
Mpaka masheikhe waliwauwa. Abdallha farissi
@omarhemed448 Жыл бұрын
Wapige Nondo. Jusa babalao
@josestudio4534 Жыл бұрын
Huyu kiongozi anaongea ukweli kabisa japo mini mtu wa Tanzania bara
@JeshuaNdulet Жыл бұрын
Asate sana
@user-gr9wc7bc2m Жыл бұрын
Ngoja muungano muuvunje mtakata mapanga tunawajua sana
@salma0000
Жыл бұрын
Andika kwa kiswahili basi tufaham
@thedriver.michael.3975 Жыл бұрын
nje ya muungano hakuna znz utakuta kuna wapemba na waunguja pia hakuna watanganyika bali utakuta kuna wasukuma na wanyamwezi😮
@ahmedzahor2975
Жыл бұрын
Kwani kabla 1664 ilikua haipo Zanzibar?
@bakariamour1024
Жыл бұрын
Ivyo ivyo iwe wapemba iwe waunguja au wasukuma ila tuachiwr Zanzibar yetu
@AbassAwesu3 ай бұрын
Pigeni kazi wazee wetu vijanatupopamojananyi
@hemedchuma9-cq4nh11 ай бұрын
Tanganyika atujawapora hak zenu unaongea ubaguz uco tija.Znz mna rais uku bara tumerdhia kua bila rais hatuna kiongoz wa taifa la watanganyk tushkamane jmn
@user-cc2cz8mh9t Жыл бұрын
Hakika ila ipo siku allaa atatufanyiaa wepesii
@salma0000
Жыл бұрын
Aamin
@hbtv4169 Жыл бұрын
Wacha tuangalie moveee mpk imalizee tujuwee mwishooo wake
@MaaoudMasoud-xd3hj10 ай бұрын
Labda kuzd kutuua tumechoka
@rosemaryrosemary9154 Жыл бұрын
Nahuyu mmempa adhabu gani maana kaongea mpaka kapitiliza
@yapukahassan Жыл бұрын
Huyu anapayuka 2 nikiwaulza wazanzibar kuwa mnamashamba
@AliSalum-hw8lw Жыл бұрын
Ajuae anajua tu jusa wewe unajua,%100000
@mathiaslyamunda2526 Жыл бұрын
Sisi watanganyika tumeporwa Taifa letu kabisa na utambulisho wetu.
@agriphinasaidi5067 Жыл бұрын
Sawa na sisi tumekubali wa tanganyika
@plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын
Njaa hizo
@salimukimwaga Жыл бұрын
Kipi ulichoibiwa wewe bwabwaja nchi hii bahari ina kila kitu waje wapate kitu gani huko mnamvuruga aliewavusha
@lazarojohn6256 Жыл бұрын
Nas hatuwataki na tubaki rasilimali zetu tuone
@ibel4lf Жыл бұрын
Hatujawahi kuwashobokea nyie wa Zanzibar mkijitenga heri sana
@omarissa4373
Жыл бұрын
Hamuwezi kuishi nyinyi bila Zanzibar hata Dunia nzima wanajua
@ikopwdjh694
Жыл бұрын
Kabisa yajitenge tyu mana wanabwabwaja sana
@Rukaiya-lt3hm
17 күн бұрын
Wacha umama zanzibar mumeifanya shamba lenu
@hamicpina1151 Жыл бұрын
Kila mtu kivyake nogwa za Nini
@omarhemed448 Жыл бұрын
Jusa babalao.
@lameckmbele5901 Жыл бұрын
umeporwa nn Jusa ndy maana ulipigwa
@abdulwahidmsellem1964
Жыл бұрын
Wacha ujingaa😁😂
@plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын
Kama vp kaeni huko zanzb mctuzngue kwa nyie nan
@sadikykiyago3030 Жыл бұрын
Hakuna zanzibari wara tanganyika
@MohamefMullah Жыл бұрын
Waliopora mamlaka kamili ya zanzibar sio mzanzibari wala wazanzibari bali ni Watanganyika
@omarmohammed5157
Жыл бұрын
Ccm waleshika madaraka ndio chanzo ya hayo na kutukwamisha kimaendeleo
@rosemaryrosemary9154
Жыл бұрын
Unavuruga amani hauna lolote mchonganishi ww
@omarmohammed5157
Жыл бұрын
@@rosemaryrosemary9154wewe una tatizo la akili???
@TANZAFORUM Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d6B607aMXa6bkso.html kauli ya waziri mkuu kuhusu sakata la bandari
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Hiv wazanzibar sifa yenu kubwa ni hao wenye mapua marefu au ni waswahili? Mmelogwa kabisa mnadhani kwa sababu anaongea kiswahili mnadhani ni mzanzibar huyo?
@othmansaid2059
10 ай бұрын
DHAMBI YA UTUMWA BADO INATUTAFUNA. MWALIM NYERERE ALIWAHI KUTAMKA KUMWAMBIA RAZA. "ANASTAAJABU KUONA MHINDI ANASEMA LEO HII'
@mwigaadam1179 Жыл бұрын
Kweli bandarin tu hawana usingiz akili zimewaruka ila wamewapora wazaznzibar kila kitu na wenyeq weshakataa Ila bado wanazid kuwakandamiz
@mahmoudaziz4717
Жыл бұрын
Umeporwa nini?
@khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын
MKATABA WA MUUNGANO NA MKATABA WA BANDARI Mkataba wa Muungano ni baina ya Nyerere (Mtanganyika) na Karume (Mnyasaland), bila ya ridhaa ya Wazanzibari na Watanganyika. Mkataba wa Muungano ni mbaya zaidi kuliko Mkataba wa Bandari baina ya Dubai na Tanganyika. WATANGANYIKA CHUKUWENI BANDARI NA TANGANYIKA YENU.
@Worldunite Жыл бұрын
Aliyewapora ni mzenji mwenzenu
@ahmedhamdan8526 Жыл бұрын
Asante bro jussa fact
@nuriyatnuriyat-gg7xl
Жыл бұрын
Mhe Jussa sema ss tupo na ww
@nuriyatnuriyat-gg7xl
Жыл бұрын
Sawant sawa haturidhiki na hali hii ya ukoloni wa Kitanganyika
Пікірлер: 60
Naunga mkono Kama Kuna uwezekano kila nchi ijitegemee,wazanzibar wapewe nchi Yao na Tanganyika ibaki Tanganyika
@Mfundo272
Жыл бұрын
Unaijua hatari yake??
@ahmedzahor2975
Жыл бұрын
@@Mfundo272 Muungano haujafika hata miaka 60 madhara yake tutapata maendeleo Makubwa na tutakua na Nchi yetu km mwanzo
Yes Jussa
Upitie mkataba kabla ya kuubeza mh.nini maana ya Tanzania?
HAWATOSHEKI WANA NJAA WEZI NDIO UTAMADUNI WAO 😮😮😮😮
Absolutely🎉🎉🎉🎉
Kazi ni moja tu, imarisheni viongozi wa majimbo wawashawishi vijana wamiliki vitambulisho nanyi ng'ang'anieni tume iwe ya usawa
Kwn wanangangania huku kwetu tuachen na maisha ye2 si mna kwen watanganyika mmeeka chenu kp semen tuwape mtuache na maisha ye2
Mh.jussa nakupnda bureee mpigakura wako 4:37
Asante bro jussa fact
Hakuna upinzani Zanzibari tena.
Mpaka masheikhe waliwauwa. Abdallha farissi
Wapige Nondo. Jusa babalao
Huyu kiongozi anaongea ukweli kabisa japo mini mtu wa Tanzania bara
Asate sana
Ngoja muungano muuvunje mtakata mapanga tunawajua sana
@salma0000
Жыл бұрын
Andika kwa kiswahili basi tufaham
nje ya muungano hakuna znz utakuta kuna wapemba na waunguja pia hakuna watanganyika bali utakuta kuna wasukuma na wanyamwezi😮
@ahmedzahor2975
Жыл бұрын
Kwani kabla 1664 ilikua haipo Zanzibar?
@bakariamour1024
Жыл бұрын
Ivyo ivyo iwe wapemba iwe waunguja au wasukuma ila tuachiwr Zanzibar yetu
Pigeni kazi wazee wetu vijanatupopamojananyi
Tanganyika atujawapora hak zenu unaongea ubaguz uco tija.Znz mna rais uku bara tumerdhia kua bila rais hatuna kiongoz wa taifa la watanganyk tushkamane jmn
Hakika ila ipo siku allaa atatufanyiaa wepesii
@salma0000
Жыл бұрын
Aamin
Wacha tuangalie moveee mpk imalizee tujuwee mwishooo wake
Labda kuzd kutuua tumechoka
Nahuyu mmempa adhabu gani maana kaongea mpaka kapitiliza
Huyu anapayuka 2 nikiwaulza wazanzibar kuwa mnamashamba
Ajuae anajua tu jusa wewe unajua,%100000
Sisi watanganyika tumeporwa Taifa letu kabisa na utambulisho wetu.
Sawa na sisi tumekubali wa tanganyika
Njaa hizo
Kipi ulichoibiwa wewe bwabwaja nchi hii bahari ina kila kitu waje wapate kitu gani huko mnamvuruga aliewavusha
Nas hatuwataki na tubaki rasilimali zetu tuone
Hatujawahi kuwashobokea nyie wa Zanzibar mkijitenga heri sana
@omarissa4373
Жыл бұрын
Hamuwezi kuishi nyinyi bila Zanzibar hata Dunia nzima wanajua
@ikopwdjh694
Жыл бұрын
Kabisa yajitenge tyu mana wanabwabwaja sana
@Rukaiya-lt3hm
17 күн бұрын
Wacha umama zanzibar mumeifanya shamba lenu
Kila mtu kivyake nogwa za Nini
Jusa babalao.
umeporwa nn Jusa ndy maana ulipigwa
@abdulwahidmsellem1964
Жыл бұрын
Wacha ujingaa😁😂
Kama vp kaeni huko zanzb mctuzngue kwa nyie nan
Hakuna zanzibari wara tanganyika
Waliopora mamlaka kamili ya zanzibar sio mzanzibari wala wazanzibari bali ni Watanganyika
@omarmohammed5157
Жыл бұрын
Ccm waleshika madaraka ndio chanzo ya hayo na kutukwamisha kimaendeleo
@rosemaryrosemary9154
Жыл бұрын
Unavuruga amani hauna lolote mchonganishi ww
@omarmohammed5157
Жыл бұрын
@@rosemaryrosemary9154wewe una tatizo la akili???
kzread.info/dash/bejne/d6B607aMXa6bkso.html kauli ya waziri mkuu kuhusu sakata la bandari
Hiv wazanzibar sifa yenu kubwa ni hao wenye mapua marefu au ni waswahili? Mmelogwa kabisa mnadhani kwa sababu anaongea kiswahili mnadhani ni mzanzibar huyo?
@othmansaid2059
10 ай бұрын
DHAMBI YA UTUMWA BADO INATUTAFUNA. MWALIM NYERERE ALIWAHI KUTAMKA KUMWAMBIA RAZA. "ANASTAAJABU KUONA MHINDI ANASEMA LEO HII'
Kweli bandarin tu hawana usingiz akili zimewaruka ila wamewapora wazaznzibar kila kitu na wenyeq weshakataa Ila bado wanazid kuwakandamiz
@mahmoudaziz4717
Жыл бұрын
Umeporwa nini?
MKATABA WA MUUNGANO NA MKATABA WA BANDARI Mkataba wa Muungano ni baina ya Nyerere (Mtanganyika) na Karume (Mnyasaland), bila ya ridhaa ya Wazanzibari na Watanganyika. Mkataba wa Muungano ni mbaya zaidi kuliko Mkataba wa Bandari baina ya Dubai na Tanganyika. WATANGANYIKA CHUKUWENI BANDARI NA TANGANYIKA YENU.
Aliyewapora ni mzenji mwenzenu
Asante bro jussa fact
@nuriyatnuriyat-gg7xl
Жыл бұрын
Mhe Jussa sema ss tupo na ww
@nuriyatnuriyat-gg7xl
Жыл бұрын
Sawant sawa haturidhiki na hali hii ya ukoloni wa Kitanganyika