Jussa:Nyie bandari tu mnapiga kelele sisi mmetupora kila kitu na kuwafanya Wazanzibari kuwa ombaomba

Ismail Jussa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo akihutubia mkutano wa hadhara Paje, mkoa wa Kusini Unguja.

Пікірлер: 60

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Жыл бұрын

    Naunga mkono Kama Kuna uwezekano kila nchi ijitegemee,wazanzibar wapewe nchi Yao na Tanganyika ibaki Tanganyika

  • @Mfundo272

    @Mfundo272

    Жыл бұрын

    Unaijua hatari yake??

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    Жыл бұрын

    @@Mfundo272 Muungano haujafika hata miaka 60 madhara yake tutapata maendeleo Makubwa na tutakua na Nchi yetu km mwanzo

  • @sadih5333
    @sadih5333 Жыл бұрын

    Yes Jussa

  • @florianrweikiza2852
    @florianrweikiza2852 Жыл бұрын

    Upitie mkataba kabla ya kuubeza mh.nini maana ya Tanzania?

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim977310 ай бұрын

    HAWATOSHEKI WANA NJAA WEZI NDIO UTAMADUNI WAO 😮😮😮😮

  • @hanifamohammed9941
    @hanifamohammed9941 Жыл бұрын

    Absolutely🎉🎉🎉🎉

  • @khamisbedui3323
    @khamisbedui33232 ай бұрын

    Kazi ni moja tu, imarisheni viongozi wa majimbo wawashawishi vijana wamiliki vitambulisho nanyi ng'ang'anieni tume iwe ya usawa

  • @MaaoudMasoud-xd3hj
    @MaaoudMasoud-xd3hj10 ай бұрын

    Kwn wanangangania huku kwetu tuachen na maisha ye2 si mna kwen watanganyika mmeeka chenu kp semen tuwape mtuache na maisha ye2

  • @JuwairiyaHassanKhamis
    @JuwairiyaHassanKhamis Жыл бұрын

    Mh.jussa nakupnda bureee mpigakura wako 4:37

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Жыл бұрын

    Asante bro jussa fact

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Жыл бұрын

    Hakuna upinzani Zanzibari tena.

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Жыл бұрын

    Mpaka masheikhe waliwauwa. Abdallha farissi

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Жыл бұрын

    Wapige Nondo. Jusa babalao

  • @josestudio4534
    @josestudio4534 Жыл бұрын

    Huyu kiongozi anaongea ukweli kabisa japo mini mtu wa Tanzania bara

  • @JeshuaNdulet
    @JeshuaNdulet Жыл бұрын

    Asate sana

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Жыл бұрын

    Ngoja muungano muuvunje mtakata mapanga tunawajua sana

  • @salma0000

    @salma0000

    Жыл бұрын

    Andika kwa kiswahili basi tufaham

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Жыл бұрын

    nje ya muungano hakuna znz utakuta kuna wapemba na waunguja pia hakuna watanganyika bali utakuta kuna wasukuma na wanyamwezi😮

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    Жыл бұрын

    Kwani kabla 1664 ilikua haipo Zanzibar?

  • @bakariamour1024

    @bakariamour1024

    Жыл бұрын

    Ivyo ivyo iwe wapemba iwe waunguja au wasukuma ila tuachiwr Zanzibar yetu

  • @AbassAwesu
    @AbassAwesu3 ай бұрын

    Pigeni kazi wazee wetu vijanatupopamojananyi

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh11 ай бұрын

    Tanganyika atujawapora hak zenu unaongea ubaguz uco tija.Znz mna rais uku bara tumerdhia kua bila rais hatuna kiongoz wa taifa la watanganyk tushkamane jmn

  • @user-cc2cz8mh9t
    @user-cc2cz8mh9t Жыл бұрын

    Hakika ila ipo siku allaa atatufanyiaa wepesii

  • @salma0000

    @salma0000

    Жыл бұрын

    Aamin

  • @hbtv4169
    @hbtv4169 Жыл бұрын

    Wacha tuangalie moveee mpk imalizee tujuwee mwishooo wake

  • @MaaoudMasoud-xd3hj
    @MaaoudMasoud-xd3hj10 ай бұрын

    Labda kuzd kutuua tumechoka

  • @rosemaryrosemary9154
    @rosemaryrosemary9154 Жыл бұрын

    Nahuyu mmempa adhabu gani maana kaongea mpaka kapitiliza

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Жыл бұрын

    Huyu anapayuka 2 nikiwaulza wazanzibar kuwa mnamashamba

  • @AliSalum-hw8lw
    @AliSalum-hw8lw Жыл бұрын

    Ajuae anajua tu jusa wewe unajua,%100000

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Жыл бұрын

    Sisi watanganyika tumeporwa Taifa letu kabisa na utambulisho wetu.

  • @agriphinasaidi5067
    @agriphinasaidi5067 Жыл бұрын

    Sawa na sisi tumekubali wa tanganyika

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын

    Njaa hizo

  • @salimukimwaga
    @salimukimwaga Жыл бұрын

    Kipi ulichoibiwa wewe bwabwaja nchi hii bahari ina kila kitu waje wapate kitu gani huko mnamvuruga aliewavusha

  • @lazarojohn6256
    @lazarojohn6256 Жыл бұрын

    Nas hatuwataki na tubaki rasilimali zetu tuone

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Жыл бұрын

    Hatujawahi kuwashobokea nyie wa Zanzibar mkijitenga heri sana

  • @omarissa4373

    @omarissa4373

    Жыл бұрын

    Hamuwezi kuishi nyinyi bila Zanzibar hata Dunia nzima wanajua

  • @ikopwdjh694

    @ikopwdjh694

    Жыл бұрын

    Kabisa yajitenge tyu mana wanabwabwaja sana

  • @Rukaiya-lt3hm

    @Rukaiya-lt3hm

    17 күн бұрын

    Wacha umama zanzibar mumeifanya shamba lenu

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 Жыл бұрын

    Kila mtu kivyake nogwa za Nini

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Жыл бұрын

    Jusa babalao.

  • @lameckmbele5901
    @lameckmbele5901 Жыл бұрын

    umeporwa nn Jusa ndy maana ulipigwa

  • @abdulwahidmsellem1964

    @abdulwahidmsellem1964

    Жыл бұрын

    Wacha ujingaa😁😂

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын

    Kama vp kaeni huko zanzb mctuzngue kwa nyie nan

  • @sadikykiyago3030
    @sadikykiyago3030 Жыл бұрын

    Hakuna zanzibari wara tanganyika

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Жыл бұрын

    Waliopora mamlaka kamili ya zanzibar sio mzanzibari wala wazanzibari bali ni Watanganyika

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    Жыл бұрын

    Ccm waleshika madaraka ndio chanzo ya hayo na kutukwamisha kimaendeleo

  • @rosemaryrosemary9154

    @rosemaryrosemary9154

    Жыл бұрын

    Unavuruga amani hauna lolote mchonganishi ww

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    Жыл бұрын

    @@rosemaryrosemary9154wewe una tatizo la akili???

  • @TANZAFORUM
    @TANZAFORUM Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d6B607aMXa6bkso.html kauli ya waziri mkuu kuhusu sakata la bandari

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Жыл бұрын

    Hiv wazanzibar sifa yenu kubwa ni hao wenye mapua marefu au ni waswahili? Mmelogwa kabisa mnadhani kwa sababu anaongea kiswahili mnadhani ni mzanzibar huyo?

  • @othmansaid2059

    @othmansaid2059

    10 ай бұрын

    DHAMBI YA UTUMWA BADO INATUTAFUNA. MWALIM NYERERE ALIWAHI KUTAMKA KUMWAMBIA RAZA. "ANASTAAJABU KUONA MHINDI ANASEMA LEO HII'

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 Жыл бұрын

    Kweli bandarin tu hawana usingiz akili zimewaruka ila wamewapora wazaznzibar kila kitu na wenyeq weshakataa Ila bado wanazid kuwakandamiz

  • @mahmoudaziz4717

    @mahmoudaziz4717

    Жыл бұрын

    Umeporwa nini?

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын

    MKATABA WA MUUNGANO NA MKATABA WA BANDARI Mkataba wa Muungano ni baina ya Nyerere (Mtanganyika) na Karume (Mnyasaland), bila ya ridhaa ya Wazanzibari na Watanganyika. Mkataba wa Muungano ni mbaya zaidi kuliko Mkataba wa Bandari baina ya Dubai na Tanganyika. WATANGANYIKA CHUKUWENI BANDARI NA TANGANYIKA YENU.

  • @Worldunite
    @Worldunite Жыл бұрын

    Aliyewapora ni mzenji mwenzenu

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Жыл бұрын

    Asante bro jussa fact

  • @nuriyatnuriyat-gg7xl

    @nuriyatnuriyat-gg7xl

    Жыл бұрын

    Mhe Jussa sema ss tupo na ww

  • @nuriyatnuriyat-gg7xl

    @nuriyatnuriyat-gg7xl

    Жыл бұрын

    Sawant sawa haturidhiki na hali hii ya ukoloni wa Kitanganyika

Келесі