Chowea Baba chowea chowea wameziwea kutunyea wambile wasikile
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Duuu chowela,wasikile
@salumsaid55192 жыл бұрын
Fukuwa fukuwa baba huenda kabur likawa na rupiya tuzungushe mabati asije kutumbikiya m2 #mamlaka kamil Zanzibar
@lilianmakwati52282 жыл бұрын
Sema baba sema baba
@saidmohd72402 жыл бұрын
Kaka Jussa sema!
@aishaaisharagp93812 жыл бұрын
Wavimbe wapasuke lakini hatunyamazi
@suleimanmuhammed1347
2 жыл бұрын
Mtihani kaka jussa wende pumzika kaka kile kipindi umeumia sana kaka
@noffelsalim8302 жыл бұрын
Mwinyi hajui asemalo Wala afanyalo aropokwa,
@talibali4782 жыл бұрын
Good
@omarmussa92792 жыл бұрын
Hongera sana muheshiwiwa jussa Allah akubariki
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
Amiin
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Duuu CCM wote motoni
@abdillahhamad890
2 жыл бұрын
Usifikie mbali siasa mchezo mchafu usitowe huku hii Que an hajasema hivi
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Zanzibar huru ni muhimu baana
@iddijumaali71922 жыл бұрын
Hongera jussa
@saidaliy51732 жыл бұрын
Mungenyamaza tu hakuna zaidi zaidi kupigisha watu mtu akikosa kidogo anahama chama
@rashidsalum48852 жыл бұрын
Ww jusa usilete fitina watu wametulia sasa hivi wazanzibari na dissatisfied
@alyissakara427
2 жыл бұрын
Ajabu yeye ndo alitandikwa kisawasawa lakini hakomi … sio mbaya yeye kuwa hakomi shida tunayopata ni kuwa ikifika zama za zahma wanakoma na wengine na kuacha maumivu ya milele kwa familia na wazee wanaopotezewa na vijana wao wanaowategemea
@johnsonnade74762 жыл бұрын
Duh siasa jamani
@meekman18052 жыл бұрын
Kumbe na Donge wapo Wazambarau! 😁
@allymohammed42312 жыл бұрын
Wote hawa ni njaa tu....hasira ya virungu...
@pastorstevenmdoe51432 жыл бұрын
Nchi ichukuliwe mara ngapi sheikh?
@AliAli-tx7do2 жыл бұрын
safari kani isokwisha
@franksimonngole84812 жыл бұрын
Nyie mlikuwa Afro Shirazi au ZNP?
@alyissakara4272 жыл бұрын
Imam shafi alisema kuwa mtu akitaka kumkosoa amfuate akiwa peke yake … na mtu yeyote atakaemkosoa hadharani huyo ametangaza ugomvi nae
@kinglast9507
2 жыл бұрын
imaam shafii kasema mengi tu hat iyo democracy kaiyongelea usikwamie ap brow
@saidal-hind53382 жыл бұрын
Kweli serekali ya znz wanahubiria amani lkn ww ni wavunjifuu
@TheOthmoney2 жыл бұрын
HIli nd tatizo la wachumia tumbo, nchi ina Amani, watu wameshikana, mnaanza kuweka sera za kutugawa. Mmepanic kuona yanayoendelea mtakosa la kusema 2025, dawa ishawaingia.
@RioIpo
2 жыл бұрын
Mie ata siwaelewi asaa hasa Waso Haya wenye mji wao
Tunapenda siasa lakini hii hali naona tunarudi kule tulipotoka - hata kwa dini yetu si sawa mtu kumkosoa hadharani na hasa ukizingatia anatoa nafasi ya kupokea maoni - tena binadamu ndo sisi tumeshazoea kipunda punda … ah Mola atatusaidia
@maryamalli90902 жыл бұрын
Hata ungeongoza wewe ungekosolewa wivu tu na chuki kakosolewa magufuli na gadafi waliotetea wanyonge itakua mwinyi
@zumbeshauri8114
2 жыл бұрын
Dah hawa wanayayafuta yale ya huko yanako tokea au hale yalio fanyika zama za mzee wawatu mkapa sasa nyie mnao shangiria mambo ya kichochezi angalie mtabeba dhima kubwa kwa mwenyezimungu??
@jameslembeli80372 жыл бұрын
Za
@gojvon1162 жыл бұрын
ilikuwa yangu hauza nikakaa vyangu
@hajiharoub8125
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@zeyanaibrahim Жыл бұрын
Jusa usijaze chuki Wazanzibar zisizo kwisha Mwinyi anajitahidi ni mtu wa ukweli wanahabari wanajua wanaongea nae kila kitu mwisho wa mwezi na huo muungano usiletee mapungufu pekee lete na mafanikio . Mwinyi katwambia "Amani" tulionayo ni tunda la dhahabu la Muungano wewe unahoja za Kisiasa tu.
@mahmoodsurour92652 жыл бұрын
Mbungo uoooooooooo
@saidabdillahi81072 жыл бұрын
Jussa si Ntuu kunaupiga Pute Ukamishna wa mwenzio kanrudishwa kwao Tanganyika (Awadhi Juma Hajji )haya majina ya Ki Zanzibari eyaokota wapi?
@godlovemasamakibatandu20922 жыл бұрын
Bara wamejaa hao
@Jal2102 жыл бұрын
Acha kubweka mambo yameshapita unayarudisha nyuma faida yake nini unapata wewe.
Maneno hayajengi nchi badilikeni wakwwtu hata akitawala mzanzibar hakuna kitakacho endelea kila siku porojo porojo haziishi hakuna.mkamilifu isipokuwa.Allah
@sulimanmasoud9337
2 жыл бұрын
Je wewe C C M. Catholic missionaries. Ikiwa wewe kwajina lako tuona muislamu. Ikiwa kweli una muamini muuba huwi katika chama kinacho mpiga
@kinkybanjukome217
2 жыл бұрын
Mpiga porijo bibi yako mwehu mkubwa wewe fumba domo lako
@farhiyaibrahim2053
2 жыл бұрын
Kama unamjua Allah ungewasapoti wauwaji hao Laanatullah
@godlovemasamakibatandu20922 жыл бұрын
Wapeni zanzibar yao.wazanzibar ni wabaguzi sana.wafukuzwe bongo na wabongo waje huko.ardhi wamepora bara sana sie hatuwez kununua kwao
@hannansdeliciousfood4261
2 жыл бұрын
Soma sheria ya ardhi ya kwenu na znz baadae soma geography.....ya Znz na huko..utapata jibu
@rockcitynative99852 жыл бұрын
Hotuba ya kianaume hiyo. Alafu moja ya mapungufu yenu ni kukosekana chama kinachomilikiwa na wazenji, ACT na CUF ni rahisi kutumika kurudisha nyuma juhudi ya Zenji huru kwakuwa wenye vyama hivyo ni watanganyika hawana maslahi na Zenji. Fanyeni mchakato muwe na chama ambacho viongozi wake wakuu ni wa Zenji.
@ahmedalbalooshi8518
2 жыл бұрын
Rock City,unafaham shuruti za uundwaji wa vyama vya siasa? Waache wajieleze hivo hivo,muhimu ni kuamshana.
@rockcitynative9985
2 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 Nafahamu, chama kinatakiwa kiwe cha kitaifa kuna idadi flani ya wanachama inatakiwa uwepo kwa kila upande na hicho sio kizingiti. UDP ni chama chenye sifa zote niambie huko Zenji kina ofisi ngapi? Chama cha Marehemu Mtikila kinawanachama Zenji!. Usiniambie hujui la kufanya ili chama hicho kipatikane. Mimi simuamini Zitto. Mambo yakienda vizuri mkawa mnaenda kufunga goli anaweza nunulika akatumia dola kuhujumu. Sote tulimshuhudia Lipumba aliyoyafanya akisaidiwa na dola. Ukishaumwa nyoka ukaona majani yakicheza lazima ushtuke.
@ahmedalbalooshi8518
2 жыл бұрын
@@rockcitynative9985 hayo ni maoni yako na katika siasa kunauwezekano huo. Lakini kwa huo msimamo wa Zito kuhusu tume huru,hapo sioni sababu ya kumtilia shaka,maana hilo la msingi ili baadae tuepuke na vipigo na hata vifo
@kinega10292 жыл бұрын
Sasa nyinyi viongozi wa upinzani kwa upande wa zanzibar kwa kweli hamueleweki mnaungana serikali ya ccm kila uchaguzi wanakuuweni halafu mnaanza vijembe sasa faida yake nini mkiulisha watu kila uchaguzi upuuzi tu ahhh
@salehali976
2 жыл бұрын
Unatakiwa kujua dhumuni la SUK. Kinachozungumzwa hakiwafanyi ACT kusema ukweli.
@w4058
2 жыл бұрын
Mpuuzi mwenyewe kinega na huo Mwinyi wako pumbavu
@w4058
2 жыл бұрын
@@salehali976SUK Ndio maana yake wao kusema Kweli
@besthonney32322 жыл бұрын
duuu ushapoa kumbeeeee
@aishaaisharagp9381
2 жыл бұрын
Amepowa kwauwezo waAllah walioyataka hayakuwa
@w4058
2 жыл бұрын
Manaeno yako ju ya mstari mhe Jussa ongoea zidi kuwatowa tongo walikuwa bado hawajtoka tongo hizi na nyoyo za iman Allah awape uono washazowea shida wafuasi wa CCM ikisha wapite wakiomba
@charlesphilipo64432 жыл бұрын
Tembea muone nchi huru na zenye matatizo,,,,siyo kujiropokea tu oooh tunakandamizwa,,ooh hatuna Uhuru,,,acheni ujinga huo amkeni siyo kukalia kulishwa maneno ya uongo,,yakibumba wa kwanza kukimbilia ubalozi kama wale wajinga wanaodai walitaka kuuawa wakati wa uchaguzi
@ramadhanomar83462 жыл бұрын
Siasa za chuki zishapitwa na wakati Jussa sisi tunaimani na Mwinyi
@alifoum6758
2 жыл бұрын
Asshole unaimani weye na Familia yako, usitusemee sie wengine. Sema hivi sie wengine tunaimani na Mwinyi
@ramadhanomar8346
2 жыл бұрын
@@alifoum6758 wew na ao wenzako si ndo wajinga wa akili unaingia umo umo yaani munadanganywa na kupandikizwa siasa cha chuki
Пікірлер: 77
Heshima zote zako ndugu yangu Jussa, nimekupata, nimekuelewa kabisa na ninakubaliana na hoja zako. Zina mashiko.
Hongera kaka Jussa Kwa kutufunuwa macho ZANZIBAR kwanza
Nimekuelewa mzee jusa Allah akulipe wema kwa maneno yako mazuri yenye kueleweka, Shukran.
Tuko pamoja Mh jussa haturud nyuma ,hatukat tamaa sema kwel japo waumia
Hongera sana Mh. Jussa
nakukubali mzee
Shukran sana ❤️
Chowea Baba chowea chowea wameziwea kutunyea wambile wasikile
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Duuu chowela,wasikile
Fukuwa fukuwa baba huenda kabur likawa na rupiya tuzungushe mabati asije kutumbikiya m2 #mamlaka kamil Zanzibar
Sema baba sema baba
Kaka Jussa sema!
Wavimbe wapasuke lakini hatunyamazi
@suleimanmuhammed1347
2 жыл бұрын
Mtihani kaka jussa wende pumzika kaka kile kipindi umeumia sana kaka
Mwinyi hajui asemalo Wala afanyalo aropokwa,
Good
Hongera sana muheshiwiwa jussa Allah akubariki
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
Amiin
Duuu CCM wote motoni
@abdillahhamad890
2 жыл бұрын
Usifikie mbali siasa mchezo mchafu usitowe huku hii Que an hajasema hivi
Zanzibar huru ni muhimu baana
Hongera jussa
Mungenyamaza tu hakuna zaidi zaidi kupigisha watu mtu akikosa kidogo anahama chama
Ww jusa usilete fitina watu wametulia sasa hivi wazanzibari na dissatisfied
@alyissakara427
2 жыл бұрын
Ajabu yeye ndo alitandikwa kisawasawa lakini hakomi … sio mbaya yeye kuwa hakomi shida tunayopata ni kuwa ikifika zama za zahma wanakoma na wengine na kuacha maumivu ya milele kwa familia na wazee wanaopotezewa na vijana wao wanaowategemea
Duh siasa jamani
Kumbe na Donge wapo Wazambarau! 😁
Wote hawa ni njaa tu....hasira ya virungu...
Nchi ichukuliwe mara ngapi sheikh?
safari kani isokwisha
Nyie mlikuwa Afro Shirazi au ZNP?
Imam shafi alisema kuwa mtu akitaka kumkosoa amfuate akiwa peke yake … na mtu yeyote atakaemkosoa hadharani huyo ametangaza ugomvi nae
@kinglast9507
2 жыл бұрын
imaam shafii kasema mengi tu hat iyo democracy kaiyongelea usikwamie ap brow
Kweli serekali ya znz wanahubiria amani lkn ww ni wavunjifuu
HIli nd tatizo la wachumia tumbo, nchi ina Amani, watu wameshikana, mnaanza kuweka sera za kutugawa. Mmepanic kuona yanayoendelea mtakosa la kusema 2025, dawa ishawaingia.
@RioIpo
2 жыл бұрын
Mie ata siwaelewi asaa hasa Waso Haya wenye mji wao
@meekman1805
2 жыл бұрын
Mtaelewa tu😁
Duuuh mtihani nabadonaskia vipomporipo mitaani vinataka kupigwa marufuku sijui watu waendekufanya kazigani
@sabihamakami3720
2 жыл бұрын
Subhannallah
Tunapenda siasa lakini hii hali naona tunarudi kule tulipotoka - hata kwa dini yetu si sawa mtu kumkosoa hadharani na hasa ukizingatia anatoa nafasi ya kupokea maoni - tena binadamu ndo sisi tumeshazoea kipunda punda … ah Mola atatusaidia
Hata ungeongoza wewe ungekosolewa wivu tu na chuki kakosolewa magufuli na gadafi waliotetea wanyonge itakua mwinyi
@zumbeshauri8114
2 жыл бұрын
Dah hawa wanayayafuta yale ya huko yanako tokea au hale yalio fanyika zama za mzee wawatu mkapa sasa nyie mnao shangiria mambo ya kichochezi angalie mtabeba dhima kubwa kwa mwenyezimungu??
Za
ilikuwa yangu hauza nikakaa vyangu
@hajiharoub8125
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Jusa usijaze chuki Wazanzibar zisizo kwisha Mwinyi anajitahidi ni mtu wa ukweli wanahabari wanajua wanaongea nae kila kitu mwisho wa mwezi na huo muungano usiletee mapungufu pekee lete na mafanikio . Mwinyi katwambia "Amani" tulionayo ni tunda la dhahabu la Muungano wewe unahoja za Kisiasa tu.
Mbungo uoooooooooo
Jussa si Ntuu kunaupiga Pute Ukamishna wa mwenzio kanrudishwa kwao Tanganyika (Awadhi Juma Hajji )haya majina ya Ki Zanzibari eyaokota wapi?
Bara wamejaa hao
Acha kubweka mambo yameshapita unayarudisha nyuma faida yake nini unapata wewe.
Mhh
Mzee acha njaa usije vuruga amani ya zanzibar acha mzee wewe
stupid cjui unaongea kitu gani .... punguani
Heeheee pepovoo
Maneno hayajengi nchi badilikeni wakwwtu hata akitawala mzanzibar hakuna kitakacho endelea kila siku porojo porojo haziishi hakuna.mkamilifu isipokuwa.Allah
@sulimanmasoud9337
2 жыл бұрын
Je wewe C C M. Catholic missionaries. Ikiwa wewe kwajina lako tuona muislamu. Ikiwa kweli una muamini muuba huwi katika chama kinacho mpiga
@kinkybanjukome217
2 жыл бұрын
Mpiga porijo bibi yako mwehu mkubwa wewe fumba domo lako
@farhiyaibrahim2053
2 жыл бұрын
Kama unamjua Allah ungewasapoti wauwaji hao Laanatullah
Wapeni zanzibar yao.wazanzibar ni wabaguzi sana.wafukuzwe bongo na wabongo waje huko.ardhi wamepora bara sana sie hatuwez kununua kwao
@hannansdeliciousfood4261
2 жыл бұрын
Soma sheria ya ardhi ya kwenu na znz baadae soma geography.....ya Znz na huko..utapata jibu
Hotuba ya kianaume hiyo. Alafu moja ya mapungufu yenu ni kukosekana chama kinachomilikiwa na wazenji, ACT na CUF ni rahisi kutumika kurudisha nyuma juhudi ya Zenji huru kwakuwa wenye vyama hivyo ni watanganyika hawana maslahi na Zenji. Fanyeni mchakato muwe na chama ambacho viongozi wake wakuu ni wa Zenji.
@ahmedalbalooshi8518
2 жыл бұрын
Rock City,unafaham shuruti za uundwaji wa vyama vya siasa? Waache wajieleze hivo hivo,muhimu ni kuamshana.
@rockcitynative9985
2 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 Nafahamu, chama kinatakiwa kiwe cha kitaifa kuna idadi flani ya wanachama inatakiwa uwepo kwa kila upande na hicho sio kizingiti. UDP ni chama chenye sifa zote niambie huko Zenji kina ofisi ngapi? Chama cha Marehemu Mtikila kinawanachama Zenji!. Usiniambie hujui la kufanya ili chama hicho kipatikane. Mimi simuamini Zitto. Mambo yakienda vizuri mkawa mnaenda kufunga goli anaweza nunulika akatumia dola kuhujumu. Sote tulimshuhudia Lipumba aliyoyafanya akisaidiwa na dola. Ukishaumwa nyoka ukaona majani yakicheza lazima ushtuke.
@ahmedalbalooshi8518
2 жыл бұрын
@@rockcitynative9985 hayo ni maoni yako na katika siasa kunauwezekano huo. Lakini kwa huo msimamo wa Zito kuhusu tume huru,hapo sioni sababu ya kumtilia shaka,maana hilo la msingi ili baadae tuepuke na vipigo na hata vifo
Sasa nyinyi viongozi wa upinzani kwa upande wa zanzibar kwa kweli hamueleweki mnaungana serikali ya ccm kila uchaguzi wanakuuweni halafu mnaanza vijembe sasa faida yake nini mkiulisha watu kila uchaguzi upuuzi tu ahhh
@salehali976
2 жыл бұрын
Unatakiwa kujua dhumuni la SUK. Kinachozungumzwa hakiwafanyi ACT kusema ukweli.
@w4058
2 жыл бұрын
Mpuuzi mwenyewe kinega na huo Mwinyi wako pumbavu
@w4058
2 жыл бұрын
@@salehali976SUK Ndio maana yake wao kusema Kweli
duuu ushapoa kumbeeeee
@aishaaisharagp9381
2 жыл бұрын
Amepowa kwauwezo waAllah walioyataka hayakuwa
@w4058
2 жыл бұрын
Manaeno yako ju ya mstari mhe Jussa ongoea zidi kuwatowa tongo walikuwa bado hawajtoka tongo hizi na nyoyo za iman Allah awape uono washazowea shida wafuasi wa CCM ikisha wapite wakiomba
Tembea muone nchi huru na zenye matatizo,,,,siyo kujiropokea tu oooh tunakandamizwa,,ooh hatuna Uhuru,,,acheni ujinga huo amkeni siyo kukalia kulishwa maneno ya uongo,,yakibumba wa kwanza kukimbilia ubalozi kama wale wajinga wanaodai walitaka kuuawa wakati wa uchaguzi
Siasa za chuki zishapitwa na wakati Jussa sisi tunaimani na Mwinyi
@alifoum6758
2 жыл бұрын
Asshole unaimani weye na Familia yako, usitusemee sie wengine. Sema hivi sie wengine tunaimani na Mwinyi
@ramadhanomar8346
2 жыл бұрын
@@alifoum6758 wew na ao wenzako si ndo wajinga wa akili unaingia umo umo yaani munadanganywa na kupandikizwa siasa cha chuki