Mr, mbungo hii ni hazina yetu hapa Zanzibar twajuvunia uwepo wako Allah akuzidishie afya njema na umri mrefu mwanakwetu wee❤
@HarithMbarukАй бұрын
Allah akulipe kher udumu kwenye ukweli
@jaysullman3697Ай бұрын
Zanzibar haina tofauti na Palestinian people!😢 Kiukweli inatia Uchungu Sana!
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Iko siku inshaallahu tutaipata nchi na kuirejesha furaha tena kwa mara ya pili
@jaysullman3697
Ай бұрын
@@user-et9vf2ro2k Aamin Yaarab 🤲
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@user-et9vf2ro2k Ya kwanza ilikuwa ipi?
@eddynaeem6708Ай бұрын
mjomba baloteli Seif Ali Liddy pesa zetu za mapinduzi 2 utazitapika kama unajidai kufanyia birthday ya mkeo pesa zetu sisi tunalala njaa t a
@jaysullman3697Ай бұрын
Maneno Kuntu 🎉😊❤
@salyali7807Ай бұрын
Mh Jussa tupo pamoja
@abdillahmohd4317Ай бұрын
MH JUSSU miongoni mwa hazina ya Zanzibar
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Nikweli kweli kabbisaa huyu mtu ni muhimu sana hajawahii kusimama na kusimania popote ikawa hajaacha alama juu ya kuitetea zanzibar na sio kuitetea t balu hata kuilinda ili ibaki salama na manlska yakee
@user-tx2zj1qq1oАй бұрын
Mhe Jussa ni kweli tushaamua Zanzibar Kwanzatuuweni sote lkn nchi yetu tunataka tujiendeshe wenyewe
@kassidpandu866Ай бұрын
sio kweli hiyo Hiyo Nafasi kila mmoja wenu alikuwa anaitaka na kuitamani
@binmasoud4150Ай бұрын
Unajua ukiiskia tu saut ya Jusa unajua kuwa kuna mtetea wanyonge tena mzalendo anaongea sio wale wasaka tonge walotumwa.
@salyali7807
Ай бұрын
Kabisa kabisa.. May Allah amhifadhi.. Allahumma ameen
@harithmohd6318Ай бұрын
From Oman 🇴🇲 allah awalinde na shari vitimbwi vya ccm na serekali yak ya kiharamu tupo pamoj mm na zanzibar na zanzibar namm PBE and UGJ iloveyou
@Khatib-xp6fpАй бұрын
Ni ngumu sana mtu kuwa muadilifu kwenye mambo hayo
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Nikweli
@hajiali7Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@saidabdala4980Ай бұрын
Nyerere aliifisidi ZANZIBAR. WAENGEREZA ndio wahusika wakubwa. A.C.T mkichukuwa nchi. Fanyeni Sultan jemshid aje kuishi ZANZIBAR kama vile HISTORIYA na kupata BARKA. Za ZANZIBAR.
@jaysullman3697Ай бұрын
😂😂😂😂❤❤❤
@richardnganya2311Ай бұрын
Ile CUF ya Maalim Seif imerudi katika ubora wake !!
@jaysullman3697
Ай бұрын
A.C.T Wazalendo Kweli CUF ni Mhariifu Professor Ibrahim Lipumba what's ever you called 💯 maana hainyanyuki tena imepigwa na Maradhi laaana!!!
@jaysullman3697
Ай бұрын
M/Mungu amlaze mahala pema peponi Maalim Seif 🤲 Aamin Yaarab!!! Hao ni watoto wa Maalim Washapikika Hio Kambi ni Moto 🔥🔥 Vijana nguvu Kazi 💪 Moto Moto twende Kazi 💪💪💯
@khatibabass3106Ай бұрын
Jusa ni mtaalamu wa kupika taarifa za uongo. Ni wapi mafuta yapo chini KULIKO Zanzibar ENEO hili la Africa mashariki?
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Kamueleze ili akisema aseme ukweli
@kassim1262
Ай бұрын
Hkuna wtu waongo km ccm nandio maana tngu enzi za mabibi namababu mpk leo hii bdo znzb hii unguja na pemb bdo tunajengew barabra na itaendelea mpk kiama maana ccm hwpo kwaniaba yznzbar wpo kujinufaisha ss jussa kakudanganya nini
@jaysullman3697
Ай бұрын
Ukweli hamna namna yakujitetea Ukweli utabaki Ukweli tu!!!😜 Na Uongo ni wale Wanafik waliozoea Utumwa ya Hewallah Bwana!!!😜😂😂
@hajihassan5433Ай бұрын
Kuna tofauti kubwa sana ya siasa za Tanganyika na Zanzibar kwamba viongozi wa vyama vya upinzani Zanzibar ni viongozi wa Serikali kwa awamu tofauti huwa najiuliza sana Serikali inayotafutwa ili iwe je.
@jumamohamed3168
Ай бұрын
Haji Hassan wakati mwingine unachekesha sana,hawa akina jussa na wenzake hawajawahi kuongoza Zanzibar kupitia tiketi ya chama chao iwe CUF au kw sasa Act wazalendo,usiwape lawama sana hawa hata wakitaka Zanzibar ile iendeshwe kwa namna hii au ile hawawezi kufanya hivyo kwa sababu hawawezi kufanya mabadiliko kwa sababu wao sio chama tawala mfano ,Zanzibar kupiga kura siku mbili ( 2),haiingiliki akilini watu laki tano kupiga kura siku mbili wakati Tanganyika kupiga kura siku moja wapiga kura milioni 20.yote hayo ni mazingira ya kuleta vurugu tu na wizi katika chaguzi .kama ni uwezo wao wangebadilisha huo upuuzi wa kupiga kura siku mbili watu laki tano.na mambo mengine juu ya masilahi ya Zanzibar hasa katika mambo ya Muungano .
@jaysullman3697
Ай бұрын
Ebu funguka au mkono umeteleza ulichokiandika?
@saidrashid5972Ай бұрын
Haya maneno tumeshayazoea sana kwa sisi wenye maono tunajua kua hmn kitu just munatafuta kula tu
Пікірлер: 37
Mkombozi uyoo ❤anatema Cheche 🔥🔥🔥za Ukweli Mtupu hana Unafiki 👍uyo!
@kassidpandu866
Ай бұрын
indian
Umemalizaa maneno Proffesor Jussa 💯👍 Tupo pamoja Sana Safari iendelee!!!🪽💯🔥🔥🔥
Mwinyi,ametumwa,,awamalize,wazanzibar,lakino,atatangulia,yeye,kwa,uwezo,wa,m,mungu
Mr, mbungo hii ni hazina yetu hapa Zanzibar twajuvunia uwepo wako Allah akuzidishie afya njema na umri mrefu mwanakwetu wee❤
Allah akulipe kher udumu kwenye ukweli
Zanzibar haina tofauti na Palestinian people!😢 Kiukweli inatia Uchungu Sana!
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Iko siku inshaallahu tutaipata nchi na kuirejesha furaha tena kwa mara ya pili
@jaysullman3697
Ай бұрын
@@user-et9vf2ro2k Aamin Yaarab 🤲
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@user-et9vf2ro2k Ya kwanza ilikuwa ipi?
mjomba baloteli Seif Ali Liddy pesa zetu za mapinduzi 2 utazitapika kama unajidai kufanyia birthday ya mkeo pesa zetu sisi tunalala njaa t a
Maneno Kuntu 🎉😊❤
Mh Jussa tupo pamoja
MH JUSSU miongoni mwa hazina ya Zanzibar
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Nikweli kweli kabbisaa huyu mtu ni muhimu sana hajawahii kusimama na kusimania popote ikawa hajaacha alama juu ya kuitetea zanzibar na sio kuitetea t balu hata kuilinda ili ibaki salama na manlska yakee
Mhe Jussa ni kweli tushaamua Zanzibar Kwanzatuuweni sote lkn nchi yetu tunataka tujiendeshe wenyewe
sio kweli hiyo Hiyo Nafasi kila mmoja wenu alikuwa anaitaka na kuitamani
Unajua ukiiskia tu saut ya Jusa unajua kuwa kuna mtetea wanyonge tena mzalendo anaongea sio wale wasaka tonge walotumwa.
@salyali7807
Ай бұрын
Kabisa kabisa.. May Allah amhifadhi.. Allahumma ameen
From Oman 🇴🇲 allah awalinde na shari vitimbwi vya ccm na serekali yak ya kiharamu tupo pamoj mm na zanzibar na zanzibar namm PBE and UGJ iloveyou
Ni ngumu sana mtu kuwa muadilifu kwenye mambo hayo
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Nikweli
❤❤❤❤❤
Nyerere aliifisidi ZANZIBAR. WAENGEREZA ndio wahusika wakubwa. A.C.T mkichukuwa nchi. Fanyeni Sultan jemshid aje kuishi ZANZIBAR kama vile HISTORIYA na kupata BARKA. Za ZANZIBAR.
😂😂😂😂❤❤❤
Ile CUF ya Maalim Seif imerudi katika ubora wake !!
@jaysullman3697
Ай бұрын
A.C.T Wazalendo Kweli CUF ni Mhariifu Professor Ibrahim Lipumba what's ever you called 💯 maana hainyanyuki tena imepigwa na Maradhi laaana!!!
@jaysullman3697
Ай бұрын
M/Mungu amlaze mahala pema peponi Maalim Seif 🤲 Aamin Yaarab!!! Hao ni watoto wa Maalim Washapikika Hio Kambi ni Moto 🔥🔥 Vijana nguvu Kazi 💪 Moto Moto twende Kazi 💪💪💯
Jusa ni mtaalamu wa kupika taarifa za uongo. Ni wapi mafuta yapo chini KULIKO Zanzibar ENEO hili la Africa mashariki?
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Kamueleze ili akisema aseme ukweli
@kassim1262
Ай бұрын
Hkuna wtu waongo km ccm nandio maana tngu enzi za mabibi namababu mpk leo hii bdo znzb hii unguja na pemb bdo tunajengew barabra na itaendelea mpk kiama maana ccm hwpo kwaniaba yznzbar wpo kujinufaisha ss jussa kakudanganya nini
@jaysullman3697
Ай бұрын
Ukweli hamna namna yakujitetea Ukweli utabaki Ukweli tu!!!😜 Na Uongo ni wale Wanafik waliozoea Utumwa ya Hewallah Bwana!!!😜😂😂
Kuna tofauti kubwa sana ya siasa za Tanganyika na Zanzibar kwamba viongozi wa vyama vya upinzani Zanzibar ni viongozi wa Serikali kwa awamu tofauti huwa najiuliza sana Serikali inayotafutwa ili iwe je.
@jumamohamed3168
Ай бұрын
Haji Hassan wakati mwingine unachekesha sana,hawa akina jussa na wenzake hawajawahi kuongoza Zanzibar kupitia tiketi ya chama chao iwe CUF au kw sasa Act wazalendo,usiwape lawama sana hawa hata wakitaka Zanzibar ile iendeshwe kwa namna hii au ile hawawezi kufanya hivyo kwa sababu hawawezi kufanya mabadiliko kwa sababu wao sio chama tawala mfano ,Zanzibar kupiga kura siku mbili ( 2),haiingiliki akilini watu laki tano kupiga kura siku mbili wakati Tanganyika kupiga kura siku moja wapiga kura milioni 20.yote hayo ni mazingira ya kuleta vurugu tu na wizi katika chaguzi .kama ni uwezo wao wangebadilisha huo upuuzi wa kupiga kura siku mbili watu laki tano.na mambo mengine juu ya masilahi ya Zanzibar hasa katika mambo ya Muungano .
@jaysullman3697
Ай бұрын
Ebu funguka au mkono umeteleza ulichokiandika?
Haya maneno tumeshayazoea sana kwa sisi wenye maono tunajua kua hmn kitu just munatafuta kula tu
@saidsleiman7043
12 күн бұрын
Gh