SWAUM YA ARAFA NI MWEZI 9 KWA MUANDAMO WA PALE ULIPO - SHEIKH MUHAMMAD IDDI
Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZread: / @babdeomiladu
Жүктеу.....
Пікірлер: 379
@shaibubwamkuuАй бұрын
Alhamdulillaahi sheikhe abuu iidi endelea kufanya kazi ya Allah, kwani mtume alikaidiwa tutakua sisi? Kwahiyo endelea sheikhe wangu nashukuru sana kwa mungu kutupa sheikhe wewe achana na hao walioamua kumfata abdu lwahabi, na ushabiki twende kazi sheikhe wangu sisi tunaokuelewa tunatosha,hongera sana, by bwamkuu hapa
@ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын
Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo. Mimi bi nafsi nafuata saudia miaka yote .alhamdullillah Allah atuongozee sote.
@azizayassin3623
Ай бұрын
Arafa ni moja ata ukiwa China araf ni moja kumbuka hii sio umra
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@azizayassin3623kiwahabi kijike
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@azizayassin3623 nenda ukasome Kuna mafungamano kati idd al adha na kisimamo Cha arafa idd al adha ilisuniwa mwaka wa kwanza wa kiislamu na Hajj alifaradhiwa mwaka wa Tisa wa kiislamu mtume aliswali idd al adha mwaka wa pili mpaka mwaka wa Tisa hicho kisimamo arafa kilikuwa Kiko wapi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Mbona unajichanganya umesema sio muhimu kuwafuata watu wa makka na ilhali wewe mwenyewe wafuata makka huu si udhabdhabina
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@azizayassin3623 kwani china Nako Kuna arafa nendeni mukasome acheni kukurupuka kwenye mitandao mtume s.a.w. aliswali idd al adha mwaka wa pili wa kiislamumpaka mwaka wa Tisa wa kiislamu hicho kisimamo Cha arafa kilikuwa Kiko wapi
@user-ze3po8oe7dАй бұрын
Jazaakaallahu khayra darsa zuri sana ALLAH akulipe shekhe
@HamidSalum-kk8quАй бұрын
Sheikh jazzaka lllahu khayra Mimi binafsi nimekuelewa vizuri sana watu wakiacha ushabiki watakuelewa mambo yapo wazi sana umetuelimisha vizur asante
@AbuuOthman
Ай бұрын
Sheikh Muhammadi Ayoubu Wa Shamsiyah Tanga Amesomesha Sanaaa Watu wanatakiwa waache Mchezoo Na hawa Wanafunzi wake ALLAAAH amlipe Kula la kheiri Sheikh Muhammadi Ayoubu Alkamadhi
@mdoekibai3991Ай бұрын
nimekuelewa vzr shekh na somo nizirisana Allah akulipe kherinyingi na akuweke miaka mingi tuzidi kupata elimuyako inshallah
@swalehabdulrahman4118Ай бұрын
Nimekuelewa sana Shekh Allah akuhifadhi
@user-so8uh8bt5tАй бұрын
ALLAH AKUUJAALIE UMLI MLEFU
@HamdiHamdiAbdiАй бұрын
Mola akuhifadhi na akubariki
@MudiKondoАй бұрын
Nimeelewa shekh
@alhabibymasoud3445Ай бұрын
Allah akuwkee Sana ili tuendelee kupata faida kubwaaa,,
@infocontentchannelАй бұрын
Jazaakallahu khayran Sheikhul Faadhwil
@jumamwekwa491Ай бұрын
Allah atuongoze atujalie elimu yenye manufaa
@hamisi_msoka
Ай бұрын
Mbona mwezi ukionekana Kenya muft anatangaza, kwani Kenya ni Tanzania?
@abdukhan4718Ай бұрын
Kila anaepinga haya Asimpinge Sheh Abuu Iddi....... Apinge vitabu alivyo nukuu Sheh. Akama kakosea kusoma basi aje mtu asome vizuri kinyume alivyosoma yeye na Alivyo tafsiri yeye...... Namuomba Allah atusamehe makosa yetu. Na atuingize peponi kwa rehema zake.
@jumaamohamed4203Ай бұрын
Wewe ni jiwe kubwa sana Atakae piga kichwa jiwe ataumiza kichwa chake
@user-ek8rc7ys4cАй бұрын
Yaaani kama ni aswari Sunna huwezi kumuelewa huyu jamaa hata kidogo kwa7bu wwe upo kiushabiki lkn huyu jamaa yupo sahihi sana Tena sana Allah atuwekee ili tuzidi kunufaika naye
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Soma dini ueleww wawasikiliza watu watetea matumbo yao tuu we vip unafosi watu tumuelewe muelewe ww na sekhe wako mpotoshaji wamewapotosha kufanya maulidi na wanavimba mishiipaa. Kuyatettea japo ukweli upo wazi ni uzushi watashindwa kupotoa hili
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3e Mimi hii midahalo siipendi, hutaka kila mmoja afuate alichoamini. Muhimu kila mmoja awe na elimu juu ya anachokifanya.
@ramadhankheir4793
Ай бұрын
Kwaiyo arafa zitakua ngap?
@tumainizaidu7095
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3euko ndo kushindwa hoja
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3eww umsoma wapi
@musayahaya4281Ай бұрын
Mashaallah
@NurdinAhmad-oe8nzАй бұрын
Jazakumullah khaira allah akulipe kheri
@AbuuOthmanАй бұрын
Yaaa Salaaam Sheikh letu Mzee wetu ALLAAAH akuweke Na akulinde Na hasadi Maana Unamwaga LULU nyingi Mnoo Sheikh wetu Muhammad
@IsmailJuma-zb5niАй бұрын
Mimi Nimekuelewa vya kutosha, umeongea vizuri mno
@user-gk8tt1qd8pАй бұрын
Nimekuelewa vizuri sana shukran
@alikulisa1967Ай бұрын
walahi shekhe wangu nimekuelewa sana mungu akulipe
@user-mr7ci6we8oАй бұрын
Mwalimu wangu unajua sana kwa sababu umesoma sana
@user-mj2pe4xy7vАй бұрын
Allah akulipe sheikh kuwasaidia waislamu ktk maelekez muhimu na wakati muhimu
@hassaniibrahim300Ай бұрын
SHIDA SAANA MASHEIKH NJAAA
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Unamanisha Nini kwa kusema hivyo
@darajanida
Ай бұрын
njaa yake nini mbona manenoyako hayana uwiano
@HemedSeriousАй бұрын
Hoja za msingi sana, kiasi cha kuelewa ata mweny elimu ndogo
@IddiIddi-xe6koАй бұрын
Shehe Acha ubaguzi 😮 sisi tuko sawa sawa Makka. saa za kuswali
@jemedarmohamed3644
Ай бұрын
Kuwa na inswaaf
@jemedarmohamed3644
Ай бұрын
Elimu ni amana , wallahi Allah atakuuliza hio siku ikifika
@azizayassin3623Ай бұрын
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@Mbarak1Ай бұрын
Swallu Alan Nabiiiiii
@muhaproduction3325Ай бұрын
Mashallah sheikh nimekuelewa vizuri sanaaa
@NurdinAhmad-oe8nzАй бұрын
Allah akulipe 43:54
@user-so8uh8bt5tАй бұрын
Yaani shekhe wa unanifulahisha lakini unawakera saaaana ndugu zetu mawahabb
@fauznuhu9981Ай бұрын
Haya maneno ninani haeliwi labdah ni vile hakupewatu upeo wama elewa
@salimutwahiri3693Ай бұрын
من الأمور المشتشكلة فى هذه الأيام صيام يوم عرفة وعيد الأضحى، والأضحية، لمشابهتها فى الأسماء والتاريخ ،لأن الجاج لهم عرفة وغيرهم يصومون يوم عرفة، والحجاج يذبحون الهدي، وغيرهم يذبحون الأضحية، لدفع الشهبة يجب علينا أن نرجع إلى تاريخ لنفصل هذا وذاك،
@user-is9jk8vw6eАй бұрын
Shehe uko sahihi
@OmarmjimbaJumaАй бұрын
Abuu Idd kakae usome
@mengikiguruwe6750Ай бұрын
Sheikh yupo vzr sana kwamba SWAUMU YA ARAFA NA HIJJA ni vitu viwili tofauti kwani Hijja ni siku moja dunia nzima (kuanzia Adhuhuri hadi Alfajiri) na inafanyika Saud Arabia wkt Swaumu ya Arafa inafanyika Alfajiri hadi Magharibi ya siku husika ktk nchi yake
@bigemagomabigemagoma6312
Ай бұрын
Sio hivyo ndugu Arafa ni sehem iliyopo Makkah ambapo mahujaj huenda sehem hiyo Mahujaji husimama hapo kuanzia Alfajir mpaka magharib Maana ndio kilele cha hija ,hija ni Arafa kama hujaji ajaenda viwanja vya Arafa hana hija Na siku hiyo ya Arafa Ndio siku pekee ambayo Allah anashuka mchana Sisi tuliopo pembeni inatakiwa siku hiyo ambayo mahujaji wapo viwanja vya Arafa tunatakiwa tufunge
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@bigemagomabigemagoma6312neno arafa ndio Lina kutatiza nenda ukasome tarekh ya kiislamu neno arafa lilikuwapo hata kabla ya kisimamo Cha arafa
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@bigemagomabigemagoma6312je kwa wale ambao usiku ushaingia
@riddi676
Ай бұрын
@@bigemagomabigemagoma6312ukisema hivyo unamaanisha walioko marekani na mashariki ya mbali hii dunga haiwahusu? Maana wakisimama arafa kwingine masaa yanapushana mpaka nane na kumi. Iceland huko. Ndo maana nmemwelewa shekh kwamba siyo ibada ya tukio, na hapo ndiyo itakuwa ya waislamu wote duniani, ukisema ni ya tukio tu basi kuna sehemu za dunia hii haitawahusu.
@pavillioncry5241Ай бұрын
Sufiiii
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
Kiwahabi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Yenu ni matusi hojja huna mungu akuongoze uione haki na kuifuata
@HemedSerious
Ай бұрын
Wewe mwehu
@salehjuma97Ай бұрын
Technology ya mawasiliano inaweza kubadilisha huqmu za dini???
@salimutwahiri3693Ай бұрын
Ili arafa iwe moja turudi kwenye tarekhe ya kila kimoja wapo tujue iki na kile kwa sababu arafa ili kuwepo kabla ya hija
@HamadaZubeirTahirАй бұрын
MWENYE AKILI TIMAMU NDIE ATAKUELEWA MWENGINE ASIYE NA AKILI VIZURI ATAKUPINGA TUUU
@bagaluchaАй бұрын
5:104. Na wanapo ambiwa: Njooni kwenye yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawajui kitu wala hawakuongoka?
@hawahussein137Ай бұрын
MASHAALLAH
@hassaniibrahim300Ай бұрын
WAMAREKANI NA MAKHA NI MASAA 7 TOFAUTI NA WANAFUNGA SAWA TOFAUTI NI KUFTURU WAPO NYUMA
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Ndio ishakua tafauti hio pimbi wewe.
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Wakati wa summer america na Africa mashariki ni masaa 10 .11.hadi 13. Sasa watafungaje pamoja kuwa mkweli na umche mola wako
@KhamisHabib
Ай бұрын
Sioni ajabu kwani hata Iblis ana wafuasi na wanamuelewa
Mnajitahid sana kutumia nguvu ila haki haijifichi watu wanazidi kuuelewa ukweli mshatudanganya sanna
@rjqaasam4587
Ай бұрын
Kwahiyo Shekhe wako Ibnu 'Uthaymin, Swalehe Fawzan, Ibnu baazi wote hawa hawaijui haki?!
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Mumeo danganywa kivi vipi nenda ukasome
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Achanani nae mjinga huyu
@DaudiDigo
Ай бұрын
Nyinyi ndio watu bongo zenu zimeratibiwa na Wangereza na Mayahudi kuuvuruga Uislamu.Historia ya Uwahabi oko wazi na malengo yenu yanajulikana
@faisalkhalef6171Ай бұрын
Mtoto wa bachu manukau hapo na akabadilisha main
@HamisiRamadhani-nn9piАй бұрын
Kwani msimamo wa shekhe kila nchi na mwezi wake au anaangalia matwlai?
@PabloPembe-ne7oyАй бұрын
Mbn shekh kaeleza vizur tuu kwanz msikilize muelewa alaf toa hoja yako uislam ni din amblyopia kioa kitu kimeandikwa kweny vitab
@AllyAbdalla-dw3dyАй бұрын
Siku 9 za dhulhijja ni vizuri kufunga tusisubiri siku ya arafa tu
@abuujibriltv5233Ай бұрын
Mawahabi mtofautishe tarekh za mwezi na tarekh za jua
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Fata ww na shekhe lako lipotoshaji hilo sisi tushabuluzwa sana na Hawa watu hatimae tumekomboka endeleni ninyi kuwa utumwani
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ehahahaaaa kakomboka juzi
@HijaSaid-xd7fgАй бұрын
Hili chawa ni tiss, kila mtu mahala alipo, kwa hiyo pale Makka hatuwafuati,
@kabwangaselemani5228Ай бұрын
Allah kwa kuweka mzunguuko wa jua kwa saa 24 nadhani hekima yake ni kuabudiwa na viumbe wote massa yote 24 hivi wote tungefanya hizi Ibada kwa pamoja hayo massa mengine asingeabudiwa na viumbe Sheikh Muhamadi Iddi kwa hili naona unaongea mambo sahihi
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Ni kweli kabisa nnachoamini wakati ambao sisi tunaswali adhuhur wengine wanaswali ishaa
@riddi676
Ай бұрын
Kigoma na Rukwa hapo magharibi yake haifanani na ya dar, ni vile tu waislamu wengi hatujajaliwa kutembea duniani ndiyo maana tunahisi dunia nzima ipo kama Tanzania na Saudia
@user-bx5cn5no5eАй бұрын
Kuna mashekh ukiwaskiliza kwa makini sana utgunduw kumbe niwapotoshaji watu kwa maksudi lengolao wa nalijuw wao lkn kiukweli kuna mashekh wanapenda mfarakano kuliko umoja sijui wanamgumikiy nan Allah awaongoze pa1 na sisi amin
@mwechengo6156Ай бұрын
shekh siku inabadilika jioni na si asubuhi
@hajihassan5433
Ай бұрын
Sawa, umekusudia nini?
@yussuphsultan1400
Ай бұрын
@@hajihassan5433nadhani sheikh alizungumzia akimaanisha....mchana nadhani....day and night.....hapa 'day' ni mchana
@ashbilan13Ай бұрын
Lakini saudia na tz time is same sheikh na Hilo jee
@lubelubembela8625
Ай бұрын
Time moja sio hoja. Mfano uliza swala ya alfajir Zanzibar wanaswali saa ngapi na Kigoma wanaswali saa ngapi? Utapata jibu. Muda wa swala hazingaliwi TIME badala yake huangaliwa JUA
@mohammedyahya972Ай бұрын
Tunchoka poooo
@JailaniRamadhan-it3kpАй бұрын
Umeelewaka san mawlAna
@TwaliathAndrea-dm3dyАй бұрын
Mashehe waseme sisi na saudia tunatofautiana mda. Km ni siku maana ni masaa24 lkn km ni dakika kadhaa basi trh zetu na mwez wetu unaandama siku moja isipokuwa tunatofautiana dk hizo. Km wataeleza hilo basi waumin hawatafanya makosa. Lkn km leo ni j.mosi maka na Tanzania ni j.mosi ila hy trh nasiku tumetofautian mda basi haipaswi tupitishe siku.
@nasoroabdallah6253
Ай бұрын
Shida ni Saudia hawaangalii mwezi. Wanafata kalenda yao ya ummul Qura. Hivyo uandame usiandame kama kalenda yao inasema tarehe 1 basi itakuwa hivyo
@user-qv9ep6wq1tАй бұрын
Mashekh musiwape pumzi mawahabi hadi wakiri kwamba wamewakosea waislamu kwa kipindi kirefu twende nao hivyo hivyoo
@OmariBwagizoАй бұрын
duuh mumeanza Tena mambo yenu jaman
@maulidimuhaniАй бұрын
WALE WANAOISHI MIPAKANI MWA NCHI NA NCHI WANAKUTANA KTK KAZI WANAISHI PAMOJA JE WAFUNGEJE???
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
😂😂😂😂 alhamisi kila nchi ina yakwake
@zubeiramlanzi2480
Ай бұрын
Comment yako nimeikubali
@abuujibriltv5233
Ай бұрын
Subhana llah. Mawahabi somoni jamani. Alhamisi haija fungamanishwa na mwezi bali ime fungamanishwa na jua
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@abuujibriltv5233Kwani hisabu ya mwezi inaanzia wapi na jua wapi, panachanganya kidogo. Jua likizama (Magharibi) ndio mwezi huanza. Hivyo jua ni masaa 12 na mwezi masaa 24. Funga hutegemea jua sio mwezi yaani Alfajil hadi Magharibi. Mwezi ni Magharibi hadi Magharibi. Niko sawa?
@Abuu-pi4qx
Ай бұрын
هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ Yeye ndiye aliye lijaalia jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Ndugu yangu umegeuza, bali Jua ni masaa na Mwezi ni siku.@@abuujibriltv5233
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Kweli kabisa wapo wengine imeingia ijumaa na wengine bado wako na alhamisi tumia iko ivyo, Alafu usilinganishe miezi na siku za kidunia Ambazo ziko fixed sisi tunafuata mzunguko wa mwezi ambao auzidi 30,tarehe za kidununia huwa zinaenda mbaka 31.
@KhatibFakiАй бұрын
Haya tutakubali kufunga arafa mwez 9 kwa hoja zako za kufungamanisha matukio lakini utwambie tufunge jumatatu pale inapo ingia mpaka itakapo toka kama hoja nikwamba haiwez arafa kufungamanisha mahujaji na funga. Toeni dalili zilizo waz mashekhe acheni kushabikia tuu kama vile timu za mipira
@HemedSerious
Ай бұрын
Safi tumekuelewa
@riddi676
Ай бұрын
Dalili zipi unataka tofauti na alizotoa? Mjitahidi kusikiliza darsa zima siyo vipande
@ATICKLUNKOАй бұрын
Hivi aliesema hii ni mpasuko ni nani,,,mbona mwaelewa vibaya
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
KATIKA MASHEKH WABISHI BONGO...HUYU KIONGOZI WAO...ILA NAMKUBALI SANA SANA
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Unamkubali kupotosha uma kweli yupo vzr we unataka aende motoni peke ake lazima apate wafuasi ndo kama ninyi mpo vzr tuu.musokubali haki waziushi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3eSasa ana potosha kivipi nenda ukasome wewe ni mpotoshaji lete dalili zako
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ewewe unaonesha haswaa kama si muislam
@hamadihaji4007
Ай бұрын
Kwamba wewe wa peponi unaambiwa usimuhukumu mwenzako angalia na yako kwanza@@user-yj5on8cz3e
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3eana wapotosha watu kivipi nenda ukasome nyinyi ndio wapotoshaji munaendedha dini kwa fikra zenu pasi na dalili
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
WEWE HUNA JIPYA UMESHAKUWA SPECIALIST WA BAKWATA KWAMBA KILA IKIFIKA MIDA HII NDIO UNAONEKNA KUPOTOSHA
@nabiljumaothman5912Ай бұрын
Wewe ni chawa tu mashehe wa mchongo wanauza dunia kwa akhera yao kwenda uko abuu iddi mipasho
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
Mmh ww kdet
@abdallaahabdallaahibrahim6719Ай бұрын
Wewe ndio shabiki
@HamisHangoАй бұрын
Tukiu letu liko Makkah watu wakiwa arafa sisi tufunge wakiundoka arafa simu gani tutaakae ungana nae
@user-su7eu5yn6qАй бұрын
Ibada hii ya hija imefingamana na vyote tukio,tarehe na mwezi sasausije ukawakoseshawatu fadhiraza arafa kwakuambia vituviwilitu Yani mwezi natarehe itakuwa umewakosesha siku muhimu ya arafa maana ww ume ung,ang,ANIA tarehayako tu hunahajaya kuangalia mahujaji basi ww itakuwa hukumfahamu vizuri mtume sasa kwakuwa ufahamuwako umeishia hapo nakuomba usiwapoteze watu kwakuambia wafuate tarehe yao haliyakuwa ilijambo limefungamana nayote matatu na tumshukulu mungu sana Kwa ukanda huu wa afrika mashariki hatunaudhuru watarehe kwani tunaenda sambamba masaa tarehe Yani hatuna udhuru kabisa
@hasinaalrahbi6681
Ай бұрын
POLE SANA HUJAMUELEWA HUYU KAFAHAMISHA VIZURI.HAJJI NI YA MAHUJAJI NA ARAFA. SISI NIFUNGA TU NA DUAA WAO NDIO WANA KISIMAMO SISI KISIMAMO.CHA ARAFA HAKITUHUSU KAMA HATUJAONA MWEZI TUNAPOISHI.LAZIMA KUWASIKILIZA WENYE ELIMU TUSIZUKE TU JAMANI ITTAKILLAH
@riddi676
Ай бұрын
Kama ni hivyo kuna nchi ibada hii haitawahusu, tembea nchi zingine ndo utaona huyu shekh anaeleza nn
@kichanganionlinetv8023Ай бұрын
Huyu mzee anachokitetea hatofanikiwa mpaka anakufa amesimama kwenye upotoshaji wa wazi wala usiseme unakumbusha bali wew uko kugawa waislam na kamwe hutak waungane😢
@HemedSerious
Ай бұрын
Humuelewi ww tu mbumbumbu
@KhamisHabibАй бұрын
Assalaamu alaikum sio ajabu yakua na watu wenye kukufuata na kuona kama uko sawa lakini tu nataka uelewe hata iblis anawafuasi na wanaamini yuko saw
@riddi676
Ай бұрын
Umemwelewa Kwanza?
@yusuphalawi6803Ай бұрын
Mwamba huyu
@AhmadiMaduaАй бұрын
Mawahabi ilim ndogosana
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
We una ilmu na shekhe lako hilo lenye tumbo kubwa 😂😂pinzani la sunnah za mtume
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ematusi ndio dini yenu ilimu huna ni Sunna Gani abuu idd anapinga na vitabu ana toa kama sheikh uthaimeen jee uthaimeen naye apinga sunnah
Shida ya kua mshabiki ndo hiii. Sasa kasoma Almughni lakini hakusoma yote Soma ukurasa wa 595 hiyo hiyo kitabu Swalatu Alghidain angeona anavyojichanganya anatetea tuuu ugali maskini. Lakini hana hoja Kwani sisi kufunga tunafunga kuambatana na tukio au tunafunga tarehe. Na kama tunafunga tarehe Tunaomba dalili ilokuja kuonyesha kua ni tarehe na sio tukio
@Alhasibu05
Ай бұрын
Sasa ndugu kama umesomewa na vitabu unataka dalili gani sas wewe ndo ungetoa dalili ya kupinga hilo
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@Alhasibu05 Kitabu alicho soma kasoma kihuni hajamaliza maada nzima katika kitabu hicho. Na hiyo ni kawaida ya masheikh wa Bidaa wanawaiga mashia kama shida golo alivyokuwa akisoma vitabu kwa lengo la kutukana Wanazuoni wa sunna. Na huyu nae kasoma nusu. Huu ni uhuni kitabu hicho hicho kinamsuta kama unacho soma hadi ukurasa wa 595 kitabu hicho hicho ndo utaelewa.
@user-fp9ye4vv3y
Ай бұрын
Huko mbele kunasemahe
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@user-fp9ye4vv3y Na siku ya Arafa ni siku ambayo itawadhihirikia kwamba ni siku ya Arafa sawa sawa ni tarehe tisa au kumi. Ukurasa wa 595. Almughni Almukhtaji
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Sasa hapo kakata nini au kapotosha nini
@MuhamadikhatibMaliliАй бұрын
Tatizo lako ulimkimbia kassim mafuta
@hassaniibrahim300Ай бұрын
YAANI VITABU VYA KUCHAPISHA FUATA ISIMAMIE MTUME NA KITABU CHA MWENYEZIMUNGU PEKEE UANABEBA DHAMBI KWA KUPOTOSHA WATU
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Anapotosha Nini ukweli unauma Leo wasema ATI anapotosha kwa vitabu kuchapishwa jee hadithi za mtume s.a.w.hazipo katika vitabu vilivyo chapishwa kama sahihi bukhari na sahihi Muslim na sunani sita na quraan nayo pia ilichapishwa
@masudbasra566Ай бұрын
Abuiddi watu washakuchoka tafuta kazi ufanye
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Hatuja choka kumsikiza abuu idd kwa sababu anaelimisha umma wa kiislamu juu ya upotoshaji wenu juu ya funga ya arafa nayo ni mwezi Tisa wa dhulhijja lakini nyinyi munabadilisha kwa kuangalia mahujaji kwenye kiwanja Cha arafa ambapo hii ni bidaa hakuna mafungamano kati ya funga ya arafa na kisimamo Cha arafa na kama Kuna mafungamano mbona funga ya arafa haipo kwenye mlango wa hijja na kama ipo basi lete dalili
@humoudiddi1397
Ай бұрын
Allah akuhifadhi na huo mdomo wako mchafuu lengo ni kufahamishana na sio kubishana hivyo ndivyo walivyofanikiwa maswahaba uu kwa elimu gani mpaka umjibu mtu anaeamrisha watu mema na kukataza mabayaa ndo nyinyi munaotuharibia diniii
@maulidimuhaniАй бұрын
TUNA UTAFUTA UQADHI AU USHEKHE WA MKOA KWA NGUVU ZOTE
Embu ungemuuliza duniani kuna siku mbili? Yani mfano leo juma tatu afu kuna kesho juma tatu sehemu nyingine!!?
@binabeid
Ай бұрын
Ndio ipo lakini sio 24hrs completly
@shabanibizimana6210
Ай бұрын
Hilo swali alishalijbu siku nyingi sana labda wewe ndio mara kwanza unamsikiliza
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Yupo vzr kupotosha we unataka aende motoni peke ake wakati wakumsapoti mupo hiyo ndo kweli ulivyo Hawa siku zote wangekuwa wakweli wangeshawatoa utumwani mwa maulid kwani hawajui kama ni uzushi wafahamu vzr wanapinga sabu za kimaslahy zao hata hiili pia mutapinga uliona.wapii dini ikaakkosaa wapotoshaji??? Haiwezekani woote twende peponni
@shabanibizimana6210
Ай бұрын
Sisi hatumsapoti ila tunakubali dawa yake
@abuhassan9122Ай бұрын
Miandamo wa dar na tanga au kigomani SWA?
@lukumanisharifuАй бұрын
Jua utakufa na sijuwi unamajibu sahihi uliojiandaa Kwa uma uliopotea tunu kabla ujafa iddi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Kwani nani atabaki milele kila mtu atakufa kama mola alivyo sema kila nafsi itaonja mauti sindano za abuu idd zinaendelea kuwachoma mumeo Baki na chuki dalili hamuna
@riddi676
Ай бұрын
Leta hoja acha kuleta hukumu, ni Allah pekee ndiyo mwenye majibu
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Mm nauliza kwamb funga zone zinafungamana na jambo fulani sasa hii ya arafa inafungamana na nn
@binabeid
Ай бұрын
Si amesema inafungaman na tarekh au hujasikiliza mpaa mwisho ?
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Mtume alifunga Arafa kabla ya hija kufaradhishwa so jiulize wakat anafunga kabla ya hija alikua akifunga kwa mtazamo gani
@AllyAhmad-zg2yp
Ай бұрын
@@khamiisathmaan4362 naam lete dalili yakuran au hadith
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
@@binabeid wengine hawamsikimizi mtu vizur wanakuja na mitazamo yao
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
Labda nikufahamishe kitu;kuhusu arafa.kuna arafa siku,kuna arafa sehemu (ambayo ipo makka)na kuna arafa kisimamo.sasa kauli ya mtume inasema (funga ya siku ya arafa ambayo ni mwezi 9 wa dhulhijja na sio mahujaji wakiwa wapo kwenye viwanja vya arafa
@maulidimuhaniАй бұрын
MASHEKHE TUWEKENI SAWA, JE DUNIA INA SIKU MBILI TOFAUTI ??(Yaani tar. 09 .12. 1445 Zipo mbili tofauti DUNIANI?? na kama ipo mbona inazingatiwa nyakati za kufungua na kufungua TU? sio KTK majambo mengine yoote DUNIANI hatusikii HIZI tofauti za masiku???) Ina maana Hadi sasa SWALA LA DUNIA KUTOFAUTIANA SIKU HADI LEO WASOMI HAWAJALIPATIA UFAFANUZI.
@riddi676
Ай бұрын
Achana na dunia ndugu hata kigoma na dar hawafuturu pamoja sembuse uchina. Hivi vitu waislam wanatakiwa kutembea na kuona wataelewa kirahisi. Ukimweleza mtu aliyekulia kondoa mpaka akawa shekh hapo ni vigumu kukuelewa
@MohamediurariАй бұрын
NA ANASEMA.HAIWEZEKANI.WATU..KUFUNGA.SIKU.MOJA....MBONA.KRISMAS.INASHEREHEKEWA.SIKU.MOJA.DUNIA.NZIMA....NA.MTUME..ANASEMA..KIAMA.ITAKUA.SIKU.YA IJUMAA....KWA.HIYO.MTUME.NI.MUONGO?.KWA MAANA.WENGINE.KIAMA.KITAWAKUTA.JUMAMOSI.?
@hajihassan5433
Ай бұрын
Unavyodhani Kristimass inasherehekewa siku 1. Sababu ni kwamba siku kwa Wakristo ni saa 24 ba Kristmas ni saa 24 na inaanzia saa saba usiku. Wakati kwa sisi Waislam siku inaazia Magharibi na kufunga kwa Africa Mashariki na kwengineko ni masaa 12. Hii maana yake. Mwezi 9 wa Makka ukiisha ndio 9 wa Tanzania umeanza kama funga ingekuwa saa 24 kama Kristimass tungekuwa tunakutana.
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
Huna hoja unafanansha hukum za kiislam na shreh za dn nyngne mpumbav kwel ww
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Shubaamiti yaani masuala ya dini unatuchanganyia na ujinga wako
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
@@IsmailJuma-zb5ni n mjinga xana huyo Mambo ya uislam anafananisha na Mambo ya krsmas
@Bombwejr18
Ай бұрын
Mnatukana sababu hamkujua maana yake nn? Kama siku ni moja tunapisha masaa basi kukikucha funga kama kwako Usikù hata Arafa nayo tutofautianae 😢😢😢😢 @@AdamRajab-xd3zg
@IsmailJuma-zb5niАй бұрын
Halafu nyinyi vikanzu tuambieni ni kwanini hamufuati mwezi ukionekana china munafuata makka tu hili mumelitoa wapi?
@KhamisHabib
Ай бұрын
Kwanza ww ukisema vikanzu unaonekana unajitoa kwenye dini hii maana hivo vikanzu vilianzia kwa mitume sijui mtume gani alievaa suruali sasa angalia maneno yako sio kwakua umepewa mdomo na hulipii kodi unaongea tu ipo cku unaweza ukajutia maneno yako
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
@@KhamisHabib Kaka hakuna mafungamano yoyote kati ya kanzu na dini ukitaka kuamini hilo nenda nchi za uarabuni utaelewa
@hassaniibrahim300Ай бұрын
IJUMAA YA TZ NI SAWA SIKU MOJA SASA WE UNATAKA WATU WAFUNGE SIKU TOFAUTI NA SAUDIA YAAANI HUU NI UJINGA
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Wewe ndio mjinga haelewi kitu.
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Kama unaifuatilia tarehe za hijjra utagundua tulishatofautiana tarehe na saudia kabla ya kuingia mwezi huu
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Na kumbuka hizi siku ziko fixed azifuati mwandamo wa mwezi zingekuwa zinafuata mwandamo pia tungetofautiana
@abuunufaysah5328Ай бұрын
Huyu jamaa akili hana,anaibuka kwa matukio ya msimu wa Maulidi,ibada ya swaumu ya Arafat na mwandamo wa mwezi wa Ramadhani نسأل الله أن يهديه إلى التوحيد والسنة
@kasumunigwasa
Ай бұрын
Hâta Aya zilishuka kwa matukio pia
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Suna gani ulonayo wewe ya kumtukana muislamu
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Miongoni mwa hekma za Allah kaishusha Quran Kidogo Kidogo kwa miaka 23 ni kuweka sambamba na tukio Jee hilo Unasemaje?
@abuunufaysah5328
Ай бұрын
@@IsmailJuma-zb5ni Hakuna sufi mwenye akili timamu,kushuka kwa Quran kidogo kidogo na mtu kuwa mropokwaji wa matukio kadhaa kila mwaka mbona hakuna uhusiano, mwenye akili timamu hawezi kuwa sufi,kaangalie maneno ya Imam Shafiy dhidi ya masufi.
@abuunufaysah5328
Ай бұрын
@@khamiisathmaan4362 hakuna tusi hapo, ALLAH kawarudi baadhi ya watu katika Quran kwa kuwaita hawana akili kwa Sababu ya kutoifuata haqq, kwahiyo ALLAH anatukana?
@Kajokashemmela-uu5vhАй бұрын
Box tupu Halina kitu amefukuzwa tamta mnalielewa msafala wa mamba
@Sheba4651Ай бұрын
Wewe ikifika siku ya Jumamosi itaangukia Arafa kwa mwaka 2024, wewe usitie nia kufunga Arafa siku hiyo, subiri arafa yenu uwanja wa jangwani, ama kwenye uwanja wenu wa maulid mnazi moja. Acha sisi tutie nia kufunga Arafa siku ikifika, kawapoteze watu wa bidaa wenzio huko.
@almeidhalu3238
Ай бұрын
Debe tupu upiga kelele sasa arafa Ni faradhi Hadi mtu lazma afunge jumamosi na nyuma ashakataza kufunga jumamosi pekee.....sasa jumamosi wafunga VP hio siku tu peke nenda kasome wewe huwezi jua kumliko ndo maana yeye Ni shekhe wa markiti wewe labda shekhe wa mangwe
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
ALAFU JAMANI NYIE MASHEKH ACHENI KUWEKA MASLAHI YENU KTK DINI....HAIINGII AKILINI SIKU MOJA IKAWA NA TAREHE MBILI TOFAUTI...LEO SUUDIA NA TANZANIA HATUNA UTOFAUTI WA SIKU NZIMA YAANI KAMA TZ NI J/4 BASI NA SUUDIA NI J/4,TOFAUTI YETU IPO KTK DK.KADHAA TU SASA KWNN MNAPOTOSHA ??
@KhalfanMakotaАй бұрын
Acha ushamba kupita tamta ndio iwe sabab ya kuweka iyo pcha sheikh letu kipenz mohamad ibn ayub
@yahkiwera3611
Ай бұрын
wewe unajitambua kweli
@ZUBERYKASSIMАй бұрын
Sheikh tumemuelewa sana Ila swali langu leo tanzNia ni junanne saa mbili usiku je saudia ni saa ngapi Mbona tunauliza wenzeru walioko saudia Wana Sema saa ni moja sisi na saudia hatupishani saa hata moja vipi
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
Haujamuelewa,inawezekana saa ni moja lakini tukatofautiana mwindamo,ikiwa muindamo utakuwa sawa hakuna shaka na hili sio geni kama tulivyokula idi al fitiri mara hii
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Hamuelewi jamani mbona haijawahi kutokea hapa ikawa mwezi 28 kule saudia ikiwa ni mwezi 29 Halafu sisi tukauona?
@DaudiDigo
Ай бұрын
Tarehe na saa inaweza kuwa moja: Lakini kunatofautiana kuchimbuka na kuchwa kwa jua sehemu mbali mbali.Darasalama jual laweza chimbuka 6.36 asubuhi na Kigoma likachimbuka 6.53 asubuhi.Hili ndilo linaloongewa hapa.
@IddiIddi-xe6koАй бұрын
Nini maana ya arafa Wewe E
@selemanishabani4749Ай бұрын
Sasa shkh kwa nn imeitwa yaum arafa
@darajanida
Ай бұрын
wewe kwani unaifahamu vipi siku ya arafa
@user-ei1lb3ki8l
Ай бұрын
Selemani jaribu kua muelewe mtume kafunga yaumu arafa miaka misaba kabla kufaradhishwa ibada ya hajj yaanni alifuata muandamo wa mwezi wa dhulhijja kisha yuafunga siku kumi ile ya tisa ndio yaumu arafa
@user-ei1lb3ki8l
Ай бұрын
Yaumu arafa iko kabla hata kuja mtume muhammad
@allymtito8117Ай бұрын
Huyu anacho kiongea bado hana elimu nacho, ingependeza aka kae Chini kwa wanasuna asomeshwe
@salummakaveli4366
Ай бұрын
Yan wahabb amsomeshe huyu mim tu mwanafunz wake hakuna wahabb anaeweza kunisomesha 😂😂😂😂😂
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Mwana sunna ndio wewe au
@yussufhamad3721Ай бұрын
Huyu Abuu idi mbona nahisi kama aliukimbia ulemdahalo na she kasim MAFUTA wallah ilikuwa tunapatafaida Sana na huyubwana kama hunaelimu walamacho na Allah akakuwafikisha wallah atakuburuza Tu ila nakumbuka ktk ulemdahalo huyubwana Abuu idi alinambia na MAFUTA akishindwa atume ata SMS na MAFUTA akaahid kumnyamazia mm ninawasiwasi na hili maana MAFUTA aliahidi kwendanae bega kwa bega
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Kuhisi kwako nikubaya abuu idd hakikimbia alijibu hojja zote za kassim mafuta fuatilia clip za majibu Moja baada Moja nautapata maji.bu yote
@HamisHangoАй бұрын
Atunaarafa Tanzania arafa iliyoko huko Makkah ndio tunayoikusudia
@husseinwarioba976
Ай бұрын
Kama upo Makah funga
@habibuchakusaga7981Ай бұрын
Kua na tarehe Moja inawezekana shekh nikuacha ubishi tu bas
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Haiwezekani, kumbuka kuiona jua kwako linazama ujue kwa wenzako ndio linachomoza.
Пікірлер: 379
Alhamdulillaahi sheikhe abuu iidi endelea kufanya kazi ya Allah, kwani mtume alikaidiwa tutakua sisi? Kwahiyo endelea sheikhe wangu nashukuru sana kwa mungu kutupa sheikhe wewe achana na hao walioamua kumfata abdu lwahabi, na ushabiki twende kazi sheikhe wangu sisi tunaokuelewa tunatosha,hongera sana, by bwamkuu hapa
Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo. Mimi bi nafsi nafuata saudia miaka yote .alhamdullillah Allah atuongozee sote.
@azizayassin3623
Ай бұрын
Arafa ni moja ata ukiwa China araf ni moja kumbuka hii sio umra
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@azizayassin3623kiwahabi kijike
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@azizayassin3623 nenda ukasome Kuna mafungamano kati idd al adha na kisimamo Cha arafa idd al adha ilisuniwa mwaka wa kwanza wa kiislamu na Hajj alifaradhiwa mwaka wa Tisa wa kiislamu mtume aliswali idd al adha mwaka wa pili mpaka mwaka wa Tisa hicho kisimamo arafa kilikuwa Kiko wapi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Mbona unajichanganya umesema sio muhimu kuwafuata watu wa makka na ilhali wewe mwenyewe wafuata makka huu si udhabdhabina
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@azizayassin3623 kwani china Nako Kuna arafa nendeni mukasome acheni kukurupuka kwenye mitandao mtume s.a.w. aliswali idd al adha mwaka wa pili wa kiislamumpaka mwaka wa Tisa wa kiislamu hicho kisimamo Cha arafa kilikuwa Kiko wapi
Jazaakaallahu khayra darsa zuri sana ALLAH akulipe shekhe
Sheikh jazzaka lllahu khayra Mimi binafsi nimekuelewa vizuri sana watu wakiacha ushabiki watakuelewa mambo yapo wazi sana umetuelimisha vizur asante
@AbuuOthman
Ай бұрын
Sheikh Muhammadi Ayoubu Wa Shamsiyah Tanga Amesomesha Sanaaa Watu wanatakiwa waache Mchezoo Na hawa Wanafunzi wake ALLAAAH amlipe Kula la kheiri Sheikh Muhammadi Ayoubu Alkamadhi
nimekuelewa vzr shekh na somo nizirisana Allah akulipe kherinyingi na akuweke miaka mingi tuzidi kupata elimuyako inshallah
Nimekuelewa sana Shekh Allah akuhifadhi
ALLAH AKUUJAALIE UMLI MLEFU
Mola akuhifadhi na akubariki
Nimeelewa shekh
Allah akuwkee Sana ili tuendelee kupata faida kubwaaa,,
Jazaakallahu khayran Sheikhul Faadhwil
Allah atuongoze atujalie elimu yenye manufaa
@hamisi_msoka
Ай бұрын
Mbona mwezi ukionekana Kenya muft anatangaza, kwani Kenya ni Tanzania?
Kila anaepinga haya Asimpinge Sheh Abuu Iddi....... Apinge vitabu alivyo nukuu Sheh. Akama kakosea kusoma basi aje mtu asome vizuri kinyume alivyosoma yeye na Alivyo tafsiri yeye...... Namuomba Allah atusamehe makosa yetu. Na atuingize peponi kwa rehema zake.
Wewe ni jiwe kubwa sana Atakae piga kichwa jiwe ataumiza kichwa chake
Yaaani kama ni aswari Sunna huwezi kumuelewa huyu jamaa hata kidogo kwa7bu wwe upo kiushabiki lkn huyu jamaa yupo sahihi sana Tena sana Allah atuwekee ili tuzidi kunufaika naye
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Soma dini ueleww wawasikiliza watu watetea matumbo yao tuu we vip unafosi watu tumuelewe muelewe ww na sekhe wako mpotoshaji wamewapotosha kufanya maulidi na wanavimba mishiipaa. Kuyatettea japo ukweli upo wazi ni uzushi watashindwa kupotoa hili
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3e Mimi hii midahalo siipendi, hutaka kila mmoja afuate alichoamini. Muhimu kila mmoja awe na elimu juu ya anachokifanya.
@ramadhankheir4793
Ай бұрын
Kwaiyo arafa zitakua ngap?
@tumainizaidu7095
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3euko ndo kushindwa hoja
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3eww umsoma wapi
Mashaallah
Jazakumullah khaira allah akulipe kheri
Yaaa Salaaam Sheikh letu Mzee wetu ALLAAAH akuweke Na akulinde Na hasadi Maana Unamwaga LULU nyingi Mnoo Sheikh wetu Muhammad
Mimi Nimekuelewa vya kutosha, umeongea vizuri mno
Nimekuelewa vizuri sana shukran
walahi shekhe wangu nimekuelewa sana mungu akulipe
Mwalimu wangu unajua sana kwa sababu umesoma sana
Allah akulipe sheikh kuwasaidia waislamu ktk maelekez muhimu na wakati muhimu
SHIDA SAANA MASHEIKH NJAAA
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Unamanisha Nini kwa kusema hivyo
@darajanida
Ай бұрын
njaa yake nini mbona manenoyako hayana uwiano
Hoja za msingi sana, kiasi cha kuelewa ata mweny elimu ndogo
Shehe Acha ubaguzi 😮 sisi tuko sawa sawa Makka. saa za kuswali
@jemedarmohamed3644
Ай бұрын
Kuwa na inswaaf
@jemedarmohamed3644
Ай бұрын
Elimu ni amana , wallahi Allah atakuuliza hio siku ikifika
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
Swallu Alan Nabiiiiii
Mashallah sheikh nimekuelewa vizuri sanaaa
Allah akulipe 43:54
Yaani shekhe wa unanifulahisha lakini unawakera saaaana ndugu zetu mawahabb
Haya maneno ninani haeliwi labdah ni vile hakupewatu upeo wama elewa
من الأمور المشتشكلة فى هذه الأيام صيام يوم عرفة وعيد الأضحى، والأضحية، لمشابهتها فى الأسماء والتاريخ ،لأن الجاج لهم عرفة وغيرهم يصومون يوم عرفة، والحجاج يذبحون الهدي، وغيرهم يذبحون الأضحية، لدفع الشهبة يجب علينا أن نرجع إلى تاريخ لنفصل هذا وذاك،
Shehe uko sahihi
Abuu Idd kakae usome
Sheikh yupo vzr sana kwamba SWAUMU YA ARAFA NA HIJJA ni vitu viwili tofauti kwani Hijja ni siku moja dunia nzima (kuanzia Adhuhuri hadi Alfajiri) na inafanyika Saud Arabia wkt Swaumu ya Arafa inafanyika Alfajiri hadi Magharibi ya siku husika ktk nchi yake
@bigemagomabigemagoma6312
Ай бұрын
Sio hivyo ndugu Arafa ni sehem iliyopo Makkah ambapo mahujaj huenda sehem hiyo Mahujaji husimama hapo kuanzia Alfajir mpaka magharib Maana ndio kilele cha hija ,hija ni Arafa kama hujaji ajaenda viwanja vya Arafa hana hija Na siku hiyo ya Arafa Ndio siku pekee ambayo Allah anashuka mchana Sisi tuliopo pembeni inatakiwa siku hiyo ambayo mahujaji wapo viwanja vya Arafa tunatakiwa tufunge
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@bigemagomabigemagoma6312neno arafa ndio Lina kutatiza nenda ukasome tarekh ya kiislamu neno arafa lilikuwapo hata kabla ya kisimamo Cha arafa
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@bigemagomabigemagoma6312je kwa wale ambao usiku ushaingia
@riddi676
Ай бұрын
@@bigemagomabigemagoma6312ukisema hivyo unamaanisha walioko marekani na mashariki ya mbali hii dunga haiwahusu? Maana wakisimama arafa kwingine masaa yanapushana mpaka nane na kumi. Iceland huko. Ndo maana nmemwelewa shekh kwamba siyo ibada ya tukio, na hapo ndiyo itakuwa ya waislamu wote duniani, ukisema ni ya tukio tu basi kuna sehemu za dunia hii haitawahusu.
Sufiiii
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
Kiwahabi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Yenu ni matusi hojja huna mungu akuongoze uione haki na kuifuata
@HemedSerious
Ай бұрын
Wewe mwehu
Technology ya mawasiliano inaweza kubadilisha huqmu za dini???
Ili arafa iwe moja turudi kwenye tarekhe ya kila kimoja wapo tujue iki na kile kwa sababu arafa ili kuwepo kabla ya hija
MWENYE AKILI TIMAMU NDIE ATAKUELEWA MWENGINE ASIYE NA AKILI VIZURI ATAKUPINGA TUUU
5:104. Na wanapo ambiwa: Njooni kwenye yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawajui kitu wala hawakuongoka?
MASHAALLAH
WAMAREKANI NA MAKHA NI MASAA 7 TOFAUTI NA WANAFUNGA SAWA TOFAUTI NI KUFTURU WAPO NYUMA
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Ndio ishakua tafauti hio pimbi wewe.
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Wakati wa summer america na Africa mashariki ni masaa 10 .11.hadi 13. Sasa watafungaje pamoja kuwa mkweli na umche mola wako
@KhamisHabib
Ай бұрын
Sioni ajabu kwani hata Iblis ana wafuasi na wanamuelewa
Jibu maswali ya sheikh kasimu mafuta kwanza iddi
@HemedSerious
Ай бұрын
Unamlazimisha ajibu Kwa utashi wako uyo mafuta Tyr kajibu masuala aloulizwa?
Mnajitahid sana kutumia nguvu ila haki haijifichi watu wanazidi kuuelewa ukweli mshatudanganya sanna
@rjqaasam4587
Ай бұрын
Kwahiyo Shekhe wako Ibnu 'Uthaymin, Swalehe Fawzan, Ibnu baazi wote hawa hawaijui haki?!
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Mumeo danganywa kivi vipi nenda ukasome
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Achanani nae mjinga huyu
@DaudiDigo
Ай бұрын
Nyinyi ndio watu bongo zenu zimeratibiwa na Wangereza na Mayahudi kuuvuruga Uislamu.Historia ya Uwahabi oko wazi na malengo yenu yanajulikana
Mtoto wa bachu manukau hapo na akabadilisha main
Kwani msimamo wa shekhe kila nchi na mwezi wake au anaangalia matwlai?
Mbn shekh kaeleza vizur tuu kwanz msikilize muelewa alaf toa hoja yako uislam ni din amblyopia kioa kitu kimeandikwa kweny vitab
Siku 9 za dhulhijja ni vizuri kufunga tusisubiri siku ya arafa tu
Mawahabi mtofautishe tarekh za mwezi na tarekh za jua
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Fata ww na shekhe lako lipotoshaji hilo sisi tushabuluzwa sana na Hawa watu hatimae tumekomboka endeleni ninyi kuwa utumwani
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ehahahaaaa kakomboka juzi
Hili chawa ni tiss, kila mtu mahala alipo, kwa hiyo pale Makka hatuwafuati,
Allah kwa kuweka mzunguuko wa jua kwa saa 24 nadhani hekima yake ni kuabudiwa na viumbe wote massa yote 24 hivi wote tungefanya hizi Ibada kwa pamoja hayo massa mengine asingeabudiwa na viumbe Sheikh Muhamadi Iddi kwa hili naona unaongea mambo sahihi
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Ni kweli kabisa nnachoamini wakati ambao sisi tunaswali adhuhur wengine wanaswali ishaa
@riddi676
Ай бұрын
Kigoma na Rukwa hapo magharibi yake haifanani na ya dar, ni vile tu waislamu wengi hatujajaliwa kutembea duniani ndiyo maana tunahisi dunia nzima ipo kama Tanzania na Saudia
Kuna mashekh ukiwaskiliza kwa makini sana utgunduw kumbe niwapotoshaji watu kwa maksudi lengolao wa nalijuw wao lkn kiukweli kuna mashekh wanapenda mfarakano kuliko umoja sijui wanamgumikiy nan Allah awaongoze pa1 na sisi amin
shekh siku inabadilika jioni na si asubuhi
@hajihassan5433
Ай бұрын
Sawa, umekusudia nini?
@yussuphsultan1400
Ай бұрын
@@hajihassan5433nadhani sheikh alizungumzia akimaanisha....mchana nadhani....day and night.....hapa 'day' ni mchana
Lakini saudia na tz time is same sheikh na Hilo jee
@lubelubembela8625
Ай бұрын
Time moja sio hoja. Mfano uliza swala ya alfajir Zanzibar wanaswali saa ngapi na Kigoma wanaswali saa ngapi? Utapata jibu. Muda wa swala hazingaliwi TIME badala yake huangaliwa JUA
Tunchoka poooo
Umeelewaka san mawlAna
Mashehe waseme sisi na saudia tunatofautiana mda. Km ni siku maana ni masaa24 lkn km ni dakika kadhaa basi trh zetu na mwez wetu unaandama siku moja isipokuwa tunatofautiana dk hizo. Km wataeleza hilo basi waumin hawatafanya makosa. Lkn km leo ni j.mosi maka na Tanzania ni j.mosi ila hy trh nasiku tumetofautian mda basi haipaswi tupitishe siku.
@nasoroabdallah6253
Ай бұрын
Shida ni Saudia hawaangalii mwezi. Wanafata kalenda yao ya ummul Qura. Hivyo uandame usiandame kama kalenda yao inasema tarehe 1 basi itakuwa hivyo
Mashekh musiwape pumzi mawahabi hadi wakiri kwamba wamewakosea waislamu kwa kipindi kirefu twende nao hivyo hivyoo
duuh mumeanza Tena mambo yenu jaman
WALE WANAOISHI MIPAKANI MWA NCHI NA NCHI WANAKUTANA KTK KAZI WANAISHI PAMOJA JE WAFUNGEJE???
😂😂😂😂 alhamisi kila nchi ina yakwake
@zubeiramlanzi2480
Ай бұрын
Comment yako nimeikubali
@abuujibriltv5233
Ай бұрын
Subhana llah. Mawahabi somoni jamani. Alhamisi haija fungamanishwa na mwezi bali ime fungamanishwa na jua
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@abuujibriltv5233Kwani hisabu ya mwezi inaanzia wapi na jua wapi, panachanganya kidogo. Jua likizama (Magharibi) ndio mwezi huanza. Hivyo jua ni masaa 12 na mwezi masaa 24. Funga hutegemea jua sio mwezi yaani Alfajil hadi Magharibi. Mwezi ni Magharibi hadi Magharibi. Niko sawa?
@Abuu-pi4qx
Ай бұрын
هُوَ الَّذِي جَعَلَ الشَّمْسَ ضِيَاءً وَالْقَمَرَ نُورًا وَقَدَّرَهُ مَنَازِلَ لِتَعْلَمُوا عَدَدَ السِّنِينَ وَالْحِسَابَ ۚ Yeye ndiye aliye lijaalia jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Ndugu yangu umegeuza, bali Jua ni masaa na Mwezi ni siku.@@abuujibriltv5233
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Kweli kabisa wapo wengine imeingia ijumaa na wengine bado wako na alhamisi tumia iko ivyo, Alafu usilinganishe miezi na siku za kidunia Ambazo ziko fixed sisi tunafuata mzunguko wa mwezi ambao auzidi 30,tarehe za kidununia huwa zinaenda mbaka 31.
Haya tutakubali kufunga arafa mwez 9 kwa hoja zako za kufungamanisha matukio lakini utwambie tufunge jumatatu pale inapo ingia mpaka itakapo toka kama hoja nikwamba haiwez arafa kufungamanisha mahujaji na funga. Toeni dalili zilizo waz mashekhe acheni kushabikia tuu kama vile timu za mipira
@HemedSerious
Ай бұрын
Safi tumekuelewa
@riddi676
Ай бұрын
Dalili zipi unataka tofauti na alizotoa? Mjitahidi kusikiliza darsa zima siyo vipande
Hivi aliesema hii ni mpasuko ni nani,,,mbona mwaelewa vibaya
KATIKA MASHEKH WABISHI BONGO...HUYU KIONGOZI WAO...ILA NAMKUBALI SANA SANA
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Unamkubali kupotosha uma kweli yupo vzr we unataka aende motoni peke ake lazima apate wafuasi ndo kama ninyi mpo vzr tuu.musokubali haki waziushi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3eSasa ana potosha kivipi nenda ukasome wewe ni mpotoshaji lete dalili zako
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ewewe unaonesha haswaa kama si muislam
@hamadihaji4007
Ай бұрын
Kwamba wewe wa peponi unaambiwa usimuhukumu mwenzako angalia na yako kwanza@@user-yj5on8cz3e
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3eana wapotosha watu kivipi nenda ukasome nyinyi ndio wapotoshaji munaendedha dini kwa fikra zenu pasi na dalili
WEWE HUNA JIPYA UMESHAKUWA SPECIALIST WA BAKWATA KWAMBA KILA IKIFIKA MIDA HII NDIO UNAONEKNA KUPOTOSHA
Wewe ni chawa tu mashehe wa mchongo wanauza dunia kwa akhera yao kwenda uko abuu iddi mipasho
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
Mmh ww kdet
Wewe ndio shabiki
Tukiu letu liko Makkah watu wakiwa arafa sisi tufunge wakiundoka arafa simu gani tutaakae ungana nae
Ibada hii ya hija imefingamana na vyote tukio,tarehe na mwezi sasausije ukawakoseshawatu fadhiraza arafa kwakuambia vituviwilitu Yani mwezi natarehe itakuwa umewakosesha siku muhimu ya arafa maana ww ume ung,ang,ANIA tarehayako tu hunahajaya kuangalia mahujaji basi ww itakuwa hukumfahamu vizuri mtume sasa kwakuwa ufahamuwako umeishia hapo nakuomba usiwapoteze watu kwakuambia wafuate tarehe yao haliyakuwa ilijambo limefungamana nayote matatu na tumshukulu mungu sana Kwa ukanda huu wa afrika mashariki hatunaudhuru watarehe kwani tunaenda sambamba masaa tarehe Yani hatuna udhuru kabisa
@hasinaalrahbi6681
Ай бұрын
POLE SANA HUJAMUELEWA HUYU KAFAHAMISHA VIZURI.HAJJI NI YA MAHUJAJI NA ARAFA. SISI NIFUNGA TU NA DUAA WAO NDIO WANA KISIMAMO SISI KISIMAMO.CHA ARAFA HAKITUHUSU KAMA HATUJAONA MWEZI TUNAPOISHI.LAZIMA KUWASIKILIZA WENYE ELIMU TUSIZUKE TU JAMANI ITTAKILLAH
@riddi676
Ай бұрын
Kama ni hivyo kuna nchi ibada hii haitawahusu, tembea nchi zingine ndo utaona huyu shekh anaeleza nn
Huyu mzee anachokitetea hatofanikiwa mpaka anakufa amesimama kwenye upotoshaji wa wazi wala usiseme unakumbusha bali wew uko kugawa waislam na kamwe hutak waungane😢
@HemedSerious
Ай бұрын
Humuelewi ww tu mbumbumbu
Assalaamu alaikum sio ajabu yakua na watu wenye kukufuata na kuona kama uko sawa lakini tu nataka uelewe hata iblis anawafuasi na wanaamini yuko saw
@riddi676
Ай бұрын
Umemwelewa Kwanza?
Mwamba huyu
Mawahabi ilim ndogosana
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
We una ilmu na shekhe lako hilo lenye tumbo kubwa 😂😂pinzani la sunnah za mtume
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
@@user-yj5on8cz3ematusi ndio dini yenu ilimu huna ni Sunna Gani abuu idd anapinga na vitabu ana toa kama sheikh uthaimeen jee uthaimeen naye apinga sunnah
Unapata.faida.gani.kuwatenganisha.waislam.?semeni.mungu.ameruhusi.lini.mwanamke.kutawala?
Shida ya kua mshabiki ndo hiii. Sasa kasoma Almughni lakini hakusoma yote Soma ukurasa wa 595 hiyo hiyo kitabu Swalatu Alghidain angeona anavyojichanganya anatetea tuuu ugali maskini. Lakini hana hoja Kwani sisi kufunga tunafunga kuambatana na tukio au tunafunga tarehe. Na kama tunafunga tarehe Tunaomba dalili ilokuja kuonyesha kua ni tarehe na sio tukio
@Alhasibu05
Ай бұрын
Sasa ndugu kama umesomewa na vitabu unataka dalili gani sas wewe ndo ungetoa dalili ya kupinga hilo
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@Alhasibu05 Kitabu alicho soma kasoma kihuni hajamaliza maada nzima katika kitabu hicho. Na hiyo ni kawaida ya masheikh wa Bidaa wanawaiga mashia kama shida golo alivyokuwa akisoma vitabu kwa lengo la kutukana Wanazuoni wa sunna. Na huyu nae kasoma nusu. Huu ni uhuni kitabu hicho hicho kinamsuta kama unacho soma hadi ukurasa wa 595 kitabu hicho hicho ndo utaelewa.
@user-fp9ye4vv3y
Ай бұрын
Huko mbele kunasemahe
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@user-fp9ye4vv3y Na siku ya Arafa ni siku ambayo itawadhihirikia kwamba ni siku ya Arafa sawa sawa ni tarehe tisa au kumi. Ukurasa wa 595. Almughni Almukhtaji
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Sasa hapo kakata nini au kapotosha nini
Tatizo lako ulimkimbia kassim mafuta
YAANI VITABU VYA KUCHAPISHA FUATA ISIMAMIE MTUME NA KITABU CHA MWENYEZIMUNGU PEKEE UANABEBA DHAMBI KWA KUPOTOSHA WATU
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Anapotosha Nini ukweli unauma Leo wasema ATI anapotosha kwa vitabu kuchapishwa jee hadithi za mtume s.a.w.hazipo katika vitabu vilivyo chapishwa kama sahihi bukhari na sahihi Muslim na sunani sita na quraan nayo pia ilichapishwa
Abuiddi watu washakuchoka tafuta kazi ufanye
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Hatuja choka kumsikiza abuu idd kwa sababu anaelimisha umma wa kiislamu juu ya upotoshaji wenu juu ya funga ya arafa nayo ni mwezi Tisa wa dhulhijja lakini nyinyi munabadilisha kwa kuangalia mahujaji kwenye kiwanja Cha arafa ambapo hii ni bidaa hakuna mafungamano kati ya funga ya arafa na kisimamo Cha arafa na kama Kuna mafungamano mbona funga ya arafa haipo kwenye mlango wa hijja na kama ipo basi lete dalili
@humoudiddi1397
Ай бұрын
Allah akuhifadhi na huo mdomo wako mchafuu lengo ni kufahamishana na sio kubishana hivyo ndivyo walivyofanikiwa maswahaba uu kwa elimu gani mpaka umjibu mtu anaeamrisha watu mema na kukataza mabayaa ndo nyinyi munaotuharibia diniii
TUNA UTAFUTA UQADHI AU USHEKHE WA MKOA KWA NGUVU ZOTE
Huyu Jamaaa yuko vizuri sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@allymtito8117
Ай бұрын
Embu ungemuuliza duniani kuna siku mbili? Yani mfano leo juma tatu afu kuna kesho juma tatu sehemu nyingine!!?
@binabeid
Ай бұрын
Ndio ipo lakini sio 24hrs completly
@shabanibizimana6210
Ай бұрын
Hilo swali alishalijbu siku nyingi sana labda wewe ndio mara kwanza unamsikiliza
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Yupo vzr kupotosha we unataka aende motoni peke ake wakati wakumsapoti mupo hiyo ndo kweli ulivyo Hawa siku zote wangekuwa wakweli wangeshawatoa utumwani mwa maulid kwani hawajui kama ni uzushi wafahamu vzr wanapinga sabu za kimaslahy zao hata hiili pia mutapinga uliona.wapii dini ikaakkosaa wapotoshaji??? Haiwezekani woote twende peponni
@shabanibizimana6210
Ай бұрын
Sisi hatumsapoti ila tunakubali dawa yake
Miandamo wa dar na tanga au kigomani SWA?
Jua utakufa na sijuwi unamajibu sahihi uliojiandaa Kwa uma uliopotea tunu kabla ujafa iddi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Kwani nani atabaki milele kila mtu atakufa kama mola alivyo sema kila nafsi itaonja mauti sindano za abuu idd zinaendelea kuwachoma mumeo Baki na chuki dalili hamuna
@riddi676
Ай бұрын
Leta hoja acha kuleta hukumu, ni Allah pekee ndiyo mwenye majibu
Mm nauliza kwamb funga zone zinafungamana na jambo fulani sasa hii ya arafa inafungamana na nn
@binabeid
Ай бұрын
Si amesema inafungaman na tarekh au hujasikiliza mpaa mwisho ?
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Mtume alifunga Arafa kabla ya hija kufaradhishwa so jiulize wakat anafunga kabla ya hija alikua akifunga kwa mtazamo gani
@AllyAhmad-zg2yp
Ай бұрын
@@khamiisathmaan4362 naam lete dalili yakuran au hadith
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
@@binabeid wengine hawamsikimizi mtu vizur wanakuja na mitazamo yao
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
Labda nikufahamishe kitu;kuhusu arafa.kuna arafa siku,kuna arafa sehemu (ambayo ipo makka)na kuna arafa kisimamo.sasa kauli ya mtume inasema (funga ya siku ya arafa ambayo ni mwezi 9 wa dhulhijja na sio mahujaji wakiwa wapo kwenye viwanja vya arafa
MASHEKHE TUWEKENI SAWA, JE DUNIA INA SIKU MBILI TOFAUTI ??(Yaani tar. 09 .12. 1445 Zipo mbili tofauti DUNIANI?? na kama ipo mbona inazingatiwa nyakati za kufungua na kufungua TU? sio KTK majambo mengine yoote DUNIANI hatusikii HIZI tofauti za masiku???) Ina maana Hadi sasa SWALA LA DUNIA KUTOFAUTIANA SIKU HADI LEO WASOMI HAWAJALIPATIA UFAFANUZI.
@riddi676
Ай бұрын
Achana na dunia ndugu hata kigoma na dar hawafuturu pamoja sembuse uchina. Hivi vitu waislam wanatakiwa kutembea na kuona wataelewa kirahisi. Ukimweleza mtu aliyekulia kondoa mpaka akawa shekh hapo ni vigumu kukuelewa
NA ANASEMA.HAIWEZEKANI.WATU..KUFUNGA.SIKU.MOJA....MBONA.KRISMAS.INASHEREHEKEWA.SIKU.MOJA.DUNIA.NZIMA....NA.MTUME..ANASEMA..KIAMA.ITAKUA.SIKU.YA IJUMAA....KWA.HIYO.MTUME.NI.MUONGO?.KWA MAANA.WENGINE.KIAMA.KITAWAKUTA.JUMAMOSI.?
@hajihassan5433
Ай бұрын
Unavyodhani Kristimass inasherehekewa siku 1. Sababu ni kwamba siku kwa Wakristo ni saa 24 ba Kristmas ni saa 24 na inaanzia saa saba usiku. Wakati kwa sisi Waislam siku inaazia Magharibi na kufunga kwa Africa Mashariki na kwengineko ni masaa 12. Hii maana yake. Mwezi 9 wa Makka ukiisha ndio 9 wa Tanzania umeanza kama funga ingekuwa saa 24 kama Kristimass tungekuwa tunakutana.
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
Huna hoja unafanansha hukum za kiislam na shreh za dn nyngne mpumbav kwel ww
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Shubaamiti yaani masuala ya dini unatuchanganyia na ujinga wako
@AdamRajab-xd3zg
Ай бұрын
@@IsmailJuma-zb5ni n mjinga xana huyo Mambo ya uislam anafananisha na Mambo ya krsmas
@Bombwejr18
Ай бұрын
Mnatukana sababu hamkujua maana yake nn? Kama siku ni moja tunapisha masaa basi kukikucha funga kama kwako Usikù hata Arafa nayo tutofautianae 😢😢😢😢 @@AdamRajab-xd3zg
Halafu nyinyi vikanzu tuambieni ni kwanini hamufuati mwezi ukionekana china munafuata makka tu hili mumelitoa wapi?
@KhamisHabib
Ай бұрын
Kwanza ww ukisema vikanzu unaonekana unajitoa kwenye dini hii maana hivo vikanzu vilianzia kwa mitume sijui mtume gani alievaa suruali sasa angalia maneno yako sio kwakua umepewa mdomo na hulipii kodi unaongea tu ipo cku unaweza ukajutia maneno yako
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
@@KhamisHabib Kaka hakuna mafungamano yoyote kati ya kanzu na dini ukitaka kuamini hilo nenda nchi za uarabuni utaelewa
IJUMAA YA TZ NI SAWA SIKU MOJA SASA WE UNATAKA WATU WAFUNGE SIKU TOFAUTI NA SAUDIA YAAANI HUU NI UJINGA
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Wewe ndio mjinga haelewi kitu.
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Kama unaifuatilia tarehe za hijjra utagundua tulishatofautiana tarehe na saudia kabla ya kuingia mwezi huu
@omarifuluku6170
Ай бұрын
Na kumbuka hizi siku ziko fixed azifuati mwandamo wa mwezi zingekuwa zinafuata mwandamo pia tungetofautiana
Huyu jamaa akili hana,anaibuka kwa matukio ya msimu wa Maulidi,ibada ya swaumu ya Arafat na mwandamo wa mwezi wa Ramadhani نسأل الله أن يهديه إلى التوحيد والسنة
@kasumunigwasa
Ай бұрын
Hâta Aya zilishuka kwa matukio pia
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Suna gani ulonayo wewe ya kumtukana muislamu
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Miongoni mwa hekma za Allah kaishusha Quran Kidogo Kidogo kwa miaka 23 ni kuweka sambamba na tukio Jee hilo Unasemaje?
@abuunufaysah5328
Ай бұрын
@@IsmailJuma-zb5ni Hakuna sufi mwenye akili timamu,kushuka kwa Quran kidogo kidogo na mtu kuwa mropokwaji wa matukio kadhaa kila mwaka mbona hakuna uhusiano, mwenye akili timamu hawezi kuwa sufi,kaangalie maneno ya Imam Shafiy dhidi ya masufi.
@abuunufaysah5328
Ай бұрын
@@khamiisathmaan4362 hakuna tusi hapo, ALLAH kawarudi baadhi ya watu katika Quran kwa kuwaita hawana akili kwa Sababu ya kutoifuata haqq, kwahiyo ALLAH anatukana?
Box tupu Halina kitu amefukuzwa tamta mnalielewa msafala wa mamba
Wewe ikifika siku ya Jumamosi itaangukia Arafa kwa mwaka 2024, wewe usitie nia kufunga Arafa siku hiyo, subiri arafa yenu uwanja wa jangwani, ama kwenye uwanja wenu wa maulid mnazi moja. Acha sisi tutie nia kufunga Arafa siku ikifika, kawapoteze watu wa bidaa wenzio huko.
@almeidhalu3238
Ай бұрын
Debe tupu upiga kelele sasa arafa Ni faradhi Hadi mtu lazma afunge jumamosi na nyuma ashakataza kufunga jumamosi pekee.....sasa jumamosi wafunga VP hio siku tu peke nenda kasome wewe huwezi jua kumliko ndo maana yeye Ni shekhe wa markiti wewe labda shekhe wa mangwe
ALAFU JAMANI NYIE MASHEKH ACHENI KUWEKA MASLAHI YENU KTK DINI....HAIINGII AKILINI SIKU MOJA IKAWA NA TAREHE MBILI TOFAUTI...LEO SUUDIA NA TANZANIA HATUNA UTOFAUTI WA SIKU NZIMA YAANI KAMA TZ NI J/4 BASI NA SUUDIA NI J/4,TOFAUTI YETU IPO KTK DK.KADHAA TU SASA KWNN MNAPOTOSHA ??
Acha ushamba kupita tamta ndio iwe sabab ya kuweka iyo pcha sheikh letu kipenz mohamad ibn ayub
@yahkiwera3611
Ай бұрын
wewe unajitambua kweli
Sheikh tumemuelewa sana Ila swali langu leo tanzNia ni junanne saa mbili usiku je saudia ni saa ngapi Mbona tunauliza wenzeru walioko saudia Wana Sema saa ni moja sisi na saudia hatupishani saa hata moja vipi
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
Haujamuelewa,inawezekana saa ni moja lakini tukatofautiana mwindamo,ikiwa muindamo utakuwa sawa hakuna shaka na hili sio geni kama tulivyokula idi al fitiri mara hii
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Hamuelewi jamani mbona haijawahi kutokea hapa ikawa mwezi 28 kule saudia ikiwa ni mwezi 29 Halafu sisi tukauona?
@DaudiDigo
Ай бұрын
Tarehe na saa inaweza kuwa moja: Lakini kunatofautiana kuchimbuka na kuchwa kwa jua sehemu mbali mbali.Darasalama jual laweza chimbuka 6.36 asubuhi na Kigoma likachimbuka 6.53 asubuhi.Hili ndilo linaloongewa hapa.
Nini maana ya arafa Wewe E
Sasa shkh kwa nn imeitwa yaum arafa
@darajanida
Ай бұрын
wewe kwani unaifahamu vipi siku ya arafa
@user-ei1lb3ki8l
Ай бұрын
Selemani jaribu kua muelewe mtume kafunga yaumu arafa miaka misaba kabla kufaradhishwa ibada ya hajj yaanni alifuata muandamo wa mwezi wa dhulhijja kisha yuafunga siku kumi ile ya tisa ndio yaumu arafa
@user-ei1lb3ki8l
Ай бұрын
Yaumu arafa iko kabla hata kuja mtume muhammad
Huyu anacho kiongea bado hana elimu nacho, ingependeza aka kae Chini kwa wanasuna asomeshwe
@salummakaveli4366
Ай бұрын
Yan wahabb amsomeshe huyu mim tu mwanafunz wake hakuna wahabb anaeweza kunisomesha 😂😂😂😂😂
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Mwana sunna ndio wewe au
Huyu Abuu idi mbona nahisi kama aliukimbia ulemdahalo na she kasim MAFUTA wallah ilikuwa tunapatafaida Sana na huyubwana kama hunaelimu walamacho na Allah akakuwafikisha wallah atakuburuza Tu ila nakumbuka ktk ulemdahalo huyubwana Abuu idi alinambia na MAFUTA akishindwa atume ata SMS na MAFUTA akaahid kumnyamazia mm ninawasiwasi na hili maana MAFUTA aliahidi kwendanae bega kwa bega
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Kuhisi kwako nikubaya abuu idd hakikimbia alijibu hojja zote za kassim mafuta fuatilia clip za majibu Moja baada Moja nautapata maji.bu yote
Atunaarafa Tanzania arafa iliyoko huko Makkah ndio tunayoikusudia
@husseinwarioba976
Ай бұрын
Kama upo Makah funga
Kua na tarehe Moja inawezekana shekh nikuacha ubishi tu bas
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Haiwezekani, kumbuka kuiona jua kwako linazama ujue kwa wenzako ndio linachomoza.