Fukuzwa Hutu zanzibar na sahiv kahamia kwa mashoga zake Mombasa na tanga 😂
@SaidJangoli-hr7wwАй бұрын
Mashallah jazakallah akhy Muhammad bachu ujumbe umefika Wacha waliye haki imefika .
@abubakarhajjabubakarhajj1252Ай бұрын
Kwangu mimi ni ukweli wake niliouwona Alhamdulillah Allah amuhifadhi
@eshasaid3258Ай бұрын
Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤
@farishfarish258Ай бұрын
Buchu Allah akuhifadh ) Hawa wengine hawana elemu sindano zimewaingia Wacha wapige kelele
@MuniraRashid-sx3upАй бұрын
Allah amuhifadhi sheikh bachu na azidi kukupa nguvu ya kutuelimisha
@sama-_8368
28 күн бұрын
Pumba kabisa
@salmananwaralmaisarah1387Ай бұрын
Shukran sana ustadh...kinachomueka bachu mjini ni hizo dharau na kejeli...hana lengine na kama analo birii alidhihirishe
@abeliever6823Ай бұрын
Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima. Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena
@FaaidaTVtz
Ай бұрын
Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..? Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
@@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo
@user-hr9kb7ev1iАй бұрын
Swadakta ndungu yetu Allah atakulipa inshallah kwa hikma zako kwa ilmu unayo soma kwa mafusi,mawahabi hawataki kusoma ndio hawajielewi
@abeliever6823Ай бұрын
بارك الله فيك يا أخي العزيز Maneno mazuri nto جزاكم الله خيرا Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan. Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@saidijuma-b9vАй бұрын
mungu akuhifadhi sheikh letu
@swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын
Maa shallah maelezo mufti Nyama za maulamaa Zina simu.
@swalehmohamedwaziri7499
Ай бұрын
Sumu
@sharifsayyidalmahdalАй бұрын
Haki ilifika Allah amhifadhi bachu
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
HAMUWEZI TUDANGANYA WATU TUSHAA ELIMIKA NA BACHU ALLAH AMHIFADHI
@KhamisQays-ur1dmАй бұрын
Ahasanta Habibi Barakallahu fiyk
@taurehassan7399Ай бұрын
Allah akuhifadhi ost letu,endelea kufanya twakuelewa vzr sna❤
@hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын
الله يحفظك سيخنا محمد با جو
@eshasaid3258Ай бұрын
Asalamu aleykum ya allah huyu bachu nimrogo😊😊😊😊😊
@waladulikhlaas7870Ай бұрын
Mashallaah shukran sana ustadh muhsin....Bachu akajifunze adabu kwanza...na tutamnyorosha...Na msa pia tutamtoa
@suleimanahmadaali5989
Ай бұрын
Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa
Maadam quran na sunna za mtume tunazo uelewa nahau twawaachia nyie makhurafi
@mngwaliis-haka5348Ай бұрын
Allah amuhifadhi sheikh Hajji upepo
@WilliamMaina-xh4sfАй бұрын
Mchenni Allah, mitandao mmejaza uislamu-siasa za makundi jameni, barabara ya sawa na malengo ya uwepo wa mwanadamu imesahaulika
@issaabdallah1205Ай бұрын
Hasira nyingi sana
@MaulidiJongo19 күн бұрын
Bach Bado allh ajampa uwongof ila tumuombe allh san
@DiudaKozi-qu8slАй бұрын
Sheikh Muhammad bachu ametutoa kwenye ujinga
@muktarkassim6647
Ай бұрын
Maoni ya kubalika
@user-ix8bu3yy5z
Ай бұрын
Mohd bachu amesingizia sheikh uthaymeen na kufanya uthaymeen ni mtu wa kauli mbili mbili
@mohagurey2214
Ай бұрын
Mashallah
@DiudaKozi-qu8sl
Ай бұрын
Sheikh Muhammad bachu yuko vizuri sanaaaaaa.Ameniondoa kwenye wajinga wa kitwariqa na kisufi
@fauznuhu9981
Ай бұрын
Kkkkk bado mwa zama kwa uchinga pole mana chongo ni mfalme kwa vipofu
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Shekh Muhammad Bachu amewashinda ilimu nyinyi Muna chuki zenu muogopeni Allah Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@slimshah9460
Ай бұрын
Ilimu gani kama si kejeli
@user-xb6tr5vq4bАй бұрын
Bachu nikipenzi chetu allah amuhifadhi katutoa kwenye ujinga
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
Sana Wallah
@sama-_8368
28 күн бұрын
@@Hamis-ks1syANAKUTIA KWENYE UJINGA SIO KUKUTOA
@issaabdallah1205Ай бұрын
Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة
@Hamis-ks1syАй бұрын
Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.
@hassanmohamedabdalla4108
Ай бұрын
اللهم اهدي الصوفي ضاله
@abdulmalikali1501Ай бұрын
Masha Allah Habib wetu
@abdallamassoud53Ай бұрын
Kutukana mashekh
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Hayaaaa fuateni ara yenuuuuuuuuuuu mausufi
@user-go3bk6wr8uАй бұрын
masufi mnatabu.
@user-uy8en4fj6rАй бұрын
Wafahamishe ukwell shekhe muhsin huyo mkosefu wa adabu m.s bachu na mungo akuhifadh shekhe muhsin tuzidi kufaidika
@HemedSerious
Ай бұрын
Watumwa wa fikra wa bachu Hawana haja ya kusikiliza hoja Bali ni ujuha kwenda mbele
Sasa kama waongoka kwa ufaasiq Kasome dini yako uijue usitegemee darsa ndo zitakazokutoa kwenye ujinga
@Hamis-ks1syАй бұрын
Yaani masufi bna Akimrekebisha mwasema anamtukana baba ake akikaa kimya nongwa mnatakaje sasa?
@DhaharanMussaАй бұрын
Mawahabi wote wamenyimwa ufahamu,ndio maana wengi wamekuwa magaid
@hassanWanjikuАй бұрын
Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana
@mhusinigau3231
Ай бұрын
Umesikiliza ukaelewa lkn au umeziba masikio
@TaufiqMenejaАй бұрын
Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....
@mhusinigau3231
Ай бұрын
Wewe bado mjinga ndio mana jitahidi usome
@ahmadabdallah740Ай бұрын
Mbona hamumsemi al hatimy alipokua akimtukana sheikh ali bahero ama vile ni mwenzanu muogopeni Allah na kueni na uadilifu
@KakaOmmy-xx6pi
Ай бұрын
Nasoma comments alafu nawafuatilia sana .( huenda wamesahau)
@issaabdallah1205Ай бұрын
Munamtetea
@user-qv9ep6wq1tАй бұрын
Nawaona mawahabi wanavyo haha kukoment ila safarihii wasipewe nafasi jino kwa jino hadi waelewe
Ustadh huyu jamaa lazma aambiwe ,anaumbungufu sana wa elimu
@kasimubangu1875Ай бұрын
We mwenyewe ni mrongo kama nihivyo
@salimabdalla6290Ай бұрын
Juzi aliwatweza kina suyutwi ghazali na sultwaan auliyaa kwa ile klip yke alotoa juzi mpka nkashangaa
@suuahmed71Ай бұрын
Huyu Bachu hajui kama nyama za wana zuoni zina Sumu. Mtizameni tu mwisho wake.
@AradyassaneАй бұрын
Fungueni kitabu
@salimuawadhi8043Ай бұрын
Haki imefika ndiomaana mwatapatapa Sasa ndiomaa mwapingana wenyewe. Kwa wenyewe mbona mmemhalifu kadh wenu
@abdulrahmanmussa4479Ай бұрын
Mfuateni kadhi wenu acha ubishi
@harithhemed9920Ай бұрын
ww shekh nafkiri ungekaa na kusoma kuliko vijembe bachu anafungua vitabu sio maneno tu
@chidolakhatib7847Ай бұрын
Mukiambiwa ukweli wakuumeni ehhhh bachu Atawanyoosha Allah atazidi kumpa Elmu Mumjue makusudio yake kwenu …
@FaaidaTVtzАй бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja. Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.
@AbutwalhamwanyukiАй бұрын
Huna hoja kumbee,;
@JamalAli-tz6pjАй бұрын
Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu
@HemedSeriousАй бұрын
Uyo bachu hana adabu, yeye kwnz hana sheikh
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Alikuwa haradiwi ni mtume muhammad sala na Salam ziwe juu yake tuuuu
@mngwaliis-haka5348Ай бұрын
Bachu aende akasome
@slimshah9460
Ай бұрын
Alifu kwa kijiti😂
@mohagurey2214Ай бұрын
Masufi mmepoteza wafuasi kupitia kina bachu na kina bahero mungu awalipe
@darajanida
Ай бұрын
kila mtu anakaburi lake ndugu yangu epukana na upotovu wa mawahabi
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah
@maadinaJumaАй бұрын
Kama ww nimkweli mbona ckuelewi
@kasimubangu1875Ай бұрын
Hivi maana ya matusi unaijua kweli au wajisemea tu,unajua maana ya hojja unaelewa kweli
@HemedSerious
Ай бұрын
Matusi zaidi mnayajua nyny sababu ndio kz yenu
@Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын
ukiongea usiwe na hasira kia mpole ili jamii isijue kua umekasirika
@dullahbatuf9223Ай бұрын
Katukanwa wap kwn pamewekwa sawa tu
@eastafricaqualitychickenfa9916Ай бұрын
Hapa naona kaja na mipasho haina aya wala Hadisi
@user-xb6tr5vq4bАй бұрын
Nyinyi hamna elim nibala bala tu
@swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын
Mawahabi hawana inswaf na wapenda kubaranganiza mambo walaghai hawajali kudanganya bora maslahi yao yende
@Hamis-ks1syАй бұрын
Sasa hapo ndo umezungumza nini? Kwahyo mawaidha yote ndo yalkua ya Bachu?
@HemedSerious
Ай бұрын
Wewe kuskia sabb ni mtumwa wa akili za bachu
@firdaushamid8200Ай бұрын
Bachu kawaida yake hajuwi kuongeya kistaarabu mpaka atiye dharau na kijeli hivo ndivo amezowe
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA NA BAATWIRI
@sultanmohammed4157Ай бұрын
Backu ni mjinga katika dini yake. Hanailim hana heshema.
@KakaOmmy-xx6pi
Ай бұрын
Sio vivuri kuwatukana masheikh kama humuamn bas sio lazima umufuatilie
@FaaidaTVtz
Ай бұрын
Wewe mwenye Elimu ebu mjibu Bachu sasa kwa hoja ya kielimu.
@albayaanmschool8451Ай бұрын
Na mtume aliambiwa vivyo hivyo antukana miungu ya makuraish kisa kufafanua haqqi
@salimabdalla6290Ай бұрын
Si nilisema kuwa atajibiwa mm na huyu kijana naona ni kama akili zake ni za kifyetu bachu kashabachuliwa akabachuka
SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh
@yusufathman2478Ай бұрын
Maa shaa allah.. sheikh bachu na sheikh Ali ni viboko vya makhurafi kumbee😂😂 Bachu anawakosesha usingizi kumbee.. Mmi binafsi sheikh bachu namuelewa sana juu anongea kihoja na kisomi. Wwe ungefundisha tuu na uache kuongelea bachu hio ni michambo hujafunza kitu
@HemedSerious
Ай бұрын
Acha unafiki Hawa watu watupu kabisa labda dharau
@yusufathman2478
Ай бұрын
@@HemedSerious mnafiki ni wwe
@hassankarata8135Ай бұрын
Mwalimu unatuchanganya mbona kila kitu bachu hutufundishi bachu kakosea hapa kateneza hapa
@ibraa1157Ай бұрын
Bachu ni mtoto muacheni pengine akisha baleghe ataacha ufudhuli
@MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын
Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.
@issahabdallah9018Ай бұрын
punguzeni makasiriko. Ama mlete markaz nzima imraddi bachu
@HemedSerious
Ай бұрын
Uyo bachu ndio wakuletewa markazi.
@khamisjuma7616Ай бұрын
kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye
@HemedSerious
Ай бұрын
Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m
@khamisjuma7616
Ай бұрын
@@HemedSerious hasira hasara wala matusi si fani yangu yakurejee mwenyewe mijineno yako mibovu
@HemedAbdullaSuleimanАй бұрын
Bachu mbabaishaji tu... Na km anajiweza aombe munakasha aone😂😂😂
@FaaidaTVtz
Ай бұрын
Munaqasha alishafanya nao na hawakutaka uendelee kwa kung'ang'ania point moja.
@binbuhakhamis4336Ай бұрын
Bachu yupo sahihi sema kinachowakera ni kueka mambo bayana ambayo ilikua mumeyaficha.
@salmananwaralmaisarah1387
Ай бұрын
Yaliofichwa ni gani hapo?? Si uyaseme
@binbuhakhamis4336
Ай бұрын
Fataclip za sheikh bachu utaona yapo bayana
@salmananwaralmaisarah1387
Ай бұрын
Hakuna yalio bayana...wewe si uyataje...tushawazoea mawahabi kazi ni kufuata hawaa za nafsi zenu tu
@fauznuhu9981
Ай бұрын
Inaone kana kwako bachu ni mtumi….mana mamani ubayana hakuna lolote kwabachu na hana adabu kabissa
@eastafricaqualitychickenfa9916
Ай бұрын
Bachu ni Simba wa Mungu yule nyinyi mashekhe ubwabwa ficheni ukweli Njaa itawatia motoni
@ahmedseif-cu4exАй бұрын
Na ww wataka ujibiwe na bachu hujawa na kiwango cha kijibizana na bachu
@rushu1232Ай бұрын
Kisha nyinyi munao support bachu kwanini amefukuzwa Zanzibar sababu ya ufedhuli na kukosa adab.
@Biziman-pu4kf
Ай бұрын
Nipe habari ndungu nikweli amefukuzwa
@rushu1232
Ай бұрын
@@Biziman-pu4kf haruhusiwi kutoa khutba wala muhadhara na shida sio mtu wakusomesha amezowea ufedhuli ndio akaja msa kwenye jaa la taka.
@Khatib-xp6fpАй бұрын
Hajatukanwa shehe yeyote yule Lete vitabu acha chuki
@mohagurey2214Ай бұрын
Ameweka huyo wenu ndio kuwaonyesha shehe wenu humjui
@fadhilimusa9732Ай бұрын
Ei kwani bacho ni mwanachuoni au ni mpambe wa kiwahabi
@HemedSerious
Ай бұрын
Mm nashangaaa wajinga wanaosema eti mwehu bachu anaonewa choyo
Пікірлер: 198
BACHU ALLAH AMHIFADHI
Bacho Allah akuhifafhi
@sleemhamoud4394
26 күн бұрын
Fukuzwa Hutu zanzibar na sahiv kahamia kwa mashoga zake Mombasa na tanga 😂
Mashallah jazakallah akhy Muhammad bachu ujumbe umefika Wacha waliye haki imefika .
Kwangu mimi ni ukweli wake niliouwona Alhamdulillah Allah amuhifadhi
Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤
Buchu Allah akuhifadh ) Hawa wengine hawana elemu sindano zimewaingia Wacha wapige kelele
Allah amuhifadhi sheikh bachu na azidi kukupa nguvu ya kutuelimisha
@sama-_8368
28 күн бұрын
Pumba kabisa
Shukran sana ustadh...kinachomueka bachu mjini ni hizo dharau na kejeli...hana lengine na kama analo birii alidhihirishe
Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima. Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena
@FaaidaTVtz
Ай бұрын
Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..? Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.
@user-yj5on8cz3e
Ай бұрын
@@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo
Swadakta ndungu yetu Allah atakulipa inshallah kwa hikma zako kwa ilmu unayo soma kwa mafusi,mawahabi hawataki kusoma ndio hawajielewi
بارك الله فيك يا أخي العزيز Maneno mazuri nto جزاكم الله خيرا Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan. Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم
Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
mungu akuhifadhi sheikh letu
Maa shallah maelezo mufti Nyama za maulamaa Zina simu.
@swalehmohamedwaziri7499
Ай бұрын
Sumu
Haki ilifika Allah amhifadhi bachu
HAMUWEZI TUDANGANYA WATU TUSHAA ELIMIKA NA BACHU ALLAH AMHIFADHI
Ahasanta Habibi Barakallahu fiyk
Allah akuhifadhi ost letu,endelea kufanya twakuelewa vzr sna❤
الله يحفظك سيخنا محمد با جو
Asalamu aleykum ya allah huyu bachu nimrogo😊😊😊😊😊
Mashallaah shukran sana ustadh muhsin....Bachu akajifunze adabu kwanza...na tutamnyorosha...Na msa pia tutamtoa
@suleimanahmadaali5989
Ай бұрын
Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa
Wallah mahabi mwabambanya hamna ilimu wallah mana mkizunguza nahau hamzipaty mwapiga nnje
@yusufathman2478
Ай бұрын
Maadam quran na sunna za mtume tunazo uelewa nahau twawaachia nyie makhurafi
Allah amuhifadhi sheikh Hajji upepo
Mchenni Allah, mitandao mmejaza uislamu-siasa za makundi jameni, barabara ya sawa na malengo ya uwepo wa mwanadamu imesahaulika
Hasira nyingi sana
Bach Bado allh ajampa uwongof ila tumuombe allh san
Sheikh Muhammad bachu ametutoa kwenye ujinga
@muktarkassim6647
Ай бұрын
Maoni ya kubalika
@user-ix8bu3yy5z
Ай бұрын
Mohd bachu amesingizia sheikh uthaymeen na kufanya uthaymeen ni mtu wa kauli mbili mbili
@mohagurey2214
Ай бұрын
Mashallah
@DiudaKozi-qu8sl
Ай бұрын
Sheikh Muhammad bachu yuko vizuri sanaaaaaa.Ameniondoa kwenye wajinga wa kitwariqa na kisufi
@fauznuhu9981
Ай бұрын
Kkkkk bado mwa zama kwa uchinga pole mana chongo ni mfalme kwa vipofu
Shekh Muhammad Bachu amewashinda ilimu nyinyi Muna chuki zenu muogopeni Allah Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@slimshah9460
Ай бұрын
Ilimu gani kama si kejeli
Bachu nikipenzi chetu allah amuhifadhi katutoa kwenye ujinga
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
Sana Wallah
@sama-_8368
28 күн бұрын
@@Hamis-ks1syANAKUTIA KWENYE UJINGA SIO KUKUTOA
Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة
Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.
@hassanmohamedabdalla4108
Ай бұрын
اللهم اهدي الصوفي ضاله
Masha Allah Habib wetu
Kutukana mashekh
Hayaaaa fuateni ara yenuuuuuuuuuuu mausufi
masufi mnatabu.
Wafahamishe ukwell shekhe muhsin huyo mkosefu wa adabu m.s bachu na mungo akuhifadh shekhe muhsin tuzidi kufaidika
@HemedSerious
Ай бұрын
Watumwa wa fikra wa bachu Hawana haja ya kusikiliza hoja Bali ni ujuha kwenda mbele
Eeee bwana hajazarauliwa munatengeneza huruma
Sh muhammad bachu yuko vizuri sana
@mussaissa6796
Ай бұрын
NDIO KWA UPUMBAVU HAKUNA KAMA YEYE.
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Wewe mtume hakuwahi kumtukana muislam wala hakuna swahaba wala taabi-ina bali mtume amekataza kumtukana muislamu nufaasiq
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Sasa kama waongoka kwa ufaasiq Kasome dini yako uijue usitegemee darsa ndo zitakazokutoa kwenye ujinga
Yaani masufi bna Akimrekebisha mwasema anamtukana baba ake akikaa kimya nongwa mnatakaje sasa?
Mawahabi wote wamenyimwa ufahamu,ndio maana wengi wamekuwa magaid
Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana
@mhusinigau3231
Ай бұрын
Umesikiliza ukaelewa lkn au umeziba masikio
Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....
@mhusinigau3231
Ай бұрын
Wewe bado mjinga ndio mana jitahidi usome
Mbona hamumsemi al hatimy alipokua akimtukana sheikh ali bahero ama vile ni mwenzanu muogopeni Allah na kueni na uadilifu
@KakaOmmy-xx6pi
Ай бұрын
Nasoma comments alafu nawafuatilia sana .( huenda wamesahau)
Munamtetea
Nawaona mawahabi wanavyo haha kukoment ila safarihii wasipewe nafasi jino kwa jino hadi waelewe
@HemedSerious
Ай бұрын
Kazi mzr mashallah kama wakiachwa wanazidi sifa
Shida ya buchu hajielewi
@slimshah9460
Ай бұрын
Chizi fresh
Acheni porojo
Piga ujumbe shekh bachu tunafahamu kwakuwa wazi ktk adila zakujitosheleza undeni yenu arafa
naswaha yangu tusivunje udugu wetu kwa jambo la kupita.Eid itakuja na itaondoka ila udugu ukiondoka ni ngumu kuurudisha
Musidanganywe na comments zetu ndio zikawapamoyo wa kutukanana na kukashfiana mitandaoni.
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA
Sheik kua makini na MAWAHABI watakulipua.
Kawaida anaesema kweli huchukiwa nyinyi hamutaki ukweli
Nimikufwatilia kwakweli masufiiiiiiiiiiiiiiiii mnachesha😂😂😂😂😂😂😂😂
Ustadh huyu jamaa lazma aambiwe ,anaumbungufu sana wa elimu
We mwenyewe ni mrongo kama nihivyo
Juzi aliwatweza kina suyutwi ghazali na sultwaan auliyaa kwa ile klip yke alotoa juzi mpka nkashangaa
Huyu Bachu hajui kama nyama za wana zuoni zina Sumu. Mtizameni tu mwisho wake.
Fungueni kitabu
Haki imefika ndiomaana mwatapatapa Sasa ndiomaa mwapingana wenyewe. Kwa wenyewe mbona mmemhalifu kadh wenu
Mfuateni kadhi wenu acha ubishi
ww shekh nafkiri ungekaa na kusoma kuliko vijembe bachu anafungua vitabu sio maneno tu
Mukiambiwa ukweli wakuumeni ehhhh bachu Atawanyoosha Allah atazidi kumpa Elmu Mumjue makusudio yake kwenu …
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja. Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.
Huna hoja kumbee,;
Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu
Uyo bachu hana adabu, yeye kwnz hana sheikh
Alikuwa haradiwi ni mtume muhammad sala na Salam ziwe juu yake tuuuu
Bachu aende akasome
@slimshah9460
Ай бұрын
Alifu kwa kijiti😂
Masufi mmepoteza wafuasi kupitia kina bachu na kina bahero mungu awalipe
@darajanida
Ай бұрын
kila mtu anakaburi lake ndugu yangu epukana na upotovu wa mawahabi
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah
Kama ww nimkweli mbona ckuelewi
Hivi maana ya matusi unaijua kweli au wajisemea tu,unajua maana ya hojja unaelewa kweli
@HemedSerious
Ай бұрын
Matusi zaidi mnayajua nyny sababu ndio kz yenu
ukiongea usiwe na hasira kia mpole ili jamii isijue kua umekasirika
Katukanwa wap kwn pamewekwa sawa tu
Hapa naona kaja na mipasho haina aya wala Hadisi
Nyinyi hamna elim nibala bala tu
Mawahabi hawana inswaf na wapenda kubaranganiza mambo walaghai hawajali kudanganya bora maslahi yao yende
Sasa hapo ndo umezungumza nini? Kwahyo mawaidha yote ndo yalkua ya Bachu?
@HemedSerious
Ай бұрын
Wewe kuskia sabb ni mtumwa wa akili za bachu
Bachu kawaida yake hajuwi kuongeya kistaarabu mpaka atiye dharau na kijeli hivo ndivo amezowe
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA NA BAATWIRI
Backu ni mjinga katika dini yake. Hanailim hana heshema.
@KakaOmmy-xx6pi
Ай бұрын
Sio vivuri kuwatukana masheikh kama humuamn bas sio lazima umufuatilie
@FaaidaTVtz
Ай бұрын
Wewe mwenye Elimu ebu mjibu Bachu sasa kwa hoja ya kielimu.
Na mtume aliambiwa vivyo hivyo antukana miungu ya makuraish kisa kufafanua haqqi
Si nilisema kuwa atajibiwa mm na huyu kijana naona ni kama akili zake ni za kifyetu bachu kashabachuliwa akabachuka
masufi hamna kitu ni mbwe mbwe tu zenu.
Elim ndoimefanya tukamjua Bach ispokua mnapoaambiwa ukweli mnaanza zaypuuzi
Jenga hoja acha porojo
SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh
Maa shaa allah.. sheikh bachu na sheikh Ali ni viboko vya makhurafi kumbee😂😂 Bachu anawakosesha usingizi kumbee.. Mmi binafsi sheikh bachu namuelewa sana juu anongea kihoja na kisomi. Wwe ungefundisha tuu na uache kuongelea bachu hio ni michambo hujafunza kitu
@HemedSerious
Ай бұрын
Acha unafiki Hawa watu watupu kabisa labda dharau
@yusufathman2478
Ай бұрын
@@HemedSerious mnafiki ni wwe
Mwalimu unatuchanganya mbona kila kitu bachu hutufundishi bachu kakosea hapa kateneza hapa
Bachu ni mtoto muacheni pengine akisha baleghe ataacha ufudhuli
Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.
punguzeni makasiriko. Ama mlete markaz nzima imraddi bachu
@HemedSerious
Ай бұрын
Uyo bachu ndio wakuletewa markazi.
kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye
@HemedSerious
Ай бұрын
Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m
@khamisjuma7616
Ай бұрын
@@HemedSerious hasira hasara wala matusi si fani yangu yakurejee mwenyewe mijineno yako mibovu
Bachu mbabaishaji tu... Na km anajiweza aombe munakasha aone😂😂😂
@FaaidaTVtz
Ай бұрын
Munaqasha alishafanya nao na hawakutaka uendelee kwa kung'ang'ania point moja.
Bachu yupo sahihi sema kinachowakera ni kueka mambo bayana ambayo ilikua mumeyaficha.
@salmananwaralmaisarah1387
Ай бұрын
Yaliofichwa ni gani hapo?? Si uyaseme
@binbuhakhamis4336
Ай бұрын
Fataclip za sheikh bachu utaona yapo bayana
@salmananwaralmaisarah1387
Ай бұрын
Hakuna yalio bayana...wewe si uyataje...tushawazoea mawahabi kazi ni kufuata hawaa za nafsi zenu tu
@fauznuhu9981
Ай бұрын
Inaone kana kwako bachu ni mtumi….mana mamani ubayana hakuna lolote kwabachu na hana adabu kabissa
@eastafricaqualitychickenfa9916
Ай бұрын
Bachu ni Simba wa Mungu yule nyinyi mashekhe ubwabwa ficheni ukweli Njaa itawatia motoni
Na ww wataka ujibiwe na bachu hujawa na kiwango cha kijibizana na bachu
Kisha nyinyi munao support bachu kwanini amefukuzwa Zanzibar sababu ya ufedhuli na kukosa adab.
@Biziman-pu4kf
Ай бұрын
Nipe habari ndungu nikweli amefukuzwa
@rushu1232
Ай бұрын
@@Biziman-pu4kf haruhusiwi kutoa khutba wala muhadhara na shida sio mtu wakusomesha amezowea ufedhuli ndio akaja msa kwenye jaa la taka.
Hajatukanwa shehe yeyote yule Lete vitabu acha chuki
Ameweka huyo wenu ndio kuwaonyesha shehe wenu humjui
Ei kwani bacho ni mwanachuoni au ni mpambe wa kiwahabi
@HemedSerious
Ай бұрын
Mm nashangaaa wajinga wanaosema eti mwehu bachu anaonewa choyo