MAJIBU YA DHARAU NA KEJELI YA MUHAMMAD BACHU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE

Ойын-сауық

SHEIKH MUHSIN ALI ATHMAN BUTE

Пікірлер: 198

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын

    BACHU ALLAH AMHIFADHI

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunuАй бұрын

    Bacho Allah akuhifafhi

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    26 күн бұрын

    Fukuzwa Hutu zanzibar na sahiv kahamia kwa mashoga zake Mombasa na tanga 😂

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7wwАй бұрын

    Mashallah jazakallah akhy Muhammad bachu ujumbe umefika Wacha waliye haki imefika .

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252Ай бұрын

    Kwangu mimi ni ukweli wake niliouwona Alhamdulillah Allah amuhifadhi

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258Ай бұрын

    Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @farishfarish258
    @farishfarish258Ай бұрын

    Buchu Allah akuhifadh ) Hawa wengine hawana elemu sindano zimewaingia Wacha wapige kelele

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3upАй бұрын

    Allah amuhifadhi sheikh bachu na azidi kukupa nguvu ya kutuelimisha

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    28 күн бұрын

    Pumba kabisa

  • @salmananwaralmaisarah1387
    @salmananwaralmaisarah1387Ай бұрын

    Shukran sana ustadh...kinachomueka bachu mjini ni hizo dharau na kejeli...hana lengine na kama analo birii alidhihirishe

  • @abeliever6823
    @abeliever6823Ай бұрын

    Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima. Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena

  • @FaaidaTVtz

    @FaaidaTVtz

    Ай бұрын

    Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..? Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    @@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo

  • @user-hr9kb7ev1i
    @user-hr9kb7ev1iАй бұрын

    Swadakta ndungu yetu Allah atakulipa inshallah kwa hikma zako kwa ilmu unayo soma kwa mafusi,mawahabi hawataki kusoma ndio hawajielewi

  • @abeliever6823
    @abeliever6823Ай бұрын

    بارك الله فيك يا أخي العزيز Maneno mazuri nto جزاكم الله خيرا Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan. Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7wАй бұрын

    Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu

  • @saidijuma-b9v
    @saidijuma-b9vАй бұрын

    mungu akuhifadhi sheikh letu

  • @swalehmohamedwaziri7499
    @swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын

    Maa shallah maelezo mufti Nyama za maulamaa Zina simu.

  • @swalehmohamedwaziri7499

    @swalehmohamedwaziri7499

    Ай бұрын

    Sumu

  • @sharifsayyidalmahdal
    @sharifsayyidalmahdalАй бұрын

    Haki ilifika Allah amhifadhi bachu

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын

    HAMUWEZI TUDANGANYA WATU TUSHAA ELIMIKA NA BACHU ALLAH AMHIFADHI

  • @KhamisQays-ur1dm
    @KhamisQays-ur1dmАй бұрын

    Ahasanta Habibi Barakallahu fiyk

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399Ай бұрын

    Allah akuhifadhi ost letu,endelea kufanya twakuelewa vzr sna❤

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын

    الله يحفظك سيخنا محمد با جو

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258Ай бұрын

    Asalamu aleykum ya allah huyu bachu nimrogo😊😊😊😊😊

  • @waladulikhlaas7870
    @waladulikhlaas7870Ай бұрын

    Mashallaah shukran sana ustadh muhsin....Bachu akajifunze adabu kwanza...na tutamnyorosha...Na msa pia tutamtoa

  • @suleimanahmadaali5989

    @suleimanahmadaali5989

    Ай бұрын

    Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa

  • @user-uy8en4fj6r
    @user-uy8en4fj6rАй бұрын

    Wallah mahabi mwabambanya hamna ilimu wallah mana mkizunguza nahau hamzipaty mwapiga nnje

  • @yusufathman2478

    @yusufathman2478

    Ай бұрын

    Maadam quran na sunna za mtume tunazo uelewa nahau twawaachia nyie makhurafi

  • @mngwaliis-haka5348
    @mngwaliis-haka5348Ай бұрын

    Allah amuhifadhi sheikh Hajji upepo

  • @WilliamMaina-xh4sf
    @WilliamMaina-xh4sfАй бұрын

    Mchenni Allah, mitandao mmejaza uislamu-siasa za makundi jameni, barabara ya sawa na malengo ya uwepo wa mwanadamu imesahaulika

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Hasira nyingi sana

  • @MaulidiJongo
    @MaulidiJongo19 күн бұрын

    Bach Bado allh ajampa uwongof ila tumuombe allh san

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8slАй бұрын

    Sheikh Muhammad bachu ametutoa kwenye ujinga

  • @muktarkassim6647

    @muktarkassim6647

    Ай бұрын

    Maoni ya kubalika

  • @user-ix8bu3yy5z

    @user-ix8bu3yy5z

    Ай бұрын

    Mohd bachu amesingizia sheikh uthaymeen na kufanya uthaymeen ni mtu wa kauli mbili mbili

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    Mashallah

  • @DiudaKozi-qu8sl

    @DiudaKozi-qu8sl

    Ай бұрын

    Sheikh Muhammad bachu yuko vizuri sanaaaaaa.Ameniondoa kwenye wajinga wa kitwariqa na kisufi

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    Ай бұрын

    Kkkkk bado mwa zama kwa uchinga pole mana chongo ni mfalme kwa vipofu

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7wАй бұрын

    Shekh Muhammad Bachu amewashinda ilimu nyinyi Muna chuki zenu muogopeni Allah Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu

  • @slimshah9460

    @slimshah9460

    Ай бұрын

    Ilimu gani kama si kejeli

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4bАй бұрын

    Bachu nikipenzi chetu allah amuhifadhi katutoa kwenye ujinga

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    Ай бұрын

    Sana Wallah

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    28 күн бұрын

    ​@@Hamis-ks1syANAKUTIA KWENYE UJINGA SIO KUKUTOA

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.

  • @hassanmohamedabdalla4108

    @hassanmohamedabdalla4108

    Ай бұрын

    اللهم اهدي الصوفي ضاله

  • @abdulmalikali1501
    @abdulmalikali1501Ай бұрын

    Masha Allah Habib wetu

  • @abdallamassoud53
    @abdallamassoud53Ай бұрын

    Kutukana mashekh

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2ypАй бұрын

    Hayaaaa fuateni ara yenuuuuuuuuuuu mausufi

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8uАй бұрын

    masufi mnatabu.

  • @user-uy8en4fj6r
    @user-uy8en4fj6rАй бұрын

    Wafahamishe ukwell shekhe muhsin huyo mkosefu wa adabu m.s bachu na mungo akuhifadh shekhe muhsin tuzidi kufaidika

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Watumwa wa fikra wa bachu Hawana haja ya kusikiliza hoja Bali ni ujuha kwenda mbele

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Eeee bwana hajazarauliwa munatengeneza huruma

  • @user-qe3dl9ox5b
    @user-qe3dl9ox5bАй бұрын

    Sh muhammad bachu yuko vizuri sana

  • @mussaissa6796

    @mussaissa6796

    Ай бұрын

    NDIO KWA UPUMBAVU HAKUNA KAMA YEYE.

  • @khamiisathmaan4362

    @khamiisathmaan4362

    Ай бұрын

    Wewe mtume hakuwahi kumtukana muislam wala hakuna swahaba wala taabi-ina bali mtume amekataza kumtukana muislamu nufaasiq

  • @khamiisathmaan4362

    @khamiisathmaan4362

    Ай бұрын

    Sasa kama waongoka kwa ufaasiq Kasome dini yako uijue usitegemee darsa ndo zitakazokutoa kwenye ujinga

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Yaani masufi bna Akimrekebisha mwasema anamtukana baba ake akikaa kimya nongwa mnatakaje sasa?

  • @DhaharanMussa
    @DhaharanMussaАй бұрын

    Mawahabi wote wamenyimwa ufahamu,ndio maana wengi wamekuwa magaid

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjikuАй бұрын

    Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana

  • @mhusinigau3231

    @mhusinigau3231

    Ай бұрын

    Umesikiliza ukaelewa lkn au umeziba masikio

  • @TaufiqMeneja
    @TaufiqMenejaАй бұрын

    Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....

  • @mhusinigau3231

    @mhusinigau3231

    Ай бұрын

    Wewe bado mjinga ndio mana jitahidi usome

  • @ahmadabdallah740
    @ahmadabdallah740Ай бұрын

    Mbona hamumsemi al hatimy alipokua akimtukana sheikh ali bahero ama vile ni mwenzanu muogopeni Allah na kueni na uadilifu

  • @KakaOmmy-xx6pi

    @KakaOmmy-xx6pi

    Ай бұрын

    Nasoma comments alafu nawafuatilia sana .( huenda wamesahau)

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Munamtetea

  • @user-qv9ep6wq1t
    @user-qv9ep6wq1tАй бұрын

    Nawaona mawahabi wanavyo haha kukoment ila safarihii wasipewe nafasi jino kwa jino hadi waelewe

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Kazi mzr mashallah kama wakiachwa wanazidi sifa

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uhАй бұрын

    Shida ya buchu hajielewi

  • @slimshah9460

    @slimshah9460

    Ай бұрын

    Chizi fresh

  • @khamisothman1154
    @khamisothman1154Ай бұрын

    Acheni porojo

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7wwАй бұрын

    Piga ujumbe shekh bachu tunafahamu kwakuwa wazi ktk adila zakujitosheleza undeni yenu arafa

  • @allyhamza9969
    @allyhamza9969Ай бұрын

    naswaha yangu tusivunje udugu wetu kwa jambo la kupita.Eid itakuja na itaondoka ila udugu ukiondoka ni ngumu kuurudisha

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын

    Musidanganywe na comments zetu ndio zikawapamoyo wa kutukanana na kukashfiana mitandaoni.

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын

    MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA

  • @user-lp3gi5wd4e
    @user-lp3gi5wd4eАй бұрын

    Sheik kua makini na MAWAHABI watakulipua.

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252Ай бұрын

    Kawaida anaesema kweli huchukiwa nyinyi hamutaki ukweli

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4bАй бұрын

    Nimikufwatilia kwakweli masufiiiiiiiiiiiiiiiii mnachesha😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NURRPRODUCTION
    @NURRPRODUCTIONАй бұрын

    Ustadh huyu jamaa lazma aambiwe ,anaumbungufu sana wa elimu

  • @kasimubangu1875
    @kasimubangu1875Ай бұрын

    We mwenyewe ni mrongo kama nihivyo

  • @salimabdalla6290
    @salimabdalla6290Ай бұрын

    Juzi aliwatweza kina suyutwi ghazali na sultwaan auliyaa kwa ile klip yke alotoa juzi mpka nkashangaa

  • @suuahmed71
    @suuahmed71Ай бұрын

    Huyu Bachu hajui kama nyama za wana zuoni zina Sumu. Mtizameni tu mwisho wake.

  • @Aradyassane
    @AradyassaneАй бұрын

    Fungueni kitabu

  • @salimuawadhi8043
    @salimuawadhi8043Ай бұрын

    Haki imefika ndiomaana mwatapatapa Sasa ndiomaa mwapingana wenyewe. Kwa wenyewe mbona mmemhalifu kadh wenu

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479Ай бұрын

    Mfuateni kadhi wenu acha ubishi

  • @harithhemed9920
    @harithhemed9920Ай бұрын

    ww shekh nafkiri ungekaa na kusoma kuliko vijembe bachu anafungua vitabu sio maneno tu

  • @chidolakhatib7847
    @chidolakhatib7847Ай бұрын

    Mukiambiwa ukweli wakuumeni ehhhh bachu Atawanyoosha Allah atazidi kumpa Elmu Mumjue makusudio yake kwenu …

  • @FaaidaTVtz
    @FaaidaTVtzАй бұрын

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja. Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.

  • @Abutwalhamwanyuki
    @AbutwalhamwanyukiАй бұрын

    Huna hoja kumbee,;

  • @JamalAli-tz6pj
    @JamalAli-tz6pjАй бұрын

    Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu

  • @HemedSerious
    @HemedSeriousАй бұрын

    Uyo bachu hana adabu, yeye kwnz hana sheikh

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2ypАй бұрын

    Alikuwa haradiwi ni mtume muhammad sala na Salam ziwe juu yake tuuuu

  • @mngwaliis-haka5348
    @mngwaliis-haka5348Ай бұрын

    Bachu aende akasome

  • @slimshah9460

    @slimshah9460

    Ай бұрын

    Alifu kwa kijiti😂

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Masufi mmepoteza wafuasi kupitia kina bachu na kina bahero mungu awalipe

  • @darajanida

    @darajanida

    Ай бұрын

    kila mtu anakaburi lake ndugu yangu epukana na upotovu wa mawahabi

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    @@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah

  • @maadinaJuma
    @maadinaJumaАй бұрын

    Kama ww nimkweli mbona ckuelewi

  • @kasimubangu1875
    @kasimubangu1875Ай бұрын

    Hivi maana ya matusi unaijua kweli au wajisemea tu,unajua maana ya hojja unaelewa kweli

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Matusi zaidi mnayajua nyny sababu ndio kz yenu

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын

    ukiongea usiwe na hasira kia mpole ili jamii isijue kua umekasirika

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223Ай бұрын

    Katukanwa wap kwn pamewekwa sawa tu

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916Ай бұрын

    Hapa naona kaja na mipasho haina aya wala Hadisi

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4bАй бұрын

    Nyinyi hamna elim nibala bala tu

  • @swalehmohamedwaziri7499
    @swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын

    Mawahabi hawana inswaf na wapenda kubaranganiza mambo walaghai hawajali kudanganya bora maslahi yao yende

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Sasa hapo ndo umezungumza nini? Kwahyo mawaidha yote ndo yalkua ya Bachu?

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Wewe kuskia sabb ni mtumwa wa akili za bachu

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200Ай бұрын

    Bachu kawaida yake hajuwi kuongeya kistaarabu mpaka atiye dharau na kijeli hivo ndivo amezowe

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын

    MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA NA BAATWIRI

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157Ай бұрын

    Backu ni mjinga katika dini yake. Hanailim hana heshema.

  • @KakaOmmy-xx6pi

    @KakaOmmy-xx6pi

    Ай бұрын

    Sio vivuri kuwatukana masheikh kama humuamn bas sio lazima umufuatilie

  • @FaaidaTVtz

    @FaaidaTVtz

    Ай бұрын

    Wewe mwenye Elimu ebu mjibu Bachu sasa kwa hoja ya kielimu.

  • @albayaanmschool8451
    @albayaanmschool8451Ай бұрын

    Na mtume aliambiwa vivyo hivyo antukana miungu ya makuraish kisa kufafanua haqqi

  • @salimabdalla6290
    @salimabdalla6290Ай бұрын

    Si nilisema kuwa atajibiwa mm na huyu kijana naona ni kama akili zake ni za kifyetu bachu kashabachuliwa akabachuka

  • @user-ze8rk9ye6r
    @user-ze8rk9ye6rАй бұрын

    masufi hamna kitu ni mbwe mbwe tu zenu.

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1z14 күн бұрын

    Elim ndoimefanya tukamjua Bach ispokua mnapoaambiwa ukweli mnaanza zaypuuzi

  • @hassankarata8135
    @hassankarata8135Ай бұрын

    Jenga hoja acha porojo

  • @salimuawadhi8043
    @salimuawadhi8043Ай бұрын

    SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478Ай бұрын

    Maa shaa allah.. sheikh bachu na sheikh Ali ni viboko vya makhurafi kumbee😂😂 Bachu anawakosesha usingizi kumbee.. Mmi binafsi sheikh bachu namuelewa sana juu anongea kihoja na kisomi. Wwe ungefundisha tuu na uache kuongelea bachu hio ni michambo hujafunza kitu

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Acha unafiki Hawa watu watupu kabisa labda dharau

  • @yusufathman2478

    @yusufathman2478

    Ай бұрын

    @@HemedSerious mnafiki ni wwe

  • @hassankarata8135
    @hassankarata8135Ай бұрын

    Mwalimu unatuchanganya mbona kila kitu bachu hutufundishi bachu kakosea hapa kateneza hapa

  • @ibraa1157
    @ibraa1157Ай бұрын

    Bachu ni mtoto muacheni pengine akisha baleghe ataacha ufudhuli

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын

    Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.

  • @issahabdallah9018
    @issahabdallah9018Ай бұрын

    punguzeni makasiriko. Ama mlete markaz nzima imraddi bachu

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Uyo bachu ndio wakuletewa markazi.

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m

  • @khamisjuma7616

    @khamisjuma7616

    Ай бұрын

    @@HemedSerious hasira hasara wala matusi si fani yangu yakurejee mwenyewe mijineno yako mibovu

  • @HemedAbdullaSuleiman
    @HemedAbdullaSuleimanАй бұрын

    Bachu mbabaishaji tu... Na km anajiweza aombe munakasha aone😂😂😂

  • @FaaidaTVtz

    @FaaidaTVtz

    Ай бұрын

    Munaqasha alishafanya nao na hawakutaka uendelee kwa kung'ang'ania point moja.

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336Ай бұрын

    Bachu yupo sahihi sema kinachowakera ni kueka mambo bayana ambayo ilikua mumeyaficha.

  • @salmananwaralmaisarah1387

    @salmananwaralmaisarah1387

    Ай бұрын

    Yaliofichwa ni gani hapo?? Si uyaseme

  • @binbuhakhamis4336

    @binbuhakhamis4336

    Ай бұрын

    Fataclip za sheikh bachu utaona yapo bayana

  • @salmananwaralmaisarah1387

    @salmananwaralmaisarah1387

    Ай бұрын

    Hakuna yalio bayana...wewe si uyataje...tushawazoea mawahabi kazi ni kufuata hawaa za nafsi zenu tu

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    Ай бұрын

    Inaone kana kwako bachu ni mtumi….mana mamani ubayana hakuna lolote kwabachu na hana adabu kabissa

  • @eastafricaqualitychickenfa9916

    @eastafricaqualitychickenfa9916

    Ай бұрын

    Bachu ni Simba wa Mungu yule nyinyi mashekhe ubwabwa ficheni ukweli Njaa itawatia motoni

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4exАй бұрын

    Na ww wataka ujibiwe na bachu hujawa na kiwango cha kijibizana na bachu

  • @rushu1232
    @rushu1232Ай бұрын

    Kisha nyinyi munao support bachu kwanini amefukuzwa Zanzibar sababu ya ufedhuli na kukosa adab.

  • @Biziman-pu4kf

    @Biziman-pu4kf

    Ай бұрын

    Nipe habari ndungu nikweli amefukuzwa

  • @rushu1232

    @rushu1232

    Ай бұрын

    @@Biziman-pu4kf haruhusiwi kutoa khutba wala muhadhara na shida sio mtu wakusomesha amezowea ufedhuli ndio akaja msa kwenye jaa la taka.

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fpАй бұрын

    Hajatukanwa shehe yeyote yule Lete vitabu acha chuki

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Ameweka huyo wenu ndio kuwaonyesha shehe wenu humjui

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732Ай бұрын

    Ei kwani bacho ni mwanachuoni au ni mpambe wa kiwahabi

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Mm nashangaaa wajinga wanaosema eti mwehu bachu anaonewa choyo

Келесі