MAJIBU JUU YA URONGO WA ALI ABUBAKAR || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
Жүктеу.....
Пікірлер: 136
@osmanmanbile932723 күн бұрын
Shukran ustadh muhsin bute mawahbaii elimu hawajui ni porojo2 na kupotosha watu
@Dr-ubaida96520 күн бұрын
Mashaallah
@abdurahmanabdallah240324 күн бұрын
MASHALLAH ustadh mungu akubariki
@mussaissa679623 күн бұрын
UMEWABOMOWA VIZURI SANA AKHIY, MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU NA AKURUZUKU HIKMA NA MAARIFA YA ZIADA NA AUINUE UISILAMU JUU KUPITIA JUHUDI YAKO,AAAMIIIIN
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh19 күн бұрын
Shukran sheikh
@LASSUH494724 күн бұрын
Shukran sana habeeb umeongea kwa ufaswaha mkubwa umeeleweka na msumari umeingia
@ummulhussein23 күн бұрын
subhana allah 🙏🙌mola atupe tana buhi na kuzundukaa manake wakati huu umeisha tuspo zundukaa ss hatuna tamaa mbele badilikaa yani ndugu zangu walimu nyote maa ustadh🙏🙌🤭nshawahi kusema hili neno kumjibu ustadh izuu din kma nafurahika juu ya darsaa kuskiza badae huja maneno kitandawili khaswaa kupijilizwaa mm nasema tena leo mutaakaukaa kooo zenu na zilimi zitakuwa zimechokaa kusemaa boraa hyo wahabi muachane nae amekuja kwa fujo ss na kelele mola umuongoze yarabi🙏🙌🙏🙌ampee fahamu nzur ipo cku moja katika nlpo kua na kazi zanguu nkasema hzi vitu fulani bukhur za maulid alinicheka na kuliza ww wapenda maulid mkasema sanaa yy nkimuliza hakusema kituu kma aapenda hapendi lakin namjua vzur kma hapendi na shidàa hatki kushindwaa kabisaa kma yy ajua kila kituuu nguvuu ki hikmaa 😢🙏🙌namm thumaa wallah cjatetesha famly nanyinyi muwe mashahidi walimu huitwaa mbaya cna manaa cna akili cna hikmaa😢😢 leo namini nakubali kma dunia ina duwaraa marejeo angamani lakushangaza mbona amerudi kwa nguvuu awe yy na kijana wake ama famly yake mm ctaki kua fitnaa jina langu kutiwaa midomoni imeisha nayy inshallah atuliye kwa barka idhul hajjj awe makini na nyinyi walimu nfio mtamni yote nlosema ckuzushaa mm masalam jazakallah kherraa🙏🙌 usiku mwemaa
@SugowFarah-up3db22 күн бұрын
Sheikh Uthaimin رحمه الله تعالى lugha yake iko wazi kabisa kwamba muandamo wa mwezi wa Dhul-hijjah utazingatiwa ule wa Saudia hata kama itakhalifiana na miji mingine
@KomoraMohamed
20 күн бұрын
Nynyi magaidi wadhani ni nani watafata bakini kwnye giza
@user-lo1uk8dp5f
20 күн бұрын
Huyo uthaimini maneno hayo ameyatoa wap kwakua uthaimini hakua mtume
@SalumKeya21 күн бұрын
Allah atuongoze fii dunia wal akhera
@jamalishoo380220 күн бұрын
Maa shaa Allah
@ahmedbadi582222 күн бұрын
MAA SHAA ALLAH USTADH UMEEKA MAMBO SAWA
@user-hb8vi9fx6g23 күн бұрын
ما شآء الله جزاك الله خيرًا ETI HOJA NI ALLAAH HUTEREMKA VIWANJA VYA ARAFA! SASA UKIENDA NAO SAMBAMBA NDO ALLAAH ATATEREMKA KENYA?!
@Abdulrahman.8424 күн бұрын
Shukran wajazaka allahu kheir Habib tume kufahamu Kwa uziri sanaaa
@NMJAsaid22 күн бұрын
Shida muenu masufi ni warongo sanaaaaaa. Yaani mashekhe wenu wana uwezo wa kufufua maiti!!!
@HemedSerious
21 күн бұрын
Nyny ni wakweli km maswahaba vile.,...
@swalehmohamedwaziri749924 күн бұрын
Maa shallah Ni kweli nimeamini mawahabi ni wababaishaji
@salimobeid147018 күн бұрын
Dah miwahabi hailewi lugha wala haifahamu mashekhe zao wanapopoa tu wallah dah mie naona masufi dini wnaiyendea haki ukiwasikiliza mashekhe wa kisufi lazima ufaidike
@alimaalimahmad83723 күн бұрын
Hawa mawahabi tatizo lao hupenda kuruka ruka kama mabisi kwenye machine , hebu tulieni basi kwanza msome ...
@HemedSerious
23 күн бұрын
Unafurahisha kweli mkuu,
@FarahJey23 күн бұрын
Lini mulikubali hadithi?
@babuumohd429020 күн бұрын
Mashekhe wengi wakileo hamna mnachotupa katika dini zaidi ya kuikhtilafiana. Yani badala kuweka mikakati ya kuuregesha uislam katika uongozi kazi yenu nikuweka mijadala yakutafta hela mitandaoni
@FarahJey23 күн бұрын
Kwa hivyo Arafa ya sahihi ni ile ambao Allah anateremke katika hio siku,wacheni ukhuraf wenu hebu sibitisheni kuwa Allah anateremka arafa ya maka na arafa nyengine
@user-iz1er8vg7u23 күн бұрын
Wapenda fitna sasa 😭
@user-xb6tr5vq4b22 күн бұрын
Mnachokifaham ni kusherehekea mazazi yayamtum muhamad s w w kama wakristo na ulivoanza kuzungumza sijakusikia unakosoa kwahivowewe hufai hatakusikilizwa nendeni muwe munaabudia maiti hiondo mnajua tu
@HemedSerious
21 күн бұрын
Mwehu
@DiudaKozi-qu8sl23 күн бұрын
Acha polojo za ushi
@LASSUH494724 күн бұрын
Yaani mawahabi siku zote ni wanafunzi waliofeli so hapo kuna kibarua kwnye kuelewa na kusoma
@khalifaahmed5232
24 күн бұрын
😂😂😂😂Uyu Ali ht asilaumiwe uyu hajasoma kabsaa Hana elimu ht robo hebu mchunguze xaidi yy afuata bendera sheikh akisema mskiti mwngn nayy ndio Mada yake ijuma ijao alafu mchunguze Tena akilemewa kabsaa huchukua vipande vipande vya masheikh akivikata na kukejeli na kudharau yaani uyu twamjua vzr sanaaaa elimu yako kasoma wapi na ikawaje kapewa mskiti ndio nasema uyu haesabiwi kabsaa afaa asijibiwe llte abweke tuu mpk achoke 😂😂😂
@idarusalwi796223 күн бұрын
هذا ليس كاذبا بل مفتري على العلماء الأجلاء .
@HemedAbdullaSuleiman23 күн бұрын
Mawahabi kwenye Funga ya Arafa wamechemka
@HemedSerious
23 күн бұрын
Wanajidhalilisha live
@muhammadkhatwab23 күн бұрын
Sawa kabissa Mola akubariki shk Muhsin
@abasifadhiliswai946523 күн бұрын
Sheikh Ali Abubakar anaeleweka vzr sana, nyie hamjui mnamtumikia nani.
@abiabi9353
23 күн бұрын
Hebu tufahamishe umemuelewwje Ali abubakar
@swaffaa1202018 күн бұрын
Nimefurahi kua wamekubali wao na mawahabi kisha aweka wazi kuwa maneno ya shkh uthaimeen yaweza kutupiliwa mbali maadamu ya mtume s.a.w yani hawa jamaa wapenda mizozo kushinda elimu
@farijalakhalid555821 күн бұрын
Mawahabi ni waongo
@noorululaatv897311 күн бұрын
Lete NONDO mpaka makhawaarij wa kiwahabi waelewe
@user-hr9kb7ev1i20 күн бұрын
Shukran sana,Allah akuzidishie ilmu na akubarikie ufahamu ndungu yetu
@halimahussein679223 күн бұрын
Hivi Haya majibizano ya wasomi mtandaoni itaisha lini, Tena mbaya Zaidi wengine hata hoja Na dalili hamna acheni basi
@HemedSerious23 күн бұрын
Wenye akili tunaelewa sheikh
@hassanadan100121 күн бұрын
Kazi ya msufi ni kufurahisha masharifu , hawasomi , mwisho ya masomo ya ni faslul saadis, kisha wanakuja kupumbaza wasiosoma , na kujifanya kujua lugha ya kiarabu saana.
@muhammad-o7f13 сағат бұрын
HUYO KIJANA AKASOME KUSOMA KIARABU KWANZA HAJUI HATA KUSOMA. ETI AMMA BINNISBATI... VUTA HIYO AMMAA MIIM INA ALIF (أمّا بالنسبة)
@ShabanNyange21 күн бұрын
Tatizo kubwa la MAWAHABI ni Uelewa Mbovu 😀
@FarahJey23 күн бұрын
Ikowa Allah anateremka kiwanja cha Arafa na siku ya arafa,basi na nyinyi sibitisheni kuwa Allah ateremka sikumbili ya arafa ya maka na arafa ya watu wa kenya au sehemu nyengine
@SafiaHaji-fo3sl22 күн бұрын
nyny mashekhe wacheni mambo ya mipasho uislamu munautia aibu nyny kwa nyny hamusemeshani
@binnagy1497
22 күн бұрын
Very true,Hawa hawana sifa za mashekhe,wasanii tu
@KhamisHabib22 күн бұрын
Assalaamu alaikum naona ww sasa ndie unatudanganya maana hicho alichokisema nikiswahili na ww unasema kiswahili na sisi tunasikiliza kiswahili
@mohammedmasudi-dz6hb
21 күн бұрын
HAHAHA HAKIKA AKHY ATUDANGANYA HUYU
@issajuma91023 күн бұрын
Acheni mizozo fungeni kila mtu alivyofahmu wki wte mnalengo moja unautia uislam madowa
@HemedAbdullaSuleiman23 күн бұрын
Mawahabi uongo ndio itakadi yao... Yan wao kudanganya hawaoni tabu na kuna mijitu inaburuzwa tuu
@mhusinigau3231
20 күн бұрын
Swadakta Wallahi
@user-uo1kc7en6i24 күн бұрын
Huyo Ali Abubakar ni mzito wa kuelewa yy na wnzake kina baschu
@AbuuArqamtz21 күн бұрын
1.Tarehe inakuwaje nyuma na mbele shekh, mbona hatuelewi? 2. Kwani kunanchi inapishana na nchi nyengine kwa kiasi cha masaa 24? 3. Au baina yetu na Suudia kwani kuna utofauti wa masaa mangapi? 4. Jawabu lako kwa Shekh Aly ni lipi kuhusu kauli hizo mbili za shekh, Ipi tufuate? 5. Kwani mashekhe maneno yao ni wahyi wakiongea hufaa kuhesabiwa moja kwa moja bila kufanyiwa utafiti, na ikiwa ni wahyi mbona ameleta maneno mawili la kupinga na lakukubali?
@issaabdallah120523 күн бұрын
Bibi aosja anasema ان عرفة يوم يعرف الاءمام Haikaka ya arafa ni ni siku atayotngaza imam Maneno haya bibi aisha alimwambia masuluk .masuluk .alitangulia kufunga arafa. Siku ambayo imam hajaitangaza kuwa ndo siku ya arafa.
@MuniraRashid-sx3up23 күн бұрын
Sheikh Ali abubak ar endelea kutuelimisha tunakuelewa laud and clear
@abiabi9353
23 күн бұрын
Haha mawahabi majahili kweli. Sasa hop Ali abubakar umemuelewa nini
@MuniraRashid-sx3up
22 күн бұрын
Jahili ni ww na wachawi wenzako
@abiabi9353
22 күн бұрын
@@MuniraRashid-sx3up Haha majahili wakiwahabi wamepoteza muelekeo. Ali Abubakar ni jahili kwasababu anaeleza maelezo ya sheikh wake bila kuyaelewa.huwo ni ujahili
@mohammedmasudi-dz6hb21 күн бұрын
HUWEZI ITETE BAATWIRI SHEKHE BORA KAA KIMYA
@Sheikhmadaba-cm2hw18 күн бұрын
😂😂😂😂 ally naona kaacha kutumia karatasi hahahahahaha
@yusufathman247823 күн бұрын
Makhurafi mna taabu uelewa wenu ndo mdogo subhanallah.. Tena mwajiita Alhu sunnah wal jamaa.. 😂😂
@user-xb6tr5vq4b
22 күн бұрын
Wanachekesha
@noorululaatv8973
11 күн бұрын
@@user-xb6tr5vq4b Mtetee Wahabi mwenzio
@idarusalwi796223 күн бұрын
Aslm alkm Huyu ni mbovu kabisaaa wala msimbuke naye huyu nikama kasuku Ufidhuli tu hana ilimu hata lugha haijui balgha hana nahwu na hikima hana....kama huyu hajibiwi.
Hawa mashkh wa kiwahabi. Hawana ilmu. Wana rukaruka tuu. Hii hoja Iko wazi. Ibada ya Eid UL adha imeanza miaka 2 hijria. Na ibada ya hijja imeanza miaka 9 hijria. Hizi ibada mbili ni mbali mbali
@HemedSerious
23 күн бұрын
Mm naona wanajidhalilisha tu masheikh wa kiwahabi
@YusufAli-gc9cu
23 күн бұрын
Wahhab nnan,,,,? naomba kujua,,,,
@HemedSerious
22 күн бұрын
@@YusufAli-gc9cu ni masheikh wanaofanya ubabaishaji kwenye yalio wazi, ukitaka kumjua sheikh wahabi ndio hyo Kuna zaidi?
@hassanadan1001
21 күн бұрын
Msome, muache kutegemea hawa vijana wa kisufi , they don't have any knowledge on diin , most of them never surpassed faslul saadis, they always debate to please their masters.
@user-lo1lb8qz4k17 күн бұрын
Kama huna lakunena afadhali ukanyamaa
@user-xb6tr5vq4b22 күн бұрын
Masufiiiiii munachekesha😂😂😂 sikiliza niwambiekitu mawahabi wanavofundisha wanaeleweka sana tutakosa kuwafata kivipi? Aya na hadidhi mbali mbali wanatoa natunaelewa nyinyitu ndohamuelew aya nahadidhi hamtow na hatutowafatilia kwasababu hizonimekutajia
@wazirihamisi648417 күн бұрын
Acheni uzushi enyi watu wa bidaa rudini ktk njia sahihi aliyopo mtume na maswahaba zake
@abasifadhiliswai946523 күн бұрын
Masufi acheni porojo
@HemedSerious
23 күн бұрын
Mwehu 😂😂😂
@alibadran43823 күн бұрын
Huyu atyy shekhe??Hahaha😂😂
@user-iz1er8vg7u23 күн бұрын
Wewe dio mrongo waitwa Nani waitwa watu warongo mrongo niwewe
@Dr-ubaida965
20 күн бұрын
Thibitisha bas
@KomboShineni23 күн бұрын
kama yeye ni mrongo mbona ww hubainishi ss
@idarusalwi796223 күн бұрын
علي أ بو بكر صفر في كل العلوم.....لا في اللغة ولا في الفقه ولا في البلاغة ولا في كل شيء ،هذا ببّغاء فقط يحكي ماقاله زملاؤه.
@FatmaAbdulhalim23 күн бұрын
Nendeni palestini mukapigane
@SafiaHaji-fo3sl22 күн бұрын
wacheni mambo ya ujinga wa kulumbana kuna mambo meng ya kufundisha hamufundish mawaidha yenu ni mipasho tu
@allyhamza996920 күн бұрын
kuna yule sheik wa kisufi aliyesema kuwa shekhe lao alipokufa wakati wa kuoshwa alikuwa akijizungusha mwenyewqwe.na wakati wa kuzikwa alijitia mwenyewe mwana ndani.😂😂hakufanyiwa rudud zozote
@issaabdallah120523 күн бұрын
Masufi zindueni musiwapoteze wat jiulize ikitokea mwezi mumetangulia kuuwona mwezi wa wa hijja na saudia ivi hihoyo arafa yenu mutaitangaza vipi mpaka waislam dunini wawaelewe?
@osmanmanbile932723 күн бұрын
Namwapongeza waatu wetu wa ahlusun ahlu durud sufiyah marah mukanyage hawa mawahbii wakipotosha watu mubainishe haqii sabbau watu wa haqqq wakinyamasa يهتم اهل الباطل انهم علي الحق
@hassanadan1001
21 күн бұрын
Soma dini bro.
@osmanmanbile9327
18 күн бұрын
Mm nimesoma.ww wahabii ndio umesome😂😂😂
@user-xb6tr5vq4b22 күн бұрын
Wewe huna hata ayamoja kwenye umbongowako nikutupu kwamaana hatujasikia ulichokikosoa kwahivo huna uwezo wakupambana nabachu au ali aboubakar kiukeliwewe nimjinga kaakimia kama masufi wenzio walivokakimiya una
@uiavajiwgav544119 күн бұрын
Acha porojo kwani shafii malik hambal siwametafautiana nawote wamejitahidi zina balaa hizi zikhurafi zakupangwa line yambele kwenye maulidi
@huseynmaitaya900221 күн бұрын
Wewe ndio huelewi ushahidi katuka hayo maneno kua wafuate saudi ni hapo alipo sema wadhaalika annal hijja makhusuusun bimakaanin muayyaanin , au kuna pengine panafaa hijja pasipo saudi , ama ndio kwenye kanisa la Abrah ibnul ashram 😂😂😂😂 pia kwapatikana hijjah
@JifunzeKiarabu21 күн бұрын
Huyu Ali Abuu Bakri Hajui ata maana ya Wahabi
@KhamisHabib22 күн бұрын
Je ww unauhakika tarehe yako iko saw au ww yakwako ndio umekosea kwanini zipishane tarehe yako na ya Saudia
@user-hx2yq6xy2u23 күн бұрын
Huyu ndio mjinga kabisaa, yeye ndio hana ilimu.
@user-ox4fv4cf5l23 күн бұрын
KUMBE NA WEWE MPOTOSHAJI TU,YAANI KENYA NA SUUDIA HAKUNATOFAUTI KUBWA KTK MUDA NA SIKU LKN MNA TRH MBILI TOFAUTI??? KALENDA YA MATWARIQA NI WARONGO
@TheAmadoni23 күн бұрын
😂😂😂 kila mtu ankua yuwa radd siku hizi, 😂😂😂 mazungumzo matupu bila dalil wala qauli yaku backup maneno yako...
@hasani-mq6ei23 күн бұрын
Achenyi kutuchanganya Sisi wenye elimu ndogo nyie mtumewajua ustadhi mapate washrikina badilikeni!
@user-zr1dv2tb5k23 күн бұрын
Wew ni jahill
@mhusinigau3231
20 күн бұрын
Sahihi husikiliza kwa moyo unasikiliza kwa masikio na ww Kwa kuwa ni muhabi hutaelewa anachokisema
@mohagurey221424 күн бұрын
Ukiambiwa kwingine haizingatiwi unataka nini ingine? Haya wewe zingatia Cha kwako basi
@khalidbinsunkar540919 күн бұрын
Tatizo kubwa kwa hawa mawahabi hawafahamu nuswuusw na masikitiko makubwa hata aq'waalul 3ulamaa zinawapiga chenga!!!! هداكم الله
@saidollaaddicted370020 күн бұрын
SHEIKH ALI ABUBAKAR SI muongo bali watu wa twarik si waelew na nimadhuka nyiny na mwafwata hawaa za NAFSI so wale wadhuka wenzen ndo wanaon uko sahih kumb BUREE KABX
@FarahJey23 күн бұрын
Debe tupu huyu Ni kiis fadhwi
@hassanmohamedabdalla410822 күн бұрын
hawa masuti ni wafwasi wa sheitani ni kupoteza watu tu kutegemea kaburi dance ya trabu
@salimobeid147018 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah yani wahabi ni balaa wallah hani kukiri tu msimamo wa wengi ni kila mji na sajm yake kulingana na muandamo wake
@AdamYunus-qr3jm22 күн бұрын
شيخ فيه دليل واضح جدا أن كنت لاتفهم فاسكث يا هذا فتلك مصيبة
@mohagurey221424 күн бұрын
Lakini usufi utaweza kuendelea bila uongo? Abdiqadir jeylani amerusha kiatu Iraq hadi Somalia 😂😂😂 ama amekimbiza malukul maut akarudisha roho ya maiti
@NuurulHudaa
24 күн бұрын
Kama unkosa la kusema kaa kimyaa usianze kutukana عulamaa wakubwa walotangulia
@LASSUH4947
24 күн бұрын
Naona mada nyengine hii vp ya arafa imekushinda sio umeona huna point ndo waleta mada nyngine
@mussaissa6796
23 күн бұрын
MPAKA UJUE HICHO NI NINI NDIO UTAJUA KUWEZEKANA KWAKE AU LA. SASA KWA MJINGA AINA YAKO SI AJABU KUYAONA HAYO KUWA HAYAWEZEKANI KWA SABABU YA UJINGA WAKO
@KhamisBakar-ge4sp
23 күн бұрын
Usitoke nje ya mada Nenda ukamsaidie Wahabi mwenzako kusoma kitabu
@KhamisBakar-ge4sp
23 күн бұрын
Masha Allah ❤❤
@mohagurey221424 күн бұрын
Sisi tuko tarehe 7 na kule wako tarehe 8 😂😂😂That's the biggest lie of the year. Sisi na Saudia tuko same time zone na hatupitani hata dakika moja. Eti 7 na 8 yani 24 hour mzima difference kisha kuna watu watakubali upotovu wa wazi kama hilo
@LASSUH4947
24 күн бұрын
Bro wajua nyinyi kosa lenu hujiangalia nyinyi bila kujua kma kuna nchi zengine hapo ndo mnachemsha kuna watu hao mahujaj wakisimama wengine wamelala na yaani wengine wanaanza ile siku wengine washaitoka ile siku ndo maana maswali hamuezj jibu mkiulizwa
@NuurulHudaa
24 күн бұрын
We wacha urongo wako, sisi na saudiya kwenye time ya gmt ndo tuko sawa ama kwenye solar time tuna tafauti ya saa nzima Nakumbuka miaka miwili mfululizo ilopita makkah waliswali eid saa kumi na mbili kamili ambapo kenya huwa hata ishraaq bado Usiangalie saa ya mkono ngalia time gani kwao jua huchomoza na time gani jua huzama, utapata kwamba jua saa zingine kwao lazama saa kumi na moja na nusu ambayo saa kumi na moja na nusu yao ndo saa kumi na moja na nusu yetu Yatakiwa uelewe, usiropokwe tu
@LASSUH4947
24 күн бұрын
@@NuurulHudaa waelewa kiswahili lkn bro yaani kumbe mpk kiswahili hujui kma mashekh wako wasivo jua kiarabu narudia tena nakwambia usijiangalie ww tu ww ni xw uko xw na makka time lkn kma loss angeless wako masaa kumi nyuma haya hao watafunga vp wawe xw na mahujjaj usiangalie ww tu bro jua kuna na wenzako wa nchi zengine
@mohamedrashid7864
23 күн бұрын
Wewe wahabi Mohagure aliposema ustadh kuhusu sana na nane ni namna ya muandamo wa mwezi .pumbavu kabisa kichwa ngumu
@makenaOG
23 күн бұрын
Sawa lakini wajua saudi wameswali salatul idd saa ngapi
Пікірлер: 136
Shukran ustadh muhsin bute mawahbaii elimu hawajui ni porojo2 na kupotosha watu
Mashaallah
MASHALLAH ustadh mungu akubariki
UMEWABOMOWA VIZURI SANA AKHIY, MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU NA AKURUZUKU HIKMA NA MAARIFA YA ZIADA NA AUINUE UISILAMU JUU KUPITIA JUHUDI YAKO,AAAMIIIIN
Shukran sheikh
Shukran sana habeeb umeongea kwa ufaswaha mkubwa umeeleweka na msumari umeingia
subhana allah 🙏🙌mola atupe tana buhi na kuzundukaa manake wakati huu umeisha tuspo zundukaa ss hatuna tamaa mbele badilikaa yani ndugu zangu walimu nyote maa ustadh🙏🙌🤭nshawahi kusema hili neno kumjibu ustadh izuu din kma nafurahika juu ya darsaa kuskiza badae huja maneno kitandawili khaswaa kupijilizwaa mm nasema tena leo mutaakaukaa kooo zenu na zilimi zitakuwa zimechokaa kusemaa boraa hyo wahabi muachane nae amekuja kwa fujo ss na kelele mola umuongoze yarabi🙏🙌🙏🙌ampee fahamu nzur ipo cku moja katika nlpo kua na kazi zanguu nkasema hzi vitu fulani bukhur za maulid alinicheka na kuliza ww wapenda maulid mkasema sanaa yy nkimuliza hakusema kituu kma aapenda hapendi lakin namjua vzur kma hapendi na shidàa hatki kushindwaa kabisaa kma yy ajua kila kituuu nguvuu ki hikmaa 😢🙏🙌namm thumaa wallah cjatetesha famly nanyinyi muwe mashahidi walimu huitwaa mbaya cna manaa cna akili cna hikmaa😢😢 leo namini nakubali kma dunia ina duwaraa marejeo angamani lakushangaza mbona amerudi kwa nguvuu awe yy na kijana wake ama famly yake mm ctaki kua fitnaa jina langu kutiwaa midomoni imeisha nayy inshallah atuliye kwa barka idhul hajjj awe makini na nyinyi walimu nfio mtamni yote nlosema ckuzushaa mm masalam jazakallah kherraa🙏🙌 usiku mwemaa
Sheikh Uthaimin رحمه الله تعالى lugha yake iko wazi kabisa kwamba muandamo wa mwezi wa Dhul-hijjah utazingatiwa ule wa Saudia hata kama itakhalifiana na miji mingine
@KomoraMohamed
20 күн бұрын
Nynyi magaidi wadhani ni nani watafata bakini kwnye giza
@user-lo1uk8dp5f
20 күн бұрын
Huyo uthaimini maneno hayo ameyatoa wap kwakua uthaimini hakua mtume
Allah atuongoze fii dunia wal akhera
Maa shaa Allah
MAA SHAA ALLAH USTADH UMEEKA MAMBO SAWA
ما شآء الله جزاك الله خيرًا ETI HOJA NI ALLAAH HUTEREMKA VIWANJA VYA ARAFA! SASA UKIENDA NAO SAMBAMBA NDO ALLAAH ATATEREMKA KENYA?!
Shukran wajazaka allahu kheir Habib tume kufahamu Kwa uziri sanaaa
Shida muenu masufi ni warongo sanaaaaaa. Yaani mashekhe wenu wana uwezo wa kufufua maiti!!!
@HemedSerious
21 күн бұрын
Nyny ni wakweli km maswahaba vile.,...
Maa shallah Ni kweli nimeamini mawahabi ni wababaishaji
Dah miwahabi hailewi lugha wala haifahamu mashekhe zao wanapopoa tu wallah dah mie naona masufi dini wnaiyendea haki ukiwasikiliza mashekhe wa kisufi lazima ufaidike
Hawa mawahabi tatizo lao hupenda kuruka ruka kama mabisi kwenye machine , hebu tulieni basi kwanza msome ...
@HemedSerious
23 күн бұрын
Unafurahisha kweli mkuu,
Lini mulikubali hadithi?
Mashekhe wengi wakileo hamna mnachotupa katika dini zaidi ya kuikhtilafiana. Yani badala kuweka mikakati ya kuuregesha uislam katika uongozi kazi yenu nikuweka mijadala yakutafta hela mitandaoni
Kwa hivyo Arafa ya sahihi ni ile ambao Allah anateremke katika hio siku,wacheni ukhuraf wenu hebu sibitisheni kuwa Allah anateremka arafa ya maka na arafa nyengine
Wapenda fitna sasa 😭
Mnachokifaham ni kusherehekea mazazi yayamtum muhamad s w w kama wakristo na ulivoanza kuzungumza sijakusikia unakosoa kwahivowewe hufai hatakusikilizwa nendeni muwe munaabudia maiti hiondo mnajua tu
@HemedSerious
21 күн бұрын
Mwehu
Acha polojo za ushi
Yaani mawahabi siku zote ni wanafunzi waliofeli so hapo kuna kibarua kwnye kuelewa na kusoma
@khalifaahmed5232
24 күн бұрын
😂😂😂😂Uyu Ali ht asilaumiwe uyu hajasoma kabsaa Hana elimu ht robo hebu mchunguze xaidi yy afuata bendera sheikh akisema mskiti mwngn nayy ndio Mada yake ijuma ijao alafu mchunguze Tena akilemewa kabsaa huchukua vipande vipande vya masheikh akivikata na kukejeli na kudharau yaani uyu twamjua vzr sanaaaa elimu yako kasoma wapi na ikawaje kapewa mskiti ndio nasema uyu haesabiwi kabsaa afaa asijibiwe llte abweke tuu mpk achoke 😂😂😂
هذا ليس كاذبا بل مفتري على العلماء الأجلاء .
Mawahabi kwenye Funga ya Arafa wamechemka
@HemedSerious
23 күн бұрын
Wanajidhalilisha live
Sawa kabissa Mola akubariki shk Muhsin
Sheikh Ali Abubakar anaeleweka vzr sana, nyie hamjui mnamtumikia nani.
@abiabi9353
23 күн бұрын
Hebu tufahamishe umemuelewwje Ali abubakar
Nimefurahi kua wamekubali wao na mawahabi kisha aweka wazi kuwa maneno ya shkh uthaimeen yaweza kutupiliwa mbali maadamu ya mtume s.a.w yani hawa jamaa wapenda mizozo kushinda elimu
Mawahabi ni waongo
Lete NONDO mpaka makhawaarij wa kiwahabi waelewe
Shukran sana,Allah akuzidishie ilmu na akubarikie ufahamu ndungu yetu
Hivi Haya majibizano ya wasomi mtandaoni itaisha lini, Tena mbaya Zaidi wengine hata hoja Na dalili hamna acheni basi
Wenye akili tunaelewa sheikh
Kazi ya msufi ni kufurahisha masharifu , hawasomi , mwisho ya masomo ya ni faslul saadis, kisha wanakuja kupumbaza wasiosoma , na kujifanya kujua lugha ya kiarabu saana.
HUYO KIJANA AKASOME KUSOMA KIARABU KWANZA HAJUI HATA KUSOMA. ETI AMMA BINNISBATI... VUTA HIYO AMMAA MIIM INA ALIF (أمّا بالنسبة)
Tatizo kubwa la MAWAHABI ni Uelewa Mbovu 😀
Ikowa Allah anateremka kiwanja cha Arafa na siku ya arafa,basi na nyinyi sibitisheni kuwa Allah ateremka sikumbili ya arafa ya maka na arafa ya watu wa kenya au sehemu nyengine
nyny mashekhe wacheni mambo ya mipasho uislamu munautia aibu nyny kwa nyny hamusemeshani
@binnagy1497
22 күн бұрын
Very true,Hawa hawana sifa za mashekhe,wasanii tu
Assalaamu alaikum naona ww sasa ndie unatudanganya maana hicho alichokisema nikiswahili na ww unasema kiswahili na sisi tunasikiliza kiswahili
@mohammedmasudi-dz6hb
21 күн бұрын
HAHAHA HAKIKA AKHY ATUDANGANYA HUYU
Acheni mizozo fungeni kila mtu alivyofahmu wki wte mnalengo moja unautia uislam madowa
Mawahabi uongo ndio itakadi yao... Yan wao kudanganya hawaoni tabu na kuna mijitu inaburuzwa tuu
@mhusinigau3231
20 күн бұрын
Swadakta Wallahi
Huyo Ali Abubakar ni mzito wa kuelewa yy na wnzake kina baschu
1.Tarehe inakuwaje nyuma na mbele shekh, mbona hatuelewi? 2. Kwani kunanchi inapishana na nchi nyengine kwa kiasi cha masaa 24? 3. Au baina yetu na Suudia kwani kuna utofauti wa masaa mangapi? 4. Jawabu lako kwa Shekh Aly ni lipi kuhusu kauli hizo mbili za shekh, Ipi tufuate? 5. Kwani mashekhe maneno yao ni wahyi wakiongea hufaa kuhesabiwa moja kwa moja bila kufanyiwa utafiti, na ikiwa ni wahyi mbona ameleta maneno mawili la kupinga na lakukubali?
Bibi aosja anasema ان عرفة يوم يعرف الاءمام Haikaka ya arafa ni ni siku atayotngaza imam Maneno haya bibi aisha alimwambia masuluk .masuluk .alitangulia kufunga arafa. Siku ambayo imam hajaitangaza kuwa ndo siku ya arafa.
Sheikh Ali abubak ar endelea kutuelimisha tunakuelewa laud and clear
@abiabi9353
23 күн бұрын
Haha mawahabi majahili kweli. Sasa hop Ali abubakar umemuelewa nini
@MuniraRashid-sx3up
22 күн бұрын
Jahili ni ww na wachawi wenzako
@abiabi9353
22 күн бұрын
@@MuniraRashid-sx3up Haha majahili wakiwahabi wamepoteza muelekeo. Ali Abubakar ni jahili kwasababu anaeleza maelezo ya sheikh wake bila kuyaelewa.huwo ni ujahili
HUWEZI ITETE BAATWIRI SHEKHE BORA KAA KIMYA
😂😂😂😂 ally naona kaacha kutumia karatasi hahahahahaha
Makhurafi mna taabu uelewa wenu ndo mdogo subhanallah.. Tena mwajiita Alhu sunnah wal jamaa.. 😂😂
@user-xb6tr5vq4b
22 күн бұрын
Wanachekesha
@noorululaatv8973
11 күн бұрын
@@user-xb6tr5vq4b Mtetee Wahabi mwenzio
Aslm alkm Huyu ni mbovu kabisaaa wala msimbuke naye huyu nikama kasuku Ufidhuli tu hana ilimu hata lugha haijui balgha hana nahwu na hikima hana....kama huyu hajibiwi.
Masufi nynyi munatunga hadithi za uwono kumsingizia mtume. Nani atakuwa mwema kwenu ?
Wacheni uzushi nyinyi. Sheikh Ali na Mohamd Bachu endeleeni kutuhubiria sunna na kukanyagakanyaga uzushi
@Dr-ubaida965
20 күн бұрын
Hao majaahili ndo mnaowategemea Duh Nyi Ovyo Kweli.
Hawa mashkh wa kiwahabi. Hawana ilmu. Wana rukaruka tuu. Hii hoja Iko wazi. Ibada ya Eid UL adha imeanza miaka 2 hijria. Na ibada ya hijja imeanza miaka 9 hijria. Hizi ibada mbili ni mbali mbali
@HemedSerious
23 күн бұрын
Mm naona wanajidhalilisha tu masheikh wa kiwahabi
@YusufAli-gc9cu
23 күн бұрын
Wahhab nnan,,,,? naomba kujua,,,,
@HemedSerious
22 күн бұрын
@@YusufAli-gc9cu ni masheikh wanaofanya ubabaishaji kwenye yalio wazi, ukitaka kumjua sheikh wahabi ndio hyo Kuna zaidi?
@hassanadan1001
21 күн бұрын
Msome, muache kutegemea hawa vijana wa kisufi , they don't have any knowledge on diin , most of them never surpassed faslul saadis, they always debate to please their masters.
Kama huna lakunena afadhali ukanyamaa
Masufiiiiii munachekesha😂😂😂 sikiliza niwambiekitu mawahabi wanavofundisha wanaeleweka sana tutakosa kuwafata kivipi? Aya na hadidhi mbali mbali wanatoa natunaelewa nyinyitu ndohamuelew aya nahadidhi hamtow na hatutowafatilia kwasababu hizonimekutajia
Acheni uzushi enyi watu wa bidaa rudini ktk njia sahihi aliyopo mtume na maswahaba zake
Masufi acheni porojo
@HemedSerious
23 күн бұрын
Mwehu 😂😂😂
Huyu atyy shekhe??Hahaha😂😂
Wewe dio mrongo waitwa Nani waitwa watu warongo mrongo niwewe
@Dr-ubaida965
20 күн бұрын
Thibitisha bas
kama yeye ni mrongo mbona ww hubainishi ss
علي أ بو بكر صفر في كل العلوم.....لا في اللغة ولا في الفقه ولا في البلاغة ولا في كل شيء ،هذا ببّغاء فقط يحكي ماقاله زملاؤه.
Nendeni palestini mukapigane
wacheni mambo ya ujinga wa kulumbana kuna mambo meng ya kufundisha hamufundish mawaidha yenu ni mipasho tu
kuna yule sheik wa kisufi aliyesema kuwa shekhe lao alipokufa wakati wa kuoshwa alikuwa akijizungusha mwenyewqwe.na wakati wa kuzikwa alijitia mwenyewe mwana ndani.😂😂hakufanyiwa rudud zozote
Masufi zindueni musiwapoteze wat jiulize ikitokea mwezi mumetangulia kuuwona mwezi wa wa hijja na saudia ivi hihoyo arafa yenu mutaitangaza vipi mpaka waislam dunini wawaelewe?
Namwapongeza waatu wetu wa ahlusun ahlu durud sufiyah marah mukanyage hawa mawahbii wakipotosha watu mubainishe haqii sabbau watu wa haqqq wakinyamasa يهتم اهل الباطل انهم علي الحق
@hassanadan1001
21 күн бұрын
Soma dini bro.
@osmanmanbile9327
18 күн бұрын
Mm nimesoma.ww wahabii ndio umesome😂😂😂
Wewe huna hata ayamoja kwenye umbongowako nikutupu kwamaana hatujasikia ulichokikosoa kwahivo huna uwezo wakupambana nabachu au ali aboubakar kiukeliwewe nimjinga kaakimia kama masufi wenzio walivokakimiya una
Acha porojo kwani shafii malik hambal siwametafautiana nawote wamejitahidi zina balaa hizi zikhurafi zakupangwa line yambele kwenye maulidi
Wewe ndio huelewi ushahidi katuka hayo maneno kua wafuate saudi ni hapo alipo sema wadhaalika annal hijja makhusuusun bimakaanin muayyaanin , au kuna pengine panafaa hijja pasipo saudi , ama ndio kwenye kanisa la Abrah ibnul ashram 😂😂😂😂 pia kwapatikana hijjah
Huyu Ali Abuu Bakri Hajui ata maana ya Wahabi
Je ww unauhakika tarehe yako iko saw au ww yakwako ndio umekosea kwanini zipishane tarehe yako na ya Saudia
Huyu ndio mjinga kabisaa, yeye ndio hana ilimu.
KUMBE NA WEWE MPOTOSHAJI TU,YAANI KENYA NA SUUDIA HAKUNATOFAUTI KUBWA KTK MUDA NA SIKU LKN MNA TRH MBILI TOFAUTI??? KALENDA YA MATWARIQA NI WARONGO
😂😂😂 kila mtu ankua yuwa radd siku hizi, 😂😂😂 mazungumzo matupu bila dalil wala qauli yaku backup maneno yako...
Achenyi kutuchanganya Sisi wenye elimu ndogo nyie mtumewajua ustadhi mapate washrikina badilikeni!
Wew ni jahill
@mhusinigau3231
20 күн бұрын
Sahihi husikiliza kwa moyo unasikiliza kwa masikio na ww Kwa kuwa ni muhabi hutaelewa anachokisema
Ukiambiwa kwingine haizingatiwi unataka nini ingine? Haya wewe zingatia Cha kwako basi
Tatizo kubwa kwa hawa mawahabi hawafahamu nuswuusw na masikitiko makubwa hata aq'waalul 3ulamaa zinawapiga chenga!!!! هداكم الله
SHEIKH ALI ABUBAKAR SI muongo bali watu wa twarik si waelew na nimadhuka nyiny na mwafwata hawaa za NAFSI so wale wadhuka wenzen ndo wanaon uko sahih kumb BUREE KABX
Debe tupu huyu Ni kiis fadhwi
hawa masuti ni wafwasi wa sheitani ni kupoteza watu tu kutegemea kaburi dance ya trabu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah yani wahabi ni balaa wallah hani kukiri tu msimamo wa wengi ni kila mji na sajm yake kulingana na muandamo wake
شيخ فيه دليل واضح جدا أن كنت لاتفهم فاسكث يا هذا فتلك مصيبة
Lakini usufi utaweza kuendelea bila uongo? Abdiqadir jeylani amerusha kiatu Iraq hadi Somalia 😂😂😂 ama amekimbiza malukul maut akarudisha roho ya maiti
@NuurulHudaa
24 күн бұрын
Kama unkosa la kusema kaa kimyaa usianze kutukana عulamaa wakubwa walotangulia
@LASSUH4947
24 күн бұрын
Naona mada nyengine hii vp ya arafa imekushinda sio umeona huna point ndo waleta mada nyngine
@mussaissa6796
23 күн бұрын
MPAKA UJUE HICHO NI NINI NDIO UTAJUA KUWEZEKANA KWAKE AU LA. SASA KWA MJINGA AINA YAKO SI AJABU KUYAONA HAYO KUWA HAYAWEZEKANI KWA SABABU YA UJINGA WAKO
@KhamisBakar-ge4sp
23 күн бұрын
Usitoke nje ya mada Nenda ukamsaidie Wahabi mwenzako kusoma kitabu
@KhamisBakar-ge4sp
23 күн бұрын
Masha Allah ❤❤
Sisi tuko tarehe 7 na kule wako tarehe 8 😂😂😂That's the biggest lie of the year. Sisi na Saudia tuko same time zone na hatupitani hata dakika moja. Eti 7 na 8 yani 24 hour mzima difference kisha kuna watu watakubali upotovu wa wazi kama hilo
@LASSUH4947
24 күн бұрын
Bro wajua nyinyi kosa lenu hujiangalia nyinyi bila kujua kma kuna nchi zengine hapo ndo mnachemsha kuna watu hao mahujaj wakisimama wengine wamelala na yaani wengine wanaanza ile siku wengine washaitoka ile siku ndo maana maswali hamuezj jibu mkiulizwa
@NuurulHudaa
24 күн бұрын
We wacha urongo wako, sisi na saudiya kwenye time ya gmt ndo tuko sawa ama kwenye solar time tuna tafauti ya saa nzima Nakumbuka miaka miwili mfululizo ilopita makkah waliswali eid saa kumi na mbili kamili ambapo kenya huwa hata ishraaq bado Usiangalie saa ya mkono ngalia time gani kwao jua huchomoza na time gani jua huzama, utapata kwamba jua saa zingine kwao lazama saa kumi na moja na nusu ambayo saa kumi na moja na nusu yao ndo saa kumi na moja na nusu yetu Yatakiwa uelewe, usiropokwe tu
@LASSUH4947
24 күн бұрын
@@NuurulHudaa waelewa kiswahili lkn bro yaani kumbe mpk kiswahili hujui kma mashekh wako wasivo jua kiarabu narudia tena nakwambia usijiangalie ww tu ww ni xw uko xw na makka time lkn kma loss angeless wako masaa kumi nyuma haya hao watafunga vp wawe xw na mahujjaj usiangalie ww tu bro jua kuna na wenzako wa nchi zengine
@mohamedrashid7864
23 күн бұрын
Wewe wahabi Mohagure aliposema ustadh kuhusu sana na nane ni namna ya muandamo wa mwezi .pumbavu kabisa kichwa ngumu
@makenaOG
23 күн бұрын
Sawa lakini wajua saudi wameswali salatul idd saa ngapi
Maa shaa Allah
Porojo tu watu wa twarika hamna lolote...