MJADALA WA SIKU YA ARAFA UMEISHA BAADA YA KUTOLEWA HOJA NZITO//SHEIKH MSELEM BIN ALI
Жүктеу.....
Пікірлер: 306
@kombohassan48023 күн бұрын
Huyu sheikh ni chemchem ya elimu Allah atuwekee tufaidike na elimu Allah alomjaalia.
@abdulbandari1551
22 күн бұрын
Wanakataa technology na swala wanatumia saa..
@muhidinally375325 күн бұрын
Sheikh Mselem Ali Allah akuweke tupate faida ya dini ya Allah. You are very eloquent. Hakika hili halina ubishi. Yaani kwa mtazamo wa watu wengine ina maana mwaka mmoja kuna sehemu una siku nyingi na sehemu nyingine una siku chache very impossible. Turejee kwenye Quran miezi 12 imewekwa ili tupate ufahamu wa tareikh, matukio na tuongozwe kwenye ibadat za msimu. Tunakushukuru Sheikh. Allah akupe jazaa
@braqutourssafaris4672
22 күн бұрын
Sasa Kwan Saudia anaangilia mwez au wana kalenda yao?tayr Wana ijua idy had ya elfu 2030 kisha halafu kat yenu nyie na wakina ibn baz na ibn taimia Bora ni wap yaan wao Wana sema Kila watu Wana muandamo wao ila nyie Ndio mpinge.
@abuuaisha611025 күн бұрын
Nimefurahi sana kwa bayana yako sheikh kuhusu siku ya arafa
@user-lm3lt7xx6l23 күн бұрын
Shekhe mselem fundi ALLAH akuhifadhi
@fatmaZakiya25 күн бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha, amiin
@abuuaisha6110
25 күн бұрын
Amiin yaarabal aalamiin
@chiamamy8167
22 күн бұрын
Amiin
@khamismussa625825 күн бұрын
Masha Allah, ipo haja masheikh wasome elimu za kidunia pia
@Allyrumhy-ji2vo24 күн бұрын
اللهم علمنا ما لا نفهم،،وفهمنا ما علمتنا،،،بارك الله فيك.
@SaidshariffShariff23 күн бұрын
Masha-Allah ndugu zangu tuketi chini tusome zaidi. Shukran sheikh Msellem
@mwajumaabdallah108722 күн бұрын
Nampenda sana kwaajil ya Allah hyu shekh jmn,nataman angekuw ht mjomba wangu
@anwarabdallah709525 күн бұрын
MashaAllah shk mselem uko vizuri.
@user-ih5vr6lf3f25 күн бұрын
JAZAAKALLAH KHEIR SHEIKH ……clear and concise
@ismailsoud363425 күн бұрын
Sheikh wewe unajitahidi kuweka sawa, lakini wengine wanafanya fitina kuufitini ukweli. Allah akuzidishie u fasaha.
@Aamadu-vc2vv10 күн бұрын
Maashaa Allah inapendeza sana Allah akufanyie wepes ktk kueneza ukwell katika dini yetu
@BIGBOSS-hl3bu25 күн бұрын
Huyu sheikh ni genius sio lavel ya mashekh wapenda Dunia ,Basi shekh utakuta mwakani hawa hawa wanaanza kubishana Hilo Hilo tena ,wekeni kwenye vitabu na app maalumu ambazo mtu akiuliza mwambie NENDA karejee kitabu flani au app
@Khatib-xp6fp
25 күн бұрын
Tofauti ya shehe huy na wengin ni kwamba wengin hawana geography kichwan
@Abdullatifkilupy-tn6ii
25 күн бұрын
😂Asante sana. Ni hakika usemalo
@SaidMasoud-cs8kp
24 күн бұрын
Shekh mselem kwa hoja ya mwezi hawamuwezi kwa sababu yeye mashallah methodologies 🤲🤲🤲🤲allah amzidishie
@saidsoudamiri4054
24 күн бұрын
mambo ya kisheria ni dalili na sio akili yako binafsi. Dunia hatuwezi kuwa na terehe moja hiyo geography ya wapi na level gani? Shekhe kasoma geography level ipi ? University au form four. Acheni kuona watu hawana akili na akili mnazo nyinyi tu. Basi tuseme maswahaba wote walikosea kufunga Arafa na kufunga Ramadhani.
@TuhabarishaneTv
23 күн бұрын
Wew unaijua hyo geography au unababaika2 mana geography form one tena mada ya pili2 the solar system ndio inaeleza mambo hayo kapitie na wew
@user-vc3fo8el1h16 күн бұрын
Mjadala haujamaliza na wala haumalizi, jambo la kuzingatia ni kufuata haki na ndipo unapopatikana ujira kutoka kwa ALLAAH. Tunamuomaba Allaah atuongoze katika haki anyoiridhia.
@TalibKombo11 күн бұрын
Allwah akupe maisha marefu tuzidi kufaifika inshaallwah
@OmarSaid-nt2xd25 күн бұрын
Mwenye masikio nasikiee
@SARAHKATAGIRA22 күн бұрын
Shekhe uko vzr sn Allah akulipe usiwe kama amir Farid au shekhe faridi anatpotsha
@swafiirbulbul81925 күн бұрын
Baarakallaahu Fykum.. 🎉🎉🎉
@abdulhamidisiraja493013 күн бұрын
Mashaallah, shukran shekh msselem allah akulipe
@ZamilHussein20 күн бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr. Allah akhfadhi Shekhe wetu tunakupenda sana KwA ajili ya Allah
@riyadhalamukenya955724 күн бұрын
( ذَٰلِكَ فَضْلُ اللَّهِ يُؤْتِيهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ الْعَظِيمِ ) الجمعة (4) Al-Jumu'a Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa.
@KhalfanJuma-lm4je23 күн бұрын
Allah akubarik shekh mselem nadhani asofahamu kapata faida
@FahmiAl-mauly11 күн бұрын
Allah ampe umri mrefu tupate faida zaidi inshaAllh
@AhmedSaid-hg5uj23 күн бұрын
Allahu Akbar allahu Akbar allahu Akbar
@user-sj5zj8nc2y21 күн бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمن رب يحفظك يا شيخنا ويطيل عمرك في طاعته ويرزقك حسن الختام
@user-un2je2uc9j22 күн бұрын
Jambo la kuhuzunisha zaidi ,ni kwamba kuna mtu atasikiliza haya na bado atapinga. Allah atuongoze insha-allah sote.
@user-ic2cb9gm2j24 күн бұрын
Allah akuzidishie umri uzidi kutuelimishaa jazzakallahu kheri
@ismailfarah346325 күн бұрын
MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!
@AliChwaya22 күн бұрын
Mimi na kalendar ya dunia iliyoandaliwa mpaka mwisho wa dunia ilhal hatujafika tena bas umeniokoa sana sheikh mselem
@mustymasoud521423 күн бұрын
Apo kwenye Lailatul qadir.. maelzo yake. Kma hujaelew bas huez elew tena. Allah akubark sheikh wetu.
@user-un2je2uc9j
22 күн бұрын
Nimefurahi sana , bayana itaendelea kuwepo kwasababu Allah anayaona yote haya. Masha-allah
@ramadhanichampunga9304
19 күн бұрын
Lailatul-qadr haiwezi kutumwa tofauti ,kwa hoja ya mfano huu aliotoa , lailatul-qadr ni siri ya Allah kama ikitokea kwa tareh 23 basi wengine itakuwa tareh 22 na wengine tareh 21,
@salummbarouk421622 күн бұрын
Mashallah waliokuteuwa kuwa bingwa wa tafsiri qur an Africa mashariki walipatia mashallah Allah akuhifadhi
@allyjuma966925 күн бұрын
Mashaallah
@abdulazizshadau808225 күн бұрын
Mashallah
@abdisalim790024 күн бұрын
Sote hatuwezi kuwa wahanga wa Saudia,ambao mmeshaamua hvyo endeleeni kufuata mkondo
@user-jp8lf7dy5z
23 күн бұрын
Weye muhanga wawapi? mn ndounafahamishwa ila ndohayo una yako tu basi ila uelewa ndohuo
@allyabubakari594023 күн бұрын
Masha allah sheikh allah akuifadhi
@ABDULLATIFHAJIALI23 күн бұрын
maashaallah mungu akuhifadhi ila tuelimiahe kidini zaidii
@MaulidFadhil-qi2dh24 күн бұрын
dah! sijui km umenielewa vizuri? bin alliy uko sawa allah akuhifadhi maalim
@Mohamed-oo8qj24 күн бұрын
Mashallah allha azid kukuweka nawat waeukimike
@khairatkheir777625 күн бұрын
Jazzakallah kheir sheikh
@OthmanJuma-nw5km23 күн бұрын
Allaah akuzidishie kheri
@munirajuma127024 күн бұрын
Sina la kusema zaidi. Allah akulipe Kila la kheri
@takdirmahmoud24 күн бұрын
Mashallah,, Sheikh Msselem mm nakuelewa sanaaa,, uko fasaha sana,, Allah akuzidishie kheir
@hassani-dj3pt21 күн бұрын
Mashaallah sheikh wetu mselem Allah akuhifadhi
@AthumanFamau24 күн бұрын
Allah atuifadhi sherk Kwa elmu unayoitoa mashaallah
@allymusira215319 күн бұрын
Allah akulipe kila la kheri sheikh msellem ally
@KhayratMansour24 күн бұрын
Maashaa Allaah, mwenye moyo wa ufahamu na afahamu .
@user-ug8hc4yh5k21 күн бұрын
Shukran sana sheikh wetu
@hajjiomary238323 күн бұрын
Allah akupe afya na na aendelee kukupa msimamo
@yasinsuleiman240225 күн бұрын
Allah akujaze kheri nyingi sana
@MrJuma-in5io20 күн бұрын
MashaAllah
@JumaHamad-pe7he19 күн бұрын
MaashaaAllah
@user-ox2iu7rm7e24 күн бұрын
Asalam alaikum shehk nakupenda kwa ajili tá alha na nakuelewa sana unapi tafsir kitabu sua alha wewe ni nfassa
@user-ye3fy9kk6r25 күн бұрын
Baaraka llahu fik
@KhamisJuma-mu4rm24 күн бұрын
Nlikua nawafuata mashekhe wa kisufi kwenye hizi funga lakini tutakomana hapa inshaa a llah
@ahmadSeif860
22 күн бұрын
Soma kwanza ndo muhimu sio kufuatafuata tu
@ZamilHussein20 күн бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr
@muhammadiabassi65621 күн бұрын
ماشاء الله انت تمام الله يبارك فيك
@user-wk5ju8kd3u23 күн бұрын
Masha Allah
@suleimanali693925 күн бұрын
SASA SHEKH MSELEM TAREHE ZA KIKAFIRI WANAFUATA KALEDA
@IssaJuma-rk5qb22 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@MvuoniJuma22 күн бұрын
Nashukuru shehe kwa taaluma hiyo masshhallh
@AsiaMariam-tk8lk23 күн бұрын
Mashallah upo vizury sana
@RamadhanRamadhan-cx3tj23 күн бұрын
Allah bless Mselem
@husseintaib230720 күн бұрын
Uniformity si hoja hapa. Inakuwaje killa mwaka mwezi unaonekana Saudia pekee, na sisi huku nchi zote Afrika ya Mashariki tunashindwa kuuona. Mtume SAW angekuwepo, tusingepata mgawanyo huu, kwa sababu tungelikua tukifuata Muandamo wa uhakika sio bandia.
@mwaminihassanhassan922
8 күн бұрын
Mgawanyo ulikua tangia enzi za mtume s.a.w na nisehemu ya kujifunza
@muhammadiabassi65621 күн бұрын
حفظك الله ورعاك
@HalimaFarahnuru-nj1ei20 күн бұрын
Huyu shekhe yupo vizuri sana waislam tunakwama wapi kwa nini tusifuate tarehe za kiislam
@MawazoPembe20 күн бұрын
Mwenyezimungu akuifadhi sheee
@jamilabadru808725 күн бұрын
Mashaalh
@latifahali822821 күн бұрын
Masha Allah sheikh umesema ukweli
@habiybothman328617 күн бұрын
Sijamuelewa bhdo kwa maana tarehe ya uislam inabadilika baada ya maghrib je hapo pakoje kwa Dunia kufata tarehe moja
@SelemaneArabeArabe-wd8fb25 күн бұрын
Asipo mwelewa check nselemo ntu uyo ni kiziwi.
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui25 күн бұрын
Huijui Dunia vizuli shekhe Allah akuongezee ufahamu
@SaeedMohammad-sw7jq
24 күн бұрын
Tuelezee wewe sheikh
@SaidMasoud-cs8kp
24 күн бұрын
Mtu methodology alafu unasema hajuwi dunia unawenge ya ni huyu nishekhe alafu methodology alafu unasmea hajuwi dunia 😂😂😂😂
@user-un2je2uc9j
22 күн бұрын
Geography haidanganyi rejelea kwa Qur'an
@abdulbandari155122 күн бұрын
New year for example
@elallymoussa298022 күн бұрын
Mpk sasa mwaka 2024 mtu kama hajaelewa masuala Haya sifkirii km ataelewa tena zaidi ya kubishana tu . Ahsante sheikh msellem kwa Elimu ya ziada najua yashaelezwa Haya ila wafuasi ni kawaida kuyaanzisha upya na kuona mijadala inaendelea.
@yahfatmudswiddiq227122 күн бұрын
shekh shekh shekh baarakalhahu fyika
@user-qe5ky6kp1c24 күн бұрын
Allah AKULIPE KILA LA KHEIR
@masoud748622 күн бұрын
Mimi na swali je uislam una myaka 1445 je katika myaka 1000 wakislamu walijuwa vipi kama ni arafa . Ao eid kwa wale hawa kuwepo makkah
@seifabdi9248
22 күн бұрын
Na Mimi ni swali, mwaka 1000 uliopita waislamu walikuwa Wanapanda kwenye minara wakiadhini na sasa mnatumia speaker 🔊 ni mini imebadilika? Miaka 1000 usafiri kwenda Makaa ulikuwa mnatumia ngamia kwa mamiezi kufika na miaka 1000 baadaye unasafiri pia kwa kutumia ndege ✈️mini imebadilika. Saa hizi miaka 1000 baadaye mawasiliano iko mkononi mwako kokote dunia I ukitaka kuona na kujua habari yoyote unaipata kupitia simu 📱 yako kwa sekundi chache, je unaweza kulinganisha na miaka 1000 uliopita? Uislamu inafungamana na mwendo na wakati uliopo. Na vipi Mambo yatakavyo kuwapo miaka 1000 ijayo wakati Mimi na wewe hatutakuwapo duniani?
@user-to4jw7tm1j25 күн бұрын
Allah akbar
@shahamzanda585725 күн бұрын
Shida ni bado hatujaulewa usuhuba baina ya Allah na Mtume wake. yaani sisi hujitia umma wa Rasulullah s.a.w kwa muonekano tu ila hatumtaki Mtume wa Allah. mambo yako wazi tunajadiliana kila mwaka, watu hawaswali, wake zetu, watoto wetu, mama zetu, baba zetu, dada na kaka zetu marafiki zetu kibao hawaswali sisi tunajadili kile tunachokijua kila mwaka.
@latifahali822821 күн бұрын
Bora umesema mana siku zote hao nasheik wetu lzm wawe na eid yao. Saiv dunia kila mtu anakuwa mjuwaji na kupotesha watu tu
@salummbarouk421622 күн бұрын
Kabisa hii chemchem Allah amuifadhi
@ibrahimirakoze8624 күн бұрын
Kwa kweli majibu yak sheikh yanaelewek saaana Allah atuelimishe pale ambapo tutakapoanguka
@HusseinPaula24 күн бұрын
Ushahidi wa kalenda upo maana tarehe ya idi na arafa ili tangazwa hata kabla ya muandamo wa dhulhijjah
@samuelmuthui469922 күн бұрын
❤
@binseif221625 күн бұрын
Shida mawahaby mpka saudia awatangazie lkn ukionekana kenya au uganda hawawezi kufunga wala kula eid mpka wawasikie wa saudia
@lmdos4382
11 күн бұрын
ndipo hoja yako ilipioshia hapa?
@saidkhatib914624 күн бұрын
Allah akulipe ujumbe umefika
@Abuurayyan-rg2lj22 күн бұрын
Allah amuongoze katika haki
@fadhilyassin577223 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh yaan umeongea fact na ina make sence kabisaaa
@MshamHemed23 күн бұрын
maashaAllah
@allykhalfan951324 күн бұрын
شكرً يا شيخ ومعلمنا بفتوى المتميز برك الله فيك
@MuhammadAbdalla-pq1bz21 күн бұрын
mashallah maneno mazuri lkn....pia kuna hadith ya qurayb.,.هكذا أمرنا رسول الله ...hiyo nayo tutaiweka wapi twaomba faida zaidi
@OmarMohamed-yq9lg14 күн бұрын
Amir farid pia amsikilize huyu sheikh
@user-zi4ux9bt7c23 күн бұрын
Umechemka
@user-hr9kb7ev1i24 күн бұрын
Aslm Alykm, Na wale ambao kwao ni juma tano cc ni juma nne?
@user-nh2wt4yd7w25 күн бұрын
Swadakta
@AhmadSalim-dm4uk17 күн бұрын
Shekhe kwani hija mtume alifaradhishiwa mwaka gani na je kabla ya hija mtume alikua hafungi swaum ya arafa na je kma alikua afunga alikua atumia kigezo gani?
@ghostreaper948620 күн бұрын
Endeleza tu Uwahhabi kwa Kondoo majahala wala usijali
@ramygichero101622 күн бұрын
Mashekhe kazi kufuga madevu hamjui muongelee nini na kwawakatigani kadhia Gaza ndo namba moja sasa unaongelea ubishani wa Arafa kila mwaka tushazoea waislamu tuna uelewa na mambo ya mwe'i
@MdUsman-nz6sd24 күн бұрын
Allah ampe umri mlefu maana kaniwekea sawa wabishi
@HassanVuai-zz4ew22 күн бұрын
Kuna jambo huyu Sheikh akafanye utafiti zaidi. Pamoja na kwamba kagusa kidogo kuhusu "Matwalii' lakini bado hajafahamu vizuri. Pamoja na kwamba sisi na Saudia tupo katika" time zone" lakini matwalii' tofauti. Sisi tunapokuwa ni msimu wa joto kali (kiangazi), wao wanakuwa katika baridi kali (kipupwe). Ili uelewe somo hili kwa vizuri itakubidi ujuwe tabia (characteristic) za masaa ya mchana na usiku katika miongo hii miwili. Hili ndio jambo hata hao mashekhe linawashinda kulifafanua kwa uwazi.
Пікірлер: 306
Huyu sheikh ni chemchem ya elimu Allah atuwekee tufaidike na elimu Allah alomjaalia.
@abdulbandari1551
22 күн бұрын
Wanakataa technology na swala wanatumia saa..
Sheikh Mselem Ali Allah akuweke tupate faida ya dini ya Allah. You are very eloquent. Hakika hili halina ubishi. Yaani kwa mtazamo wa watu wengine ina maana mwaka mmoja kuna sehemu una siku nyingi na sehemu nyingine una siku chache very impossible. Turejee kwenye Quran miezi 12 imewekwa ili tupate ufahamu wa tareikh, matukio na tuongozwe kwenye ibadat za msimu. Tunakushukuru Sheikh. Allah akupe jazaa
@braqutourssafaris4672
22 күн бұрын
Sasa Kwan Saudia anaangilia mwez au wana kalenda yao?tayr Wana ijua idy had ya elfu 2030 kisha halafu kat yenu nyie na wakina ibn baz na ibn taimia Bora ni wap yaan wao Wana sema Kila watu Wana muandamo wao ila nyie Ndio mpinge.
Nimefurahi sana kwa bayana yako sheikh kuhusu siku ya arafa
Shekhe mselem fundi ALLAH akuhifadhi
Allah akupe umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha, amiin
@abuuaisha6110
25 күн бұрын
Amiin yaarabal aalamiin
@chiamamy8167
22 күн бұрын
Amiin
Masha Allah, ipo haja masheikh wasome elimu za kidunia pia
اللهم علمنا ما لا نفهم،،وفهمنا ما علمتنا،،،بارك الله فيك.
Masha-Allah ndugu zangu tuketi chini tusome zaidi. Shukran sheikh Msellem
Nampenda sana kwaajil ya Allah hyu shekh jmn,nataman angekuw ht mjomba wangu
MashaAllah shk mselem uko vizuri.
JAZAAKALLAH KHEIR SHEIKH ……clear and concise
Sheikh wewe unajitahidi kuweka sawa, lakini wengine wanafanya fitina kuufitini ukweli. Allah akuzidishie u fasaha.
Maashaa Allah inapendeza sana Allah akufanyie wepes ktk kueneza ukwell katika dini yetu
Huyu sheikh ni genius sio lavel ya mashekh wapenda Dunia ,Basi shekh utakuta mwakani hawa hawa wanaanza kubishana Hilo Hilo tena ,wekeni kwenye vitabu na app maalumu ambazo mtu akiuliza mwambie NENDA karejee kitabu flani au app
@Khatib-xp6fp
25 күн бұрын
Tofauti ya shehe huy na wengin ni kwamba wengin hawana geography kichwan
@Abdullatifkilupy-tn6ii
25 күн бұрын
😂Asante sana. Ni hakika usemalo
@SaidMasoud-cs8kp
24 күн бұрын
Shekh mselem kwa hoja ya mwezi hawamuwezi kwa sababu yeye mashallah methodologies 🤲🤲🤲🤲allah amzidishie
@saidsoudamiri4054
24 күн бұрын
mambo ya kisheria ni dalili na sio akili yako binafsi. Dunia hatuwezi kuwa na terehe moja hiyo geography ya wapi na level gani? Shekhe kasoma geography level ipi ? University au form four. Acheni kuona watu hawana akili na akili mnazo nyinyi tu. Basi tuseme maswahaba wote walikosea kufunga Arafa na kufunga Ramadhani.
@TuhabarishaneTv
23 күн бұрын
Wew unaijua hyo geography au unababaika2 mana geography form one tena mada ya pili2 the solar system ndio inaeleza mambo hayo kapitie na wew
Mjadala haujamaliza na wala haumalizi, jambo la kuzingatia ni kufuata haki na ndipo unapopatikana ujira kutoka kwa ALLAAH. Tunamuomaba Allaah atuongoze katika haki anyoiridhia.
Allwah akupe maisha marefu tuzidi kufaifika inshaallwah
Mwenye masikio nasikiee
Shekhe uko vzr sn Allah akulipe usiwe kama amir Farid au shekhe faridi anatpotsha
Baarakallaahu Fykum.. 🎉🎉🎉
Mashaallah, shukran shekh msselem allah akulipe
Mashaallah Jazaakaallahu khayr. Allah akhfadhi Shekhe wetu tunakupenda sana KwA ajili ya Allah
( ذَٰلِكَ فَضْلُ اللَّهِ يُؤْتِيهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ الْعَظِيمِ ) الجمعة (4) Al-Jumu'a Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa.
Allah akubarik shekh mselem nadhani asofahamu kapata faida
Allah ampe umri mrefu tupate faida zaidi inshaAllh
Allahu Akbar allahu Akbar allahu Akbar
ما شاء الله تبارك الرحمن رب يحفظك يا شيخنا ويطيل عمرك في طاعته ويرزقك حسن الختام
Jambo la kuhuzunisha zaidi ,ni kwamba kuna mtu atasikiliza haya na bado atapinga. Allah atuongoze insha-allah sote.
Allah akuzidishie umri uzidi kutuelimishaa jazzakallahu kheri
MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!
Mimi na kalendar ya dunia iliyoandaliwa mpaka mwisho wa dunia ilhal hatujafika tena bas umeniokoa sana sheikh mselem
Apo kwenye Lailatul qadir.. maelzo yake. Kma hujaelew bas huez elew tena. Allah akubark sheikh wetu.
@user-un2je2uc9j
22 күн бұрын
Nimefurahi sana , bayana itaendelea kuwepo kwasababu Allah anayaona yote haya. Masha-allah
@ramadhanichampunga9304
19 күн бұрын
Lailatul-qadr haiwezi kutumwa tofauti ,kwa hoja ya mfano huu aliotoa , lailatul-qadr ni siri ya Allah kama ikitokea kwa tareh 23 basi wengine itakuwa tareh 22 na wengine tareh 21,
Mashallah waliokuteuwa kuwa bingwa wa tafsiri qur an Africa mashariki walipatia mashallah Allah akuhifadhi
Mashaallah
Mashallah
Sote hatuwezi kuwa wahanga wa Saudia,ambao mmeshaamua hvyo endeleeni kufuata mkondo
@user-jp8lf7dy5z
23 күн бұрын
Weye muhanga wawapi? mn ndounafahamishwa ila ndohayo una yako tu basi ila uelewa ndohuo
Masha allah sheikh allah akuifadhi
maashaallah mungu akuhifadhi ila tuelimiahe kidini zaidii
dah! sijui km umenielewa vizuri? bin alliy uko sawa allah akuhifadhi maalim
Mashallah allha azid kukuweka nawat waeukimike
Jazzakallah kheir sheikh
Allaah akuzidishie kheri
Sina la kusema zaidi. Allah akulipe Kila la kheri
Mashallah,, Sheikh Msselem mm nakuelewa sanaaa,, uko fasaha sana,, Allah akuzidishie kheir
Mashaallah sheikh wetu mselem Allah akuhifadhi
Allah atuifadhi sherk Kwa elmu unayoitoa mashaallah
Allah akulipe kila la kheri sheikh msellem ally
Maashaa Allaah, mwenye moyo wa ufahamu na afahamu .
Shukran sana sheikh wetu
Allah akupe afya na na aendelee kukupa msimamo
Allah akujaze kheri nyingi sana
MashaAllah
MaashaaAllah
Asalam alaikum shehk nakupenda kwa ajili tá alha na nakuelewa sana unapi tafsir kitabu sua alha wewe ni nfassa
Baaraka llahu fik
Nlikua nawafuata mashekhe wa kisufi kwenye hizi funga lakini tutakomana hapa inshaa a llah
@ahmadSeif860
22 күн бұрын
Soma kwanza ndo muhimu sio kufuatafuata tu
Mashaallah Jazaakaallahu khayr
ماشاء الله انت تمام الله يبارك فيك
Masha Allah
SASA SHEKH MSELEM TAREHE ZA KIKAFIRI WANAFUATA KALEDA
Mungu ampe maisha marefu
Nashukuru shehe kwa taaluma hiyo masshhallh
Mashallah upo vizury sana
Allah bless Mselem
Uniformity si hoja hapa. Inakuwaje killa mwaka mwezi unaonekana Saudia pekee, na sisi huku nchi zote Afrika ya Mashariki tunashindwa kuuona. Mtume SAW angekuwepo, tusingepata mgawanyo huu, kwa sababu tungelikua tukifuata Muandamo wa uhakika sio bandia.
@mwaminihassanhassan922
8 күн бұрын
Mgawanyo ulikua tangia enzi za mtume s.a.w na nisehemu ya kujifunza
حفظك الله ورعاك
Huyu shekhe yupo vizuri sana waislam tunakwama wapi kwa nini tusifuate tarehe za kiislam
Mwenyezimungu akuifadhi sheee
Mashaalh
Masha Allah sheikh umesema ukweli
Sijamuelewa bhdo kwa maana tarehe ya uislam inabadilika baada ya maghrib je hapo pakoje kwa Dunia kufata tarehe moja
Asipo mwelewa check nselemo ntu uyo ni kiziwi.
Huijui Dunia vizuli shekhe Allah akuongezee ufahamu
@SaeedMohammad-sw7jq
24 күн бұрын
Tuelezee wewe sheikh
@SaidMasoud-cs8kp
24 күн бұрын
Mtu methodology alafu unasema hajuwi dunia unawenge ya ni huyu nishekhe alafu methodology alafu unasmea hajuwi dunia 😂😂😂😂
@user-un2je2uc9j
22 күн бұрын
Geography haidanganyi rejelea kwa Qur'an
New year for example
Mpk sasa mwaka 2024 mtu kama hajaelewa masuala Haya sifkirii km ataelewa tena zaidi ya kubishana tu . Ahsante sheikh msellem kwa Elimu ya ziada najua yashaelezwa Haya ila wafuasi ni kawaida kuyaanzisha upya na kuona mijadala inaendelea.
shekh shekh shekh baarakalhahu fyika
Allah AKULIPE KILA LA KHEIR
Mimi na swali je uislam una myaka 1445 je katika myaka 1000 wakislamu walijuwa vipi kama ni arafa . Ao eid kwa wale hawa kuwepo makkah
@seifabdi9248
22 күн бұрын
Na Mimi ni swali, mwaka 1000 uliopita waislamu walikuwa Wanapanda kwenye minara wakiadhini na sasa mnatumia speaker 🔊 ni mini imebadilika? Miaka 1000 usafiri kwenda Makaa ulikuwa mnatumia ngamia kwa mamiezi kufika na miaka 1000 baadaye unasafiri pia kwa kutumia ndege ✈️mini imebadilika. Saa hizi miaka 1000 baadaye mawasiliano iko mkononi mwako kokote dunia I ukitaka kuona na kujua habari yoyote unaipata kupitia simu 📱 yako kwa sekundi chache, je unaweza kulinganisha na miaka 1000 uliopita? Uislamu inafungamana na mwendo na wakati uliopo. Na vipi Mambo yatakavyo kuwapo miaka 1000 ijayo wakati Mimi na wewe hatutakuwapo duniani?
Allah akbar
Shida ni bado hatujaulewa usuhuba baina ya Allah na Mtume wake. yaani sisi hujitia umma wa Rasulullah s.a.w kwa muonekano tu ila hatumtaki Mtume wa Allah. mambo yako wazi tunajadiliana kila mwaka, watu hawaswali, wake zetu, watoto wetu, mama zetu, baba zetu, dada na kaka zetu marafiki zetu kibao hawaswali sisi tunajadili kile tunachokijua kila mwaka.
Bora umesema mana siku zote hao nasheik wetu lzm wawe na eid yao. Saiv dunia kila mtu anakuwa mjuwaji na kupotesha watu tu
Kabisa hii chemchem Allah amuifadhi
Kwa kweli majibu yak sheikh yanaelewek saaana Allah atuelimishe pale ambapo tutakapoanguka
Ushahidi wa kalenda upo maana tarehe ya idi na arafa ili tangazwa hata kabla ya muandamo wa dhulhijjah
❤
Shida mawahaby mpka saudia awatangazie lkn ukionekana kenya au uganda hawawezi kufunga wala kula eid mpka wawasikie wa saudia
@lmdos4382
11 күн бұрын
ndipo hoja yako ilipioshia hapa?
Allah akulipe ujumbe umefika
Allah amuongoze katika haki
Allah akuhifadhi sheikh yaan umeongea fact na ina make sence kabisaaa
maashaAllah
شكرً يا شيخ ومعلمنا بفتوى المتميز برك الله فيك
mashallah maneno mazuri lkn....pia kuna hadith ya qurayb.,.هكذا أمرنا رسول الله ...hiyo nayo tutaiweka wapi twaomba faida zaidi
Amir farid pia amsikilize huyu sheikh
Umechemka
Aslm Alykm, Na wale ambao kwao ni juma tano cc ni juma nne?
Swadakta
Shekhe kwani hija mtume alifaradhishiwa mwaka gani na je kabla ya hija mtume alikua hafungi swaum ya arafa na je kma alikua afunga alikua atumia kigezo gani?
Endeleza tu Uwahhabi kwa Kondoo majahala wala usijali
Mashekhe kazi kufuga madevu hamjui muongelee nini na kwawakatigani kadhia Gaza ndo namba moja sasa unaongelea ubishani wa Arafa kila mwaka tushazoea waislamu tuna uelewa na mambo ya mwe'i
Allah ampe umri mlefu maana kaniwekea sawa wabishi
Kuna jambo huyu Sheikh akafanye utafiti zaidi. Pamoja na kwamba kagusa kidogo kuhusu "Matwalii' lakini bado hajafahamu vizuri. Pamoja na kwamba sisi na Saudia tupo katika" time zone" lakini matwalii' tofauti. Sisi tunapokuwa ni msimu wa joto kali (kiangazi), wao wanakuwa katika baridi kali (kipupwe). Ili uelewe somo hili kwa vizuri itakubidi ujuwe tabia (characteristic) za masaa ya mchana na usiku katika miongo hii miwili. Hili ndio jambo hata hao mashekhe linawashinda kulifafanua kwa uwazi.