Nacc pia wanachama wa ACT wazalendo tuliopo unguja tunajumuika nanyiyi
@abdulrahmansalim977318 күн бұрын
😮 SADAQTA SADAQTA SADAQTA . MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAONGO WANAFIKI TAMAA HAKI KAILETA NA ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN IN SHAA ALLAH.
@fatmamsallam437Ай бұрын
Allah atawashinda madhalim Hawa Hasbiyallahu waneemal wakiil
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Dada yangu nimesha waambia viongoz wa Act wasipigishane kelele na majitu mabwege yanatamaa na dunia hayana tamaa na Akhera ni kusabiliwa kwa Allah Subhanahu Wataalah waarabu walisema Dun yaa masaalih ukitaka maslah ya duniani ukitukanwa utacheka kama hufahamu yanayosemwa hio ndio laana ya Mwenyezi Mungu
@feyxalbarry4595
Ай бұрын
Hahah
@muhammadmuhammad5043Ай бұрын
Hayo Nikawaida Sio Geni Hata Waliopita Maraisi Tena Wamesoma Hata Dini Na Waliwaita Wapemba Vijibwa Vya Santori Leo Wapo Mbele Yaki...Walifikiri Wataishi Maisha Katika Uwongozi Hawatatoka Na Hawatakufa Leo Wapo Chini Ya Ardhi..
@jaysullman3697
22 күн бұрын
Ni kweli kabisa brother ayo sio mambo ya Kuonesha km ume panic ni Sawa na kuoneshea weakness tu Kinachohitajika ni kumuomba Mungu tu kila kitu kiende kimpangilio na salama na Amani ipatikane kwa nusra ya Allah SubhannalLah WataalLah!
@salyali7807Ай бұрын
Pemba ni dhahabu ... hawa washenzi hawaijui thamani yake
@nassirnassirtoby
25 күн бұрын
kama pemba ni dhahabu ichimbe yote uwe tajir bc
@user-qo8uj1ym4mАй бұрын
Huyu chotara nadir kama hatochukuliwa hatua na serikali basi Allah atamchukulia hatua biidhini llah,rab ampe la kumpa yy ndie muweza wa kila jambo
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
Vipi kuhusu Kumbaro Jussa na yeye vipi asichukuliwe hatua?hahaha Wambape bhana
@SabihaRajab
24 күн бұрын
@@rajabmsinzia1715wambili wambili tu mutaharisha sana mutushukuru tumewaokoa sana tunawagaiya tulichobarikiwa na Allah
@rajabmsinzia1715
24 күн бұрын
@@SabihaRajab Mnagawa nini sasa hahaha huo ubaguzi chuki na roho mbaya au hahaha poleni sana tukutane 2025 InshaAllah
@SabihaRajab
24 күн бұрын
@@rajabmsinzia1715 ujinga tu ukutane na nani na sisi tunamtaka huyu mcha mungu sio wale watwana waliopita
@mohamoudhussein4570Ай бұрын
Nadir ni Muuwaji Damu ya Juma wa Juma inamtafuna
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Kaka yangu nchi yetu ikiwa hukua muuwaji huwezi kua kiongozi kwa hio ni sawa na mchawi huwezi kuchaguliwa kua mchawi ila utoe muhanga usishangae hilo ndio imeshakua ada kwao
@imusalis5092Ай бұрын
Jamani umoja umoja umoja umoja wa kitaifa na kijamiii viongozi waishi na viapo vyao kwa kutenda haki bila upendeleo Unguja na Pemba yote ni moja Allah atujaalie tuwe kitu kimoja na viongozi wetu wafanye uadilifu kwa watu wote
@KhamisiSalimuАй бұрын
Kwa ubaguz kma huu ilitupelekea wapemba tudai kisiwa Chetu tujitenge mbona hamukutupa mulitupiga vibaya mno sasa kma hamuwez kutukosa wachen ubaguz sisi hatuna shida kwenu ila nyinyi munajipendekeza ,
@jaysullman3697
22 күн бұрын
Wala haina haja ku panic ndugu yangu iko Siku na usimuoneshee adui yako km alikupiga jiwe likakupata kisawasawa na ukaumia kisawa sawa ukiwepo ktk uwanja wa Vita kua makini Sana nnalolisema ndugu yangu 🙏😊
@jaysullman3697
22 күн бұрын
Wala usifikie kusema ayo na ikiwezekana na ww waambie wenzio wasifikie uko
@fatmamsallam437Ай бұрын
Na huyo mhindi ana husda na wapemba
@Allybinamour
Ай бұрын
kweli kabisa,ana chuki za wazi wazi
@user-rk9qj9ob1pАй бұрын
Anahadaliwa na punzi allah atamuangamiza km alivomuangamiza na kumzalilisha firauna hawa mapakunya wanashida sana
@utamadunitv8070Ай бұрын
Km sikosei na nyinyi mnamtukana Mh rais na mnacheka au sie nyinyi mbona haiko sawa hii
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Walisha wahi kumtuna mh raisi matusi ya nguoni?
@AaAa-vm8bbАй бұрын
Wazee wangu na ndugu zangu hawa hatuwezi kuwafanya kitu isipokua tuwasalimie Allah حسبي الله ونعم الوكيل
@jumaswaleh-kh8ozАй бұрын
Watu wasome dua kumshitakia m.mungu
@AbubakarAli-io7keАй бұрын
TATIZO KUBWA ACT NI KUTOWAJUWA WATU WA UNGUJA.WOTE WANOTUKANA WANATOKANA NA KILE KIZAZI CHA WAZEE WAO WALIOKUJA HAPA UNGUJA KUJA KUUA WATU KIPINDI CHA MAPINDUZI .KWAHIYO ILE CHUKI BADO INAENDELEYA WAKO WENGI HAO.WATU WENYE ASILI YA UNGUJA HAWAWEZI KUWATUKANA WAPEMBA KATU.KUWENI MAKINI HAO NI WAGENI TU HAPA.
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Wafanyao hvy c waunguja hao ni wabara. Shirika ni njia c nchi Allah mwenyewe katuweka tofauti ila tupendane tusaidiane na tuheshimiane. Wanaliwa na chuki za kuona wapemba wapo kila mahali nacfa ni njema kabisa. CHOYO JUU YETU. IPO CKU TUTASHINDA!
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Ni hakika wafanyao hvy c watu wa Unguja.
@mohdkhatib223
28 күн бұрын
Hamza yeye mwenyewe aliwahi kusema kwao ni bara/tanganyika.
@laisamaujud1157Ай бұрын
Mungu atuunganishe lakin kwa viongozi hawa waliokuweko sioni mimi umoja wa kitaifa isipokuwa maslahi yao na vizazi vyao mtihani huu mungu atusaidie
@KhamisBakar-ge4spАй бұрын
Kweli wapemba tunabaguliwa, mpaka ajira hatupewi wanatuletea watu wengine mbali , Sasa hawa viongoz wakuu wa Nchi wanatufanyia ubanguzi eti kwa sababu ya Upemba na Unguja. Mimi nawashauri wapemba wenzangu wote tuhamasishane ili tudai Kisiwa chetu. 😩😩😩!
@hajihassan5433
Ай бұрын
Hivi mnabaguliwa vipi jamani Makamo wote 2 ni Wapemba, Mawaziri kadhaa ni Wapemba, Makatibu Wakuu kadhaa ni Wapemba, Wakurugenzi kadhaa ni Wapemba, Ma DC, Ma RC ni Wapemba. 55% ya Wafanyakazi wa SMZ wapo Wizara ya Elimu, viongozi wote wa ngazi za juu za Wizara hiyo ni Wapemba, Walimu walioko Pemba 99% ni Wapemba lakini waliopo Unguja 30% ni Wapemba. Kinachoendelea kinahitaji kupuuzwa ni kwa sababu ni siasa, hivi hamjamuona wala kuwasikia Jussa na Othman Masoud wakimbagua na kumtukana Rais matusi sio tu ya kisiasa bali ni ya nguoni. Suluhisho ni kugawana visiwa miafaka yote tumeshaimaliza. Tukumbuke Mapinduzi 1964 ndio yaliyoifanya Wapemba na Waunguja kuwa wamoja, kabla ya hapo Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja hata vyama vya siasa havikutambua kuwa Pemba ni Zanzibar mfano ZPPP, Zanzibar and Pemba People's Party. Hakuna Mpemba mwenye miaka 45 ambae Wazee wake ni Unguja na Pemba. Tugawane visiwa! Tuacheni siasa.
@Allybinamour
Ай бұрын
maoni yako ni mazuri sana, ila kama huujui ubaguzi ulofanywa hapo nikua; huyu nadir kazungumza akiwa ni wazir na tena yumo ndani ya baraza la wawakilishi hii ina maana alikua anaisemea serikali,jussa na mh makamo wanapozungumza wapo kwenye chama wao hawaiwakilishi serikali bali ni chama,na mh othman anapokua serikalini hazungumzi maneno kama anayoyazungumza kwenye chama.si unamuona mazurui na omar said shaban wanapompongeza rais wakiwa ni mawazir.
@Sheba4651
Ай бұрын
@@hajihassan5433Wapeni kisiwa chao tu, wapumzike kupigwa nyakati za uchaguzi. Huo uchambuzi wa viongozi unaowataja hauna manufaa na wao ikiwa kuna siku watauawa ama kupata vilema wakati wa chaguzi, si faida. Hata Nelson Mandela aliwaambia makaburu, minyororo ya utumwa si mizuri hata kama imetengezwa kwa dhahabu. Mimi ni mtu wa Unguja, babu yangu wa 6 amezikwa Unguja, nafurahia wapemba wakipewa kisiwa chao wapumzike madhila ya watanganyika na kupigwa na kuuwa, kisa madaraka. Mtaenda kuchomwa nyie siku ikifika.
@bakarsuleiman3989
Ай бұрын
Ww mpumbavu sana jinga ww hii nchi asilimia kubwa wapemba ndio wameijenga pamoja na kutubagua kenge ww hukusoma sawa na huyo nadir
@MahmoudDouchi
Ай бұрын
@@hajihassan5433ndo umezungumza nini naona pumba tu waongea na ujinga wako uo mkisha kagawa visiwa faida yake nini. Kwn uongo wapemba hawajatengwa ilo mbn lipo wazi punguza uhafidhina wa kipuuzi uo.
@hamadjumakombo9793Ай бұрын
Ni vizuri baadhi ya viongozi kupimwa ajili kabla ya uteuzi
@fatmamsallam437Ай бұрын
Pesa za wananchi zawalewesha hao golo
@user-jj1uj3my7bАй бұрын
Pamoja sana viongozi wetu
@user-fn8on5lf8mАй бұрын
Huyo muhindi ni mkundu
@batashqiraa9936Ай бұрын
Nadir nakuonea huruma, inaonekana huwajui wapemba, sasa Nadir kumbuka waliwatukana na kuwadhalilisha wapemba sasa wapo wapi, Nadir kama hajui uliza waliopita waliotukana wapemba sasa wanadhalilika
@w4058Ай бұрын
Matusi na maneno ya kebehi ya Huyo Hamza Husaan na Nadir mkae mjuwe na kila anaowatetea hao wajuwa MMungu anawaona udhalim wenu na viburi vyenu Alysa Llah biahkamulihakimin
@user-lb8gz5pt3uАй бұрын
Huyu jamaa anatutukana sana😊
@nassirnassirtoby25 күн бұрын
munajidanganya 2 kwan ata awo viongz wenu pia ni ccm mtafte m1 2 kma upo nae alokua c o ccm ikiwa ata uyo malim seif alikua ccm tena awo wengne wanao zid kuwadanganya kwan nyinyi muna chama au muna kikundi cha kulma mua kma morogoro mtibwa
@allymbarouk5362Ай бұрын
Shida kubwa kuna vijikundi vya wapemba wanafurahia hilo kubaguliwa na wao kuona nimaendeleo
@MohammedBwanga28 күн бұрын
Kuna watu c wa kujibiwa coz hawana hoja Za kujjibiwa ni kuwapuuza tu sehhem km baraza la wawakilishi sio sehem ya kuongea mipasho ni pahhala kuongea. Massala ya wananchi na nchi
@hashimalihamad3477Ай бұрын
Wanaubaguzi wa wazi wazi kwakweli lkn mungu atawahukum yuko wapi borafyaa kafika wapi baraka shante
@KhamisiSalimuАй бұрын
Nadir ahamishwe apelekwe kwao hopa zanzibar sipao hatumtak analeta ubaguz
@aliferuzi153728 күн бұрын
Kwa kuongea Sasa matabaka mkubwa yapo Zanzibar kwa jumla. Na hayasemeki lkn KUNA MATABAKA MAKUBWA TENA YA WAZI WAZI KABISA. UBAGUZI UPO NDANI KWA NDANI YA VISIWA KTK JAMII. HII NI HATARI KILA TUKISONGA MBELR
@user-ks6rn1ir1jАй бұрын
Kwan yule nadir yupo Jimbo Gani man pia ni waziri ila hata sisi waunguja katuudhi saanaaa..anajikuta elimu tukutane 2025,.
@hamidamussa593Ай бұрын
Nadiri anasema nini muhindi yule na yeye aende kwao india akakate viuno km sharuk khan
@abuubakarjuma3230
Ай бұрын
😂
@MohamedAhmada-ie7ke
26 күн бұрын
Kasema wapemba wote wapo unguja pemba wanarud wakat wa kura tu so huwezi unguja kufanya maendeleo sawa na pemba unguja watu ni wengi
@masoudalriyamy629829 күн бұрын
Kunawatu sio fani yao siasa mnawachukua watu kutukanana ndani ya baraza mnaona nchiyenyewe inatoka katika migogoro ilifika wakati watu walikua hawazikani leo imetokea salama mnaanza tena chokochoko zanu tena komesheni fitina
@abuu-bakarshaaban6246Ай бұрын
In shaa Allah sisi tutamuachia mungu tu
@user-wx9or8rw4nАй бұрын
Tatizo makunduchi akiitws ivyo kawaida,mtumbatu aakiitwa ivyo hana shida,ttizo wapemba hamjikubali ndo mana kidogo tuu mada,hiini duniaa tuu,mnasahau mna haribu vitu vya jamii,mnadhulumu ila hamuoni kosa ,kosa kuambiwa hamtaki kukaa kwenu kufanya kazi?!
@mohdkhatib223
28 күн бұрын
Kwani kilitokea nini? Sisi wengine hayo aliyoyasema Nadir hatukuyasikia.
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Apo umetaja vichwa vitupu na aooo wote ni watu waliokua na uzalendo ndani ya nafsi zao ukifuatilia hassa historia yao na maisha yao
@omarbaabad2706Ай бұрын
Poleni Sana wapemba kwa kutokujua wapi msimame,mlikuwa cuf,Leo mko act kesho hatutoshangaa mkiwa ccm, wapemba mumepoteza msimamo na hii kujiunga na suk ilikuwa hakuna budi Maalimu ilibidi ameze matapishi yake na ilikuwa ajabu na uwendawazinu wa marehemu Maalimu useful kuingia katika suk huku akijua hakukua na uchaguzi alifanya vile kuibeba act nani asiyejua Maalimu alikataa suk akiwa nawabunge wa kutosha na wawakilishi wakutosha kwa hiyo hayo yanayowafika nimakosa yenu
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Unavyo viongea wala haviusiani na huu ubaguzi malumbano na kutoelewana kisiasa kupo lakini sio ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe
@kitosioАй бұрын
Inategemea huyo muombaji msamaha kama ana tabia za wema. Kama alilelewa ktk khulka zile msipoteze Muda hatatibika. Anayoyaficha ktk nafsi yake ni makubwa zaidi. Tumshukuru sana Raisi Mwinyi pamoja na kuwa watu aina hiyo bila shaka wanamsumbua ama watamsumbua sana. Raisi kadri anavyopambana na chuki bado uchafu wa Mahasidi haumalizi. Ndio watu wanasema Kiongozi wa juu hana tatizo lolote, shida walio chini ni majanga matupu. Solution kwa vile zanzibar ni Nchi Ndogo basi ni afadhali mambo muhimu yote ayafanyie kazi yeye mwanzo_mwisho, Hapo maendeleo hayatarudishwa nyuma.
@Rukaiya-lt3hmАй бұрын
Maccm yote mabaguzi
@johnabdillah953126 күн бұрын
Wacheni siasa za huruma huruma jamani tufanyeni kazi, hakuna mtu alitukanwa
@AbdallahSeif-cp3ul27 күн бұрын
Alla ampe lakumpa
@HajiYussuf-bv5eb28 күн бұрын
Huyu naadir ni mjinga tu
@KhamisiSalimuАй бұрын
Nadiri anyongwe, hafai
@saidalhinai1131Ай бұрын
Mimi nawashauri wapemba wakate hiyo mikarafuu yote na wapande migomba halafu wawatukane washenzi wasio na dini
@Aisha-lj8buАй бұрын
Niuhayawani kabisaa hawajielewi kabisaa haohatawakilishwa mavi watakula ilimradi kuvhunga viti vyao
@user-oj8bk5xn8nАй бұрын
SioAllah atahukumu huyu inatakiwa achukuliwe hatua natunasubiri tu ajepemba tutakulanae sahanimoja uyonishoga tu nashoga kuongea ujinga ndio kaziyake ikosiku tutakutananae
@alimohd5564Ай бұрын
Wapemba tusimameni na ALLAH kwani o Peke yake Allah ndie mwenye nguvu sisi wapemba ni waja wadhaifu
@mohamedsalimmsabah5691Ай бұрын
Yupo mchangiaji mmoja amefananisha wananchi na rais kwamba viongozì wa ACT wanamtumkana rais na kwa nini wapemba wasitukanwe. Kwanza akumbuke kwamba wananchi hawawezi kupanda majukwaani na kujibizana na kiongozi yoyote, lakini viongozi wanapowatukana wananchi wanawakosea sana. Hivyo tuwaache viongozi watukanane wenyewe kwa wenyewe, lakini si vyema kuwatukana wananchi kwani mwisho wa siku wanarudi kwetu kuja kuomba kura. Aidha kiongozi anapowatukana wananchi anamaanisha nini wakati hapo walipo kama si wananchi kuwapigia kura asingeweza kufika hapo alipo. Kwa maana nyengine wakumbuke katika suala la biashara mteja anakuwa mfalme na kwa hapa mwananchi anafananishwa mteja ambae ndie anaeitwa mfalme. Cha msingi hapa viongozi wetu waache dhana ya ubaguzi wa aina yoyote ile kwani hausaidii isipokuwa unaikandamiza nchi husika. Usishangae wale wote wanaowatukana wapemba wakawa wamekuja hapa zanzibar kwa mshindo wa beni na sio wazanzibari halisi wa baba na mama, sasa wanapata wapi nguvu ya kuwabagua wazanzibari tena walio kindakindaki
@jumajuma4337Ай бұрын
Yusuf huna mpya ww nyi nyi ndowabaguzi
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Ume baguliwa wapi?
@MohamedKassimIdrisa-gg1oeАй бұрын
Kwani alichokiongoa uongo hamkai kwenu kweli mmejaa miji ya watu hata mkasema kwenye vyombo vya habari lkn ukweli umeshasemwa hamkai kwenu Pemba rudini Pemba mkajenge Pemba yenu ukweli unauma
@RajabQassm
Ай бұрын
Hatuondoki na hamuna uwezo wa kutuondoa mtaishia kusema tu, ikiwa viongozi wetu wapo Unguja sisi tuende pemba tukafanye nini
@hamidamussa593
Ай бұрын
Ww unakujua kwenu? Pia yawezekana ukawa kharamu la uko Pemba unakokuchukia
@RajabQassm
Ай бұрын
Hatujakuchukia mkataa kwao mtumwa mimi wazazi wangu wote wako pemba na ndugu zangu wote Unguja tumekuja kutafuta mtu hachumi kwao mpuuzi we
@RajabQassm
Ай бұрын
Ndo maana Mungu, wapemba kawatajirisha we utabaki ivoivo me kwetu ndijani nitatoa machungwa ndijani nipeleke sokoni, we safiri mtu hachumi kwao.
@user-jj7nl2xo5j
Ай бұрын
Kweli kabisa
@AbuubakariKhamisi-mt4cz20 күн бұрын
ww siompemba umpemba twakashifiwa ww hata hujui kwa ujinga kukutawala hujui hata maana yakutukanwa hamaku mkubwa we
@user-jf7is4fk2vАй бұрын
ni kujitenga tu
@user-sf3mm9xe3pАй бұрын
Lakini ninauhakika sikuhile mh SULEIMAN wa jimbo la ziwani hakuepo pale kama anglikuepo pamoja na kua yeye ni CCM lakini upuuzi hule aisngali ikubali hata siku moja
@w4058Ай бұрын
Kuna watu hupenda kujitia hamnazo CCM hawatukanwi CCM ila wanatolewa makosa yao khasa katika ubadhirifu wa fedha na hilo linjulikana tusichanganye maji na tope
@nassirnassirtoby25 күн бұрын
wewe ulokua c mshenzi je unaijua pemba au unasma 2
@ConfusedBalkhHound-on2mxАй бұрын
Ni wasenge hao
@user-fj5hk5kp7pАй бұрын
Kube ukweli unauma cn stahamilini kidogo
@mohdkhatib223
28 күн бұрын
Ukweli upi huo? Halafu wewe tukujue asili yako?
@salyali7807Ай бұрын
Huyu nadir kila akifungua mdomo aulizwe yuko wapi Juma wa Juma? Ataweka akili yake kama kasahau
@suleimanmalik8878Ай бұрын
Allah Atawalipatu Hao mathwalimu wakubwa wameshazoea kula Mali za umma hususan Hao wanao tubaguwa wa pemba besa zetu zinawatia kiburi ila Maisha mafupi punzi zisiwahadae
@AliSalim-yu4moАй бұрын
Yule ni mwanaharamu wa Kihindi!na la kushangaza ni kwamba ndani majumba yao wanao ndani ya majumba yao!kwa mfano huyo mwanaharamu Nadir ni hivi karibuni tu alimtafutia mke(Mpemba)na tujiulize mbona hakumtafutia mke Makunduchi au Matemwe?na shahidi ni huyo Spika kwani na yeye alihudhuria ktk tokeo hilo lililofanyika Mskiti wa Kiembesamaki!
@feyxalbarry4595Ай бұрын
Mtume ameingiaje kwenye chama na siasa acheni kuinasibisha dini na Chama
Huyo mzee idirisa unae msema hata hao waunguja walimkataa na ndio mana akaamua kujiuzulu
@Pemba680Ай бұрын
Alaaniwe Nadiri
@salmahaji5198Ай бұрын
Mmmmh
@sasha-ri7tfАй бұрын
Tutakwenda kuziuza kenya karafuuu. Na wenye kuziuza karafuu (ZSTC) tusikubali hata gunia moja la karafuu kusafirishwa Unguja, njia pekee ni kuchoma motooo (🔥🔥🔥) maghala yote ya kuhifadhia karafuuu yote Pemba .
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Tuczichome. Wajinga wataona japo cku
@rashidally1149Ай бұрын
Kwani makamo wa pili sio mpemba? Mbona kashindwa kukemea ? Hakika hao kina nadir niwakufukuzwa lakin wakuu wanapenda wapemba kutukunwa
@user-lb8gz5pt3uАй бұрын
Tusomen Dua kubwa pemba
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Sasa jamani sisi tumesema kua wao wanakauli mbaya kwetu, mbona tena na sisi tunaasema kua yeye ni mbwa vp teeenaa sisi tueke hoja t wananchi watatuelewa
@MohamedKassimIdrisa-gg1oeАй бұрын
Msituletee nyinyi kwenye mikutano yenu ya ACT muda wote mnamsema Rais Mwinyi leo amesema mtu mmoja wa CCM mikutano na Waandishi wa Habari kwa hiyo kumbe nyinyi mkiambiwa ukweli mnanuna basi nuneni na mtazidi kununa wala bado
@wadhhasuleiman2621
Ай бұрын
Hujielewi ww na sio mzanzibar itakuwa
@user-sf3mm9xe3pАй бұрын
Nadir mjinga yule
@AaAa-vm8bbАй бұрын
Asie kua na damu ya Africa hawezi kuacha tabia yake Muhindi ametok kwao akapata tonge ya bure si lazima atawatukana wapemba hana maumivu nao ingekua wapemba ni mabohora asingeli toa mneno machafu kama hayo na wapemba baadhi yao wakafurahia hilo jee hao ni wazima kiafia?
@w4058Ай бұрын
Haha Binadam asojuwa tafauti na matusi na kukosolewa basi hana haja ya kuishi ila MMungu hamuondowi mja muovu haraka anakuwekeni hai labda mtatanabahi mutake maghfira lakini wapi madahli wanaongwa na Christian church movement CCM huwa ukweli wenye ucha MMungu hawautaki Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah inatosha
@muhammednassor3569Ай бұрын
Huyu karagosi wa kibaniani katumwa
@user-fn8on5lf8mАй бұрын
Huyo mkundu ni muhindi ajana nae
@AaAa-vm8bbАй бұрын
Tukiuliza wzhusika hizi siasa za Europe zinakua na matusi na kejeli kama hizi zetu ?
@KokhaakoАй бұрын
Hapa mumefanya la maana na tunawaunga mkono kwa asilimia mia moja. Lakini waulizeni je!! Wapemba tukiomba kujitenga kutokana na wanayotufanyia tutakuwa na kosa gani? Laiti hatuheshimu ndugu zetu wa Unguja ambao wanatuunga mkono basi maamuzi yetu yangalikuwa mwengine. Tafadhali waliopewa madaraka wakijuwa kuwa wao ni sehemu ya wageni Zanzibar waheshimu ugeni wao.
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Na tukimdadisi Sana Nadir sidhani kama babu yake Tu ni Mzaliwa wa Zanzibar!sasa anajifanya ana maumivu sanaaa Kwa Zanzibar!mwehu yule
@MohdRashid-qk6hdАй бұрын
Jibuni hoja, Mh. Nadir hajawatukana wapemba ila kaeleza ukweli kua musiseme uongo kama pemba hapafanywi maendeleo, mm mwenyewe mpemba na maendeleo nayaona, pemba ya leo sio ya jana, jibuni hoja msilete midahalo, pia unguja watu ni wengi na magari ni mengi mara 50 zaid ya pemba, hivyo miundombinu haiwez kua sawa!.
@user-gk3wz8wb3t
Ай бұрын
Ww huna akili na nahisi sio mzaliwa wa Pemba nadhani labda umekuja tu kulelewa kwa iyo usiitetee serikali ya Ccm mzee tumia akili
@KhamisBakar-ge4sp
Ай бұрын
Sisi hatutaki Hoja, tunataka Kisiwa chetu cha Pemba tupewe wenyewe tushachoka na ubanguzi 😢😢😢
@cath-ef7wd
Ай бұрын
We msenge pemba hakuna msenge kama wewe na akili zako mavi
@salyali7807
Ай бұрын
Naona kama kunzaliwa tu .. huna asili ya upemba
@lusakaone7782
Ай бұрын
Ukome
@HAMADHAMAD-lk3msАй бұрын
Nabiri hana lolote yule
@user-ip4ie7pt6iАй бұрын
Wana mtukana mpaka mufti wa zanzibar maana nae ni mpemba
@user-wl8ng3pj5r
Ай бұрын
Kweli
@ZuenaSharifu29 күн бұрын
Yule ni mkundu ulio funikwa😅 hajielewi na hafai kuepo Zanzibar mungu ampe laana mbwa yule
@jumakapilima7295Ай бұрын
Mbona nyie pia mnawatukana CCM na Rais wao?
@MahmoudDouchi
Ай бұрын
Nilijua tu lzm utakueopo kwenye Mada km hizi
@jumakapilima7295
Ай бұрын
@@MahmoudDouchi nashukuru sana kama ulijua hilo
@hamidmussa838Ай бұрын
Matusi Mmeanza nynyi Marehemu Dr.omar Juma mlmwita kidonge cha Lami
@MwigaAdamАй бұрын
Nadir kajisahau kama yy ni chotara aliepinduliwa na kizazi chake kusambaratishwa anakunya Kwa mdomoni na kuongea Kwa mkunduni Kila anaposimama majukwaani
@user-et9vf2ro2kАй бұрын
Namkumbuka maalim seif alikua akituambia kua kuchokozwa, tutachokozwa laaakini laakini tusichokozekeee wakatutoa kwenyw mstari maana safari yetu ya MAMLAKA KAMILI inatia nanga hivi karibuni, Aliyasema hayo akiwa katika kongamano lake maalim nakufungua koongamano lake
@SalehSonda-bz3hl27 күн бұрын
Itabidi wapemba tubaki na Pemba yetu maana watu hawatupendi,tumekua kama wapalestina du,AllahuAkbar,one day.
@rajabmsinzia1715Ай бұрын
Mkuki kwa Nguruwe nyinyi mnavyomtukana Raisi kwenye majukwaa huwa hamuoni na mbona hamkemei?ila mkiambiwa ukweli ndio kama hivyo mnaleta siasa
@jumaseifjuma4185
Ай бұрын
Kweli ukamtukane rais hadharani nchi hii ? Loo...... uliza yaliyomkuta Bakar Shamte.
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
@@jumaseifjuma4185 Kwa hivyo pale majukwaani Kina Jusa wakimtukana matusi Raisi Yale hayaitwi matusi au ,mnaachiwa tu msije mkaleta fyokofyoko maana hamkawii nyinyi ndio kama hapo kidogo tu mshaanza kuleta maneno maneno hahahha tukutane 2025 InshaAllah
@moa4122
Ай бұрын
@@rajabmsinzia1715 Raisi ni mtu anayeongoza nchi na pia anapofanya kosa ni wajinu wa wananchi kumkosowa lakini hakuna mtu yoyote aliyesema waunguja au wamkulanga. Bahati mbaya Nadir kataja wapemba na nadhani hakuwa na nia mbaya lakini ulimi hauna mfupa na bora kujikwaa dole kuliko ulimi. Mbona Nadir ana marafiki wengi wapemba
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
@@Sheba4651 Au xio
@saidyussuf2291
Ай бұрын
@@moa4122 umezungumza jambo la kuunganisha sio kila anasema anakusudia ubaguzi , wote wa Zanzibar asijite mtu mpemba wala muunguja
@khamisjuma7616Ай бұрын
nyie wapemba ccm hawaingii mawaidha msijihangaishe bure subirini 2025 tuwang,oe kwa kura wakileta janja tutawaondoa wanavyotaka kuondoka lkn mara hii ni final ujingaujinga wa malalamiko sasa bass
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Hapo ulipo unanuka njaa unawashinfikiza viongozi wa ccm maisha tu usijitie upofu apa
@NoufelSalimАй бұрын
Nadir ni mbwa tu .Tena rais mwinyi watakao muharibia ni mbwa km Hawa, Tokea apo CCM hatuipendi ndo itazid kutuchukiza
@SabihaRajab24 күн бұрын
Yule ni mbaguzi tu hapendi watu weusi anajifichia kutukana wapemba lakini anawaona nyani wote humo barazani ila hawataji waunguja analinda cheo
Пікірлер: 152
Allah atawahukumu hapahapa duniani
Nacc pia wanachama wa ACT wazalendo tuliopo unguja tunajumuika nanyiyi
😮 SADAQTA SADAQTA SADAQTA . MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAONGO WANAFIKI TAMAA HAKI KAILETA NA ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN IN SHAA ALLAH.
Allah atawashinda madhalim Hawa Hasbiyallahu waneemal wakiil
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Dada yangu nimesha waambia viongoz wa Act wasipigishane kelele na majitu mabwege yanatamaa na dunia hayana tamaa na Akhera ni kusabiliwa kwa Allah Subhanahu Wataalah waarabu walisema Dun yaa masaalih ukitaka maslah ya duniani ukitukanwa utacheka kama hufahamu yanayosemwa hio ndio laana ya Mwenyezi Mungu
@feyxalbarry4595
Ай бұрын
Hahah
Hayo Nikawaida Sio Geni Hata Waliopita Maraisi Tena Wamesoma Hata Dini Na Waliwaita Wapemba Vijibwa Vya Santori Leo Wapo Mbele Yaki...Walifikiri Wataishi Maisha Katika Uwongozi Hawatatoka Na Hawatakufa Leo Wapo Chini Ya Ardhi..
@jaysullman3697
22 күн бұрын
Ni kweli kabisa brother ayo sio mambo ya Kuonesha km ume panic ni Sawa na kuoneshea weakness tu Kinachohitajika ni kumuomba Mungu tu kila kitu kiende kimpangilio na salama na Amani ipatikane kwa nusra ya Allah SubhannalLah WataalLah!
Pemba ni dhahabu ... hawa washenzi hawaijui thamani yake
@nassirnassirtoby
25 күн бұрын
kama pemba ni dhahabu ichimbe yote uwe tajir bc
Huyu chotara nadir kama hatochukuliwa hatua na serikali basi Allah atamchukulia hatua biidhini llah,rab ampe la kumpa yy ndie muweza wa kila jambo
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
Vipi kuhusu Kumbaro Jussa na yeye vipi asichukuliwe hatua?hahaha Wambape bhana
@SabihaRajab
24 күн бұрын
@@rajabmsinzia1715wambili wambili tu mutaharisha sana mutushukuru tumewaokoa sana tunawagaiya tulichobarikiwa na Allah
@rajabmsinzia1715
24 күн бұрын
@@SabihaRajab Mnagawa nini sasa hahaha huo ubaguzi chuki na roho mbaya au hahaha poleni sana tukutane 2025 InshaAllah
@SabihaRajab
24 күн бұрын
@@rajabmsinzia1715 ujinga tu ukutane na nani na sisi tunamtaka huyu mcha mungu sio wale watwana waliopita
Nadir ni Muuwaji Damu ya Juma wa Juma inamtafuna
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Kaka yangu nchi yetu ikiwa hukua muuwaji huwezi kua kiongozi kwa hio ni sawa na mchawi huwezi kuchaguliwa kua mchawi ila utoe muhanga usishangae hilo ndio imeshakua ada kwao
Jamani umoja umoja umoja umoja wa kitaifa na kijamiii viongozi waishi na viapo vyao kwa kutenda haki bila upendeleo Unguja na Pemba yote ni moja Allah atujaalie tuwe kitu kimoja na viongozi wetu wafanye uadilifu kwa watu wote
Kwa ubaguz kma huu ilitupelekea wapemba tudai kisiwa Chetu tujitenge mbona hamukutupa mulitupiga vibaya mno sasa kma hamuwez kutukosa wachen ubaguz sisi hatuna shida kwenu ila nyinyi munajipendekeza ,
@jaysullman3697
22 күн бұрын
Wala haina haja ku panic ndugu yangu iko Siku na usimuoneshee adui yako km alikupiga jiwe likakupata kisawasawa na ukaumia kisawa sawa ukiwepo ktk uwanja wa Vita kua makini Sana nnalolisema ndugu yangu 🙏😊
@jaysullman3697
22 күн бұрын
Wala usifikie kusema ayo na ikiwezekana na ww waambie wenzio wasifikie uko
Na huyo mhindi ana husda na wapemba
@Allybinamour
Ай бұрын
kweli kabisa,ana chuki za wazi wazi
Anahadaliwa na punzi allah atamuangamiza km alivomuangamiza na kumzalilisha firauna hawa mapakunya wanashida sana
Km sikosei na nyinyi mnamtukana Mh rais na mnacheka au sie nyinyi mbona haiko sawa hii
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Walisha wahi kumtuna mh raisi matusi ya nguoni?
Wazee wangu na ndugu zangu hawa hatuwezi kuwafanya kitu isipokua tuwasalimie Allah حسبي الله ونعم الوكيل
Watu wasome dua kumshitakia m.mungu
TATIZO KUBWA ACT NI KUTOWAJUWA WATU WA UNGUJA.WOTE WANOTUKANA WANATOKANA NA KILE KIZAZI CHA WAZEE WAO WALIOKUJA HAPA UNGUJA KUJA KUUA WATU KIPINDI CHA MAPINDUZI .KWAHIYO ILE CHUKI BADO INAENDELEYA WAKO WENGI HAO.WATU WENYE ASILI YA UNGUJA HAWAWEZI KUWATUKANA WAPEMBA KATU.KUWENI MAKINI HAO NI WAGENI TU HAPA.
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Wafanyao hvy c waunguja hao ni wabara. Shirika ni njia c nchi Allah mwenyewe katuweka tofauti ila tupendane tusaidiane na tuheshimiane. Wanaliwa na chuki za kuona wapemba wapo kila mahali nacfa ni njema kabisa. CHOYO JUU YETU. IPO CKU TUTASHINDA!
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Ni hakika wafanyao hvy c watu wa Unguja.
@mohdkhatib223
28 күн бұрын
Hamza yeye mwenyewe aliwahi kusema kwao ni bara/tanganyika.
Mungu atuunganishe lakin kwa viongozi hawa waliokuweko sioni mimi umoja wa kitaifa isipokuwa maslahi yao na vizazi vyao mtihani huu mungu atusaidie
Kweli wapemba tunabaguliwa, mpaka ajira hatupewi wanatuletea watu wengine mbali , Sasa hawa viongoz wakuu wa Nchi wanatufanyia ubanguzi eti kwa sababu ya Upemba na Unguja. Mimi nawashauri wapemba wenzangu wote tuhamasishane ili tudai Kisiwa chetu. 😩😩😩!
@hajihassan5433
Ай бұрын
Hivi mnabaguliwa vipi jamani Makamo wote 2 ni Wapemba, Mawaziri kadhaa ni Wapemba, Makatibu Wakuu kadhaa ni Wapemba, Wakurugenzi kadhaa ni Wapemba, Ma DC, Ma RC ni Wapemba. 55% ya Wafanyakazi wa SMZ wapo Wizara ya Elimu, viongozi wote wa ngazi za juu za Wizara hiyo ni Wapemba, Walimu walioko Pemba 99% ni Wapemba lakini waliopo Unguja 30% ni Wapemba. Kinachoendelea kinahitaji kupuuzwa ni kwa sababu ni siasa, hivi hamjamuona wala kuwasikia Jussa na Othman Masoud wakimbagua na kumtukana Rais matusi sio tu ya kisiasa bali ni ya nguoni. Suluhisho ni kugawana visiwa miafaka yote tumeshaimaliza. Tukumbuke Mapinduzi 1964 ndio yaliyoifanya Wapemba na Waunguja kuwa wamoja, kabla ya hapo Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja hata vyama vya siasa havikutambua kuwa Pemba ni Zanzibar mfano ZPPP, Zanzibar and Pemba People's Party. Hakuna Mpemba mwenye miaka 45 ambae Wazee wake ni Unguja na Pemba. Tugawane visiwa! Tuacheni siasa.
@Allybinamour
Ай бұрын
maoni yako ni mazuri sana, ila kama huujui ubaguzi ulofanywa hapo nikua; huyu nadir kazungumza akiwa ni wazir na tena yumo ndani ya baraza la wawakilishi hii ina maana alikua anaisemea serikali,jussa na mh makamo wanapozungumza wapo kwenye chama wao hawaiwakilishi serikali bali ni chama,na mh othman anapokua serikalini hazungumzi maneno kama anayoyazungumza kwenye chama.si unamuona mazurui na omar said shaban wanapompongeza rais wakiwa ni mawazir.
@Sheba4651
Ай бұрын
@@hajihassan5433Wapeni kisiwa chao tu, wapumzike kupigwa nyakati za uchaguzi. Huo uchambuzi wa viongozi unaowataja hauna manufaa na wao ikiwa kuna siku watauawa ama kupata vilema wakati wa chaguzi, si faida. Hata Nelson Mandela aliwaambia makaburu, minyororo ya utumwa si mizuri hata kama imetengezwa kwa dhahabu. Mimi ni mtu wa Unguja, babu yangu wa 6 amezikwa Unguja, nafurahia wapemba wakipewa kisiwa chao wapumzike madhila ya watanganyika na kupigwa na kuuwa, kisa madaraka. Mtaenda kuchomwa nyie siku ikifika.
@bakarsuleiman3989
Ай бұрын
Ww mpumbavu sana jinga ww hii nchi asilimia kubwa wapemba ndio wameijenga pamoja na kutubagua kenge ww hukusoma sawa na huyo nadir
@MahmoudDouchi
Ай бұрын
@@hajihassan5433ndo umezungumza nini naona pumba tu waongea na ujinga wako uo mkisha kagawa visiwa faida yake nini. Kwn uongo wapemba hawajatengwa ilo mbn lipo wazi punguza uhafidhina wa kipuuzi uo.
Ni vizuri baadhi ya viongozi kupimwa ajili kabla ya uteuzi
Pesa za wananchi zawalewesha hao golo
Pamoja sana viongozi wetu
Huyo muhindi ni mkundu
Nadir nakuonea huruma, inaonekana huwajui wapemba, sasa Nadir kumbuka waliwatukana na kuwadhalilisha wapemba sasa wapo wapi, Nadir kama hajui uliza waliopita waliotukana wapemba sasa wanadhalilika
Matusi na maneno ya kebehi ya Huyo Hamza Husaan na Nadir mkae mjuwe na kila anaowatetea hao wajuwa MMungu anawaona udhalim wenu na viburi vyenu Alysa Llah biahkamulihakimin
Huyu jamaa anatutukana sana😊
munajidanganya 2 kwan ata awo viongz wenu pia ni ccm mtafte m1 2 kma upo nae alokua c o ccm ikiwa ata uyo malim seif alikua ccm tena awo wengne wanao zid kuwadanganya kwan nyinyi muna chama au muna kikundi cha kulma mua kma morogoro mtibwa
Shida kubwa kuna vijikundi vya wapemba wanafurahia hilo kubaguliwa na wao kuona nimaendeleo
Kuna watu c wa kujibiwa coz hawana hoja Za kujjibiwa ni kuwapuuza tu sehhem km baraza la wawakilishi sio sehem ya kuongea mipasho ni pahhala kuongea. Massala ya wananchi na nchi
Wanaubaguzi wa wazi wazi kwakweli lkn mungu atawahukum yuko wapi borafyaa kafika wapi baraka shante
Nadir ahamishwe apelekwe kwao hopa zanzibar sipao hatumtak analeta ubaguz
Kwa kuongea Sasa matabaka mkubwa yapo Zanzibar kwa jumla. Na hayasemeki lkn KUNA MATABAKA MAKUBWA TENA YA WAZI WAZI KABISA. UBAGUZI UPO NDANI KWA NDANI YA VISIWA KTK JAMII. HII NI HATARI KILA TUKISONGA MBELR
Kwan yule nadir yupo Jimbo Gani man pia ni waziri ila hata sisi waunguja katuudhi saanaaa..anajikuta elimu tukutane 2025,.
Nadiri anasema nini muhindi yule na yeye aende kwao india akakate viuno km sharuk khan
@abuubakarjuma3230
Ай бұрын
😂
@MohamedAhmada-ie7ke
26 күн бұрын
Kasema wapemba wote wapo unguja pemba wanarud wakat wa kura tu so huwezi unguja kufanya maendeleo sawa na pemba unguja watu ni wengi
Kunawatu sio fani yao siasa mnawachukua watu kutukanana ndani ya baraza mnaona nchiyenyewe inatoka katika migogoro ilifika wakati watu walikua hawazikani leo imetokea salama mnaanza tena chokochoko zanu tena komesheni fitina
In shaa Allah sisi tutamuachia mungu tu
Tatizo makunduchi akiitws ivyo kawaida,mtumbatu aakiitwa ivyo hana shida,ttizo wapemba hamjikubali ndo mana kidogo tuu mada,hiini duniaa tuu,mnasahau mna haribu vitu vya jamii,mnadhulumu ila hamuoni kosa ,kosa kuambiwa hamtaki kukaa kwenu kufanya kazi?!
@mohdkhatib223
28 күн бұрын
Kwani kilitokea nini? Sisi wengine hayo aliyoyasema Nadir hatukuyasikia.
Apo umetaja vichwa vitupu na aooo wote ni watu waliokua na uzalendo ndani ya nafsi zao ukifuatilia hassa historia yao na maisha yao
Poleni Sana wapemba kwa kutokujua wapi msimame,mlikuwa cuf,Leo mko act kesho hatutoshangaa mkiwa ccm, wapemba mumepoteza msimamo na hii kujiunga na suk ilikuwa hakuna budi Maalimu ilibidi ameze matapishi yake na ilikuwa ajabu na uwendawazinu wa marehemu Maalimu useful kuingia katika suk huku akijua hakukua na uchaguzi alifanya vile kuibeba act nani asiyejua Maalimu alikataa suk akiwa nawabunge wa kutosha na wawakilishi wakutosha kwa hiyo hayo yanayowafika nimakosa yenu
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Unavyo viongea wala haviusiani na huu ubaguzi malumbano na kutoelewana kisiasa kupo lakini sio ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe
Inategemea huyo muombaji msamaha kama ana tabia za wema. Kama alilelewa ktk khulka zile msipoteze Muda hatatibika. Anayoyaficha ktk nafsi yake ni makubwa zaidi. Tumshukuru sana Raisi Mwinyi pamoja na kuwa watu aina hiyo bila shaka wanamsumbua ama watamsumbua sana. Raisi kadri anavyopambana na chuki bado uchafu wa Mahasidi haumalizi. Ndio watu wanasema Kiongozi wa juu hana tatizo lolote, shida walio chini ni majanga matupu. Solution kwa vile zanzibar ni Nchi Ndogo basi ni afadhali mambo muhimu yote ayafanyie kazi yeye mwanzo_mwisho, Hapo maendeleo hayatarudishwa nyuma.
Maccm yote mabaguzi
Wacheni siasa za huruma huruma jamani tufanyeni kazi, hakuna mtu alitukanwa
Alla ampe lakumpa
Huyu naadir ni mjinga tu
Nadiri anyongwe, hafai
Mimi nawashauri wapemba wakate hiyo mikarafuu yote na wapande migomba halafu wawatukane washenzi wasio na dini
Niuhayawani kabisaa hawajielewi kabisaa haohatawakilishwa mavi watakula ilimradi kuvhunga viti vyao
SioAllah atahukumu huyu inatakiwa achukuliwe hatua natunasubiri tu ajepemba tutakulanae sahanimoja uyonishoga tu nashoga kuongea ujinga ndio kaziyake ikosiku tutakutananae
Wapemba tusimameni na ALLAH kwani o Peke yake Allah ndie mwenye nguvu sisi wapemba ni waja wadhaifu
Yupo mchangiaji mmoja amefananisha wananchi na rais kwamba viongozì wa ACT wanamtumkana rais na kwa nini wapemba wasitukanwe. Kwanza akumbuke kwamba wananchi hawawezi kupanda majukwaani na kujibizana na kiongozi yoyote, lakini viongozi wanapowatukana wananchi wanawakosea sana. Hivyo tuwaache viongozi watukanane wenyewe kwa wenyewe, lakini si vyema kuwatukana wananchi kwani mwisho wa siku wanarudi kwetu kuja kuomba kura. Aidha kiongozi anapowatukana wananchi anamaanisha nini wakati hapo walipo kama si wananchi kuwapigia kura asingeweza kufika hapo alipo. Kwa maana nyengine wakumbuke katika suala la biashara mteja anakuwa mfalme na kwa hapa mwananchi anafananishwa mteja ambae ndie anaeitwa mfalme. Cha msingi hapa viongozi wetu waache dhana ya ubaguzi wa aina yoyote ile kwani hausaidii isipokuwa unaikandamiza nchi husika. Usishangae wale wote wanaowatukana wapemba wakawa wamekuja hapa zanzibar kwa mshindo wa beni na sio wazanzibari halisi wa baba na mama, sasa wanapata wapi nguvu ya kuwabagua wazanzibari tena walio kindakindaki
Yusuf huna mpya ww nyi nyi ndowabaguzi
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Ume baguliwa wapi?
Kwani alichokiongoa uongo hamkai kwenu kweli mmejaa miji ya watu hata mkasema kwenye vyombo vya habari lkn ukweli umeshasemwa hamkai kwenu Pemba rudini Pemba mkajenge Pemba yenu ukweli unauma
@RajabQassm
Ай бұрын
Hatuondoki na hamuna uwezo wa kutuondoa mtaishia kusema tu, ikiwa viongozi wetu wapo Unguja sisi tuende pemba tukafanye nini
@hamidamussa593
Ай бұрын
Ww unakujua kwenu? Pia yawezekana ukawa kharamu la uko Pemba unakokuchukia
@RajabQassm
Ай бұрын
Hatujakuchukia mkataa kwao mtumwa mimi wazazi wangu wote wako pemba na ndugu zangu wote Unguja tumekuja kutafuta mtu hachumi kwao mpuuzi we
@RajabQassm
Ай бұрын
Ndo maana Mungu, wapemba kawatajirisha we utabaki ivoivo me kwetu ndijani nitatoa machungwa ndijani nipeleke sokoni, we safiri mtu hachumi kwao.
@user-jj7nl2xo5j
Ай бұрын
Kweli kabisa
ww siompemba umpemba twakashifiwa ww hata hujui kwa ujinga kukutawala hujui hata maana yakutukanwa hamaku mkubwa we
ni kujitenga tu
Lakini ninauhakika sikuhile mh SULEIMAN wa jimbo la ziwani hakuepo pale kama anglikuepo pamoja na kua yeye ni CCM lakini upuuzi hule aisngali ikubali hata siku moja
Kuna watu hupenda kujitia hamnazo CCM hawatukanwi CCM ila wanatolewa makosa yao khasa katika ubadhirifu wa fedha na hilo linjulikana tusichanganye maji na tope
wewe ulokua c mshenzi je unaijua pemba au unasma 2
Ni wasenge hao
Kube ukweli unauma cn stahamilini kidogo
@mohdkhatib223
28 күн бұрын
Ukweli upi huo? Halafu wewe tukujue asili yako?
Huyu nadir kila akifungua mdomo aulizwe yuko wapi Juma wa Juma? Ataweka akili yake kama kasahau
Allah Atawalipatu Hao mathwalimu wakubwa wameshazoea kula Mali za umma hususan Hao wanao tubaguwa wa pemba besa zetu zinawatia kiburi ila Maisha mafupi punzi zisiwahadae
Yule ni mwanaharamu wa Kihindi!na la kushangaza ni kwamba ndani majumba yao wanao ndani ya majumba yao!kwa mfano huyo mwanaharamu Nadir ni hivi karibuni tu alimtafutia mke(Mpemba)na tujiulize mbona hakumtafutia mke Makunduchi au Matemwe?na shahidi ni huyo Spika kwani na yeye alihudhuria ktk tokeo hilo lililofanyika Mskiti wa Kiembesamaki!
Mtume ameingiaje kwenye chama na siasa acheni kuinasibisha dini na Chama
Mlisahau mlivyomuita Mzee Idrissa Abdu wakil Ngombe.mmepata mwezenu
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Huyo mzee idirisa unae msema hata hao waunguja walimkataa na ndio mana akaamua kujiuzulu
Alaaniwe Nadiri
Mmmmh
Tutakwenda kuziuza kenya karafuuu. Na wenye kuziuza karafuu (ZSTC) tusikubali hata gunia moja la karafuu kusafirishwa Unguja, njia pekee ni kuchoma motooo (🔥🔥🔥) maghala yote ya kuhifadhia karafuuu yote Pemba .
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Tuczichome. Wajinga wataona japo cku
Kwani makamo wa pili sio mpemba? Mbona kashindwa kukemea ? Hakika hao kina nadir niwakufukuzwa lakin wakuu wanapenda wapemba kutukunwa
Tusomen Dua kubwa pemba
Sasa jamani sisi tumesema kua wao wanakauli mbaya kwetu, mbona tena na sisi tunaasema kua yeye ni mbwa vp teeenaa sisi tueke hoja t wananchi watatuelewa
Msituletee nyinyi kwenye mikutano yenu ya ACT muda wote mnamsema Rais Mwinyi leo amesema mtu mmoja wa CCM mikutano na Waandishi wa Habari kwa hiyo kumbe nyinyi mkiambiwa ukweli mnanuna basi nuneni na mtazidi kununa wala bado
@wadhhasuleiman2621
Ай бұрын
Hujielewi ww na sio mzanzibar itakuwa
Nadir mjinga yule
Asie kua na damu ya Africa hawezi kuacha tabia yake Muhindi ametok kwao akapata tonge ya bure si lazima atawatukana wapemba hana maumivu nao ingekua wapemba ni mabohora asingeli toa mneno machafu kama hayo na wapemba baadhi yao wakafurahia hilo jee hao ni wazima kiafia?
Haha Binadam asojuwa tafauti na matusi na kukosolewa basi hana haja ya kuishi ila MMungu hamuondowi mja muovu haraka anakuwekeni hai labda mtatanabahi mutake maghfira lakini wapi madahli wanaongwa na Christian church movement CCM huwa ukweli wenye ucha MMungu hawautaki Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah inatosha
Huyu karagosi wa kibaniani katumwa
Huyo mkundu ni muhindi ajana nae
Tukiuliza wzhusika hizi siasa za Europe zinakua na matusi na kejeli kama hizi zetu ?
Hapa mumefanya la maana na tunawaunga mkono kwa asilimia mia moja. Lakini waulizeni je!! Wapemba tukiomba kujitenga kutokana na wanayotufanyia tutakuwa na kosa gani? Laiti hatuheshimu ndugu zetu wa Unguja ambao wanatuunga mkono basi maamuzi yetu yangalikuwa mwengine. Tafadhali waliopewa madaraka wakijuwa kuwa wao ni sehemu ya wageni Zanzibar waheshimu ugeni wao.
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Na tukimdadisi Sana Nadir sidhani kama babu yake Tu ni Mzaliwa wa Zanzibar!sasa anajifanya ana maumivu sanaaa Kwa Zanzibar!mwehu yule
Jibuni hoja, Mh. Nadir hajawatukana wapemba ila kaeleza ukweli kua musiseme uongo kama pemba hapafanywi maendeleo, mm mwenyewe mpemba na maendeleo nayaona, pemba ya leo sio ya jana, jibuni hoja msilete midahalo, pia unguja watu ni wengi na magari ni mengi mara 50 zaid ya pemba, hivyo miundombinu haiwez kua sawa!.
@user-gk3wz8wb3t
Ай бұрын
Ww huna akili na nahisi sio mzaliwa wa Pemba nadhani labda umekuja tu kulelewa kwa iyo usiitetee serikali ya Ccm mzee tumia akili
@KhamisBakar-ge4sp
Ай бұрын
Sisi hatutaki Hoja, tunataka Kisiwa chetu cha Pemba tupewe wenyewe tushachoka na ubanguzi 😢😢😢
@cath-ef7wd
Ай бұрын
We msenge pemba hakuna msenge kama wewe na akili zako mavi
@salyali7807
Ай бұрын
Naona kama kunzaliwa tu .. huna asili ya upemba
@lusakaone7782
Ай бұрын
Ukome
Nabiri hana lolote yule
Wana mtukana mpaka mufti wa zanzibar maana nae ni mpemba
@user-wl8ng3pj5r
Ай бұрын
Kweli
Yule ni mkundu ulio funikwa😅 hajielewi na hafai kuepo Zanzibar mungu ampe laana mbwa yule
Mbona nyie pia mnawatukana CCM na Rais wao?
@MahmoudDouchi
Ай бұрын
Nilijua tu lzm utakueopo kwenye Mada km hizi
@jumakapilima7295
Ай бұрын
@@MahmoudDouchi nashukuru sana kama ulijua hilo
Matusi Mmeanza nynyi Marehemu Dr.omar Juma mlmwita kidonge cha Lami
Nadir kajisahau kama yy ni chotara aliepinduliwa na kizazi chake kusambaratishwa anakunya Kwa mdomoni na kuongea Kwa mkunduni Kila anaposimama majukwaani
Namkumbuka maalim seif alikua akituambia kua kuchokozwa, tutachokozwa laaakini laakini tusichokozekeee wakatutoa kwenyw mstari maana safari yetu ya MAMLAKA KAMILI inatia nanga hivi karibuni, Aliyasema hayo akiwa katika kongamano lake maalim nakufungua koongamano lake
Itabidi wapemba tubaki na Pemba yetu maana watu hawatupendi,tumekua kama wapalestina du,AllahuAkbar,one day.
Mkuki kwa Nguruwe nyinyi mnavyomtukana Raisi kwenye majukwaa huwa hamuoni na mbona hamkemei?ila mkiambiwa ukweli ndio kama hivyo mnaleta siasa
@jumaseifjuma4185
Ай бұрын
Kweli ukamtukane rais hadharani nchi hii ? Loo...... uliza yaliyomkuta Bakar Shamte.
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
@@jumaseifjuma4185 Kwa hivyo pale majukwaani Kina Jusa wakimtukana matusi Raisi Yale hayaitwi matusi au ,mnaachiwa tu msije mkaleta fyokofyoko maana hamkawii nyinyi ndio kama hapo kidogo tu mshaanza kuleta maneno maneno hahahha tukutane 2025 InshaAllah
@moa4122
Ай бұрын
@@rajabmsinzia1715 Raisi ni mtu anayeongoza nchi na pia anapofanya kosa ni wajinu wa wananchi kumkosowa lakini hakuna mtu yoyote aliyesema waunguja au wamkulanga. Bahati mbaya Nadir kataja wapemba na nadhani hakuwa na nia mbaya lakini ulimi hauna mfupa na bora kujikwaa dole kuliko ulimi. Mbona Nadir ana marafiki wengi wapemba
@rajabmsinzia1715
Ай бұрын
@@Sheba4651 Au xio
@saidyussuf2291
Ай бұрын
@@moa4122 umezungumza jambo la kuunganisha sio kila anasema anakusudia ubaguzi , wote wa Zanzibar asijite mtu mpemba wala muunguja
nyie wapemba ccm hawaingii mawaidha msijihangaishe bure subirini 2025 tuwang,oe kwa kura wakileta janja tutawaondoa wanavyotaka kuondoka lkn mara hii ni final ujingaujinga wa malalamiko sasa bass
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Hapo ulipo unanuka njaa unawashinfikiza viongozi wa ccm maisha tu usijitie upofu apa
Nadir ni mbwa tu .Tena rais mwinyi watakao muharibia ni mbwa km Hawa, Tokea apo CCM hatuipendi ndo itazid kutuchukiza
Yule ni mbaguzi tu hapendi watu weusi anajifichia kutukana wapemba lakini anawaona nyani wote humo barazani ila hawataji waunguja analinda cheo