KURA YA MAPEMA HAIYONDOKI INABORESHWA ZAID WAZEE WAGONJWA WAJAWAZITO WALEMAV WATAPIGA KURA YA MAPEMA

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 102

  • @w4058
    @w405814 күн бұрын

    Alaysa llahu biahkamulihakimin hakimin na Allah anazijuwa mbinu zenu ovu na atawaweka mnapostahiki madhalim waku Hasbunallah Waniimal Wakiil anawaumbuwa bila wenyewe kujijuwa

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw14 күн бұрын

    Ewe Allah, tunakuomba waja wako, wewe ndo wakuombwa hakuna mwengine ispokua wewe, mshushie laana kila aliye katika katika chama cha mapindizi. Iangsmize ccm na watu wake kama ulivyomuangamiza Firaun na wagh wake. Amin

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam14 күн бұрын

    Mungu anawaona nalolote litakalotokea mutakuwa mas... Uul mbele ya Allah.

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar414214 күн бұрын

    Subhanallah yarabi yani ccm mnazalisha chuki zanzibar yani ccm kiswahili unamwita mwenzako mvuta bangi @Mansour Yussuf Himid

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un14 күн бұрын

    Basi kama wagonjwa wote wapige kura ya mapema ndio sote maana hakuna mzima maisha yameshatutia ugonjwa

  • @alinassor391
    @alinassor39115 күн бұрын

    Sasa km kweli mnajiamini hio kura ya mapema inamaana gn mpaka Wagonjwa wa akili pia nao wapige kura ya mapema lkn wizi upo palepale ndio lengo lenu ila inshaallah m.mungu atawahukumu apa apa duniani

  • @alimau7939
    @alimau793914 күн бұрын

    CCM Chama cha Mabaradhuli

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db14 күн бұрын

    Tafuta kazi ufanye ujipatie rizki ya halali kua c c m sio lazima. kinyume na hivo utahesabu majaji hd kiama.

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB14 күн бұрын

    Kuwa mkweli maana ya kura ya mapema ni nini. Kama sio wizi.

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed872514 күн бұрын

    Mansoor umemwita mvuta bangi ! Jee wewe ukiambiwa khanithi au msenge utasemaje hiyo

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai113114 күн бұрын

    Mamaako mvuta bangi mbwa koko

  • @salyali7807
    @salyali780714 күн бұрын

    Laanatullah ... Hasbiyallah waneemal wakeel

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji14 күн бұрын

    Dunia nzima basi wagonjwa wapo Zanzibar tu mbona muna hila huko bara kunako watu wengi hakuna kura ya mapema au bara hawagnjwi achena hila zenu uwizi tu kutaka kupiga kura mara sabasaba

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz14 күн бұрын

    Ccm haitadum Zanzibar kwa miaka 10 ijayo In Shaa Allah naomba muhifadhi hii comment Mwinyi hatomaliza miaka yake 10 abadan

  • @SanguloRaahoo

    @SanguloRaahoo

    14 күн бұрын

    Endelea kujipa moyo ccm ni milele na milele

  • @SaidHassan-ot3un

    @SaidHassan-ot3un

    14 күн бұрын

    @@SanguloRaahoo ikiwa ww hauna uhakika wa kesho basi ndio hivyo hivyo kwa jambo lolote hukaa kwa muda uliokadiriwa na alla

  • @ISSAJR-fo5nt
    @ISSAJR-fo5nt14 күн бұрын

    Kwani walemavu wapo Zanzibar tu au ninyi ndo mnaowatia ulemavu?

  • @user-jh5ne9mw4w
    @user-jh5ne9mw4w14 күн бұрын

    Na ww pia ishalla utakufa mapema

  • @jombadulla
    @jombadulla14 күн бұрын

    asha bakar ashatangulia mbele ya haki,John pombe magufuli ashaenda,na wew ursenda,mwyi mkuu ashaenda,kwa kila nafs itaonja unauti,ata wew ipo ciku utaenda,fanya amali njema

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah188714 күн бұрын

    Wee mbwaa utamutaje mvuta bangi wezio

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma761615 күн бұрын

    kama haijaondoka basi ccm itaondoka .hata iweje ndufu yangu

  • @allymaha-tv5lf
    @allymaha-tv5lf14 күн бұрын

    Kila mbinu za uovu tumieni lakin inshaallah madam mna nia ya kufanyia wenzenu hamtoshinda Maisha litakalo baki kwenu hivyo hivyo Kuwauwa watu mjibebeshe jukumu Kwa Allah. wizi kura kama hivyo mnavyo panga au kuwatumia Vijana ambao hawajitambui Kwa kupiga kura mia mia . na kubiruwa matokeo na kufuta uchaguzi pale ambapo mnapoona mmeshindwa hayo ndio mnayoyajua lakin Kwa zanzibar hii ccm haishindi kwa njia ya kura ya. halali haishindi

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi242913 күн бұрын

    Wallah wingi walotouliwa binafsi Mh khamis mobeto tu ndo nnae mkubali jama sijawai msikia akiongea kumkashif mtu.. lkn pia ata akiongea unamuona fika hayupo kugombanisha wapinzani na Mh Rais mwinyi lkn hawa wengine wallah wapo kimaslai na kumgombanisha Rais wetuu mpendwa Hussein mwinyi na wapinzani na wananchi

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3f14 күн бұрын

    Kura ya mapema ni nini kama si wizi, kwani hao wazee wa pensheni, walemavu, waja wazito na wagonjwa si wapige kura wao kwanza kisha kura ziendelee kupigwa kwa wenginine siku hiyohiyo moja

  • @Time-ev3dw
    @Time-ev3dw9 күн бұрын

    Umoja wa walaji😊😊

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j14 күн бұрын

    Nakuambie hapo hakuna la ukweli hata moja alosema. Anawazuga mibunju wenzie tu. Khanithi mtef tef bora Mauzinde kuliko huyu.

  • @nassorseif7907
    @nassorseif790714 күн бұрын

    Kwani kura ya mapema ni sheria ya Allah kua haifutiki Hio kura ya mapema ndio chanzo cha mauwaji na nyinyi ndo munaonadi amani na utulivu kila sehemu kwahio munashilikilia jambo ambalo tayar mmeshaliona athari yake ili mupate kuua wenzenu madhalimu wakubwa nyinyi Allah atawangamiza km alivo muungamiza Firauni na watu wake

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman14 күн бұрын

    Ccm Zanzibar wamechanganyikiwa

  • @WakaWaka-eu9ky
    @WakaWaka-eu9ky14 күн бұрын

    Wee dimwa huna swaga ni kibaraka wa ccm t huez kumwita mwenzio mvuta bangi ww je mvita unga au

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou2 күн бұрын

    Zanzibar inawezakufanya uchaguzi kwa nusu SAA tu kama ilivyo nchj ya isrrael,,,lakini ulimwengu mzima unajuwa zanzanbar hakuna uchaguzi ni ubabaishaji tu,,wapiga kura laki tano uchaguzi siku mbili???? Hii ni balaa

  • @hasinabukheiti
    @hasinabukheiti8 күн бұрын

    Mashaka tu

  • @SalumFuraha
    @SalumFuraha14 күн бұрын

    Huyu nae

  • @saidrashid5972
    @saidrashid597214 күн бұрын

    Umeongea vzr sana mkuu ACT 🎬 ni chama cha wafanya biashara sio chama cha kuwatumikia Wazanzibar. Kwa mujibu wa sheria ya Zanzibar 1984 kifungu cha 52 Raisi haimlazimu kupokea ushauri wa yeyote yule.

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    14 күн бұрын

    Chama cha siasa ni ccm peke yake ndio watu wa ajabu ,unadhulumiwa katika Muungano wala husimi kitu anaekuambia kuwa hapa tunadhulumiwa kwa hili na jambo hili nawe unaona kuwa nikweli hata mtoto wa darasa la tano anaona kuwa hapa ni kweli dhulma inafanyika wewe ccm Zanzibar hulioni hilo na huku ukijua ,nyinyi tuwaiteje mimi binafsi CCM Zanzibar siwaelewi na sitawaelewa kwa ujinga ujinga huo.

  • @muhidinimohd1470
    @muhidinimohd147011 күн бұрын

    Usitutukanie mansoor wetu anathamani kubwa zanzibar

  • @abdnassor
    @abdnassor12 күн бұрын

    6:12

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman14 күн бұрын

    Kwa hali hii Zanzibar hamna uchaguzi niuchafuzi

  • @user-wr1iu5re2c
    @user-wr1iu5re2c13 күн бұрын

    Mi napita 2 world on fire kumbe inavyotwa

  • @khalidmwinyi1981
    @khalidmwinyi198113 күн бұрын

    Kwa mungu hakuna act wala ccm uko kuna uislam tuu

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi851812 күн бұрын

    Semeni tu kuwa ni mbinu ya kuiba kura wala hakuna shaka.

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd731014 күн бұрын

    Daaa yani hata aibu hamna sasa mnaogopa nini kuta kupigwa kama nchi zengine zinavopiga? Mnajishrukia 😂 duu kumbe mnaogopa hahahaha

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna612214 күн бұрын

    Hivi niulize hii zanzibar km hawawezi democracy kwanini wasiseme tu why wanajipa shida chama tawala wameona wapi duniani kura ya mapema Nchi hii naishi ina watuilioni 80 lkn hatupigi kura ya mapema na Walemavu wagonjwa hawana idadi

  • @delasdiego6537
    @delasdiego653713 күн бұрын

    Hatutaki kura ya mapema fala ww

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98379 күн бұрын

    Kura ya mapema ndio njia ya wizi

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98379 күн бұрын

    Hapo ni baada ya kuona miaka saba ya nyongeza haiwezekani

  • @Maajidabdillah
    @Maajidabdillah4 күн бұрын

    Ata kama act wana mabaya yao ila hawajaifikia ccm kwa uovu ila kizuri nikua dunia ni mapito subir mfukiwe ndipo mtaiona wizi wa mapema

  • @ahmedalkiyum7592
    @ahmedalkiyum759214 күн бұрын

    Dunia bana kwsho yake mtu haijuwi

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh661814 күн бұрын

    Mhh, mheshimiwa mimi sikuelewi wewe ni nani zaidi ya kukuona kuwa ni ccm, lakini hiyo haisumbui sina ulazima wa kukujua inatosha vyovyote ulivyo ni wewe tu na mungu wako kwa aliokubariki nayo, jambo muhimu napenda kukumbusha lisije likasahaulika katika maboresho ya kura ya mapema ni vyema ikafanyika usiku ili kuwapunguzia usumbufu maalibino na wazee wanaopokeapenshen wasisumbuke ama na jua kali au mvua, ni wazi mkifanya hivyo hata matokeo ya uchaguzi atakuwa mazuri kwa wagombea kwani vimeandikwa katika bibilia matendo - - - - - - hufanyika kwenye giza 👍

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi851812 күн бұрын

    Huko ACT kuna mvuta bangi, hii kauli haikubaliki kwa vile ni kumkash

  • @khamissaid5525
    @khamissaid552514 күн бұрын

    Asimalizee manenooo

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed711814 күн бұрын

    Iyendelee milele hata miaka elf.

  • @user-ly5nv3yv8o
    @user-ly5nv3yv8o14 күн бұрын

    Kamakurayamapema hitaondo ka utaondokaww ishaallah

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz519214 күн бұрын

    Et mvuta bang mmoja mansoor 😊😊

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi11 күн бұрын

    Nahis. Uyujamaa. Alkua. Anamushia. Bangi. Mansour. Halafu. Analiwa. Uyuuuu

  • @wakwetu2444
    @wakwetu244410 күн бұрын

    Hiyo ni Kura ya wiz.

  • @kitosio
    @kitosio14 күн бұрын

    Hakuna kibaya ktk mazungunzo yaliyotolewa bila kuzingatia uhasama WA vyama

  • @alihassan3648
    @alihassan364814 күн бұрын

    Tuoni mkae milele

  • @rashidmohdkhaji7649
    @rashidmohdkhaji764911 күн бұрын

    Wajidanganya aliye akiwaleya kashakufa uji uji basi hapa hapatoshi tena

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u3 күн бұрын

    Ccm mutaondoka mwaka huu

  • @AliAbdullah-oy6yo
    @AliAbdullah-oy6yo7 күн бұрын

    Nahisi kichefuchefu hata kusikiliza

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed151413 күн бұрын

    Uchaguzi Kwa CCM ni worst nightmare.. ikikaribia uchaguzi wanatapatapa

  • @OmanIbri-hj8ss
    @OmanIbri-hj8ss14 күн бұрын

    Choko uyoooo

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p11 күн бұрын

    Chaaa ajabu hivi visiwa vina watu takriban milio 1.8 wakati urusi na afrika kusini itakua na idadi gan wao wanapiga siku moja na wanatoa matokeo vp wao Hawana wagonjwa na watu maalum Ila cc visiwa hivi tu

  • @user-om2ur5by9n
    @user-om2ur5by9n14 күн бұрын

    Pigeni ya asbh mchna na ya usiku dunia yenu

  • @husseinbakar2358
    @husseinbakar235814 күн бұрын

    Nyie ndio mliokaa na kujali matumbo yenu

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx13 күн бұрын

    Magufuli yuko wapi

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i4 күн бұрын

    Ccm zbar mnatuangusha hakuna jipya 😅

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx13 күн бұрын

    Huyu jamaa nimsenge yy nawezake

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki14 күн бұрын

    DAH NCHI HII

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw14 күн бұрын

    Alikuwepo Firaun, leo yuko wapi?

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy689910 күн бұрын

    Na Jecha yukowapi

  • @mangofish9079
    @mangofish907910 күн бұрын

    Ila cha ajabu kwa ccm kila wakiiba ndio wanazidi kujidhihirisha kama hawana watu wa kutosha zanzibar kura ya mapema kwa wapiga kura 5 ndio nini sasa?

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh14 күн бұрын

    Mbona Ccm kama wao ndio tume ya uchaguzi

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy689910 күн бұрын

    Labda mnavuta pamoja

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari695612 күн бұрын

    KURA ZA WIZI NA MAUWAJI NI PALE PALE

  • @VillaBoy-fv2zw
    @VillaBoy-fv2zw12 күн бұрын

    Kwan wazanzibar wajing kuw wasielew leng len haliyakuw ccm nyot mulisom bila kuelimik wajing wakubw nyiny

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed872514 күн бұрын

    Pia umesikia bwana wako amos makala kamujibu nyoko wee

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy9 күн бұрын

    Jamani maneno ya chuki ya nini kumwita mtu mvuta bangi ni ujinga na ushoga pamoja na chuki zako sio za chama unayumba pumzi tu hizi

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa99369 күн бұрын

    Kura ya mapema imeandaliwa maalum kwa ajili ccm kupata njia ya kuiba kura, hlf unamtukana mansour ni mvuta bangi, kibusara umefeli na huna busara, unamtukana mtu kwenye jukwaa jee wewe unavuta nini??? Si unavuta madawa ya kulevya, yaani jitu likiwa halina aibu utalijua tu uso umempauka aibu imetoka ktk uso wake

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i4 күн бұрын

    Dimwa huna jipya madaraka yamekulevya ccm hamna jipya

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan11114 күн бұрын

    Nahisi unajifurahisha wakati utasema

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98379 күн бұрын

    Hakuna uchaguzi hapo

  • @ZANAMBER
    @ZANAMBER10 күн бұрын

    Kwani hiyo tume ni mali ya ccm na hiyo kura ya mapema ni mali ya ccm au ni. Mali ya wananch au ni jeuri ya madaraka na hapo wenye nia nje nani ?

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman14 күн бұрын

    Utumbo mtupu

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman14 күн бұрын

    Wacheni mipango ya wizi hamuwezi kushinda mpaka kura ya mapema

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    14 күн бұрын

    Hata hiyo kura ya mapema pia hawakushinda. Maalim alikua juuu

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji14 күн бұрын

    Hizi ni dalili za kuwaogopa wapinzani mna lenu jambo twawajua uzuri kwani hao mnaowapigisha kura mara mbilimbli ndo wanotoa siri acheni dhulma nyie uhai mfupi

  • @alyspare4850
    @alyspare485014 күн бұрын

    punzi isikuhadae ww mzee na kutegemea siasa siku ikifika utakwenda kujibu kwa allah

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    14 күн бұрын

    Atajibu kabla hajafika kwa Mungu wake Unguja ni ndogo wenzake walikuwa kama yeye na mwisho wao ukawa mbaya sana. Basi Dua na Loooh za Wananchi ndio zitamrudi yeye na wenzake.

  • @KhalidJuma-rn6ss
    @KhalidJuma-rn6ss14 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go12 күн бұрын

    Jitekenyi ila wallah mbwa nyinyi siku visiwa hivi vikiingia kwenye machafuko basi ni nyinyi ndio munahusika Yaana Tanganyika kuna watu million 60 ila uchaguzi siku moja tu kwanini Zanzibar kuna watu million 1 ila uchaguzi siku 2? Hii haikubaliki

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s14 күн бұрын

    Ivi hawa wanazania sisi ni wajinga wacha inyeshe tuone panapo vuja hatujali kitakachotokea hata mke anaachika simbuse hawa vilaza wa madaraka

  • @alimau7939
    @alimau793914 күн бұрын

    CCM Chama cha Mabaradhuli

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim14 күн бұрын

    Wote woga huo ila kura ya mapema haipo.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu98379 күн бұрын

    Hapo ni baada ya kuona miaka saba ya nyongeza haiwezekani

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515714 күн бұрын

    nachafukwa na nyoyo kuwaskiliza hawa

  • @binmasoud4150

    @binmasoud4150

    14 күн бұрын

    Kweli hasa😮

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u3 күн бұрын

    Sasa mbona bara Kuna watu weng hakuna kura ya mapema munataka iwe znz tu Nia yenu kuwa watu kwa idadi kubwa ila mungu yupo baba utakufaa ww mapema

  • @seifserenge3340
    @seifserenge334014 күн бұрын

    Yaonekana mna huruma kweli CCM, hamtaki raia wenu wapate tabu hata chembe,

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny14 күн бұрын

    Mim huaga nasema hviii ccm yeyote akisema jambo lolote kuhsu kura uongozi ama nchi basi liamin ata km analosema ni ovu km firoun

Келесі