KURA YA MAPEMA HAIYONDOKI INABORESHWA ZAID WAZEE WAGONJWA WAJAWAZITO WALEMAV WATAPIGA KURA YA MAPEMA
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 102
Alaysa llahu biahkamulihakimin hakimin na Allah anazijuwa mbinu zenu ovu na atawaweka mnapostahiki madhalim waku Hasbunallah Waniimal Wakiil anawaumbuwa bila wenyewe kujijuwa
Ewe Allah, tunakuomba waja wako, wewe ndo wakuombwa hakuna mwengine ispokua wewe, mshushie laana kila aliye katika katika chama cha mapindizi. Iangsmize ccm na watu wake kama ulivyomuangamiza Firaun na wagh wake. Amin
Mungu anawaona nalolote litakalotokea mutakuwa mas... Uul mbele ya Allah.
Subhanallah yarabi yani ccm mnazalisha chuki zanzibar yani ccm kiswahili unamwita mwenzako mvuta bangi @Mansour Yussuf Himid
Basi kama wagonjwa wote wapige kura ya mapema ndio sote maana hakuna mzima maisha yameshatutia ugonjwa
Sasa km kweli mnajiamini hio kura ya mapema inamaana gn mpaka Wagonjwa wa akili pia nao wapige kura ya mapema lkn wizi upo palepale ndio lengo lenu ila inshaallah m.mungu atawahukumu apa apa duniani
CCM Chama cha Mabaradhuli
Tafuta kazi ufanye ujipatie rizki ya halali kua c c m sio lazima. kinyume na hivo utahesabu majaji hd kiama.
Kuwa mkweli maana ya kura ya mapema ni nini. Kama sio wizi.
Mansoor umemwita mvuta bangi ! Jee wewe ukiambiwa khanithi au msenge utasemaje hiyo
Mamaako mvuta bangi mbwa koko
Laanatullah ... Hasbiyallah waneemal wakeel
Dunia nzima basi wagonjwa wapo Zanzibar tu mbona muna hila huko bara kunako watu wengi hakuna kura ya mapema au bara hawagnjwi achena hila zenu uwizi tu kutaka kupiga kura mara sabasaba
Ccm haitadum Zanzibar kwa miaka 10 ijayo In Shaa Allah naomba muhifadhi hii comment Mwinyi hatomaliza miaka yake 10 abadan
@SanguloRaahoo
14 күн бұрын
Endelea kujipa moyo ccm ni milele na milele
@SaidHassan-ot3un
14 күн бұрын
@@SanguloRaahoo ikiwa ww hauna uhakika wa kesho basi ndio hivyo hivyo kwa jambo lolote hukaa kwa muda uliokadiriwa na alla
Kwani walemavu wapo Zanzibar tu au ninyi ndo mnaowatia ulemavu?
Na ww pia ishalla utakufa mapema
asha bakar ashatangulia mbele ya haki,John pombe magufuli ashaenda,na wew ursenda,mwyi mkuu ashaenda,kwa kila nafs itaonja unauti,ata wew ipo ciku utaenda,fanya amali njema
Wee mbwaa utamutaje mvuta bangi wezio
kama haijaondoka basi ccm itaondoka .hata iweje ndufu yangu
Kila mbinu za uovu tumieni lakin inshaallah madam mna nia ya kufanyia wenzenu hamtoshinda Maisha litakalo baki kwenu hivyo hivyo Kuwauwa watu mjibebeshe jukumu Kwa Allah. wizi kura kama hivyo mnavyo panga au kuwatumia Vijana ambao hawajitambui Kwa kupiga kura mia mia . na kubiruwa matokeo na kufuta uchaguzi pale ambapo mnapoona mmeshindwa hayo ndio mnayoyajua lakin Kwa zanzibar hii ccm haishindi kwa njia ya kura ya. halali haishindi
Wallah wingi walotouliwa binafsi Mh khamis mobeto tu ndo nnae mkubali jama sijawai msikia akiongea kumkashif mtu.. lkn pia ata akiongea unamuona fika hayupo kugombanisha wapinzani na Mh Rais mwinyi lkn hawa wengine wallah wapo kimaslai na kumgombanisha Rais wetuu mpendwa Hussein mwinyi na wapinzani na wananchi
Kura ya mapema ni nini kama si wizi, kwani hao wazee wa pensheni, walemavu, waja wazito na wagonjwa si wapige kura wao kwanza kisha kura ziendelee kupigwa kwa wenginine siku hiyohiyo moja
Umoja wa walaji😊😊
Nakuambie hapo hakuna la ukweli hata moja alosema. Anawazuga mibunju wenzie tu. Khanithi mtef tef bora Mauzinde kuliko huyu.
Kwani kura ya mapema ni sheria ya Allah kua haifutiki Hio kura ya mapema ndio chanzo cha mauwaji na nyinyi ndo munaonadi amani na utulivu kila sehemu kwahio munashilikilia jambo ambalo tayar mmeshaliona athari yake ili mupate kuua wenzenu madhalimu wakubwa nyinyi Allah atawangamiza km alivo muungamiza Firauni na watu wake
Ccm Zanzibar wamechanganyikiwa
Wee dimwa huna swaga ni kibaraka wa ccm t huez kumwita mwenzio mvuta bangi ww je mvita unga au
Zanzibar inawezakufanya uchaguzi kwa nusu SAA tu kama ilivyo nchj ya isrrael,,,lakini ulimwengu mzima unajuwa zanzanbar hakuna uchaguzi ni ubabaishaji tu,,wapiga kura laki tano uchaguzi siku mbili???? Hii ni balaa
Mashaka tu
Huyu nae
Umeongea vzr sana mkuu ACT 🎬 ni chama cha wafanya biashara sio chama cha kuwatumikia Wazanzibar. Kwa mujibu wa sheria ya Zanzibar 1984 kifungu cha 52 Raisi haimlazimu kupokea ushauri wa yeyote yule.
@jumamohamed3168
14 күн бұрын
Chama cha siasa ni ccm peke yake ndio watu wa ajabu ,unadhulumiwa katika Muungano wala husimi kitu anaekuambia kuwa hapa tunadhulumiwa kwa hili na jambo hili nawe unaona kuwa nikweli hata mtoto wa darasa la tano anaona kuwa hapa ni kweli dhulma inafanyika wewe ccm Zanzibar hulioni hilo na huku ukijua ,nyinyi tuwaiteje mimi binafsi CCM Zanzibar siwaelewi na sitawaelewa kwa ujinga ujinga huo.
Usitutukanie mansoor wetu anathamani kubwa zanzibar
6:12
Kwa hali hii Zanzibar hamna uchaguzi niuchafuzi
Mi napita 2 world on fire kumbe inavyotwa
Kwa mungu hakuna act wala ccm uko kuna uislam tuu
Semeni tu kuwa ni mbinu ya kuiba kura wala hakuna shaka.
Daaa yani hata aibu hamna sasa mnaogopa nini kuta kupigwa kama nchi zengine zinavopiga? Mnajishrukia 😂 duu kumbe mnaogopa hahahaha
Hivi niulize hii zanzibar km hawawezi democracy kwanini wasiseme tu why wanajipa shida chama tawala wameona wapi duniani kura ya mapema Nchi hii naishi ina watuilioni 80 lkn hatupigi kura ya mapema na Walemavu wagonjwa hawana idadi
Hatutaki kura ya mapema fala ww
Kura ya mapema ndio njia ya wizi
Hapo ni baada ya kuona miaka saba ya nyongeza haiwezekani
Ata kama act wana mabaya yao ila hawajaifikia ccm kwa uovu ila kizuri nikua dunia ni mapito subir mfukiwe ndipo mtaiona wizi wa mapema
Dunia bana kwsho yake mtu haijuwi
Mhh, mheshimiwa mimi sikuelewi wewe ni nani zaidi ya kukuona kuwa ni ccm, lakini hiyo haisumbui sina ulazima wa kukujua inatosha vyovyote ulivyo ni wewe tu na mungu wako kwa aliokubariki nayo, jambo muhimu napenda kukumbusha lisije likasahaulika katika maboresho ya kura ya mapema ni vyema ikafanyika usiku ili kuwapunguzia usumbufu maalibino na wazee wanaopokeapenshen wasisumbuke ama na jua kali au mvua, ni wazi mkifanya hivyo hata matokeo ya uchaguzi atakuwa mazuri kwa wagombea kwani vimeandikwa katika bibilia matendo - - - - - - hufanyika kwenye giza 👍
Huko ACT kuna mvuta bangi, hii kauli haikubaliki kwa vile ni kumkash
Asimalizee manenooo
Iyendelee milele hata miaka elf.
Kamakurayamapema hitaondo ka utaondokaww ishaallah
Et mvuta bang mmoja mansoor 😊😊
Nahis. Uyujamaa. Alkua. Anamushia. Bangi. Mansour. Halafu. Analiwa. Uyuuuu
Hiyo ni Kura ya wiz.
Hakuna kibaya ktk mazungunzo yaliyotolewa bila kuzingatia uhasama WA vyama
Tuoni mkae milele
Wajidanganya aliye akiwaleya kashakufa uji uji basi hapa hapatoshi tena
Ccm mutaondoka mwaka huu
Nahisi kichefuchefu hata kusikiliza
Uchaguzi Kwa CCM ni worst nightmare.. ikikaribia uchaguzi wanatapatapa
Choko uyoooo
Chaaa ajabu hivi visiwa vina watu takriban milio 1.8 wakati urusi na afrika kusini itakua na idadi gan wao wanapiga siku moja na wanatoa matokeo vp wao Hawana wagonjwa na watu maalum Ila cc visiwa hivi tu
Pigeni ya asbh mchna na ya usiku dunia yenu
Nyie ndio mliokaa na kujali matumbo yenu
Magufuli yuko wapi
Ccm zbar mnatuangusha hakuna jipya 😅
Huyu jamaa nimsenge yy nawezake
DAH NCHI HII
Alikuwepo Firaun, leo yuko wapi?
Na Jecha yukowapi
Ila cha ajabu kwa ccm kila wakiiba ndio wanazidi kujidhihirisha kama hawana watu wa kutosha zanzibar kura ya mapema kwa wapiga kura 5 ndio nini sasa?
Mbona Ccm kama wao ndio tume ya uchaguzi
Labda mnavuta pamoja
KURA ZA WIZI NA MAUWAJI NI PALE PALE
Kwan wazanzibar wajing kuw wasielew leng len haliyakuw ccm nyot mulisom bila kuelimik wajing wakubw nyiny
Pia umesikia bwana wako amos makala kamujibu nyoko wee
Jamani maneno ya chuki ya nini kumwita mtu mvuta bangi ni ujinga na ushoga pamoja na chuki zako sio za chama unayumba pumzi tu hizi
Kura ya mapema imeandaliwa maalum kwa ajili ccm kupata njia ya kuiba kura, hlf unamtukana mansour ni mvuta bangi, kibusara umefeli na huna busara, unamtukana mtu kwenye jukwaa jee wewe unavuta nini??? Si unavuta madawa ya kulevya, yaani jitu likiwa halina aibu utalijua tu uso umempauka aibu imetoka ktk uso wake
Dimwa huna jipya madaraka yamekulevya ccm hamna jipya
Nahisi unajifurahisha wakati utasema
Hakuna uchaguzi hapo
Kwani hiyo tume ni mali ya ccm na hiyo kura ya mapema ni mali ya ccm au ni. Mali ya wananch au ni jeuri ya madaraka na hapo wenye nia nje nani ?
Utumbo mtupu
Wacheni mipango ya wizi hamuwezi kushinda mpaka kura ya mapema
@user-ki4sg8yz9j
14 күн бұрын
Hata hiyo kura ya mapema pia hawakushinda. Maalim alikua juuu
Hizi ni dalili za kuwaogopa wapinzani mna lenu jambo twawajua uzuri kwani hao mnaowapigisha kura mara mbilimbli ndo wanotoa siri acheni dhulma nyie uhai mfupi
punzi isikuhadae ww mzee na kutegemea siasa siku ikifika utakwenda kujibu kwa allah
@awatifalghanim1106
14 күн бұрын
Atajibu kabla hajafika kwa Mungu wake Unguja ni ndogo wenzake walikuwa kama yeye na mwisho wao ukawa mbaya sana. Basi Dua na Loooh za Wananchi ndio zitamrudi yeye na wenzake.
😅😅😅😅
Jitekenyi ila wallah mbwa nyinyi siku visiwa hivi vikiingia kwenye machafuko basi ni nyinyi ndio munahusika Yaana Tanganyika kuna watu million 60 ila uchaguzi siku moja tu kwanini Zanzibar kuna watu million 1 ila uchaguzi siku 2? Hii haikubaliki
Ivi hawa wanazania sisi ni wajinga wacha inyeshe tuone panapo vuja hatujali kitakachotokea hata mke anaachika simbuse hawa vilaza wa madaraka
CCM Chama cha Mabaradhuli
Wote woga huo ila kura ya mapema haipo.
Hapo ni baada ya kuona miaka saba ya nyongeza haiwezekani
nachafukwa na nyoyo kuwaskiliza hawa
@binmasoud4150
14 күн бұрын
Kweli hasa😮
Sasa mbona bara Kuna watu weng hakuna kura ya mapema munataka iwe znz tu Nia yenu kuwa watu kwa idadi kubwa ila mungu yupo baba utakufaa ww mapema
Yaonekana mna huruma kweli CCM, hamtaki raia wenu wapate tabu hata chembe,
Mim huaga nasema hviii ccm yeyote akisema jambo lolote kuhsu kura uongozi ama nchi basi liamin ata km analosema ni ovu km firoun