MOTO AWASHIWA WAZIRI WA FEDHA MAKAMO WA KWANZA MHE OMO ATAKA AFUKUZWE ANAVUNJA MUUNGANO
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 32
Let's be like Kenyans 😢 tutabak hiv mpak lini
Mchafuvi wa lugha Chama hiko, chama hiko, chama hiko,nilifikiri ulitamka kwa bahati mbaya kumbe unajaribu kutusilimisha
Inasikitisha fedha zinavofujwa 😢😢😢
Awajamaa kweli wamejipanga kuchukua nje namungu atawajalia
@user-et9vf2ro2k
28 күн бұрын
Ujinga ujinga sasa basi
@nassorseif7907
28 күн бұрын
Aaamiin Allah awape nchi yao
@hafidhhemed1514
28 күн бұрын
Amen
@Rashidmohammed03
24 күн бұрын
Amiin ya rabby
Sasaivi ndio pazuri kusema bendera inamruhusu usimlaumu 😂😂😂
Taarifa nzuri ila lugha ya mtangazaji haipo Sawa
Mbona ccm hwtki hili neno znzbr yenye mamlaka wao wnachokitaka barabara namasoko ty😂😂😂😂
Jambo lilouwa zanzibar ni dhulma ya wana ccm wa Zanzibar na Tanganyika
@Jal210
21 күн бұрын
Wazanzibar simtoke Tanganyika ya nini maneno kila siku hatuna faida na Zanzibar yenu nyie wapumbavu sana
@omarmohammed5157
21 күн бұрын
@@Jal210 siku zote hata mwendawazim hujiona ana akili na kuona watu hawana akiili sikulaumu
Hata sisi Tanganyika tunataka mamlaka kamili, na ss tuwe na rais wetu kama nyinyi.
yaguju
waambie
Mtangazaji ajifunze kiswahili cha znz
@user-ll8fv2xt9n
27 күн бұрын
naam sahihi kabisa..ati "CHAMA HIKO" ni aibu kwa kweli
Ndugu mtangazaji sio chama hiko kiswahili sanifu ni chama hicho
Mwamba yuko sahihi
Cha hicho dada sio chama hiko
ndugu muandishi chama hiko ndio nn
Chama hiko au chama hicho?
Hapa ndio unaona serikali tatu hazikwepeki
Yani masiara mbali uyu jamaa anaongea vitu muhim
Labda mtangazaji ni mchina
Mhe. OMO ulikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa karibu miaka 10 naoina ilikuwa "plate form" nzuri kusema hayo na ulikuwa ni wajibu wako. Hasa. Mamlaka kamili kwenye Muungano yapo je? Naomba anaeelewa anieleweshe. Hivi sasa tunadai Katiba Mpya lakini iliyopo haijatekelezwa wala kuheshimiwa ipasavyo. Mfano Ibara ya 131 - 144 kuhusu fedha ikiwemo akaunti ya pamoja. Je Katiba Mpya itafaa nini ikiwa haitatekelezwa wala kuheshimiwa.
@jumamohamed3168
28 күн бұрын
Haji mbona unakuwa kama mtu ambae huna uelewa wa mambo kwanini,mimi naamini unajifanya tu,kwanza ungechukizwa na huu udanganyifu unaofanyika katika Muungano juu ya Zanzibar inavyofanyiwa.mambo yapo wazi hata wewe kama unafanya ushirika na mtu juu ya biashara yenu ya ushirika usingekubali kuendelea na huo ushirika ingemwambia kila mtu afanye biashara kivyake kwa sababu ilishamuona mwenzako dhamira yake ni mbaya.tunapotaka kushabikia mambo tuangalie ukweli zaidi ulivyo.
@AbdallahSalim-is3db
28 күн бұрын
Jaribu kupinga uwa bado umo kundini mwa wachawi uone watakavo kula nyamnyam
@user-pm7yo3xi3h
28 күн бұрын
Ulikuwepo wapi alipofukuzwa na Shein hakuna au
@Jal210
21 күн бұрын
Wewe mjinga huna adabu leo ndiyo unataka nchi yenu wakati vizazi na vizazi vimeshazaliwa mjinga kabisa wewe