MOTO AWASHIWA WAZIRI WA FEDHA MAKAMO WA KWANZA MHE OMO ATAKA AFUKUZWE ANAVUNJA MUUNGANO

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 32

  • @Mahirwazanzibar
    @Mahirwazanzibar28 күн бұрын

    Let's be like Kenyans 😢 tutabak hiv mpak lini

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi810728 күн бұрын

    Mchafuvi wa lugha Chama hiko, chama hiko, chama hiko,nilifikiri ulitamka kwa bahati mbaya kumbe unajaribu kutusilimisha

  • @salyali7807
    @salyali780728 күн бұрын

    Inasikitisha fedha zinavofujwa 😢😢😢

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u28 күн бұрын

    Awajamaa kweli wamejipanga kuchukua nje namungu atawajalia

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    28 күн бұрын

    Ujinga ujinga sasa basi

  • @nassorseif7907

    @nassorseif7907

    28 күн бұрын

    Aaamiin Allah awape nchi yao

  • @hafidhhemed1514

    @hafidhhemed1514

    28 күн бұрын

    Amen

  • @Rashidmohammed03

    @Rashidmohammed03

    24 күн бұрын

    Amiin ya rabby

  • @DuuSaid
    @DuuSaid28 күн бұрын

    Sasaivi ndio pazuri kusema bendera inamruhusu usimlaumu 😂😂😂

  • @lusakaone7782
    @lusakaone778228 күн бұрын

    Taarifa nzuri ila lugha ya mtangazaji haipo Sawa

  • @kassim1262
    @kassim126226 күн бұрын

    Mbona ccm hwtki hili neno znzbr yenye mamlaka wao wnachokitaka barabara namasoko ty😂😂😂😂

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515728 күн бұрын

    Jambo lilouwa zanzibar ni dhulma ya wana ccm wa Zanzibar na Tanganyika

  • @Jal210

    @Jal210

    21 күн бұрын

    Wazanzibar simtoke Tanganyika ya nini maneno kila siku hatuna faida na Zanzibar yenu nyie wapumbavu sana

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    21 күн бұрын

    @@Jal210 siku zote hata mwendawazim hujiona ana akili na kuona watu hawana akiili sikulaumu

  • @hakiyangu
    @hakiyangu26 күн бұрын

    Hata sisi Tanganyika tunataka mamlaka kamili, na ss tuwe na rais wetu kama nyinyi.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu86628 күн бұрын

    yaguju

  • @SaydyShaabani
    @SaydyShaabani28 күн бұрын

    waambie

  • @rajabrajab3525
    @rajabrajab352528 күн бұрын

    Mtangazaji ajifunze kiswahili cha znz

  • @user-ll8fv2xt9n

    @user-ll8fv2xt9n

    27 күн бұрын

    naam sahihi kabisa..ati "CHAMA HIKO" ni aibu kwa kweli

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam28 күн бұрын

    Ndugu mtangazaji sio chama hiko kiswahili sanifu ni chama hicho

  • @febby8308
    @febby830827 күн бұрын

    Mwamba yuko sahihi

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv28 күн бұрын

    Cha hicho dada sio chama hiko

  • @user-kv9lq7yy8l
    @user-kv9lq7yy8l28 күн бұрын

    ndugu muandishi chama hiko ndio nn

  • @salyali7807
    @salyali780728 күн бұрын

    Chama hiko au chama hicho?

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga956628 күн бұрын

    Hapa ndio unaona serikali tatu hazikwepeki

  • @muhidinimohd1470
    @muhidinimohd147028 күн бұрын

    Yani masiara mbali uyu jamaa anaongea vitu muhim

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db28 күн бұрын

    Labda mtangazaji ni mchina

  • @hajihassan5433
    @hajihassan543328 күн бұрын

    Mhe. OMO ulikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa karibu miaka 10 naoina ilikuwa "plate form" nzuri kusema hayo na ulikuwa ni wajibu wako. Hasa. Mamlaka kamili kwenye Muungano yapo je? Naomba anaeelewa anieleweshe. Hivi sasa tunadai Katiba Mpya lakini iliyopo haijatekelezwa wala kuheshimiwa ipasavyo. Mfano Ibara ya 131 - 144 kuhusu fedha ikiwemo akaunti ya pamoja. Je Katiba Mpya itafaa nini ikiwa haitatekelezwa wala kuheshimiwa.

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    28 күн бұрын

    Haji mbona unakuwa kama mtu ambae huna uelewa wa mambo kwanini,mimi naamini unajifanya tu,kwanza ungechukizwa na huu udanganyifu unaofanyika katika Muungano juu ya Zanzibar inavyofanyiwa.mambo yapo wazi hata wewe kama unafanya ushirika na mtu juu ya biashara yenu ya ushirika usingekubali kuendelea na huo ushirika ingemwambia kila mtu afanye biashara kivyake kwa sababu ilishamuona mwenzako dhamira yake ni mbaya.tunapotaka kushabikia mambo tuangalie ukweli zaidi ulivyo.

  • @AbdallahSalim-is3db

    @AbdallahSalim-is3db

    28 күн бұрын

    Jaribu kupinga uwa bado umo kundini mwa wachawi uone watakavo kula nyamnyam

  • @user-pm7yo3xi3h

    @user-pm7yo3xi3h

    28 күн бұрын

    Ulikuwepo wapi alipofukuzwa na Shein hakuna au

  • @Jal210

    @Jal210

    21 күн бұрын

    Wewe mjinga huna adabu leo ndiyo unataka nchi yenu wakati vizazi na vizazi vimeshazaliwa mjinga kabisa wewe

Келесі