Kauli ya RC Chalamila baada ya kufika Kariakoo, awapiga biti watakaowafanyia vurugu waliofungua
Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wafanyabishara waliofungua maduka yao leo Jumatatu Juni 24, 2024, licha ya kuwepo kwa mgomo wa baadhi ya wafanyabishara, atalinda biashara zao na hawatafanyiwa vurugu.
RC Chalamila amesema atakayejaribu kuwafanyia vurugu wafanyabiashara waliofunga maduka yao, atashughulika naye.
“Nataka niwathibitishie yule atakayemletea mkwara aliyekubali kufungua, naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonyesha ‘show’ nzima. Kwa sababu mtu anakubali kufungua na wewe unamchimba mkwara, mimi ntakuchimba mkwara na hautainuka tena,” amesema.
Aidha, Chalamila amesema kero zilizopelekwa na wafanyabishara hao serikalini zinaendelea kushughulikiwa.
Wafanyabiashara hao wamegoma, baada ya Jumamosi Juni 22, 2024 kusambaa vipeperushi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo huo utakaoanza leo.
Wafanyabiashara hao wamefunga maduka kwa madai ya kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Karikaoo, Martin Mbwana akizungumza na Mwananchi Juni 22, 2024 alikiri kuona vipeperushi hivyo, akieleza hiyo ni hasira za kuchoshwa na wanayofanyiwa na TRA.
Пікірлер: 217
We.hujui.chochote.unasafili.bure.unalala.bure.unakula.bure.hata.akili.yako.ni.bure.hujui.maisha.ya.maskini
@awadhally1052
Ай бұрын
Kwel kabisa huyu hamna kitu
Watanzania Waoga sana yaani wanamuacha mjinga anawapiga biti alafu watu wanasifia ujinga. Mungu wetu wape ujasiri watanzania
@mwalimjuma7374
Ай бұрын
Acheni kasumba wabongo mkuu wa mkoa kaelezea kwa ufasaha kabisa
@suleim505
Ай бұрын
Acha chuki za kijinga, kawaeleza kitu muhimu wafanyabiashara, kipi umeona cha kijinga
@HappyBooks-dj6oy
Ай бұрын
Hata mama Samia ndio walewale
Hii Nchi ni kutishiana tu, hii hali sijui itaisha lini
Mmmh mh. Hapo kupiga watu biti umekosea
Tuige mfano wa Wakenya, Tuache kuwaogopa hawa mungu watu na vitisho vyao Tujali maslahi yetu na sisi
Wakenya wanaweza watanzania sio rahisi
kiongozi mjinga sanaa huyu
@barakarobert1029
Ай бұрын
Ana leta siasa wakati leo cku ya pili wakaz wa dar hatuna maji
@HamisMghuna-fj3vz
Ай бұрын
Asante hii hakuna maji,mgomo kariakoo, ubabe wao tu police,wao,
@awadhally1052
Ай бұрын
Kwel kabisaa
Wewe unamjua Mungu ww
Masikin ya Mungu ,,viongoz wetu ,akiri ndo hzo kabisa?
hongera mkuu wa mkoa watu wanataka nchi ijengwe kwa kodi za watumishi tu. Mtumishi nchi hii ndiyo mlipa kodi mwaminifu. Mtumishi anaenda kuchukua mshahara kodi imeshakatwa zamani.
@fabianmallya1446
Ай бұрын
Ni Kipi unaweza kununua au kuuza ambacho hakijatozwa kodi hata Hilo bando unalotumia tayari lishakatwa kodi
@kisoso890
Ай бұрын
Kafirwe we si ndo mnasomaga kwa pesa zetu mnapewa mikopo hamtaki kulipa tena nyie ndio machoko wakubwa mnachua mikopo mnaenda kulia bata uukifika muda wa kulipa mnalalamika nyau wewe usikoment uchoko choko kafungue biashara uone ndio uje useme uchoko wako mbwa mweusi
Hakuna mwenye nguvu zaid ya Mungu
kiongozi mjinga sana . anasifu kutokuwezekana kwa uwazi kwenye biashara afrika. duuh afrika kinyaa sana
Sio tunatafutiwa suluhu ila tunatishwa daaaaah hii nchi mwenye cheo ndo mwenye maamuz na mwenye kaul 😭
@emmanuelndahan9815
Ай бұрын
Kakwambia waendelee kufunga walipekeka yaashugulikiwa
Kaongea mambo yasiyofaa
Tanzania mwakani vita ya uchaguzi naiona kubwa Sana Kwa mara ya kwanza vita vitatokea Kwa Hali hii😢😢
We mkuu wa mkoa we ni mwaadam ustoe kauli Kama wewe ndo final
Wako bungeni kuyajenga na wakuu wew mhaho wa Nini????
Sina duka ila roho imeniuma...sina hata mwana sheria mimi acha tu ninyamaze 😢TANZANIA NCHI YANGU Nakupenda kwa moyo wote
Hii ni mara ya pili ni vizuri utatue matatzo ya wafanyabiashara achen siasa na kutisha
😁😁😁😁😁😁 nimeshiba makande Mimi sina hera ila nawaunga mkono wafanya BIASHARA
Anzisha hiyo vita, mzee ujue migomo siyo dalili nzuri ktk taifa usitishie watu
Ndiyo mkome kabisa mmeipenda wenywe na bado mtanyooshw 2 ccm mbele kwa mbele.
Badala ya kusikiliza shida nn unatoa mikwala mingi
@awadhally1052
Ай бұрын
Chiz huyu
Kama unauwezo waondoe.hao barabarni
Hatutaki kupelekwa pelekwa yaan tutaendelea kufunga, but tunaishi kwa kutegemeana , tuumie wote tu maana mmezid yaan sisi ndo tu mewaajir afu mnatugeuzia kibao kutuajr😂😂😂 Sina hera na nikipindi cha msim wa shule, ila kutokana na utitir wa Kodi Bora mgomo
Anasemaje huyo mbona simwelewi
@Gamba177
Ай бұрын
Anafirwa huyu
Mbona vitisho 😂😂😂😂😂Raisi kasema haya haya
Bora Kenya
@MsAggie5
Ай бұрын
Wabongo waoga halafu kenya wana umoja hadi mastaa wanalaani serikali, bongo mastaa ndo wanatunga nyimbo za kusifia ujinga. Redio ndo machawa wamejaa
Mubadilike sasa faini iwe kwa TRA kwa kutoweza kufanya kazi yao
We ndo unajua bisha na faida na hasara
Ndio unasikia anajiita msomi ana degree 😢😢 degree ya mavi au?. sikiriza hoja sio mida yakutisha mbona mnaangalia sana upende wenu sio wa wana nchi 😢😢
Nakupa wiki nakutimua kazi
@nestorelisha5842
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
Hichi chama Cha ccm kimetuzoea vibaya sasa
@yusufujemson9020
Ай бұрын
Hii nchi ngumu sana
Serikali iangalie upya kiasi na utitiri wa kodi. Fedha inayopotea ni nyingi sana. Kwa mfano, kuegesha gari ni 300 kwa saa na risiti inatolewa, soda sh. 700 risiti haitolewi, ni soda ngapi zanywewa kwa siku nchi nzima?Kodi ikiwa rafiki tutakusanya nyingi sana. Pia ibuni mfumo wa mwananchi kutoa taarifa pale anaponyimwa risiti ili huyo asiyetoa ndio akabiliwe. Lakini kodi zipunguzwe kwanza ziweze kulipika.
@rashidiabdalahmkwanga7409
Ай бұрын
Safii sana nimekuelewa ndugu
@birianination7097
Ай бұрын
Kwa hiyo kila muuza soda atoe risiti mpaka wale wa barabarani na maduka yote. Kama ndio hivyo basi migomo mingi itaendelea maana ukweli wengi hapa ni hawa taki kutoa risiti
Wafanya biashara wanatishwa sana
watu wanaingizwa upepo wanajaa uwoga kwenye haki yako ni mbaya sanaaaa
Itikad yake sijaielewa wafanya biashara tunaumia Kodi zimekua kede yan nyingi so mgomo wa wote kutafuta haki pia anauhakika wamaisha hajui wafanya biashara unavyovuruga
Juzi tu nilienda kununua nguo naomba list naambiwa mtandao unasumbua, sehemu nyingine napewa list kwa kubembeleza serkali tengenezeni kanuni na sheriakali kwa hawa wafanyabiashara wa kariakoo.
@andekisyenasibu312
Ай бұрын
None sanse
@hajimgwami5224
Ай бұрын
HAPO NDIO WANAPOPATIA FAIDA KUBWA SANAA NA SERIKAL INAWACHUKUA POA LKN WANATAKA KUWAPANDA KICHWA, HUU UWAMUZI NI MZURI SANAAA, WAFUNGE HATA MWEZI AU MWAKA, HAKUNA KUWABABAIKIA
Hongera mkuu wa Mkoa unaongea fact ,black and white
@MsAggie5
Ай бұрын
Hamna fact yoyote anaongea pumba vitisho vingi sio uongozi bora. Fungua biashara ya mtaji wa kati Kama million uone hizo kodi
SAF SANA HUYU MKUU WA MKOA AKIR MINGI YAN KUONGOZA MKOA KAMA DAR LAZIMA UJITOE UFAHAM NDO MAMBO YATAENDA SAFI SANA MKUU
Ongea vizuri na watu
Ewa
Khaaaa
Nipo nipo tuuu kwenye hii nchi yangu naipenda sana nchi yng
Namkubali sana chala mirror
Wafanya biashara msisikilize hizi porijo mpaka hoja zenu ziwrkwe mezani msimkubali huyu...ni kana chawa wengine ninyi wafanya biashara ndo mnaojua shida ya kufanya biashara Achaneni na vitisho visivyo na tija
🔥🔥🔥
Huyu mkuu wa mkoa akiri hana kabisa
@salmahalfani6307
Ай бұрын
Huna akili wewe
@MsAggie5
Ай бұрын
Azitoe wapi hizo akili yeye vitisho tu!
Karibuni kwetu jamhuri ya watu wa Goba hakuna mgomo njooni mtuungishe
Mbona kama kalewa😅😅😅
Kazi hakuna
Dawa ni kulipa Kodi
Paul Makonda tu aongoze mikoa miwili Arusha na Dar
Daaahh!! Ivi uyu jommba ni akili zake
Arafu watanzania ivi naswara ramafta kpanda juu paka leo nikuhu ile vita tliodanganyiwa au ndio mamikataba mabovu yasiyo namachazo yakmpa mtu mmoja alete mafta kwanchi zima..watanzania tnapigika sana kwamabepali yanchi nayaona ila hayana ata hofu yamungu ila wakae wakijua akna mwanzo ukakosa mwisho ipo siku yenu ccm itavika mwisho
Wakuu wa nchi za kiafrika,"punguzeni madhara ya uadui kwa wateule wenu unaowapa majukumu yakuksaidieni majukumu ya nchi na wananchi...pindi wanapowakosoeni kwenye mapungufu yenu kama Binadamu hujakamilika So kubali kukosolewa na hilo ndiyo lengo lakuwa na wasaidizi," na cyo kumfanya yule anaekusifia muda wote ndiye mwenye nidhamu ya utendaji hilo cyo lengo ulilomteulia....hatima yake madhara ndiyo kama haya!!! Huna wakushauriana nae ukapata mbadala dhidi ya kile ulichonacho wew...kila mtu wako anakuangalia wew vpi akusifie...
Watanzania 2025 watachagua tena CCM
Yaan mdulumu watu alafu watu wakae tu na kukubali. Sio sawa kabisa. TRA ni kundi la madhulumati linalolindwa
Kkoo ndio zao awatoi risti kabisa ,ukidai risti wanakwambia akuna network
@user-sj1rf8ij7f
Ай бұрын
Unajua kwa nn hawatoi risiti
Manake kiongozi asipo tumia busala basi ujue wanainch watajiongoza bila kiongozi
Uyu mbena tu mambo ya kariakoo ayajui
Ndio maana wajanja hawafungui biashara Tanzania kutokana na huu usenge swala lina awamu tatu linajadiliwa mpaka leo makuma tu hawa kumamae zao
Umoja ni nguvu na utengano niuzaifu
Mmmmm hatari Sana
Hiii ndo Tanzanian ya Leo
Kuna ndugu yangu Katoka msumbiji kakamatiwa mzigo wake adi ameukosa nilikua namkubali huyu mkuu lakini kwa hili apana alokua serikalin ajui kinachoendelea ni zulma by Tanzânia bola nifuate mzigo sauzi africa
Watanzania tukajifunze kenya kuwa na misimamo wamezidi kunyanyasa wafanyabiashara
Chalamila bola ungesikiliza wana mchi usiwamin hao tra
Hosp hakuna kodi
KAKA, KAULI ZAKO HAZINA MASHIKO... WEWE SIO MUNGU NA HALI NI MBAYA. Kweli watu huwa wanabadilika sana. NIAJABU
Hivi hyu nikiongozi au
Uoga n shida sana
Hiyo ndiyo tanzania mwizi kamkamata mwizi
Mshiziii huyo anaropoka yu
Hii nchi inaviongozi piga kazi baba maneno hayo wasipoelewa basi tena
JIJI LETU LA DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA MKUU WA MKOA MSHAMBA WAKUJA. HUYU MKUU WA MKOA HAFAI KUONGOZA JIJI LA DAR ES SALAM
Askari wake
Mheshimiwa mfanyabisha mnawaumiza mbona kipindi cha magu walikuwa hagomii
Sisi ndo wafanya biashala kama huna biashala hujui Kodi zinazo katwa tulia usiongee
Nchi hi tunahitaji tujitambue Tunahitaji kujitambuhu mifumo wakutawaliwa unatumiza sana
Huyu mkuu wa mkowa ni mpombavu kweli yani changa moto za kutendaji kama mkuu wa mkowa anashindwa kuzitatuwa na mwisho wa cku analeta ubabe wa kijinga sana
@nestorelisha5842
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Mmh sasa mfanonbajaji Kodi ilikuwa laki lakini eti saivi Kodi ni zaidi ya laki Sasa hiyo ya nini
Mkoa wa mkoa ,alisema ameacha ubabe 😂,mbona kama amepanic ,hizi situations ndio kipimo Cha uongozi thabit ,He must come up with concrete solutions na sio kusema ukakae dukani uone kama mtu anakwepa Kodi 😮
haufai kuwa mkuu wa mkoa hata kidogo unaropoka 2
naona unaropoka2 umekula maharage yawapi
Hiyo sio kauli ya kiongozi
zzHUYU NAE ANAONGEA NINI ? HAPA ULAYA HUWA WANAFANYA MGOMO WA SEKTA ZOTE. MPAKA MADAKTARI
Ulitaka tuandamane kama Kenya sisi watanzania tunaandamana kiakili
Huniupimbi we nani kibri hicho mungu anawaona
Hana maamuzi viongozi wa ovyo
Huyu NI wahovyo sana ajifunze kwa makonda anavyowahangaikia wananchi mpaka unarizika sasa huyu nikuropoka hajui wananchi wake wanashida IPI
Halufu mshahara utapata wapi? Eti unamtisha anaekulisha hahahah....
Ndiyo ameongea nn watu wanataka suluhishi yy anatisha watu😢
Wasikilize tatua, hicho cheo ni Leo kesho utakuwa wapi. Acha kujisahau na kuwa Miungu watu. Hakuna kufungua!!!
Acha kutisha watu wewe kingozi siku zote unatakiwa uwenabusara wewe hufai kua kiongozi
Hii ndiy dasilamu baba, tumia busara.
akili chalamila tunajua uko kwaajili ya maslai
Hebu,tatuen,matatizo,mnawakamua,sana,
mse...n... huyu baba
kwani hapo kariakoo hakuna mawe si munge mbonda mawe vichupa sema tz kinyonge sana