Kauli ya RC Chalamila baada ya kufika Kariakoo, awapiga biti watakaowafanyia vurugu waliofungua

Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema wafanyabishara waliofungua maduka yao leo Jumatatu Juni 24, 2024, licha ya kuwepo kwa mgomo wa baadhi ya wafanyabishara, atalinda biashara zao na hawatafanyiwa vurugu.
RC Chalamila amesema atakayejaribu kuwafanyia vurugu wafanyabiashara waliofunga maduka yao, atashughulika naye.
“Nataka niwathibitishie yule atakayemletea mkwara aliyekubali kufungua, naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonyesha ‘show’ nzima. Kwa sababu mtu anakubali kufungua na wewe unamchimba mkwara, mimi ntakuchimba mkwara na hautainuka tena,” amesema.
Aidha, Chalamila amesema kero zilizopelekwa na wafanyabishara hao serikalini zinaendelea kushughulikiwa.
Wafanyabiashara hao wamegoma, baada ya Jumamosi Juni 22, 2024 kusambaa vipeperushi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo huo utakaoanza leo.
Wafanyabiashara hao wamefunga maduka kwa madai ya kuchoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Karikaoo, Martin Mbwana akizungumza na Mwananchi Juni 22, 2024 alikiri kuona vipeperushi hivyo, akieleza hiyo ni hasira za kuchoshwa na wanayofanyiwa na TRA.

Пікірлер: 217

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743Ай бұрын

    We.hujui.chochote.unasafili.bure.unalala.bure.unakula.bure.hata.akili.yako.ni.bure.hujui.maisha.ya.maskini

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Kwel kabisa huyu hamna kitu

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oyАй бұрын

    Watanzania Waoga sana yaani wanamuacha mjinga anawapiga biti alafu watu wanasifia ujinga. Mungu wetu wape ujasiri watanzania

  • @mwalimjuma7374

    @mwalimjuma7374

    Ай бұрын

    Acheni kasumba wabongo mkuu wa mkoa kaelezea kwa ufasaha kabisa

  • @suleim505

    @suleim505

    Ай бұрын

    Acha chuki za kijinga, kawaeleza kitu muhimu wafanyabiashara, kipi umeona cha kijinga

  • @HappyBooks-dj6oy

    @HappyBooks-dj6oy

    Ай бұрын

    Hata mama Samia ndio walewale

  • @jamesnyamila2165
    @jamesnyamila2165Ай бұрын

    Hii Nchi ni kutishiana tu, hii hali sijui itaisha lini

  • @calvinshirima2654
    @calvinshirima2654Ай бұрын

    Mmmh mh. Hapo kupiga watu biti umekosea

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162Ай бұрын

    Tuige mfano wa Wakenya, Tuache kuwaogopa hawa mungu watu na vitisho vyao Tujali maslahi yetu na sisi

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4jАй бұрын

    Wakenya wanaweza watanzania sio rahisi

  • @levidavid1156
    @levidavid1156Ай бұрын

    kiongozi mjinga sanaa huyu

  • @barakarobert1029

    @barakarobert1029

    Ай бұрын

    Ana leta siasa wakati leo cku ya pili wakaz wa dar hatuna maji

  • @HamisMghuna-fj3vz

    @HamisMghuna-fj3vz

    Ай бұрын

    Asante hii hakuna maji,mgomo kariakoo, ubabe wao tu police,wao,

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Kwel kabisaa

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde5138Ай бұрын

    Wewe unamjua Mungu ww

  • @IssacNtacho
    @IssacNtachoАй бұрын

    Masikin ya Mungu ,,viongoz wetu ,akiri ndo hzo kabisa?

  • @bonifacecredo3287
    @bonifacecredo3287Ай бұрын

    hongera mkuu wa mkoa watu wanataka nchi ijengwe kwa kodi za watumishi tu. Mtumishi nchi hii ndiyo mlipa kodi mwaminifu. Mtumishi anaenda kuchukua mshahara kodi imeshakatwa zamani.

  • @fabianmallya1446

    @fabianmallya1446

    Ай бұрын

    Ni Kipi unaweza kununua au kuuza ambacho hakijatozwa kodi hata Hilo bando unalotumia tayari lishakatwa kodi

  • @kisoso890

    @kisoso890

    Ай бұрын

    Kafirwe we si ndo mnasomaga kwa pesa zetu mnapewa mikopo hamtaki kulipa tena nyie ndio machoko wakubwa mnachua mikopo mnaenda kulia bata uukifika muda wa kulipa mnalalamika nyau wewe usikoment uchoko choko kafungue biashara uone ndio uje useme uchoko wako mbwa mweusi

  • @josephlugome5845
    @josephlugome5845Ай бұрын

    Hakuna mwenye nguvu zaid ya Mungu

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408Ай бұрын

    kiongozi mjinga sana . anasifu kutokuwezekana kwa uwazi kwenye biashara afrika. duuh afrika kinyaa sana

  • @DorisJames-i3k
    @DorisJames-i3kАй бұрын

    Sio tunatafutiwa suluhu ila tunatishwa daaaaah hii nchi mwenye cheo ndo mwenye maamuz na mwenye kaul 😭

  • @emmanuelndahan9815

    @emmanuelndahan9815

    Ай бұрын

    Kakwambia waendelee kufunga walipekeka yaashugulikiwa

  • @vom84
    @vom84Ай бұрын

    Kaongea mambo yasiyofaa

  • @isackjoseph1388
    @isackjoseph1388Ай бұрын

    Tanzania mwakani vita ya uchaguzi naiona kubwa Sana Kwa mara ya kwanza vita vitatokea Kwa Hali hii😢😢

  • @IssacNtacho
    @IssacNtachoАй бұрын

    We mkuu wa mkoa we ni mwaadam ustoe kauli Kama wewe ndo final

  • @rosebeatus2834
    @rosebeatus2834Ай бұрын

    Wako bungeni kuyajenga na wakuu wew mhaho wa Nini????

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314Ай бұрын

    Sina duka ila roho imeniuma...sina hata mwana sheria mimi acha tu ninyamaze 😢TANZANIA NCHI YANGU Nakupenda kwa moyo wote

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7fАй бұрын

    Hii ni mara ya pili ni vizuri utatue matatzo ya wafanyabiashara achen siasa na kutisha

  • @valentinemutasingwa1932
    @valentinemutasingwa1932Ай бұрын

    😁😁😁😁😁😁 nimeshiba makande Mimi sina hera ila nawaunga mkono wafanya BIASHARA

  • @ndakichuwa7618
    @ndakichuwa7618Ай бұрын

    Anzisha hiyo vita, mzee ujue migomo siyo dalili nzuri ktk taifa usitishie watu

  • @PeterCharles-zu5cb
    @PeterCharles-zu5cbАй бұрын

    Ndiyo mkome kabisa mmeipenda wenywe na bado mtanyooshw 2 ccm mbele kwa mbele.

  • @kembotechnologies6737
    @kembotechnologies6737Ай бұрын

    Badala ya kusikiliza shida nn unatoa mikwala mingi

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Chiz huyu

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522Ай бұрын

    Kama unauwezo waondoe.hao barabarni

  • @JustineKimwaga
    @JustineKimwagaАй бұрын

    Hatutaki kupelekwa pelekwa yaan tutaendelea kufunga, but tunaishi kwa kutegemeana , tuumie wote tu maana mmezid yaan sisi ndo tu mewaajir afu mnatugeuzia kibao kutuajr😂😂😂 Sina hera na nikipindi cha msim wa shule, ila kutokana na utitir wa Kodi Bora mgomo

  • @JacksoniMbilinyi-ic6hj
    @JacksoniMbilinyi-ic6hjАй бұрын

    Anasemaje huyo mbona simwelewi

  • @Gamba177

    @Gamba177

    Ай бұрын

    Anafirwa huyu

  • @NepporSabith
    @NepporSabithАй бұрын

    Mbona vitisho 😂😂😂😂😂Raisi kasema haya haya

  • @user-bs7dj7ps9g
    @user-bs7dj7ps9gАй бұрын

    Bora Kenya

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Wabongo waoga halafu kenya wana umoja hadi mastaa wanalaani serikali, bongo mastaa ndo wanatunga nyimbo za kusifia ujinga. Redio ndo machawa wamejaa

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255Ай бұрын

    Mubadilike sasa faini iwe kwa TRA kwa kutoweza kufanya kazi yao

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295Ай бұрын

    We ndo unajua bisha na faida na hasara

  • @russia1253
    @russia1253Ай бұрын

    Ndio unasikia anajiita msomi ana degree 😢😢 degree ya mavi au?. sikiriza hoja sio mida yakutisha mbona mnaangalia sana upende wenu sio wa wana nchi 😢😢

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245Ай бұрын

    Nakupa wiki nakutimua kazi

  • @nestorelisha5842

    @nestorelisha5842

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @surebeting2673
    @surebeting2673Ай бұрын

    Hichi chama Cha ccm kimetuzoea vibaya sasa

  • @yusufujemson9020

    @yusufujemson9020

    Ай бұрын

    Hii nchi ngumu sana

  • @egfridmkoba4767
    @egfridmkoba4767Ай бұрын

    Serikali iangalie upya kiasi na utitiri wa kodi. Fedha inayopotea ni nyingi sana. Kwa mfano, kuegesha gari ni 300 kwa saa na risiti inatolewa, soda sh. 700 risiti haitolewi, ni soda ngapi zanywewa kwa siku nchi nzima?Kodi ikiwa rafiki tutakusanya nyingi sana. Pia ibuni mfumo wa mwananchi kutoa taarifa pale anaponyimwa risiti ili huyo asiyetoa ndio akabiliwe. Lakini kodi zipunguzwe kwanza ziweze kulipika.

  • @rashidiabdalahmkwanga7409

    @rashidiabdalahmkwanga7409

    Ай бұрын

    Safii sana nimekuelewa ndugu

  • @birianination7097

    @birianination7097

    Ай бұрын

    Kwa hiyo kila muuza soda atoe risiti mpaka wale wa barabarani na maduka yote. Kama ndio hivyo basi migomo mingi itaendelea maana ukweli wengi hapa ni hawa taki kutoa risiti

  • @user-qf1ls8rb4o
    @user-qf1ls8rb4oАй бұрын

    Wafanya biashara wanatishwa sana

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlonyАй бұрын

    watu wanaingizwa upepo wanajaa uwoga kwenye haki yako ni mbaya sanaaaa

  • @MajaliwaSilvester-uv9pz
    @MajaliwaSilvester-uv9pzАй бұрын

    Itikad yake sijaielewa wafanya biashara tunaumia Kodi zimekua kede yan nyingi so mgomo wa wote kutafuta haki pia anauhakika wamaisha hajui wafanya biashara unavyovuruga

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2kАй бұрын

    Juzi tu nilienda kununua nguo naomba list naambiwa mtandao unasumbua, sehemu nyingine napewa list kwa kubembeleza serkali tengenezeni kanuni na sheriakali kwa hawa wafanyabiashara wa kariakoo.

  • @andekisyenasibu312

    @andekisyenasibu312

    Ай бұрын

    None sanse

  • @hajimgwami5224

    @hajimgwami5224

    Ай бұрын

    HAPO NDIO WANAPOPATIA FAIDA KUBWA SANAA NA SERIKAL INAWACHUKUA POA LKN WANATAKA KUWAPANDA KICHWA, HUU UWAMUZI NI MZURI SANAAA, WAFUNGE HATA MWEZI AU MWAKA, HAKUNA KUWABABAIKIA

  • @jafarimtweve795
    @jafarimtweve795Ай бұрын

    Hongera mkuu wa Mkoa unaongea fact ,black and white

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Hamna fact yoyote anaongea pumba vitisho vingi sio uongozi bora. Fungua biashara ya mtaji wa kati Kama million uone hizo kodi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Ай бұрын

    SAF SANA HUYU MKUU WA MKOA AKIR MINGI YAN KUONGOZA MKOA KAMA DAR LAZIMA UJITOE UFAHAM NDO MAMBO YATAENDA SAFI SANA MKUU

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71Ай бұрын

    Ongea vizuri na watu

  • @albertshao4834
    @albertshao4834Ай бұрын

    Ewa

  • @valentinemutasingwa1932
    @valentinemutasingwa1932Ай бұрын

    Khaaaa

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239Ай бұрын

    Nipo nipo tuuu kwenye hii nchi yangu naipenda sana nchi yng

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331Ай бұрын

    Namkubali sana chala mirror

  • @leocadianjau7410
    @leocadianjau7410Ай бұрын

    Wafanya biashara msisikilize hizi porijo mpaka hoja zenu ziwrkwe mezani msimkubali huyu...ni kana chawa wengine ninyi wafanya biashara ndo mnaojua shida ya kufanya biashara Achaneni na vitisho visivyo na tija

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597Ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @IssacNtacho
    @IssacNtachoАй бұрын

    Huyu mkuu wa mkoa akiri hana kabisa

  • @salmahalfani6307

    @salmahalfani6307

    Ай бұрын

    Huna akili wewe

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Azitoe wapi hizo akili yeye vitisho tu!

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403Ай бұрын

    Karibuni kwetu jamhuri ya watu wa Goba hakuna mgomo njooni mtuungishe

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446Ай бұрын

    Mbona kama kalewa😅😅😅

  • @user-jz1ur2ny5u
    @user-jz1ur2ny5uАй бұрын

    Kazi hakuna

  • @JacksonElias-g8o
    @JacksonElias-g8oАй бұрын

    Dawa ni kulipa Kodi

  • @davidkehogo3230
    @davidkehogo3230Ай бұрын

    Paul Makonda tu aongoze mikoa miwili Arusha na Dar

  • @MudyBlackson
    @MudyBlacksonАй бұрын

    Daaahh!! Ivi uyu jommba ni akili zake

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458Ай бұрын

    Arafu watanzania ivi naswara ramafta kpanda juu paka leo nikuhu ile vita tliodanganyiwa au ndio mamikataba mabovu yasiyo namachazo yakmpa mtu mmoja alete mafta kwanchi zima..watanzania tnapigika sana kwamabepali yanchi nayaona ila hayana ata hofu yamungu ila wakae wakijua akna mwanzo ukakosa mwisho ipo siku yenu ccm itavika mwisho

  • @jumannesaid8434
    @jumannesaid8434Ай бұрын

    Wakuu wa nchi za kiafrika,"punguzeni madhara ya uadui kwa wateule wenu unaowapa majukumu yakuksaidieni majukumu ya nchi na wananchi...pindi wanapowakosoeni kwenye mapungufu yenu kama Binadamu hujakamilika So kubali kukosolewa na hilo ndiyo lengo lakuwa na wasaidizi," na cyo kumfanya yule anaekusifia muda wote ndiye mwenye nidhamu ya utendaji hilo cyo lengo ulilomteulia....hatima yake madhara ndiyo kama haya!!! Huna wakushauriana nae ukapata mbadala dhidi ya kile ulichonacho wew...kila mtu wako anakuangalia wew vpi akusifie...

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912Ай бұрын

    Watanzania 2025 watachagua tena CCM

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4pАй бұрын

    Yaan mdulumu watu alafu watu wakae tu na kukubali. Sio sawa kabisa. TRA ni kundi la madhulumati linalolindwa

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157Ай бұрын

    Kkoo ndio zao awatoi risti kabisa ,ukidai risti wanakwambia akuna network

  • @user-sj1rf8ij7f

    @user-sj1rf8ij7f

    Ай бұрын

    Unajua kwa nn hawatoi risiti

  • @esitiniambonise837
    @esitiniambonise837Ай бұрын

    Manake kiongozi asipo tumia busala basi ujue wanainch watajiongoza bila kiongozi

  • @abiudkarume938
    @abiudkarume938Ай бұрын

    Uyu mbena tu mambo ya kariakoo ayajui

  • @kisoso890
    @kisoso890Ай бұрын

    Ndio maana wajanja hawafungui biashara Tanzania kutokana na huu usenge swala lina awamu tatu linajadiliwa mpaka leo makuma tu hawa kumamae zao

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungoАй бұрын

    Umoja ni nguvu na utengano niuzaifu

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungoАй бұрын

    Mmmmm hatari Sana

  • @MeshackErnest-qt6xi
    @MeshackErnest-qt6xiАй бұрын

    Hiii ndo Tanzanian ya Leo

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cwАй бұрын

    Kuna ndugu yangu Katoka msumbiji kakamatiwa mzigo wake adi ameukosa nilikua namkubali huyu mkuu lakini kwa hili apana alokua serikalin ajui kinachoendelea ni zulma by Tanzânia bola nifuate mzigo sauzi africa

  • @Peterchipemba
    @PeterchipembaАй бұрын

    Watanzania tukajifunze kenya kuwa na misimamo wamezidi kunyanyasa wafanyabiashara

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493Ай бұрын

    Chalamila bola ungesikiliza wana mchi usiwamin hao tra

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTIONАй бұрын

    Hosp hakuna kodi

  • @emlongetcha88
    @emlongetcha88Ай бұрын

    KAKA, KAULI ZAKO HAZINA MASHIKO... WEWE SIO MUNGU NA HALI NI MBAYA. Kweli watu huwa wanabadilika sana. NIAJABU

  • @joashandhoga4019
    @joashandhoga4019Ай бұрын

    Hivi hyu nikiongozi au

  • @francismomo7067
    @francismomo7067Ай бұрын

    Uoga n shida sana

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723Ай бұрын

    Hiyo ndiyo tanzania mwizi kamkamata mwizi

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522Ай бұрын

    Mshiziii huyo anaropoka yu

  • @user-um5uw9yo5q
    @user-um5uw9yo5qАй бұрын

    Hii nchi inaviongozi piga kazi baba maneno hayo wasipoelewa basi tena

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234Ай бұрын

    JIJI LETU LA DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA MKUU WA MKOA MSHAMBA WAKUJA. HUYU MKUU WA MKOA HAFAI KUONGOZA JIJI LA DAR ES SALAM

  • @MudyBlackson
    @MudyBlacksonАй бұрын

    Askari wake

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157Ай бұрын

    Mheshimiwa mfanyabisha mnawaumiza mbona kipindi cha magu walikuwa hagomii

  • @esitiniambonise837
    @esitiniambonise837Ай бұрын

    Sisi ndo wafanya biashala kama huna biashala hujui Kodi zinazo katwa tulia usiongee

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8oАй бұрын

    Nchi hi tunahitaji tujitambue Tunahitaji kujitambuhu mifumo wakutawaliwa unatumiza sana

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043Ай бұрын

    Huyu mkuu wa mkowa ni mpombavu kweli yani changa moto za kutendaji kama mkuu wa mkowa anashindwa kuzitatuwa na mwisho wa cku analeta ubabe wa kijinga sana

  • @nestorelisha5842

    @nestorelisha5842

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632Ай бұрын

    Mmh sasa mfanonbajaji Kodi ilikuwa laki lakini eti saivi Kodi ni zaidi ya laki Sasa hiyo ya nini

  • @supercomputerstz1503
    @supercomputerstz1503Ай бұрын

    Mkoa wa mkoa ,alisema ameacha ubabe 😂,mbona kama amepanic ,hizi situations ndio kipimo Cha uongozi thabit ,He must come up with concrete solutions na sio kusema ukakae dukani uone kama mtu anakwepa Kodi 😮

  • @joelvenasi6248
    @joelvenasi6248Ай бұрын

    haufai kuwa mkuu wa mkoa hata kidogo unaropoka 2

  • @joelvenasi6248
    @joelvenasi6248Ай бұрын

    naona unaropoka2 umekula maharage yawapi

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274Ай бұрын

    Hiyo sio kauli ya kiongozi

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024Ай бұрын

    zzHUYU NAE ANAONGEA NINI ? HAPA ULAYA HUWA WANAFANYA MGOMO WA SEKTA ZOTE. MPAKA MADAKTARI

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632Ай бұрын

    Ulitaka tuandamane kama Kenya sisi watanzania tunaandamana kiakili

  • @RashidTwaha-dm8zz
    @RashidTwaha-dm8zzАй бұрын

    Huniupimbi we nani kibri hicho mungu anawaona

  • @AbuuJumanne-yr1wh
    @AbuuJumanne-yr1whАй бұрын

    Hana maamuzi viongozi wa ovyo

  • @husseinloyy1912
    @husseinloyy1912Ай бұрын

    Huyu NI wahovyo sana ajifunze kwa makonda anavyowahangaikia wananchi mpaka unarizika sasa huyu nikuropoka hajui wananchi wake wanashida IPI

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4pАй бұрын

    Halufu mshahara utapata wapi? Eti unamtisha anaekulisha hahahah....

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186Ай бұрын

    Ndiyo ameongea nn watu wanataka suluhishi yy anatisha watu😢

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2zАй бұрын

    Wasikilize tatua, hicho cheo ni Leo kesho utakuwa wapi. Acha kujisahau na kuwa Miungu watu. Hakuna kufungua!!!

  • @saidally5763
    @saidally5763Ай бұрын

    Acha kutisha watu wewe kingozi siku zote unatakiwa uwenabusara wewe hufai kua kiongozi

  • @nestorelisha5842
    @nestorelisha5842Ай бұрын

    Hii ndiy dasilamu baba, tumia busara.

  • @EmanuelElito
    @EmanuelElitoАй бұрын

    akili chalamila tunajua uko kwaajili ya maslai

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662Ай бұрын

    Hebu,tatuen,matatizo,mnawakamua,sana,

  • @greatdealsonlineonline6090
    @greatdealsonlineonline6090Ай бұрын

    mse...n... huyu baba

  • @annamwanyelele9084
    @annamwanyelele9084Ай бұрын

    kwani hapo kariakoo hakuna mawe si munge mbonda mawe vichupa sema tz kinyonge sana

Келесі