Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.
@godfreymsanya2726
Жыл бұрын
Hakika huyu ni mtu na nusu nimemkubali
@aseelaisaa428 Жыл бұрын
Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.
@harunrhobi3007 Жыл бұрын
Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.
@rahmaabdallah728 Жыл бұрын
Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde
@goldenmaduhumedia4681 Жыл бұрын
This man is a leader
@richardmagaka9525 Жыл бұрын
Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana
@ibraagwanda4683 Жыл бұрын
Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.
@muna1165 Жыл бұрын
Safi sana kiongozi uko sawa kabisa
@maulidmnukwa3171 Жыл бұрын
I repeat again the guy is more than smart itself....
@mustafaally274 Жыл бұрын
Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati Mungu akulinde,kwa pamoja tutashinda We love you
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mwenyeketi we we ni kiongozi unayejitambua
@thomastarimo
Жыл бұрын
Kaka we we usiogope kaka mungu yuko na we we hayo magugu yameka tu kusubiri kodi zetu
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mweshimiwa mwenyeketi wewe usiogope mungu yuko na wewe usiofu kaka hayo majini yaliyojikalia tu kwenye viyoyozi ayajuhi shida watu wanazopata kariako
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mwenyeketi wewe ni big up usiofu chochote wewe ni kiongozi wetu tuko nyuma yako kwa asilimia mia moja mijitu imeka kwenye ic inazunguka na vitu vya kuzunguka theni yanasubiri mitozo ili ijichulie inafikiri itaishi milele inakosa ata hofu ya mungu ata sijuhi kwa nini mungu asiishukie hiyo migugu iliyoka kama ndezi hapo Dodoma inasubutu kukuambia una hamazisha mgomo mbona Mimi nimefunga biashara alafu ilo lijitu lillo kuambia una amazisha maandamano tafuta jina lake peleka kwa kaka yetu lifukuzwe kama jambazi sugu
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Kuwaamini watu haraka ndo ugonjwa unaowatesa watanzani. Yaan bingo ukiwa na ufasaha wa kutunga uongo tu umetoboa
@shuhudiamtasiwa6646 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤
@barakamanga5502 Жыл бұрын
This man is apple 🍎
@danvasmasese3180 Жыл бұрын
Ur true leader
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Fact brother uko sahihi
@benhorta5121 Жыл бұрын
Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi
@mohamedjeizan5929 Жыл бұрын
TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo
@gibsonzumba Жыл бұрын
Upo vizuri
@sangajaffar7419 Жыл бұрын
Mwenyekiti uko sawa sana big up
@emmanuelkundael2743 Жыл бұрын
Mungu akuinue kaka,na akulindee aiseee
@nailaty Жыл бұрын
Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti
@dorahmushi-we6ts Жыл бұрын
Waziri mkuu ni mwelewa sana, nimemuelewa na anaelewekaga..kiongozi
@sylvestrengwelu2012 Жыл бұрын
Hapo sawa MWENYEKITI
@elibarikimollel7149 Жыл бұрын
Loh! Nakuaminia kiongozi, hawajakosea kukuchagua, wakuombee Mungu sana wakati unapambana na hao wasio na utu wako kama simba wala watu!
@yusufunguruko8080 Жыл бұрын
Yeah, wewe ni kiongozi, sifa za kiongozi kwanza ni kuwa na ushawishi kwa unaowaongoza, hekima na busara, usiwe muoga, na uwe na misimamo itakayoleta utatuzi wa shida iliyopo. Kiongozi hutakiwi kuamua mambo kutokana na mihemko ya wale unaowaongoza bali uamue kwa kufuata njia ambayo unaona ndio sahihi itakayoleta solution ya shida iliyopo na kubwa zaidi kiongozi unatakiwa uwe mzuri ktk kujieleza na kuwasilisha kile unachotakiwa kukiwasilisha kwa watu wako kiufasaha na busara na hatimae wakielewe na kukubaliana nacho - Kwa hili bro naona haya yote umekuwa nayo na kwa kweli approach uliyoitumia ya kuwashawishi viongozi wakuu wa serikali wao wenyewe kuja kutoa majibu mbele ya wananchi wako hiyo ndio imekuwa kete kubwa sana iliyokupa nguvu na kukuweka huru mbele ya wale unaowaongoza - hongera sana sana uko vizuri mno !
@walidmgonja3644 Жыл бұрын
Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali
@jeffhard5773
Жыл бұрын
Wanamaslah nae ndio maana wanamlea lea
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Ni timu moja
@andrew29468 Жыл бұрын
Upo vzr mwenyekiti, mihemuko ikemee upo vzr sanaaa Nimependa tuna watu wazuri sanaa nchi hii,huyu jamaa yupo safii mtii
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
Kiongozi umeongea kiutu uzima sana Mungu akulinde
@ismailsalumu1112 Жыл бұрын
M/Kiti wa wafanyabiashara kariakoo umepevuka akili Hakika unaongea points
@ramadhanikigoto Жыл бұрын
Big Brain and very persuasive
@oscarmlaponi8355 Жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sana kuwaandaa watu, kaanzia mbali sana hahahaahah, alafu kawarudisha dhamira yake ni maduka yafunguliwe
@festohaule9716 Жыл бұрын
Hata Mimi nimeichoka Serikali...
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Wamezoweya nikuondoka wote watafute kazi nyingine kibuli Cha ccm mungu anawaona tu ipo siku wabongo wataamuka
*Mungu akubariki sanaa kaka kuendelea kutusema ss tunaodhulumiwa*
@nimlambangu2771 Жыл бұрын
Uko sahihi sana, malaika wa bwana wakulinde,wasiojulikan a wasikuone, na baada ya yote ukavalishwe taji
@bethkatunx7677 Жыл бұрын
Pole ndugu yetu kilio chetu hakina mwenyewe ukithubutu utasokotwa na wasokotaji wazoefu kwa kazi hiyo !!mungu ametuweka hapa nae atatusaidia maana ndugu zetu wametugeuka kabisa hawana huluma na sisi
@DominikoTvOnline Жыл бұрын
This man is powerful
@barakaleader1550 Жыл бұрын
Mmetisha msilainike mpka kieleweke
@saimonseleka8792 Жыл бұрын
Peke yangu nawaza yani usipokuwa na hadhi fulani hata kama una fact huwezi sikilizwa
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Dah
@DavidikaAldo-ky4ek Жыл бұрын
Baba mbarikiwa alisema mwanadamu Kwa upole wowote ukimugusa sana atatumia nguvu yake ya mwisho kutatua tatizo lake
@princenelsonsinko5237 Жыл бұрын
Kweli wèwe ni kiongozi safi
@mr.machange1377 Жыл бұрын
bright sana
@richardnott4403 Жыл бұрын
Asante sana kiongozi upo sa hihi sana
@emmyanold9306 Жыл бұрын
Mungu nakuomba umlinde huyo mwenyekiti maana hawajui kujitetea wanaishia kufa na mapresha
@antonyndinga8890 Жыл бұрын
mkuu, Safi Sana. Dawa kukusanya machine za efd kuwarudishia
@damaspmtz1018 Жыл бұрын
Chalamila akitoka hapo dar es salaam unatakiwa wewe ndiye uwe Mkuu wa Mkoa wa hapo
@amanimusa5744 Жыл бұрын
Powerful man we love you brother
@salama1113 Жыл бұрын
Safi sana yy c anatwambiaga twende burudy😂😂😂
@nolasc0mushy651 Жыл бұрын
good bro
@charlzlomo9219 Жыл бұрын
Tanzania na Kenya inabahati ya kuwa na viongozi sio watawala awamu hii lakini waongozwa wanatest
@ibrahimngulungu
Жыл бұрын
charlz lomo unachokiongea hata hakieleweki
@danvasmasese3180
Жыл бұрын
Kenya kinaturamba bwana wewe hujui unasema nini
@mukhutarymatimbwa864 Жыл бұрын
Leo nimeamini serikari Inatumia wanasaikolojia vizuri sana
@twaalibkeya859
Жыл бұрын
Kivipi ndg Plz nipe madini insha’Allah
@mghuna Жыл бұрын
Huyu ndio mfano wa kiongozi anatakiwa awe hvi kiongozi ndio njia
@joshuajacksonbatholomeo3408 Жыл бұрын
Kweli
@bakarikayugwa3295 Жыл бұрын
Huyu jamaa ilifaa kua kiongozi mkubwa au kua bungeni maana anaonekana ni mtu Alie ishi na uhalisia wa maisha ya kawaida
@bockerbocker8495
Жыл бұрын
Wenye akili kubwa kama hizo huwa hawapewi nafasi
@leonardmwayeya13 Жыл бұрын
Safi sana namungu awabariki hakuna kurara
@oscarluvanda4589 Жыл бұрын
Huyu jamaa kichwa sana
@ambitiousholyspirit395 Жыл бұрын
huyu jamaa Mungu amlinde maana inaonesha wazi hapendi uchawa!
@janechengula2833 Жыл бұрын
Mungu akulinde mwenyekiti wetu
@andrew29468 Жыл бұрын
Mwenyekiti safi sanaaaaaaaaaaaaa Upo vzr
@innocentjohn4040 Жыл бұрын
Big up brother Kwa msimamo wako
@dominikishilali4645 Жыл бұрын
una ongea ww kiongozi naumia mm pole sana
@jeamwenda7394 Жыл бұрын
Ur true a leader
@michaelelia7058 Жыл бұрын
Kinacho endelea ni mgomo kwanini wamechoka safi sana 😂😂😂 MUNGU akulinde aiseeee
@janethpallangyo3855 Жыл бұрын
Good job brother ❤❤❤❤❤❤
@danieljoseph1610 Жыл бұрын
Ndo hivo, Kiongozi unapaswa kuongea hivo kwa misimamo!
@habibukessy-pf4xf Жыл бұрын
Upo saw kabisa
@floridachami9090
Жыл бұрын
Kweli kk massage ww ni mwamba
@stephanokanyika6321 Жыл бұрын
Jamani tumusikilize mwenyekiti jamani amepambana sana
@ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын
Uko vizuri kiongozi
@martinkagussa3406 Жыл бұрын
My God protect you 🙏
@olaislukumay2208 Жыл бұрын
Huyu jmaaa Yuko vizuri
@elizabethdonat1344 Жыл бұрын
Daah yesu akulinde
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Kiongozi mzuri huyu safari sana
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
I love penina wangu❤❤❤
@charlzlomo9219 Жыл бұрын
Achen ujinga na upuuzi makufuri mngemfanyia hivi???????
@prijoseph4665 Жыл бұрын
Huyu jamaa apewe ububge
@godwinegasper8212 Жыл бұрын
hyu jamaa n kiongozi kwel
@erickzephania1030 Жыл бұрын
Aya mambo ni ya mda mrefu.. na Serikali inayafahamu. Iyo wiki ni ya nn zaidi ya viongozi kutoa maamuzi..!?
@mwaaang
Жыл бұрын
Basi wavunje uongozi wao waendelew kugoma kila mtu ashinde mechi zake
@mwijagenelsoni357 Жыл бұрын
Kweli uongea kama kiongozi safii sana na mim nakuombea wakupe kweli huo mda
@petersilas4234 Жыл бұрын
Ni wakati pia wa wafanyabiashara wa kariakoo kuwa waangalifu, kitovu Cha biashara kinaweza kuhama!!??
@cinyoritha8168
Жыл бұрын
Sio rahisi kiivoo
@Teachercandle
Жыл бұрын
Inawezekana usifanye mchezo na serikali
@saidkanji9882 Жыл бұрын
Safi sana
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Safi sana mwenyekiti
@AbdulRazak-jp1hv Жыл бұрын
💯💯💯💯💯
@saimonseleka8792 Жыл бұрын
Mi najaribu kufikiria tu! asingekuwa ni mwenyekiti wa chama ingekuwaje
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Ilo nalo neno
@romwaldsimonkasian8018 Жыл бұрын
Good 👍
@mwaaang Жыл бұрын
Huyu ni kiongozi na nusu. Mnapompa kazi. Mpimeni kwa muda huo alioumba. Kama hamtaki, mtoeni mwekeni mtu mwingine au endeleeni na harakati zenu mpimane nguvu na serikali mpaka mmoja atakapo surrender. Tutajua nani anamtegemea nani. Yetu macho.
@aulamongi2020 Жыл бұрын
Mwenyekiti Anastahili Kuwa Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam
@elsonkibasindila7526
Жыл бұрын
Upumbavu
@jumangomuo-ho7il Жыл бұрын
Safiiiiiiiii
@theroggyplus255 Жыл бұрын
TRUE LEADER
@Zenny89 Жыл бұрын
Serikali huwa inawadharau sana wafanyabiashara..hawajui biashara hizo ndizo zinalipia Suti, kaundasuti, ada za watoto wao na maVX yaoo.
@yohanaelias3336 Жыл бұрын
Mfikwa tumepaa juu zaid Mwenyekit uish
@lukomanomaliki544224 күн бұрын
Mwigulu hafai kuendelea kuwa waziri wa fedha.Sijui kwanini, mama hamtengui?
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
Bro big up......
@aminimoshi5474 Жыл бұрын
Viongozi wa serikali wengi ni tatizo hongera mwenyekiti
@HisaniMsigwa-lc6zk Жыл бұрын
Jaman kufanya biashara ni kazi ngumu sana sana
@jeffhard5773
Жыл бұрын
Hasa kwa nchi yenye utawala wa marafi Rafi ya madaraka huku hayana kalama za uongozi si nyingine Bali ni hii Tanzania
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Tuliambiwa Magufuri ndiye alikuwa anakusanya kodi kwa mtutu akumbe alisingiziwa maana migomo kama hii haikuwahi kutokea enzi ya uongozii wake. Hili funzo kubwa tusiingie madarakani tukasahau mema ya watangulizi wetu.
Пікірлер: 203
This man is a people's true leader.
Hongera mweshimiwa
Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.
@godfreymsanya2726
Жыл бұрын
Hakika huyu ni mtu na nusu nimemkubali
Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.
Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.
Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde
This man is a leader
Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana
Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.
Safi sana kiongozi uko sawa kabisa
I repeat again the guy is more than smart itself....
Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati Mungu akulinde,kwa pamoja tutashinda We love you
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mwenyeketi we we ni kiongozi unayejitambua
@thomastarimo
Жыл бұрын
Kaka we we usiogope kaka mungu yuko na we we hayo magugu yameka tu kusubiri kodi zetu
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mweshimiwa mwenyeketi wewe usiogope mungu yuko na wewe usiofu kaka hayo majini yaliyojikalia tu kwenye viyoyozi ayajuhi shida watu wanazopata kariako
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mwenyeketi wewe ni big up usiofu chochote wewe ni kiongozi wetu tuko nyuma yako kwa asilimia mia moja mijitu imeka kwenye ic inazunguka na vitu vya kuzunguka theni yanasubiri mitozo ili ijichulie inafikiri itaishi milele inakosa ata hofu ya mungu ata sijuhi kwa nini mungu asiishukie hiyo migugu iliyoka kama ndezi hapo Dodoma inasubutu kukuambia una hamazisha mgomo mbona Mimi nimefunga biashara alafu ilo lijitu lillo kuambia una amazisha maandamano tafuta jina lake peleka kwa kaka yetu lifukuzwe kama jambazi sugu
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Kuwaamini watu haraka ndo ugonjwa unaowatesa watanzani. Yaan bingo ukiwa na ufasaha wa kutunga uongo tu umetoboa
Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤
This man is apple 🍎
Ur true leader
Fact brother uko sahihi
Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi
TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo
Upo vizuri
Mwenyekiti uko sawa sana big up
Mungu akuinue kaka,na akulindee aiseee
Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti
Waziri mkuu ni mwelewa sana, nimemuelewa na anaelewekaga..kiongozi
Hapo sawa MWENYEKITI
Loh! Nakuaminia kiongozi, hawajakosea kukuchagua, wakuombee Mungu sana wakati unapambana na hao wasio na utu wako kama simba wala watu!
Yeah, wewe ni kiongozi, sifa za kiongozi kwanza ni kuwa na ushawishi kwa unaowaongoza, hekima na busara, usiwe muoga, na uwe na misimamo itakayoleta utatuzi wa shida iliyopo. Kiongozi hutakiwi kuamua mambo kutokana na mihemko ya wale unaowaongoza bali uamue kwa kufuata njia ambayo unaona ndio sahihi itakayoleta solution ya shida iliyopo na kubwa zaidi kiongozi unatakiwa uwe mzuri ktk kujieleza na kuwasilisha kile unachotakiwa kukiwasilisha kwa watu wako kiufasaha na busara na hatimae wakielewe na kukubaliana nacho - Kwa hili bro naona haya yote umekuwa nayo na kwa kweli approach uliyoitumia ya kuwashawishi viongozi wakuu wa serikali wao wenyewe kuja kutoa majibu mbele ya wananchi wako hiyo ndio imekuwa kete kubwa sana iliyokupa nguvu na kukuweka huru mbele ya wale unaowaongoza - hongera sana sana uko vizuri mno !
Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali
@jeffhard5773
Жыл бұрын
Wanamaslah nae ndio maana wanamlea lea
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Ni timu moja
Upo vzr mwenyekiti, mihemuko ikemee upo vzr sanaaa Nimependa tuna watu wazuri sanaa nchi hii,huyu jamaa yupo safii mtii
Kiongozi umeongea kiutu uzima sana Mungu akulinde
M/Kiti wa wafanyabiashara kariakoo umepevuka akili Hakika unaongea points
Big Brain and very persuasive
Huyu jamaa anajua sana kuwaandaa watu, kaanzia mbali sana hahahaahah, alafu kawarudisha dhamira yake ni maduka yafunguliwe
Hata Mimi nimeichoka Serikali...
Wamezoweya nikuondoka wote watafute kazi nyingine kibuli Cha ccm mungu anawaona tu ipo siku wabongo wataamuka
Akipotea huyu tunawaambia nchinzima tutaandama.Ole wenu apotee
@furahachuma9039
Жыл бұрын
Ha haaaa, hadi machozi yamenitoka.
@furahachuma9039
Жыл бұрын
Hawezi kupotea kwa serikali hii
*Mungu akubariki sanaa kaka kuendelea kutusema ss tunaodhulumiwa*
Uko sahihi sana, malaika wa bwana wakulinde,wasiojulikan a wasikuone, na baada ya yote ukavalishwe taji
Pole ndugu yetu kilio chetu hakina mwenyewe ukithubutu utasokotwa na wasokotaji wazoefu kwa kazi hiyo !!mungu ametuweka hapa nae atatusaidia maana ndugu zetu wametugeuka kabisa hawana huluma na sisi
This man is powerful
Mmetisha msilainike mpka kieleweke
Peke yangu nawaza yani usipokuwa na hadhi fulani hata kama una fact huwezi sikilizwa
Dah
Baba mbarikiwa alisema mwanadamu Kwa upole wowote ukimugusa sana atatumia nguvu yake ya mwisho kutatua tatizo lake
Kweli wèwe ni kiongozi safi
bright sana
Asante sana kiongozi upo sa hihi sana
Mungu nakuomba umlinde huyo mwenyekiti maana hawajui kujitetea wanaishia kufa na mapresha
mkuu, Safi Sana. Dawa kukusanya machine za efd kuwarudishia
Chalamila akitoka hapo dar es salaam unatakiwa wewe ndiye uwe Mkuu wa Mkoa wa hapo
Powerful man we love you brother
Safi sana yy c anatwambiaga twende burudy😂😂😂
good bro
Tanzania na Kenya inabahati ya kuwa na viongozi sio watawala awamu hii lakini waongozwa wanatest
@ibrahimngulungu
Жыл бұрын
charlz lomo unachokiongea hata hakieleweki
@danvasmasese3180
Жыл бұрын
Kenya kinaturamba bwana wewe hujui unasema nini
Leo nimeamini serikari Inatumia wanasaikolojia vizuri sana
@twaalibkeya859
Жыл бұрын
Kivipi ndg Plz nipe madini insha’Allah
Huyu ndio mfano wa kiongozi anatakiwa awe hvi kiongozi ndio njia
Kweli
Huyu jamaa ilifaa kua kiongozi mkubwa au kua bungeni maana anaonekana ni mtu Alie ishi na uhalisia wa maisha ya kawaida
@bockerbocker8495
Жыл бұрын
Wenye akili kubwa kama hizo huwa hawapewi nafasi
Safi sana namungu awabariki hakuna kurara
Huyu jamaa kichwa sana
huyu jamaa Mungu amlinde maana inaonesha wazi hapendi uchawa!
Mungu akulinde mwenyekiti wetu
Mwenyekiti safi sanaaaaaaaaaaaaa Upo vzr
Big up brother Kwa msimamo wako
una ongea ww kiongozi naumia mm pole sana
Ur true a leader
Kinacho endelea ni mgomo kwanini wamechoka safi sana 😂😂😂 MUNGU akulinde aiseeee
Good job brother ❤❤❤❤❤❤
Ndo hivo, Kiongozi unapaswa kuongea hivo kwa misimamo!
Upo saw kabisa
@floridachami9090
Жыл бұрын
Kweli kk massage ww ni mwamba
Jamani tumusikilize mwenyekiti jamani amepambana sana
Uko vizuri kiongozi
My God protect you 🙏
Huyu jmaaa Yuko vizuri
Daah yesu akulinde
Kiongozi mzuri huyu safari sana
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
I love penina wangu❤❤❤
Achen ujinga na upuuzi makufuri mngemfanyia hivi???????
Huyu jamaa apewe ububge
hyu jamaa n kiongozi kwel
Aya mambo ni ya mda mrefu.. na Serikali inayafahamu. Iyo wiki ni ya nn zaidi ya viongozi kutoa maamuzi..!?
@mwaaang
Жыл бұрын
Basi wavunje uongozi wao waendelew kugoma kila mtu ashinde mechi zake
Kweli uongea kama kiongozi safii sana na mim nakuombea wakupe kweli huo mda
Ni wakati pia wa wafanyabiashara wa kariakoo kuwa waangalifu, kitovu Cha biashara kinaweza kuhama!!??
@cinyoritha8168
Жыл бұрын
Sio rahisi kiivoo
@Teachercandle
Жыл бұрын
Inawezekana usifanye mchezo na serikali
Safi sana
Safi sana mwenyekiti
💯💯💯💯💯
Mi najaribu kufikiria tu! asingekuwa ni mwenyekiti wa chama ingekuwaje
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Ilo nalo neno
Good 👍
Huyu ni kiongozi na nusu. Mnapompa kazi. Mpimeni kwa muda huo alioumba. Kama hamtaki, mtoeni mwekeni mtu mwingine au endeleeni na harakati zenu mpimane nguvu na serikali mpaka mmoja atakapo surrender. Tutajua nani anamtegemea nani. Yetu macho.
Mwenyekiti Anastahili Kuwa Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam
@elsonkibasindila7526
Жыл бұрын
Upumbavu
Safiiiiiiiii
TRUE LEADER
Serikali huwa inawadharau sana wafanyabiashara..hawajui biashara hizo ndizo zinalipia Suti, kaundasuti, ada za watoto wao na maVX yaoo.
Mfikwa tumepaa juu zaid Mwenyekit uish
Mwigulu hafai kuendelea kuwa waziri wa fedha.Sijui kwanini, mama hamtengui?
Bro big up......
Viongozi wa serikali wengi ni tatizo hongera mwenyekiti
Jaman kufanya biashara ni kazi ngumu sana sana
@jeffhard5773
Жыл бұрын
Hasa kwa nchi yenye utawala wa marafi Rafi ya madaraka huku hayana kalama za uongozi si nyingine Bali ni hii Tanzania
Tuliambiwa Magufuri ndiye alikuwa anakusanya kodi kwa mtutu akumbe alisingiziwa maana migomo kama hii haikuwahi kutokea enzi ya uongozii wake. Hili funzo kubwa tusiingie madarakani tukasahau mema ya watangulizi wetu.
good person you is like simba
Mwenyekiti ameonyesha ukomavu ktk uongozi. Wadau vuteni subira yavuta heri
He is right