MAPYA YAIBUKA MGOMO KARIAKOO,MWENYEKITI AFUNGUKA A-Z"NILIPIGIWA SIMU USIKU NIENDE DODOMA,SIKUOGOPA"

#uhondotv #uhondo

Пікірлер: 203

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Жыл бұрын

    This man is a people's true leader.

  • @JomoJomo-g4q
    @JomoJomo-g4qАй бұрын

    Hongera mweshimiwa

  • @edithajoseph7675
    @edithajoseph7675 Жыл бұрын

    Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.

  • @godfreymsanya2726

    @godfreymsanya2726

    Жыл бұрын

    Hakika huyu ni mtu na nusu nimemkubali

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 Жыл бұрын

    Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.

  • @harunrhobi3007
    @harunrhobi3007 Жыл бұрын

    Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.

  • @rahmaabdallah728
    @rahmaabdallah728 Жыл бұрын

    Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde

  • @goldenmaduhumedia4681
    @goldenmaduhumedia4681 Жыл бұрын

    This man is a leader

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 Жыл бұрын

    Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana

  • @ibraagwanda4683
    @ibraagwanda4683 Жыл бұрын

    Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.

  • @muna1165
    @muna1165 Жыл бұрын

    Safi sana kiongozi uko sawa kabisa

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Жыл бұрын

    I repeat again the guy is more than smart itself....

  • @mustafaally274
    @mustafaally274 Жыл бұрын

    Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati Mungu akulinde,kwa pamoja tutashinda We love you

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Mwenyeketi we we ni kiongozi unayejitambua

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Kaka we we usiogope kaka mungu yuko na we we hayo magugu yameka tu kusubiri kodi zetu

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Mweshimiwa mwenyeketi wewe usiogope mungu yuko na wewe usiofu kaka hayo majini yaliyojikalia tu kwenye viyoyozi ayajuhi shida watu wanazopata kariako

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Mwenyeketi wewe ni big up usiofu chochote wewe ni kiongozi wetu tuko nyuma yako kwa asilimia mia moja mijitu imeka kwenye ic inazunguka na vitu vya kuzunguka theni yanasubiri mitozo ili ijichulie inafikiri itaishi milele inakosa ata hofu ya mungu ata sijuhi kwa nini mungu asiishukie hiyo migugu iliyoka kama ndezi hapo Dodoma inasubutu kukuambia una hamazisha mgomo mbona Mimi nimefunga biashara alafu ilo lijitu lillo kuambia una amazisha maandamano tafuta jina lake peleka kwa kaka yetu lifukuzwe kama jambazi sugu

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    Жыл бұрын

    Kuwaamini watu haraka ndo ugonjwa unaowatesa watanzani. Yaan bingo ukiwa na ufasaha wa kutunga uongo tu umetoboa

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 Жыл бұрын

    Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Жыл бұрын

    This man is apple 🍎

  • @danvasmasese3180
    @danvasmasese3180 Жыл бұрын

    Ur true leader

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын

    Fact brother uko sahihi

  • @benhorta5121
    @benhorta5121 Жыл бұрын

    Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 Жыл бұрын

    TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo

  • @gibsonzumba
    @gibsonzumba Жыл бұрын

    Upo vizuri

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 Жыл бұрын

    Mwenyekiti uko sawa sana big up

  • @emmanuelkundael2743
    @emmanuelkundael2743 Жыл бұрын

    Mungu akuinue kaka,na akulindee aiseee

  • @nailaty
    @nailaty Жыл бұрын

    Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Жыл бұрын

    Waziri mkuu ni mwelewa sana, nimemuelewa na anaelewekaga..kiongozi

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Жыл бұрын

    Hapo sawa MWENYEKITI

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Жыл бұрын

    Loh! Nakuaminia kiongozi, hawajakosea kukuchagua, wakuombee Mungu sana wakati unapambana na hao wasio na utu wako kama simba wala watu!

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Жыл бұрын

    Yeah, wewe ni kiongozi, sifa za kiongozi kwanza ni kuwa na ushawishi kwa unaowaongoza, hekima na busara, usiwe muoga, na uwe na misimamo itakayoleta utatuzi wa shida iliyopo. Kiongozi hutakiwi kuamua mambo kutokana na mihemko ya wale unaowaongoza bali uamue kwa kufuata njia ambayo unaona ndio sahihi itakayoleta solution ya shida iliyopo na kubwa zaidi kiongozi unatakiwa uwe mzuri ktk kujieleza na kuwasilisha kile unachotakiwa kukiwasilisha kwa watu wako kiufasaha na busara na hatimae wakielewe na kukubaliana nacho - Kwa hili bro naona haya yote umekuwa nayo na kwa kweli approach uliyoitumia ya kuwashawishi viongozi wakuu wa serikali wao wenyewe kuja kutoa majibu mbele ya wananchi wako hiyo ndio imekuwa kete kubwa sana iliyokupa nguvu na kukuweka huru mbele ya wale unaowaongoza - hongera sana sana uko vizuri mno !

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Жыл бұрын

    Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali

  • @jeffhard5773

    @jeffhard5773

    Жыл бұрын

    Wanamaslah nae ndio maana wanamlea lea

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    Жыл бұрын

    Ni timu moja

  • @andrew29468
    @andrew29468 Жыл бұрын

    Upo vzr mwenyekiti, mihemuko ikemee upo vzr sanaaa Nimependa tuna watu wazuri sanaa nchi hii,huyu jamaa yupo safii mtii

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Жыл бұрын

    Kiongozi umeongea kiutu uzima sana Mungu akulinde

  • @ismailsalumu1112
    @ismailsalumu1112 Жыл бұрын

    M/Kiti wa wafanyabiashara kariakoo umepevuka akili Hakika unaongea points

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto Жыл бұрын

    Big Brain and very persuasive

  • @oscarmlaponi8355
    @oscarmlaponi8355 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua sana kuwaandaa watu, kaanzia mbali sana hahahaahah, alafu kawarudisha dhamira yake ni maduka yafunguliwe

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Жыл бұрын

    Hata Mimi nimeichoka Serikali...

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Wamezoweya nikuondoka wote watafute kazi nyingine kibuli Cha ccm mungu anawaona tu ipo siku wabongo wataamuka

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Жыл бұрын

    Akipotea huyu tunawaambia nchinzima tutaandama.Ole wenu apotee

  • @furahachuma9039

    @furahachuma9039

    Жыл бұрын

    Ha haaaa, hadi machozi yamenitoka.

  • @furahachuma9039

    @furahachuma9039

    Жыл бұрын

    Hawezi kupotea kwa serikali hii

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Жыл бұрын

    *Mungu akubariki sanaa kaka kuendelea kutusema ss tunaodhulumiwa*

  • @nimlambangu2771
    @nimlambangu2771 Жыл бұрын

    Uko sahihi sana, malaika wa bwana wakulinde,wasiojulikan a wasikuone, na baada ya yote ukavalishwe taji

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Жыл бұрын

    Pole ndugu yetu kilio chetu hakina mwenyewe ukithubutu utasokotwa na wasokotaji wazoefu kwa kazi hiyo !!mungu ametuweka hapa nae atatusaidia maana ndugu zetu wametugeuka kabisa hawana huluma na sisi

  • @DominikoTvOnline
    @DominikoTvOnline Жыл бұрын

    This man is powerful

  • @barakaleader1550
    @barakaleader1550 Жыл бұрын

    Mmetisha msilainike mpka kieleweke

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Жыл бұрын

    Peke yangu nawaza yani usipokuwa na hadhi fulani hata kama una fact huwezi sikilizwa

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Жыл бұрын

    Dah

  • @DavidikaAldo-ky4ek
    @DavidikaAldo-ky4ek Жыл бұрын

    Baba mbarikiwa alisema mwanadamu Kwa upole wowote ukimugusa sana atatumia nguvu yake ya mwisho kutatua tatizo lake

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Жыл бұрын

    Kweli wèwe ni kiongozi safi

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 Жыл бұрын

    bright sana

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Жыл бұрын

    Asante sana kiongozi upo sa hihi sana

  • @emmyanold9306
    @emmyanold9306 Жыл бұрын

    Mungu nakuomba umlinde huyo mwenyekiti maana hawajui kujitetea wanaishia kufa na mapresha

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 Жыл бұрын

    mkuu, Safi Sana. Dawa kukusanya machine za efd kuwarudishia

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 Жыл бұрын

    Chalamila akitoka hapo dar es salaam unatakiwa wewe ndiye uwe Mkuu wa Mkoa wa hapo

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 Жыл бұрын

    Powerful man we love you brother

  • @salama1113
    @salama1113 Жыл бұрын

    Safi sana yy c anatwambiaga twende burudy😂😂😂

  • @nolasc0mushy651
    @nolasc0mushy651 Жыл бұрын

    good bro

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Жыл бұрын

    Tanzania na Kenya inabahati ya kuwa na viongozi sio watawala awamu hii lakini waongozwa wanatest

  • @ibrahimngulungu

    @ibrahimngulungu

    Жыл бұрын

    charlz lomo unachokiongea hata hakieleweki

  • @danvasmasese3180

    @danvasmasese3180

    Жыл бұрын

    Kenya kinaturamba bwana wewe hujui unasema nini

  • @mukhutarymatimbwa864
    @mukhutarymatimbwa864 Жыл бұрын

    Leo nimeamini serikari Inatumia wanasaikolojia vizuri sana

  • @twaalibkeya859

    @twaalibkeya859

    Жыл бұрын

    Kivipi ndg Plz nipe madini insha’Allah

  • @mghuna
    @mghuna Жыл бұрын

    Huyu ndio mfano wa kiongozi anatakiwa awe hvi kiongozi ndio njia

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Жыл бұрын

    Kweli

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ilifaa kua kiongozi mkubwa au kua bungeni maana anaonekana ni mtu Alie ishi na uhalisia wa maisha ya kawaida

  • @bockerbocker8495

    @bockerbocker8495

    Жыл бұрын

    Wenye akili kubwa kama hizo huwa hawapewi nafasi

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 Жыл бұрын

    Safi sana namungu awabariki hakuna kurara

  • @oscarluvanda4589
    @oscarluvanda4589 Жыл бұрын

    Huyu jamaa kichwa sana

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Жыл бұрын

    huyu jamaa Mungu amlinde maana inaonesha wazi hapendi uchawa!

  • @janechengula2833
    @janechengula2833 Жыл бұрын

    Mungu akulinde mwenyekiti wetu

  • @andrew29468
    @andrew29468 Жыл бұрын

    Mwenyekiti safi sanaaaaaaaaaaaaa Upo vzr

  • @innocentjohn4040
    @innocentjohn4040 Жыл бұрын

    Big up brother Kwa msimamo wako

  • @dominikishilali4645
    @dominikishilali4645 Жыл бұрын

    una ongea ww kiongozi naumia mm pole sana

  • @jeamwenda7394
    @jeamwenda7394 Жыл бұрын

    Ur true a leader

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 Жыл бұрын

    Kinacho endelea ni mgomo kwanini wamechoka safi sana 😂😂😂 MUNGU akulinde aiseeee

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Жыл бұрын

    Good job brother ❤❤❤❤❤❤

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Жыл бұрын

    Ndo hivo, Kiongozi unapaswa kuongea hivo kwa misimamo!

  • @habibukessy-pf4xf
    @habibukessy-pf4xf Жыл бұрын

    Upo saw kabisa

  • @floridachami9090

    @floridachami9090

    Жыл бұрын

    Kweli kk massage ww ni mwamba

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Жыл бұрын

    Jamani tumusikilize mwenyekiti jamani amepambana sana

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын

    Uko vizuri kiongozi

  • @martinkagussa3406
    @martinkagussa3406 Жыл бұрын

    My God protect you 🙏

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 Жыл бұрын

    Huyu jmaaa Yuko vizuri

  • @elizabethdonat1344
    @elizabethdonat1344 Жыл бұрын

    Daah yesu akulinde

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Жыл бұрын

    Kiongozi mzuri huyu safari sana

  • @BIGBOSS-hl3bu

    @BIGBOSS-hl3bu

    Жыл бұрын

    I love penina wangu❤❤❤

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Жыл бұрын

    Achen ujinga na upuuzi makufuri mngemfanyia hivi???????

  • @prijoseph4665
    @prijoseph4665 Жыл бұрын

    Huyu jamaa apewe ububge

  • @godwinegasper8212
    @godwinegasper8212 Жыл бұрын

    hyu jamaa n kiongozi kwel

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Жыл бұрын

    Aya mambo ni ya mda mrefu.. na Serikali inayafahamu. Iyo wiki ni ya nn zaidi ya viongozi kutoa maamuzi..!?

  • @mwaaang

    @mwaaang

    Жыл бұрын

    Basi wavunje uongozi wao waendelew kugoma kila mtu ashinde mechi zake

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 Жыл бұрын

    Kweli uongea kama kiongozi safii sana na mim nakuombea wakupe kweli huo mda

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Жыл бұрын

    Ni wakati pia wa wafanyabiashara wa kariakoo kuwa waangalifu, kitovu Cha biashara kinaweza kuhama!!??

  • @cinyoritha8168

    @cinyoritha8168

    Жыл бұрын

    Sio rahisi kiivoo

  • @Teachercandle

    @Teachercandle

    Жыл бұрын

    Inawezekana usifanye mchezo na serikali

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Жыл бұрын

    Safi sana mwenyekiti

  • @AbdulRazak-jp1hv
    @AbdulRazak-jp1hv Жыл бұрын

    💯💯💯💯💯

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Жыл бұрын

    Mi najaribu kufikiria tu! asingekuwa ni mwenyekiti wa chama ingekuwaje

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    Жыл бұрын

    Ilo nalo neno

  • @romwaldsimonkasian8018
    @romwaldsimonkasian8018 Жыл бұрын

    Good 👍

  • @mwaaang
    @mwaaang Жыл бұрын

    Huyu ni kiongozi na nusu. Mnapompa kazi. Mpimeni kwa muda huo alioumba. Kama hamtaki, mtoeni mwekeni mtu mwingine au endeleeni na harakati zenu mpimane nguvu na serikali mpaka mmoja atakapo surrender. Tutajua nani anamtegemea nani. Yetu macho.

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 Жыл бұрын

    Mwenyekiti Anastahili Kuwa Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam

  • @elsonkibasindila7526

    @elsonkibasindila7526

    Жыл бұрын

    Upumbavu

  • @jumangomuo-ho7il
    @jumangomuo-ho7il Жыл бұрын

    Safiiiiiiiii

  • @theroggyplus255
    @theroggyplus255 Жыл бұрын

    TRUE LEADER

  • @Zenny89
    @Zenny89 Жыл бұрын

    Serikali huwa inawadharau sana wafanyabiashara..hawajui biashara hizo ndizo zinalipia Suti, kaundasuti, ada za watoto wao na maVX yaoo.

  • @yohanaelias3336
    @yohanaelias3336 Жыл бұрын

    Mfikwa tumepaa juu zaid Mwenyekit uish

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki544224 күн бұрын

    Mwigulu hafai kuendelea kuwa waziri wa fedha.Sijui kwanini, mama hamtengui?

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Жыл бұрын

    Bro big up......

  • @aminimoshi5474
    @aminimoshi5474 Жыл бұрын

    Viongozi wa serikali wengi ni tatizo hongera mwenyekiti

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk Жыл бұрын

    Jaman kufanya biashara ni kazi ngumu sana sana

  • @jeffhard5773

    @jeffhard5773

    Жыл бұрын

    Hasa kwa nchi yenye utawala wa marafi Rafi ya madaraka huku hayana kalama za uongozi si nyingine Bali ni hii Tanzania

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Жыл бұрын

    Tuliambiwa Magufuri ndiye alikuwa anakusanya kodi kwa mtutu akumbe alisingiziwa maana migomo kama hii haikuwahi kutokea enzi ya uongozii wake. Hili funzo kubwa tusiingie madarakani tukasahau mema ya watangulizi wetu.

  • @adamuhilali4619
    @adamuhilali4619 Жыл бұрын

    good person you is like simba

  • @mkonothomas9517
    @mkonothomas9517 Жыл бұрын

    Mwenyekiti ameonyesha ukomavu ktk uongozi. Wadau vuteni subira yavuta heri

  • @faithswai6649
    @faithswai6649 Жыл бұрын

    He is right

Келесі