KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

Пікірлер: 149

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs43303 ай бұрын

    Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi

  • @robinsongodwin9710
    @robinsongodwin97103 ай бұрын

    Tanzanian people Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw3 ай бұрын

    Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉

  • @josamwilliam4105

    @josamwilliam4105

    3 ай бұрын

    Uko vzr

  • @user-em1bu1es4p
    @user-em1bu1es4p3 ай бұрын

    Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.

  • @user-wi4kw6ug6e
    @user-wi4kw6ug6e3 ай бұрын

    God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo

  • @nwntz
    @nwntz3 ай бұрын

    Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊

  • @DEBORAHMASANJA-yz3go
    @DEBORAHMASANJA-yz3go3 ай бұрын

    Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa

  • @MillardMushi-ce2bu
    @MillardMushi-ce2bu3 ай бұрын

    Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula

  • @user-wh9zj7kf7h

    @user-wh9zj7kf7h

    3 ай бұрын

    😂😂 nimecheka kwa saut

  • @barakabusima

    @barakabusima

    3 ай бұрын

    😂😂 ...jamani Dunia inamambo

  • @gordiansoko9113

    @gordiansoko9113

    3 ай бұрын

    Duu hii kali kuliko maelezo😂😂

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mussasylivester05

    @Mussasylivester05

    3 ай бұрын

    😂😂

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын

    Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee

  • @piusdeo9380

    @piusdeo9380

    3 ай бұрын

    Nakubali sana ndugu

  • @moriskalegeleshusha2619

    @moriskalegeleshusha2619

    3 ай бұрын

    Umetisha mkuu

  • @chechem.wambura8172

    @chechem.wambura8172

    3 ай бұрын

    ​@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,

  • @furahakalombe2011

    @furahakalombe2011

    3 ай бұрын

    Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani. Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu

  • @moriskalegeleshusha2619

    @moriskalegeleshusha2619

    3 ай бұрын

    Ni vzr tuwe tunapata matangazo

  • @johnchuwa1646
    @johnchuwa16463 ай бұрын

    si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k

  • @UpendoEliasSokota
    @UpendoEliasSokota2 ай бұрын

    Dr umetisha

  • @MarianaCapson
    @MarianaCapson3 ай бұрын

    Sooo powerful ❤

  • @user-ss5xy7lb7k
    @user-ss5xy7lb7k3 ай бұрын

    Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa

  • @mwakalingaabas981
    @mwakalingaabas9813 ай бұрын

    Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky10883 ай бұрын

    Dr Elie you are very right ❤

  • @saidmlemeta8083
    @saidmlemeta80833 ай бұрын

    Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno

  • @wilibarddorotheaelias8410

    @wilibarddorotheaelias8410

    3 ай бұрын

    Oi niaje kaka

  • @user-hp1jo4xc9o
    @user-hp1jo4xc9o3 ай бұрын

    Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂

  • @hgmtz8997
    @hgmtz89973 ай бұрын

    Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama

  • @user-gd3xl1qh8t
    @user-gd3xl1qh8t3 ай бұрын

    Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki17183 ай бұрын

    Uyu na Hamonaizi sawa

  • @HassanHassan-sn5cj

    @HassanHassan-sn5cj

    3 ай бұрын

    Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!

  • @user-hj8sr3ds2m
    @user-hj8sr3ds2mАй бұрын

    You are absolutely correct 👏

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele42683 ай бұрын

    Anaitwa Dr ELIE.

  • @petermgaya9693
    @petermgaya96933 ай бұрын

    Very complex speech

  • @Nzumbi0
    @Nzumbi02 ай бұрын

    De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha76803 ай бұрын

    Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂

  • @eliazewanga3543
    @eliazewanga35433 ай бұрын

    The best philosopher local wise

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki17183 ай бұрын

    Doctor Janabi na uyo sawa to

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila19283 ай бұрын

    barikiwa sana

  • @leonardmadelemo3043
    @leonardmadelemo30433 ай бұрын

    Elie vd nouma sana

  • @elyudsaleh6044
    @elyudsaleh60443 ай бұрын

    Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji

  • @jamesraphaelmdima4729

    @jamesraphaelmdima4729

    3 ай бұрын

    Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!

  • @bongomastory791

    @bongomastory791

    3 ай бұрын

    @@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa33463 ай бұрын

    Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!

  • @victoriajames5413

    @victoriajames5413

    3 ай бұрын

    Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.

  • @seifkulwa3346

    @seifkulwa3346

    3 ай бұрын

    @@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing. What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz3 ай бұрын

    Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili

  • @LusiaJohn-mv4xd
    @LusiaJohn-mv4xd3 ай бұрын

    asante doct

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian49043 ай бұрын

    Balaa huyu jamaa 😊

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole74413 ай бұрын

    AKILI KUBWA❤

  • @ngaribaonlinetv
    @ngaribaonlinetv3 ай бұрын

    Fact

  • @user-ox1tt3on3i
    @user-ox1tt3on3i3 ай бұрын

    Safi kabisa

  • @henrymkuye6669
    @henrymkuye66693 ай бұрын

    Dr is the best

  • @sontrillthereal8186
    @sontrillthereal81863 ай бұрын

    Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa

  • @msomaprince2644
    @msomaprince26443 ай бұрын

    Nimemuona Tima😂😂

  • @ellynikotv7178
    @ellynikotv71783 ай бұрын

    Much respect though

  • @rizikiesromu1418

    @rizikiesromu1418

    3 ай бұрын

    Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau Mungu hips apendye.

  • @user-wq2fh5rx4s
    @user-wq2fh5rx4s3 ай бұрын

    Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar

  • @rosehaule6765
    @rosehaule67653 ай бұрын

    Mhhh acha zako

  • @madreks253
    @madreks2533 ай бұрын

    Well said Dr! ❤

  • @saidmlemeta8083

    @saidmlemeta8083

    3 ай бұрын

    Hlw

  • @saidmlemeta8083

    @saidmlemeta8083

    3 ай бұрын

    Hlw

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын

    Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    3 ай бұрын

    Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.

  • @neemashingda
    @neemashingda3 ай бұрын

    Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope95343 ай бұрын

    Duh

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani8053 ай бұрын

    Wewe muo😢

  • @ontarget7949
    @ontarget79493 ай бұрын

    Dr Elie huna baya

  • @frank_luminous
    @frank_luminous3 ай бұрын

    Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!

  • @ellymzera2457
    @ellymzera24573 ай бұрын

    Agreed. .🇰🇪

  • @godfreymgaya1862
    @godfreymgaya18623 ай бұрын

    I see my daddy PT

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya14903 ай бұрын

    Uchawa ni m baya sana!!!

  • @MnazaretiMystry
    @MnazaretiMystry3 ай бұрын

    Mpumbavu huamini kila anachoambiwa

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani19933 ай бұрын

    Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.

  • @victoriajames5413

    @victoriajames5413

    3 ай бұрын

    22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅

  • @MnazaretiMystry
    @MnazaretiMystry3 ай бұрын

    Mpumbavu huamini kila achoambiwa

  • @peterrayunga
    @peterrayunga3 ай бұрын

    Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 ай бұрын

    ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer17813 ай бұрын

    Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani3 ай бұрын

    Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio47813 ай бұрын

    Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.

  • @nelsonmgaya1490

    @nelsonmgaya1490

    3 ай бұрын

    True!!

  • @ruthn9381

    @ruthn9381

    3 ай бұрын

    Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.

  • @user-ks7bs8yk3p
    @user-ks7bs8yk3p3 ай бұрын

    Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 ай бұрын

    siyo mungu sema MUNGU

  • @husseinmnubi6834
    @husseinmnubi68343 ай бұрын

    Real talk Dr🫡

  • @zainakingwele9228
    @zainakingwele92283 ай бұрын

    Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho

  • @yamungummungulo633
    @yamungummungulo6333 ай бұрын

    Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy

  • @yohanaibrahim4128
    @yohanaibrahim41283 ай бұрын

    Nimemuona kungwi liliani

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi69663 ай бұрын

    Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi

  • @user-ie2sr4fi4k

    @user-ie2sr4fi4k

    3 ай бұрын

    Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu

  • @masungadutta3823

    @masungadutta3823

    3 ай бұрын

    Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha

  • @Utulivu444

    @Utulivu444

    3 ай бұрын

    POINT 100% ​@@masungadutta3823

  • @user-ie2sr4fi4k

    @user-ie2sr4fi4k

    3 ай бұрын

    @@masungadutta3823 👍👍👍

  • @magorymara5515

    @magorymara5515

    3 ай бұрын

    Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo4513 ай бұрын

    Hamnw Kitu hapo

  • @bennyinnocent2750
    @bennyinnocent27503 ай бұрын

    ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e3 ай бұрын

    Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family

  • @AnthonySindabaha-de3xb

    @AnthonySindabaha-de3xb

    3 ай бұрын

    Mswahili bhana ..jibu kwa hoja

  • @elinihakimsuya1673
    @elinihakimsuya16733 ай бұрын

    Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu

  • @yamungummungulo633

    @yamungummungulo633

    3 ай бұрын

    Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)

  • @ruthn9381

    @ruthn9381

    3 ай бұрын

    Really? Don't see why?

  • @KillyM-ry5iy
    @KillyM-ry5iy3 ай бұрын

    Uyo ni mcongo

  • @chakulachaleo
    @chakulachaleo3 ай бұрын

    Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?

  • @ruthn9381

    @ruthn9381

    3 ай бұрын

    I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye3 ай бұрын

    Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo

  • @chancekambale3498

    @chancekambale3498

    3 ай бұрын

    Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .

  • @user-ly5gd2zc7u

    @user-ly5gd2zc7u

    3 ай бұрын

    Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen46753 ай бұрын

    anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮

  • @user-zo8ub3tl9g
    @user-zo8ub3tl9g3 ай бұрын

    Mi nasikia pumba hakuna maana ata

  • @salehsimba5306

    @salehsimba5306

    3 ай бұрын

    Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani

  • @pascalwissi4805

    @pascalwissi4805

    3 ай бұрын

    Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr

  • @chrismassawe2939

    @chrismassawe2939

    3 ай бұрын

    Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume

  • @user-ki9wu6no3d

    @user-ki9wu6no3d

    3 ай бұрын

    Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake

  • @user-ki9wu6no3d

    @user-ki9wu6no3d

    3 ай бұрын

    ​@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema

  • @dostovan5142
    @dostovan51423 ай бұрын

    Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi143 ай бұрын

    Mafundisho ya kishetani hayo

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73603 ай бұрын

    Huyu mjingai ana tu tukana huyu

  • @user-rg7se7qj5v
    @user-rg7se7qj5v3 ай бұрын

    Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.

  • @user-ly5gd2zc7u

    @user-ly5gd2zc7u

    3 ай бұрын

    Jishikilie utadondoka

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25703 ай бұрын

    Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda79273 ай бұрын

    Ni siku kuu yao we wasifie tu

  • @saulostephen197

    @saulostephen197

    3 ай бұрын

    huvi yeye anafanya shughuli gani vile

  • @godfreymgaya1862

    @godfreymgaya1862

    3 ай бұрын

    Mwanaume ni logic , tunarud pale pale

  • @nasibugunda7927

    @nasibugunda7927

    3 ай бұрын

    huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197

  • @nasibugunda7927

    @nasibugunda7927

    3 ай бұрын

    @@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.

  • @nasibugunda7927

    @nasibugunda7927

    3 ай бұрын

    logic ni nn? @@godfreymgaya1862

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76863 ай бұрын

    HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg3 ай бұрын

    Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu

  • @user-ly5gd2zc7u

    @user-ly5gd2zc7u

    3 ай бұрын

    Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊

  • @kaginazongori
    @kaginazongori3 ай бұрын

    Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu74273 ай бұрын

    Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .

  • @user-ki9wu6no3d

    @user-ki9wu6no3d

    3 ай бұрын

    Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa

  • @elishaussiri345
    @elishaussiri3453 ай бұрын

    Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu

Келесі