KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD
KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD
Жүктеу.....
Пікірлер: 149
@sportsnewjs43303 ай бұрын
Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi
@robinsongodwin97103 ай бұрын
Tanzanian people Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤
@hamidafundi-pw1gw3 ай бұрын
Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉
@josamwilliam4105
3 ай бұрын
Uko vzr
@user-em1bu1es4p3 ай бұрын
Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.
@user-wi4kw6ug6e3 ай бұрын
God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo
@nwntz3 ай бұрын
Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊
@DEBORAHMASANJA-yz3go3 ай бұрын
Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa
@MillardMushi-ce2bu3 ай бұрын
Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula
@user-wh9zj7kf7h
3 ай бұрын
😂😂 nimecheka kwa saut
@barakabusima
3 ай бұрын
😂😂 ...jamani Dunia inamambo
@gordiansoko9113
3 ай бұрын
Duu hii kali kuliko maelezo😂😂
@judyngowi391
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mussasylivester05
3 ай бұрын
😂😂
@Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын
Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee
@piusdeo9380
3 ай бұрын
Nakubali sana ndugu
@moriskalegeleshusha2619
3 ай бұрын
Umetisha mkuu
@chechem.wambura8172
3 ай бұрын
@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,
@furahakalombe2011
3 ай бұрын
Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani. Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu
@moriskalegeleshusha2619
3 ай бұрын
Ni vzr tuwe tunapata matangazo
@johnchuwa16463 ай бұрын
si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k
@UpendoEliasSokota2 ай бұрын
Dr umetisha
@MarianaCapson3 ай бұрын
Sooo powerful ❤
@user-ss5xy7lb7k3 ай бұрын
Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa
@mwakalingaabas9813 ай бұрын
Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian
@hafsalucky10883 ай бұрын
Dr Elie you are very right ❤
@saidmlemeta80833 ай бұрын
Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno
@wilibarddorotheaelias8410
3 ай бұрын
Oi niaje kaka
@user-hp1jo4xc9o3 ай бұрын
Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂
@hgmtz89973 ай бұрын
Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama
@user-gd3xl1qh8t3 ай бұрын
Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.
@mwakilamwaki17183 ай бұрын
Uyu na Hamonaizi sawa
@HassanHassan-sn5cj
3 ай бұрын
Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!
@user-hj8sr3ds2mАй бұрын
You are absolutely correct 👏
@charlesmakelele42683 ай бұрын
Anaitwa Dr ELIE.
@petermgaya96933 ай бұрын
Very complex speech
@Nzumbi02 ай бұрын
De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu
@georgesamwelchacha76803 ай бұрын
Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂
@eliazewanga35433 ай бұрын
The best philosopher local wise
@mwakilamwaki17183 ай бұрын
Doctor Janabi na uyo sawa to
@rahellubandila19283 ай бұрын
barikiwa sana
@leonardmadelemo30433 ай бұрын
Elie vd nouma sana
@elyudsaleh60443 ай бұрын
Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji
@jamesraphaelmdima4729
3 ай бұрын
Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!
@bongomastory791
3 ай бұрын
@@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa
@seifkulwa33463 ай бұрын
Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!
@victoriajames5413
3 ай бұрын
Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.
@seifkulwa3346
3 ай бұрын
@@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing. What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!
@ColinMhema-ne3lz3 ай бұрын
Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili
@LusiaJohn-mv4xd3 ай бұрын
asante doct
@majidfrolian49043 ай бұрын
Balaa huyu jamaa 😊
@luganomwaigomole74413 ай бұрын
AKILI KUBWA❤
@ngaribaonlinetv3 ай бұрын
Fact
@user-ox1tt3on3i3 ай бұрын
Safi kabisa
@henrymkuye66693 ай бұрын
Dr is the best
@sontrillthereal81863 ай бұрын
Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa
@msomaprince26443 ай бұрын
Nimemuona Tima😂😂
@ellynikotv71783 ай бұрын
Much respect though
@rizikiesromu1418
3 ай бұрын
Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau Mungu hips apendye.
@user-wq2fh5rx4s3 ай бұрын
Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar
@rosehaule67653 ай бұрын
Mhhh acha zako
@madreks2533 ай бұрын
Well said Dr! ❤
@saidmlemeta8083
3 ай бұрын
Hlw
@saidmlemeta8083
3 ай бұрын
Hlw
@Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын
Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.
@ezekieljacob5795
3 ай бұрын
Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.
@neemashingda3 ай бұрын
Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii
@mosesmnyantope95343 ай бұрын
Duh
@athumanhassani8053 ай бұрын
Wewe muo😢
@ontarget79493 ай бұрын
Dr Elie huna baya
@frank_luminous3 ай бұрын
Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!
@ellymzera24573 ай бұрын
Agreed. .🇰🇪
@godfreymgaya18623 ай бұрын
I see my daddy PT
@nelsonmgaya14903 ай бұрын
Uchawa ni m baya sana!!!
@MnazaretiMystry3 ай бұрын
Mpumbavu huamini kila anachoambiwa
@mchumiajuani19933 ай бұрын
Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.
@victoriajames5413
3 ай бұрын
22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅
@MnazaretiMystry3 ай бұрын
Mpumbavu huamini kila achoambiwa
@peterrayunga3 ай бұрын
Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.
@trophywilson7211
3 ай бұрын
ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili
@qonquererqanquerer17813 ай бұрын
Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha
@Thabitilubunani3 ай бұрын
Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote
@jeremiahblazio47813 ай бұрын
Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.
@nelsonmgaya1490
3 ай бұрын
True!!
@ruthn9381
3 ай бұрын
Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.
@user-ks7bs8yk3p3 ай бұрын
Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana
@trophywilson7211
3 ай бұрын
siyo mungu sema MUNGU
@husseinmnubi68343 ай бұрын
Real talk Dr🫡
@zainakingwele92283 ай бұрын
Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho
@yamungummungulo6333 ай бұрын
Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy
@yohanaibrahim41283 ай бұрын
Nimemuona kungwi liliani
@godfreymushi69663 ай бұрын
Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi
@user-ie2sr4fi4k
3 ай бұрын
Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu
@masungadutta3823
3 ай бұрын
Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha
@Utulivu444
3 ай бұрын
POINT 100% @@masungadutta3823
@user-ie2sr4fi4k
3 ай бұрын
@@masungadutta3823 👍👍👍
@magorymara5515
3 ай бұрын
Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga
@vascomwalongo4513 ай бұрын
Hamnw Kitu hapo
@bennyinnocent27503 ай бұрын
ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA
@user-eb3hf1lm9e3 ай бұрын
Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family
@AnthonySindabaha-de3xb
3 ай бұрын
Mswahili bhana ..jibu kwa hoja
@elinihakimsuya16733 ай бұрын
Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu
@yamungummungulo633
3 ай бұрын
Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)
@ruthn9381
3 ай бұрын
Really? Don't see why?
@KillyM-ry5iy3 ай бұрын
Uyo ni mcongo
@chakulachaleo3 ай бұрын
Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?
@ruthn9381
3 ай бұрын
I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!
@RaymondKilomeye3 ай бұрын
Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo
@chancekambale3498
3 ай бұрын
Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .
@user-ly5gd2zc7u
3 ай бұрын
Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie
@hailinhelen46753 ай бұрын
anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮
@user-zo8ub3tl9g3 ай бұрын
Mi nasikia pumba hakuna maana ata
@salehsimba5306
3 ай бұрын
Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani
@pascalwissi4805
3 ай бұрын
Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr
@chrismassawe2939
3 ай бұрын
Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume
@user-ki9wu6no3d
3 ай бұрын
Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake
@user-ki9wu6no3d
3 ай бұрын
@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema
@dostovan51423 ай бұрын
Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu
@msatibongonyuzi143 ай бұрын
Mafundisho ya kishetani hayo
@raphaelkessy73603 ай бұрын
Huyu mjingai ana tu tukana huyu
@user-rg7se7qj5v3 ай бұрын
Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.
@user-ly5gd2zc7u
3 ай бұрын
Jishikilie utadondoka
@malkavoice25703 ай бұрын
Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?
@nasibugunda79273 ай бұрын
Ni siku kuu yao we wasifie tu
@saulostephen197
3 ай бұрын
huvi yeye anafanya shughuli gani vile
@godfreymgaya1862
3 ай бұрын
Mwanaume ni logic , tunarud pale pale
@nasibugunda7927
3 ай бұрын
huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197
@nasibugunda7927
3 ай бұрын
@@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.
@nasibugunda7927
3 ай бұрын
logic ni nn? @@godfreymgaya1862
@valenakomba76863 ай бұрын
HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.
@George-jz3jg3 ай бұрын
Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu
@user-ly5gd2zc7u
3 ай бұрын
Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊
@kaginazongori3 ай бұрын
Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili
Пікірлер: 149
Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi
Tanzanian people Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤
Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉
@josamwilliam4105
3 ай бұрын
Uko vzr
Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.
God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo
Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊
Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa
Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula
@user-wh9zj7kf7h
3 ай бұрын
😂😂 nimecheka kwa saut
@barakabusima
3 ай бұрын
😂😂 ...jamani Dunia inamambo
@gordiansoko9113
3 ай бұрын
Duu hii kali kuliko maelezo😂😂
@judyngowi391
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mussasylivester05
3 ай бұрын
😂😂
Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee
@piusdeo9380
3 ай бұрын
Nakubali sana ndugu
@moriskalegeleshusha2619
3 ай бұрын
Umetisha mkuu
@chechem.wambura8172
3 ай бұрын
@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,
@furahakalombe2011
3 ай бұрын
Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani. Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu
@moriskalegeleshusha2619
3 ай бұрын
Ni vzr tuwe tunapata matangazo
si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k
Dr umetisha
Sooo powerful ❤
Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa
Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian
Dr Elie you are very right ❤
Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno
@wilibarddorotheaelias8410
3 ай бұрын
Oi niaje kaka
Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂
Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama
Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.
Uyu na Hamonaizi sawa
@HassanHassan-sn5cj
3 ай бұрын
Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!
You are absolutely correct 👏
Anaitwa Dr ELIE.
Very complex speech
De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu
Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂
The best philosopher local wise
Doctor Janabi na uyo sawa to
barikiwa sana
Elie vd nouma sana
Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji
@jamesraphaelmdima4729
3 ай бұрын
Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!
@bongomastory791
3 ай бұрын
@@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa
Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!
@victoriajames5413
3 ай бұрын
Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.
@seifkulwa3346
3 ай бұрын
@@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing. What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!
Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili
asante doct
Balaa huyu jamaa 😊
AKILI KUBWA❤
Fact
Safi kabisa
Dr is the best
Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa
Nimemuona Tima😂😂
Much respect though
@rizikiesromu1418
3 ай бұрын
Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau Mungu hips apendye.
Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar
Mhhh acha zako
Well said Dr! ❤
@saidmlemeta8083
3 ай бұрын
Hlw
@saidmlemeta8083
3 ай бұрын
Hlw
Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.
@ezekieljacob5795
3 ай бұрын
Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.
Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii
Duh
Wewe muo😢
Dr Elie huna baya
Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!
Agreed. .🇰🇪
I see my daddy PT
Uchawa ni m baya sana!!!
Mpumbavu huamini kila anachoambiwa
Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.
@victoriajames5413
3 ай бұрын
22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅
Mpumbavu huamini kila achoambiwa
Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.
@trophywilson7211
3 ай бұрын
ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili
Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha
Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote
Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.
@nelsonmgaya1490
3 ай бұрын
True!!
@ruthn9381
3 ай бұрын
Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.
Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana
@trophywilson7211
3 ай бұрын
siyo mungu sema MUNGU
Real talk Dr🫡
Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho
Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy
Nimemuona kungwi liliani
Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi
@user-ie2sr4fi4k
3 ай бұрын
Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu
@masungadutta3823
3 ай бұрын
Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha
@Utulivu444
3 ай бұрын
POINT 100% @@masungadutta3823
@user-ie2sr4fi4k
3 ай бұрын
@@masungadutta3823 👍👍👍
@magorymara5515
3 ай бұрын
Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga
Hamnw Kitu hapo
ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA
Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family
@AnthonySindabaha-de3xb
3 ай бұрын
Mswahili bhana ..jibu kwa hoja
Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu
@yamungummungulo633
3 ай бұрын
Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)
@ruthn9381
3 ай бұрын
Really? Don't see why?
Uyo ni mcongo
Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?
@ruthn9381
3 ай бұрын
I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!
Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo
@chancekambale3498
3 ай бұрын
Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .
@user-ly5gd2zc7u
3 ай бұрын
Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie
anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮
Mi nasikia pumba hakuna maana ata
@salehsimba5306
3 ай бұрын
Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani
@pascalwissi4805
3 ай бұрын
Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr
@chrismassawe2939
3 ай бұрын
Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume
@user-ki9wu6no3d
3 ай бұрын
Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake
@user-ki9wu6no3d
3 ай бұрын
@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema
Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu
Mafundisho ya kishetani hayo
Huyu mjingai ana tu tukana huyu
Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.
@user-ly5gd2zc7u
3 ай бұрын
Jishikilie utadondoka
Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?
Ni siku kuu yao we wasifie tu
@saulostephen197
3 ай бұрын
huvi yeye anafanya shughuli gani vile
@godfreymgaya1862
3 ай бұрын
Mwanaume ni logic , tunarud pale pale
@nasibugunda7927
3 ай бұрын
huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197
@nasibugunda7927
3 ай бұрын
@@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.
@nasibugunda7927
3 ай бұрын
logic ni nn? @@godfreymgaya1862
HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.
Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu
@user-ly5gd2zc7u
3 ай бұрын
Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊
Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili
Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .
@user-ki9wu6no3d
3 ай бұрын
Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa
Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu