#*Afya Podcast# Fahamu Tabia Mbaya 10 zinazoweka Figo zako HATARINI..

#*Afya Podcast#*
Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu Tabia Mbaya 10 zinazoweka Figo zako HATARINI..

Пікірлер: 194

  • @legera63
    @legera633 ай бұрын

    Mungu wangu linda afya yangu sayansi ni bora ila wewe ni bora zaid✊

  • @jeremiahbhulituma855
    @jeremiahbhulituma8558 күн бұрын

    Prof. Habari za kazi. Mimi ni mfuatiliaji mzuri Wa mafundisho yako. Kila kipindi unachorusha najifunza zaidi. Wewe kwanza umbo lako liko sahihi. Hapo ulipo una umri wa miaka mingapi. Na uzito wa kilo ngapi. Maana nakuona uko very super active!!! Natanguliza shukrani kwa majibu ya maombi hayo

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes95363 ай бұрын

    Simple and best explanations. Congrats Prof. Mohamed Janabi.Anajua kuelimisha sana.

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman64993 ай бұрын

    Habari hii tv sikujua kama ipo hongera prof Jababi elimu nzuri umetoa..Ila mm ni kijana umri wangu 32yrs nina tatizo ambalo hospitali wameshidwa kujua tiba yake wala chanzo naomba mwenye namba ya simu ya Prof Jababi anisasidie guys nateseka sana almost miaka 8 sàsa ....Msada wakuu

  • @dullaone454

    @dullaone454

    3 ай бұрын

    Jitahidi uende jkci. Pale muhimbili kitengo cha moyo. Utampata.

  • @jamesswai1683

    @jamesswai1683

    3 ай бұрын

    Nenda Muhimbili ndio suluhisho..

  • @barnabasmboya7688

    @barnabasmboya7688

    3 ай бұрын

    Yesu Kristo anaweza kukuponya. Mpe Yesu nafasi. Kwa msaada zaidi unaweza kunifuata nitakushauri na tutaomba na utapona

  • @SalamaSwedy

    @SalamaSwedy

    3 ай бұрын

    ​@@barnabasmboya7688 😂😂😂 Wacha utapeli

  • @husseinhamis1428

    @husseinhamis1428

    3 ай бұрын

    we kichwa yako mbovu ​@@barnabasmboya7688

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan59403 ай бұрын

    Allh akulipe si rahisi kwa mtu mwenye cheo kama chako kuandaa vipindi na kutuelewesha hii ni kwa sababu unaona hatari iliyopo na unataka tujikinga. Ahsante sanna

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    3 ай бұрын

    Sana huyu baba anaiimani. anahuruma na binaadam wenzie

  • @emmiemmi3861

    @emmiemmi3861

    2 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @molitvonline
    @molitvonline3 ай бұрын

    Asante sana Dr . Imeeleweka mungu akupe maisha malefu huna baya na mtu Dr janabi

  • @Abdalla.Said_01
    @Abdalla.Said_013 ай бұрын

    Unatoa elimu nzuri sana Prof. Mohamed

  • @josephlorri431
    @josephlorri4313 ай бұрын

    Mzee amenyooka,...ila maisha yanahitaji nidhamu kubwa

  • @hezronmlwale7416

    @hezronmlwale7416

    3 ай бұрын

    Hakıka mzee amenyooka mpaka... Nıdhamu kubwa katıka maısha haya nı muhımu sana. 🙏🙏

  • @OnejobKope

    @OnejobKope

    3 ай бұрын

    Asante sana doctor ubarikiwe

  • @officialyohanamalisa1873

    @officialyohanamalisa1873

    2 ай бұрын

    Saana nidhanu ndio kila kitu. Ukikuta mtu anafukia nyama choka kilo moja na bia, akidhani huna hela ya kula , ila siku atakua anafanya dialisis atalia kama nyau 😊

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    2 ай бұрын

    @@officialyohanamalisa1873 maisha yana mwisho, usimdharau na kumnyanyapaa anayekula kilo nyama choma. Duniani tunapita.

  • @alwysalehmohamedalammary3507
    @alwysalehmohamedalammary35073 ай бұрын

    Shukran doctor Allah akulipe kwa unachokitoa kwa jamii

  • @sixytntongambele3038
    @sixytntongambele30383 ай бұрын

    We jamaaa unaafya ya aqiri iliyo strong sana Me binafsi sijutii kukufaham kwakweli

  • @greysonmbembelakarateka5842
    @greysonmbembelakarateka58422 ай бұрын

    Ahsante, Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha

  • @gloryurassa9873
    @gloryurassa98733 ай бұрын

    Asante sana kwa Elimu ya afya Dr. Janabi. Mungu akuzindishie wingi wa siku

  • @martinjohn7854
    @martinjohn78543 ай бұрын

    NASHUKURU SANA DOKTA. NAOMBA KILA. KADA YA DAKTARI BINGWA TAIFA, ITOE MADA YAO HUKU, ILI TUJIEPUSHE NA HATARI HIZI.

  • @AbuuMuhsin
    @AbuuMuhsin3 ай бұрын

    Tuko pamoja Dr. Nakufuatilia kila siku na kila somo lako.

  • @user-uw7er1ec3v
    @user-uw7er1ec3v2 ай бұрын

    Nimekuelewa doctor.mungu akuzidishie kutupa elimu napia .akuingize peponi amin

  • @joshuakimambo2765
    @joshuakimambo27653 ай бұрын

    Elimu nzuri sana. Elimu ya kujitambua bado inahitajika sana. Magonjwa mengi yangeweza kuepukika kwa kubadilisha tu mfumo wa maisha

  • @adamkalokaza6813
    @adamkalokaza68133 ай бұрын

    hongera profesa janabi nakufuatilia

  • @MrDaoud-il9nt
    @MrDaoud-il9nt2 ай бұрын

    Shukrani doctor Allah akulipe

  • @salutarysebastian2882
    @salutarysebastian2882Ай бұрын

    Asante sana kwa elimu

  • @Kisase
    @Kisase3 ай бұрын

    Asant sana doctor mungu akulinde

  • @maryammo-gd3me
    @maryammo-gd3me3 ай бұрын

    Asante sana kwa elimu nzur

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga51073 ай бұрын

    Mungu akubariki somo zuri xana hili

  • @samsonshedrack5677
    @samsonshedrack56773 ай бұрын

    Doctor asante kwa somo zuri,

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын

    Maashaallah Allah akulipe heri Dr. JANABI

  • @victorntaganyamba7313
    @victorntaganyamba73133 ай бұрын

    Asante kwa somo zuri

  • @user-pd2kw4qo2o
    @user-pd2kw4qo2o3 ай бұрын

    Asante sana prof🎉

  • @winnesakara6957
    @winnesakara69573 ай бұрын

    Asante doctor

  • @asnathmugassa136
    @asnathmugassa1363 ай бұрын

    Aksnate sana professor Janaby kwa elimu nzuri sana

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja97133 ай бұрын

    Asanteee pfrs Jana bi❤❤❤❤ kwa somo

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo17412 ай бұрын

    Shukran sana professor MJ

  • @joctanmotoka2637
    @joctanmotoka26373 ай бұрын

    Ubarikiwe sana prof

  • @francisosodo8001
    @francisosodo80013 ай бұрын

    Asante Prof. Kwa Elimu

  • @James-hb2gv
    @James-hb2gv3 ай бұрын

    Asante sana kiongozi Mungu akubaliki

  • @user-wo2ye5vh4q
    @user-wo2ye5vh4q3 ай бұрын

    Asante dr kwa somo

  • @eliamtani2840
    @eliamtani28403 ай бұрын

    Thank You Prof.

  • @baluhyajr.913
    @baluhyajr.9133 ай бұрын

    Asante sana Prof. Janabi kwa elimu ya afya kwa umma.

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano53722 ай бұрын

    Hongera sana Dr. Mungu akuzidishie umri

  • @ernestjophreymalaba3374
    @ernestjophreymalaba33742 ай бұрын

    Ubarikiwe sana My Role Model

  • @paskalkinyunyu9045
    @paskalkinyunyu90453 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu utupe elim naelimika sana sana asante

  • @user-cf5yb5fk4s
    @user-cf5yb5fk4s3 ай бұрын

    Shukran prof janabi hakika kinga ni bora kuliko tiba

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627Ай бұрын

    Hongera Sana prf. Hiv kukojoa mara kwa mara unawezakukuweka hatarini pia

  • @TowardJesusTv777
    @TowardJesusTv7772 ай бұрын

    Asante Prof. Barikiwa sana....nakufata toka DRC

  • @MohamedMursal-nb6nm
    @MohamedMursal-nb6nm3 ай бұрын

    Thanks Dr

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee91583 ай бұрын

    Ahsante Kupata Elimu hii

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32313 ай бұрын

    Hongera sana DR🎉🎉

  • @JOFREYSONGOLA
    @JOFREYSONGOLA3 ай бұрын

    Thank you Dr

  • @amaniupendo1078
    @amaniupendo10782 ай бұрын

    Asante sana kabisa from 🇨🇩

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso26283 ай бұрын

    Asante dr

  • @HusseinJumaa-my6dc
    @HusseinJumaa-my6dc3 ай бұрын

    Nashukuru kuwafahamu nitaendelea kuwa fuatilia

  • @Gunze15
    @Gunze152 ай бұрын

    Asant san Dr

  • @abdoulzainoubongoth2556
    @abdoulzainoubongoth2556Ай бұрын

    Dr janabi Mungu akupe maisha marefu

  • @josephmsacky2248
    @josephmsacky22483 ай бұрын

    6:09 Hii nzuri sana, ongera sana dr

  • @kobylwaho3191
    @kobylwaho31913 ай бұрын

    safi sana dr nashukur Kuifahamu hii chanel inayofundisha mambo muhimu ktk maish yetu

  • @ernestshekalaghe1945
    @ernestshekalaghe1945Ай бұрын

    uko vizuri sana Prof . Janabi

  • 3 ай бұрын

    Good Job Prof Janabi🤝

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80933 ай бұрын

    Prof apewe muhimbili kwa miaka 100 ameibadilisha san Hospital ya Taifa

  • @mbondehemed2841
    @mbondehemed28413 ай бұрын

    Nimekupata janabi mungu aliki kwasomo rako

  • @FrankDeo-xu7zw
    @FrankDeo-xu7zw2 ай бұрын

    Ubarikiwe kiongoz

  • @niriacatering172
    @niriacatering1723 ай бұрын

    Shukrani sana

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji1182 ай бұрын

    Shukrani 🙏🙏🙏

  • @ampeliusjoachimu7820
    @ampeliusjoachimu78203 ай бұрын

    Thanks and be blessed🙏🙏🙏

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa343 ай бұрын

    Shukran kwa mafunzo yenye kutujenga kiafya

  • @ukweli255
    @ukweli2553 ай бұрын

    Naamimi kuna Media Kubwa kama Clouds Media au Wasafi Tv wataingia mkataba na hii Channel ili haya Maudhui yawe yanawafikia wengi ambao kuifia KZread ni ngumu!

  • @ce-08

    @ce-08

    25 күн бұрын

    Alishaenda wahi kwenda clouds sema ....

  • @lucasisundwa2125
    @lucasisundwa21252 ай бұрын

    Thanks for class

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba482 ай бұрын

    Prof Janabi..huwa nafuatilia sana session zako...

  • @azammchunguzi4687
    @azammchunguzi46873 ай бұрын

    Dr upo vizur

  • @Bioone06
    @Bioone06Ай бұрын

    Kulinda afya yako

  • @Mr.SOPHAT
    @Mr.SOPHAT3 ай бұрын

    Thanks you ❤

  • @MosesMsuya-yq9ru
    @MosesMsuya-yq9ru2 ай бұрын

    Imeeleweka doctor

  • @user-jm6kb2ti1y
    @user-jm6kb2ti1y2 ай бұрын

    Doctor tunaomba mjibu coment zetu

  • @AbihudiMbekomize-uy7kp
    @AbihudiMbekomize-uy7kp2 ай бұрын

    Asante sana doctor lakini pia nina maswali jenaweza kuuliza

  • @gabrielygodfrey7815
    @gabrielygodfrey78153 ай бұрын

    Tuko pamoja Dr

  • @deogratiasntalindi4200
    @deogratiasntalindi42002 ай бұрын

    MUHIMBILI#Afya bodcast# naomba mnisaidie mawasiliano ya Prof.Janabi nina maswali mengi sana

  • @franciskennethngwale5195

    @franciskennethngwale5195

    2 ай бұрын

    Sio lahisi hivo kupata

  • @EvanceShirima
    @EvanceShirima3 ай бұрын

    Dr mo janabi unipa somo nimetoka na kitu kimojahapo,msaliimie bingwa mwenzio hapo dialysis mgumi na ness mnyenyekevu asie na mawaa HAJIRA ###

  • @AmaniSylvain
    @AmaniSylvain2 күн бұрын

    Asante

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567Ай бұрын

    Thank you so much for your consideration 🙏🏿🙏🏿

  • @joycemboya5728
    @joycemboya5728Ай бұрын

    Tunaomba Dr mfanyie utafiti Sawa zetu za asili tulizotimia huko nyuma na zikatusaidia

  • @goodlucknjau77
    @goodlucknjau772 ай бұрын

    Shikamoo pro kwenye pombe ongeza ata mbili mkubwa 😂😂😂

  • @user-ny8fl5gu6q

    @user-ny8fl5gu6q

    2 ай бұрын

    Heeeeee

  • @johngibson3089
    @johngibson30893 ай бұрын

    Asante sana Dr Janabi kwa kutuelimisha. Je, juice ya miwa ni salama kwa figo?

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto72123 ай бұрын

    Umesahau utumiaji wa vipodozi vyenye kemikali kali

  • @ManyamaOG
    @ManyamaOGАй бұрын

    Assalam alaikum, dr janabi naomba utuelezee maradhi gesi na namna ya kujikinga . Insha Allah

  • @eujeniosamwel5323
    @eujeniosamwel53232 ай бұрын

    👏👏

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah589511 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand5663 ай бұрын

    Somo zuri Dr,ila hujatuambia nini tule ili Figo zetu ziweze kuwa salama

  • @johnmwasilu7087

    @johnmwasilu7087

    3 ай бұрын

    Hayo aliyokwambia fanya kinyume chake ndiyo jibu. Pia yale asiyoyataja ndiyo hayana madhara makubwa unaweza kula

  • @sitisalum9573

    @sitisalum9573

    3 ай бұрын

    Mwenyezi mungu akubariki sana prof,

  • @isacklaizer6776

    @isacklaizer6776

    3 ай бұрын

    Kunywa maji ya kutosha, punguza chumvi, punguza sukari, Punguza matumizi yaliyopitiliza ya dawa za maumivu (NSAID), Kuacha Unywaji wa pombe uliopitiliza...n.k.,

  • @MinskBelarus-il2tl

    @MinskBelarus-il2tl

    3 ай бұрын

    Boniface, mbona ameweka Wazi? MAJI KAMA CHAKULA BORA

  • @shukranjulius9526

    @shukranjulius9526

    3 ай бұрын

    😂😂​@@MinskBelarus-il2tl

  • @selemankilo8482
    @selemankilo84823 ай бұрын

    Tunaomba mtoe darasa la namna ya kuacha vileo..Kiukweli watu wengi wanaurahibu wa pombe ila kwakuwa inauzwa kihalali tunaona kama ni sehem ya maisha na sio urahibu.Asante

  • @harrymakongwa1147

    @harrymakongwa1147

    3 ай бұрын

    Aimbie tu serikali ipige marufuku wa pombe ,viwanda vyote vifungwe

  • @lilianfelix5143

    @lilianfelix5143

    2 ай бұрын

    Na kodi je utanipa wewe

  • @harrymakongwa1147

    @harrymakongwa1147

    2 ай бұрын

    @@lilianfelix5143 Nenda kijijini kalime 😀

  • @drackshad2995
    @drackshad29953 ай бұрын

    🤝

  • @user-jm3jl3ir2q
    @user-jm3jl3ir2q3 ай бұрын

    Ningependa aweke nambayake jamani

  • @DanielMabula-hs7kr
    @DanielMabula-hs7kr2 ай бұрын

    Good

  • @samyjoseph2732
    @samyjoseph2732Ай бұрын

    Nani kaniambia niangalie hii daaah 😢😢

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka12063 ай бұрын

    Hakika MUNGU akubariki Sana wewe kweli ni msomi

  • @DativaMbowe
    @DativaMboweАй бұрын

    Sasa mimi ninae kunywa wine zaid ya moja mungu nisaidie nimeogopa

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry42493 ай бұрын

    MAMBO YA AFYA HAYA,MWISHOWE MTATUAMBIA HADI KULALA NA FENI KUNASABABISHA FIGO KUFELI,,SASA USINGIZI ASKARI HAWALALAGI KABISA KUMBE NI HATARI

  • @ambroceharouna1612

    @ambroceharouna1612

    3 ай бұрын

    Wewe utabisha mpka kifo chako

  • @abdallahmmary8591

    @abdallahmmary8591

    3 ай бұрын

    Mzaha kwenye ukweli ni mzaha uliouzoea kwenye maisha yaki jitafakari ndg

  • @rodsconehenry4249

    @rodsconehenry4249

    3 ай бұрын

    @@abdallahmmary8591 angalia Figo zako sio zangu

  • @abasilihundu200

    @abasilihundu200

    3 ай бұрын

    Nani kakwambia askari halalagi kabisa, acha kukariri. Kwamba mda wote anakuwa kazini

  • @rodsconehenry4249

    @rodsconehenry4249

    3 ай бұрын

    @@abasilihundu200 kwani Dr kasema tulale mda wote?au kukosa mda mwingi wa kulala?we unaelewa bs

  • @user-qr4jq2ly6j
    @user-qr4jq2ly6j3 ай бұрын

    🙏🙏

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33533 ай бұрын

    Tunashkur kwkuwa tunapata Elim ya mapema.

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j3 ай бұрын

    Huyu jamaa anajua kutupa madini na anajua kuchambua

  • @jumannemalale2943
    @jumannemalale29433 ай бұрын

    Najua hii itanifanya niwe maarufu sana 😢😢😂

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba482 ай бұрын

    Our body when having too much acid ....can be reduced by eating alkaline foods ...ie all vegy and fruits

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j3 ай бұрын

    Naomba ushauli zamani nilikuwa natumia maji mengi ila Sasa siwezi na hali ya hewa ikibadilika ya badili ndio nakuwa mvivu kutumia naomba ushauli nitumie Nini ili niludi kama zamani.

  • @AbdullahOmar-be4wy

    @AbdullahOmar-be4wy

    3 ай бұрын

    Km mvua mwili inakuwa hauhitaji maji mengi

  • @franklinisaya4796

    @franklinisaya4796

    3 ай бұрын

    Njia ni kunywa maji tena

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51573 ай бұрын

    Hapa kwenye ulaji wa pombe kupitiliza ningependeza useme watu wasitumie pombe kwasabab hata hio glass moja inaleta athar ndan ya mwili

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ3 ай бұрын

    Vyakula cya kuzidika cjaelewa na pia suala la kulala kwa mda husika unatakiw ulale vipi ili uwe umelala vzr... 😢

  • @malopemaliyamungu5243

    @malopemaliyamungu5243

    3 ай бұрын

    Sio vyakula vya kuzindika.. Ni vyakula vya kusindika. Yaani vinavyotunzwa kwa kemikali, chumvi na sukari nyingi ili vikae kwa muda mrefu bila ya kuharibika Ni HATARI. Lala muda usiopungua masaa 7 kwa ratiba inayoeleweka. Kama Ni saa 4 mpaka 12 iwe hivyo sio baada ya siku unalala saa 8.

  • @MrMona_TZ

    @MrMona_TZ

    3 ай бұрын

    @@malopemaliyamungu5243 asnte sna 🙏 mungu akubarik

Келесі