FAIDA ZA KUFUNGA KULA MLO MMOJA AU MIWILI SEHE YA 3 na Prof Mohamed Janabi INSULIN RESISTANCE
VIDEO HII INAMILIKIWA NA MUHIMBILI TV
Жүктеу.....
Пікірлер: 120
@OliverOden-eb6ko4 ай бұрын
Nimefanya fasting diet kwa mda wa 2 month nilikuwa na kilo 93 now nina 77Kg. JANABI🙌🏾❤️ God bless you
@numbibonzo4238
4 ай бұрын
Bila mazoezi?
@OliverOden-eb6ko
4 ай бұрын
@@numbibonzo4238 sifanyi zoezi serious yan naruka kamba mara chache saana
@sophierkhatib1862
4 ай бұрын
Umefanya diet gani ndug yangu maana na mm nipo na izo kilo
@Ndu-wa.uroony2
4 ай бұрын
@@sophierkhatib1862Acha kula vyakula visivyo na lishe pia usiendekeze shughuli za kukufanya ukae tu.tembea,fanya kazi ya kushughulisha mwili
@ZulfaMazani-lb9oe
4 ай бұрын
@@sophierkhatib1862 Ukiweza unacha kula Milo miwili kwa siku , mfano unakula mara moja tu mchana ,,,,ukishindwa iyo unacha kula usiku
@sihabaaly2876 ай бұрын
MashaAllah yaan nakufatilia nakuelewa nakupenda mpaka naumwa yaani nimekua mfungaji sitaki kuelewa habari ya kuonanjaa ✌👍
@raphaelkessy73604 ай бұрын
Thanks Prof ushauri wako nna ufuwata toka mwaka jana nikiwa na kilo 98 naku vimba miguu ganzi mkono wa kulia ku stuka sana usiku ni ak amka na uchovu mkubwa asubuhi saivi nna kilo 66 niko vizuri saaaaaana God bless you Prof
@amanimakame6902
4 ай бұрын
Elimu nzuri kabasa .safi sana
@nyakatongongo4292
Ай бұрын
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦nashukuru sana
@jacobnduya7984 ай бұрын
Asante Dr kwa lecture nzuri kabisa! kwakweli nimeenjoy sana kipindi hiki nilitamani iendelee masaa hata matano. This is realy educated man
@rosehaule67654 ай бұрын
Mungu akutunze Dr ss tunakuelewa❤
@BonnyMwajombe-iu7hb4 ай бұрын
Huyu mzee janab mchawi hatari ,zamani nilikuwa napenda sana kula kula na kunywa mi soda siku hizi kila nikitaka kununua soda inasukea sura ya janabi naghair nachakula hivohivo anatokea hadi nakula usiku tu kwa kujificha😅
@leahatupele-rr1jk
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@emilianadismasmbulwa52334 ай бұрын
Asante Prof. Janabi Tunayafanyia kazi uliyofundisha
@pushyd14 ай бұрын
Hii kitu ni nzuri mno,halafu nilichogundua mwili unazoea kabisa,mimi na kama almost week sasa,naamka asubuhi sisikii tena njaa mpaka ufike ule muda niliojipangia kula mlo wa kwanza saa sita mchana
@MussaHassan-me2cc2 ай бұрын
Asante profesa hongera sana kwa elimu nzuri
@JackieMijinga-cs5tc6 ай бұрын
Mwenye masikio na Asikie
@gracekagoma32317 ай бұрын
Respect. We are lucky to have you Dr Janabi.Remain blessed day
@dominiquemushy8954 ай бұрын
Asante Sana Doctor
@purity1347 ай бұрын
Thanks doctor Janab
@JackieMijinga-cs5tc6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Prof Janabi kwa kuvunja ukimia na kuamua kuiokoa Jamie, mwenye malicious na Asikie.
@agathamathew8185
4 ай бұрын
Doctor ukila chakula Cha mchana tu nakuacha Cha jion Ni vibaya? Na unatakiwa kula saa ngapi Ni mda sahihi?
@eestermos9933
4 ай бұрын
Dah hongera na m naitaka hiyo
@KudraJuma-rf3km17 күн бұрын
Asante, mwenyezi mungu akulinde uzidi kutoa elimu
@khadejakhadeja97137 ай бұрын
Asantee dctr Janab.❤❤❤❤
@zaynaothman65054 ай бұрын
Asante Dr, Mungu ni mwema kwa upande wa waislam tunafunga mwezi mzima ili tu tupunguze sumu ,Alhamdulillah.
@sarahgaula2220
3 ай бұрын
Waislam wakifuturu wanakula Sana bado dakui . .. .
@yusuphmdoe54516 ай бұрын
Asante kiongozi kwa elimu hii umenipeleka dalaja jingine asante
@vayaulashedrack59947 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa doctor nimepata jambo jipya hapo.
@emmanuelmunanka61376 ай бұрын
This is among the best content ever, Prof kamaliza kila kitu.
@MbarakaTamimu4 ай бұрын
....ahsante dr ALLAH AKULIPE YALIYOMEMA
@KassimAlly-xp4dz
4 ай бұрын
Allahuma Amin
@nigananurunjema4 ай бұрын
Thanks for education Dr Janabi.
@UserUser-gq1ir7 ай бұрын
Asante doctor kwa kutelimisha
@christinekirigini5963Ай бұрын
Barikiwa sana Dr unatuokoa wenye shida hii kwa kweli
@mr.yahzadochuno79144 ай бұрын
Thank you doctor blessed 😊
@rodahadhiambo36377 ай бұрын
Thanks Doc
@prosperidinya58644 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@DativaMboweАй бұрын
Mungu akutunze doctor kuanzia leo napunguza wine 🍷🍷
@hadijajuma37734 ай бұрын
Ahsantee Dr.Nikimaliza mfungo nitazingatia huu hii kanuni.sipendi kuwa na kilo nyingi.Pia InshaaAllah itanisaidia kuepuka baadhi ya maradhi.
@MaryBrayn5 ай бұрын
Asante sana
@user-oe1vw1hk8x4 ай бұрын
Thank u professor
@ramadhanimtetu36566 ай бұрын
SHULE HII DUUH AHSANTE SANA DR JANABI
@hodaviahnkoswe50694 ай бұрын
Thank you doctor
@user-bj2xs3tc7h4 ай бұрын
MM akubariki leeo na kila siku kwa lecture safi
@BaigonMacha4 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki na kukupatia afya njema uzidi kutuelimisha
@waterforlife93563 ай бұрын
Mashallah Allah akulinde mm nilikua na 102kg kwa sasa niko 95kg naendelea llnshallwah niwe 85kg Allwah batik
@upendombise8113
9 күн бұрын
Jamni Mimi nimepima juzi Nina 107 uuuuuwiiiiiiii
@mlangiralameck91584 ай бұрын
Asantee sana Prof Dr. Janabi kwa SoMo zuri, I real enjoyed. God bless u always.
@abubakarsuleman19834 ай бұрын
Shukran
@user-rf3zz1lb6l7 ай бұрын
Asante sana doctor be blessed
@MohamedMohamed-md3jd6 ай бұрын
MashaAllah good advice naomba maana ya arosto Dr?
@erickymecky96394 ай бұрын
Huyu mzee abarikiwe sana nmemfatilia vzur nmemuelewa sana nmeacha bia mwezi wa pili huu
@nusalim3389
4 ай бұрын
Kaweza kumuachisha Pierre liquid itakuwa kuwa wewe😂 mana Pierre ana ugonjwa wa moyo kwsbb ya ulevi
@user-hq8wn9tz2l7 ай бұрын
Amina
@godwinezra8764 ай бұрын
Safi sana kwa kutupa elimu.
@wilsonnzowa36203 ай бұрын
Serikali ingefanya mkakati wa kuboresha afya ya wananchi kwa kupeleka madaktari kama Hawa Kila wilaya kutoa elimu, kuwakumbusha watu kula chakula cha asili na kukitunza
@patrinraura13974 ай бұрын
Dr.Tunashukuru sana Utafiti wako ni halisi kabisa kwenye ulaji wa vyakula vya asili Mababu zetu waliishi miaka mingi sana tofauti na sasa TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUTUMIA ELIMU YAKO KWA MANUFAA YA JAMII "UBARIKIWE"
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Asalam alaykum Dr samahani mimi ni mhanga wa uzito mkubwa na kitambi naomba Kuja kuonana na wewe kwa ushauli nateseka na uzito mkubwa naomba msaada wako dr
@Rahmashabani-tx5yz
Ай бұрын
Uzito wko ngapi
@willynyambok15687 ай бұрын
Asante daktari kwa somo ila dunia haina zaidi ya miaka elfu sita. hata shetani mwenyewe Hana miaka zaidi elfu 3 na ndiye mwenye janzo cha magonjwa.
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Lete ushahidi
@jacklinemassawe13064 ай бұрын
Yuko vizuri
@victoriaandrew80134 ай бұрын
Dr Asante kwa somo. Mm sili mchana mara kwa mara nilikuwa na kg 86 sasa nina 81 zinapungua taratibu
@eestermos9933
4 ай бұрын
Hizi ndo kilo zangu jmn siztaki kabisa😂
@AizackKalenge-ro5rc4 ай бұрын
Prof Janabi,Na kupongeza San a Kwa Elimu,Utapunguza hasara nyingi
@user-dq3op3gs2d3 ай бұрын
Janabi ahsante sana
@jessevlogswahili4 ай бұрын
Mimi.nakula asubuhi tu mpaka jioni asubuhi nakula matunda na conflex na plain yoghurt hapo ndo mpaka jioni na ninakula kidogo sana jioni halafu nafanya na mazoezi nilikuwa na tumbo kubwa saivi naanza kuwa modal na uzito umepungua
@rerisamba
4 ай бұрын
Wow❤❤❤
@kassimhassan84262 ай бұрын
Good
@ChristinaTongori15 күн бұрын
Kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo tunaomba msaada wa eliminate.
@King_Of_Everything7 ай бұрын
👊✌️👍.
@davidsimbeye154817 күн бұрын
Ikiwezekana ungetuwekea namba ya simu ili tupate msaada zaidi au weka jukwaa ambalo tunaweza kuuliza maswali na tukajibiwa
@user-hf4yn1qm7y4 ай бұрын
Janab friend of Jpm
@user-di6jz9bm4v2 ай бұрын
Ila pia doctor dawa za hospital zinaongeza mwili ee sababu mm nilipata ajar nikalazwa hospital mda mrefu ajabu nimetoka mnene ili hali ata kula ilikua shida
@awamkhalid53614 ай бұрын
Nimekuelewa processed siyo nzur
@user-hc5dd8sj6s4 ай бұрын
Mze wangu apo tuelimishe nn tufanye now na sio unatuludisha miaka io itakua sio kwer kwaio ilikutusaidia tufundishe maisha yte aya
@MatildeBjelland
4 ай бұрын
Jifunze Kwanza kuandik ndo ukosoe
@ummumohd18
4 ай бұрын
@@MatildeBjellandhahaha kwa kwel maana ata hajaskiza na kuelewa alichokiongelea docta.
Lakin dr.mi nauliza hii intermediate fast unaweza kuwa unakunywa maji bila tatizo yaani maji ni shida
@MwanaishaKomboHaji-hg8xp7 күн бұрын
Baishara zitakufa
@wiliampaulo55564 ай бұрын
Ha miaka milioni 2watoremba ngosha
@zakayoyohana17364 ай бұрын
kwamjibu wa maandiko matakatifu waliokua wanafunga hawakuwa namaana hio ila kwasababu upo kimwili wafundishe walio Katika mwili ila kaa ukijua hakuna duunia yenye miaka milion mbili
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Kosoa kwa ushahidi Ina miaka mingapi
@user-io1dm2kc3e4 ай бұрын
Shida mnatuambia tusile wanga na sukari lakini hamtuambii mbadala wake tule chakula gani yaani kama vipi maana wengine ukituambia tu protein hatunui ndio vyakula gani
@ZulfaMazani-lb9oe
4 ай бұрын
Ykimsikiliza vizur utaelewa alicho maanisha ajakataza kula wanga moja kwa moja ...rudia kusikiliza tena my dia utaelewa
@janethkawishe9368
4 ай бұрын
Unaruhusiwa kula chochote dear ila Kwa kiasi na usile Kila saa kama umeamua Milo miwili Kwa siku ufanye hivyo ...
@GloryMzava-sy4bk3 ай бұрын
Mimi nina kisukari ninatumia sindano za insulini ila uzito wangu n ni mkunwa sana
@dunstangeorge32634 ай бұрын
Tunaambiwa Yesu aliishi miaka elfu 2 ilopita, miaka inazidi bado elfua 2 haibadiliki😅 sasa miaka milioni ni habari za urongo tuu
@jacobemanueljoseph6637 ай бұрын
Somo zuri ila habari za miaka milioni mbili sio kweli. Dunia Haina hata miaka 10,000. Haya mambo ya million ya miaka ni nadharia za uibukaji za kina Charles Darwin.
@MahubiriPrMmbaga
7 ай бұрын
Hapo chukua kinachokufaa tu maana kwenye imani tuna tofautiana !!
@jacobemanueljoseph663
7 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ni kweli ndo mana nimeikataa hiyo mika milioni. Ila ni muhimu kwa wataalam wa kanisa la Mungu kujikita pia kufundisha mambo kama haya na mengine, italeta radha tofauti na msimamo wa tofauti. Mfano ninafanya kazi katika nchi ya kiislamu na shughulika na hali ya hewa, kwa msaada wa Mungu nilifanikiwa kutengeneza ratiba zetu za kazi pamoja nao kuanza Jumapili. Walipo uliza nilimwambia Jpili ni siku ya kwanza ya Juma. Walijaribu kuleta upinzani lakn kwa miaka miwili sasa ratiba inaendelea kuanzia Jumapili. Maana yake Nini? Wataalam wa kanisa la Mungu wakipata nafasi kufundisha mambo kama haya wanaweza fundisha na kweli nyingine za muhimu kama uumbaji n.k.
@SamuelamirKihwelo
7 ай бұрын
Kwel ,kwa mjibu wa bibilia mpaka sasa tupo kwenye miaka 7000 na kias mpaka sasa
@jiwekichwa2857
7 ай бұрын
Dr Janabi anamaanisha mabadiliko ya binamu from Zinjanthropus to now.
@jiwekichwa2857
7 ай бұрын
Binadamu not binamu😂😂
@kibambiibrahim57146 ай бұрын
Nini Dalili ya insulin kuwa kubwa mwilini
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Wakati anafundisha ulikua unasinzia
@user-rw6dp3yt5h4 ай бұрын
Usipokula kwa mda mlefu SI utapata vidonda vya tumbo
@user-us6io8qt8p4 ай бұрын
Nikinywa chai saa sita sitaugua vidonda vya tumbo?
@gloriadaniel3827
4 ай бұрын
Hutakiwi hata kunywa chai. Kula mayai na matunda. Na jioni Kula supu ya Nyama au samaki, mboga za majani na matunda. Achana na wali, ugali vyakula vya ngano. Kula ndizi mbichi INA resistance stach.
@user-ek6td4kt4t3 ай бұрын
Sorry professor. Hiyo kula mara moja kwa siku kwa wenye vidonda vya tumbo tunafanyaje? Naomba ufanye kipindi utusaidie maana wengi tuna hilo tatizo ukiwaza kula mara moja unavyopata hivyo vichomi ni hatari.
@user-qg1iy5ov3u6 ай бұрын
Dkt kwanini binadamu anakufa kwanini Kuna kufa kama sisi tumeumbwa na Mungu?
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Huyo sio nabii ni Dr
@jumaabakari3440
4 ай бұрын
Tunakufa coz sell za mwili zinatisha,zinakufa
@scholamodestus9386
4 ай бұрын
@@jabiriramadhani3692akamuulize mwamposa😅
@golebenson4597
3 ай бұрын
Aulizwe yesu sio janabi
@abdallahmmary85916 ай бұрын
Upo vizur Kwa elimu hiyo Bali sayans imewaponza Miaka hy unayosema unataka kutupeleka . Kwenye Zamadamu. . Adamu na Hawa ndio mwanzo wetu hayo mengine niyahao wayahudi.
Пікірлер: 120
Nimefanya fasting diet kwa mda wa 2 month nilikuwa na kilo 93 now nina 77Kg. JANABI🙌🏾❤️ God bless you
@numbibonzo4238
4 ай бұрын
Bila mazoezi?
@OliverOden-eb6ko
4 ай бұрын
@@numbibonzo4238 sifanyi zoezi serious yan naruka kamba mara chache saana
@sophierkhatib1862
4 ай бұрын
Umefanya diet gani ndug yangu maana na mm nipo na izo kilo
@Ndu-wa.uroony2
4 ай бұрын
@@sophierkhatib1862Acha kula vyakula visivyo na lishe pia usiendekeze shughuli za kukufanya ukae tu.tembea,fanya kazi ya kushughulisha mwili
@ZulfaMazani-lb9oe
4 ай бұрын
@@sophierkhatib1862 Ukiweza unacha kula Milo miwili kwa siku , mfano unakula mara moja tu mchana ,,,,ukishindwa iyo unacha kula usiku
MashaAllah yaan nakufatilia nakuelewa nakupenda mpaka naumwa yaani nimekua mfungaji sitaki kuelewa habari ya kuonanjaa ✌👍
Thanks Prof ushauri wako nna ufuwata toka mwaka jana nikiwa na kilo 98 naku vimba miguu ganzi mkono wa kulia ku stuka sana usiku ni ak amka na uchovu mkubwa asubuhi saivi nna kilo 66 niko vizuri saaaaaana God bless you Prof
@amanimakame6902
4 ай бұрын
Elimu nzuri kabasa .safi sana
@nyakatongongo4292
Ай бұрын
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦nashukuru sana
Asante Dr kwa lecture nzuri kabisa! kwakweli nimeenjoy sana kipindi hiki nilitamani iendelee masaa hata matano. This is realy educated man
Mungu akutunze Dr ss tunakuelewa❤
Huyu mzee janab mchawi hatari ,zamani nilikuwa napenda sana kula kula na kunywa mi soda siku hizi kila nikitaka kununua soda inasukea sura ya janabi naghair nachakula hivohivo anatokea hadi nakula usiku tu kwa kujificha😅
@leahatupele-rr1jk
3 ай бұрын
😂😂😂😂
Asante Prof. Janabi Tunayafanyia kazi uliyofundisha
Hii kitu ni nzuri mno,halafu nilichogundua mwili unazoea kabisa,mimi na kama almost week sasa,naamka asubuhi sisikii tena njaa mpaka ufike ule muda niliojipangia kula mlo wa kwanza saa sita mchana
Asante profesa hongera sana kwa elimu nzuri
Mwenye masikio na Asikie
Respect. We are lucky to have you Dr Janabi.Remain blessed day
Asante Sana Doctor
Thanks doctor Janab
Ubarikiwe sana Prof Janabi kwa kuvunja ukimia na kuamua kuiokoa Jamie, mwenye malicious na Asikie.
@agathamathew8185
4 ай бұрын
Doctor ukila chakula Cha mchana tu nakuacha Cha jion Ni vibaya? Na unatakiwa kula saa ngapi Ni mda sahihi?
@eestermos9933
4 ай бұрын
Dah hongera na m naitaka hiyo
Asante, mwenyezi mungu akulinde uzidi kutoa elimu
Asantee dctr Janab.❤❤❤❤
Asante Dr, Mungu ni mwema kwa upande wa waislam tunafunga mwezi mzima ili tu tupunguze sumu ,Alhamdulillah.
@sarahgaula2220
3 ай бұрын
Waislam wakifuturu wanakula Sana bado dakui . .. .
Asante kiongozi kwa elimu hii umenipeleka dalaja jingine asante
Ubarikiwe sanaa doctor nimepata jambo jipya hapo.
This is among the best content ever, Prof kamaliza kila kitu.
....ahsante dr ALLAH AKULIPE YALIYOMEMA
@KassimAlly-xp4dz
4 ай бұрын
Allahuma Amin
Thanks for education Dr Janabi.
Asante doctor kwa kutelimisha
Barikiwa sana Dr unatuokoa wenye shida hii kwa kweli
Thank you doctor blessed 😊
Thanks Doc
Mungu akubariki sana
Mungu akutunze doctor kuanzia leo napunguza wine 🍷🍷
Ahsantee Dr.Nikimaliza mfungo nitazingatia huu hii kanuni.sipendi kuwa na kilo nyingi.Pia InshaaAllah itanisaidia kuepuka baadhi ya maradhi.
Asante sana
Thank u professor
SHULE HII DUUH AHSANTE SANA DR JANABI
Thank you doctor
MM akubariki leeo na kila siku kwa lecture safi
Mungu azidi kukubariki na kukupatia afya njema uzidi kutuelimisha
Mashallah Allah akulinde mm nilikua na 102kg kwa sasa niko 95kg naendelea llnshallwah niwe 85kg Allwah batik
@upendombise8113
9 күн бұрын
Jamni Mimi nimepima juzi Nina 107 uuuuuwiiiiiiii
Asantee sana Prof Dr. Janabi kwa SoMo zuri, I real enjoyed. God bless u always.
Shukran
Asante sana doctor be blessed
MashaAllah good advice naomba maana ya arosto Dr?
Huyu mzee abarikiwe sana nmemfatilia vzur nmemuelewa sana nmeacha bia mwezi wa pili huu
@nusalim3389
4 ай бұрын
Kaweza kumuachisha Pierre liquid itakuwa kuwa wewe😂 mana Pierre ana ugonjwa wa moyo kwsbb ya ulevi
Amina
Safi sana kwa kutupa elimu.
Serikali ingefanya mkakati wa kuboresha afya ya wananchi kwa kupeleka madaktari kama Hawa Kila wilaya kutoa elimu, kuwakumbusha watu kula chakula cha asili na kukitunza
Dr.Tunashukuru sana Utafiti wako ni halisi kabisa kwenye ulaji wa vyakula vya asili Mababu zetu waliishi miaka mingi sana tofauti na sasa TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUTUMIA ELIMU YAKO KWA MANUFAA YA JAMII "UBARIKIWE"
Asalam alaykum Dr samahani mimi ni mhanga wa uzito mkubwa na kitambi naomba Kuja kuonana na wewe kwa ushauli nateseka na uzito mkubwa naomba msaada wako dr
@Rahmashabani-tx5yz
Ай бұрын
Uzito wko ngapi
Asante daktari kwa somo ila dunia haina zaidi ya miaka elfu sita. hata shetani mwenyewe Hana miaka zaidi elfu 3 na ndiye mwenye janzo cha magonjwa.
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Lete ushahidi
Yuko vizuri
Dr Asante kwa somo. Mm sili mchana mara kwa mara nilikuwa na kg 86 sasa nina 81 zinapungua taratibu
@eestermos9933
4 ай бұрын
Hizi ndo kilo zangu jmn siztaki kabisa😂
Prof Janabi,Na kupongeza San a Kwa Elimu,Utapunguza hasara nyingi
Janabi ahsante sana
Mimi.nakula asubuhi tu mpaka jioni asubuhi nakula matunda na conflex na plain yoghurt hapo ndo mpaka jioni na ninakula kidogo sana jioni halafu nafanya na mazoezi nilikuwa na tumbo kubwa saivi naanza kuwa modal na uzito umepungua
@rerisamba
4 ай бұрын
Wow❤❤❤
Good
Kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo tunaomba msaada wa eliminate.
👊✌️👍.
Ikiwezekana ungetuwekea namba ya simu ili tupate msaada zaidi au weka jukwaa ambalo tunaweza kuuliza maswali na tukajibiwa
Janab friend of Jpm
Ila pia doctor dawa za hospital zinaongeza mwili ee sababu mm nilipata ajar nikalazwa hospital mda mrefu ajabu nimetoka mnene ili hali ata kula ilikua shida
Nimekuelewa processed siyo nzur
Mze wangu apo tuelimishe nn tufanye now na sio unatuludisha miaka io itakua sio kwer kwaio ilikutusaidia tufundishe maisha yte aya
@MatildeBjelland
4 ай бұрын
Jifunze Kwanza kuandik ndo ukosoe
@ummumohd18
4 ай бұрын
@@MatildeBjellandhahaha kwa kwel maana ata hajaskiza na kuelewa alichokiongelea docta.
Doctor nmekuelewa .vp kw yule ambae mazingra aliopo mchele kipaombele .ila kw saa24 x1 nini Adhar yke......?
Lakin dr.mi nauliza hii intermediate fast unaweza kuwa unakunywa maji bila tatizo yaani maji ni shida
Baishara zitakufa
Ha miaka milioni 2watoremba ngosha
kwamjibu wa maandiko matakatifu waliokua wanafunga hawakuwa namaana hio ila kwasababu upo kimwili wafundishe walio Katika mwili ila kaa ukijua hakuna duunia yenye miaka milion mbili
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Kosoa kwa ushahidi Ina miaka mingapi
Shida mnatuambia tusile wanga na sukari lakini hamtuambii mbadala wake tule chakula gani yaani kama vipi maana wengine ukituambia tu protein hatunui ndio vyakula gani
@ZulfaMazani-lb9oe
4 ай бұрын
Ykimsikiliza vizur utaelewa alicho maanisha ajakataza kula wanga moja kwa moja ...rudia kusikiliza tena my dia utaelewa
@janethkawishe9368
4 ай бұрын
Unaruhusiwa kula chochote dear ila Kwa kiasi na usile Kila saa kama umeamua Milo miwili Kwa siku ufanye hivyo ...
Mimi nina kisukari ninatumia sindano za insulini ila uzito wangu n ni mkunwa sana
Tunaambiwa Yesu aliishi miaka elfu 2 ilopita, miaka inazidi bado elfua 2 haibadiliki😅 sasa miaka milioni ni habari za urongo tuu
Somo zuri ila habari za miaka milioni mbili sio kweli. Dunia Haina hata miaka 10,000. Haya mambo ya million ya miaka ni nadharia za uibukaji za kina Charles Darwin.
@MahubiriPrMmbaga
7 ай бұрын
Hapo chukua kinachokufaa tu maana kwenye imani tuna tofautiana !!
@jacobemanueljoseph663
7 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ni kweli ndo mana nimeikataa hiyo mika milioni. Ila ni muhimu kwa wataalam wa kanisa la Mungu kujikita pia kufundisha mambo kama haya na mengine, italeta radha tofauti na msimamo wa tofauti. Mfano ninafanya kazi katika nchi ya kiislamu na shughulika na hali ya hewa, kwa msaada wa Mungu nilifanikiwa kutengeneza ratiba zetu za kazi pamoja nao kuanza Jumapili. Walipo uliza nilimwambia Jpili ni siku ya kwanza ya Juma. Walijaribu kuleta upinzani lakn kwa miaka miwili sasa ratiba inaendelea kuanzia Jumapili. Maana yake Nini? Wataalam wa kanisa la Mungu wakipata nafasi kufundisha mambo kama haya wanaweza fundisha na kweli nyingine za muhimu kama uumbaji n.k.
@SamuelamirKihwelo
7 ай бұрын
Kwel ,kwa mjibu wa bibilia mpaka sasa tupo kwenye miaka 7000 na kias mpaka sasa
@jiwekichwa2857
7 ай бұрын
Dr Janabi anamaanisha mabadiliko ya binamu from Zinjanthropus to now.
@jiwekichwa2857
7 ай бұрын
Binadamu not binamu😂😂
Nini Dalili ya insulin kuwa kubwa mwilini
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Wakati anafundisha ulikua unasinzia
Usipokula kwa mda mlefu SI utapata vidonda vya tumbo
Nikinywa chai saa sita sitaugua vidonda vya tumbo?
@gloriadaniel3827
4 ай бұрын
Hutakiwi hata kunywa chai. Kula mayai na matunda. Na jioni Kula supu ya Nyama au samaki, mboga za majani na matunda. Achana na wali, ugali vyakula vya ngano. Kula ndizi mbichi INA resistance stach.
Sorry professor. Hiyo kula mara moja kwa siku kwa wenye vidonda vya tumbo tunafanyaje? Naomba ufanye kipindi utusaidie maana wengi tuna hilo tatizo ukiwaza kula mara moja unavyopata hivyo vichomi ni hatari.
Dkt kwanini binadamu anakufa kwanini Kuna kufa kama sisi tumeumbwa na Mungu?
@jabiriramadhani3692
4 ай бұрын
Huyo sio nabii ni Dr
@jumaabakari3440
4 ай бұрын
Tunakufa coz sell za mwili zinatisha,zinakufa
@scholamodestus9386
4 ай бұрын
@@jabiriramadhani3692akamuulize mwamposa😅
@golebenson4597
3 ай бұрын
Aulizwe yesu sio janabi
Upo vizur Kwa elimu hiyo Bali sayans imewaponza Miaka hy unayosema unataka kutupeleka . Kwenye Zamadamu. . Adamu na Hawa ndio mwanzo wetu hayo mengine niyahao wayahudi.