Mahojiano kati ya Prof. Mohamed Janabi na Prof. Frank Minja wa Emory University-Atlanta, Marekani kuhusu matibabu mapya ya Kiharusi Muhimbili.
Жүктеу.....
Пікірлер: 31
@lillianmgonja79852 ай бұрын
Asante Dr. Minja kwa kukumbusha umuhimu wa kuokoa maisha ya mgonjwa kabla ya pesa. Wagonjwa wengi wanapata shida kwenye emergencies kama stroke, heart attack and accidents. Imagine hupati huduma unless you have cash or insurance. Hapa America healthcare ni expensive Lakini huduma ya dharura inatolewa bila kujali uwezo. Imagine uko na symptoms za stroke but you can’t go to the hospital Kwa sababu huna huna mamilioni. The window of survival uta expire ukitafuta pesa.
@ednalugano29062 ай бұрын
Prof. Janabi, hongera sana na Mungu awabariki sana kwa uamuzi huu wa kutuelimisha kwa namna hii. Taarifa ni muhimu sana kuokoa maisha ya binadamu.
@sakapallaTV2 ай бұрын
Salamu kutoka Cooksville Maryland na Mtoni Kijichi Temeke!!. Hongera sana Dr. Minja kwa kutumia ujuzi na elimu yako kusaidia jamii yetu ya Tanzania. Umedhirisha ule usemi...wa Mtu kwao.
@hanspop6961Ай бұрын
Hongera sana Prof Janabi
@odettevianney3026Ай бұрын
Asante sana Prof. Minja kweli mtu kwao! Tunajivuna watanzania kwa ajili yako. Wengi wataokoa maisha yao kupitia utaalam wako. Asante pia Prof. Janabi mafundisho yako yametusaidia sana sana
@FahadAbubakari2 ай бұрын
Prof Minja bingwa kabisa mhitimu wa Harvard University be blessed prof.
@isaacgara35282 ай бұрын
Maprofessa wamoto sana jamani MECHANICAL THROMBECTOMY
@davidnyitambe3399
2 ай бұрын
Fuata nyayo chief😂
@isaacgara3528
2 ай бұрын
@@davidnyitambe3399 Mungu atabless
@user-qd9vf6ud3f2 ай бұрын
Mungu awabariki sana aisee Kwa Kazi nzuri wanazofanya .
@fransicmushenyera93022 ай бұрын
sio kwa kitaaramu sema kwa rugha ya kingereza jueni sio.wote wanaozungumza ki gereza ni wataaramu wachina hawajui kingereza lakini ni wataaramu na warusi nao hacheniĺ kasumba za za.magharibi hizo ziripendwa poleni sana
@steynjohnr59302 ай бұрын
Huduma za rufaa zirekebishwe, wagonjwa wenye dalili za kiharusi wapelekwe moja kwa moja hospitali inayoweza kutoa huduma stahiki. Mfano mgonjwa wa chanika atapelekwa kwanza Amana then atapewa rufaa nyingine kwenda MNH, hii system inachelewesha sana huduma. Na sio tu kwa kiharusi hata kwa heart attacks pia
@abuuramadhan80932 ай бұрын
Ndo wanatakiwa waje wapige lecture kwenye chuo cha muhimbili
@simonrusigwa30242 ай бұрын
Hongera serikali kwa hili la hizi mashine. Sasa tukaze mwendo. Ml 900 ni V8 mbili. Walau mmefanya. Tuongeze mwendo sasa tufike walau hospital zote za kanda
@nyambegamatoro68172 ай бұрын
Kwa manufaa kwetu wasikilizaji, vipi huduma hii , ipo Hadi hosp za kanda au ni hapo hosp ya Taifa tu?
@johnbahati4782 ай бұрын
Kipindi bora sana hiki, nataman hii elimu itolewe kwenye Tv zote Tz
@renatusmathias11622 ай бұрын
Hongera GoT Kwa kuendelea kuboresha huduma
@mwarikimwariki26532 ай бұрын
Asante,kwa kutukumbusha
@sikitujuma48662 ай бұрын
Sasa professor hali ya hapo kwetu mapokezi tu mgonjwa anakaka masaa kazaa hajapokeliwa
@dn.n49832 ай бұрын
THIS GUYS KWELI ANASAIDUA TAIFA ASANTE SANA PROFFESA
@kesphaanyitike77512 ай бұрын
🙏
@hamzakimaro37642 ай бұрын
janabi ni mzalendo wa kutolea mfano !! watanzania wengine wamuige,kuwahudumia watanzania!
@rogathesarwatt2 ай бұрын
Msaidize mtoto mmoja anakuja Kila mara hapo na baba yake Toka 2017hajafanyiwa upasuaji please
@Mosses82 ай бұрын
Sasa mda wakati mnasema milion3
@lillianmgonja7985
2 ай бұрын
Hapo sasa
@abuuramadhan80932 ай бұрын
Janab apewe miak 20 mingine itabadilika hyo hospital ya Taifa
@vickytorry100
2 ай бұрын
Miaka ya kuongea na Tv badala ya kutibu wagonjwa? Daktaeri kazi yake ni vitendo siyo maneno
@rtp9010
2 ай бұрын
Huko ni kukariri ndugu yangu. Sijui kwa nini mnakuwa na fikra finyu sana kuhusu yu mzee wa watu Prof. JANABI. Elewa tu kuwa AFUA za afya zipo za aina kuu mbili, KINGA na TIBA. Prof. JANABI ametibu watu wengi sana na bado huwa anatibu kwa mikono yake. Ila ongezeko la wagonjwa linampa kuchukua hatua kwenye upande wa KINGA. Muda mfupi aliotumia kwenye hiki kipindi ameshasaidia watu wengi sana. So badilisha mtazamo ndugu.
@abuuramadhan8093
2 ай бұрын
Mm nimempongeza Prof janab hujanielewa tu nimesema aongezewe muda kua mkurugenz hapo muhimbili mana kaleta mapinduzi makubwa san muhimbili kama hospital ya Taifa
@ramadhanimtetu3656
Ай бұрын
@@vickytorry100 Kazi ya Daktari ni Tiba kwa wagonjwa wake Acha Makasiriko ndugu au ndio wale wale wa Kanda ile
Пікірлер: 31
Asante Dr. Minja kwa kukumbusha umuhimu wa kuokoa maisha ya mgonjwa kabla ya pesa. Wagonjwa wengi wanapata shida kwenye emergencies kama stroke, heart attack and accidents. Imagine hupati huduma unless you have cash or insurance. Hapa America healthcare ni expensive Lakini huduma ya dharura inatolewa bila kujali uwezo. Imagine uko na symptoms za stroke but you can’t go to the hospital Kwa sababu huna huna mamilioni. The window of survival uta expire ukitafuta pesa.
Prof. Janabi, hongera sana na Mungu awabariki sana kwa uamuzi huu wa kutuelimisha kwa namna hii. Taarifa ni muhimu sana kuokoa maisha ya binadamu.
Salamu kutoka Cooksville Maryland na Mtoni Kijichi Temeke!!. Hongera sana Dr. Minja kwa kutumia ujuzi na elimu yako kusaidia jamii yetu ya Tanzania. Umedhirisha ule usemi...wa Mtu kwao.
Hongera sana Prof Janabi
Asante sana Prof. Minja kweli mtu kwao! Tunajivuna watanzania kwa ajili yako. Wengi wataokoa maisha yao kupitia utaalam wako. Asante pia Prof. Janabi mafundisho yako yametusaidia sana sana
Prof Minja bingwa kabisa mhitimu wa Harvard University be blessed prof.
Maprofessa wamoto sana jamani MECHANICAL THROMBECTOMY
@davidnyitambe3399
2 ай бұрын
Fuata nyayo chief😂
@isaacgara3528
2 ай бұрын
@@davidnyitambe3399 Mungu atabless
Mungu awabariki sana aisee Kwa Kazi nzuri wanazofanya .
sio kwa kitaaramu sema kwa rugha ya kingereza jueni sio.wote wanaozungumza ki gereza ni wataaramu wachina hawajui kingereza lakini ni wataaramu na warusi nao hacheniĺ kasumba za za.magharibi hizo ziripendwa poleni sana
Huduma za rufaa zirekebishwe, wagonjwa wenye dalili za kiharusi wapelekwe moja kwa moja hospitali inayoweza kutoa huduma stahiki. Mfano mgonjwa wa chanika atapelekwa kwanza Amana then atapewa rufaa nyingine kwenda MNH, hii system inachelewesha sana huduma. Na sio tu kwa kiharusi hata kwa heart attacks pia
Ndo wanatakiwa waje wapige lecture kwenye chuo cha muhimbili
Hongera serikali kwa hili la hizi mashine. Sasa tukaze mwendo. Ml 900 ni V8 mbili. Walau mmefanya. Tuongeze mwendo sasa tufike walau hospital zote za kanda
Kwa manufaa kwetu wasikilizaji, vipi huduma hii , ipo Hadi hosp za kanda au ni hapo hosp ya Taifa tu?
Kipindi bora sana hiki, nataman hii elimu itolewe kwenye Tv zote Tz
Hongera GoT Kwa kuendelea kuboresha huduma
Asante,kwa kutukumbusha
Sasa professor hali ya hapo kwetu mapokezi tu mgonjwa anakaka masaa kazaa hajapokeliwa
THIS GUYS KWELI ANASAIDUA TAIFA ASANTE SANA PROFFESA
🙏
janabi ni mzalendo wa kutolea mfano !! watanzania wengine wamuige,kuwahudumia watanzania!
Msaidize mtoto mmoja anakuja Kila mara hapo na baba yake Toka 2017hajafanyiwa upasuaji please
Sasa mda wakati mnasema milion3
@lillianmgonja7985
2 ай бұрын
Hapo sasa
Janab apewe miak 20 mingine itabadilika hyo hospital ya Taifa
@vickytorry100
2 ай бұрын
Miaka ya kuongea na Tv badala ya kutibu wagonjwa? Daktaeri kazi yake ni vitendo siyo maneno
@rtp9010
2 ай бұрын
Huko ni kukariri ndugu yangu. Sijui kwa nini mnakuwa na fikra finyu sana kuhusu yu mzee wa watu Prof. JANABI. Elewa tu kuwa AFUA za afya zipo za aina kuu mbili, KINGA na TIBA. Prof. JANABI ametibu watu wengi sana na bado huwa anatibu kwa mikono yake. Ila ongezeko la wagonjwa linampa kuchukua hatua kwenye upande wa KINGA. Muda mfupi aliotumia kwenye hiki kipindi ameshasaidia watu wengi sana. So badilisha mtazamo ndugu.
@abuuramadhan8093
2 ай бұрын
Mm nimempongeza Prof janab hujanielewa tu nimesema aongezewe muda kua mkurugenz hapo muhimbili mana kaleta mapinduzi makubwa san muhimbili kama hospital ya Taifa
@ramadhanimtetu3656
Ай бұрын
@@vickytorry100 Kazi ya Daktari ni Tiba kwa wagonjwa wake Acha Makasiriko ndugu au ndio wale wale wa Kanda ile