Asante sana.umenielimisha.
Shukran, kwa somo zuri,
Mungu akupe nguvu zakutosha katika utendaji mzuri wa kazi yako
Dr nahitaji kuonana nawewe kwa maelezo ya kiafya nipo mwaisela wodi 6 flow yapili
I love afya
Elimu nzuri
Prof. Janabi na management ya Muhimbili, Mungu awabariki sana kwa kuwa committed. Haya ndio mageuzi tunayoyatamani. Blessed you
Kulinda afya yako
Asante sana kwa elimu
Naomba kuuliza ninashida jaman😥😥😥😥😥
Hongera muheshimiwa
Nimesikia Dr unazungumzia viazi naomba kujua ni viazo Ulaya au viazi vitamu tafathali tujuze Asante
Nani kaniambia niangalie hii daaah 😢😢
Dr janabi Mungu akupe maisha marefu
youtube.com/@radjamii?si=FHZUjjifHrQkW4Mr
Mungu akutunze Prof Janabi
Wow...what a great story....Am so much moved by this.
Dr nimekuwa mfuasi wako na naamini nitapungua na kumaintain baada ya hapo
Sasa mimi ninae kunywa wine zaid ya moja mungu nisaidie nimeogopa
Gharama za CTN SCAN NI KIASI GANI MUHIMBILI?
uko vizuri sana Prof . Janabi
Tunaomba Dr mfanyie utafiti Sawa zetu za asili tulizotimia huko nyuma na zikatusaidia
Thank you so much for your consideration 🙏🏿🙏🏿
Assalam alaikum, dr janabi naomba utuelezee maradhi gesi na namna ya kujikinga . Insha Allah
Asante
Alhamdulilah nashukur sana kwa kupata somo lako na mm ni muathirika twna inanisumbua sana sukari lkn nimejua wapi nimekosea
Thanks my roll model
Ubarikiwe. PFS.Janab❤❤❤
Kweli kabisa tatizo vyakula.na .msongo waa. Mawazo.asantee.dctr.tunakufatilia❤
Kuna watu wana pressure lakini wama miili midogo hapo vipi ?
Hao wako na mafuta ya ndani inaitwa visceral fat. Hayo ndio mafuta hatari zaidi kushinda yale mafuta unayoyaona kwa nje ( subcutaneous fat)
Nashukuru sana
Hongera Sana prf. Hiv kukojoa mara kwa mara unawezakukuweka hatarini pia
Prof, maelekezo kuntu
Somo zuri
Kwann mnafunga downloard kwan nanyie mnataka views waonekane au mnatoavelim wengine hatuwezi kutazama live bana
Mungu akubariki uzidi kutuelimisha
prof. naomba kukuuliz kidogo hiv ni mimba ya miezi mingapi akiwa nayo mwanamke hupaswi kumwaga ndani na ni kwa nn ?
Kwa ajili ya nini
Chief 🎉🎉🎉😊💯
DK tunashukuru kwa elimu unayotupa!! wale wanaopenda kula waen delee kula kwa ulafi! hujawashika mkono kwenye sahani!!
Ss mama janabi hajakuona ulivyo kibonge
Habari kiongozi Saman naweza kupata naomba YAKO ya Whatsapp
Congrats❤🎉
Nakusikiliza Prof.kutoka Misungwi Mwanza.
Thanks for class
6:27
Imeeleweka doctor
Nampenda Dr .janabi. maashaallah
Beigani kupima
Nataka kujua garama ya kipimo na muhimbili upande upi
Hongera classmate
Пікірлер
Asante sana.umenielimisha.
Shukran, kwa somo zuri,
Mungu akupe nguvu zakutosha katika utendaji mzuri wa kazi yako
Dr nahitaji kuonana nawewe kwa maelezo ya kiafya nipo mwaisela wodi 6 flow yapili
I love afya
Elimu nzuri
Prof. Janabi na management ya Muhimbili, Mungu awabariki sana kwa kuwa committed. Haya ndio mageuzi tunayoyatamani. Blessed you
Kulinda afya yako
Asante sana kwa elimu
Naomba kuuliza ninashida jaman😥😥😥😥😥
Hongera muheshimiwa
Nimesikia Dr unazungumzia viazi naomba kujua ni viazo Ulaya au viazi vitamu tafathali tujuze Asante
Nani kaniambia niangalie hii daaah 😢😢
Dr janabi Mungu akupe maisha marefu
youtube.com/@radjamii?si=FHZUjjifHrQkW4Mr
Mungu akutunze Prof Janabi
Wow...what a great story....Am so much moved by this.
Dr nimekuwa mfuasi wako na naamini nitapungua na kumaintain baada ya hapo
Sasa mimi ninae kunywa wine zaid ya moja mungu nisaidie nimeogopa
Gharama za CTN SCAN NI KIASI GANI MUHIMBILI?
uko vizuri sana Prof . Janabi
Tunaomba Dr mfanyie utafiti Sawa zetu za asili tulizotimia huko nyuma na zikatusaidia
Thank you so much for your consideration 🙏🏿🙏🏿
Assalam alaikum, dr janabi naomba utuelezee maradhi gesi na namna ya kujikinga . Insha Allah
Asante
Alhamdulilah nashukur sana kwa kupata somo lako na mm ni muathirika twna inanisumbua sana sukari lkn nimejua wapi nimekosea
Thanks my roll model
Ubarikiwe. PFS.Janab❤❤❤
Kweli kabisa tatizo vyakula.na .msongo waa. Mawazo.asantee.dctr.tunakufatilia❤
Kuna watu wana pressure lakini wama miili midogo hapo vipi ?
Hao wako na mafuta ya ndani inaitwa visceral fat. Hayo ndio mafuta hatari zaidi kushinda yale mafuta unayoyaona kwa nje ( subcutaneous fat)
Nashukuru sana
Hongera Sana prf. Hiv kukojoa mara kwa mara unawezakukuweka hatarini pia
Prof, maelekezo kuntu
Somo zuri
Kwann mnafunga downloard kwan nanyie mnataka views waonekane au mnatoavelim wengine hatuwezi kutazama live bana
Mungu akubariki uzidi kutuelimisha
prof. naomba kukuuliz kidogo hiv ni mimba ya miezi mingapi akiwa nayo mwanamke hupaswi kumwaga ndani na ni kwa nn ?
Kwa ajili ya nini
Chief 🎉🎉🎉😊💯
DK tunashukuru kwa elimu unayotupa!! wale wanaopenda kula waen delee kula kwa ulafi! hujawashika mkono kwenye sahani!!
Ss mama janabi hajakuona ulivyo kibonge
Habari kiongozi Saman naweza kupata naomba YAKO ya Whatsapp
Congrats❤🎉
Nakusikiliza Prof.kutoka Misungwi Mwanza.
Thanks for class
6:27
Imeeleweka doctor
Nampenda Dr .janabi. maashaallah
Beigani kupima
Nataka kujua garama ya kipimo na muhimbili upande upi
Hongera classmate