*# Muhimbili, tuna vifaa tiba vyenye teknolojia ya hali ya juu kufanya Uchunguzi

#Katika Hospitali yetu ya Taifa Muhimbili, tuna vifaa tiba vyenye teknolojia ya hali ya juu kufanya Uchunguzi#
Prof. Mohamed Janabi
Mkurugenzi Mtendaji

Пікірлер: 8

  • @Deojames98
    @Deojames982 ай бұрын

    Safi sana Dr. Janabi kwa kutupa elimu ya afya. Mmetumia Technology ya mtandao vizuri kutufikia wa TZ.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37643 ай бұрын

    Hongera raisi wetu mpendwa Samia suluhu Hasan kwa kazi kibwa anayoifanya,HOSPITAL yetu ya muhimbili imekuwa bora na ya KISASA mno,MAHASIDI waache wafe kwa chuki zao!! MITANO TENA,

  • @BarakaMazi
    @BarakaMazi2 ай бұрын

    So great ❤

  • @HADIJAMOHAMEDI-hc8jn
    @HADIJAMOHAMEDI-hc8jn3 ай бұрын

    Congratulations for good news and Job

  • @maselebundala2300
    @maselebundala23003 ай бұрын

    Amina

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson50453 ай бұрын

    Mama samia wapewe pongenzii 😅😅😅😅

  • @muhammedomar584
    @muhammedomar5843 ай бұрын

    Hiyo dawa haina mazara munayotumia kwakuangalia tatizo

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    3 ай бұрын

    Kila dawa ni sumu,hata panadol