Muhimbili inafanya huduma ya ubadilishaji wa damu kwa wagonjwa wa Selimundu ( Sickle Cell)
Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga) yafanya huduma ya ubadilishaji wa damu kwa mgonjwa wa Selimundu ( Sickle Cell), ambapo katika Hospitali za Umma Muhimbili ndio hospitali pekee inayotoa huduma hii.
Na. Dkt. Eunice Shija
Bingwa wa Magonjwa ya Damu
Muhimbili Upanga
Пікірлер: 2
Mungu azidi kuwatia Nguvu. Amina
🙏🙏🙏