Muhimbili inafanya huduma ya ubadilishaji wa damu kwa wagonjwa wa Selimundu ( Sickle Cell)

Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga) yafanya huduma ya ubadilishaji wa damu kwa mgonjwa wa Selimundu ( Sickle Cell), ambapo katika Hospitali za Umma Muhimbili ndio hospitali pekee inayotoa huduma hii.
Na. Dkt. Eunice Shija
Bingwa wa Magonjwa ya Damu
Muhimbili Upanga

Пікірлер: 2

  • @maselebundala2300
    @maselebundala23003 ай бұрын

    Mungu azidi kuwatia Nguvu. Amina

  • @CharlesKijazi
    @CharlesKijazi2 ай бұрын

    🙏🙏🙏

Келесі