Mwaisela waja na Janabi Cup

Katika kuunga mkono juhudi za uboreshaji wa huduma za afya katika Hospitali ya Taifa Muhimbili watumishi wanaotoa huduma katika Jengo la Mwaisela wamezindua kombe maalum la "Janabi Cup" lenye lengo la kutoa hamasa na kuongeza chachu ya utoaji huduma bora hospitalini hapo.

Пікірлер: 1

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n2 ай бұрын

    Ss mama janabi hajakuona ulivyo kibonge