MADAKTARI KUTOKA CHINA KUENDELEA KUBADILISHANA UZOEFU NA MUHIMBILI

Hospitali ya Taifa Muhimbili imepokea madaktari bingwa bobezi kutoka China ambao watahudumu kwa muda wa miaka miwili katika Idara ya Usingizi na Ganzi, Upasuajiwa Watoto pamoja na Kitengo cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalum (ICU).

Пікірлер

    Келесі