DAKTARI FEKI ADAKWA MUHIMBILI "MIMI NI OSTADHI MBAGALA NATAPELI TU"
Жүктеу.....
Пікірлер: 587
@amanmalima94010 ай бұрын
Yesu ndiye NJIA YA kweli na uzima ya kwenda MBINGUNI hebu MWAMINI YESU na uokoke na Ulithi uzima WA milele na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@Jmedia_Tv10 ай бұрын
Sema hatutaki tu kutafakari,hali ni ngumu, wanaume wanafanya wawezavyo kulisha familia na maisha yaende
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
10 ай бұрын
Kaka matapeli awaish wapo miaka na miaka pia ali yetu yakimaisha niivyo ivyo miaka yote
@zenachuo2963
10 ай бұрын
Kwakweli
@muzneali4747
10 ай бұрын
@@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlNIKWELI HALI YETU NI MBAYA SANA LAKINI HATA MUNGU AMEKATAZA TUSIIBE NI DHAMBI KUBWA SASA HEBU FIKIRIA UNAENDA KUMTAPELI MTU ANA MGONJWA NA USHASEMA MAISHA YETU MAGUMU JE KUSUDIO NI NINI ?? KWAMBA YULE ALIE TAPELIWA ASHINDWE KUMUHUDUMIA MGONJWA MATOKEO YAKE MGONJWA AFE JE HII NI SAHIHI??
@muzneali4747
10 ай бұрын
HALAFU HUYO TAPELI ASITUHARIBIE DINI USTADH HASWA HAWEZI KUWA TAPELI HUYO NI TAPELI TU KAMA MATAPELU WENGINE
@user-wl8qm2yj2c
2 ай бұрын
Ila sio kutapeli
@daimavlog10 ай бұрын
Ila watu wana roho jamani, unaendaje kumtapeli mtu anauguza jamani😢
@mrh281210 ай бұрын
Angekua mkristo huyu ostadhi tungejuta na am proud😂😂
@christinamdalingwa9361
10 ай бұрын
Yaaaan Kama ulikuwepo mwenye nilikua nawaza Hilo kua Angelia mkristo hzo comments 🤔🤔🤔🤔
@mimasirdic837910 ай бұрын
Dj walete am proud to be Muslim, Ostadhi huyo apo anawawakilisha
@mrh2812
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@Halfanhemedi-ec2cp
10 ай бұрын
ana uostadhi gani unajua maana ya uostadhi
@munawaranoor9635
10 ай бұрын
Hakuna anaewakilishwa na huyo anaejiita ostadh kwanza hatumjui ktk viongozi wanaowakilisha uislamu Tz,Dini ya uislamu itabaki km dini ya uislamu na Allah tutaendelea kumuamini kwaio still we are proud,huyo baba na mambo yake amekosea na dini ya uislamu haifundishi hayo mambo.
@Official83640
10 ай бұрын
Ht yule aliyekamatwa Kigamboni na Kkoo pia alisema ostadh anachangisha pesa za misikiti na madrasa kuja kubanwa kumbe mkristo pyuu sasa hatushangai kwa hili pia
@HusseinGabu-wr3xh
10 ай бұрын
Ustadhi kwa lugha ya kiarabu ni mwalimu yaani kwa kiingeleza teacha haihusiani na dini
@mkambamaulid44710 ай бұрын
Jamaa anajua mchongo mzima yatakiwa uwasaidie kuwapata wenzake na sijawahi kuona Ostadhi wa kuwatapeli waginjwa Jamani Dunia hii kunawatu watakosa pakukaaa kesho kwa Mungu 🙏🏼
@minatto1210 ай бұрын
Ostadh ana ndevu wala sijda hapana kwakweli
@tatusalehe948010 ай бұрын
Hakuna kazi ya ustadh msichafue Imani za watu Kama ametumwa aseme
Muumin wa kweli ahawez kuww tapelii huyu ustadh wake ni wa utapeli rabla
@mtopelamussa778310 ай бұрын
Huo upangaji wa matokeo 😂😂😂😂 eti fani yangu ostadhi
@lilgicky48410 ай бұрын
😂😂😂ayaaa Sasa Hali mbaya jamani hayaa huyoo hajasomeaa Badoo Hawa waliosomeaa tunaelekeaa kubayaa wajombaa😂😂😂😂
@RichardNyalucy10 ай бұрын
😮usidhalau kaz yako ,maisha magum sana
@hemedyawadhi293510 ай бұрын
Afungwe tapeli mkubwanhuyu hapo wapo wengi sana adi wa dada wapo atasema ty wapo
@richardmshiu511810 ай бұрын
Daahh,, nimebidi nirudie tena kusikiliza,, ila ostaz unachekesha,, Wee ni Doctor muhimbili,au Umepelekaa dawaa za Suna😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@renatuskweyamba6460
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@mussamgonola3983
10 ай бұрын
Usiropoke usicho kijua hakuna dawa za suna
@geofreysadok482310 ай бұрын
Daaah MEDICAL DOCTOR HUYO😂 hivvi anajua hata what is anatomy kweli 😂
@abdukadiliissa8076
10 ай бұрын
😂😂😂
@mithlaabdulrahim8566
10 ай бұрын
😂😂...anatomy chuoni....uyo maan ya biology 2 kashailia maandaz😅😅
@UsafiMichael-mc8kt
10 ай бұрын
Anatomy wapi mbali? Sarufi tuu
@Werema3760
10 ай бұрын
Hujaskia akisema is the study which deals with human structure na their functions.😂
@dolisejohn5365
10 ай бұрын
@@Werema3760 😅😅😅😅 cjamskia mie🙌🙌
@kamalmukaddam152110 ай бұрын
Huyu afungwe maisha acheze na maisha ya watu hatari aweza ku sababisha maisha ya watu kuwa hatarini au ametumwa
@omariaman781810 ай бұрын
Eti fani yang ustadh 😂😂😂😂 yan hata nuru usoni hana
@IsraelKisaila
10 ай бұрын
Ndo ostadhi wenu huyo,mkamtoe jela😂😂😂
@paulmushi2428
10 ай бұрын
Nuru gani wakati umeshaiona sura yake😂😂
@omariaman7818
10 ай бұрын
@@IsraelKisaila hatuwezi kushughulika na mtu muongo muongo sura haijakaa kiibada kabisa et ostadh
@paulmushi2428
10 ай бұрын
@@omariaman7818Sura ya kiibada inakaaje? Huyo ni Ustaadhi bana😂😂
@user-uo6bo3ph6g10 ай бұрын
Ila hii nchi jmn😂😂😂😂yaan kila kukicha vituko jmn,,kuna muds najaribu kuwaza hv waandishi wasingekuwepo hya mambo tungekuwa tunayajulia wap😢😢
@letthedeadburythedead2148
10 ай бұрын
Nchi ipi duniani isiyo na vituko?
@christinamdalingwa936110 ай бұрын
Mh ustadh 🤔🤔🤔🤔 jaman jaman haya tukazane kumwomba MUNGU maana nawasio ijui din sjui watasemann.
@solangebagal14910 ай бұрын
Jaman baba kibonge kama uyo,kazi niya utapeli tu,shida kubwa kwa wagojwa😢😢😢😢😢😢
@hyacintagugu7
10 ай бұрын
Jirani yangu jamani loh
@solangebagal149
10 ай бұрын
@@hyacintagugu7 kweli 😭😭😭😭 so mimi n'a ona wivu kwa muke wake n'a watoto wake aki
@yasminoluoch169
10 ай бұрын
Maisha magumu
@salummussa113910 ай бұрын
Mwili wa kuufanyia mazoezi aungane na mandonga 💪💪
@PanchoValentino-wh7wt10 ай бұрын
Duuh so poa kabisaà Aisee 😅😂😢😊
@frankdanford824510 ай бұрын
Yaani hata huyo alietaka kutapeliwa nae ni muislamu kwahiyo amepangwa na yeye kuichafua dini ya kiislamu sindio? Acha kuwa na akili fupi na kuweka udini huo uislamu wako autokupeleka mbinguni na wala ukristo wetu hautatupeleka mbinguni isipokuwa bila ya kuyatenda matendo mema kama tulivyoamriwa na M/nyezi MUNGU.
@judyngowi391
10 ай бұрын
Nyie siku zote huwa mnakimbiliaga kwenye udini siku zote mkishaharibu
@adriandanford20810 ай бұрын
Ofu ya mungu haiwezi kaa ndani bila ya ushirika wa roho mtakatifu ndani ya mwanadam yeyote
@mamachris681110 ай бұрын
Utata," ustaay" kisha mwizi aandike hiyo " name tag ' Jina la kweli 😳😳😳 Huko ni kuchanganyikiwa au 😳😳😳😳🙆
@everlyneiminza572210 ай бұрын
Duuuuh 😮makubwa haya jamani yani huyu lazima awe na mtu wanajuana hapo hospital huwa wanafanya nae huo mchezo 😢😢😢😢😢😢
@yassinshekh293610 ай бұрын
ninaamini kazi ya polisi wetu jaman, huyu ndani ya siku tatu tu atakua maelezo yake yamenyooka vizuri hapo kabisa angekua karibu na mbagala huyu akaonana na trump huyu dishi lingemkaa sawa wala asingeyumbisha maneno
@AishaSalaga-rv7sb10 ай бұрын
Kama lengo lenu zuri Allah awe nanyi ningekuwa tajiri huyu mtu ningemsaidia eeeh Mungu nipe mahela ya halali ya rabbi l allamini
@jacksonamos200810 ай бұрын
Niliwahi ibiwa SIM hospital ya mnazi mmoja Zanzibar chumba cha VIP tukaamua Tu tuondoke na mgonjwa tukatibiwe sehemu nyingine sikujui ni namna gani mwizi aliingia ndani
@minaziparasu907410 ай бұрын
Eti ustadh mmmhhhh. Nahilo jinala ustadh nifeki
@IbnuAlly-cg2gn10 ай бұрын
Ustadhi gan mpuuzi ww huo ni mchongo wa makafir kuchafua uislamu
@edgarelikana720410 ай бұрын
ustadh hadi kuwa Dr 😂😂😂😂😂
@josephlucas278610 ай бұрын
Hi ni hatari kwa usalam cz kama Kunakwamba kwa siku zijazi watafikia atua ya kufanya procedure ya injection Kwa patient wakati Hana taaruma iyo unatola hospital mguu kushoto mguu kulia kumbe Kuna mzembe m1 kapiga lak na 40
@jamesloshilunye41410 ай бұрын
Ostadh kama ostadh😂😂😂😂
@shukranikayange227510 ай бұрын
Yuko sawa maana muhimbili Wana calendar adi utibiwe unazungushwa, apewe shavu tu ata la mochwary
@godfreyhiza107510 ай бұрын
Aliyetuletea dini sijui alitushikia wapi? Hakuna uhusiano wa dini ya mtu ama shughuli zake za kidini na maovu yake! Mimi sio Muislam ila sio sawa kuoanisha maovu ya mtu na dini yake!!!
@engineertarimo7345
10 ай бұрын
Ni sawa, hata na mimi sii muislami, lkn ishu ya dini kaileta ye mwenyewe muhojiwa
@edwardkasubi5135
10 ай бұрын
@@engineertarimo7345lakini kaulizwa shughuli yako ni nini ?
@omariaman7818
10 ай бұрын
@@engineertarimo7345 ww sio muislam
@omariaman7818
10 ай бұрын
@@edwardkasubi5135 hajauliswa shughuli yako ameulizwa fani yako
@edwardkasubi5135
10 ай бұрын
@@omariaman7818 ulidhani angejibuje au wewe ukiulizwa fani yako ni nini utajibuje ?
@user-ym5ui3ov1m10 ай бұрын
Hakuna fani ya ustadh
@PaulinaSemindu-ob3de
Ай бұрын
Namshangaa et Fani yostadh😂 ila kapendezea Sana kuwa daktar😂
@PaulinaSemindu-ob3de
Ай бұрын
Dah maisha hàya jmn had kot unavaa na unaingia hospita wakat kuna madokta wengi wanafahamiana hata kama n mgeni ungetambulishwa lkn hukuogopa kabisa baba jasir Sana ww
@jumamajid755710 ай бұрын
Kwa wenye akili hii imetengenezwa kabisa na hana sound yaki shekhe lafdh yake haifanani kabisa na maostadh lakin mungu atawalipa kwa makusudio yako
@sistertrashid2488
10 ай бұрын
Watashindwa hawatoweza kuchafua dini yetu
@enockabumba7513
10 ай бұрын
Waisiramu msijifanya hamnazo, haya mambo yapo duniani kote Sasa itengenezwe ili iweje.fyuuuu😢😢
@shamymzubery3208
10 ай бұрын
@@enockabumba7513 acha kucomment ujinga ww
@hemedyawadhi293510 ай бұрын
Namham uyu kaka nitapeli alimtapeli ndugu kua atampakazi akatoa pesa apate na wapo wengi anawenzake
@edisonpeter389410 ай бұрын
Huyu ndo aliijibu TEC😂😂😂😂
@sheddythemix32110 ай бұрын
Hahahahaha uyu jamaa duh ila muacheni tu make anatia huruma hahahahaha
@tabithakasake849210 ай бұрын
😂😂😂😂😂ungesema ata muuza nyama
@user-cs5pv2id8g10 ай бұрын
akuna ostazi kamawewe mpumbavu na atotokea mbinuzako zakitoto sana mtafute aliyekupa ilokoti mwambie astazi anapatikana madrasa nasio hospitari umefeli na autafaulu mpakadunia anaiasha
@jumamaulid946210 ай бұрын
Kama tunavyosadiki kwamba huyo sio dokta bali alidanganya kama dokta, Basi pia tusadiki sote pasina shaka kwamba huyo si ustaadh bali pia anajaribu kudanganya juu ya hilo.
@judyngowi391
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@suleymansalim573210 ай бұрын
😂😂WACHUNGAJI WANATAFUTA PAKUTOKEA BAADA YA KUPIGWA KWENYE BANDARI😂😂
@EmanueliMaliti-dn6vm
10 ай бұрын
Ww haujielewi ,Elimu ni kitu kizuri sana,mkasome kwanza
@ramadanally801210 ай бұрын
Sio muislamu....Hana hta nusu ya kufanania kuwa muislamu. Sura yake imekosa nuru ya uislamuu😢😢😢
@mrh2812
10 ай бұрын
Ila n ostadhi😅😅😅
@marthageorge5043
10 ай бұрын
@@mrh2812😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@abdulkarimabdallah9536
10 ай бұрын
Kabisa wallah eti fani yng ni ostadh anadhani waislam hawajulikani
@ramadanally8012
10 ай бұрын
@@mrh2812 aaaah ostadh wa mchongo
@halimamghana2293
10 ай бұрын
Ni kweli kabisa sura yake imekosa nuru ya uislam
@ngolwetv352310 ай бұрын
Huyo wala si Ostadh wala Dini hajasoma, Naomba ahojiwe Anafundisha wapi????? masheikh wake kina Nani waliomfundisha, Usikute hata si Muislam HUYO NI VITA TU YA KIDINI... KAMA YULE Jamaa aliekamatwa Kigamboni alikua si Muislam Ila akivaa Kanzu na kupita miskitini kuomba Michango ya Msikiti WAISLAMU TUWE MAKINI TUAMKE.
@judyngowi391
10 ай бұрын
Kumbe kuna vita ya kidini, waislamu mnachafuliwa😂😂😂poleni sana ndugu waislamu kwa vita hii
@husseinfundikira36169 ай бұрын
Poleni sana dada
@BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын
USICHOKIJUA NI KAMA USIKU WA GIZA,YAANI KOTI LA BUCHA UNAINGIA NALO MUHIMBILI😂😂😂😂😂
@user-ou8sp5bb7n10 ай бұрын
Duniani kuna mambo😅😅
@teedullah570810 ай бұрын
Weh kazi ipo
@hummymgaza691510 ай бұрын
Ustadh gani tapeli 😂😂 shenziii
@lilianestephanie788110 ай бұрын
Yaani huyo kaka anayehoji ni muhaya😂😂😂😂nmecheka lafudhii
@stupendous1
10 ай бұрын
AMINIEL sio muhaya hiyo ndo ongea yake.
@hp262310 ай бұрын
Umetutia aibu sisi waislam wallah Musa. Ni aibu Sana.
@NR-ll4sr10 ай бұрын
Lol,na wala sio Ostadh 😅 msicheze na vyeo vya watu jamani
@djnasstz415410 ай бұрын
Hawa watu wapo sana hata huku kwenye taasisi nyingine
@judyngowi39110 ай бұрын
Ustaadhi, halafu unakuja kutapeli watu, shame on you!
@jaliahamisi307510 ай бұрын
Kwa kumtazama tu huyo sio ustadhi Allah atusamehe jmn
@idyjumanne979610 ай бұрын
Uyo sio ostah nyau tu Tena maostadh tutamchapa viboko
Huyo jama ana kesi mbili,1-kuuchafua uislamu-2-kuua watu kwa kusudia kwa kujifanya yeye ni daktari tena muhimbili. Angalizo-uliinzi uzidishwe kidogo sehemu muhimu kama hizi.
@GraceMichael-ev9dr10 ай бұрын
Jamani acheni uwongo hiv huyo kama cyo dactar mbona hicho kitambulisho kama cha serikali ? Jaman tucfanye dini ikawa ndo kichaka ka maovu tuka zichafuwa dini zetu
@AbdulatifSaidy10 ай бұрын
Huyu sio Ostadh ni mhuni mmoja, watu wenye dini utawajua kwa vitu vingi sio janja kama huyo
@mussamgonola398310 ай бұрын
Mussa Marwa ! Mhhhhhh kuna kitu nyuma wenyewe tunajuana huyu ni ustadh wa mchongo ! Ila Allah atamlipa kwa nia yake
@fatmaally725210 ай бұрын
Tunaweza muhukumu kadiri tuwezavyo ila maisha haya yalivyo magumu ndo sababu ukimuona kama sfisa fulani juwenda ana siku hajala jamani tuombe yasitukute tusikie tu na kuona ila hari ni mbaya sana 😢
@hassankilengah4786
10 ай бұрын
Arudi kijijini kwao akalime
@laurentraphael547010 ай бұрын
Haya ndio matunda ya CCM awamu ya sita, hongereni sana.
@user-uo6bo3ph6g
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@agnesjohn9382
10 ай бұрын
😂😂😂😂 my ribs
@Officialsummarizer3 ай бұрын
Waisilamu wenzangu munavyo muona uyu ni kweri ni hostazi kwer watu muliyo somea sekolojia😂
@jumamohamed480810 ай бұрын
Hapana hawez kua ustdh
@farajafaraja349410 ай бұрын
Wapo wengi mbwa Hawa, wanatapeli kila sehemu
@amosethantheking881510 ай бұрын
Ostadh bhana..aibu.
@user-xt2qn9rz5i10 ай бұрын
Jamaa anakaaa bunguruni kwa myamani Wala hakai mbagala kwa ni bunguruni
@dnx_Gr10 ай бұрын
Kivumbi leo😂😂😂😂
@fetychina396910 ай бұрын
😅😅mochwari kaja na baiskel
@valenakomba921810 ай бұрын
Hiyo muhimbili yenyewe pia haijajiorganise vizuri. Itakuwaje mtu apite gatini bila kukamatwa. Wekeni katarasi lenye picha za madaktari hapo gatini. Na kama dokita yeyote anahama mnang'oa picha na kuweka kielexo cha kuhama kwake. Tuache uzembe na organisation mbovu, mbovu. Kuwani kusasa zaidi.😂😂😂🎉😂😂🎉🎉🎉😮😮😂
@lvanyDaniel_pw7kk10 ай бұрын
Mungu atunusuru jamani yani mtu una umwa unasema uende hospital utibiwe una kuta daktar feki daah
@magejuliani529310 ай бұрын
Mmmh sasa sie ambao kila tunaemuona tu na koti jeupe tunamuita daktari tutapeliwa kwa kweli
@abdul-fatahyussuf743910 ай бұрын
Aache unafiki basi na kuchafua Dini za watu. Ustadh hawezi kuwa ivo izo ni njama tu za kuchafua Uislam. Upumbavu kabisa huo uliopangwa
@abdulkarimuomari353910 ай бұрын
Huyo sio ustdh mwizi2 usidhalilishe maustadh ustadh gan huyo hata alama yakuingia msikitini hana sura ngumu hiyo nuru haina
@khamisiramadhani338010 ай бұрын
Wapo wengi sàna mataper hasa kwenye ma benk ndio wamezidi saiz
@brightonchedego810010 ай бұрын
Baada ya kipigo kizito maelezo huwa yanatolewa katika mstari mnyofu😊😊🤣🤣
@barikilangoy473710 ай бұрын
Huyu jamaaa ana connection na baadhi ya watu mpeni viboko aongee vizuri wako wengi hata walinzi wa hapo wanajua pili Ina maana madaktari wengine hawajamuona mpaka akaingia wodini na yupo uniform hawajawahi kumuona
Fani ya ostadhi haka kamchemzo tume kashtukia jitu pumbavu lime kamatwa jizi halafu lina ongea kama hamna kitu vile,,,,, acheni kucheza na akili za watu
@zubermkumba303510 ай бұрын
Hiyo imeandaliwaaa
@DavidMbwilo-qk1bz10 ай бұрын
Ila mbagara 😂😂😂daah
@ZuwenaSalim-dn3qb10 ай бұрын
Naona mwalumbana t awo madaktar feki wapo kila kona waislamu wakirisito wanakamatwa sehemu mbalimbali sio madaktar t matapeli kila nyanja wapo wenye dini nawasionadini huu nimtafaruku wamaisha . Lakuomba nikheri msianze kulumbana kwajambo lakila mtu. Utapeli hauna dini rangi sura kabila wala nji fulani. nauyo hajatumwa namtu nauyo ushekhe sio km nikipaji niumaarufu wakufichia utapeli wke
@DavalsonMarlony10 ай бұрын
Du kwel atar lak na nusu inakutowa roho da kwel I nchi ngumu sana
@user-xt2qn9rz5i10 ай бұрын
Jamaa na kaaa bunguruni kwa myamani nyuma plan hospital
@jostamzxkaole311310 ай бұрын
Tunashukuru kwa kumkamata..ila BG UPP SANAA jamaa ni mbunifu🤙biashara inataka ubunifu
@yasinimohamedshaibu670810 ай бұрын
Unauzalilisha uislamu, allah atakuadhibu ucpofanya toba ya kweli
@alexmgusi253410 ай бұрын
😂😂😂mwamba kawa MD gafla
@paulmushi242810 ай бұрын
Jamani kuna haja ya kuwalipa vizuri maustaadh wanaofundisha madrasa unaona sasa hii ni aibu jamani amkeni😢😢
@khaijakadija2082
10 ай бұрын
Sio ostadhi huyo Ostadhi hawezi kufanya ivo
@khaijakadija2082
10 ай бұрын
Huyo ni tapeli tu kama wengine
@paulmushi2428
10 ай бұрын
@@khaijakadija2082Huyo ni Ustaadhi kasema Mwenyewe mnabisha nini?
@yassinchiputa183110 ай бұрын
Huyu hawe chini ya polisi kwa miezi 3 Kisha wamuache na polisi wafanye kazi yao
@mohamedutaly190710 ай бұрын
Huyu ni Daktari feki na ustadhi Feki
@user-wx2po2gu5p10 ай бұрын
Ustadhi hawaongei ivo 😂
@charlzlyimo198210 ай бұрын
taabu sana!! faza mzima unaigiza dakitari, aibu ya karne
Пікірлер: 587
Yesu ndiye NJIA YA kweli na uzima ya kwenda MBINGUNI hebu MWAMINI YESU na uokoke na Ulithi uzima WA milele na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Sema hatutaki tu kutafakari,hali ni ngumu, wanaume wanafanya wawezavyo kulisha familia na maisha yaende
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
10 ай бұрын
Kaka matapeli awaish wapo miaka na miaka pia ali yetu yakimaisha niivyo ivyo miaka yote
@zenachuo2963
10 ай бұрын
Kwakweli
@muzneali4747
10 ай бұрын
@@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlNIKWELI HALI YETU NI MBAYA SANA LAKINI HATA MUNGU AMEKATAZA TUSIIBE NI DHAMBI KUBWA SASA HEBU FIKIRIA UNAENDA KUMTAPELI MTU ANA MGONJWA NA USHASEMA MAISHA YETU MAGUMU JE KUSUDIO NI NINI ?? KWAMBA YULE ALIE TAPELIWA ASHINDWE KUMUHUDUMIA MGONJWA MATOKEO YAKE MGONJWA AFE JE HII NI SAHIHI??
@muzneali4747
10 ай бұрын
HALAFU HUYO TAPELI ASITUHARIBIE DINI USTADH HASWA HAWEZI KUWA TAPELI HUYO NI TAPELI TU KAMA MATAPELU WENGINE
@user-wl8qm2yj2c
2 ай бұрын
Ila sio kutapeli
Ila watu wana roho jamani, unaendaje kumtapeli mtu anauguza jamani😢
Angekua mkristo huyu ostadhi tungejuta na am proud😂😂
@christinamdalingwa9361
10 ай бұрын
Yaaaan Kama ulikuwepo mwenye nilikua nawaza Hilo kua Angelia mkristo hzo comments 🤔🤔🤔🤔
Dj walete am proud to be Muslim, Ostadhi huyo apo anawawakilisha
@mrh2812
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@Halfanhemedi-ec2cp
10 ай бұрын
ana uostadhi gani unajua maana ya uostadhi
@munawaranoor9635
10 ай бұрын
Hakuna anaewakilishwa na huyo anaejiita ostadh kwanza hatumjui ktk viongozi wanaowakilisha uislamu Tz,Dini ya uislamu itabaki km dini ya uislamu na Allah tutaendelea kumuamini kwaio still we are proud,huyo baba na mambo yake amekosea na dini ya uislamu haifundishi hayo mambo.
@Official83640
10 ай бұрын
Ht yule aliyekamatwa Kigamboni na Kkoo pia alisema ostadh anachangisha pesa za misikiti na madrasa kuja kubanwa kumbe mkristo pyuu sasa hatushangai kwa hili pia
@HusseinGabu-wr3xh
10 ай бұрын
Ustadhi kwa lugha ya kiarabu ni mwalimu yaani kwa kiingeleza teacha haihusiani na dini
Jamaa anajua mchongo mzima yatakiwa uwasaidie kuwapata wenzake na sijawahi kuona Ostadhi wa kuwatapeli waginjwa Jamani Dunia hii kunawatu watakosa pakukaaa kesho kwa Mungu 🙏🏼
Ostadh ana ndevu wala sijda hapana kwakweli
Hakuna kazi ya ustadh msichafue Imani za watu Kama ametumwa aseme
Ndugu zangu Waislamu, muwe mnawatoleo sadaka za kuwakimu kimaisha maostadhi Jamani mmeona Sasa!!
@mohamedsuleiman2785
10 ай бұрын
Muumin wa kweli ahawez kuww tapelii huyu ustadh wake ni wa utapeli rabla
Huo upangaji wa matokeo 😂😂😂😂 eti fani yangu ostadhi
😂😂😂ayaaa Sasa Hali mbaya jamani hayaa huyoo hajasomeaa Badoo Hawa waliosomeaa tunaelekeaa kubayaa wajombaa😂😂😂😂
😮usidhalau kaz yako ,maisha magum sana
Afungwe tapeli mkubwanhuyu hapo wapo wengi sana adi wa dada wapo atasema ty wapo
Daahh,, nimebidi nirudie tena kusikiliza,, ila ostaz unachekesha,, Wee ni Doctor muhimbili,au Umepelekaa dawaa za Suna😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@renatuskweyamba6460
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@mussamgonola3983
10 ай бұрын
Usiropoke usicho kijua hakuna dawa za suna
Daaah MEDICAL DOCTOR HUYO😂 hivvi anajua hata what is anatomy kweli 😂
@abdukadiliissa8076
10 ай бұрын
😂😂😂
@mithlaabdulrahim8566
10 ай бұрын
😂😂...anatomy chuoni....uyo maan ya biology 2 kashailia maandaz😅😅
@UsafiMichael-mc8kt
10 ай бұрын
Anatomy wapi mbali? Sarufi tuu
@Werema3760
10 ай бұрын
Hujaskia akisema is the study which deals with human structure na their functions.😂
@dolisejohn5365
10 ай бұрын
@@Werema3760 😅😅😅😅 cjamskia mie🙌🙌
Huyu afungwe maisha acheze na maisha ya watu hatari aweza ku sababisha maisha ya watu kuwa hatarini au ametumwa
Eti fani yang ustadh 😂😂😂😂 yan hata nuru usoni hana
@IsraelKisaila
10 ай бұрын
Ndo ostadhi wenu huyo,mkamtoe jela😂😂😂
@paulmushi2428
10 ай бұрын
Nuru gani wakati umeshaiona sura yake😂😂
@omariaman7818
10 ай бұрын
@@IsraelKisaila hatuwezi kushughulika na mtu muongo muongo sura haijakaa kiibada kabisa et ostadh
@paulmushi2428
10 ай бұрын
@@omariaman7818Sura ya kiibada inakaaje? Huyo ni Ustaadhi bana😂😂
Ila hii nchi jmn😂😂😂😂yaan kila kukicha vituko jmn,,kuna muds najaribu kuwaza hv waandishi wasingekuwepo hya mambo tungekuwa tunayajulia wap😢😢
@letthedeadburythedead2148
10 ай бұрын
Nchi ipi duniani isiyo na vituko?
Mh ustadh 🤔🤔🤔🤔 jaman jaman haya tukazane kumwomba MUNGU maana nawasio ijui din sjui watasemann.
Jaman baba kibonge kama uyo,kazi niya utapeli tu,shida kubwa kwa wagojwa😢😢😢😢😢😢
@hyacintagugu7
10 ай бұрын
Jirani yangu jamani loh
@solangebagal149
10 ай бұрын
@@hyacintagugu7 kweli 😭😭😭😭 so mimi n'a ona wivu kwa muke wake n'a watoto wake aki
@yasminoluoch169
10 ай бұрын
Maisha magumu
Mwili wa kuufanyia mazoezi aungane na mandonga 💪💪
Duuh so poa kabisaà Aisee 😅😂😢😊
Yaani hata huyo alietaka kutapeliwa nae ni muislamu kwahiyo amepangwa na yeye kuichafua dini ya kiislamu sindio? Acha kuwa na akili fupi na kuweka udini huo uislamu wako autokupeleka mbinguni na wala ukristo wetu hautatupeleka mbinguni isipokuwa bila ya kuyatenda matendo mema kama tulivyoamriwa na M/nyezi MUNGU.
@judyngowi391
10 ай бұрын
Nyie siku zote huwa mnakimbiliaga kwenye udini siku zote mkishaharibu
Ofu ya mungu haiwezi kaa ndani bila ya ushirika wa roho mtakatifu ndani ya mwanadam yeyote
Utata," ustaay" kisha mwizi aandike hiyo " name tag ' Jina la kweli 😳😳😳 Huko ni kuchanganyikiwa au 😳😳😳😳🙆
Duuuuh 😮makubwa haya jamani yani huyu lazima awe na mtu wanajuana hapo hospital huwa wanafanya nae huo mchezo 😢😢😢😢😢😢
ninaamini kazi ya polisi wetu jaman, huyu ndani ya siku tatu tu atakua maelezo yake yamenyooka vizuri hapo kabisa angekua karibu na mbagala huyu akaonana na trump huyu dishi lingemkaa sawa wala asingeyumbisha maneno
Kama lengo lenu zuri Allah awe nanyi ningekuwa tajiri huyu mtu ningemsaidia eeeh Mungu nipe mahela ya halali ya rabbi l allamini
Niliwahi ibiwa SIM hospital ya mnazi mmoja Zanzibar chumba cha VIP tukaamua Tu tuondoke na mgonjwa tukatibiwe sehemu nyingine sikujui ni namna gani mwizi aliingia ndani
Eti ustadh mmmhhhh. Nahilo jinala ustadh nifeki
Ustadhi gan mpuuzi ww huo ni mchongo wa makafir kuchafua uislamu
ustadh hadi kuwa Dr 😂😂😂😂😂
Hi ni hatari kwa usalam cz kama Kunakwamba kwa siku zijazi watafikia atua ya kufanya procedure ya injection Kwa patient wakati Hana taaruma iyo unatola hospital mguu kushoto mguu kulia kumbe Kuna mzembe m1 kapiga lak na 40
Ostadh kama ostadh😂😂😂😂
Yuko sawa maana muhimbili Wana calendar adi utibiwe unazungushwa, apewe shavu tu ata la mochwary
Aliyetuletea dini sijui alitushikia wapi? Hakuna uhusiano wa dini ya mtu ama shughuli zake za kidini na maovu yake! Mimi sio Muislam ila sio sawa kuoanisha maovu ya mtu na dini yake!!!
@engineertarimo7345
10 ай бұрын
Ni sawa, hata na mimi sii muislami, lkn ishu ya dini kaileta ye mwenyewe muhojiwa
@edwardkasubi5135
10 ай бұрын
@@engineertarimo7345lakini kaulizwa shughuli yako ni nini ?
@omariaman7818
10 ай бұрын
@@engineertarimo7345 ww sio muislam
@omariaman7818
10 ай бұрын
@@edwardkasubi5135 hajauliswa shughuli yako ameulizwa fani yako
@edwardkasubi5135
10 ай бұрын
@@omariaman7818 ulidhani angejibuje au wewe ukiulizwa fani yako ni nini utajibuje ?
Hakuna fani ya ustadh
@PaulinaSemindu-ob3de
Ай бұрын
Namshangaa et Fani yostadh😂 ila kapendezea Sana kuwa daktar😂
@PaulinaSemindu-ob3de
Ай бұрын
Dah maisha hàya jmn had kot unavaa na unaingia hospita wakat kuna madokta wengi wanafahamiana hata kama n mgeni ungetambulishwa lkn hukuogopa kabisa baba jasir Sana ww
Kwa wenye akili hii imetengenezwa kabisa na hana sound yaki shekhe lafdh yake haifanani kabisa na maostadh lakin mungu atawalipa kwa makusudio yako
@sistertrashid2488
10 ай бұрын
Watashindwa hawatoweza kuchafua dini yetu
@enockabumba7513
10 ай бұрын
Waisiramu msijifanya hamnazo, haya mambo yapo duniani kote Sasa itengenezwe ili iweje.fyuuuu😢😢
@shamymzubery3208
10 ай бұрын
@@enockabumba7513 acha kucomment ujinga ww
Namham uyu kaka nitapeli alimtapeli ndugu kua atampakazi akatoa pesa apate na wapo wengi anawenzake
Huyu ndo aliijibu TEC😂😂😂😂
Hahahahaha uyu jamaa duh ila muacheni tu make anatia huruma hahahahaha
😂😂😂😂😂ungesema ata muuza nyama
akuna ostazi kamawewe mpumbavu na atotokea mbinuzako zakitoto sana mtafute aliyekupa ilokoti mwambie astazi anapatikana madrasa nasio hospitari umefeli na autafaulu mpakadunia anaiasha
Kama tunavyosadiki kwamba huyo sio dokta bali alidanganya kama dokta, Basi pia tusadiki sote pasina shaka kwamba huyo si ustaadh bali pia anajaribu kudanganya juu ya hilo.
@judyngowi391
10 ай бұрын
Kweli kabisa
😂😂WACHUNGAJI WANATAFUTA PAKUTOKEA BAADA YA KUPIGWA KWENYE BANDARI😂😂
@EmanueliMaliti-dn6vm
10 ай бұрын
Ww haujielewi ,Elimu ni kitu kizuri sana,mkasome kwanza
Sio muislamu....Hana hta nusu ya kufanania kuwa muislamu. Sura yake imekosa nuru ya uislamuu😢😢😢
@mrh2812
10 ай бұрын
Ila n ostadhi😅😅😅
@marthageorge5043
10 ай бұрын
@@mrh2812😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@abdulkarimabdallah9536
10 ай бұрын
Kabisa wallah eti fani yng ni ostadh anadhani waislam hawajulikani
@ramadanally8012
10 ай бұрын
@@mrh2812 aaaah ostadh wa mchongo
@halimamghana2293
10 ай бұрын
Ni kweli kabisa sura yake imekosa nuru ya uislam
Huyo wala si Ostadh wala Dini hajasoma, Naomba ahojiwe Anafundisha wapi????? masheikh wake kina Nani waliomfundisha, Usikute hata si Muislam HUYO NI VITA TU YA KIDINI... KAMA YULE Jamaa aliekamatwa Kigamboni alikua si Muislam Ila akivaa Kanzu na kupita miskitini kuomba Michango ya Msikiti WAISLAMU TUWE MAKINI TUAMKE.
@judyngowi391
10 ай бұрын
Kumbe kuna vita ya kidini, waislamu mnachafuliwa😂😂😂poleni sana ndugu waislamu kwa vita hii
Poleni sana dada
USICHOKIJUA NI KAMA USIKU WA GIZA,YAANI KOTI LA BUCHA UNAINGIA NALO MUHIMBILI😂😂😂😂😂
Duniani kuna mambo😅😅
Weh kazi ipo
Ustadh gani tapeli 😂😂 shenziii
Yaani huyo kaka anayehoji ni muhaya😂😂😂😂nmecheka lafudhii
@stupendous1
10 ай бұрын
AMINIEL sio muhaya hiyo ndo ongea yake.
Umetutia aibu sisi waislam wallah Musa. Ni aibu Sana.
Lol,na wala sio Ostadh 😅 msicheze na vyeo vya watu jamani
Hawa watu wapo sana hata huku kwenye taasisi nyingine
Ustaadhi, halafu unakuja kutapeli watu, shame on you!
Kwa kumtazama tu huyo sio ustadhi Allah atusamehe jmn
Uyo sio ostah nyau tu Tena maostadh tutamchapa viboko
Ustazzzzz
Njaa kaliii😂
Uyo ajpata mngoto vizur,akitandikwa vizur atasema ukweli wite
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jmn jmn aibuu
Huyo jama ana kesi mbili,1-kuuchafua uislamu-2-kuua watu kwa kusudia kwa kujifanya yeye ni daktari tena muhimbili. Angalizo-uliinzi uzidishwe kidogo sehemu muhimu kama hizi.
Jamani acheni uwongo hiv huyo kama cyo dactar mbona hicho kitambulisho kama cha serikali ? Jaman tucfanye dini ikawa ndo kichaka ka maovu tuka zichafuwa dini zetu
Huyu sio Ostadh ni mhuni mmoja, watu wenye dini utawajua kwa vitu vingi sio janja kama huyo
Mussa Marwa ! Mhhhhhh kuna kitu nyuma wenyewe tunajuana huyu ni ustadh wa mchongo ! Ila Allah atamlipa kwa nia yake
Tunaweza muhukumu kadiri tuwezavyo ila maisha haya yalivyo magumu ndo sababu ukimuona kama sfisa fulani juwenda ana siku hajala jamani tuombe yasitukute tusikie tu na kuona ila hari ni mbaya sana 😢
@hassankilengah4786
10 ай бұрын
Arudi kijijini kwao akalime
Haya ndio matunda ya CCM awamu ya sita, hongereni sana.
@user-uo6bo3ph6g
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@agnesjohn9382
10 ай бұрын
😂😂😂😂 my ribs
Waisilamu wenzangu munavyo muona uyu ni kweri ni hostazi kwer watu muliyo somea sekolojia😂
Hapana hawez kua ustdh
Wapo wengi mbwa Hawa, wanatapeli kila sehemu
Ostadh bhana..aibu.
Jamaa anakaaa bunguruni kwa myamani Wala hakai mbagala kwa ni bunguruni
Kivumbi leo😂😂😂😂
😅😅mochwari kaja na baiskel
Hiyo muhimbili yenyewe pia haijajiorganise vizuri. Itakuwaje mtu apite gatini bila kukamatwa. Wekeni katarasi lenye picha za madaktari hapo gatini. Na kama dokita yeyote anahama mnang'oa picha na kuweka kielexo cha kuhama kwake. Tuache uzembe na organisation mbovu, mbovu. Kuwani kusasa zaidi.😂😂😂🎉😂😂🎉🎉🎉😮😮😂
Mungu atunusuru jamani yani mtu una umwa unasema uende hospital utibiwe una kuta daktar feki daah
Mmmh sasa sie ambao kila tunaemuona tu na koti jeupe tunamuita daktari tutapeliwa kwa kweli
Aache unafiki basi na kuchafua Dini za watu. Ustadh hawezi kuwa ivo izo ni njama tu za kuchafua Uislam. Upumbavu kabisa huo uliopangwa
Huyo sio ustdh mwizi2 usidhalilishe maustadh ustadh gan huyo hata alama yakuingia msikitini hana sura ngumu hiyo nuru haina
Wapo wengi sàna mataper hasa kwenye ma benk ndio wamezidi saiz
Baada ya kipigo kizito maelezo huwa yanatolewa katika mstari mnyofu😊😊🤣🤣
Huyu jamaaa ana connection na baadhi ya watu mpeni viboko aongee vizuri wako wengi hata walinzi wa hapo wanajua pili Ina maana madaktari wengine hawajamuona mpaka akaingia wodini na yupo uniform hawajawahi kumuona
Mzee mwongo mwongo mjanja mjanja anajibu kimtwgo mtego😅😅
Fani ya ostadhi haka kamchemzo tume kashtukia jitu pumbavu lime kamatwa jizi halafu lina ongea kama hamna kitu vile,,,,, acheni kucheza na akili za watu
Hiyo imeandaliwaaa
Ila mbagara 😂😂😂daah
Naona mwalumbana t awo madaktar feki wapo kila kona waislamu wakirisito wanakamatwa sehemu mbalimbali sio madaktar t matapeli kila nyanja wapo wenye dini nawasionadini huu nimtafaruku wamaisha . Lakuomba nikheri msianze kulumbana kwajambo lakila mtu. Utapeli hauna dini rangi sura kabila wala nji fulani. nauyo hajatumwa namtu nauyo ushekhe sio km nikipaji niumaarufu wakufichia utapeli wke
Du kwel atar lak na nusu inakutowa roho da kwel I nchi ngumu sana
Jamaa na kaaa bunguruni kwa myamani nyuma plan hospital
Tunashukuru kwa kumkamata..ila BG UPP SANAA jamaa ni mbunifu🤙biashara inataka ubunifu
Unauzalilisha uislamu, allah atakuadhibu ucpofanya toba ya kweli
😂😂😂mwamba kawa MD gafla
Jamani kuna haja ya kuwalipa vizuri maustaadh wanaofundisha madrasa unaona sasa hii ni aibu jamani amkeni😢😢
@khaijakadija2082
10 ай бұрын
Sio ostadhi huyo Ostadhi hawezi kufanya ivo
@khaijakadija2082
10 ай бұрын
Huyo ni tapeli tu kama wengine
@paulmushi2428
10 ай бұрын
@@khaijakadija2082Huyo ni Ustaadhi kasema Mwenyewe mnabisha nini?
Huyu hawe chini ya polisi kwa miezi 3 Kisha wamuache na polisi wafanye kazi yao
Huyu ni Daktari feki na ustadhi Feki
Ustadhi hawaongei ivo 😂
taabu sana!! faza mzima unaigiza dakitari, aibu ya karne
Ostadhi😂😂😂😂😂😂