"Nabii Tito" amwambia Kamanda "mimi ninatumia Biblia"
Jeshi la Polisi Dodoma limemkamata mtu mmoja Tito Machibya maarufu kama Nabii Tito mwenye umri wa miaka 44 kwa kosa la kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Gilles Muroto amezungumza na Waandishi wa habari na kuelezea yote kwa undani.
Пікірлер: 937
Safi sana, selekali yetu ya fanya kazi nzuri. Nice work
@Felix-lo1cx
7 ай бұрын
Hongera sana
Very good kamanda umefanya kazi ubarikiwe kama kichaa akatibiwe
Kazi nzuri sana Kamanda wetu.Bwana Mungu wa Majeshi awabariki.
nimemkubali kamanda ni yupo kikazi.....sanaaaaa daaah big up Kamanda👏👏👏 sheria ni msumeno
Hongera jeshi la police,sheria ifuate mkondo, hata hao waumini wake wakamatwe,na hao makahaba wenzake wakamatwe
JESHI LA NA POLC KWA UJUMLA MUNGU AWABALIKI SANA NA AZIDI KUWATUMIA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA MAANA KAZI MNAZO ZIFANYA NIKAZI NGUMU SANA SISI TULIO WENGI TUNAJUA MNAMAPITO MAGUMU LAKINI MUNGU ATAWALIPA TUU WALA MSUTISHIKE NA MTU ANAYE JIITA YEYE NDIYE KWANI MTAWATAMBUA KWA MATENDO NA MUNGU ATAKUWA NANYI KAZi #KAZI NJEMA WATUMISHI WA MUNGU
@capitanofindus7312
6 жыл бұрын
Exezodaci myinga Exezodac wwcheni ujinga kila mtu ako free kwa kitu anacho kiongea watz ni wajinga
@capitanofindus7312
6 жыл бұрын
Ujinga wa watza ndio huo kwwni kama ww unaamini dini yako utamskiliza huyo chizi polisi wa kibongo nyote mnafirwa
@jumaedward7110
6 жыл бұрын
mselemabdull kuma la mamako unafirwa mwenyew na baba yako,
@capitanofindus7312
6 жыл бұрын
Exezodaci myinga Exezodac unajitia una matusi ila akili hamna ndio mkawa muko vijiweni munaiba tu tutawaua mwaka huu
@jumaedward7110
6 жыл бұрын
mselemabdull unaongea pumba mkundu wew
hongereni polc kwa kazi njema na ngum mungu awape wepesi
Asanteni jeshi la polis kwa kazi nzury maana ametudhalilisha wakristo mimi nilibakiza kumsaka na kumchoma motk
ahsante jeshi la polisi........alikuw ananichefua sann huyu mtu
@rowdyrondarouseyfire9476
6 жыл бұрын
Laura Laurent Yaan my dear Laura hunishindi mm alinichefua cku moja kupitia video zake.
@sharifukiserekela3851
6 жыл бұрын
mpokeeni nabiii wenu wengine mnapeleka sadaka Kwa tito mnagoma
@lauralaurent5994
6 жыл бұрын
+Sharifu Kiserekela hakuna nabii wa namnaa hii,umeshaambiwa ni kichaa ........
@lauralaurent5994
6 жыл бұрын
+Miskia Ayallah afungwee kabisaa..?..
ahsanteni jeshi la polisi , asanteni sanaaaaaa
Hongera kwa kazi Nzuri Afande.
Asante sana Serikali, Kamanda Mwenyezi Mungu akupemaisha Marefu ,Umenena Vema kabisa
Huyu mtu nishetani mmefanya vizuri sana yani inabidi hizo kanisa za kishetani muzipige vita
"YOU HAVE FREEDOM BUT NOT TO THAT EXTENT"-JPM
Asanteni kwa kweli kwa kumkamata..kazi nzuri..
Good job God bless you people good job
Kichäa anafanya vitu km mtu mwenye akili zake sheria ifate mkondo wake
Sura yake tu inaonesha chizi 😂😂😂 msameheni tu Ni Bora hakutukana uislam manayake waislamu wangemmeza mzima mzima
@maryamdounga2290
6 жыл бұрын
Black Nature 😂😂😂😂😂jaman umenichekesha
@tatut3889
6 жыл бұрын
Black Nature 😂😂😂😂😂😂😂😂tena tusinge mchelewesha
@maryamdounga2290
6 жыл бұрын
Tatu T 😂😂😂😂bahati yake cc hatuna unafiki nadin yetu
@sisisisilia4898
6 жыл бұрын
Hahaaa hatari kwa kweli
@tatut3889
6 жыл бұрын
Maryam Dounga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dunia angeona chungu
ahsante sana serikali yangu mungu awabalik sana uyo alikua ana nikela kiasi kwamba nilitaman ata sijui nimfanyeje
Daaah imeniuma mm naheshimu ukristo wangu...mungu pekee amsamehe hajui alitendalo
Kamanda hyo sio wakawaida hyo kma nikichaaa kweri cd hzo pamja na vitabu nani anamchapia ss kuna watu nyuma yake
@user-my9hc6uf9l
4 жыл бұрын
Hatumiki, historia inasema anaumwa
Poa sana👍👍👍
Hongera polisi na nakwona ndugu yangu Ema muha upo na mkuu bless jembelangu
baba angu kaka angu mroto wewe ni mlezi Wa kaka angu ni mchapa kazi tk maturubai mbagala ukiwa mkuu Wa kituo big up sana
Mpotovu sana sio kidogo achukuliwe hatua ana fundisha nini watoto mshenzi nimefurahi sana vitu vilivo katanzwa na mwenyezi mungu ndio ana vihalalisha mpotovu sana
Ahsanta boss wangu
Good job Afande
safi sana kamanda . ubarikiwe. wapumbavu kama hao weka ndani. nimekupenda baba
uyo jamaa alaaniwe na haki za kishelia zifuatwe
Safi sana kamanda. nimeumia sana juu ya huyu mtu.
@daudimkumbo6182
6 жыл бұрын
Mesozi Mkombozi Ndo ivo tena
@titomwaisoba1629
5 жыл бұрын
wa2 msiojulikana Kwann? msimteke uyo
safi sana jeshi la polisi,lazima misingi ya iman za watu zilindwe.KAZI NJEMA MAKAMANDA....🙋🙋
Ongereni San jeshi la police kwa kazi kubwa ya kufanya nchi hii kuwa na Amani mbarikiwe San jeshi latanzania kibinadam tunaona nikazi ndgo lakini mnafanya kazi kubwa San yakulinda misingi ya kisheria nchini Mungu bariki Africa Mungu ibariki tanzania
duuh maongez yake enyew htr... unaulizwa n kosa... unajib vingn... duhh
@chaziotv9845
6 жыл бұрын
good kamanda
@japhetalbano1227
6 жыл бұрын
Kamanda mpeleken milembe akabaki huko kwan hiyo dini yake ni matangazo ya biashara ya pombe
duuh na mbn ht haonyesh km n nabii?? yupo rough kwl
"Ukiona bia tano hazikukolei unaongeza konyagi."🤣🤣
mbarikiwe sn, Mungu wetu sio wa maigizo kabisa.
nikichaa kweli maana sio kawaida
@rubenprince8990
6 жыл бұрын
California love
@husseinmajid721
6 жыл бұрын
Nazma Abdul bora nabii tito alikuwa anafanya hadharan sio viongoz wengne wa dini wanaofanya mambo ya ajabu kwenye giza
@nazmaabdul949
6 жыл бұрын
+Hussein Majid nakweli kesho kwa mungu wataenda kujibu
@demetrykisiya1396
6 жыл бұрын
Nazma Abdul nishida nazma
pigeni marufuku watu kuzuka na kujita manabii haya yataisha tambueni uzito wa manabii na kaz zao hapa kila kukicha manabii nani kawatuma
@nyombetv3370
6 жыл бұрын
kweli kaka
@goldmansun5859
6 жыл бұрын
yesu
@seifmohamedseif9384
6 жыл бұрын
mana bii walisha hakuna nabii mpya tena na manabii Mungu ndio anae watuma sasa hawa manabii wa bongo wakujituma nani kawatuma wamekuja na ujumbe upi ? na watazame upande upi uzuka hawa manabii na kwa nn ? jibu swala la manabii linachukuliwa simple tu mtu akijisikia anakua nabii hz akili au matope
Eti kichaa na anajielewa na vtu anavyofanya..... Kifungo miaka adhaa ndio atajuwa ni kosa. Ahsante kamanda. Kenya tunaitaji makamanda kama wewe. Kazi nzuri
thanks GOD this is Tanzania good county and we believ in our jesus only Sio watu kama tito wanao potoxha watu
bora asanteni kwa kutusaidia tunaomba mfute na video zake zote
@shadiyackelisie1418
6 жыл бұрын
Kichaa kuliko vichaa wengine wote
Tunaomba mumuache mirembe huko huko asiletwe tena Katika jamii, safi sana jeshi letu la polisi, mshikilieni aache kabisa upuuzi huu. Abaki milembe huko.
Mungu akubariki jeshi La polisi
Ata Kama ni kichaa afungwe tuuu
Duh! Pole sana Dunia
@jacksonjey1988
6 жыл бұрын
anyonge huyooh
@salumjuma1625
6 жыл бұрын
Kanisa Katoliki na Biblia sal um u
@kanisakatolikinabiblia5220
6 жыл бұрын
Jackson Jey report inasema hata akili sawa sawa
Thank you Lord Jesus
@oshyceser5975
6 жыл бұрын
he sail all 4from da Bible...can u lead 21,31 mathayo...then tell me
hongera serikali yetu huyu jamaa chiz
Hugo ni mzma asijifanye kichaa afungwe tu
Hakuna mtu alikua ananichefua kama huyu jamaa asee. Pitieni na kwenye Channel yangu takua napost Habari nzuri kilasiku...pia *SUBSCRIBE.*
Mbalikiwa sana jeshi la polince
Asante kamanda. I salute you
uwiiiiiii
Kwani na wale wanawake wakamatwe nao afazalia kabisa
Ahsante police Mungu awabariki kwa hili maana alikuwa ananikera mpaka basi
Kamnda hongera n.a. mm nataka niwe jesh
Nilijua tuu Hana akili hahahahahha sema wamtie ndani hvyo hvyo Na ukichaa wake akili itakaa sawa tuu...hahahha halafu amepiga kimkorogo hahahahahha Habittth
@nancycosmas2083
6 жыл бұрын
AB Ayoub katia na dawa eti 😂😂😂😂
@abuuayoub8958
6 жыл бұрын
Nancy Cosmas hahahaha eeeh kitaulo kidogo Wallah Tena lazima Nuru kidogo
Afungwe kbsa
@samusonibalazingiza3689
6 жыл бұрын
Kamanda hongera kwakumkamata huyo mpuuz sana
@thelovetv2976
5 жыл бұрын
Kabisaa kweli jeshi la police linafanya kazi yake ipasavyo mheshimiwa magufuli hongera baba hapa kazi tu.
Hongereni sana jeshi la polis. ila inasemekana zpo dini wanaabudu uchi km zipo fuatilien jaman
da kwa hapa jeshi la polisi mbarikiwe sana jamn
sometimes 40 zimetimia
wakienda kisheria hawampati... kanukuu vifungu hivyohivyo
@michaelkessy1738
6 жыл бұрын
Hakuna Kesi Hapooo
@juliasfredymwakikutjuliasf8547
6 жыл бұрын
tobaaaa
Nalichukia sana hilo zee lipigwe tu risasi
Asanteeeee Sana bora amekamatwa
Kama mtampata na kosa mfungeni tu mana mpotoshaj
@dominicuskomba6684
5 жыл бұрын
Rahma Mohamed
Ukristo ni ukichaa..Mtu mwenye akili timamu hawezi amini eti Nabii Isa ni Mungu au mwana wa Mungu kama wanavyodai.
@frank01tz
6 жыл бұрын
Pole. Yesu ndiyo Mungu wako pia, hata ubishe mpaka ufe!
@francisnicholaus5590
6 жыл бұрын
Aint Named ww ni nani
@francisnicholaus5590
6 жыл бұрын
Aint Named asant jesh muendelee hivohivo
@gracesangaboloko5414
6 жыл бұрын
Aint Named ulaaniwe wewe pamoja nakizaz chako kwa jinala Yesu kristo aliye hai na damu yako iwe juu yako nauzao wako
@aintnamed6839
6 жыл бұрын
Grace....maadam we ni mkristo basi tambua we ni kafiri ukubali ukatae....Fanya hima uzinduke usingizini uingie uislam kabla mauti yakupate.
Brother mirrad ayo ongera sana kwa habari makini
Safi sana Kamanda........Safi sana. mpuuzi pia
Kichaa hawezi kuwa na hakili ya kubana sidii na kufanya ujinga kama huo
@daimavlog
6 жыл бұрын
Exezodaci myinga Exezodac anaweza mpendwa
@newvisiontv4932
6 жыл бұрын
Kuna level za ukichaa na magonjwa ya akili yapo mengi sana
@josej9888
6 жыл бұрын
Huyu kweli, siyo kichaa, polisi wamesema hivo kutafta sababu tu, maana wameshindwa kupata jibu kamili.
@emanueladamayubu9940
6 жыл бұрын
inawezekana huyu Raia sio kichaa bali ana kitu kingine
@ashminaabdullah5626
6 жыл бұрын
Kweli kichaa gani uongo tu
Tulisema Dini ni sawa na ulevi tu...kumjuwa MUNGU sio lazima use ma dini,,kwani kabla ya Waarabu kutufanya watumwa na wakoloni ,hapo nyuma hatukuwa tunamjuwa MUNGU?
@user-my9hc6uf9l
4 жыл бұрын
Hata mimi huwa najiulizaama swali hilo, Kumbe Wahindi wangetutawala nahisi sote tungekuwa Mabaniani, no kula nyama!
@josephkiwale374
Ай бұрын
Na tumezikamata kuliko hata hao waliozileta
Asante mumupeleke
mimi sio fan wa huyu jamaa kabisa..lakini nimeangalia video hadi mwisho..nimependa confidence yake ya kutetea anachoamini!...
HAHA HA HA HA HA UYO JAMAA NOMA NAYE ATA VITABU VIMEANDIKA WATAIBUKA MANABII WA HUONGO ILITABILIWA
@hdmtanzania2617
6 жыл бұрын
Asante vyombo vya usalama. Mwenyezi Mungu hadhihakiwi
@yusuphbalali9037
6 жыл бұрын
Daudi FM Dunia ndy inaenda mlama.
Afungwe mushenzi sana
@jumannewata4856
6 жыл бұрын
tatizo nini mwacheni apige kazi tuu
ahsante afande
Duuh achanicheke kwanza 😂😂😂
Weka dani ya njela
@andrewmdachi9221
6 жыл бұрын
Chapeni viboko huyo jamaa
kwani yeye ni dini gani?
LORD HAVE MERCY HATA KANYARI WA KENYA NI TEAM MOJA NA HUYU TU
Mlifanya vizuri sana
Aliona Dr shika ametoboa akaona na yeye atoke kwa njia hiyo...sasa wacha apambane na mkono wa magu, kisha God himself anamsubiri
@bongoyetu8938
6 жыл бұрын
Fred Mathube jr Alikuwepo kabla ya Dr Shika,kuna video nyingine ni za miaka zaidi ya 3.
@amarachimoney6880
6 жыл бұрын
Fred Mathube jr 😂😂😂😂😂😂😂
@nacyluizer3734
6 жыл бұрын
Fred...hahahaahahahah
@emanuelyngatungs1000
6 жыл бұрын
Pereka mirembe huyo nishetani
@georgemakany7381
6 жыл бұрын
duu noma sana
amina
Aisee
anzeni viboko kwanza kisha mengine yafuate. halafu kuna mwingine aliwahi kujitojeza na hiyo kauli ya kutafuna housgirl alikuwa na midevu sijui aliisjia wapi?
@mamafranjovlog72
6 жыл бұрын
Wilson Kaseha 🤣😂😂😂😂😂kabisa kaka mana ukichaa wengine utatoka kwa viboko lol
@abdallahnurdin8685
6 жыл бұрын
Wilson Kaseha we nae kichaaa kumbe machiz wengi selikali aina DIN saa inakuwaje..... FucknTz
@wilsonkaseha2034
6 жыл бұрын
+Mama Franjo VLOGS hahaaaaaa
*Avande, Huyo Ni Wakupuna Viboko Mpaka Akili Zirudi*
@mkopmkop8750
6 жыл бұрын
😂😂😂
@onesmompwaga6655
6 жыл бұрын
😂😂😂😂Afande afande.
@onesmompwaga6655
6 жыл бұрын
Mbavu zangu mie
@doreenmazigo9895
6 жыл бұрын
Mwanachuo UDSM
Kumbe ni kichaa kama nilivyohisi. Asante serikali. Asante polisi.
Asante sana.
Polis hapo hamkufanya happy kabisa Nchi yetu kila raia anahaki ya kuabudu dini na imani anayo itaka mdaa wowote pahala popote ilimradi tu asivunje Sharia ya nchi . Na nchi yetu hakuna Sharia inayokataza kunywa pombe wala mtu kuzaa na mfanya kazi wake hapo nyny mmeleta udini tu hamna lolote
@jamalshaha4512
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hapo police wamechemsha
@andrewegiberth8630
5 жыл бұрын
Acha ushetan
Afadhali alikua ananichafua roho sana hbu nisaidie pitieni na kwangu kuna hbr nzuri mnisaidie kusubscribe bonyeza picha kushoto
@sheilajuma2332
6 жыл бұрын
Mc Tidoh Ondoa tuna subscribe wap
@edgarachile3119
6 жыл бұрын
Yaani eti Nabii.ujue anakufu sana.
@sheilajuma2332
6 жыл бұрын
Mc Tidoh Ondoa afungwe kabisa aisee alikuwa ananichefua balaa video zake
@johnikovoko7472
6 жыл бұрын
Mc Tidoh Ondoa Afungwe Tuuu
@eliudmanase5397
6 жыл бұрын
Iwe fundisho na kwa watu wengne
Asante yesu
☹️😞
Huyu nabii mbona uso na mikono haviendani kbisaa
@simonfundi5472
6 жыл бұрын
Vivian Minja umeonae
@lilianpalanjo2444
6 жыл бұрын
Umeonaee
@watejawetu8276
6 жыл бұрын
Vivian Minja siomwehu huyo nahao wanawake nao niwehu funga
Pombe si Chai. Nabii gani anapiga bia
@strikerhussein9212
6 жыл бұрын
Yonas C Mashambo anatoa lock tyuu
@IringoAdventChoir
6 жыл бұрын
Striker Hussein hahahaaa hovyooo
@rosehaule9462
6 жыл бұрын
Mbona kama alikua dar akiuza vitabu vya dini alikua akitembea na majoho na msalaba kwenye mabaa kote kinondoni anajulikana sana labda kama namfananisha ila ni huyo kahamia dodoma duh kaanzisha na kanisa aisee
@IringoAdventChoir
6 жыл бұрын
Rose Haule ndio yeye huyo
@edsonteri4489
6 жыл бұрын
Yonas C Mashambo mbona makanisani wanakunywa pombe au huobagi wakishiriki chakula cha bwana afu wanapiga waini freesh kabisa
bora policy mmemkamata
safi sana,jeshi la police,
lakin kwamuenekano kweli nimwehu ila kwahao alio nao ndio wasakwe
@casmirakaro7710
6 жыл бұрын
Nazma Abdul hiii
@casmirakaro7710
6 жыл бұрын
Nazma Abdul maaambooo
@stevehiraly9127
6 жыл бұрын
Nazma Abdul we mzuri kwel
@hassannamwima1313
6 жыл бұрын
Shilole
@josephmdendemi3222
5 жыл бұрын
+steve hiraly bro
khaaaa
@johnbeda7620
6 жыл бұрын
huyu mtu chizi tumsamehe mtu maana hata mm hanikera sana
@stanleyidantv7629
6 жыл бұрын
Afungwe tu ni mpuuzi huyo anadharirisha imani zetu
alafu mkamate na mishoga😀😀😀maan mjin imejaa
Groly be to God
amepoa kama vile cyo yeye aliyekuwa akikata maunoo
hahahaha dunia ina mambo.
@michaelgilbert1531
6 жыл бұрын
jamanii mueshimu Mungu mbona mnaandika na kubadili yasiofaa hapa