"Nabii Tito" amwambia Kamanda "mimi ninatumia Biblia"

Jeshi la Polisi Dodoma limemkamata mtu mmoja Tito Machibya maarufu kama Nabii Tito mwenye umri wa miaka 44 kwa kosa la kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Gilles Muroto amezungumza na Waandishi wa habari na kuelezea yote kwa undani.

Пікірлер: 937

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel34006 жыл бұрын

    Safi sana, selekali yetu ya fanya kazi nzuri. Nice work

  • @Felix-lo1cx

    @Felix-lo1cx

    7 ай бұрын

    Hongera sana

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi21066 жыл бұрын

    Very good kamanda umefanya kazi ubarikiwe kama kichaa akatibiwe

  • @frbm1729
    @frbm17296 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Kamanda wetu.Bwana Mungu wa Majeshi awabariki.

  • @gracethomas683
    @gracethomas6836 жыл бұрын

    nimemkubali kamanda ni yupo kikazi.....sanaaaaa daaah big up Kamanda👏👏👏 sheria ni msumeno

  • @godfreyamen1135
    @godfreyamen11356 жыл бұрын

    Hongera jeshi la police,sheria ifuate mkondo, hata hao waumini wake wakamatwe,na hao makahaba wenzake wakamatwe

  • @exezodacimyingaexezodac1304
    @exezodacimyingaexezodac13046 жыл бұрын

    JESHI LA NA POLC KWA UJUMLA MUNGU AWABALIKI SANA NA AZIDI KUWATUMIA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA MAANA KAZI MNAZO ZIFANYA NIKAZI NGUMU SANA SISI TULIO WENGI TUNAJUA MNAMAPITO MAGUMU LAKINI MUNGU ATAWALIPA TUU WALA MSUTISHIKE NA MTU ANAYE JIITA YEYE NDIYE KWANI MTAWATAMBUA KWA MATENDO NA MUNGU ATAKUWA NANYI KAZi #KAZI NJEMA WATUMISHI WA MUNGU

  • @capitanofindus7312

    @capitanofindus7312

    6 жыл бұрын

    Exezodaci myinga Exezodac wwcheni ujinga kila mtu ako free kwa kitu anacho kiongea watz ni wajinga

  • @capitanofindus7312

    @capitanofindus7312

    6 жыл бұрын

    Ujinga wa watza ndio huo kwwni kama ww unaamini dini yako utamskiliza huyo chizi polisi wa kibongo nyote mnafirwa

  • @jumaedward7110

    @jumaedward7110

    6 жыл бұрын

    mselemabdull kuma la mamako unafirwa mwenyew na baba yako,

  • @capitanofindus7312

    @capitanofindus7312

    6 жыл бұрын

    Exezodaci myinga Exezodac unajitia una matusi ila akili hamna ndio mkawa muko vijiweni munaiba tu tutawaua mwaka huu

  • @jumaedward7110

    @jumaedward7110

    6 жыл бұрын

    mselemabdull unaongea pumba mkundu wew

  • @dorahisaya2908
    @dorahisaya29086 жыл бұрын

    hongereni polc kwa kazi njema na ngum mungu awape wepesi

  • @danielmsangi7271
    @danielmsangi72716 жыл бұрын

    Asanteni jeshi la polis kwa kazi nzury maana ametudhalilisha wakristo mimi nilibakiza kumsaka na kumchoma motk

  • @lauralaurent5994
    @lauralaurent59946 жыл бұрын

    ahsante jeshi la polisi........alikuw ananichefua sann huyu mtu

  • @rowdyrondarouseyfire9476

    @rowdyrondarouseyfire9476

    6 жыл бұрын

    Laura Laurent Yaan my dear Laura hunishindi mm alinichefua cku moja kupitia video zake.

  • @sharifukiserekela3851

    @sharifukiserekela3851

    6 жыл бұрын

    mpokeeni nabiii wenu wengine mnapeleka sadaka Kwa tito mnagoma

  • @lauralaurent5994

    @lauralaurent5994

    6 жыл бұрын

    +Sharifu Kiserekela hakuna nabii wa namnaa hii,umeshaambiwa ni kichaa ........

  • @lauralaurent5994

    @lauralaurent5994

    6 жыл бұрын

    +Miskia Ayallah afungwee kabisaa..?..

  • @kelvinkelvin_tz3983
    @kelvinkelvin_tz39836 жыл бұрын

    ahsanteni jeshi la polisi , asanteni sanaaaaaa

  • @davoo2555
    @davoo25556 жыл бұрын

    Hongera kwa kazi Nzuri Afande.

  • @bettydackman1442
    @bettydackman14426 жыл бұрын

    Asante sana Serikali, Kamanda Mwenyezi Mungu akupemaisha Marefu ,Umenena Vema kabisa

  • @rayrayroblox5663
    @rayrayroblox56636 жыл бұрын

    Huyu mtu nishetani mmefanya vizuri sana yani inabidi hizo kanisa za kishetani muzipige vita

  • @richardkobero6988
    @richardkobero69886 жыл бұрын

    "YOU HAVE FREEDOM BUT NOT TO THAT EXTENT"-JPM

  • @elibarickandrew2870
    @elibarickandrew28706 жыл бұрын

    Asanteni kwa kweli kwa kumkamata..kazi nzuri..

  • @chikaeze6896
    @chikaeze68966 жыл бұрын

    Good job God bless you people good job

  • @susanmmbaga3713
    @susanmmbaga37136 жыл бұрын

    Kichäa anafanya vitu km mtu mwenye akili zake sheria ifate mkondo wake

  • @blacknature7637
    @blacknature76376 жыл бұрын

    Sura yake tu inaonesha chizi 😂😂😂 msameheni tu Ni Bora hakutukana uislam manayake waislamu wangemmeza mzima mzima

  • @maryamdounga2290

    @maryamdounga2290

    6 жыл бұрын

    Black Nature 😂😂😂😂😂jaman umenichekesha

  • @tatut3889

    @tatut3889

    6 жыл бұрын

    Black Nature 😂😂😂😂😂😂😂😂tena tusinge mchelewesha

  • @maryamdounga2290

    @maryamdounga2290

    6 жыл бұрын

    Tatu T 😂😂😂😂bahati yake cc hatuna unafiki nadin yetu

  • @sisisisilia4898

    @sisisisilia4898

    6 жыл бұрын

    Hahaaa hatari kwa kweli

  • @tatut3889

    @tatut3889

    6 жыл бұрын

    Maryam Dounga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dunia angeona chungu

  • @jofreyjafety138
    @jofreyjafety1386 жыл бұрын

    ahsante sana serikali yangu mungu awabalik sana uyo alikua ana nikela kiasi kwamba nilitaman ata sijui nimfanyeje

  • @ulricamakalla5565
    @ulricamakalla55656 жыл бұрын

    Daaah imeniuma mm naheshimu ukristo wangu...mungu pekee amsamehe hajui alitendalo

  • @richardmuyango6106
    @richardmuyango61066 жыл бұрын

    Kamanda hyo sio wakawaida hyo kma nikichaaa kweri cd hzo pamja na vitabu nani anamchapia ss kuna watu nyuma yake

  • @user-my9hc6uf9l

    @user-my9hc6uf9l

    4 жыл бұрын

    Hatumiki, historia inasema anaumwa

  • @youngboyjustin1141
    @youngboyjustin11416 жыл бұрын

    Poa sana👍👍👍

  • @denickillanga8614
    @denickillanga86146 жыл бұрын

    Hongera polisi na nakwona ndugu yangu Ema muha upo na mkuu bless jembelangu

  • @aminasanga7096
    @aminasanga70966 жыл бұрын

    baba angu kaka angu mroto wewe ni mlezi Wa kaka angu ni mchapa kazi tk maturubai mbagala ukiwa mkuu Wa kituo big up sana

  • @umranim5854
    @umranim58546 жыл бұрын

    Mpotovu sana sio kidogo achukuliwe hatua ana fundisha nini watoto mshenzi nimefurahi sana vitu vilivo katanzwa na mwenyezi mungu ndio ana vihalalisha mpotovu sana

  • @fatumafashiondesigner1461
    @fatumafashiondesigner14616 жыл бұрын

    Ahsanta boss wangu

  • @JohnMdee-pm1qh
    @JohnMdee-pm1qh2 ай бұрын

    Good job Afande

  • @katharinaandrew1514
    @katharinaandrew15146 жыл бұрын

    safi sana kamanda . ubarikiwe. wapumbavu kama hao weka ndani. nimekupenda baba

  • @motivationtv9958
    @motivationtv99586 жыл бұрын

    uyo jamaa alaaniwe na haki za kishelia zifuatwe

  • @mesozimkombozi432
    @mesozimkombozi4326 жыл бұрын

    Safi sana kamanda. nimeumia sana juu ya huyu mtu.

  • @daudimkumbo6182

    @daudimkumbo6182

    6 жыл бұрын

    Mesozi Mkombozi Ndo ivo tena

  • @titomwaisoba1629

    @titomwaisoba1629

    5 жыл бұрын

    wa2 msiojulikana Kwann? msimteke uyo

  • @michaelkasebele7168
    @michaelkasebele71686 жыл бұрын

    safi sana jeshi la polisi,lazima misingi ya iman za watu zilindwe.KAZI NJEMA MAKAMANDA....🙋🙋

  • @filimonmboya9615
    @filimonmboya96156 жыл бұрын

    Ongereni San jeshi la police kwa kazi kubwa ya kufanya nchi hii kuwa na Amani mbarikiwe San jeshi latanzania kibinadam tunaona nikazi ndgo lakini mnafanya kazi kubwa San yakulinda misingi ya kisheria nchini Mungu bariki Africa Mungu ibariki tanzania

  • @judydebawsepaul905
    @judydebawsepaul9056 жыл бұрын

    duuh maongez yake enyew htr... unaulizwa n kosa... unajib vingn... duhh

  • @chaziotv9845

    @chaziotv9845

    6 жыл бұрын

    good kamanda

  • @japhetalbano1227

    @japhetalbano1227

    6 жыл бұрын

    Kamanda mpeleken milembe akabaki huko kwan hiyo dini yake ni matangazo ya biashara ya pombe

  • @judydebawsepaul905
    @judydebawsepaul9056 жыл бұрын

    duuh na mbn ht haonyesh km n nabii?? yupo rough kwl

  • @mudriqjardeny708
    @mudriqjardeny7086 жыл бұрын

    "Ukiona bia tano hazikukolei unaongeza konyagi."🤣🤣

  • @kenethmanyesela4940
    @kenethmanyesela49405 жыл бұрын

    mbarikiwe sn, Mungu wetu sio wa maigizo kabisa.

  • @nazmaabdul949
    @nazmaabdul9496 жыл бұрын

    nikichaa kweli maana sio kawaida

  • @rubenprince8990

    @rubenprince8990

    6 жыл бұрын

    California love

  • @husseinmajid721

    @husseinmajid721

    6 жыл бұрын

    Nazma Abdul bora nabii tito alikuwa anafanya hadharan sio viongoz wengne wa dini wanaofanya mambo ya ajabu kwenye giza

  • @nazmaabdul949

    @nazmaabdul949

    6 жыл бұрын

    +Hussein Majid nakweli kesho kwa mungu wataenda kujibu

  • @demetrykisiya1396

    @demetrykisiya1396

    6 жыл бұрын

    Nazma Abdul nishida nazma

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif93846 жыл бұрын

    pigeni marufuku watu kuzuka na kujita manabii haya yataisha tambueni uzito wa manabii na kaz zao hapa kila kukicha manabii nani kawatuma

  • @nyombetv3370

    @nyombetv3370

    6 жыл бұрын

    kweli kaka

  • @goldmansun5859

    @goldmansun5859

    6 жыл бұрын

    yesu

  • @seifmohamedseif9384

    @seifmohamedseif9384

    6 жыл бұрын

    mana bii walisha hakuna nabii mpya tena na manabii Mungu ndio anae watuma sasa hawa manabii wa bongo wakujituma nani kawatuma wamekuja na ujumbe upi ? na watazame upande upi uzuka hawa manabii na kwa nn ? jibu swala la manabii linachukuliwa simple tu mtu akijisikia anakua nabii hz akili au matope

  • @dadychaps7527
    @dadychaps75276 жыл бұрын

    Eti kichaa na anajielewa na vtu anavyofanya..... Kifungo miaka adhaa ndio atajuwa ni kosa. Ahsante kamanda. Kenya tunaitaji makamanda kama wewe. Kazi nzuri

  • @danielryaga2166
    @danielryaga21666 жыл бұрын

    thanks GOD this is Tanzania good county and we believ in our jesus only Sio watu kama tito wanao potoxha watu

  • @worshipertv9968
    @worshipertv99686 жыл бұрын

    bora asanteni kwa kutusaidia tunaomba mfute na video zake zote

  • @shadiyackelisie1418

    @shadiyackelisie1418

    6 жыл бұрын

    Kichaa kuliko vichaa wengine wote

  • @daudiasafu3235
    @daudiasafu32356 жыл бұрын

    Tunaomba mumuache mirembe huko huko asiletwe tena Katika jamii, safi sana jeshi letu la polisi, mshikilieni aache kabisa upuuzi huu. Abaki milembe huko.

  • @silasmsekela9256
    @silasmsekela92566 жыл бұрын

    Mungu akubariki jeshi La polisi

  • @omarymsira1848
    @omarymsira18486 жыл бұрын

    Ata Kama ni kichaa afungwe tuuu

  • @kanisakatolikinabiblia5220
    @kanisakatolikinabiblia52206 жыл бұрын

    Duh! Pole sana Dunia

  • @jacksonjey1988

    @jacksonjey1988

    6 жыл бұрын

    anyonge huyooh

  • @salumjuma1625

    @salumjuma1625

    6 жыл бұрын

    Kanisa Katoliki na Biblia sal um u

  • @kanisakatolikinabiblia5220

    @kanisakatolikinabiblia5220

    6 жыл бұрын

    Jackson Jey report inasema hata akili sawa sawa

  • @sophiaclemence6076
    @sophiaclemence60766 жыл бұрын

    Thank you Lord Jesus

  • @oshyceser5975

    @oshyceser5975

    6 жыл бұрын

    he sail all 4from da Bible...can u lead 21,31 mathayo...then tell me

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz93216 жыл бұрын

    hongera serikali yetu huyu jamaa chiz

  • @immamtaki6653
    @immamtaki66536 жыл бұрын

    Hugo ni mzma asijifanye kichaa afungwe tu

  • @tzviral7342
    @tzviral73426 жыл бұрын

    Hakuna mtu alikua ananichefua kama huyu jamaa asee. Pitieni na kwenye Channel yangu takua napost Habari nzuri kilasiku...pia *SUBSCRIBE.*

  • @yohanashedrack3109
    @yohanashedrack31094 жыл бұрын

    Mbalikiwa sana jeshi la polince

  • @belindagiliard8977
    @belindagiliard89776 жыл бұрын

    Asante kamanda. I salute you

  • @Daudifm5800
    @Daudifm58006 жыл бұрын

    uwiiiiiii

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya31476 жыл бұрын

    Kwani na wale wanawake wakamatwe nao afazalia kabisa

  • @magnaallen115
    @magnaallen1156 жыл бұрын

    Ahsante police Mungu awabariki kwa hili maana alikuwa ananikera mpaka basi

  • @adillhabib2006
    @adillhabib20065 жыл бұрын

    Kamnda hongera n.a. mm nataka niwe jesh

  • @abuuayoub8958
    @abuuayoub89586 жыл бұрын

    Nilijua tuu Hana akili hahahahahha sema wamtie ndani hvyo hvyo Na ukichaa wake akili itakaa sawa tuu...hahahha halafu amepiga kimkorogo hahahahahha Habittth

  • @nancycosmas2083

    @nancycosmas2083

    6 жыл бұрын

    AB Ayoub katia na dawa eti 😂😂😂😂

  • @abuuayoub8958

    @abuuayoub8958

    6 жыл бұрын

    Nancy Cosmas hahahaha eeeh kitaulo kidogo Wallah Tena lazima Nuru kidogo

  • @gracejohn4925
    @gracejohn49256 жыл бұрын

    Afungwe kbsa

  • @samusonibalazingiza3689

    @samusonibalazingiza3689

    6 жыл бұрын

    Kamanda hongera kwakumkamata huyo mpuuz sana

  • @thelovetv2976

    @thelovetv2976

    5 жыл бұрын

    Kabisaa kweli jeshi la police linafanya kazi yake ipasavyo mheshimiwa magufuli hongera baba hapa kazi tu.

  • @kasubywilliam3565
    @kasubywilliam35656 жыл бұрын

    Hongereni sana jeshi la polis. ila inasemekana zpo dini wanaabudu uchi km zipo fuatilien jaman

  • @nyombetv3370
    @nyombetv33706 жыл бұрын

    da kwa hapa jeshi la polisi mbarikiwe sana jamn

  • @tumainijoseph9710
    @tumainijoseph97106 жыл бұрын

    sometimes 40 zimetimia

  • @hamisimsalapai7785
    @hamisimsalapai77856 жыл бұрын

    wakienda kisheria hawampati... kanukuu vifungu hivyohivyo

  • @michaelkessy1738

    @michaelkessy1738

    6 жыл бұрын

    Hakuna Kesi Hapooo

  • @juliasfredymwakikutjuliasf8547

    @juliasfredymwakikutjuliasf8547

    6 жыл бұрын

    tobaaaa

  • @immanuelmwaipopo1753
    @immanuelmwaipopo17536 жыл бұрын

    Nalichukia sana hilo zee lipigwe tu risasi

  • @rithalaizer1151
    @rithalaizer11516 жыл бұрын

    Asanteeeee Sana bora amekamatwa

  • @rahmamohamed8083
    @rahmamohamed80836 жыл бұрын

    Kama mtampata na kosa mfungeni tu mana mpotoshaj

  • @dominicuskomba6684

    @dominicuskomba6684

    5 жыл бұрын

    Rahma Mohamed

  • @aintnamed6839
    @aintnamed68396 жыл бұрын

    Ukristo ni ukichaa..Mtu mwenye akili timamu hawezi amini eti Nabii Isa ni Mungu au mwana wa Mungu kama wanavyodai.

  • @frank01tz

    @frank01tz

    6 жыл бұрын

    Pole. Yesu ndiyo Mungu wako pia, hata ubishe mpaka ufe!

  • @francisnicholaus5590

    @francisnicholaus5590

    6 жыл бұрын

    Aint Named ww ni nani

  • @francisnicholaus5590

    @francisnicholaus5590

    6 жыл бұрын

    Aint Named asant jesh muendelee hivohivo

  • @gracesangaboloko5414

    @gracesangaboloko5414

    6 жыл бұрын

    Aint Named ulaaniwe wewe pamoja nakizaz chako kwa jinala Yesu kristo aliye hai na damu yako iwe juu yako nauzao wako

  • @aintnamed6839

    @aintnamed6839

    6 жыл бұрын

    Grace....maadam we ni mkristo basi tambua we ni kafiri ukubali ukatae....Fanya hima uzinduke usingizini uingie uislam kabla mauti yakupate.

  • @officialjamhurizachariagos2797
    @officialjamhurizachariagos27976 жыл бұрын

    Brother mirrad ayo ongera sana kwa habari makini

  • @sifasanga7866
    @sifasanga78666 жыл бұрын

    Safi sana Kamanda........Safi sana. mpuuzi pia

  • @exezodacimyingaexezodac1304
    @exezodacimyingaexezodac13046 жыл бұрын

    Kichaa hawezi kuwa na hakili ya kubana sidii na kufanya ujinga kama huo

  • @daimavlog

    @daimavlog

    6 жыл бұрын

    Exezodaci myinga Exezodac anaweza mpendwa

  • @newvisiontv4932

    @newvisiontv4932

    6 жыл бұрын

    Kuna level za ukichaa na magonjwa ya akili yapo mengi sana

  • @josej9888

    @josej9888

    6 жыл бұрын

    Huyu kweli, siyo kichaa, polisi wamesema hivo kutafta sababu tu, maana wameshindwa kupata jibu kamili.

  • @emanueladamayubu9940

    @emanueladamayubu9940

    6 жыл бұрын

    inawezekana huyu Raia sio kichaa bali ana kitu kingine

  • @ashminaabdullah5626

    @ashminaabdullah5626

    6 жыл бұрын

    Kweli kichaa gani uongo tu

  • @ernestsinje2606
    @ernestsinje26066 жыл бұрын

    Tulisema Dini ni sawa na ulevi tu...kumjuwa MUNGU sio lazima use ma dini,,kwani kabla ya Waarabu kutufanya watumwa na wakoloni ,hapo nyuma hatukuwa tunamjuwa MUNGU?

  • @user-my9hc6uf9l

    @user-my9hc6uf9l

    4 жыл бұрын

    Hata mimi huwa najiulizaama swali hilo, Kumbe Wahindi wangetutawala nahisi sote tungekuwa Mabaniani, no kula nyama!

  • @josephkiwale374

    @josephkiwale374

    Ай бұрын

    Na tumezikamata kuliko hata hao waliozileta

  • @annakays4901
    @annakays49014 жыл бұрын

    Asante mumupeleke

  • @magzeeee
    @magzeeee6 жыл бұрын

    mimi sio fan wa huyu jamaa kabisa..lakini nimeangalia video hadi mwisho..nimependa confidence yake ya kutetea anachoamini!...

  • @Daudifm5800
    @Daudifm58006 жыл бұрын

    HAHA HA HA HA HA UYO JAMAA NOMA NAYE ATA VITABU VIMEANDIKA WATAIBUKA MANABII WA HUONGO ILITABILIWA

  • @hdmtanzania2617

    @hdmtanzania2617

    6 жыл бұрын

    Asante vyombo vya usalama. Mwenyezi Mungu hadhihakiwi

  • @yusuphbalali9037

    @yusuphbalali9037

    6 жыл бұрын

    Daudi FM Dunia ndy inaenda mlama.

  • @Nadineshimirimana
    @Nadineshimirimana6 жыл бұрын

    Afungwe mushenzi sana

  • @jumannewata4856

    @jumannewata4856

    6 жыл бұрын

    tatizo nini mwacheni apige kazi tuu

  • @sifunisamwel4369
    @sifunisamwel43696 жыл бұрын

    ahsante afande

  • @abuuhilary4609
    @abuuhilary46093 жыл бұрын

    Duuh achanicheke kwanza 😂😂😂

  • @tuombesunzuesperance5196
    @tuombesunzuesperance51966 жыл бұрын

    Weka dani ya njela

  • @andrewmdachi9221

    @andrewmdachi9221

    6 жыл бұрын

    Chapeni viboko huyo jamaa

  • @abdallahmtale4060
    @abdallahmtale40606 жыл бұрын

    kwani yeye ni dini gani?

  • @mmmglobalkenyatestimonies14
    @mmmglobalkenyatestimonies146 жыл бұрын

    LORD HAVE MERCY HATA KANYARI WA KENYA NI TEAM MOJA NA HUYU TU

  • @alsaarh239
    @alsaarh2396 жыл бұрын

    Mlifanya vizuri sana

  • @fredmathubejr3547
    @fredmathubejr35476 жыл бұрын

    Aliona Dr shika ametoboa akaona na yeye atoke kwa njia hiyo...sasa wacha apambane na mkono wa magu, kisha God himself anamsubiri

  • @bongoyetu8938

    @bongoyetu8938

    6 жыл бұрын

    Fred Mathube jr Alikuwepo kabla ya Dr Shika,kuna video nyingine ni za miaka zaidi ya 3.

  • @amarachimoney6880

    @amarachimoney6880

    6 жыл бұрын

    Fred Mathube jr 😂😂😂😂😂😂😂

  • @nacyluizer3734

    @nacyluizer3734

    6 жыл бұрын

    Fred...hahahaahahahah

  • @emanuelyngatungs1000

    @emanuelyngatungs1000

    6 жыл бұрын

    Pereka mirembe huyo nishetani

  • @georgemakany7381

    @georgemakany7381

    6 жыл бұрын

    duu noma sana

  • @kilianamapunda5105
    @kilianamapunda51056 жыл бұрын

    amina

  • @sethmsangwa1413
    @sethmsangwa14136 жыл бұрын

    Aisee

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha20346 жыл бұрын

    anzeni viboko kwanza kisha mengine yafuate. halafu kuna mwingine aliwahi kujitojeza na hiyo kauli ya kutafuna housgirl alikuwa na midevu sijui aliisjia wapi?

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    6 жыл бұрын

    Wilson Kaseha 🤣😂😂😂😂😂kabisa kaka mana ukichaa wengine utatoka kwa viboko lol

  • @abdallahnurdin8685

    @abdallahnurdin8685

    6 жыл бұрын

    Wilson Kaseha we nae kichaaa kumbe machiz wengi selikali aina DIN saa inakuwaje..... FucknTz

  • @wilsonkaseha2034

    @wilsonkaseha2034

    6 жыл бұрын

    +Mama Franjo VLOGS hahaaaaaa

  • @kuwamilionea8983
    @kuwamilionea89836 жыл бұрын

    *Avande, Huyo Ni Wakupuna Viboko Mpaka Akili Zirudi*

  • @mkopmkop8750

    @mkopmkop8750

    6 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @onesmompwaga6655

    @onesmompwaga6655

    6 жыл бұрын

    😂😂😂😂Afande afande.

  • @onesmompwaga6655

    @onesmompwaga6655

    6 жыл бұрын

    Mbavu zangu mie

  • @doreenmazigo9895

    @doreenmazigo9895

    6 жыл бұрын

    Mwanachuo UDSM

  • @stewartmillanzi3918
    @stewartmillanzi39186 жыл бұрын

    Kumbe ni kichaa kama nilivyohisi. Asante serikali. Asante polisi.

  • @elrachum3866
    @elrachum38666 жыл бұрын

    Asante sana.

  • @kigambontv9748
    @kigambontv97486 жыл бұрын

    Polis hapo hamkufanya happy kabisa Nchi yetu kila raia anahaki ya kuabudu dini na imani anayo itaka mdaa wowote pahala popote ilimradi tu asivunje Sharia ya nchi . Na nchi yetu hakuna Sharia inayokataza kunywa pombe wala mtu kuzaa na mfanya kazi wake hapo nyny mmeleta udini tu hamna lolote

  • @jamalshaha4512

    @jamalshaha4512

    5 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa hapo police wamechemsha

  • @andrewegiberth8630

    @andrewegiberth8630

    5 жыл бұрын

    Acha ushetan

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa16526 жыл бұрын

    Afadhali alikua ananichafua roho sana hbu nisaidie pitieni na kwangu kuna hbr nzuri mnisaidie kusubscribe bonyeza picha kushoto

  • @sheilajuma2332

    @sheilajuma2332

    6 жыл бұрын

    Mc Tidoh Ondoa tuna subscribe wap

  • @edgarachile3119

    @edgarachile3119

    6 жыл бұрын

    Yaani eti Nabii.ujue anakufu sana.

  • @sheilajuma2332

    @sheilajuma2332

    6 жыл бұрын

    Mc Tidoh Ondoa afungwe kabisa aisee alikuwa ananichefua balaa video zake

  • @johnikovoko7472

    @johnikovoko7472

    6 жыл бұрын

    Mc Tidoh Ondoa Afungwe Tuuu

  • @eliudmanase5397

    @eliudmanase5397

    6 жыл бұрын

    Iwe fundisho na kwa watu wengne

  • @hussenadam1294
    @hussenadam1294 Жыл бұрын

    Asante yesu

  • @aureliebeatrice5952
    @aureliebeatrice59526 жыл бұрын

    ☹️😞

  • @vivianminja6332
    @vivianminja63326 жыл бұрын

    Huyu nabii mbona uso na mikono haviendani kbisaa

  • @simonfundi5472

    @simonfundi5472

    6 жыл бұрын

    Vivian Minja umeonae

  • @lilianpalanjo2444

    @lilianpalanjo2444

    6 жыл бұрын

    Umeonaee

  • @watejawetu8276

    @watejawetu8276

    6 жыл бұрын

    Vivian Minja siomwehu huyo nahao wanawake nao niwehu funga

  • @IringoAdventChoir
    @IringoAdventChoir6 жыл бұрын

    Pombe si Chai. Nabii gani anapiga bia

  • @strikerhussein9212

    @strikerhussein9212

    6 жыл бұрын

    Yonas C Mashambo anatoa lock tyuu

  • @IringoAdventChoir

    @IringoAdventChoir

    6 жыл бұрын

    Striker Hussein hahahaaa hovyooo

  • @rosehaule9462

    @rosehaule9462

    6 жыл бұрын

    Mbona kama alikua dar akiuza vitabu vya dini alikua akitembea na majoho na msalaba kwenye mabaa kote kinondoni anajulikana sana labda kama namfananisha ila ni huyo kahamia dodoma duh kaanzisha na kanisa aisee

  • @IringoAdventChoir

    @IringoAdventChoir

    6 жыл бұрын

    Rose Haule ndio yeye huyo

  • @edsonteri4489

    @edsonteri4489

    6 жыл бұрын

    Yonas C Mashambo mbona makanisani wanakunywa pombe au huobagi wakishiriki chakula cha bwana afu wanapiga waini freesh kabisa

  • @charlesmushi2305
    @charlesmushi23056 жыл бұрын

    bora policy mmemkamata

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa42126 жыл бұрын

    safi sana,jeshi la police,

  • @nazmaabdul949
    @nazmaabdul9496 жыл бұрын

    lakin kwamuenekano kweli nimwehu ila kwahao alio nao ndio wasakwe

  • @casmirakaro7710

    @casmirakaro7710

    6 жыл бұрын

    Nazma Abdul hiii

  • @casmirakaro7710

    @casmirakaro7710

    6 жыл бұрын

    Nazma Abdul maaambooo

  • @stevehiraly9127

    @stevehiraly9127

    6 жыл бұрын

    Nazma Abdul we mzuri kwel

  • @hassannamwima1313

    @hassannamwima1313

    6 жыл бұрын

    Shilole

  • @josephmdendemi3222

    @josephmdendemi3222

    5 жыл бұрын

    +steve hiraly bro

  • @saramathias4861
    @saramathias48616 жыл бұрын

    khaaaa

  • @johnbeda7620

    @johnbeda7620

    6 жыл бұрын

    huyu mtu chizi tumsamehe mtu maana hata mm hanikera sana

  • @stanleyidantv7629

    @stanleyidantv7629

    6 жыл бұрын

    Afungwe tu ni mpuuzi huyo anadharirisha imani zetu

  • @khloealfan7924
    @khloealfan79246 жыл бұрын

    alafu mkamate na mishoga😀😀😀maan mjin imejaa

  • @jameswaruingi2554
    @jameswaruingi25542 жыл бұрын

    Groly be to God

  • @halimamohamedy3571
    @halimamohamedy35716 жыл бұрын

    amepoa kama vile cyo yeye aliyekuwa akikata maunoo

  • @thetreasure2230
    @thetreasure22306 жыл бұрын

    hahahaha dunia ina mambo.

  • @michaelgilbert1531

    @michaelgilbert1531

    6 жыл бұрын

    jamanii mueshimu Mungu mbona mnaandika na kubadili yasiofaa hapa

Келесі