IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA - ''HUO NI USHAMBA''

IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA - ''HUO NI USHAMBA''
MKUU wa jeshi la polisi nchini, IGP Simon Sirro, amefanya mkutano na makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya nchini wenye lengo la kupanga mikakati ya namna ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kuanza hivi karibuni pamoja na usalama wa raia na mali zake nchini.
www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App

Пікірлер: 649

  • @globaltv_online
    @globaltv_online4 жыл бұрын

    JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.

  • @tangaoldtv1067

    @tangaoldtv1067

    4 жыл бұрын

    Safi sanaaa hii iko poa

  • @jobboniphasi1161

    @jobboniphasi1161

    3 жыл бұрын

    Mmmmh vzr vzr vzr good good umeleweka kamanda huu mwaka kweli umebadilika siro ni hiyo hasa ndo Kaz yako udumu kamanda jesh lilipotea xana kushabikia wanasiasa komesha siro tunakwamini umeonesha uzalendo wa nchi yako than k u

  • @eyezarc1239
    @eyezarc12394 жыл бұрын

    Some military values can be seen from this Man..., one clap for him 👏🏿

  • @distonmwaitumile5955

    @distonmwaitumile5955

    4 жыл бұрын

    Ur the best father

  • @kidodosimichael349

    @kidodosimichael349

    4 жыл бұрын

    INDEED !!!!

  • @saidndimbwa4976

    @saidndimbwa4976

    4 жыл бұрын

    For sure

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Nothing!!!!

  • @kingkazeba9205
    @kingkazeba92054 жыл бұрын

    Misajawai kuona ushamba kama huo kama nawewe umesikia hilo mwaga like yako hapo

  • @imamuhemedi4387

    @imamuhemedi4387

    4 жыл бұрын

    king Kazeba

  • @sharonpaulo8149

    @sharonpaulo8149

    4 жыл бұрын

    Aisee huyu kamanda anajielewa Sana sna sna na anajua maadili na mipaka ya kazi yake Kuna wale makamanda wachache wanao lichafua jeshi kma kushabikia vyama na kulazimishwa watu washabikie chama flani wakat ni kinyume cha maadili ya jeshi hao pia angepita nao hv. Wapo na wanafahamika na hawaachi

  • @gasperwiliam7712

    @gasperwiliam7712

    3 жыл бұрын

    Asante

  • @clementmwaitebele7687
    @clementmwaitebele76874 жыл бұрын

    This is a statement of commander ...big up..IGP Siro...tumepita National Service Mujibu wa sheria huwa tunawashangaa Sana. Lakini sasa uko super Big up

  • @habarikazanzibar3667

    @habarikazanzibar3667

    4 жыл бұрын

    Mstaafu, Wanaojua Jeshi wanawashangaa Polisi

  • @esteredward6980

    @esteredward6980

    3 жыл бұрын

    Dafi

  • @stn4873

    @stn4873

    2 жыл бұрын

    Sasa Mujibu wa sheria na wewe umecomment🤣🤣🤣🤣

  • @AhmedZahor-z8e

    @AhmedZahor-z8e

    23 күн бұрын

    Bora ulivyo wapa ukweli maana hao wanajiskia kweli so masihara

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai85774 жыл бұрын

    Hamna siku kaongea point kama hapa yani 👏👏 everybody is innocent till proven guilty🙌

  • @eventelias3566

    @eventelias3566

    4 жыл бұрын

    Absolutely

  • @africanmandetraveler2847

    @africanmandetraveler2847

    4 жыл бұрын

    Very true

  • @geraldkalima7183

    @geraldkalima7183

    4 жыл бұрын

    Safiii sana mkuu igp ilove you.

  • @clementmwaitebele7687
    @clementmwaitebele76874 жыл бұрын

    Una practice Usomi wako ...Graduated Commander big up

  • @danieljames3017
    @danieljames30174 жыл бұрын

    Kumbe huyu jamaa Ana akili kiasi hiki.👏👏👏👏👏👏👏

  • @jacklineraymond6487

    @jacklineraymond6487

    4 жыл бұрын

    Uko sahii boss

  • @jacklineraymond6487

    @jacklineraymond6487

    4 жыл бұрын

    Uko sahihi boss

  • @lucassamwel5544

    @lucassamwel5544

    3 жыл бұрын

    Ssfi sana siro

  • @edenbaraka7533

    @edenbaraka7533

    3 жыл бұрын

    Daniel James hawana lolote hawa wanatuchora

  • @silverman6930
    @silverman69304 жыл бұрын

    IGP you have spoken sense to these dudes

  • @kiwangodaniel1302

    @kiwangodaniel1302

    4 жыл бұрын

    Kamanda Mimi Ni local people Ila Leo umeongea ukweli kelikweli. Umesoma ukaelimika. Safi sanaaaaa.

  • @jojoekiza5400
    @jojoekiza54004 жыл бұрын

    Show off sir kweli God bless u. Wakumbuke Tanzania 🇹🇿 inatazamwa na dunia sio local.

  • @nicolausnicolaus734
    @nicolausnicolaus7344 жыл бұрын

    Hata ulipokuwa mwanza ulituongoza vzr kwenye uchaguz mshindi alitangazzwa bila kutumia nguvu siro ni mwamba sana

  • @sadicktony9725

    @sadicktony9725

    4 жыл бұрын

    Trafic zako mzee wamekuwa wezi deleva wa tanzania ana uhulu wa kuendesha gari nchi yenye siyo yake kuliko kwake

  • @marrymafwa6458

    @marrymafwa6458

    3 жыл бұрын

    @@sadicktony9725 nadi

  • @queensadick5910
    @queensadick59104 жыл бұрын

    Umeongea point sana Siro, big up

  • @alckisndabwia3377

    @alckisndabwia3377

    4 жыл бұрын

    Queen Sadick msigqa Ll Msiigwa

  • @ibrahimchediel4867

    @ibrahimchediel4867

    3 жыл бұрын

    Big up commender

  • @chalodavid4537
    @chalodavid45374 жыл бұрын

    Surely your good enough to be you SAIMON SIRO

  • @godmkwama585

    @godmkwama585

    4 жыл бұрын

    Big up kamanda sirro

  • @sirasisirasibenedict771

    @sirasisirasibenedict771

    2 жыл бұрын

    Dapnd

  • @sirasisirasibenedict771

    @sirasisirasibenedict771

    2 жыл бұрын

    Joyrz

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu29034 жыл бұрын

    Ukweli ni ukweli na siku zote ukweli unauma na msema kweli hapendwi. IGP uko vizuri JPM hakukosea big up tuko pamoja na wewe tunakuombea sana huku kwetu MWITONGO -MUSOMA

  • @richardamos5898

    @richardamos5898

    4 жыл бұрын

    Mura amang'ana

  • @zuhurasebastian5883

    @zuhurasebastian5883

    4 жыл бұрын

    Waambie na mahakama iangalie haki si kuingiza siasa kwenye kazi wananchi wanawatizama waooo

  • @barakakomondawamollel1965

    @barakakomondawamollel1965

    2 жыл бұрын

    Uyu ndio una msifu

  • @kingsolomon0
    @kingsolomon03 жыл бұрын

    IGP Siro, you are a leader & Manager , thanks for enlightening your juniors on how they should conduct themselves as professional police officers love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sayman158
    @sayman1584 жыл бұрын

    Dah SIRRO mungu akuongoze na akulinde...very inteligent Officer...unajua ubinadamu baba...

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo20134 жыл бұрын

    Siro yuko Smart sana! Big up!!

  • @malangoyaushindi3279

    @malangoyaushindi3279

    4 жыл бұрын

    Amina baba

  • @omerakisum
    @omerakisum4 жыл бұрын

    I like you IGP Sirro....keep it up....very honourable man....you deserve to be IGP.....love and respect you.

  • @francismkenda
    @francismkenda4 жыл бұрын

    Mkuu mm tangu nimepata akil ya kujua majukumu ya IGP ilkuwa kipind cha rais Mkapa ila wewe umewazid wotee aisee heshima yako mkuu Sirro

  • @finiaswanguba7688
    @finiaswanguba76884 жыл бұрын

    Skujua siro unajua kiasi hiki., nimependa sana hii, and am very much proud of you soldier.

  • @evenievarist9475

    @evenievarist9475

    3 жыл бұрын

    Safi kamanda huo ndio uzalenda wa kijeshi ,"waz,wazi mkuu.

  • @mkalihanzuruni4924
    @mkalihanzuruni49244 жыл бұрын

    Siku zote ukweli haufichwi kwakupaka rangi, Hongera sana IGP Sirro kwautendaji wako mzuri wa kazi pia nakupongeza kwakuwakumbusha makamanda wako taratibu na mipaka ya kazi yao. Kiukweli kuna baadhi ya Makamanda wanapenda saana showoff ili aonekane anachapakazi, Nimefurahi sana kama umeliona hilo!

  • @rithaurassa

    @rithaurassa

    3 ай бұрын

    Nchi hii inatakiwa tuu watu wanye. HOFU ya MUNGU KAMA HUYU UBARIKIWE KAMANDA MUKUU BARIKIWA SANA

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje77304 жыл бұрын

    Kweli tunawaona tofaiti sana u a true Mr siro fika pale Hai kunakijana anasumbua sana na kuzalilisha jeshi la pls kisa mkuu wa w

  • @danielhumble4292
    @danielhumble42924 жыл бұрын

    Siku zote madini haya ya speech uliyafichaga wapi kamanda wangu???

  • @eventelias3566

    @eventelias3566

    4 жыл бұрын

    kweli madini asee

  • @ramadhanhassan4188
    @ramadhanhassan41884 жыл бұрын

    Siro uwaga nakuku bari sanaaaaaaaaaaaaaaa safiiiisana father ake

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto82314 жыл бұрын

    I Understand you very clear, let see what will be the next move comes from reactions

  • @ibrakadabra8298
    @ibrakadabra82984 жыл бұрын

    Yani kaniosha sana kiongozi wetu IGP sirro kuanzia leo nadumisha kukupenda zaidi na zaidi kukufatilia kazi zako

  • @princeerick372
    @princeerick3724 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana Mkuu, WORK ETHICS is very important for any organisation

  • @Sangaadam
    @Sangaadam4 жыл бұрын

    Cheo cha uwaziri wa Mambo ya Ndani kingekufaa sana IGP Siro you've Great vision on how to be a Leader.....!!!

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria70524 жыл бұрын

    E bwanaaeee Leo umeongea fact kabsa,tushaelewa

  • @cpabonnychris6315
    @cpabonnychris63154 жыл бұрын

    This man is very clever, Katika watu wazuri rais wetu aliochagua This Igp alicheza sana ,,hongera mkuu nimeipenda speech yako.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si3 ай бұрын

    Ila alipelekwa Dar Mara zote watenda haki wanaandamwa na wasiopenda haki❤❤❤❤❤bigup Sirro

  • @irenepeter8702
    @irenepeter87024 жыл бұрын

    Safi sana makamanda ichi ni kubwa kuliko chama

  • @freshtiff1265
    @freshtiff12654 жыл бұрын

    IGP SIMON SIRRO NAMKUBALI SANA HUYU KAMANDA 🙌🏻🙌🏻 YAANI ANAENDA SAMBAMBA NA UONGOZI WA MH.RAISI HAPINDISHI MANENO .. HALAFU SIKU ZOTE ANAONGEA POINT TU 🇹🇿 🙌🏻🔥

  • @godsongodson6087
    @godsongodson60874 жыл бұрын

    Jambo Afande!!! Naelewa sana kitu,, CHAIN OF COMMAND,, Mm nilijua mnawatuma kumbe ni maamuzi yao binafsi,,😎😎

  • @jacksonsendama9458
    @jacksonsendama94584 жыл бұрын

    Hadi Mimi nimekuelewa Daar umeongea point Mambosasa alikua amezidi Kiherehere

  • @omarymwenemti2945

    @omarymwenemti2945

    4 жыл бұрын

    Mbona kamanda wa dodoma umemsahau.

  • @walivyojuma7095

    @walivyojuma7095

    4 жыл бұрын

    Namuroto wadodoma hanakiherekihere saaana

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler28474 жыл бұрын

    I G P nimemwelewa Sana big up Mzee kwa kusema ukweli

  • @championshahidu2465
    @championshahidu24654 жыл бұрын

    Mh. Magufuli ameonesha kila mtu/kiongozi na jukumu/wajibu wake. Asante Mh.Magu na Siro.

  • @frashconnect.1
    @frashconnect.14 жыл бұрын

    One of the best Tanzania IGP speech of all time. Big up Police Team. Sema tu tatzo la intelenjensia ya wapinzani life basi, walindwe na wafanye siasa safi. Mkizua watu kuongea, mnatengeneza matatzo. But all the best, siku hizi tunalala bila ata kelele za mbwa.

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince34594 жыл бұрын

    Mmmmmmmh hatari , Makavu s hayo. Hadi shida, msingi Police nikufuata maadili kutoka uvaaji Hadi utendaji wake.

  • @queenpiscator6117

    @queenpiscator6117

    3 жыл бұрын

    Hapana binadamu tuko tofauti pls viongozi wa Tz cheo ni dhamana hata wewe Naona huna makosa km alikua hana uwezo kwanini ulimpa hiyo nafasi na wewe uliyoyaaongea sio ustaharabu hiki kitu ni very sensitive baba ukupaswa kuyaweka wazi tunachekwa sana hapo pengine huko sawa lkn hilikua sio sehemu yake ungeyachikulia kiheshima kwa kulinda hathi ya nchi yetu kumbuka vidole ktk viganja havilingani lakini uadahidiana mimi hilo sikuu GI mkono umemudhahilisha nafikiri kafanya mambo mengi mazuri na yeye ni binadamu km wewe piga moyo kond

  • @queenpiscator6117

    @queenpiscator6117

    3 жыл бұрын

    Piga moyo konde u jitafakari hongera kwa kz nzuri lkn mimi sipendi maonevu mimi ni maskini jeuri wote tuko pamoja tusaidia e kwa mapungufu yetu

  • @shedrackhm2204
    @shedrackhm22044 жыл бұрын

    Professional Police Officer. Nakubali ....

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy56524 жыл бұрын

    Yaani kaka yangu, umeongea ukweli mtupu. Big-up sanaa. Watu walifikia hatua ya kuwachukia mapolisi na magwanda yao ya jango!! Afadhali umeliona hilo, nadhani umeeleweka. Hotuba yako iliyojaa busara imenifanya mwili mzima usisimke kwa furaha. Mungu akubariki IGP wangu.

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed6144 жыл бұрын

    Lakini huyo wa dodoma mhhhhh hapana bora umeongea ukweli mh igp

  • @stukiaally4690
    @stukiaally46904 жыл бұрын

    Hongera IGP umewapa ya ukweli wakinuna wawe na sababu!! Daah RPC anaitisha waandishi kumtangaza mwizi wakati hata mkuu wa kituo anaweza!! Lakini kiupelelezi wenzie si watakwenda mbali

  • @unambwenaiman5355

    @unambwenaiman5355

    4 жыл бұрын

    Safiiiiiiiii Sana waambie Mana Baadhi ya MARPC wameingia kwenye siasa

  • @Missionary_work

    @Missionary_work

    3 жыл бұрын

    Unaakili Sana Namba yangu iyo +255-744-191-671 unafaa kuwa rafiki yangu.

  • @stukiaally4690

    @stukiaally4690

    3 жыл бұрын

    @@Missionary_work ahsante

  • @Missionary_work

    @Missionary_work

    3 жыл бұрын

    @@stukiaally4690 so can you find Me on Whatsap for that my number. Have a good evening. My sister stukia Ally

  • @zubeirkhamisabdallah9627
    @zubeirkhamisabdallah96274 жыл бұрын

    Mashaalah kamanda ww ni really police officer na unajua wajibu wa police na kazi yake ongera mkuu

  • @ziadaalute6836

    @ziadaalute6836

    4 жыл бұрын

    Zubeir Khamis Abdallah ,Ongea kamanda wetu,hao wanaojidai ni miungu watu,Makamanda watendahaki waliopita Omar Mahita,Seleman Kova,Rashid Hemed,hoyeee!!!

  • @beatricelucas1454
    @beatricelucas14544 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana mheshimiwa Ongera sana Mungu awe nawe katika kazi yako

  • @aloyztv8434
    @aloyztv84344 жыл бұрын

    Your right

  • @akihose9835
    @akihose98354 жыл бұрын

    Wewe upo vzr sna IGP yni umesema ukweli mtupu MUNGU akulinde na akupe Moyo wakusema kweli daima.

  • @sospetermartin9811
    @sospetermartin98114 жыл бұрын

    That is very important Mr Simon siro they should be looking differ as a mirror of a society

  • @lordrichreuben1446
    @lordrichreuben14463 жыл бұрын

    Safiiii I.G.P.Ww ndyo boss wao watakuelewa sisi hawawezi kutuelewa,point kamanda unatakiwa uwe smart na ujue kufaa unform kulingana na wakati. safiiii sana

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative99854 жыл бұрын

    Binasfi tangu nikufahamu ukiwa Mwanza sijawahi kuwa na shaka juu ya utendaji wako. You are very very smart, umesema RPC wanapotumia jukwaa la jeshi la Polisi kufanya siasa hunufaika wao binafsi lakini hapohapo jeshi hubaki limechafuka na kuzalilika kwa kiasi kikubwa sana! Uko sawa kabisa. Tangu kuanza kwa utawala huu ndiyo kuliibuka haka katabia ka ma RPC kufanya siasa za wazi mbele ya camera saaa mimi nikazani labda na hiyo nayo ni moja ya ajenda za utawala wa kipindi hiki na labda na wewe kama IGP labda unaridhia huo ujinga kumbe ulikuwa unakeleka kiasi hicho! Hongera sana mzee wangu IGP Siro natamani katiba ya nchi kama ingekupa nguvu zaidi ya hizo ulizonazo.

  • @hamismnyaya1276

    @hamismnyaya1276

    4 жыл бұрын

    Rock City Native unadhn tatzo liko wapi mpaka wameamua kupiga siasa?

  • @rockcitynative9985

    @rockcitynative9985

    4 жыл бұрын

    hamis mnyaya Mimi sielewi lakini huo ujinga ambao IGP Siro anaupiga vita ulianza baada ya 2015 labda hapo tusaidiane kuumiza kichwa kujua nani ni chanzo Ila mimi tangu mwanzo nilikuwa simuhusishi kabisa mzee wangu kamanda Siro na huo ujinga na leo kadhirisha wazi hayuko pamoja na ujinga huo.

  • @hamismnyaya1276

    @hamismnyaya1276

    4 жыл бұрын

    Rock City Native Ndugu short and clear kwenye maisha ukiona mtu ana kiburi, majivuno, dharau, kujiona na mengne meng ambayo sio mazuri jua nyuma ya pazia ana vitu vinavyomsukuma au anawatu fulani wanaompa nguvu ya kutenda na kufanya lolote. Mfano anaweza akawa na pesa, elimu, mafanikio, madaraka na n. k, Tafakar hii kauli sijaongea then naamin utakua umenielewa.

  • @rockcitynative9985

    @rockcitynative9985

    4 жыл бұрын

    hamis mnyaya Exactly

  • @mustafagaula3166
    @mustafagaula31664 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana kiongozi mkuu.....! (BIG POINT BRO)

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer4 жыл бұрын

    Yes SIR...big up

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian54944 жыл бұрын

    Asante boss. Ni vzr kumwamsha alie lala. Akilala sana atakoroma atachafua na hali ya hewa. Asante Magu raisi muona mbari.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6244 жыл бұрын

    kweli hii ni tanzania mpya hata sifa pia hazitakiwi hahahahah safi I.G.P wetu

  • @mtatirorotale2119
    @mtatirorotale21193 жыл бұрын

    Mungu akulinde kiongozi siro nasikia raha Sana. Napo onaga viongozi wenye maono naupeo mkubwa Kama huu kizuri zaidi tena hupatikani Kanda yaziwa japo watu kuambiwa ukweri huchukia Ila Acha wambiwe ukweri magufuli mungu akulinde nakukupa maisha malefu mungu ibariki Tanzania nawatu wake wote

  • @isayasewe7296
    @isayasewe72964 жыл бұрын

    Nakukubari sana MKUU SIRO.MUNGU AKULINDE MKUU WETU.

  • @sakayamolel5167
    @sakayamolel51673 жыл бұрын

    Mweshimiwa mungu akulinde

  • @robertakello1666
    @robertakello16664 жыл бұрын

    I appreciate your wisdom Mr IGP

  • @ebaraniathomas4750
    @ebaraniathomas47504 жыл бұрын

    kwakweli kamanda Siro upo vizuri nimekuelewa sana polisi wengi wamekuwa wakiwaonyesha watuhumiwa kabla ya upelelezi na pengine siyo mwizi mungu akupe miaka mingi

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao89884 жыл бұрын

    👏👏👏👏dady umeongea hata kupigapiga raia wanapiga hao, na ndio maana wanageuka maadui kwa raia ahsante dady kwa kutusemea.

  • @eventelias3566
    @eventelias35664 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie hekima kiongoz..Simon Sirro our IGP

  • @canaljamali9036
    @canaljamali90364 жыл бұрын

    Dodoma,dar,arusha umewapta apo salute kwa IGP

  • @mosesmwailenge5192
    @mosesmwailenge51923 жыл бұрын

    Nakupenda saana silo mungu wa mbinguni akubariki naakufishe mbali

  • @nelsonrogers8532
    @nelsonrogers85324 жыл бұрын

    Your Totally fit for that Position

  • @janejames5329

    @janejames5329

    4 жыл бұрын

    NELSON ROGERS perfect

  • @abdallahfuko1216
    @abdallahfuko12164 жыл бұрын

    IGP umeongea fact sana leo ila umeonesha udhaifu mmoja hawa ungewashughulikia siku ile ile waliyofanya kile unachoita USHAMBA maana kweli ni ushamba ila kukaa na jambo moyoni usubiri hadi kwenye press ndo useme huo ni udhaifu....vp kama ungetolewa hapo kabla ya hii press? nani angejua kama na ww hukuridhishwa na haya mambo. Fanya maamuzi kila unapoona ushamba unafanyika. BIG UP IGP

  • @shantungamaumba7159
    @shantungamaumba71594 жыл бұрын

    Your the really IGP the Republic including myself will have a pleasant night. May God bless your and protect your position. Big up

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12184 жыл бұрын

    Umeongea maneno kuntu kbs hongera mkuu kazi njema

  • @abdallaabeid4251
    @abdallaabeid42514 жыл бұрын

    Well said IGP👏

  • @ebenernnko3339
    @ebenernnko33394 жыл бұрын

    Safi hapa kidogo unaturudishiya moyo kuwa tuna IGP mwelewa vizuri lkn shida ya jeshi liko linaendeshwa na wanasiaasa

  • @tecnof1232
    @tecnof12324 жыл бұрын

    Siro sawa! Lakini kama viongozi ni vyema kuitana na kukosoana vikao vya ndani, is shame for soldiers to coflict or contempt between them before public, it is mistake! Hakuna aso kasoro! > fr. Paje S.Ung. Z'bar

  • @amandusmark3060

    @amandusmark3060

    4 жыл бұрын

    Ofcourse sio sawa saana maana hawa watu wote muhimu sana., Sema uckute washaambiana mara kadhaa ndani bila mabadiliko.

  • @mpelienock
    @mpelienock4 жыл бұрын

    Kama viongozi wote watafanya kazi wanayoijua nchi itaenda. IGP nakukubali sana, kazi hii inatakiwa kufanywa kwa weledi mtuhumiwa hajahukumiwa lakini mara nyingi mtuhumiwa anakua treated kama ameshakuhumiwa lazima protocol zifuatwe. Nasihi makamanda wengine wazingatie haya waliofanya kwa kufuata taratibu big up lakini waliofanya kwa kurupuka tu kwakua ni nguvu ya dola basi hapa tujifunze kua nguvu ya dola inaendeshwa kwa kanuni na taratibu zilizowekwa. Hizi ni post zenye akilli, yafaa vyombo vya dola wanapoita press wote tuwe attention lakini kama kila siku wana trend hata kwa mambo mepesi watazoeleka na heshima itapungua.

  • @allanmedi1333
    @allanmedi13334 жыл бұрын

    For sure Mr nyakoro u deserve this position bro,enokwi agwitabhiri kaka

  • @officer1208
    @officer12084 жыл бұрын

    Some Dudes wataona kama you hate them but truth never die. Moja kati ya watu makini sana hapa TZ.

  • @MohammedAli-up6cu
    @MohammedAli-up6cu3 жыл бұрын

    SAFI SANA MKUU,NATAMANI HAYO ULIYOYAZUNGUMZA,UYATEKELEZE KWA VITENDO,TAIFA LINAHITAJIA USIMAMIZI WAKO WAKIUNGWANA NA WAKISHERIA,HASA WAKATI HUU TUNAPOELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU,BUSARA KAMA HIZI ZINAHITAJIKA KULIKO WAKATI WOWOTE ILI KULINUSURU TAIFA LETU LIBAKIE LENYE AMANI.

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi62064 жыл бұрын

    safi sana mkuu proud of Mara regions proud of tanzania

  • @innocentsmartbarnabas7597
    @innocentsmartbarnabas75974 жыл бұрын

    Babaa ulikuwa wapiii mudaa woteeee.....Mbona unaongea vituuu Konkiiiii afandee DA aah....Salute mkuu

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph144 жыл бұрын

    Safi sana kamanda leo umeugusa Moyo wangu safi

  • @maxlupapa4468

    @maxlupapa4468

    4 жыл бұрын

    mm najua siku zote watu makini mpo

  • @emmanuelwilson482
    @emmanuelwilson4824 жыл бұрын

    well said Commander

  • @abelwilliam7329
    @abelwilliam73294 жыл бұрын

    IGP siro Mungu akulinde big IP sans👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @richardkisanga8603
    @richardkisanga86034 жыл бұрын

    Nimeanza kukuelewa sasa IGP, ulikua mkimya sana mzee machafu mengi yametokea na wao wapo tu wanashabikia siasa... 👏👏👏

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.35394 жыл бұрын

    Amen Amen. Mungu awape hekima yake.leo nimekuelewa. Mungu atusaidie .Amen.

  • @bjzee1981
    @bjzee19814 жыл бұрын

    Huyu kamanda. Salute for you

  • @labanhezekiel5627
    @labanhezekiel56273 жыл бұрын

    Nice

  • @nassoroiddy4684
    @nassoroiddy46844 жыл бұрын

    Safi Sana kamanda sirro. Anachofanya Mambo sasa si sawa

  • @Paelimbo6649
    @Paelimbo66493 жыл бұрын

    IGP hongera sana kwa kuwafunda makamanda wenzako!

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi4084 жыл бұрын

    IGP hii spech ya leo ndio nimejua kumbe ilo jesh liko na standard km ya europe. Ila usipiqe kelele sana mkuu askari wenu wenqi mnaajiri kw kujuana na sio kw viqezo va elimu

  • @morgankalima5824
    @morgankalima58244 жыл бұрын

    This is a real policeman officer very intelligence keep it up.

  • @josephbonday8510
    @josephbonday85103 жыл бұрын

    Very intelligent IGP

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos20084 жыл бұрын

    Safi.

  • @renatusmushi3117
    @renatusmushi31174 жыл бұрын

    IGP upo sawa hongera kila cku umekuwa ukioñgea point

  • @nyamilimakagoma720

    @nyamilimakagoma720

    4 жыл бұрын

    mzeee nakupenda sana ....you are perfect

  • @eaglecrown3872
    @eaglecrown38724 жыл бұрын

    Ni kweli speach nzuri ila mimi sizani kama tulipaswa kujua habari za hicho kikao maana sio vikao vyote ni vya kutuonyesha sisi

  • @nasrimohamed7556

    @nasrimohamed7556

    4 жыл бұрын

    Yaap hat mm nldhani hvyo

  • @seifchembela4346
    @seifchembela43464 жыл бұрын

    Alhamdulilah mwenyez mungu akujalie heli ktk maisha yako kamanda

  • @Phonce-ei2pn
    @Phonce-ei2pn4 жыл бұрын

    Safi sana

  • @jacksonmchongoma7330
    @jacksonmchongoma73304 жыл бұрын

    Big up mkuuu ,,,,,,wakumbushe mipaka yao maana kila kukicha wanamaliza mb zetu kwa manyanga tuuu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe8452 жыл бұрын

    Mambosasa Ni mzuri kanisaidia sana mambo yangu

  • @yunuskomba510
    @yunuskomba5104 жыл бұрын

    Kweli

  • @narashaolomi991
    @narashaolomi9914 жыл бұрын

    Safi sana mkuu.mungu akujalie maisha marefu ili uendelee kukemea yasio faa.

  • @blessjo1678
    @blessjo16783 жыл бұрын

    Kwa Mara ya kwanza nimeikubali polisi na ni kwa Ajiri ya speech yako Sirro...maana wanatunyanyasa sana mtaani na kutudhalilisha bila ushahidi

  • @isaackiwelu1458
    @isaackiwelu14584 жыл бұрын

    Tell them Sir, I suspect is innocent till proven guilty by the law. This habit of show off it's only in Tanzania. Mostly by the police .it's a big shame shame shame.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын

    Point IGP

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani31694 жыл бұрын

    Umeongea point baba mda mrefu nimekuamini ni mwadilifu sana