No video

IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....''

IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....''
MKUU wa jeshi la polisi nchini, IGP Simon Sirro, amefanya mkutano na makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya nchini wenye lengo la kupanga mikakati ya namna ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kuanza hivi karibuni pamoja na usalama wa raia na mali zake nchini.
www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App

Пікірлер: 542

  • @globaltv_online
    @globaltv_online4 жыл бұрын

    JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.

  • @jumalula7516

    @jumalula7516

    4 жыл бұрын

    Global TV Online group LA whatsap tuunge kwa namba 0753544644

  • @elvirareonard2520

    @elvirareonard2520

    4 жыл бұрын

    Niunge group 0757380439

  • @shammahlupon7945

    @shammahlupon7945

    4 жыл бұрын

    Askari wajifunze hekima ya kamanda siro

  • @jamarybaranyikwa8941

    @jamarybaranyikwa8941

    3 жыл бұрын

    hakika kiongozi igp Siro hekima uliyonayo unaweza ukawa kiongozi yeyotehapa t.z

  • @abdukarim7012

    @abdukarim7012

    3 жыл бұрын

    wapelelezi wamajarada ndio wanavunja sanna Sheria baada wapeleleze kisomi wao nikupiga mtuhumiwa eti anampiga halafu anamuliza simu ikowapi? Kazi tenu nikulinda sheria ibara ya ishirini kifungu cha 11 kinasema nikosa polisi kumpiga mtuhumiwa anapokuwa kiziwizini au mikononi, na hamujali munapiga tu hakuna aliekuwa juu ya sheria,

  • @bahatifrank4869
    @bahatifrank48694 жыл бұрын

    Leo nimejifunza kitu kibwa sana kwa IGP kumbe kuwa àskari au kiongozi ngazi yoyote sio lazima utumie sauti ya vitisho ili ueleweke. Mkuu Mungu akutie nguvu sana. Ndugu zangu uliye mwelewa Mkuu gonga like

  • @betyjohn2556

    @betyjohn2556

    4 жыл бұрын

    Nimemkubali SIRO

  • @ibrahimdavid6219

    @ibrahimdavid6219

    4 жыл бұрын

    Kauli ya ukali ufundishi mtu bali unatengeneza kuogopwa na ukiogopwa katika uongozi uwezi pata mema mengi ya kiutendaji#

  • @saloomidd1084

    @saloomidd1084

    4 жыл бұрын

    Huyu mzee yupo vizuri sana upstair ukilinganisha na wengine ndio maana hana majivuno ya ajabu.

  • @imamuhemedi4387

    @imamuhemedi4387

    4 жыл бұрын

    BAHATI FRANK

  • @nighanilehenry2818

    @nighanilehenry2818

    4 жыл бұрын

    Said sana

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura42584 жыл бұрын

    HII HOTUBA UNAWEZA KUNYWEA CHAI, UKALIA NA UGALI MCHANA, UKALIA NA DINNER USIKU NA ISICHACHE. YOU ARE VERY CRITICAL IGP.

  • @peterhhatisnay6616

    @peterhhatisnay6616

    4 жыл бұрын

    Big up

  • @mahingilasambichuma1369

    @mahingilasambichuma1369

    3 жыл бұрын

    Ukweli mchungu lakini wenye tija.

  • @kellyngogo3319

    @kellyngogo3319

    2 жыл бұрын

    Mmhhh!!

  • @rithaurassa

    @rithaurassa

    3 ай бұрын

    Mungu akulinde na utumishi wk .Kweli IGP SIMON SIRRO WEW UNAFAA SAN KWENYE HII NCHI NIMEJARIBU. KUKUSIKILIZA SAN UNAPOIT YAKULINDA UTU.WENGINE WANGEPATA CHEO CHAKO WANGENYANYASA SAN WATU. HONGE SAN MHESHIMIWA.

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed6144 жыл бұрын

    Huyu mzee anahuruma saana na anauoga wa mungu na ni mkweli wala hatafuti kiki respect mkuu viva igp siro

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    4 жыл бұрын

    Mohamed Mohamed polisi kumuogopa Mungu ni aghalab,aweza kuogopa kwa maneno lkn matendo yatajielezea, hata Bwana YESU alionya polisi kuhusu kuwashtaki watu kwa uongo,,isivyohaki, kwahiyo polisi wa kupiga wa kamata mwiz men, wa barabarani kutenda haki ni kwa kupapasa sana, labda wanajeshi walinzi TAIFA hao watakuepo wengi mbinguni mana ni wanyenyekevu na wanatumia fani yao kwa haki, kupiga kura kuharibu kjjenga kulinda kwa haki si kuonea, na hufanya kwa kufuata amri, hawaombi rushwa wala kutengenezea mtu kesi mbaya au kumtia hatiani asie na kosa, wala kufyatulia risasi RAIA wasio na kitu mkononi eti kwavile wako mob,so utu wema kwa polisi upo kwa wachache kama huyu lkn sio wengi

  • @akshaydavid159

    @akshaydavid159

    4 жыл бұрын

    Ww hujui chochote broo, Jeshi la wananchi na polisi majukumu yao ni tofauti, na Kama ikitokea wamebadilishana majukumu hata kwa wiki moja tu hautarudia kuzungumza hivyo tena.

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    4 жыл бұрын

    @@akshaydavid159 mimi zamani nilifkiri jeshi ndio wabaya. Kumbe sivyo kabisa. Ishi NA wanajeshi uone utu wao ni wa hali ya juu. Wanamafunzo kabisa. Lakini askari🤔. Akipewa buku TANO tu kishakugeukia NA utaisahau haki yako. Sababu wengi wao wameokotwa njiani wakapewa kazi bila kujielewa. Fahari yao ya kishamba kuwa anataka kujuana NA mkubwa flani. Im sorry huo ndio ukweli. NA jeshi ataeiga raia basi nafsini mwake ana tatizo ila hapewi mafunzo hayo.

  • @gosbertrwezahura3645

    @gosbertrwezahura3645

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa. Huyu jamaa hatafuti makuu.

  • @wickama
    @wickama4 жыл бұрын

    Afande Sirro stay blessed. M/Mungu alisema kwamba kwa yule anayemjaalia HEKIMA basi huwa amemjaalia kitu ADHIIM sana. Mshukuru M/Mungu kwa kukujaalia hekima

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6244 жыл бұрын

    HONGERA DADY UNACHAPA KAZI SIO KITOTO. Uishi miaka mingi inshaallah 🙏

  • @nassorsuleiman4630

    @nassorsuleiman4630

    4 жыл бұрын

    Munira Ahmed it's good like that!

  • @mwawiyaomari3796

    @mwawiyaomari3796

    4 жыл бұрын

    Munira Ahmed nimekupenda bure

  • @jahabdallah1829

    @jahabdallah1829

    4 жыл бұрын

    Mambo dada???unajitaidi kila kona uko ongera m south Africa jah

  • @amriseleman9395

    @amriseleman9395

    3 жыл бұрын

    Sana Munira uko sahihi

  • @mustaphyassin9743

    @mustaphyassin9743

    3 жыл бұрын

    Munira nicheck kwa whatsApp 0771725442

  • @bestonmfikwa8510
    @bestonmfikwa85104 жыл бұрын

    Aisee!!! Huyu jamaa ni shida. Nampenda sana

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba50094 жыл бұрын

    Big up....hawa ndio viongozi wanaotakiwa, kazungumza ukweli...facial expression yake inasema kweli. " Sote hatuwezi kuwa ma IGP" kila mtu anapewa kwa nafasi yake. Tunawapenda jeshi la Police umoja wenu na ushirikiano wenu utatufanya tusonge mbele. Kikubwa Mungu ahusike na kazi zetu. Hongera Mzee Siro....Umeongea vema i like it.

  • @ramadhansylvesta1952
    @ramadhansylvesta19524 жыл бұрын

    dah! nimependa sana busala za mzee sirro, Safi sana

  • @bakariamraniamran8404

    @bakariamraniamran8404

    3 жыл бұрын

    Nakukubali sana mkuu

  • @jeromendetaulwa3466
    @jeromendetaulwa34664 жыл бұрын

    IGP SIRO una busara sana Mungu akulinde unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani

  • @kaisarimbisso7579

    @kaisarimbisso7579

    3 жыл бұрын

    Waxiri wa mambo ni cheo Cha chini kwa IGP, Kama ulikuwa hujuwi

  • @happynicholaus6474

    @happynicholaus6474

    3 жыл бұрын

    @@kaisarimbisso7579 kweli

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource29533 жыл бұрын

    Safi sana IGP, siyo wote wanaweza kuwa Viongozi kwa wakati mmoja. Waliochini tafadhali wachape kazi wakati wao ukifika watateuliwa pia Mipango ya Mungu ikitimia. Big up IGP👏👏👏

  • @kingcobra9238
    @kingcobra92384 жыл бұрын

    Salute salute salute IGP kwa point zinazotujenga kua cheo ni dhamani long life mr.IGP

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson15254 жыл бұрын

    Kiongozi MZURI SAAANA HUYU asante saaaaana mpendwa mkuu wa jeshi la police tz

  • @mahmoudabdallah4533

    @mahmoudabdallah4533

    4 жыл бұрын

    uko sahihi

  • @amrizuberi3830

    @amrizuberi3830

    2 жыл бұрын

    Jaman huyu ndo kamanda

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi91204 жыл бұрын

    Nice speech IGP may God protect u n do all that is right

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu41574 жыл бұрын

    Asante kamanda sirro we ndio igp safiiiiiiìiii

  • @danielpius14
    @danielpius144 жыл бұрын

    You're a super man , good speech

  • @nassorrashidynassorrashidy7272
    @nassorrashidynassorrashidy72723 жыл бұрын

    Safi sana ww ni binadamu na nikamanda mwenye hekima mungu akuongeze ivyo ivyo

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    IGP, mkuu wa police Tanzania.. ni kiongozi bora sana..nampenda huyu mkuu yuko makini sana..nimejifunza mengi kutoka kwake..

  • @pastorchristopher758

    @pastorchristopher758

    3 жыл бұрын

    Nimekupenda hufanani na asikar wengine wanabakia nivitisho tuu nimekupenda.

  • @iddiali8057
    @iddiali80574 жыл бұрын

    SIRRO IS EXTRA ORDINARY MAN

  • @evansmlalo4049

    @evansmlalo4049

    4 жыл бұрын

    Watanzania tunayo mazoea ya kusifia hata mtu akijinyea. Eti Sirri ni extra ordinary. Atupatie majibu nani wanatena, wanapiga na kuwaua ndugu zetu ndio tumpatie jina la extra ordinary. Hata kama Rais na wakuu wa vyombo vya usalama hawashitakiwi hapa Tanzania kwenye vyombo vya kimataifa watashitakiwa tu. Wao waendelee kuwaua wapiga kura kwa kujipa moyo kuwa hawatashitakiwa ila wajue kesi zote za kupiga watu, kuteka na kuwaua Watanzania ziko ICC na mhusika mkuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Ndugu zetu wameuwawa, wamepigwa na kufunguliwa kesi za uongo na wahusika wakuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Watapanda Mahakamani hata kama miaka kumi ijayo.

  • @mayungamboi9753

    @mayungamboi9753

    3 жыл бұрын

    @@evansmlalo4049 nmekuelewa Sana mkuu mungu akubariki🙏🙏🙏🙏

  • @stevengaspa1567

    @stevengaspa1567

    2 жыл бұрын

    Wajinga niwengi amesha fanya fanya ujinga leohanaongea ujinga wakipumbavu

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji89822 жыл бұрын

    Asante sana kiongozi, AGP Sirro that is a good speech, MUNGU alibariki jeshi letu la police.

  • @abemampya2871
    @abemampya28714 жыл бұрын

    Namkubali sana IGP Sirro. Yuko vizur hakika anasema ukweli

  • @ngaosedekia4897
    @ngaosedekia48974 жыл бұрын

    Blessed

  • @ibrahimdavid6219
    @ibrahimdavid62194 жыл бұрын

    Among of gud leaders in our country congratulations I real like a leader like Siro utamchukiaje kiongozi km huyu Mungu aendelee kukupa hekima mkuu#

  • @audaxkasindo9016

    @audaxkasindo9016

    4 жыл бұрын

    Kamanda siro uwa nakuami ikwa utendaji wakazi mungu akusimamie kwa utendaji wa kazi ongera mzee siro

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi973 жыл бұрын

    Mashaalah huyu mzee anatamani kustaafu kwa heshima,hataki Tanzania iingie kwenye machafuko.tunacho waomba vyombo vya dolla mkae pembeni na siasa.

  • @josephmateru8892
    @josephmateru88924 жыл бұрын

    Nimekupenda Bure Kamanda Du Mungu Hakuweke Maisha Kweli Mafupi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @paulbwanana7886
    @paulbwanana78864 жыл бұрын

    Safi sana baba piga kazi ,hasa ukimtanguliza Mungu mbele ukijua kwamba ndiye alie kuweka kwenye nafasi hiyo wewe ni mtumishi wake Amen

  • @nasrimhagama5958
    @nasrimhagama59583 жыл бұрын

    God Bless you

  • @saidihilinti6919
    @saidihilinti69193 жыл бұрын

    Kiukweli nikiwa raia wk Allah akutangulie kwa imani yako kwa huruma yako kwa hayo ullio yasema yamenikuna yamenifanya niwe mnyonge mno mzee wetu kwani uko very very nice saluti mungu akutangulie ktk Yale magum kwako ayafanye ayafanye yawe rahis na matam 🙏🤝

  • @blessjo1678
    @blessjo16783 жыл бұрын

    One of the best....super genius IGP

  • @ipyanahudson7515
    @ipyanahudson75153 жыл бұрын

    I like your point chief camander

  • @faidamasegenghe3379
    @faidamasegenghe33794 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana IGP SAIMON SIRO

  • @fightermoshi5921
    @fightermoshi59214 жыл бұрын

    👏💚 afande wangu uko vzr IGP

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga84904 жыл бұрын

    "Maafsa Wenzangu,maaskari wenzangu, na Nduguzangu." Naipenda sana kauli hii. Hongerasana unajitahidi kuifanya jeshi linaenda na wakati.

  • @abubakaryomary3985

    @abubakaryomary3985

    3 жыл бұрын

    Nimekuelewa afisa mwezangu

  • @simonchambo1230
    @simonchambo12303 жыл бұрын

    Good speech indeed you deserve to that position God bless you with that kindness heart.

  • @yunusali9514
    @yunusali95143 жыл бұрын

    Asante mkuu,upo vizur sana,

  • @hamzasaidi3055
    @hamzasaidi30554 жыл бұрын

    Big up IGP. Very good presentation

  • @suleimanmmingange2983
    @suleimanmmingange29833 жыл бұрын

    Sina cha kukupa baba sema sema ukweri babaaaaaa!!.

  • @evelinerichard7631
    @evelinerichard76314 жыл бұрын

    nimeipenda speech yako Mkuu

  • @barakamtui8198
    @barakamtui81983 жыл бұрын

    Upo sawa kamanda siro

  • @tunumadiba824
    @tunumadiba8243 жыл бұрын

    Big up Sirro ,IGP,,, nakufahamu vzr ,,ni mtu mwema sana na mtenda haki itendeke,,kweli unapendwa sana na watu wengi ,,Mungu akulinde

  • @omarikibula7115
    @omarikibula71154 жыл бұрын

    Leo umeongea maneno ambayo sikutegemea utakaa uyaseme insha allah tunategemea mabadiliko ktk utendaji ukweli nikwamba jeshi la polisi nikimbilio sana mwanzo wahaki kwa wanyonge. Kwa hotuba hii naomba tuiombee nchi yetu sheria zifuatwe sio maagizo yawatu imefika pahala mpaka baazi yaviongozi wa ccm wanasema jeshi la polisi nilao wapinzani nanyie tafteni lenu. Yote hio ilitokana na baazi yapolisi kufanyakazi kinyume nasheria inavyo wataka kutokana nataaluma zao. Wakati sisi wananchi tunatakiwa tuwekaribu na maafisa wetu wapolisi ili tuweze kuwa taarifa pale mtu unapoona jambo la uhalifu linataka kufanyika ukibahtika kujua maramoja bila kuchelewa upige simu polisi na tujitahdi watu wote tupende kuzisevu namba zasimu za jeshi letu lapolisi. MUNGU IBARIKI TANZANIA mana kunamvurugano kidogo na hotuba kama hii yaleo ya IGP siro nisehemu ya matibabu

  • @imamuhemedi4387

    @imamuhemedi4387

    4 жыл бұрын

    Omari Kibula

  • @janethyona1361
    @janethyona13614 жыл бұрын

    Mungu akubarikie IGP sirro kwa kauli zako kila kitu Mungu anampa MTU kwa wakati wake huu ni wakati wako, pia nikupongeze kwa mwongozo wako kwa Ma RPC naomba waufuate jeshi lihaheshimika pia nishaur vyombo vya dola imean polisi waachane na media sbb media zinapunguza umahili wa jeshi mnajikuta hata kaxi ya upelelezi inawapashida sbb plan zenu au operation zenu mnaziweka wazi mno. Mungu ibariki Tanzania

  • @oscarmosha383
    @oscarmosha3833 жыл бұрын

    Sikuwahi kujua Kama unahekima kubwa NAMNA hiyo mzee siro mungu akulinde Sana

  • @emmanuelsovellah5521
    @emmanuelsovellah55214 жыл бұрын

    Wewe ni IGP kweli kweli respect to yuu boss wa police

  • @barakandugu7283
    @barakandugu72833 жыл бұрын

    Safii san mkuu wetu

  • @hapakazitu7364
    @hapakazitu73644 жыл бұрын

    safi baba ndo maana nilitabili kuwa hivyo . niliamini utakuwa best IGP toka ulivyokuwa operation Tanzania

  • @emmanuelmarco9789

    @emmanuelmarco9789

    4 жыл бұрын

    My igp GOD bless u

  • @azizamir1944

    @azizamir1944

    4 жыл бұрын

    Good speach

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza36584 жыл бұрын

    Safi cn kamanda siro umeongea vzr mnaweza mkawa 10 lakini akatokea 1 ili aongoze wengine ubalikiwe!!!!

  • @mcmapunda5837
    @mcmapunda58374 жыл бұрын

    Nimekuelewa mungu akulinde sana amina

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija66724 жыл бұрын

    Mkuu wasaidizi wako wanatusaliti wananchi wengi wenu mnatumikia CCM mnajisahau kuwa mko kwaajili ya watu awe ccm au upande mwengine.

  • @yusufurajabuomari647
    @yusufurajabuomari6474 жыл бұрын

    Pain 😫

  • @lairumbelaizer4429
    @lairumbelaizer44294 жыл бұрын

    Great, huu ndiyo uongozi firm & and fair

  • @tumainamani3981
    @tumainamani39814 жыл бұрын

    Wiseman

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat92544 жыл бұрын

    Asante mkuu ushauri wKo

  • @barakarobert1029
    @barakarobert10292 жыл бұрын

    Hongera sna ulijua haya yaliyo tokea leo baada ya jpm kufa asante kwa kaz nzuri

  • @mashakashobo979
    @mashakashobo9794 жыл бұрын

    Uncle umejaa hekima sana huna mambo ya kujimwambafai pamoja na kuwa na cheo Cha juu kabisa,,,MUNGU akuongezee maisha malefu na yenye baraka tele,,,

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga5272 жыл бұрын

    Safi sana Sirro hongera ndugu yangu.

  • @afidhusultan4967
    @afidhusultan49674 жыл бұрын

    Kamanda wangu siro nakukubali sana zaidi ya sana mungu akupe umri mrefu

  • @mwinyimwimbe8842
    @mwinyimwimbe88424 жыл бұрын

    Nimemuelewa sn AGP

  • @far_hard1301
    @far_hard13014 жыл бұрын

    baba uko juu wanyooshe hao wanawanyasasa sana wananchi kwaajili ya cheo uliowapa hawajui jukumu lao ila ni kutafuta kiki tu kwenye media baba wape ukweli tu nakupenda sana mungu akulinde milele

  • @veronikadalali7251
    @veronikadalali72513 жыл бұрын

    Namwelewa sana Siro ndug yetu huyu kasaidia vijana wengi hapa Kyabakar

  • @fadhilimfalamagoha2682
    @fadhilimfalamagoha26824 жыл бұрын

    Raisi hakukosea kufanya uteuzi wako, well understood speech

  • @mudhihirumikidadi6066

    @mudhihirumikidadi6066

    4 жыл бұрын

    Wewe unafaa kuwaraisi mwenyezimungu akufikishe hukokwenye uraisi

  • @fidelebahati8052
    @fidelebahati80524 жыл бұрын

    Mimi ni brother FIDELE SINDANI toka DRC, South Kivu provincy, muji wa Uvira. Kweli nashuudiya: Magufuli is the best president in Africa, kufwatana na leadership yake. Kweli wa TZ ambao hamutambui kazi anayoifanya ktk inchi yenu, fungeni vinywa vyenu, angalieyeni vitendo, na utekelezaji wake. Bravo Magufuli, Tu es le meilleur de notre continent

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser76343 жыл бұрын

    Maneno makubwa na mazito, tena ya uwazi mkubwa. Hongera Kamanda Siro., huu ndio uongozi shirikishi na utawala wa kisheria

  • @tusajigwekanemela4784
    @tusajigwekanemela47843 жыл бұрын

    MZEE umeongea kwa hekima sanaaaaaaaa

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru99084 жыл бұрын

    Leo mzee wangu umetulia Sana, umeeleweka Sana umeongea kijeshi haswa kikamanda awiiiii awaaaa

  • @jumannesaid4873
    @jumannesaid48734 жыл бұрын

    Nilikua nampenda kabla hajawa IGP huyu mzee yuko makini sana

  • @shabanmohamed1545

    @shabanmohamed1545

    4 жыл бұрын

    Mkuu ,mungu akujalie hekma na busara ,kwani hii dunia tunapita tu.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma20853 жыл бұрын

    Nakupenda sana KAMANDA Sirro

  • @daudimwanandenje8058
    @daudimwanandenje80584 жыл бұрын

    good

  • @bluebeamkennel9266
    @bluebeamkennel92664 жыл бұрын

    Siroooo....nifanye nini ujue nakuamini na tunakuamini???

  • @rukayarabii1449

    @rukayarabii1449

    4 жыл бұрын

    Asante Afande Sirro

  • @Bam268

    @Bam268

    4 жыл бұрын

    Mpe mchezo

  • @issamsuya583

    @issamsuya583

    4 жыл бұрын

    alvin msoffe 😁😁

  • @makongoronyerere2595

    @makongoronyerere2595

    3 жыл бұрын

    @@Bam268 hhhhhhh, nimecheka xnaaa

  • @calvinarichard666

    @calvinarichard666

    3 жыл бұрын

    Napenda sana kiongozi anae zungumza ukweli

  • @merickymangula5156
    @merickymangula51564 жыл бұрын

    Very professional mzee kaongea vizuri sana

  • @hussenimiraji8998
    @hussenimiraji89984 жыл бұрын

    Siro nilichogundua wewe ni mcha Mungu maneno yako yananiumiza sana

  • @georgemhalla3515

    @georgemhalla3515

    4 жыл бұрын

    Kweli aiseeeee

  • @alhajitambwe9565
    @alhajitambwe95654 жыл бұрын

    Mungu asante kwa maisha ya IGP wetu umlinde aendelee kufanya kazi hii iliyotukuka

  • @vickngowi2779
    @vickngowi27792 жыл бұрын

    SiRRO wangu nakupenda bure unabusara sana baba😍😍

  • @jumakapesa726
    @jumakapesa7264 жыл бұрын

    Hazina ya Taifa. Hekima iliyohifadhiwa

  • @jojosstar8930
    @jojosstar89302 жыл бұрын

    Yule anaeta kuwa IGP ana tamaa ya madaraka kiufupi hafai hakutakiwa kusema hadharani kama mwanasiasa kiufupi raiya wenu wema hatujapendezewa na kaulizake, piga kazi IGP wetu SIRRO na ALLAH akujalie tuko pamoja na Wewe,.

  • @hojajmagingila1099
    @hojajmagingila10994 жыл бұрын

    Hongera sana IGP. The speech to your Senior Official is real impacting. " Kweli umeongea kama kiongozi kweli kweli".

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe68542 жыл бұрын

    We love sirro

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego7974 жыл бұрын

    IGP NAMKUBALI SANA YAANI MIMI NI SHUHUDA PIA MAY ALLAH BLESS U MZEE

  • @dsouzamaguno7006
    @dsouzamaguno70064 жыл бұрын

    Well Say Mkuu

  • @conasmalale1073
    @conasmalale10734 жыл бұрын

    you have strong point

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander36414 жыл бұрын

    Hizo ndiyo hekima za padre aliyetumwa na Mungu kuongoza jeshi la police, wamekuelewa Mkuu. Na Mungu akulinde kwa mitizamo chanya uliyonayo. Amen.

  • @maembelaurent970
    @maembelaurent9703 жыл бұрын

    Safi sana mkuu

  • @husseinkhan4889
    @husseinkhan48894 жыл бұрын

    Siro ni kiongozi mwelewa sana tofauti na viongozi wengine wa jeshi. Anajua uongozi ni kupita tu wachache wenye uwelewa huo!

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil13964 жыл бұрын

    IGP wa kwanza kusikia anaongea openly na makamanda kwa ukubwa wa speech hii nakupa salute sirro.

  • @jacklineminja2022

    @jacklineminja2022

    4 жыл бұрын

    I salute him very nice speech

  • @lucasmkui3160

    @lucasmkui3160

    4 жыл бұрын

    Yes sir good vision, good focus commander please sir take again your binocular look at Zanzibar slowly.

  • @exampleemail8662
    @exampleemail86624 жыл бұрын

    IGp silo hapoumeongea pointing nzuri sana binafsi nimeshukuru

  • @okoakahemela5867
    @okoakahemela58673 жыл бұрын

    Maneno ya hekima sana!! Mungu aendelee kklinda kamanda wetu

  • @abubakaryomary3985
    @abubakaryomary39853 жыл бұрын

    Nimekuelewa Igp siro

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy56524 жыл бұрын

    Unatosha sana afande, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Endelea kutuasa, Mungu akubariki.

  • @bernadinangasi7664
    @bernadinangasi76644 жыл бұрын

    Baba yangu mungu ni mwema akubariki uwishi miaka mingi kwani duniani tunapita

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian12354 жыл бұрын

    Ukishakuwa RPC kuna uraji sasa ukiletwa makao makuu uraji umepungua ndio maana wanakasilika ila IGP uko vizuri maana ukimnyosha RPC wakuu wa vituo wanakaa saw a Narudia tena IGP sasa hivi hata panya road wamepotea wazee wangwasuma kwa jina lingine Wajomba wamekubali yaishe sasa hivi hakuna kuibiana IGP uko vizuri sana Piga kazi Ongera sana

  • @charlesjustin4805

    @charlesjustin4805

    4 жыл бұрын

    safiiii sana IGP wetu heshima ipo sana Mimi polisi Mimi nilikuwa siitamn hata kulalamika pale nilikodhulumiwa ila sasa hivi sanaaaaa nakushukuru sana

  • @rajabmsengi9169
    @rajabmsengi91694 жыл бұрын

    Mzee uko vzr Mungu akulinde

  • @lugasianyatega3766
    @lugasianyatega37664 жыл бұрын

    Brilliant.

  • @gastordominic410
    @gastordominic4104 жыл бұрын

    Hakika leo umefunguka sanaaaa big sana

  • @doctorkisale9430
    @doctorkisale94304 жыл бұрын

    Hayo c polisi pekeya hii Ni kasumba ya baadhi ya wananchi wa nchiyetu tabia ya ubinafsi wanayo hawataki kubadilika sms ya siro iwafikie wananchi woote wa tz tubadilikeni🇹🇿👍

  • @petermim
    @petermim4 жыл бұрын

    Makamanda ambao na shule inapanda na mbinu na skills umoo sanaaa sanaaa

  • @chiefmahucha6847
    @chiefmahucha68474 жыл бұрын

    Tangu nimezaliwa na kulijua jeshi la police, sijawahi sikia speech kam hii katika mikutano ya yao jeshi. Nimezoe kusikia Order zikitolewa na maonyo tuu dhidi ya RAIA.... Kumbe kuna wenye HEKIMA ndani ya JESHI LETU....thanks God for this Guy...!

  • @richardchibuga302
    @richardchibuga3022 жыл бұрын

    Makubwa umeyafanya Mheshimiwa na hao wanaokubeza wajiulize mara mbili polisi hakika ni kazi ngumu Mungu akutangulie tu kwa wakati wake aliyokupa

  • @atupelemwasambili4476
    @atupelemwasambili44764 жыл бұрын

    Excellent Mr IGP

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi54094 жыл бұрын

    Sahihi kabisaa kamanda siro

  • @maryamnhussein3967
    @maryamnhussein39674 жыл бұрын

    Fact kamanda hamuwez kua viongoz wote nani atamuongoza mwenzie kila mmoja aelewe unapopata nafas yakuakiongoz n wakat mungu amependa kua wewe kiongoz kwa kipind kile congrats baba umeongea sahihi Allah akusimamie vyema

Келесі